ROBOTI KUBWA LILIVYOMPELEKEA RAIS SAMIA KIFURUSHI CHA 5G
HTML-код
- Опубликовано: 9 авг 2023
- ROBOTI LILIVYOMPELEKEA RAIS SAMIA KIFURUSHI CHA 5G
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Pole pole maisha yakwenye film yanaanza kutokea binadamu anajifukuza mwenyewe ndio imeanza ss watazidi kuyabolesha mpk yawe na uwezo zaidi ya binadamu
Hii Dunia yakustajabisha hapo itafikia watuwataondolewa kwenye Imani yakweli Na kuanza kutumikia masanamu Allah atunusulu
ndio maviongozi yakiislam ya kiafrica yalivo yamejaa ushetan tu sasa hapo watoto wataanza kuwamin masanam nasio Mungu
Acheni ushamba aise
@@aishaalbalushaishabalush8291unaijua vizuri Dubai wewe, huko ndo kuna marobot ya kila aina, acha ushamba
Unasumbuliwa na ushikirina akili mwako. Tatizo jingine tembea kidogo nje ya nchi uone Dunia. Kuna Mambo zaidi ya hayo.
@@hamedhabsi2752 huko unaposema kunamambo zaid ya hayo hakuna raiya anaelala njaa rabda apende mweyewe kutokula sasa tanzania robot la nini wakat wanainchi hawana hata ajira wanao ajiriwa watoto na family za viongozi mnapenda kufananisha mavitu bila kufananisha serkal inawasidia kiasi gani wanainchi woote wasio na ajira ? unadhani hatutatembei hadi tuone nijambo jema kwa tanzania ? kwanza unapopataja wanainchi wao wanalishwa na serkal zao ndio maana hata kazi wavivu kufanya sasa tanzania upeleke robot lakutumia mabillion ya pesa wakat watanzania wananguvu ya kazi zile anazozifanya robot tena wao wanafanya kwa mshahara mdogo tu huo ni ujinga ulipitiliza maji shida umeme mgao hayo mabillion waliolinunua hilo robot si wangeongeza miundo mbinu mnaajiri robot wakat wanainchi wanadhiki na shida ya kazi yoyote iwe ngumu au nyepesi tena kwa mshahara mdogo kwa mwezi nasio mabillion kwa wek tumia akili nasio matako
Siku za mwisho maarifa ya mwanadamu yataongezeka sanaa
Nakukubali usemi wako
Imetisha inchi yetu Tanzania mungu ailinde
Asante Sana Media ya wasafi Tanzania.tuko nyuma yenu.
Mungu atunusulu nahizi laanaa ushetani umeanza kuzidi hizo zote ninembo za shetwani
Allah akulinde
Hongereni sana wabunifu🎉🎉🎉🎉🎉
Kweli ni neema au jaman eeeeemwenyez Mungu tunusuru kwa kweli
Khaaaaa😢😢😢😢 ndio tumefikia huku kweli Ee Mungu tuteteee acha mafuriko yaje tu R.I.P MY PRESIDENT JPM nitakukumbuka kila siku ungekuwepo usingekubali hili dude lije
😂😂😂nacheka kama mazur Yan mtihan
Nacheka sana! Nchi imekuwa ya vituko kila cku! Rip JPm!
Ukamufufue
@@maulidipingika4452mpo WENGI sana hata sikushangai wewe ukiwa mmojawàpo wanaofurahia haya màmbo yanayoendéléa na kúibuka kila síku nchiñi
SAS magufuli angefanyaj looh
Huna maana ww kwahyo huu ni ujinga angefanya magufuli ndo lingekuwa la maana?
Mjinga ww muua watu ndo unamkumbuka
Mungu yupo pamoja nasi wapenzi wa Mungu
Eeeee mungu naomba utusaidie😢😢😢
Mungu tusaidie tunaangamia ngoja siku awatoe meno mtakaa sawa
mungu tusaidie uyuraisi anatutisha tanzania atunavita lakini tumeletewa roboti sijuilanini jaman
Astaqafullah, mwenyez mungu atulinde na vizaz vyetu hii ni hatari vinaanza hivi hivi
Mungu ni mungu tu...
Mungu simama mwenyewe.
Jamani kweli Dubai imeipania Tanzania
Kabisa
Kuifilisi 😂
Mungu akulinde una baya mama
Wateule kuweni macho huyo ni picha ya lusifer mambo ndo yanaanza kama kiongozi anaenenda hivi tumekwisha Mungu atusaidie
Dah! Hii sio nzuri jamani tunapotea
Hongera Dr Samia Rais wa Jamuhuri ya Muungano pamoja na Dr Jakaya Kikwete Rais Mstaafu.
Wazazi wako
Kwa lipi? Kwa ajili ya robotic. Ingekuwa vizuri kama hali ya maisha ingekuwa nzuri.
Sijapenda maroboti
Mhe. Rais hongera Sana kwa hatua kubwa na maendeleo ya Hali ya juu, Mungu akulinde .
Utakapokosa ajira mpongeze tena
Wangapi mlio ona moto kwa hio roboti to alama ya freemason??????? Kama umeona nipe like tujuane
Mashaallah mama yetu
Akulinde allah raisi wetu
Kazi nzuri tupunguze gharama za bando wakulima tuongeze Kasi ya kujifunza kilimo tija ili tuongeze uzalishaji Bado Mabwana shamba na Mabibi shamba ni wachache sana
Yann yote hayo mtakuja kuleta majini na mashetani wa vichwa saba😢😢😢ni huzuni kwa kweli
2:00 tuanchukulia poa lakin hii si gud, mbona ana mapembe mbona jekundu kuna ibada hapo mnaabudishwa kama nebukadneza 😮😮😮
halafu pia ana mapembe
Mmh inauma sana kwa sisi watanzania
Na wengine Bado kazi hatuna
Mama upo makini wewe kiongozi ikulu yako miaka 100%nimependa uongozi wako sanaa mama
Mh jamani hiki ni nini Ina maana sisi watu hatuna maana Hadi tuwe na robot Tena mbele ya rais wetu mungu tunusulu na hili
Pia watanzania tutateseka sana kazi tutakosa kweli awafanyi aki
Daaah anatisha ningekutana nae ningekimbia wallah
Duuu mungu tusaidie wenyew wamefanya kitu Cha maana kabisa ila mungu tusaidie
Noma Sana
Hongera Teknoloji
Hali ya uchumi ni mbaya,pesa zimekwenda kununua robot,MUNGU atusaidie sana kwa kweli Tanzania inakoelekea.MUNGU aingilie kati!!!!!
Viva raisi Samia SAAAFI Sana kwakweli
Mungu wangu tusaidie waja wako.
😂
wanapongezana mara sita sita 🤣🤣🤣
@@whatisthetruth.8793😂😂😂😂😂
Mnaojipanga kusoma kwajili ya kuingia bandalini mmeona hayo tafuteni kazi nyingine kbs
nchi inamambo hii,Lugha ya picha Asante sana mweshimiwa Rais
Safi kabisa
Kodi za waTanzania matumizi yake yamefikia hapa.Mungu tuhurumie
Da Mungu simama mwenyewe maana tunakwenda ni mbaya sana tunaanza kuyaabudu marobot
That's technology
KWANI UMELIKUTA KANISANI AU MSIKITINI UMEAMBIWA ULISUJUDIE??? WACHA USHAMBA
Moja ya lugha zinazonichefua ni neno duniani. Kwamba tumezoea kuyaona huko duniani Sasa yamekuja Tanzania. Kwa hiyo sisi tuko sayari Gani.
Hata mm aisee
I think we need to thanks thats improvement of technology
@@rehemakambona8479hakuna improvement yoyte apo ni ya kununua kwa watu iyo
Mnatuona wa Tanzania nimaboya
Kwa hio hizo hela za bandar mmnunua robot kwer hii nchi inaliwa😢
😂😂😂😂😂
Mungu🤔
Jamani hii ndio ndoto za tz mungu tu saidie
Hongera mama
Hvo ndivyo wagonjwa watauliwa wth that microchip robot😂😂😂😂
TUMEPIGWA NA KITU KIZITO HATUNA ROBOTI HAPO AYO NI MAVAZI TU😂😂😂
Kuandaa maigizo haya utaambiwa matrion ya pesa
🤣🤣🤣
Roboti alikuwepo wakati wa mwendazake og😅😅😅
😂😂amin
Jaman mnapigia makofi robot mnarudi nyuma kushirikiana na masanamu zama izi teknolojia isiwapeleke kubaya tukasahau utukufu wa Allah na qudra zake
KULITENGENEZA HILO PIA NI ELIMU KUTOKA KWA ALLAH.
Roboti anaweza hata kusetiwa kutega bomu au kutegua lkn pia kufika sehemu hatarishi bila kupeleka binadamu kuepusha majanga pia kutuma taarifa za adui mengineyo jiongeze hiyo ni hatua kubwa saana ndg
Mnashukuriana tu ahsant msitafu ahsante mhe: rais duh aya nch ya kwenu hii huu ndio wakatiwenu
Nafuatilia kutoka Kenya... Kazi nzuri pale 😅😅😅😅😅🎉
7:38
That horrogram is amazing
Haya maroboti yanafaa kulima Sana sio kuaa ofsin kuziba riziki za vijana chunguzen Hilo tutalewa na vitu vingene sio litakuja liwageuke mh me simo 🙄🙄
Mnatumua robot ili watanzania wakose kazi Kuna very intelligent girls good in mathematics and physics wangefanya hiyo kazi! Mnatumua robot! Tanzania bado kwenye kufikiri
😮 kwakweli namimi nimejiuliza ,itakuaje??
tunaelekea 7g na tz still launching this +254 #kengele
Sijaelewa jamani likitu la nini sasa hilo,jamani makubwa sijajuwa lqbda ushqmba au makubwa
Mmmmh!!!! Kazi tunayo
😢hatakama technology inakiwa kwa kuliona hilo zimwi😂akini tukumbuke linaweza tumika hata kwenye kivuruga aman 😢namuombea sana Samia ushinde vikwazo kama binadamu🎉🎉
Mambo
Wbi
Congratulapp
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mungu wangu
Hivo ndo mfano wa uongozi wakati pia Diamond Platnumz ameheshimiwa kuepo...👍👏🦁
Noma
Mbona sijamwona ali kiba au bado anaangaika na simba day?
Daimon anaweza hata kukuoa wew
@@IdarousPossypunguza makasiliko😂😂😂
@@leahzuu6468 mbona unajichekesha.....naona Akili yako ndio imefikia mwisho wakufikiri....
Mungu ndo anajua rest in peace anko magu
NA WEWE KUFA U REST IN PEACE MAGU NCHI SIO YAKE PEKE YAKE.
Kenya mko wapi
Bas sawaaa.mmeshaamua mim ni nan had niwapinge
Mama Samia mungu akupe afya njema amini
Kwa jambo gani kwa sababu ya kuleta robot kweli watz Akili finyuuu
Nice
My beautiful president
Mzee Kikwete na mama Samia Allah awape miaka mingi ya maisha mema kwa hakika nawapenda sana Sina la kuwalipa kwa wema wenu
Kwa lipi apo kwa kumleta robot sio kweli watz Akili zetu ni finyuuu kama puru
MUNGU atusaidie kwa kweli. Dah...
Natamani kusikia kauli za watumishi wa mungu hili jambo co nzuri
Kabisa kabisa
Jamani acheni tunashindwa wakati mwingine hata kula tumalala njaa ukigeuka kila Kona unadaiwa Kodi nakazi yake ndo hii jamani tupunguze kidogo kupiga mwingi tuupige kwa kiasi
Super
Usanii mwingi kuliko kazi haya bwana kazi iendeleeeee
Hii ni very risk sio vizuri kumruhusu Rais kuwa jirani na haya mavitu
Hawajui kuwa ni hatariiiii!!!!atalipuliwa!!!ohoooo!!
Tahadhari koz watu wanaweza kutumia humo2 kumdhuru raisi.
Hii hatariii
Huu ni mwisho wa dunia mbona tuna muasi mungu sio neema kufuruuu
Linalala wapi
R,I,P JPM tumekumic
Tutaona vituko zaidi lini utaenda kukagua miradi?? Roboti linatusaidia n8ni
Hongera kwa maendeleo makubwa lakini madizaina sijapenda robot lina pembe juu Ishara ya devil worshipers. Tunafurahia maendeleo madizaina wabadilishe kwenye hizo pembe kwenye kofia.
Uyo roboti kaisha jianda kwa vita tayari na linamapembe jamani jamani tengenezeni njia zenu au tungengeneze njia zetu jamani tusichukulie masihara mambo yanako elekea ni magumu na kinachofata ni amri tu tujitakase tusome neno sana tutubu tuache dhambi tujiweke tayari mpango wa mpinga kirsto unaanza
Hongera sana Raisn
Kwani hii midude ya nini sasa mama samia 😭
Waoo
Mungu ampe amani ya moyo uyu mama yetu mana kuiongoza nchi si kitu rahisi lakini yeye kathubutu..📌✍️🙏
Kwa jambo gani la maaan, kweli watz akili finyuu kabx
Jitu lenyw linatisha HV af linawaka moto duh! Rip doctor john pombe magufuli ungekuwepo hy mambo yasingetokea
BWANA YESU KRISTO hii linaonekana jambo jema lkn nimaandalizi ya ujio wa mpinga kristo jamani YESU ANATUPENDA HEBU TUMPOKEE NAWASIHI NDUGU ZANGU BARIKIWENI
Ugonjwa wa akili
sasa.ii.pesa mliyonunuwa.uu.uchafu sibora mki jenga shule.visima vijijini.nakupeleka misaada yachakula.kwenye kambiza.wakimbizi.tuna mkumbuka John.pombe maguful.atutakuja jupata laisi.kama yeye mungu amuweke maalipema peponi
Mamà samia alitaka kulia ❤❤❤
national anthem
Nimependa walinzi wa Mama walivyokua wanamuangalia Mzee Robotii
Hamna kitu mjomba hapo sio kweli yasingetukuta mkono wa pistoni kuingia kwenye gia box
Robot lenyewe la hovyo bong bado sana
Mama samia ni comedie wakutosha😂😂
Mm royo tua tuu 😮
Hii nchi inakoekekea itakuwa ni dangerous aiseee tunapoelekea