Pole sana kaka. Mungu atakusimamia utarudi tena strong. Recently I got the US visa and am about to come to America with my family because of you, I will forever be grateful for you kaka. May God heal your child and give you peace of mind.
Pole sana kaka mwenyezi mungu akuvushe kwenye mtihani ulionao Kiukweli mimi kwa upande wangu umenisaidia sana tena sana hadi nilipofikia una mchango mkubwa sana kwangu naamini utakua sawa inshaalah 🙏🏽
Pole sana mkuu yani inatakiwa upate muda wa kupumzika jitahidi na kujipenda mwenyewe mkuu unaweza kufanya kazi zaidi hizi ukaishia kuwa na magonjwa ya Depression & Hypertension kwa sababu hapo naona una changamoto za usingizi (Insomnia) na mwishowe unaweza kuleta madhara makubwa zaidi hata performance yako itashuka sana 😢😢
Ni kweli kabisa Ebm hayo unayosema chukua off na change ili uwe active na uwe na energy zaidi. Hilo la kuwa uko na stress kaka ni very badly bora sasa mapema umejua hilo na kuweza kuchukua hatua.
Bro pole na hongera kwa yote wewe ni shujaa wetu nadhani watu wawe na subira kipindi hiki na wewe ni mtu mzuri sana EBM, tafuta vitunguu vya kawaida tafuna kila siku viwili, utaanza kupata usingizi mpaka ushangae, mengine kuhusu Benedict naomba tuwasiliane kwa simu apate remedies ambazo zinapatikana huku na huko pia na atapona kabisa, uwe na amani
I feel you EBM we will never give up on you next year am gonna catch up with you again I will make sure ndugu zangu wanastuka nimefika Ughaibuni 😊Matatizo ni part ya maisha angalia kwanza familia fanya mazoezi saizi unaweza kuwa unatoa video za mazoezi tu kama burudani usijipe mzigo mingi sana kaka you deserve better 😊
It is well kaka. Thank you for everything that you have done to us. Esp Mimi. Take care of yourself and your family first. Sisi tupo tu. Nitakuombea Hakika. Mungu awatendee miujiza
Pole sana kwa changamoto mkuu. Unafanya kazi kubwa nzuri na Mungu anajua. Take time to rest bro so as to regain your Energy. Naamini ntaonana nawewe uso kwa uso September 26 Austin Texas. Stay strong kamanda
Kiongozi Mr Ernest utakuwa sawa tu biidhnillah kwa uwezo wa Allah just take brake,iyo issue ya pesa hata mm nafanya biashara napokea pesa all over the world washaniletea shida sana
Take a break kaka, pumzika mitandao mwezi 1, focus na familia na kumsupport Benedict, pia you need to take care of yourself. Mungu atakutetea, mtakuwa sawa WOTE. In the name of Jesus, mtegemeeni Mungu.
Pole sana kaka. Umefanya uamuzi mzuri wa kutake break. Nashauri utakapo resumu uanze taratibu na paying customers ukikaa sawa ndiyo uanze na kutoa free service
Kaka pole sana kwa mitihani unayopitia,Kwa sisi tulianza kutazama video zako tangu mwanzo tulihisi kuna kitu kina kufanya kuwa busy (Kwa sababu tuliona ile power yako ya ku post video imepungua) kumbe unapitia magumu, Mungu akufanyie wepesi
Sio rahisi kaka yangu pole watu ni wavivu unawapa intro wanataka uwajazie , uwafowaidie documents , uwapigie simu wakachukue visa😢 Tena Mimi nafanya bure tu ila watz Wengi wavivu wakenya ukimpa intro tu anazama chimbo Yaani anakupigia au kukutafuta ashafika eneo la tukio alafu bado support ya sisi watz ni ndogo sana pole nakuelewa unachopitia Mungu akusaidie upate njia ya kudeal nao Tena wala usituchoke
Mkuu, kama kuna social worker, human service, au mtaalamu katika huduma zakibinadamu wewe ni number moja. Naamini mimi na wengine wengi tunakuombea kaka yangu!!
Mi nauliza ulishawahi kusema kwamba unaweza kufika huko ukaamua kusoma, je kama mtu anataka kusoma huko may be alifel huku au hakusoma au amesoma lakin elimu yake huko haitambuliki ke anaweza kuanza vipi kusoma hukoo
MKUU EBM, Tunakushukuru kwa Jitihada zako za kuendelea kutupigania kwa hali na mali katika kuhakikisha tunapata fursa mbalimbali kutoka ughaibuni, naamini hichi unachokifanya kimeendelea kugusa jamii ya afrika hasa kwa ss wa Mashariki, nakuombea uzima mwingi ww na familia yako vile vile na hao wote wanatimu wote na kwa wanaosapoti hizi platforms na productions kwa ujumla kwa njia moja ama nyingine, naomba kwa wanaofanikiwa kufika huko tafadhali kuweni na Moyo kama wa huyu ndugu yetu EBM pazeni sauti katika masuala na fursa mbalimbali, vilevile na ss wana afrika mashariki tujifunze kupokea kwa moyo wa shukrani kile kinapotolewa na hawa ndugu na kama ikiwezekana basi tuwasapoti kwa hali na mali na kusambaza jumbe hizi kwa walio gizani, JAMANI UMOJA NI NGUVU, TUNAKUTAKIA LIKIZO NJEMA NA YENYE MAFANIKIO HADI WAKATI MWINGINE.
Pole sana sana kwa mtoto wetu Benedict. Migreines ni ugonjwa mbaya sana. Mungu amponye na awatie nguvu familia yote kwa mapito hayo. Hope utaondokana na tatizo la kukosa usingizi. Mungu akuepushe usizoeane na dawa za usingizi.
Kaka najua Mungu atakusaidia kaka na kingine ninaomba urete office nchini Burundi utakuwa umesaidia sana Kaka tunataka na nchi yetu utusaidie kaka niombi kaka
Pole sana kaka. Mungu atakusimamia utarudi tena strong. Recently I got the US visa and am about to come to America with my family because of you, I will forever be grateful for you kaka. May God heal your child and give you peace of mind.
Through dv?
Naomba unisaidie no ya kaka EBM
Pole sana kaka mwenyezi mungu akuvushe kwenye mtihani ulionao Kiukweli mimi kwa upande wangu umenisaidia sana tena sana hadi nilipofikia una mchango mkubwa sana kwangu naamini utakua sawa inshaalah 🙏🏽
Pole sana EBM, MUNGU ni mwaminifu atamponya BENEDICT na mamaBENEDICT in JESUS NAME
Watu kama wewe ni wachache sana.... Una moyo mzuri Mungu akubariki familia yako itakuwa na afya njema Amen.
Pole sana mkuu yani inatakiwa upate muda wa kupumzika jitahidi na kujipenda mwenyewe mkuu unaweza kufanya kazi zaidi hizi ukaishia kuwa na magonjwa ya Depression & Hypertension kwa sababu hapo naona una changamoto za usingizi (Insomnia) na mwishowe unaweza kuleta madhara makubwa zaidi hata performance yako itashuka sana 😢😢
Wishing you all the best!Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema amponye mtoto,
Umechukua uwamuzi mzuri kutake break, afya yako ni kitu muhimu sana.
You will be back strong EBM 😢
Very sad story. God blessings will be with you
Ni kweli kabisa Ebm hayo unayosema chukua off na change ili uwe active na uwe na energy zaidi.
Hilo la kuwa uko na stress kaka ni very badly bora sasa mapema umejua hilo na kuweza kuchukua hatua.
Bro pole na hongera kwa yote wewe ni shujaa wetu nadhani watu wawe na subira kipindi hiki na wewe ni mtu mzuri sana EBM, tafuta vitunguu vya kawaida tafuna kila siku viwili, utaanza kupata usingizi mpaka ushangae, mengine kuhusu Benedict naomba tuwasiliane kwa simu apate remedies ambazo zinapatikana huku na huko pia na atapona kabisa, uwe na amani
pole sana brother, utakuwa sawa kabisa hope kila mtu amekuelewa vizuri sana
Pole sana brother. Mungu amponye kijana.
Elimu unayotupa ni kubwa na nzuri sana. Ubarikiwe
I feel you EBM we will never give up on you next year am gonna catch up with you again I will make sure ndugu zangu wanastuka nimefika Ughaibuni 😊Matatizo ni part ya maisha angalia kwanza familia fanya mazoezi saizi unaweza kuwa unatoa video za mazoezi tu kama burudani usijipe mzigo mingi sana kaka you deserve better 😊
It is well kaka. Thank you for everything that you have done to us. Esp Mimi. Take care of yourself and your family first. Sisi tupo tu.
Nitakuombea Hakika. Mungu awatendee miujiza
Pole sana bro, hope u will recover, prayers pia kwa Benedikt, hopeful he will get healed fully.
Pole sana kwa changamoto mkuu. Unafanya kazi kubwa nzuri na Mungu anajua. Take time to rest bro so as to regain your Energy. Naamini ntaonana nawewe uso kwa uso September 26 Austin Texas. Stay strong kamanda
Pole kamanda. Chukua vacation/time-off, well deserved. Get good sleep, quality time with family, reflection on your well being and go ahead with EBM.
Pole sana Mr EBM kwa kazi kubwa unayoifanya na pia kwa kuuguliwa mtoto na mrs
Pole EBM for challenge s you are going through. We pray for your son's recovery. Pole.sana
Aiseee ni kweli.. kazi yako unahitaji uwe sawa kiakili... Pole bro
Pole Sanaa ndugu yetu Mungu amponye kijana wako na roho ya ugonjwa imuachie uishi na afanikiwe katika Masomo yake in Jesus Christ
May GOD give you strength. Psalm 46:1
God is our refuge and strength, a very present help in trouble.
Pole sana brother wewe ni wa pekee sana . Mungu atakusimamia.
Kiongozi Mr Ernest utakuwa sawa tu biidhnillah kwa uwezo wa Allah just take brake,iyo issue ya pesa hata mm nafanya biashara napokea pesa all over the world washaniletea shida sana
Pole sana kaka mungu amjalie mtoto apate nafuu na ww akutie nguvu ktk maisha yako
Stay strong my brother. God bless you and your family
Take a break kaka, pumzika mitandao mwezi 1, focus na familia na kumsupport Benedict, pia you need to take care of yourself. Mungu atakutetea, mtakuwa sawa WOTE. In the name of Jesus, mtegemeeni Mungu.
Pole sana kaka. Umefanya uamuzi mzuri wa kutake break. Nashauri utakapo resumu uanze taratibu na paying customers ukikaa sawa ndiyo uanze na kutoa free service
You are one in a million kaka EBM may God bless you abaduntly......May your daughter have a quick recovery kaka.
Pole sana Mungu akulinde akusimamie amponye mtoto Amina
Pôle Sana brother EBM kwa unayopitia tunakuombea Mungu Sana mrecover soon.
Nakuja inbox.
Pole sana kaka, Mungu akutie nguvu kwenye mattzo unayopitia
Burundi tunakupenda sana Kaka Be strong EBM
Pole kaka EBM, Mungu akutie nguvu na akamponye mtoto mzuri Benedict
Pole sana brother
Poleee sana uncle EBM hakuna biashara rahisi hapa duniani
Pole sana bro Mungu akutunze na familia yako ,pole kwa changamoto .
Kaka pole sana kwa mitihani unayopitia,Kwa sisi tulianza kutazama video zako tangu mwanzo tulihisi kuna kitu kina kufanya kuwa busy (Kwa sababu tuliona ile power yako ya ku post video imepungua) kumbe unapitia magumu,
Mungu akufanyie wepesi
First thing first is your family and you, were next we know you have a good heart
*Pole sana brother wangu ❤❤❤😮 Mungu atiye nguvu*
Pole sana EBM please take care of your health and your family
pole sana sana kweli inabidi upumzike saana haya mambo ya social media yapo tuu usiyaendkeze sana kifupi quit kidogo ujenge afya yako
Pole saana EBM kwa unachopitia Mungu akupe nguvu Mpya na Mungu amponye Benedict na urudi na Hali Mpya na Nguvu Mpya.
Pole Sana Kaka kwa Changamoto Ya kijana Mungu wetu ni mwema Utavuka tu na mtoto atakua sawa
Pole baba Mungu akufanyie wepesi
Pole sana kaka nakuombea kwa mungu amponye mtoto wako
Pole sana Makulilo
POLE SANA MR EBM MWENYEZI MUNGU AKUSHINDIE KATIKA CHANGAMOTO HIZO AMINA🤲🏾🤲🏾🙏🏾
Asant sana kaka kwa elim Yako mungu akubalik
Asant sana kaka kwa elim Yako mungu akubaliki
Sio rahisi kaka yangu pole watu ni wavivu unawapa intro wanataka uwajazie , uwafowaidie documents , uwapigie simu wakachukue visa😢 Tena Mimi nafanya bure tu ila watz Wengi wavivu wakenya ukimpa intro tu anazama chimbo Yaani anakupigia au kukutafuta ashafika eneo la tukio alafu bado support ya sisi watz ni ndogo sana pole nakuelewa unachopitia Mungu akusaidie upate njia ya kudeal nao Tena wala usituchoke
Poleni sana wi
Na mimi nameza Benadryl, pole Makulilo, stress😢 mambo ni mengi, toka nimekuwa USA. Pole mdogo wangu.
Utakuwa kaka yangu milele daima wewe ni MSHINDI hata kama mazingira hayaoneshi USHINDI✅
Pole sana brother I hope you will be well soon
Pole sana kaka, kazi yako ni ngumu mno
Pole sana bro nakuelewa
So sorry sir afya yako kwanza na familia take a break we love you
Tunakuelewa sana kaka.Pata mapumziko kwanza,wewe ni msaada mkubwa sana.
Mungu yupo na wewe wakati wote
Pole sana EBM mambo yatakaa sawa
Mungu akupe nguvu na moyo wakuzidi kutupa masomo, kaka elimu unayotupa hatuna chakukulipa
Asante sana
@EBMSWAHILI Please I need help with something I'm trying to make appointment with phone please please
Niko HOUSTON TX
@@EBMSWAHILIhi please I need help with something but I need call appointment I'm here in Houston tx
Sorry brother, EBM tunakuelewa sana your so loyalty to us
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ we still love you brother and almighty make easy for you and binketii mungu ampoonyeeee ❤🙏🙏🙏🙏
Thumbnail na title imenishutua sana mkuu, pole sana kwa kila kitu.
Mkuu, kama kuna social worker, human service, au mtaalamu katika huduma zakibinadamu wewe ni number moja. Naamini mimi na wengine wengi tunakuombea kaka yangu!!
Pole sana kaka
Mi nauliza ulishawahi kusema kwamba unaweza kufika huko ukaamua kusoma, je kama mtu anataka kusoma huko may be alifel huku au hakusoma au amesoma lakin elimu yake huko haitambuliki ke anaweza kuanza vipi kusoma hukoo
Thousands of messages is too much for you Brother punguza Vitu vingine
MKUU EBM, Tunakushukuru kwa Jitihada zako za kuendelea kutupigania kwa hali na mali katika kuhakikisha tunapata fursa mbalimbali kutoka ughaibuni, naamini hichi unachokifanya kimeendelea kugusa jamii ya afrika hasa kwa ss wa Mashariki, nakuombea uzima mwingi ww na familia yako vile vile na hao wote wanatimu wote na kwa wanaosapoti hizi platforms na productions kwa ujumla kwa njia moja ama nyingine, naomba kwa wanaofanikiwa kufika huko tafadhali kuweni na Moyo kama wa huyu ndugu yetu EBM pazeni sauti katika masuala na fursa mbalimbali, vilevile na ss wana afrika mashariki tujifunze kupokea kwa moyo wa shukrani kile kinapotolewa na hawa ndugu na kama ikiwezekana basi tuwasapoti kwa hali na mali na kusambaza jumbe hizi kwa walio gizani, JAMANI UMOJA NI NGUVU, TUNAKUTAKIA LIKIZO NJEMA NA YENYE MAFANIKIO HADI WAKATI MWINGINE.
Pole sana sana kwa mtoto wetu Benedict. Migreines ni ugonjwa mbaya sana. Mungu amponye na awatie nguvu familia yote kwa mapito hayo.
Hope utaondokana na tatizo la kukosa usingizi. Mungu akuepushe usizoeane na dawa za usingizi.
MUNGU AKUFANYIE WEPESI KAKA
Kaka najua Mungu atakusaidia kaka na kingine ninaomba urete office nchini Burundi utakuwa umesaidia sana Kaka tunataka na nchi yetu utusaidie kaka niombi kaka
Mungu yupo na wewe wakati wote
Mungu yupo na wewe wakati wote
Mungu yupo na wewe wakati wote