USIMPELEKE MTOTO WAKO KUSOMA HUKO ASIA BAADA YA HIGH SCHOOL. Mlete asome USA (Community College)
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Kwa maelezo zaidi kuhusu huduma ya kuomba Community College ebmscholars.co...
Download our New App, EBM SCHOLARS APP play.google.co...
Or Search EBM SCHOLARS on Google Play Store to Download the app
DONATE TO EBM SCHOLARS
1. PayPal www.paypal.com...
2. CASH APP cash.app/$EBMS...
Hongera sana kaka EBM. Wenzetu wa Afrika Magharibi tayari wako mbali sana kwenye hizi na wanapeana sana hii elimu. Kingine ni kwamba inawezekana kusoma BURE na ukalipwa ukiwa nchi hizo kama una taarifa sahihi na unajua nini unafanya.
Ahsante
AH huo ndio ukweli wa wazi! Hongera kwa kazinzuri. Hiini meseji ya muhimu kwa watz wote kuipata
Asante ebm kwa elimu hii nzuri watanzania wengi hawakujua hili!!
Asante Bro EBM tumekuelewa vizuri
Je kama mtot kasoma shule za serikali lakin kamaliza highschool anaweza kupata visa ya kusomea community college ?
Huku tanzania kazi za wasomi ndo hizi za dollar 500 hadi 300 kwa mwezi.
Asante sana kaka
absolutely true professor unasema kweli tupu
Naomba email yako mkuu
@@salummohamedi5562 1a
Right 💯
Asante kaka
Kaka Mimi naishi kigoma ujiji tafadhari kama naweza kukupata ni yako whatsaap
Ahsante kaka umetupa elimu
Ufafanuzi umeshiba
Hello naomba mawasiliano na wewe nina mtoto nataka aje kusoma huko
Yaani mi nakuelewa sana
Ikiwezekana tuhongeye in box ila sina namba zako,niko US
Abari za masiku ndugu,kweli mnasaidiya watu nina hombi
mbona kuishi off campus ni juu kuliko on campus?
Na Je, mtu wa diploma anaweza kuomba hivyo?
Canada hapa, bonge la ujumbe
😂😂😂 eti akienda India Kula pilipili
Kaka asante, vyuo vya community college havina master programs?
uwezi pata visa wanasumbua kukubali
JE mwenye division three anaweza PATA admission akiomba
Anapata.
Jmn mm ni muhitaji sana natamani nafanya nn😢😢😢
Najiuliza niombe msaada wapi mtu anisaidie niend tyu na ada ya mwanzo bac
Message from USA mlete anje kuvuta bangi black people in America everyone miaka 9.10 bangi 🤯👉
Na wanaovuta bangi na kutumia madawa ya kulevya Tanzania nao ni Black Americans? Kuharibika ni mtu mwenyewe, haijalishi upo USA, Dar, au Sumbawanga. Kama mtu ni wa kufuata mob na kuvuta mabangi dont take excuse ya USA
Watu kama hao wanapendwa kwenda but hawana Hela ebm usikate tamaa
Hizo bangi huko wanadungwa kama chanjo? Kama ni kuvuta bangi dunia nzima wavuta bangi kibao kwa kuchagua wenyewe, hawajashurutishwa.
@@EBMSWAHILI ni kweli mm niend bangi za nn mbon tupo udsm na watu wanavuta wanafany meng hawapo USA ni mtu na goal yake mm nikienda bac tyu ❤
@@zanzibarzanzibarhome-uf7hc wachache tunaelewa san