Maisha ya Marekani: Maswali na Majibu nilipokuwa TikTok Live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.lo...
    DONATE TO EBM SCHOLARS
    1. PayPal www.paypal.com...
    2. CASH APP cash.app/$EBMS...

Комментарии • 28

  • @MkoiTvTz
    @MkoiTvTz 2 месяца назад +1

    Aluta Kontinuo Kamanda

  • @lijonjo
    @lijonjo 2 месяца назад +1

    Habari. Nimesoma certificate ya Information Technology, nahitaji kusoma Diploma ya Information Technology. Naomba msaada wako.
    Niwe na Documents gani?
    Ada bei rahisi ni kiasi gani?
    Hostel za bei rahisi sana ni bei gani?

    • @kevinmushi8209
      @kevinmushi8209 Месяц назад

      Baba nitafute tufe pamoja na mimi hivyo ivyo nataka nijue

  • @kevinmushi8209
    @kevinmushi8209 Месяц назад +1

    Kama una amini kuna itajikata utulivu wa akili na uvulimivu zaidi na mandalizi nakutoa hofu ya uwoga niambie chuga boy habari za mda huu😢

  • @estherkiema3569
    @estherkiema3569 2 месяца назад

    Niko marekani tayari

  • @stellaprotazibashaijaban-gq4mb
    @stellaprotazibashaijaban-gq4mb 2 месяца назад

    Hello abari za asubui ndugu zangu. nawashukulu sana kwa ushilikiano na upendo na ushauli wenu,kwa uyo ndugu yetu ambaye yuko New Jersey je nitawezaje kutoa ushauli kwake mimi nipo Delaware Wilmington na mimi nimepitia hayo anayo pitia lakini sasaivi tuko sawa na mwanangu.

  • @LeahVlogstoday
    @LeahVlogstoday 2 месяца назад +2

    Ni visa gani na paswa kuitumia kumuombea mama na mdogo wangu

  • @stellaprotazibashaijaban-gq4mb
    @stellaprotazibashaijaban-gq4mb 2 месяца назад +1

    Uyo kaka abaye yupo New Jersey ni jirani na Wilmington Delaware je naweza kumpataje?

    • @karlschrader4026
      @karlschrader4026 Месяц назад +1

      @@stellaprotazibashaijaban-gq4mb kumbe wewe jirani yangu? Niko claymont

  • @victornzebele3990
    @victornzebele3990 2 месяца назад

    Ahsant kaka kwa elimu hii❤❤❤

  • @vom84
    @vom84 2 месяца назад +1

    Nikiwa na miaka 39 naweza nikaja USA na nikapiga kazi za kubeba mizigo kazi zisizo hitaji elimu ?

    • @user-ki9wu6no3d
      @user-ki9wu6no3d 2 месяца назад +1

      Yes Zipo kazi za Kila aina..wanaziita kupiga box Lakin Uzuri Kwa nchi kama Marekani Kunakuwa na vitendea Kazi rahisishi...

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 2 месяца назад

      Utaweza?
      Kama kazi za kumhamisha mtu akitaka kuhama

  • @houseoflifechurchtv9069
    @houseoflifechurchtv9069 2 месяца назад

    Hello EBM. Mimi nataka kuja kupitia green card in marriage na Nilikuwa deported jee ubalosi utaniruhusu

    • @salumsalum8866
      @salumsalum8866 2 месяца назад

      ulirudishwa kutoka wap?usa au wap

  • @RuhumurizaEric-ot5jh
    @RuhumurizaEric-ot5jh 2 месяца назад

    Hi kk nitapataaje nambali yako??? Please

  • @NassirAbdi-fs6vj
    @NassirAbdi-fs6vj 2 месяца назад

    EBM vipi kuhusu community college unahitajika uwe na kiwango gan cha pesa kwa kozi ya kilimo

  • @estherkiema3569
    @estherkiema3569 2 месяца назад

    Hamjambo nyote jamani niwezaje jiunga nanyi nina maswali private nitawezaje kuwasiliana na mr mwakuliro

  • @blockchain1203
    @blockchain1203 2 месяца назад

    Eti Gombana na Ruto awe Kama Roma Mkatoliki🏃🏃🏃🏃😂😂😂

  • @vom84
    @vom84 2 месяца назад

    Hii ni live? Mm nipo DAR nafuatilia sana

  • @vom84
    @vom84 2 месяца назад

    Napandaje live na mm?

  • @user-nb2cw5cn5c
    @user-nb2cw5cn5c 2 месяца назад

    Mwakani mwezi wa 1au wa 2 nitakuwa marekani inshallah 🙏🇺🇸

  • @kaupigwe
    @kaupigwe 2 месяца назад

    Ebm why Trump 2024. It is always 10 for Democrats before a change.

  • @ramamakelo3780
    @ramamakelo3780 Месяц назад

    Tatizo wewe mzee wa EBM autoi PIN watu watafikaje huko, wewe kazi kuhoji vtu vya kijinga tuu, sasa hivi kuna dada yetu 1 tunamkubali saana anaitwa Devota lnflluença1 huyo anatupa madini yoote soon tutafika majuu, wewe kaa na hayo mallotel yako