Taratibu Rahisi Za Kuja Ulaya
HTML-код
- Опубликовано: 18 май 2024
- Hi guys, Nimeaanza kupost video ambazo zinaeleza njia tofauti ambazo wewe na familia yako mnaweza kutumia kuja Ulaya. Kama una ndoto ya kuja ulaya usikose videos ambazo nitaposti kwa details njia tofauti za kuja ulaya. Kama we ni mwanafunzi au unatakuja kama mkimbizi make sure unasubscribe ili usikose. Mimi sio immigration officer, maoni nayotoa ni kupitia kazi niliyoifanya ya kuwaandikisha wakimbizi na pia kupitia information nazopata kwenye internet. #tanzania #ulaya #diamondplatnumz #kenya #diamondplatnumz #eastafrica #mkimbizi #uganda #burundi #rwandatoday
Nakupenda sana mdogowangu mimi naitwa Martha Edward mafuko umri wangu mika 46 kwasasa naishi south Africa nina ndoto ya kuja huko kuishi nipo kozi mdogo ndogo najinza pelese nikiwa tayari kifedha nitakutafuta dada mzuri mzuri maana unambo mazuri je? Kuna malipo yoyote unavyo tusaidia kwa hayo malekezo
Asante sana kwa meseji- yes nitumie meseji ukiwatayari - sichukui malipo-
Beatifu video
Ubarikiwe wew dada🎉
I appreciate you
Asante sana please hit subscribe and support me
Asante kutoka kenya
Subscribe nisupport asante
Nice
Subscribe nisupport asante
Nmependa presentation yako dada
Asante sana please nisupport kwa subscribe channel yangu ikue
@@MaishaYaUlaya tayari piaah ww uko ulaya nchi gani
Mimi nimeioenda sana ii ila naomba kuuliza ukiwa mkimbizi unaluusiwa kuchukua familia yako
Ndio unaruhusiwa kuwaleta so ukijiaandikisha mkimbizi ukishafika huku waambie wazungu unafamiliaq
Nimekuelewa dada
Haya bos lete micharazo
Hi your new fun from Kenya
Asante kwa kunisupport
Naomba number sababu natamani kurelocate as asylum seeker.
Ni Michezo sio Michenzo.
Rafiki naomba unitafutie kazi isiyokuwa na Elimu napenda kufanya kazi restaurant na usafi.
Ntatoa video na list ya kazi ambazo wanatafuta watu- subscribe channel yangu usiikose
Naomba kujua zaidi nilijaribu bt sikupata visa
Nitumie story yako katika e-mail yangu ili nijaribu kujusaidia ulayalive@gmail.com
@@MaishaYaUlaya nilikua na mtu alinipa barua ya mwaliko bt nilipofika Nairobi nikaeda na kila kitu hawakunipa visa ungenipa number yako nigekutumi
@@MhadjiAli-pv6tr Kama aliyekualika yupo huku ulaya-alitakiwa aulize visa c huku- huku wakikubali ndo unaenda ubalozini na passport yako unaenda kuchukua visa- akikutumia mwaliko tu haitoshi-
Ukimbizi sio tatizo, je unakujaje uko? Ni documents zipi utazitumia kuingia uko kuomba ukimbizi, unapita njia gani.?
Ntatoa video na maelezo subscribe usikose
Mimi naishi Tanzania hakuna ukimbizi nafanyaje kujahuko naomba unisaidie
Ntatoa video kuhusu ukimbizi soon
Naweza kuja na visiting visa kisha nitafte kazi
Ndio inawezekana
Mimi ni driver dada naomba unisaidie nipate kazi nje ya nchi please
Angalia video yangu niliyoposti weekend iliyopita- nimeweka list ya kampuni inayotafuta madereva
Vp Instagram unatumia jina gan nataka niku DM maana nataka kukuhuliza vitu baadhi
Ulayalive@gmail.com Nitumie message -usisahau kunisupport subscribe asante
Mbona ni mziki tu?
Sijakuelewa
Yan punguza iyo mziki 😂
Kuomba makaz unafanya nini mbona hujaelezea unafanya nini
Wiki inayokuja ntapost video ya kazi - please nisupport kwa kusubscribe asante
@@MaishaYaUlaya dada namba yako kwa maswali zaidi
@@rebeccajaphet6032 ulayalive@gmail.com
Dada nataka namba yako
Ulayalive@gmail.com nitumie ujumbe hapa
Naba unitafutie kazi za ndani uko UBelGIjI
Nimetoa video ya kazi ya ndani Kama au pair- video nyingine this weekend
Mawasilino ya WhatsApp
Nice
Hi
@@silviaamos-pl5lk hi