Nimeshinda Green Card Lottery mara yangu ya kwanza tu kuomba. Sasahivi nimefika Marekani 🇺🇸

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Nimefika USA 🇺🇸 wiki mbili zilizopita kama mshindi wa Green Card Lottery. Nimeanza maisha mapya

Комментарии • 146

  • @rlh-tz
    @rlh-tz 6 месяцев назад +3

    Asante sana EBM. unatoa elimu kubwa na muhimu sana kwa
    0 fee

  • @akamaelohim780
    @akamaelohim780 9 месяцев назад +2

    Hakuna Cha kushinda Mungu alelouahhh praised God ❤❤❤ aksante saana my brother Mungu akubariki tena

  • @dennismaina7784
    @dennismaina7784 Год назад +6

    Watching from Kenya. you are a great man EBM. May God expand your boundaries

  • @mawaramadan3802
    @mawaramadan3802 Год назад +6

    All the best brother tupo nyuma yko❤❤❤

  • @shabanimwinyikhery1174
    @shabanimwinyikhery1174 Год назад +4

    Hongera sana na sisi wenye ndoto Inshallah tutafika

  • @MkaliwaoEntertainment
    @MkaliwaoEntertainment Год назад +4

    Congratulations bro, Juma ni mwanangu sana. Kilalakheri bro. Timiza ndoto zako.

  • @charlesmkinda6946
    @charlesmkinda6946 Год назад +2

    Ebm kazi nzuri sana,mm nilikuwa washindi wanakuwa vijana tu,kumbe hata mtu mzima wanashinda safi sana,tupo nyuma yako,Juma na ww saidia ndugu zako wakuje huko aisee usije ukawa kama wabongo wengi,kamati ya roho mbaya

  • @tusekelegemwasumbi7506
    @tusekelegemwasumbi7506 Год назад +2

    Hongera sanaa kwake kwa ushindi wa mara ya kwanza... jamaa kauliza maswali mazuri mnoo ambayo yalikua yana nisumbua, ubarikiwe Ebm...

  • @aggreyluganolugano649
    @aggreyluganolugano649 Год назад +3

    Congratulations my brother from Tanzania, well done

  • @gwalughanomerryrose4913
    @gwalughanomerryrose4913 Год назад +2

    Barikiwa sana EBM, hongera sana kamanda

  • @peterochi1112
    @peterochi1112 11 месяцев назад +2

    Congratulations kaka so wewe ndio utani hosting

  • @mudybeka6698
    @mudybeka6698 Год назад +3

    Nakubali kk mungu akusimamie...mara ya mwisho nilikuacha deport ya east almarai

  • @margaretmwihaki499
    @margaretmwihaki499 Год назад +1

    Thanks alot EBM for your kind heart GOD bless you.Nxt year I blv I'll win too

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 Год назад +1

    Hongera sana sana mungu wa ajapu kweli mungu atukumpuge pia sisi Sikh inakuja tutafika uko marakani kwa uwezo wa mungu amen❤❤

  • @DenisDeodatus
    @DenisDeodatus Месяц назад

    Habari mr Ebm. Shukrani sana kwa video zako zinazotuhamasisha na mimi pia ni mfatiliaji wako maana nina wish kuja kufika marekani lakini ninachangamoto ya visa bado sijajua visa gani itayonifikisha mimi ni mwanafunzi mbeya university of science and technology mwaka wa 4 nipe ushauri tafadhali

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 10 месяцев назад +2

    Nakubari sana wajina wangu

  • @fortunathabarabara8471
    @fortunathabarabara8471 Год назад +2

    Kaka Juma una moyo mzuri ubarikiwe sana

  • @mwantondo
    @mwantondo Год назад +6

    Ila huku ni marekani ya kijijini mwamba tafuta jiji ambalo liko busy upige kazi unless huku kama kuna kazi za kuelewekaaa

    • @benjaminiisaya3428
      @benjaminiisaya3428 10 месяцев назад

      Stop akili ya kwenye Move kaka, hapo ni makaz ya watu so huwezi kukuta kuna kiwanda au ofisini za watu. And it’s the choice to live either mjin or kijijini kunawatu hawapend kelele ndio mana wanakaa nje ya mjin.😂

    • @BarackLucas-eb1gt
      @BarackLucas-eb1gt 5 месяцев назад

      Kaka nataka nichaze hila sinjuh niazie wapi nataka ulewa nji kunjaza

  • @barutiboniphace4335
    @barutiboniphace4335 Год назад +1

    Safi sana. Na mimi mwaka huu lazima nicheze green card lottery

  • @MAISHAYAMAREKANI
    @MAISHAYAMAREKANI Год назад +2

    Shukran sana mkuu 🙏🙏

  • @FaustineTz
    @FaustineTz Год назад +1

    Nafurai Sana kaka Ebm unapambana Sana kuona nasisi wa Tz kufika uko

  • @nassercurtis9579
    @nassercurtis9579 7 месяцев назад +1

    Kwa hapa mnatukosea jamani mbona zipo sehemu Amrica watu wanafanya mambo ya hovyo kukojoa na kutupa vitu taķa hovyo zipo bhana sema si mahala pote ni kama home zipo sehemu huwe, tupa taka hovyo

  • @HopeNkya-y6e
    @HopeNkya-y6e Год назад +2

    Mungu akubariki sana kaka ❤❤

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 10 месяцев назад +2

    Nikitaka kwenda US as a home care nifanye nini au nianzie wapi?

  • @JacklineKimaro-o6y
    @JacklineKimaro-o6y 7 месяцев назад +1

    Hongera sana kaka nami pia nitabahatika mwaka huu

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Год назад

    Hongera sana kijana. Hongera EBM kwakusaidia wanaoshinda lottery kwenye kusafiri, unawafanyia wepesi sana.

  • @pvxmovies9611
    @pvxmovies9611 Год назад

    mtag kijana mkongwe, kafurahia mno. twashukuru mungu kwa niaba yake

  • @RamadhanMahunja-cr7dg
    @RamadhanMahunja-cr7dg 10 месяцев назад

    Mambo vp brother. Ninampa hongera kijana alieshinda Green card lottery.

  • @deborahmassawe4367
    @deborahmassawe4367 Год назад +1

    Hongera Kaka, Mungu akuongoze

  • @moudy4realibrahim601
    @moudy4realibrahim601 10 месяцев назад

    Thanks very much brother EBM

  • @luckiestmeckson2222
    @luckiestmeckson2222 Год назад +2

    bro EBM kazi nzuri nimependa wewe umenyooka kama lura sikupingi kaka Eleazar from Iringa Tz 🇹🇿 bro samahani naomba contact zako please huku mambo magum kiuchumi natamani angahizo kufika san

  • @salomezakaria
    @salomezakaria Год назад +2

    Kaka niko Oman,nawezaje kupata Visa ya Ufaransa. Kikazi

  • @godlinesstv671
    @godlinesstv671 8 месяцев назад +1

    Can we have this interview in English translation as well.. Sounds interesting tho can't hear

  • @getrudatarimo5241
    @getrudatarimo5241 Год назад +2

    All the best dear❤

  • @DennisNyangau-cd4vk
    @DennisNyangau-cd4vk Год назад +2

    Welcome to usa my dreamland iko maana fiche😊😊😊😊

  • @mchunguliechibwa198
    @mchunguliechibwa198 Год назад +1

    Safi sana kaka..October tena mwaka huu,,mwanza

  • @flomenakamugisha
    @flomenakamugisha 2 месяца назад

    Kaka ubarikiwe kwa kututakia mema

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 Год назад +2

    Karibu Kwa janga la jiwe... Hapa mambo sio rahisi, kuja ni kitu kimoja na kufanikiwa ni jambo tofauti..

    • @nathanielkheri1880
      @nathanielkheri1880 Год назад +1

      Just inspire him don't demoralize....

    • @bballdunks869
      @bballdunks869 Год назад

      @@nathanielkheri1880 ndio maana ya kuwa Mtanzania😂😂😂😂

    • @vailethtitus6462
      @vailethtitus6462 Год назад

      @@nathanielkheri1880 😂😂😂 kwakweli. Yaan sijui watu wakoje

    • @misanamohamedi8438
      @misanamohamedi8438 Год назад

      Fanya kazi tu pesa usa ipo ni wewe tu

    • @hellenmuhoi6335
      @hellenmuhoi6335 Год назад

      Wacha zako as long as wewe uko na bidii pesa zipo😂😂

  • @danstanmgaya1251
    @danstanmgaya1251 Год назад +1

    Daah kwenye Elimu hapo watu nili waambia Elimu ya Bongo ni miyeyusho ghalama kubwa halafu haina maana yoyote

  • @elizabethmwalo8424
    @elizabethmwalo8424 Год назад

    Us also we applied for 2023 24 season. We pray God to sail us thro

  • @jaspertheonest
    @jaspertheonest Год назад

    nimefurahi bure .jogoo wa shamba hongera sana kwake

  • @neemtumain
    @neemtumain Год назад +1

    Asante kaaka

  • @INSSUMA
    @INSSUMA Год назад +2

    Comment ni Île Île ipo dk ntakua MBURUNDI🇧🇮 wa 1 kufanya interview na ww tukiwa hapo makao makuu Missouri inshaa Allah ubarikiwe saana kaka EBM

  • @NanaNana-xo2og
    @NanaNana-xo2og 9 месяцев назад +1

    Bro naomba unisaidie jinsi ya kupata ile link ya green card

  • @tresorKalindula
    @tresorKalindula 6 месяцев назад

    Ongera sana brother djuma

  • @foodbankafricakenyatheegg3417
    @foodbankafricakenyatheegg3417 Год назад +1

    Hongera sana

  • @adetaurus
    @adetaurus Год назад

    Congratulations to him, he looks so happy

  • @mosesmochama9548
    @mosesmochama9548 Год назад +1

    Great bro

  • @nyangejr3817
    @nyangejr3817 Год назад +1

    Kaka tutafutie kazi za kawaida sio lazima iwe marekani ata nchi nyengine

  • @godlistenestomih5466
    @godlistenestomih5466 Год назад +2

    Kwaiyo elimu zetu ndizo zimetukosesha nafasi si ndioo?

  • @josephmbona2255
    @josephmbona2255 8 месяцев назад +1

    EBM Kuna ukomo wa umri umri kuomba green card Rotary

  • @rukiyashali
    @rukiyashali 11 месяцев назад +1

    Naomba link ya kujaza green card

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo3577 Год назад

    Naomba kuuliza nasikia kupata green card mpaka uwe msomi je huyu Kaka elimu yake iko kiwango cha high school au college au university

  • @abdulsinga2464
    @abdulsinga2464 Год назад +1

    Bg up mwamba.

  • @ibrahmabdallah5148
    @ibrahmabdallah5148 9 месяцев назад +1

    Mimi natokea zanzibar naomba maelekezo jinsi ya kufanya!

  • @pembemussa2804
    @pembemussa2804 Год назад +5

    Jembe la Marai hilo hapo kazi lazima ifanyike kila la kheri mwamba

  • @Saidmarez
    @Saidmarez Год назад

    Marai bye bye 🖐 all the best brother

  • @khamismwamguza5232
    @khamismwamguza5232 Год назад +1

    Mwamba unatamba sai unapiga shavu umetuachia kubus tu huku ebwanae Mola akutangulie kwa safari Yako kuwa na mafanikio bro

  • @johnmfuko4426
    @johnmfuko4426 10 месяцев назад

    Aisee nimefurahia sana na nitapambania kupata na mimk

  • @majaliwabendera8458
    @majaliwabendera8458 Год назад +4

    Pamoja sana EBM mwambie jamaa karibu sana USA

  • @MamanuruMchagga
    @MamanuruMchagga 5 месяцев назад

    I wish day 1 niwe viwanja

  • @mpencel7980
    @mpencel7980 Год назад +1

    Habari kk EBM,
    Naomba kujua kuaply Green card unaitajika kuwa na elimu fulani hivi ya kuanzia form 4 au hata kama ya darasa la 7 inawezekana..

  • @MamanuruMchagga
    @MamanuruMchagga 5 месяцев назад

    Dah good job br

  • @KungurumambaKenge
    @KungurumambaKenge Год назад +1

    Mambo vipi naomba namba yako ya simu

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 10 месяцев назад

    Thanks

  • @cyrusmwangi7748
    @cyrusmwangi7748 Год назад +1

    Yaani saa tatu usiku kwa kaa mchana.😅 Salimia Juma alikuwa RYDE akipita,ni mwenzangu.

  • @ramamrutu4914
    @ramamrutu4914 Год назад +2

    Samahani kaka hapo cjaelewa kaka kuhusu elimu ambayo ukiwa nayo wewe na mkeo mkibahatika kushinda DV lottery kwa mfano , wewe na mkeo mkabahatika kushinda dv lottery ila wote mnaelimu ya form alf wote mmejiajili kwa mfano kwenye kilimo haujaajiliwa sehem yoyote kuhusu experiences ya kazi fulan je unaweza kupata visa wakati ukiwa mnafanyiwa interview na elim zenu zote ni form four

    • @raffeiystar2870
      @raffeiystar2870 Год назад

      Ni Lazima aliyeshinda awe na elimu ya kidato cha sita, NI LAZIMAAAAA.
      usipokuwa na elimu ya kidato cha sita basi uwe na uzoefu katika kazi ambazo wao wenyewe wameziainisha kwenye website ya wizara ya mambo ya kazi ya america, so hakikisha atakayeshinda uwe ww au mkeo ana elimu hyo na kama hana bas awe na uzoefu katika kaz wanazozitaka wao uzoefu wa miaka 2 na kuendelea,
      Wasomeshe watoto wako wasije sumbuka

    • @ramamrutu4914
      @ramamrutu4914 Год назад

      @@raffeiystar2870 Sawaa kaka nimekuelewa sasa mfano umepata alf una elimu ya kidato cha nne then unafanya kazi mashambani yan unauzoefu kwenye kilimo ila haujaajiliwa labda na taasisi yoyote hapo unawezaje kuonyesha kuaminisha unauzoefu kwenye kilimo msaada

    • @muttaperfect
      @muttaperfect Год назад

      Elimu kuanzia kidato cha nne sio cha sita

    • @ramamrutu4914
      @ramamrutu4914 Год назад

      @@muttaperfect kweli kaka hata kidato cha nne unaruhusiwa kuapply

    • @historiazoteduniani5595
      @historiazoteduniani5595 Год назад

      hata cheti Cha ufundi kinachotambulika na serikari kina faa pia mfano Cha veta vc1

  • @cleophasmogaka8602
    @cleophasmogaka8602 Год назад

    Kabisaa all the best

  • @nyangejr3817
    @nyangejr3817 Год назад +1

    Kila hatua dua

  • @ZaiduHashim-ry1zr
    @ZaiduHashim-ry1zr Год назад +2

    HIVi ebm ku apply hii Green card lottery mpaka uwe umesooma au VIPe ebm plz nijibu boss wangu asante sana

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 Год назад +1

    Mimi ndashida mwakani

  • @flomenakamugisha
    @flomenakamugisha 2 месяца назад

    Habari kaka naomba no yako

  • @agnesmaizah3834
    @agnesmaizah3834 Год назад

    Congratulations bro🎉🎉🎉

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 Год назад +1

    My brother Salam zangu kutoka neworleans Louisiana usije kuji sahau kama mimi

  • @kibandanimall_tanzania
    @kibandanimall_tanzania Год назад +1

    sorry bro kwa watu walio ishia form four na hawakuendeleea n chochote hawaruhusiwi ku apply

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  Год назад +1

      Wanaruhusiwa

    • @mauwafrancine9956
      @mauwafrancine9956 Год назад

      @@EBMSWAHILI naomba namba yako kaka nataka tuongeye unambiye kiasi gani cha feza ili kuijaza fomu naomba unisaidiye mimi nimechaguliwa ila nakosa maelekezo natokeya burundi nataka mawasiliano na wewe unipe maelekezo tangu mwezi wa tano mpaka sasa sijapata maelekezo

    • @ibrahmabdallah5148
      @ibrahmabdallah5148 9 месяцев назад

      @EBMSWAHILI naomba unisaidie jinsi ya kupata hiyo green card au maelekezo jinsi ya kufanya natokea zanzibar

  • @samuelndungu4894
    @samuelndungu4894 Год назад +1

    Hello EBM embu nijibu hili swali kwahesima t yako what if nime win DV lottery en my wife hana cheti kcse anaweza akanimes

    • @Geeze905
      @Geeze905 Год назад

      If you are the Main Applicant n ur wife is ur Dependent and she doesn't have a Kcse certificate, it won't affect your Win.

  • @gsedpemba8556
    @gsedpemba8556 10 месяцев назад

    EBM naomba nichati nawewe private kuna kitu unisaidie

  • @jackjohnas3251
    @jackjohnas3251 Год назад

    Ni vigezo gan mtu anatakiwa kuwa navyo ili aweze kuomba DV lottery ni waliosoma tu peke ake au na ambao hawana elimu

  • @LissuMwama
    @LissuMwama Год назад

    Mm ninataka kuomba nifanyeje ss kk nisaidie

  • @emanuelcholela8679
    @emanuelcholela8679 Месяц назад

    Hakika ninatamani kupata fursa

  • @AL-WAARITHUUNTZtv
    @AL-WAARITHUUNTZtv Год назад +1

    Nahisi kiwango cha elimu ndioshida maana tumejaza

  • @abdulmajidmohammed2059
    @abdulmajidmohammed2059 Год назад

    Is Paul Abraham Canadian consulting real please tell me

  • @saadysaidzahaze5980
    @saadysaidzahaze5980 Год назад

    EBM darasa la saba nina working experience naweza pata

  • @josephmbona2255
    @josephmbona2255 8 месяцев назад +1

    EBM naomba mawasiliano yako

  • @abednegopaul2705
    @abednegopaul2705 Год назад

    Duuuh... Huo Muda ni saa Tatu Usiku???

  • @watergateplum
    @watergateplum 5 месяцев назад

    Good news

  • @SandraJordanop
    @SandraJordanop Месяц назад

    Wilson Patricia Lewis Lisa Rodriguez Patricia

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 10 месяцев назад +1

    ✌️👍👊.

  • @siratz3323
    @siratz3323 Год назад

    Dar so, sisi ambao hatujasoma hatuna namna ya kufika Marekani mkuu

  • @mmasipeter4157
    @mmasipeter4157 Год назад

    Vzr sana

  • @Ibnseifjr
    @Ibnseifjr Год назад

    Olaa rudi Almarai🤣🤣🤣 Hongera Mr.J

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 Год назад

    Habali Boss mbona hujibu sms Whatsapp mkuu?

  • @Best_wolframmusichub
    @Best_wolframmusichub Год назад +2

    America ni tishio coz ya ushoga ni bora ukabaki nyumbani Africa 💀

    • @muttaperfect
      @muttaperfect Год назад

      Haya ndio mawazo mgando tuliyonayo watz that’s why hatuendeleii 😂😂😂😂

  • @AndrewJzb
    @AndrewJzb Год назад

    Green card lottery no nini bro

  • @sumasule6207
    @sumasule6207 Год назад +2

    Bro nahitaji number zako please nipo Dubai

  • @WadiHaji-d6w
    @WadiHaji-d6w Год назад

    Nataka Namba ya huyo mwandishi Wa habari

  • @mohammedshaaban9509
    @mohammedshaaban9509 Год назад

    Homgera Juma wa ubenazomozi

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Год назад

    Barida

  • @saimonjmai801
    @saimonjmai801 Год назад

    Naomba kuuliza kuomba green card lotary ukiwa hauna elimu yoyote hauwezi kuomba na kushinda?

  • @mrlongrichlongrichagent1929
    @mrlongrichlongrichagent1929 Год назад

    Napenda pale EBM unaposema "ile pale"😅😅😅