ROBOTI EUNICE AWA GUMZO BUNGENI, APOKEA WABUNGE, AMSHTUA WAZIRI ALIVYOTEMBEA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 май 2024

Комментарии • 1 тыс.

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn 16 дней назад +24

    KAMA UMESIKIA ATAKUPA TENA MKONO NA UKAJUA KM LIMESETIWA HIVO KWA UJINGA BASI GONGA LIKE

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 8 дней назад

      Hilo sanamu wanatupumbaza. Mzungu atupe roboti waafrika tokea lini. Hilo Ni sanamu tu Kama sanamu za mashine. Hakuna jipya

  • @HashimYahya-cl3tx
    @HashimYahya-cl3tx 18 дней назад +16

    Duuuuuh mungu azidi kumrehem magufuri maana sio kwaa huu ujinga na ukosefu wa maarifa

    • @AngelBaraka-bo2bl
      @AngelBaraka-bo2bl 13 дней назад

      Yan hii nchi sijawahi ona vituko kama hivi..kama wanataka mapokezi Si Kuna vijana kibao hawana ajira wangewaweka hapo Ili wawapokee..

  • @merckmdamu2942
    @merckmdamu2942 20 дней назад +76

    Wasomi lakini akili kisoda, watu wanakufa maospila mnaooteza hela kumlipa mzungu kuwatengenezea ufyuz,, Rip jpm😢😢

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 19 дней назад +1

      Kweli kabisa maneno yako

    • @abdulrahmanally1412
      @abdulrahmanally1412 19 дней назад

      Utopian conservative theory has to come to an end, you people, you need to understand that everything has two sides negative and positive, the perfect on is ONLY THE ALMIGHTY ALLAH, you need to adjust yourself from anthropological concepy and beliefs, the World is not standing still, it always moves and you have to move on, otherwise you will stand still as you are

    • @danielishachiluge8301
      @danielishachiluge8301 19 дней назад +1

      Umesema ukwel

    • @NassourBimkubwq
      @NassourBimkubwq 12 дней назад

      Inasikitisha kweli Hawa mayahudi tusipokuwa makini watatupoteza

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 12 дней назад

      @@NassourBimkubwq kabisa Mwenye Enzi Mungu atustiri yaarab

  • @aziza9093
    @aziza9093 20 дней назад +199

    Mnaacha kufunya mambo ya wanaichi mnatuletaa upuuzi

  • @festovenas502
    @festovenas502 20 дней назад +23

    Kwann Lakin mnatufanyie ivi wana nchi MUNGU awape mnacho sitahili😭😭😭😭😭 mnaacha kufanya kaz ya maendelea kwa wana nchi mnafanya ujinga ujinga tu

  • @robikachembeho5284
    @robikachembeho5284 19 дней назад +14

    Aisee JEHOVAH aturehemu Tanzania tunakoelekea sio sahihi kabisaaa.

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 20 дней назад +11

    Mimi n Bwana Mungu wako usiabudu miungu mingine Wala kuitumikia kwakua Mimi Bwana n Mungu mwenye wivu,napatiliza Wana Maovu ya baba zao.tubuni tubuni tubuni Tanzania,msifikiri Mungu amekufa Kama nyie,na mizaha mnayomfanyia hakika mtalipwa,kiburi Cha pesa kisiwadanganye hata shetani alikuaga Lucifer kwaiyo nenda taratiibu Tanzania kubali kuongozwa na Yesu Kristo, Mungu atuhurumie Sana.

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore2236 20 дней назад +46

    Neno latimia, bi siku za mwisho,bible yasema siku za mwisho maarifa ya wanadamu utazidi kufikia kutengeneza mwanadamu ila walishindwa kutoa punzi,.Tukiona mambo hayo hujui Yesu yukaribu, ilaniwale wenye ufahamu wa bibla

    • @user-hw7kz8rv2c
      @user-hw7kz8rv2c 19 дней назад +2

      Bora umeruona ilo

    • @samboreeadam4273
      @samboreeadam4273 15 дней назад

      Kwahy unahisi mwisho wa dunia utakuwa lini man,ili nile vyakwangu mapema😂😂😂

    • @user-ge3cg4ct9z
      @user-ge3cg4ct9z 14 дней назад

      ​@@samboreeadam4273si muda mrefu sababu yaliyonenwa km ndio dalili za kurudi kwa Yesu yametimia kilichobaki ni njaa haijawahi kutokea, watu watakatazwa kumuabudu Mungu wa mbinguni aliyeziumba mbingu na Nchi na kuabudu miungu na dhiki kuu

    • @mjaweathman6519
      @mjaweathman6519 10 дней назад

      ​@@samboreeadam4273😂😂😂😂😂😂Tusivunjane mbavu pumbavu zako 😅😅😅😅😅😅 Wataka umalize kila kitu usiache kitu duniani 😅😅😅

  • @user-ug8zk5gl2r
    @user-ug8zk5gl2r 20 дней назад +70

    MTukuzeni Bwana Mungu Wetu kwa uhumbaji wake hacheni kumkosoa hiyo furaha mnayoionyesha kwa huyo sanamu mungekuwa munaionyesha kwa mnaowahudumia Mungebarikiwa sana na Bwana Yesu.

    • @theresiagideon2178
      @theresiagideon2178 20 дней назад +5

      Ndugu yangu umenena mambo makubwa sana ubarikiwe, ndio siku za mwisho hizi Biblia haijadanganya

    • @user-ug8zk5gl2r
      @user-ug8zk5gl2r 20 дней назад +5

      Barikiwa sana Dunia hii hipo ukingoni kabisa lakini bado watu wanakimbizana na ulimwengu Badala ya kumtafuta Bwana Yesu

    • @SaraMathew-xd2vp
      @SaraMathew-xd2vp 20 дней назад +4

      Taifa limepata maafa ya mafuriko wananchi awana makazi wanaleta roboti sasa linatusaidia nn . Alafu wanataka kupigiwa kura

    • @thefinalstand2022
      @thefinalstand2022 20 дней назад +1

      Hiyo inaitwa teknolojia...ndiyo uliyotumia kutuma maneno haya mtanaoni...ndiyo anayotumia mmarekani na mchina kuitawala dunia...ndiyo anayotumia mrusi kumpiga Ukraine, ndiyo anayotumia Iran dhidi ya Israel...na sisi tunawakimbiza...SEMA alaaaaaaaa, kumbe mimi mjinga, sikuwa najuwa umuhimu wa technology!

    • @kwangahudispensary7238
      @kwangahudispensary7238 20 дней назад +3

      ​@@thefinalstand2022akili za hovyo sana hizi,,,je umepata vyote vya muhimu hd kufika huko?

  • @rockstarsamk9043
    @rockstarsamk9043 20 дней назад +61

    ALLAH NI MKUBWA HAYO MASANAMU HAYAWEZ KUFANANISHWA NA VIUMBE

    • @thefinalstand2022
      @thefinalstand2022 20 дней назад

      Hiyo inaitwa teknolojia...ndiyo uliyotumia kutuma maneno haya mtanaoni...ndiyo anayotumia mmarekani na mchina kuitawala dunia...ndiyo anayotumia mrusi kumpiga Ukraine, ndiyo anayotumia Iran dhidi ya Israel...na sisi tunawakimbiza...SEMA alaaaaaaaa, kumbe mimi mjinga, sikuwa najuwa umuhimu wa technology!

    • @kombidin..2583
      @kombidin..2583 19 дней назад

      😂​@@thefinalstand2022

    • @alexchamy2289
      @alexchamy2289 16 дней назад

      Acha ujinga. Kama Kuna Mungu basi jua Kila anachoweza kufanya mwanadam kakiruhusu. Kuna vitu ambavyo asili hairuhusu mwanadam kuvifanya kama kusafiri kwa Kasi ya mwanga na kujua muustakabali wa chembe ndogo kama electron.

    • @alexmatt9504
      @alexmatt9504 10 дней назад

      ​@@thefinalstand2022
      Elewa mada,hapa kinachojadiliwa ni matumizi bora ya pesa ya walipa kodi,siyo kukataa teknolojia. Hapa tulipo tuna madeni lukuki na tunatakiwa kulipa,halafu hiyo pesa unayokopa unaitumia kwenye vitu ambavyo havitazalisha, hapo hapo tuna uhaba wa ajira,vijana wetu wahitimu ni wengi na kazi hamna halafu unaleta robotic- technology? Hizo nchi zenye kutumia robotic- technology kwenye uzalishaji zimeisha jitosheleza kiajira.Kuweni welewa na muangalie maslahi ya nchi kwanza.

  • @HappyHiker-nz9vg
    @HappyHiker-nz9vg 20 дней назад +21

    Wapi.. magufuli mungu akuhifahdi inshallah 😢😢😢😢😢

    • @dubai8594
      @dubai8594 19 дней назад

      SHETANI NI MBAYA SANA SASA NINI HIKI
      YAANI NI ZAIDI YA UPUMBAVU

    • @NdageKitahama
      @NdageKitahama 5 дней назад

      Hivi kweli Hawa ndio wabunge wetu kweli tutamkumbuka magufuli hivi ni vichekesho hivi kweli mnachukua Kodi zetu mnaenda kununua upuuzi hiyo sanamu inasaidia nn hapo bungeni naona hamjui Hali ya watanzania maskini mnashiba Hadi mmejisahau ndio maana mnachukua pesa za watanzania mnaenda kununua huo upuuzi hata mungu kakataa kuabudu sanamu Leo sanamu mnaikeka ndani ya bunge mungu anawaona mwisho wake utafika

  • @carlosmzena548
    @carlosmzena548 20 дней назад +22

    Nchi ya ovyo sana hii
    Hawa ndio tunawategemea 😅

  • @abednegomawalla8747
    @abednegomawalla8747 20 дней назад +14

    Mungu tusaidie Mambo ya ajabu sana!.Tunaacha kuwajali watu tunaangalia vitu vya ajabu ambavyo naona tu mkono unakwenda na kurudi!.

    • @FatumaMuya
      @FatumaMuya 19 дней назад

      😂😂😂

    • @user-ol6pp1mo6q
      @user-ol6pp1mo6q 14 дней назад

      Adi linatia kichfchfu😂

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 8 дней назад

      Si tunachezea sanamu 😂, Yaani wazungu washawapumbaza watoto Kwa masanamu Na SASA tunaletewa watu wazima tuchezee sanamu😂😂😂. Huku viongozi WA kupambania nchi wamedanganywa ati ilo ni roboti 😂😂😂. Wabunge Kama mtu Hana master Bora asipewe nafasi maana naona wanatupumbaza Kwa ujinga walio Nao. VIPI SIE KIMA WA AFRICA TUSITAWALIWE?😂😂😂

  • @marychuwa8159
    @marychuwa8159 20 дней назад +12

    Yaani wanapigia makofi kweli kazi tunayo

  • @user-zo4te6fn6l
    @user-zo4te6fn6l 20 дней назад +6

    Mwenyezi mungu atawapa adhabu yenu

  • @obrigadoofficial1506
    @obrigadoofficial1506 20 дней назад +38

    Bunge tukufu la Tanzania linaheshimika Sana na Wabunge wamebeba dhamana kubwa sana ya kwenda kuwasemea wananchi wao na kuwaletea maendeleo kwenye miji na mitaa yao swali langu jeee robot hili ni kwaajili ya nini kwenye bunge letu tukufu....? Mungu ibariki Tanzania.

    • @mwanyongamama4407
      @mwanyongamama4407 20 дней назад +1

      Ni ghalama Sana si ajabu

    • @SaraMathew-xd2vp
      @SaraMathew-xd2vp 20 дней назад +3

      Ni maajabu san hii nchi imefka hapa sasa inchi inapotea . Hyo ni mbinu ya upelelezi ya wazungu wanataka kuitawala ten Tanzania. Maana mambo yote ya nchi yanayojadiliw bungeni uyo robot atayajua je icho si kifaa cha wazungu. Wanaleta robot alafu wanasema inch aina income. Kwel tutamkumbuka magu

    • @thefinalstand2022
      @thefinalstand2022 20 дней назад +1

      Hiyo inaitwa teknolojia...ndiyo uliyotumia kutuma maneno haya mtanaoni...ndiyo anayotumia mmarekani na mchina kuitawala dunia...ndiyo anayotumia mrusi kumpiga Ukraine, ndiyo anayotumia Iran dhidi ya Israel...na sisi tunawakimbiza...SEMA alaaaaaaaa, kumbe mimi mjinga, sikuwa najuwa umuhimu wa technology!

    • @rehemayona2223
      @rehemayona2223 20 дней назад +2

      Alafu wanachekelea to baada ya kuwa saidia wanachi

    • @nellywizz9631
      @nellywizz9631 20 дней назад

      Dah unaongelea nini?​@@thefinalstand2022

  • @user-ww4so9ks9c
    @user-ww4so9ks9c 20 дней назад +6

    Wengine tumekosa mkopo tunaambiwa hela hamna watu wanakatisha masomo kumbe mnatengeneza robot 😭😭😭😭daah hii nchi ngumu sana

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 8 дней назад

      Na Wewe umesoma Nini Hilo Ni sanamu unaamini Ni roboti😂. Wameuziwa mkenge watupumbaze

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 19 дней назад +5

    😢😢😢nchi yangu Tz watu wasomi Awana kazi wapo vijijin baada ya kuwasajili mkatengeneza robot aina ata matako

    • @JosephMroki-gg9nc
      @JosephMroki-gg9nc 9 дней назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 8 дней назад

      Hilo sanamu Ila Kwa kuwa binaadamu mweusi kaanzia kima 😂😂😂, acha tu watupumbaze

  • @chidi_don
    @chidi_don 20 дней назад +3

    Dah sio poa kabisa yani sio poa 💯

  • @user-qz1eg3op9d
    @user-qz1eg3op9d 19 дней назад +3

    Robot limetengenezwa VETA 😂😂

  • @Mazegelegirl
    @Mazegelegirl 20 дней назад +8

    watu tunahangika na ajira tuhanagaika hata pesa ya kula kupata mtihani, nyinyi pesa mnaenda kununua mdoli, si dharau hizi, asa kama mlikuwa na shida ya mtu wa kuwapokea si bora mngetutafuta sisi wenye shida na kazi mtuweke tupokee hao wageni mwisho wa mwezi tulipwe tu, tena mdoli haiwezekani kutuajiri hapo basi hizo pesa mngewapa hata watu wenye uhitaji na hizo pesa, hata mayatima😢 et teknolojia 😢 MDOLI YAANI KABISAA PESA IMENUNULIWA MDOLI KWELI???? MDOLI SISI ANATUSAIDIA NINI KHAAA???

    • @regandominic4267
      @regandominic4267 19 дней назад

      Kwan huyu ana tofauti gani na mdoli tulochezea tukiwa watoto ??

    • @TriakonNdoya-iw2qc
      @TriakonNdoya-iw2qc 18 дней назад

      Ivi hii Midori amenuniliwa au wamezawadiwa

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu2844 20 дней назад +5

    Nafikiri kuna shida sehem

  • @MichaelLinda-vd8rx
    @MichaelLinda-vd8rx 19 дней назад +2

    Hili bunge la mchongo ndo wanavoingiza mabomu ya milipuko nchini

  • @islamyasin7203
    @islamyasin7203 16 дней назад +2

    Watu ambao tunawategemea nchini hao wametoa pesa mingi Kwa kitu ambacho akina manufa nchini

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 20 дней назад +5

    Kama mungu aliwaazibu wanadamu kwakuaabudu Masanamu vipikuhusuhuu ujingatuno ushadadia ndiomaa mwakahuuMajanga nimengi Tusamehemungu usituazibu kwaujingawawatuwachache

    • @ChristinaGomisi
      @ChristinaGomisi 20 дней назад +2

      Kabisaa yani wamethamini marobotii kulikoo watu Magu wetu wetu aamkee aonee nchii ilivyotekwaa uwiiiii

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 20 дней назад +27

    Upuuzi mtupu Afrika tupo wengi sana hakuna sababu ya kuelekeza pesa za watanzania wanyonge kutengeneza misanamu ya kuwa karibisha hospital madawa hakuna watu wanakufa ya kukosa huduma wazee wanateseka mitaani n.k inatia uchungu sana kuona tunaviongozi wa hovyo namna hii

    • @user-yu5mo5bw6t
      @user-yu5mo5bw6t 20 дней назад

      Kikokotoo😅😅

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 20 дней назад

      ​@@user-yu5mo5bw6t😢😢😢😢😢😢😢

    • @thefinalstand2022
      @thefinalstand2022 20 дней назад

      Hiyo inaitwa teknolojia...ndiyo uliyotumia kutuma maneno haya mtanaoni...ndiyo anayotumia mmarekani na mchina kuitawala dunia...ndiyo anayotumia mrusi kumpiga Ukraine, ndiyo anayotumia Iran dhidi ya Israel...na sisi tunawakimbiza...SEMA alaaaaaaaa, kumbe mimi mjinga, sikuwa najuwa umuhimu wa technology!

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 18 дней назад

      @@thefinalstand2022 Ukisoma komenti unajua kabisa kama umasikini ni mbaya. Mtu anachukia teknolojia kwa vile yeye hajui. Aisee! Roho mbaya hizi.

    • @AngelBaraka-bo2bl
      @AngelBaraka-bo2bl 13 дней назад

      Roho mbaya kuliko waajiri vijana hapo Kwa ajili ya mapokezi wanaweka sanamu iwapokee😅😅

  • @wariobaJoseph
    @wariobaJoseph 20 дней назад +1

    S bora hata Mplan kujenga Barbara za chini watu mtaan wamekaaa na vyet Vyao hawana kazi mnatengeza roboti sasa hautaki kuajili watu au 🎉🎉🎉

  • @PendoPogwa
    @PendoPogwa 12 дней назад

    Alafu nmegundua ktu kumbe kuwa kiongozi Haina maana unaweza kuwa msaada kwa taifa Mungu atusaidie

  • @fadhilimbotela1049
    @fadhilimbotela1049 20 дней назад +7

    Tunakoelekea ni kubaya sana watanzania hii bajet ingetumika ata kwenye vituo vya mayatima wakasoma hata kwa kodi zetu kuliko huu upuuzi

  • @NoelKwayu-lz1or
    @NoelKwayu-lz1or 20 дней назад +3

    Mbona mbaya na kichwa chake kama gongonada

  • @Ejbl3zt
    @Ejbl3zt 18 дней назад +2

    Technology sawa ila upuuzi badala ya kuwawezesha vijana wa Tz wakaboresha katika ubunifu mpo nmashangaa robot

  • @tunuwilla
    @tunuwilla 14 дней назад

    Daaa, Kazi tunayo, hili ndo bunge la CCM kununua midori

  • @user-rj3cd2lh8w
    @user-rj3cd2lh8w 20 дней назад +5

    Uongozi sio vyeti tu hekma pia iwepo

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 20 дней назад +6

    Kwa nn halijaitwa sami.. na likaitwa Eunice??
    Na veep linafaida gani ktk taifa letu?

    • @nabiilucas8576
      @nabiilucas8576 20 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbavu zangu

    • @mfalmekaitaba2425
      @mfalmekaitaba2425 20 дней назад

      @@nabiilucas8576 usicheke maana kuna vitu vinafikirisha sana

  • @kuyengamoris4140
    @kuyengamoris4140 18 дней назад +2

    MAGUFULIIIIIIIIIIIII😢😢😢😢😢😢 WAPI BABA NJOOOO UONE VIJANA ULIYO WACHA WANACHO KIFANYA HAPA DUNIANI

    • @mwangosikennedy9643
      @mwangosikennedy9643 8 дней назад

      Wanafanya mambo ya kipumbavu sana, ee Mungu tuanagalie sisi waja wako maana hatujui nchi yetu inaelekea wapi... Magufuli baba amka amka amka uone yanayojiri maana hukuacha upumbavu huu uliacha maendeleo ya nchi kwa asilimi kubwa...😢😢😭

  • @frankmfuse6990
    @frankmfuse6990 12 дней назад

    Bunge la CCM , Bunge la magufuli, ulipaswa kufa mapema sana Baba , wale vilaza uliowakusanya watuwakilishe wanatufanyia haya , nibora hata wao mungu angewaondoa pia , ili ulipo na wao wawepo

  • @ndiiyolazaro1125
    @ndiiyolazaro1125 20 дней назад +9

    Upuuzi mtupu hakuna la maana

  • @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd
    @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd 20 дней назад +6

    Wabunge ni wapumbavu kama wapumbavu wengine tu ....na mnaingizwa kwenye kundi la hao walioingilia kazi Allah katika uumbaji kufuru imepewa jina zuri kwamba ni teknolojia ila teknolo kiama itafika ... ALAAH ATUONGOZE KATIKA KUTENDA MEMA NA ATUJAALIE KUWA NA MWISHO MWEMA

  • @TwahaKahatan-pt9hg
    @TwahaKahatan-pt9hg 20 дней назад +2

    Ndo mjuwe yakuwa sio kila anaefunga tai anaakili timamu. Huu ni ugonjwa wa mwisho na WA juu zaid kutokea karne 21 unasalimia SANAMU

  • @user-nq4hs1lb6p
    @user-nq4hs1lb6p 13 дней назад

    Wabunge hivi kweri mnahakili Mungu ichukue tu tz hata utuwe wote tu...mm naumia malipa kod halafu upuuzi kama huu ndio hununuliwa then mwaka huu first year tumepewa asilimia 18 za ada hivi hii pesa si bora watuongezee

  • @avocadomatala2883
    @avocadomatala2883 20 дней назад +8

    Wabunge wanaongea na maroboti ndio maana hata bungeni wanaongea upuuzi kumbe Wana akili ya kiroboti robot tu Mungu tusamehe sana

  • @josephjamesdagharo
    @josephjamesdagharo 20 дней назад +5

    Binafsi sijaelewa bunge tukufu ni jengo au wabunge ndiyo wamejipa utukufu? Badala ya MUNGU kwa anayefahamu vzr

    • @michaelhancy6759
      @michaelhancy6759 20 дней назад

      Kasome historia ya mapunduz ya ulaya ndio utaelewa aya mambo

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 20 дней назад

      ​@@michaelhancy6759non sense!

    • @michaelhancy6759
      @michaelhancy6759 19 дней назад

      History aidanganyi mna akuna jipya dunian

  • @CK-ri1mo
    @CK-ri1mo 19 дней назад

    Daaah!!! Sis wabongo ni wapuuz sana ok anyway ngoja niendelee kusoma comment!!!

  • @NickisonEvarista
    @NickisonEvarista 17 дней назад +1

    Sasa hiyo roobt ya kaz gan yan watu wasomi kabis lakn akili kam za watu ambao hawajasoma 😢😢

  • @aliissahaji33
    @aliissahaji33 20 дней назад +3

    Yaani watu wanakuga njaa huku mitaani, haya Mungu anaona yote hayo.

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 20 дней назад

      Unataka tukuletee chakula au pambana

    • @ChristinaGomisi
      @ChristinaGomisi 20 дней назад

      Wanatutozaa Kodi kibaoo umeme hakuna mara maji hakuna vijijini watu wanakunywa maji pamojaa na ngo,mbe na fisi mara wawafutiee wanchuo bumu afuu ujingaa ndo huoo afuu mtegemee watu waajiliwee heeeeeh heeeh

  • @user-yw1su7vo3t
    @user-yw1su7vo3t 20 дней назад +3

    Haieleweki kabisa ni ujingaaa huuu

  • @khadijaabdallah3074
    @khadijaabdallah3074 20 дней назад +1

    Mungu afanye miujiza liwasemesheni watu wazima kumbe 0 kabisa

  • @gaudenciamsrikale956
    @gaudenciamsrikale956 18 дней назад

    It's a good trial, keep it up

  • @lucymtui8680
    @lucymtui8680 20 дней назад +10

    Ndo matumizi ya Kodi zetu😢😢

    • @user-uf6oe3qi6v
      @user-uf6oe3qi6v 20 дней назад

      Hahahahaha

    • @user-lo8ef9qn2r
      @user-lo8ef9qn2r 20 дней назад

      Watu wazima ovyo ndio iyo

    • @isayashayo4777
      @isayashayo4777 20 дней назад

      😂😂😂 waheshimiwa wanashangaa kitu kilichojengwa na mwanafunzi alieishia la tatu 😂😂😂😂

    • @pastorzakariatv1786
      @pastorzakariatv1786 20 дней назад

      Kwenye milioni 50 hapo ndo panapo niumiza Tanzania tutaendelea lini? Mbona tunaiibia sana nchi

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 20 дней назад

      Soon hii nchi itakuwa skeleton 😢😢

  • @avituskatunzi1180
    @avituskatunzi1180 20 дней назад +8

    Yaan baada ya kufanya mambo ya maendeleo mnadili na Midori tupeni faida ya iyo lobot😢😢

    • @user-fr8rc5vc4v
      @user-fr8rc5vc4v 20 дней назад

      Litakuwa linafanya operation eti mloganzila😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 20 дней назад

      ​@@user-fr8rc5vc4vwewe acha utani bac😢😢😢😢😢😢

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 20 дней назад

      U​@@user-fr8rc5vc4vhuu upuuzi mtupu hii ni kucheza pesa

  • @elviratrasias7726
    @elviratrasias7726 11 дней назад

    Iyo ela ya kuwasaidia watu wasiojiweza kwenye nchi yetu mnatengenezea ujinga kweli msemo huu watu wangu wanahangamia kwakusosa mahalifa ndoivo

  • @user-si2xj7cf5n
    @user-si2xj7cf5n 18 дней назад +1

    Jaman jaman inaniuma Sana, Vijana tunahangaika mtaani hatuna Ajira, halafu kazi ambayo tungefanya sisi wanapewa Robots! How comes? Kuna maana gani ya kusoma ICT ikiwa Kuna Robot wa kufanya kazi hiyo! Mbona inauma Sana jaman Watanzania?
    Tanzania Ina Watu weng na Wenye Elimu ya kuendesha kazi au mifumo mbalimbali bila kutumia Robots, Nchi za Ulaya Zina watu wachache that's why wanatumia Robots as an alternative way..... Kwa Hali hii ya Robots Hakuna haja ya kuendelea Kuongeza Wasomi wa kada mbalimbali, Tuwe na Wasomi wachache tuu kuliko kuwa na Wasomi Maelfu wanaohangaika mtaani😢😢 Eee Mwenyezi Mungu tusaidie kwa hili🙏🙏, tunakoelekea ni kubaya Sana tena Sana! 😢😢😢
    #Nchi yangu Tanzania!

  • @leejems142
    @leejems142 20 дней назад +3

    Vijana mtaan hatun kaz mnafany mamb yas na maan mnazib rizk za wat mungeniwek mm je ap ingekuaj

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd 20 дней назад

      Yaan dunia ndio inaenda huko wewe kama huna kazi pambana

  • @BrunoNjonjo
    @BrunoNjonjo 20 дней назад +3

    hilo dude sh ngapi

  • @officialyoungxure
    @officialyoungxure 18 дней назад

    Hii nchi usenge ndio mwingi yan majitu mazima tumeyapigia kura yanashindwa kupeleka maebdeleo kwenye majimbo yao yamekaalia usenge tu

  • @AnithaMambo
    @AnithaMambo 4 дня назад

    Jaman naomben m niambie kz ya hyu roboti maana na ushamba wangu sielewi kabisaaaa anachokifanya hapo

  • @jazilambaji2789
    @jazilambaji2789 20 дней назад +4

    Limeukizwa how are u?nalo linasema habar ya asubuh mheshimiwa mbunge,,upuuz mtupu lime karirishwa kwenye hizo spika

  • @hadharaally6523
    @hadharaally6523 20 дней назад +6

    Huu ni mtihan sasa ajira zinaenda Kwa masanamu sasa wakat majumba wasomi wamejaa tele hawana ajira jee kwenye nafasi hii wange waajiri watanazania hata mm naitaka nikaribishe watu na kuwapa mikon ili mwisho wa mwezi nipate chochote 😢😢😢

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 20 дней назад

      Kumbe we ushaelewa kama mm.Tunaanza kuzoeshwa mapema.Badae ajira zote zitafanywa na maroboti

    • @pulikisia7963
      @pulikisia7963 20 дней назад

      Duh!! Ndio unanifungua macho yani Dah!!

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 20 дней назад

      @@pulikisia7963 Huko tunakoenda ni kubaya zaidi.Mungu atusaidie Watanzania 😪

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 20 дней назад

      Vijana ajira hakuna mnaleta upumbavu huyo kasha beba ajira ya mtu😢😢😢

  • @MaheHema-cr9px
    @MaheHema-cr9px 8 дней назад

    Changamkeni ×4wakristo na wananchi maana taifa laenda kuanguka maana maovu yetu yamefika mavhoni pa mungu,tuwaomnee wasimamizi wetu rehema maana hatujui wanakotupeleka,mungu turehemu,tusaidie

  • @eliudezekiel8615
    @eliudezekiel8615 20 дней назад +7

    Mnacha mambo ya msingi mnatumalizia Kodi zetu kwenye ujingaaa

  • @user-cv4jb1bm6i
    @user-cv4jb1bm6i 20 дней назад +6

    Yaaaani ina faida gani sasa me sijaelewa na haijavutia

    • @nkelyasahani5090
      @nkelyasahani5090 20 дней назад

      😊😊8i😊😊😊😊😊😊😊😊❤❤❤

  • @BarakaGaspary
    @BarakaGaspary 5 дней назад

    Mwana siasa natajili ningumu Sana kuona ufalume wamungu

  • @shebyabdallah5854
    @shebyabdallah5854 17 дней назад

    Siyo kila kiongoz ana jitambua wengine wa ovyo ebu fikirieni watu maskini Leo munachukua Kodi kwa nguvu

  • @AbuuThabiti
    @AbuuThabiti 20 дней назад +4

    Kuanzia leo nimewashusha daraja mnazingua mnatumia vibaya kodi zawatanzania

  • @HassanMshaur
    @HassanMshaur 12 дней назад

    Tanzania tumefika kwenye Hali mbaya hizi pesa zilizotumika hapo Lau Kama wangepelekewa wahitajia Kuna watu wanalia njaa alafu unafanyika huu upuuzi. Dah. 😢😢😢

  • @user-nl8ec4np1t
    @user-nl8ec4np1t 20 дней назад +1

    Daah ndio useme nipige kura mimi😂😂

  • @alikassim9302
    @alikassim9302 13 дней назад

    Hii sio kweli tuache kupitoshana,, Limesetiwa Kuna watu wanaongea kupitia mfumo maalum mfano km wa cmu

  • @user-be4ob6nw4l
    @user-be4ob6nw4l 12 дней назад

    Hahahhahha haki ya mungu tanzania sihami mimi naipenda nchiii yangu ❤❤❤❤

  • @directorabiero340
    @directorabiero340 16 дней назад

    Mungu tuhurumie

  • @user-ol6pp1mo6q
    @user-ol6pp1mo6q 14 дней назад

    Kama kweli wao wanaweza waliwekee pumzi liheme ,mana limekakamaa tuuu alihemi wala halijambi acheni mungu aitwe mungu na hamuwrzu kushindana na mungu ata mbong,oe ayo matako yenu mtembee uchi lakini bado hamtaeza

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777 17 дней назад

    Hivi lkn Kwa nini apewe Jina la mtu Yunis😔😔 Binafsi sijapenda😔

  • @glorynyarandu-ln8rc
    @glorynyarandu-ln8rc 15 дней назад

    Mungu atuhurumie sana mpendwa huku tunakoelekea siko salama kabisa

  • @KasangaKalanga-vo6od
    @KasangaKalanga-vo6od 19 дней назад

    Serikali yetu bwana! Mnahangaika na vitu visivyo na maana wakati wananchi wanateseka

  • @user-gz2sr2xf9w
    @user-gz2sr2xf9w 19 дней назад +1

    Upuuzi mtupu 😢yaani akili zao ziko ovyo kabsa kama wehu

  • @gracejulius6913
    @gracejulius6913 15 дней назад

    Ilaa hii nchi ngumu sana dahh... watu wazima na akili zote wanapoteza muda kwauyo mdoli

  • @samwelikastuli9890
    @samwelikastuli9890 14 дней назад

    Haki ya Mungu hii nchi yetu sijui wapi inaelekea yaan mnaacha kufanya mambo ya msingi mnatu tengenezea hichi kitu hakina manufaa jamen kweli?????

  • @noninmaduhu3476
    @noninmaduhu3476 20 дней назад +2

    Ila hawa wabunge wanatuona wananchi ni mazwazwa haswaaa eee

  • @barnabaslushenshe523
    @barnabaslushenshe523 7 дней назад

    Nchi hii ndo unaweza kuona kuigq kunya kwa tembo. Kagame apewe nchi hii tukombolewe

  • @RosemaryHamisy
    @RosemaryHamisy 4 дня назад

    Wabunge wetu ndo Hawa,,sujui ni nanii alitoa wazo hiloo jaman

  • @DicksonEdson
    @DicksonEdson 20 дней назад +2

    Mambo ya kitoto sana

  • @gracemacha9357
    @gracemacha9357 18 дней назад

    Hizi pesa mngezipeleka Mahosptalini kutibu Watoto bure ila Mungu anaona

  • @agnesssongay9942
    @agnesssongay9942 18 дней назад

    Kwahiyo ni hamtaki kuajiri watu ama??Mungu aturehemu jaman na ndo mnategemea kutuomba kura!!!!???😕😕

  • @sifuelinyaki3341
    @sifuelinyaki3341 15 дней назад

    Yani nimeshangaa sana jinsi wabunge wetu mnavyoshangaa roboti haki nimeumia sana kama mwananchi wa kawaida kbs yani😔😢 .. mnapiga na makofi kbs sijui tunajenga taifa la namna gani yani... tafadhali sna liondolewe hapo..

  • @onlyyoujesus8232
    @onlyyoujesus8232 14 дней назад

    Hamna la maana hapa. Matumizi mabaya ya muda na pesa za mlipa kodi

  • @user-ux3jl9cl4w
    @user-ux3jl9cl4w 18 дней назад

    Kweri saiv binadamu asilimia 75 atupo sawa kiakili

  • @YavanMussa
    @YavanMussa 18 дней назад

    Nimegundua huyu roboti ukitikisika tu yeye anakupa mkono😂😂😂❤❤❤

  • @mercynina6288
    @mercynina6288 17 дней назад

    Wazazi wasomeshe vijana waende majuu kufanya kazi alaf wao wapewe robot. Mungu atukumbuke

  • @mohdkhamis5687
    @mohdkhamis5687 20 дней назад +1

    Furaha hiyo Angali¹1pewa Aliye Umba Ulimwengu Na Kila Kichomo Ndaniyake Engalikuwa Raha Sana Jamanini

  • @sultankivumbi9255
    @sultankivumbi9255 14 дней назад

    Huyo roboti au sanamu la kinyago champunga

  • @LouisianaRiri
    @LouisianaRiri 15 дней назад +1

    Kubababakee iyo ni Copy tu/ iyo robot ya mchongo inachua kingereza tu: inatumia Uwezo wa Google yani apo walichofanya ni kuiwekea Bando tu hamna mtaalam

  • @user-kl6zb6so3i
    @user-kl6zb6so3i 18 дней назад

    Mungu naomba niwe na mwisho mwema jaman yaliyo tabiliwa yanatimia.

  • @user-bi5wr9dv3w
    @user-bi5wr9dv3w 20 дней назад

    Millard Ayo,,,Nitafurahi Sana ukizionesha hizi Comment kwa Baadhi ya mitandao.🤣🤣🤣

  • @yonaemanuel
    @yonaemanuel 18 дней назад

    Sisemi kitu zaidi ya kwamba, huyo robot ilikuwa bado sana kufikia hatua ya kupelekwa bungeni.

  • @user-xq9dh7hi1x
    @user-xq9dh7hi1x 20 дней назад

    Teknolojia bila ubunifu haiwezekan ndugu zangu

  • @NoelKwayu-lz1or
    @NoelKwayu-lz1or 20 дней назад +1

    Kwa Tanzania huyu lazima awe mwizi

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah 20 дней назад

    Wabunge tunawasubiria majimboni mtafurahi kama mlivyo leo 😂😂😂😂😂😂😂

  • @bodyaman
    @bodyaman 20 дней назад

    Mwanzo mzuri ,.
    Ila wenzetu wako mbali

  • @user-wu9cv5ff3m
    @user-wu9cv5ff3m 20 дней назад

    Yaan Tz bna tunapenda sana kushabikia vitu vya kipuuzi😂😂😂

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 18 дней назад +1

    Aweeeee

  • @Ayoubuofficial
    @Ayoubuofficial 12 дней назад

    Hiv hilo bunge au kikundi cha wahun