Maswali na Majibu - Maisha ya Ughaibuni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.lo...
    DONATE TO EBM SCHOLARS
    1. PayPal www.paypal.com...
    2. CASH APP cash.app/$EBMS...

Комментарии • 19

  • @ShabanMhina-k1m
    @ShabanMhina-k1m 3 месяца назад

    Inspired, nice

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 3 месяца назад +1

    Ila Kuna mfanyakazi wako mmoja aisee yuko so sweet anastahiki pongezi,anajuwa hasa mambo ya customer Care mana ana maneno matamu kama asali

  • @lijonjo
    @lijonjo 3 месяца назад +3

    EBM nilikuandikia kwa E-mail yako juu ya shida yangu zaidi ya mara 3.

  • @lijonjo
    @lijonjo 3 месяца назад +2

    Habari. Nimesoma certificate ya Information Technology, nahitaji kusoma Diploma ya Information Technology. Naomba msaada wako.
    Niwe na Documents gani?
    Ada bei rahisi ni kiasi gani?
    Hostel za bei rahisi sana ni bei gani?

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 3 месяца назад +1

    Habari yako mkuu,Nakupata nikiwa maeneo ya Gulf country ya Bahrain

  • @MohammedMohammed-iz4ux
    @MohammedMohammed-iz4ux 3 месяца назад

    Kiongozi natuma email haziji najaribu ku download app yako siipati sijuwi shida nn

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 3 месяца назад

    Huko Toronto hakuja kushinda Arabic country,yaani huku ni nomaaaaaa,yaani sasahivi ndio kipindi Cha Summer kwakweli tunaipatapata

  • @themaestro-24
    @themaestro-24 3 месяца назад

    Watu wako wa Dar uwa hawapokei simu.😢😢😢😢

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 3 месяца назад

    Hivi nikitaka kujiunga na live kama hizi nifanyeje?

  • @dottomarikatv780
    @dottomarikatv780 3 месяца назад

    Naweza kuja Marekani

  • @danfordgabriel8304
    @danfordgabriel8304 3 месяца назад

    Mr EBM kuna e mail nimekutumia, mda kidogo naomba uziangalie

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 3 месяца назад

    Kwa Zanzibar 🇹🇿 mutaanza lini? Nataka nikupe maagizo ya kwenda kuwapiga familia yangu,i will pay you

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 3 месяца назад +1

    Je kimfano umeingia marekani na ukapata demu mukakubaliana kufunga ndoa,na ukamueleza ukweli kuwa una mke mwengine Tanzania au kwenye nchi yako,ila yeye akarizika hivyohivyo je hapo inakuwaje km kwa upande wa serekali ya marekani?

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 3 месяца назад

    Kumbe ulikuwa unamwa mkuu,aise pole sana nilikuwa sijuwi

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  3 месяца назад +1

      Asante sana

    • @lijonjo
      @lijonjo 3 месяца назад

      @@EBMSWAHILI Nijibu kwa E-MAIL plz

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 3 месяца назад

    Sasahivi hapa Bahrain 🇧🇭 ni 33 cent greed

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 3 месяца назад

    Ah huyo hakosi maji ikikaa hapo

  • @Laizer3
    @Laizer3 3 месяца назад

    HUKU BONGO 😂NIDA TU WANATUZUNGUSHA MWAKA ALAFU MAREKANI DAKIK 10 UMESHAMALIZA JAMBO.