Ebm kazi nzuri sana,mm nilikuwa washindi wanakuwa vijana tu,kumbe hata mtu mzima wanashinda safi sana,tupo nyuma yako,Juma na ww saidia ndugu zako wakuje huko aisee usije ukawa kama wabongo wengi,kamati ya roho mbaya
Habari mr Ebm. Shukrani sana kwa video zako zinazotuhamasisha na mimi pia ni mfatiliaji wako maana nina wish kuja kufika marekani lakini ninachangamoto ya visa bado sijajua visa gani itayonifikisha mimi ni mwanafunzi mbeya university of science and technology mwaka wa 4 nipe ushauri tafadhali
Stop akili ya kwenye Move kaka, hapo ni makaz ya watu so huwezi kukuta kuna kiwanda au ofisini za watu. And it’s the choice to live either mjin or kijijini kunawatu hawapend kelele ndio mana wanakaa nje ya mjin.😂
Kwa hapa mnatukosea jamani mbona zipo sehemu Amrica watu wanafanya mambo ya hovyo kukojoa na kutupa vitu taķa hovyo zipo bhana sema si mahala pote ni kama home zipo sehemu huwe, tupa taka hovyo
bro EBM kazi nzuri nimependa wewe umenyooka kama lura sikupingi kaka Eleazar from Iringa Tz 🇹🇿 bro samahani naomba contact zako please huku mambo magum kiuchumi natamani angahizo kufika san
Samahani kaka hapo cjaelewa kaka kuhusu elimu ambayo ukiwa nayo wewe na mkeo mkibahatika kushinda DV lottery kwa mfano , wewe na mkeo mkabahatika kushinda dv lottery ila wote mnaelimu ya form alf wote mmejiajili kwa mfano kwenye kilimo haujaajiliwa sehem yoyote kuhusu experiences ya kazi fulan je unaweza kupata visa wakati ukiwa mnafanyiwa interview na elim zenu zote ni form four
Ni Lazima aliyeshinda awe na elimu ya kidato cha sita, NI LAZIMAAAAA. usipokuwa na elimu ya kidato cha sita basi uwe na uzoefu katika kazi ambazo wao wenyewe wameziainisha kwenye website ya wizara ya mambo ya kazi ya america, so hakikisha atakayeshinda uwe ww au mkeo ana elimu hyo na kama hana bas awe na uzoefu katika kaz wanazozitaka wao uzoefu wa miaka 2 na kuendelea, Wasomeshe watoto wako wasije sumbuka
@@raffeiystar2870 Sawaa kaka nimekuelewa sasa mfano umepata alf una elimu ya kidato cha nne then unafanya kazi mashambani yan unauzoefu kwenye kilimo ila haujaajiliwa labda na taasisi yoyote hapo unawezaje kuonyesha kuaminisha unauzoefu kwenye kilimo msaada
@@EBMSWAHILI naomba namba yako kaka nataka tuongeye unambiye kiasi gani cha feza ili kuijaza fomu naomba unisaidiye mimi nimechaguliwa ila nakosa maelekezo natokeya burundi nataka mawasiliano na wewe unipe maelekezo tangu mwezi wa tano mpaka sasa sijapata maelekezo
Asante sana EBM. unatoa elimu kubwa na muhimu sana kwa
0 fee
Hakuna Cha kushinda Mungu alelouahhh praised God ❤❤❤ aksante saana my brother Mungu akubariki tena
Watching from Kenya. you are a great man EBM. May God expand your boundaries
All the best brother tupo nyuma yko❤❤❤
Hongera sana na sisi wenye ndoto Inshallah tutafika
Congratulations bro, Juma ni mwanangu sana. Kilalakheri bro. Timiza ndoto zako.
Ebm kazi nzuri sana,mm nilikuwa washindi wanakuwa vijana tu,kumbe hata mtu mzima wanashinda safi sana,tupo nyuma yako,Juma na ww saidia ndugu zako wakuje huko aisee usije ukawa kama wabongo wengi,kamati ya roho mbaya
Hongera sanaa kwake kwa ushindi wa mara ya kwanza... jamaa kauliza maswali mazuri mnoo ambayo yalikua yana nisumbua, ubarikiwe Ebm...
Congratulations my brother from Tanzania, well done
Barikiwa sana EBM, hongera sana kamanda
Congratulations kaka so wewe ndio utani hosting
Nakubali kk mungu akusimamie...mara ya mwisho nilikuacha deport ya east almarai
Thanks alot EBM for your kind heart GOD bless you.Nxt year I blv I'll win too
Hongera sana sana mungu wa ajapu kweli mungu atukumpuge pia sisi Sikh inakuja tutafika uko marakani kwa uwezo wa mungu amen❤❤
Habari mr Ebm. Shukrani sana kwa video zako zinazotuhamasisha na mimi pia ni mfatiliaji wako maana nina wish kuja kufika marekani lakini ninachangamoto ya visa bado sijajua visa gani itayonifikisha mimi ni mwanafunzi mbeya university of science and technology mwaka wa 4 nipe ushauri tafadhali
Nakubari sana wajina wangu
Kaka Juma una moyo mzuri ubarikiwe sana
Ila huku ni marekani ya kijijini mwamba tafuta jiji ambalo liko busy upige kazi unless huku kama kuna kazi za kuelewekaaa
Stop akili ya kwenye Move kaka, hapo ni makaz ya watu so huwezi kukuta kuna kiwanda au ofisini za watu. And it’s the choice to live either mjin or kijijini kunawatu hawapend kelele ndio mana wanakaa nje ya mjin.😂
Kaka nataka nichaze hila sinjuh niazie wapi nataka ulewa nji kunjaza
Safi sana. Na mimi mwaka huu lazima nicheze green card lottery
Shukran sana mkuu 🙏🙏
Nafurai Sana kaka Ebm unapambana Sana kuona nasisi wa Tz kufika uko
Kwa hapa mnatukosea jamani mbona zipo sehemu Amrica watu wanafanya mambo ya hovyo kukojoa na kutupa vitu taķa hovyo zipo bhana sema si mahala pote ni kama home zipo sehemu huwe, tupa taka hovyo
Mungu akubariki sana kaka ❤❤
Nikitaka kwenda US as a home care nifanye nini au nianzie wapi?
Hongera sana kaka nami pia nitabahatika mwaka huu
Hongera sana kijana. Hongera EBM kwakusaidia wanaoshinda lottery kwenye kusafiri, unawafanyia wepesi sana.
mtag kijana mkongwe, kafurahia mno. twashukuru mungu kwa niaba yake
Mambo vp brother. Ninampa hongera kijana alieshinda Green card lottery.
Hongera Kaka, Mungu akuongoze
Thanks very much brother EBM
bro EBM kazi nzuri nimependa wewe umenyooka kama lura sikupingi kaka Eleazar from Iringa Tz 🇹🇿 bro samahani naomba contact zako please huku mambo magum kiuchumi natamani angahizo kufika san
Kaka niko Oman,nawezaje kupata Visa ya Ufaransa. Kikazi
Can we have this interview in English translation as well.. Sounds interesting tho can't hear
All the best dear❤
Welcome to usa my dreamland iko maana fiche😊😊😊😊
Safi sana kaka..October tena mwaka huu,,mwanza
Kaka ubarikiwe kwa kututakia mema
Karibu Kwa janga la jiwe... Hapa mambo sio rahisi, kuja ni kitu kimoja na kufanikiwa ni jambo tofauti..
Just inspire him don't demoralize....
@@nathanielkheri1880 ndio maana ya kuwa Mtanzania😂😂😂😂
@@nathanielkheri1880 😂😂😂 kwakweli. Yaan sijui watu wakoje
Fanya kazi tu pesa usa ipo ni wewe tu
Wacha zako as long as wewe uko na bidii pesa zipo😂😂
Daah kwenye Elimu hapo watu nili waambia Elimu ya Bongo ni miyeyusho ghalama kubwa halafu haina maana yoyote
Us also we applied for 2023 24 season. We pray God to sail us thro
nimefurahi bure .jogoo wa shamba hongera sana kwake
Asante kaaka
Comment ni Île Île ipo dk ntakua MBURUNDI🇧🇮 wa 1 kufanya interview na ww tukiwa hapo makao makuu Missouri inshaa Allah ubarikiwe saana kaka EBM
Hope so na mimi kiongoz wangu
Mi naomba namba ya simu ya huyo jamaa
Inshallah mwenyezi mungu akufanyie wepesi
Mimi ni mBurundi nimshindi ila nataka usayidizi wako
Ebu tuelekezeni na sisi gisi ya ku apply sote wa rundi bn
Bro naomba unisaidie jinsi ya kupata ile link ya green card
Ongera sana brother djuma
Hongera sana
Congratulations to him, he looks so happy
Great bro
Kaka tutafutie kazi za kawaida sio lazima iwe marekani ata nchi nyengine
Kwaiyo elimu zetu ndizo zimetukosesha nafasi si ndioo?
EBM Kuna ukomo wa umri umri kuomba green card Rotary
Naomba link ya kujaza green card
Naomba kuuliza nasikia kupata green card mpaka uwe msomi je huyu Kaka elimu yake iko kiwango cha high school au college au university
Bg up mwamba.
Mimi natokea zanzibar naomba maelekezo jinsi ya kufanya!
Mpaka mwakani October
Jembe la Marai hilo hapo kazi lazima ifanyike kila la kheri mwamba
Kwa uwezo wa Mungu nasi tutafika.
Dereva tosha
Marai bye bye 🖐 all the best brother
Mwamba unatamba sai unapiga shavu umetuachia kubus tu huku ebwanae Mola akutangulie kwa safari Yako kuwa na mafanikio bro
Aisee nimefurahia sana na nitapambania kupata na mimk
Pamoja sana EBM mwambie jamaa karibu sana USA
Habar ya uko naomba ya EBM
Namba
I wish day 1 niwe viwanja
Habari kk EBM,
Naomba kujua kuaply Green card unaitajika kuwa na elimu fulani hivi ya kuanzia form 4 au hata kama ya darasa la 7 inawezekana..
Form 4
@@johnwanyonyi1010form 6
Dah good job br
Mambo vipi naomba namba yako ya simu
Thanks
Yaani saa tatu usiku kwa kaa mchana.😅 Salimia Juma alikuwa RYDE akipita,ni mwenzangu.
Samahani kaka hapo cjaelewa kaka kuhusu elimu ambayo ukiwa nayo wewe na mkeo mkibahatika kushinda DV lottery kwa mfano , wewe na mkeo mkabahatika kushinda dv lottery ila wote mnaelimu ya form alf wote mmejiajili kwa mfano kwenye kilimo haujaajiliwa sehem yoyote kuhusu experiences ya kazi fulan je unaweza kupata visa wakati ukiwa mnafanyiwa interview na elim zenu zote ni form four
Ni Lazima aliyeshinda awe na elimu ya kidato cha sita, NI LAZIMAAAAA.
usipokuwa na elimu ya kidato cha sita basi uwe na uzoefu katika kazi ambazo wao wenyewe wameziainisha kwenye website ya wizara ya mambo ya kazi ya america, so hakikisha atakayeshinda uwe ww au mkeo ana elimu hyo na kama hana bas awe na uzoefu katika kaz wanazozitaka wao uzoefu wa miaka 2 na kuendelea,
Wasomeshe watoto wako wasije sumbuka
@@raffeiystar2870 Sawaa kaka nimekuelewa sasa mfano umepata alf una elimu ya kidato cha nne then unafanya kazi mashambani yan unauzoefu kwenye kilimo ila haujaajiliwa labda na taasisi yoyote hapo unawezaje kuonyesha kuaminisha unauzoefu kwenye kilimo msaada
Elimu kuanzia kidato cha nne sio cha sita
@@muttaperfect kweli kaka hata kidato cha nne unaruhusiwa kuapply
hata cheti Cha ufundi kinachotambulika na serikari kina faa pia mfano Cha veta vc1
Kabisaa all the best
Kila hatua dua
HIVi ebm ku apply hii Green card lottery mpaka uwe umesooma au VIPe ebm plz nijibu boss wangu asante sana
Hajibugi Tu sms ndio shidaaa ya EBM
Elimu ni ya form 4
Mimi ndashida mwakani
Habari kaka naomba no yako
Congratulations bro🎉🎉🎉
My brother Salam zangu kutoka neworleans Louisiana usije kuji sahau kama mimi
🤣🤣
@@shadiidinyo1657 tuna ishi kwa barabara
sorry bro kwa watu walio ishia form four na hawakuendeleea n chochote hawaruhusiwi ku apply
Wanaruhusiwa
@@EBMSWAHILI naomba namba yako kaka nataka tuongeye unambiye kiasi gani cha feza ili kuijaza fomu naomba unisaidiye mimi nimechaguliwa ila nakosa maelekezo natokeya burundi nataka mawasiliano na wewe unipe maelekezo tangu mwezi wa tano mpaka sasa sijapata maelekezo
@EBMSWAHILI naomba unisaidie jinsi ya kupata hiyo green card au maelekezo jinsi ya kufanya natokea zanzibar
Hello EBM embu nijibu hili swali kwahesima t yako what if nime win DV lottery en my wife hana cheti kcse anaweza akanimes
If you are the Main Applicant n ur wife is ur Dependent and she doesn't have a Kcse certificate, it won't affect your Win.
EBM naomba nichati nawewe private kuna kitu unisaidie
Ni vigezo gan mtu anatakiwa kuwa navyo ili aweze kuomba DV lottery ni waliosoma tu peke ake au na ambao hawana elimu
Mm ninataka kuomba nifanyeje ss kk nisaidie
Hakika ninatamani kupata fursa
Nahisi kiwango cha elimu ndioshida maana tumejaza
Is Paul Abraham Canadian consulting real please tell me
EBM darasa la saba nina working experience naweza pata
EBM naomba mawasiliano yako
Duuuh... Huo Muda ni saa Tatu Usiku???
Good news
Wilson Patricia Lewis Lisa Rodriguez Patricia
✌️👍👊.
Dar so, sisi ambao hatujasoma hatuna namna ya kufika Marekani mkuu
Hili nalo neni Mana tupo wengi
Vzr sana
Olaa rudi Almarai🤣🤣🤣 Hongera Mr.J
Alikuwa job huko Saudi yaani?
Habali Boss mbona hujibu sms Whatsapp mkuu?
America ni tishio coz ya ushoga ni bora ukabaki nyumbani Africa 💀
Haya ndio mawazo mgando tuliyonayo watz that’s why hatuendeleii 😂😂😂😂
Green card lottery no nini bro
Bro nahitaji number zako please nipo Dubai
Vip mwenetu vipi michongo huko dubei
Nataka Namba ya huyo mwandishi Wa habari
Homgera Juma wa ubenazomozi
Barida
Naomba kuuliza kuomba green card lotary ukiwa hauna elimu yoyote hauwezi kuomba na kushinda?
Yeyote anaeza cheza
Napenda pale EBM unaposema "ile pale"😅😅😅