USIMPELEKE MTOTO WAKO KUSOMA HUKO ASIA BAADA YA HIGH SCHOOL. Mlete asome USA (Community College)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Kwa maelezo zaidi kuhusu huduma ya kuomba Community College ebmscholars.co...
    Download our New App, EBM SCHOLARS APP play.google.co...
    Or Search EBM SCHOLARS on Google Play Store to Download the app
    DONATE TO EBM SCHOLARS
    1. PayPal www.paypal.com...
    2. CASH APP cash.app/$EBMS...

Комментарии • 39

  • @Therealrashyy
    @Therealrashyy Год назад +1

    Hongera sana kaka EBM. Wenzetu wa Afrika Magharibi tayari wako mbali sana kwenye hizi na wanapeana sana hii elimu. Kingine ni kwamba inawezekana kusoma BURE na ukalipwa ukiwa nchi hizo kama una taarifa sahihi na unajua nini unafanya.

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Год назад

    Ahsante

  • @drsamsonkibona371
    @drsamsonkibona371 Год назад +1

    AH huo ndio ukweli wa wazi! Hongera kwa kazinzuri. Hiini meseji ya muhimu kwa watz wote kuipata

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.7376 Год назад

    Asante ebm kwa elimu hii nzuri watanzania wengi hawakujua hili!!

  • @carolinelawuo9650
    @carolinelawuo9650 Год назад

    Asante Bro EBM tumekuelewa vizuri

  • @auni_tv
    @auni_tv 8 месяцев назад +1

    Je kama mtot kasoma shule za serikali lakin kamaliza highschool anaweza kupata visa ya kusomea community college ?

  • @Laizer3
    @Laizer3 2 месяца назад

    Huku tanzania kazi za wasomi ndo hizi za dollar 500 hadi 300 kwa mwezi.

  • @PaschalFabian-zo6pp
    @PaschalFabian-zo6pp Год назад

    Asante sana kaka

  • @salummohamedi5562
    @salummohamedi5562 Год назад +1

    absolutely true professor unasema kweli tupu

  • @adetaurus
    @adetaurus Год назад

    Right 💯

  • @estergideon2039
    @estergideon2039 Год назад

    Asante kaka

  • @AhadiSamsoni-ub7xn
    @AhadiSamsoni-ub7xn 2 месяца назад

    Kaka Mimi naishi kigoma ujiji tafadhari kama naweza kukupata ni yako whatsaap

  • @azamakulwa4604
    @azamakulwa4604 Год назад

    Ahsante kaka umetupa elimu

  • @NgelejaCharles-ng7bh
    @NgelejaCharles-ng7bh 10 месяцев назад

    Ufafanuzi umeshiba

  • @neemameliary2744
    @neemameliary2744 10 месяцев назад

    Hello naomba mawasiliano na wewe nina mtoto nataka aje kusoma huko

  • @farajamwandembo1809
    @farajamwandembo1809 Год назад

    Yaani mi nakuelewa sana

  • @kikabahobwa8910
    @kikabahobwa8910 Год назад

    Ikiwezekana tuhongeye in box ila sina namba zako,niko US

  • @kikabahobwa8910
    @kikabahobwa8910 Год назад

    Abari za masiku ndugu,kweli mnasaidiya watu nina hombi

  • @jaspertheonest
    @jaspertheonest Год назад

    mbona kuishi off campus ni juu kuliko on campus?

  • @theresiamichael6641
    @theresiamichael6641 Год назад

    Na Je, mtu wa diploma anaweza kuomba hivyo?

  • @shinshi9696
    @shinshi9696 Год назад

    Canada hapa, bonge la ujumbe

  • @deusmbassa9749
    @deusmbassa9749 Год назад

    😂😂😂 eti akienda India Kula pilipili

  • @theresiamichael6641
    @theresiamichael6641 Год назад

    Kaka asante, vyuo vya community college havina master programs?

  • @herbertrichard1111
    @herbertrichard1111 Год назад

    JE mwenye division three anaweza PATA admission akiomba

  • @LoyDorcus
    @LoyDorcus Год назад

    Jmn mm ni muhitaji sana natamani nafanya nn😢😢😢

    • @LoyDorcus
      @LoyDorcus Год назад

      Najiuliza niombe msaada wapi mtu anisaidie niend tyu na ada ya mwanzo bac

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 Год назад +1

    Message from USA mlete anje kuvuta bangi black people in America everyone miaka 9.10 bangi 🤯👉

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  Год назад +5

      Na wanaovuta bangi na kutumia madawa ya kulevya Tanzania nao ni Black Americans? Kuharibika ni mtu mwenyewe, haijalishi upo USA, Dar, au Sumbawanga. Kama mtu ni wa kufuata mob na kuvuta mabangi dont take excuse ya USA

    • @herbertrichard1111
      @herbertrichard1111 Год назад

      Watu kama hao wanapendwa kwenda but hawana Hela ebm usikate tamaa

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Год назад

      Hizo bangi huko wanadungwa kama chanjo? Kama ni kuvuta bangi dunia nzima wavuta bangi kibao kwa kuchagua wenyewe, hawajashurutishwa.

    • @LoyDorcus
      @LoyDorcus Год назад

      ​@@EBMSWAHILI ni kweli mm niend bangi za nn mbon tupo udsm na watu wanavuta wanafany meng hawapo USA ni mtu na goal yake mm nikienda bac tyu ❤

    • @LoyDorcus
      @LoyDorcus Год назад

      ​@@zanzibarzanzibarhome-uf7hc wachache tunaelewa san