Maisha Ya Ulaya - Amia Ulaya Kama Mwanafunzi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Hi guys, Video hii inaonyesha procedure ambayo unaweza kuchukua kuja ulaya kama mwanafunzi. Nimetaja Vitu ambavyo unaitaji kuvipeleka ubalozini. So kama unandoto ya kuja huku make sure unatafuta shule unayoipenda na unaapply. Hii procedure ni kwa wale wanaopenda kuja Ubelgiji kusoma. Kama unaswali - tuma swali lako kwenye email yangu ulayalive@gmail.com #eastafrica #tanzania #ulaya #kenya #diamondplatnumz #zuchu #zuchu #kiswahilirahisi #burundi #daressalaam

Комментарии • 26

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz 3 месяца назад +1

    Noma sana❤ #tellaaxistz

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад

      Asante sana please subscribe to my channel nisupport nashukuru

  • @madamajohn3615
    @madamajohn3615 3 месяца назад

    Nakubari kabisa dadaangu

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад

      Asante nisupport kwa kusubscribe

  • @MaryMatereadvicer011
    @MaryMatereadvicer011 3 месяца назад +1

    Wow wonderful ❤

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d 3 месяца назад +1

    Ahsante sana Dada unatusaidiaje ss tunaotaka kaz huko

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад

      Asante sana wiki ijayo ntapost video ya kazi- nisupport kwa kusubscribe asante

    • @user-rl5qu4zj9b
      @user-rl5qu4zj9b 3 месяца назад

      Dada umeniambia nikutafute kwenye emil nimekutafuta ila sikupati naitaji kuongea nawewe mpendwa

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад

      @@user-rl5qu4zj9b hallo nitumie message na swali lako ntakujibu

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 3 месяца назад

      ​@@MaishaYaUlaya
      Hongera sana , content muhimu sana kwa Swahili speakers countries ,
      Endelea kutupa taarifa hizi muhimu .

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 3 месяца назад +1

      ​@@MaishaYaUlaya
      Naomba kufahamu masomo ya Chuo kikuu yanafundishwa Kwa Lugha gani. ??

  • @bezoslatest
    @bezoslatest 3 месяца назад

    Can u speak about their favorite food?

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад

      Asante ntatoa video ya vyakula pia

  • @aidaanatory9330
    @aidaanatory9330 3 месяца назад

    Ahsante

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад

      Your welcome, please support my channel subscribe asante sana

  • @ghaosalsalum
    @ghaosalsalum 3 месяца назад +1

    Iyo heath insurance unaipataje yaani kama wanakupa card au vipi?

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад

      Kuna health insurance kampuni online unaweza kujiaandikisha au ukija huku pia unaweza kupata

  • @AnnaUrio-mu6jv
    @AnnaUrio-mu6jv 3 месяца назад +1

    Mm nimemlz high school

  • @user-pq4ul5us2m
    @user-pq4ul5us2m 3 месяца назад +1

    Dada mimi nataka kazi hauko

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад +1

      Wiki inayokuja ntapost kuhusu kazi- nisupport kwa kusubscribe asante sana

  • @AgathaMpemba
    @AgathaMpemba 3 месяца назад

    Sisikii chochote, sauti hakuna??