FURSA YA KUSOMA COMMUNITY COLLEGES MAREKANI (Usimpeleke Mtoto China au India kusoma)
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Elimu kuhusu watu wanaotaka kusoma MAREKANI kwa hatua ya Associate Degree na Degree kwenye vyuo vyenye GHARAMA NAFUU (Studying at Affordable Community Colleges in the USA!)
Webinar hii ni kwa wanafunzi, wafanyakazi, wazazi nk kupata elimu hii. Huna haja ya kumpeleka mtoto wako huko China, India, Malaysia nk kusoma degree yake. Maana huko haruhusiwi kufanya kazi, hivyo mwanafunzi anaendelea kuwa tegemezi kwa mzazi kutuma hela kila mwezi. Na akimaliza shule akisoma huko itamfanya arudi nchini kukimbizana na ajira.
Hii ni tofauti na kama akija kusoma Marekani ambapo mwanafunzi anafanya kazi na kusoma, kutokuwa tegemezi kwa mzazi. Na akimaliza shule kuna njia nyingi za kubakia hapa na kufanya kazi na kuishi.
Ernest B Makulilo
EBM SCHOLARS, LLC
Missouri, USA
www.ebmscholars.com
ebm@ebmscholars.com
Download our New App, EBM SCHOLARS APP play.google.co...
Or Search EBM SCHOLARS on Google Play Store to Download the app
DONATE TO EBM SCHOLARS
1. PayPal www.paypal.com...
2. CASH APP cash.app/$EBMS...
Pamoja sana mkuu 5/5 🇨🇩🇨🇩 mimi ni mkongomani naishi Bujumbura Burundi 🇧🇮
Mungu akubariki mno kwa kutujuza❤ from Arusha Tanzania 🇹🇿
Nakufuatilia sana kaka elimu unayotupatia kubwa mno
Burundi 🇧🇮🇧🇮
Niko Doha Qatar lakini natamani kuja USA Nna elimu ya high school ya nchi yangu Tanzania
Asante
Pamoja kaka
Niko kenya Nakuru County.
Sana
Naangàlia from Chuga Tz ❤
Niko burundi buyenzi
Pamoja sanaa
Mr. Ebm kwa kweli tumenufaika sana na elimu uliyotoa iko vizuri natumai wengi tumenufaika nayo nami nitaendelea kukutumia katika yale tuliyoongea, nashukuru sana.
Tz,Arusha
Ndo nimejiunga sahivi bro nafurahi sana
God bless you bro umejikita sana kuakikisha ndugu zako tunasonga mbele kimaisha sisi na vijana wetu piya iz elim watu wengezipataga mapema wasingepeleka watoto kwenda nje kusoma nchi ambazo kila siku wanatuma mapesa h
From Tanzania Dar es Salaam
From zanzibar Tanzania
Mheshimiwa Ernest Makulilo tunakufata Mile na milelele barikiwa saaana
Mimi ni mkenya lakini niko Doha Qatar
Tanzania
From kigali (Rwanda)
Kwa kweli big up big up Mheshimiwa
Nipo Dar es salaam, Tanzania
From moshi Tanzania
dar es salaam tanzania🎉
Mimi nipo tanzania 🇹🇿 in nyarugusu refuge camps
Mwanangu amechukua kozi ya low anaweza kusoma icho chuo
Kaka asante kwakututowa kwenye kiza kizito mungu atakulip
EBM ni mtu Mhimu sana Nko china now nasoma masters China but hakuna kufanya Kazi.
Niko dar es salaam
Mimi naitwa Athumani naangalia kutokea Tanzania, Dar es salaam 🙏
Nadil from dar es salaam tz
I'm Kenyan currently in Bahrain
Nimeyapenda haya maelezo yako
nipo Arusha Tanzania
Naitwa Gisela nipo Kilimanjaro Tanzania. Tupo pamoja
Zanzibar
Veronicah Niko Kenya,mtaa wa pipelini
Naitwa Prisila Kiwango..Tanzania Dar es salaam
From Zanzibar!!!
Tanzania, Arusha
Kwanini mtoto asiende china au India??
Niko pamoja nawe nakufatilia Niko Tanzania Dar es salaam Mbagala Chamazi
Mr EBM naomba list ya vyuo vya Community college, deadline zao zipoje!?
Mimi nakufatilia kutokea Dar es salaam Tanzania
Je unaweza kuomba kusoma Marekani kwa kutumia uzoefu wa kazi fulani bila ya kua na academic backgrounds.
Naangalia toka Iringa Tanzania
Tanzania SIngida hapaaa
From South Africa.
Kwa wazazi ambao walimalizia grade11 je wanaweza kusoma ku community College na pesa ngapi naam kwa wenye hawajuwi English sana itakua je
Nipo Songea mimi
kias gan kinatosha kwa semister moja plz?
Mimi nipo Tanzania nipo Mwanza
Morogoro ...gairo
Kaka pole kwa kutuhangaikia kutupa taarifa njema,mimi nina diploma naweza kujiunga na community college.
Yes ur eligible
You mean kuna mpesa Kenya niliona App hakuna aki niliboeka juu hiyo ndio naweza tumia nikiwa Saudia juu hata pesa huwa wanatumia mobile wallet kunipea salary sasa hata bank ni hard kwenda
❤
Niko Nakuru City, Kenya
Niko Burundi Bujumbura.
kwa mtu aliemaliza A level na kupata Dv- I anu II je anaweza kupata scholarship community college
Tanzania dar es saaam
Mtanzania: nipo Mwanza
Nipo Tanzania mkoa wamorogoro
Mimi naitwa Christian wella nipo Songea Ruvuma
Sorry tunaomba msaada WA connection Ili utusaidie tupate chance
Tanzania kigoma
The American my dream
Mimi Niko Tanzania mkoa wa Arusha
Kaka Ebm hakika wewe umekuwa ni msaada mkubwa Sana kwetu sisi waafrika endelea kutupa taarifa kwani mafanikio ya waafrika yanatokana na upendo was waafrika wenyewe, U arikiwe Sana kaka
Kila kitu unatueweka waaazi
Brother hiyo app kila nikijaribu kulog in inasema kuna tatizo la kimtandao
DSM TZ
Nipo njombe Tanzania
Na je wajina kuhusu garama ziko je
Am having a problem with the app
Wakumbuke hiyo usd 1000 wewe upo USA sisi tunaivalue dola elfu moja kibongobongo nafikiri ni sawa kwa hiyo bei tatzo u humi huku bongo
Naitwa Alfa nipo bongo dar es salam
Mimi ni Gabriella nipo Dar es salaam
Kama Nina certificate na diploma naweza kuaply na cheti kipi hapo?
Diploma
Asante
From zanzibar Tanzania
Nipo njombe Tanzania