Habari. Nimesoma certificate ya Information Technology, nahitaji kusoma Diploma ya Information Technology. Naomba msaada wako. Niwe na Documents gani? Ada bei rahisi ni kiasi gani? Hostel za bei rahisi sana ni bei gani?
Je kimfano umeingia marekani na ukapata demu mukakubaliana kufunga ndoa,na ukamueleza ukweli kuwa una mke mwengine Tanzania au kwenye nchi yako,ila yeye akarizika hivyohivyo je hapo inakuwaje km kwa upande wa serekali ya marekani?
Inspired, nice
Ila Kuna mfanyakazi wako mmoja aisee yuko so sweet anastahiki pongezi,anajuwa hasa mambo ya customer Care mana ana maneno matamu kama asali
EBM nilikuandikia kwa E-mail yako juu ya shida yangu zaidi ya mara 3.
Habari. Nimesoma certificate ya Information Technology, nahitaji kusoma Diploma ya Information Technology. Naomba msaada wako.
Niwe na Documents gani?
Ada bei rahisi ni kiasi gani?
Hostel za bei rahisi sana ni bei gani?
Habari yako mkuu,Nakupata nikiwa maeneo ya Gulf country ya Bahrain
Kiongozi natuma email haziji najaribu ku download app yako siipati sijuwi shida nn
Huko Toronto hakuja kushinda Arabic country,yaani huku ni nomaaaaaa,yaani sasahivi ndio kipindi Cha Summer kwakweli tunaipatapata
Watu wako wa Dar uwa hawapokei simu.😢😢😢😢
Hivi nikitaka kujiunga na live kama hizi nifanyeje?
Naweza kuja Marekani
Mr EBM kuna e mail nimekutumia, mda kidogo naomba uziangalie
Kwa Zanzibar 🇹🇿 mutaanza lini? Nataka nikupe maagizo ya kwenda kuwapiga familia yangu,i will pay you
Je kimfano umeingia marekani na ukapata demu mukakubaliana kufunga ndoa,na ukamueleza ukweli kuwa una mke mwengine Tanzania au kwenye nchi yako,ila yeye akarizika hivyohivyo je hapo inakuwaje km kwa upande wa serekali ya marekani?
Kumbe ulikuwa unamwa mkuu,aise pole sana nilikuwa sijuwi
Asante sana
@@EBMSWAHILI Nijibu kwa E-MAIL plz
Sasahivi hapa Bahrain 🇧🇭 ni 33 cent greed
Ah huyo hakosi maji ikikaa hapo
HUKU BONGO 😂NIDA TU WANATUZUNGUSHA MWAKA ALAFU MAREKANI DAKIK 10 UMESHAMALIZA JAMBO.