FURSA YA KUSOMA COMMUNITY COLLEGES MAREKANI (Usimpeleke Mtoto China au India kusoma)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Elimu kuhusu watu wanaotaka kusoma MAREKANI kwa hatua ya Associate Degree na Degree kwenye vyuo vyenye GHARAMA NAFUU (Studying at Affordable Community Colleges in the USA!)
    Webinar hii ni kwa wanafunzi, wafanyakazi, wazazi nk kupata elimu hii. Huna haja ya kumpeleka mtoto wako huko China, India, Malaysia nk kusoma degree yake. Maana huko haruhusiwi kufanya kazi, hivyo mwanafunzi anaendelea kuwa tegemezi kwa mzazi kutuma hela kila mwezi. Na akimaliza shule akisoma huko itamfanya arudi nchini kukimbizana na ajira.
    Hii ni tofauti na kama akija kusoma Marekani ambapo mwanafunzi anafanya kazi na kusoma, kutokuwa tegemezi kwa mzazi. Na akimaliza shule kuna njia nyingi za kubakia hapa na kufanya kazi na kuishi.
    Ernest B Makulilo
    EBM SCHOLARS, LLC
    Missouri, USA
    www.ebmscholars.com
    ebm@ebmscholars.com
    Download our New App, EBM SCHOLARS APP play.google.co...
    Or Search EBM SCHOLARS on Google Play Store to Download the app
    DONATE TO EBM SCHOLARS
    1. PayPal www.paypal.com...
    2. CASH APP cash.app/$EBMS...

Комментарии • 85

  • @ngoynzoagermain
    @ngoynzoagermain 9 месяцев назад +3

    Pamoja sana mkuu 5/5 🇨🇩🇨🇩 mimi ni mkongomani naishi Bujumbura Burundi 🇧🇮

  • @tinaminja5500
    @tinaminja5500 9 месяцев назад +2

    Mungu akubariki mno kwa kutujuza❤ from Arusha Tanzania 🇹🇿

  • @masaifinancialagent5089
    @masaifinancialagent5089 9 месяцев назад +2

    Nakufuatilia sana kaka elimu unayotupatia kubwa mno

  • @BlaiseNdayongeje-wk6uj
    @BlaiseNdayongeje-wk6uj 9 месяцев назад +2

    Burundi 🇧🇮🇧🇮

  • @sukivlog885
    @sukivlog885 9 месяцев назад +2

    Niko Doha Qatar lakini natamani kuja USA Nna elimu ya high school ya nchi yangu Tanzania

  • @BlaiseNdayongeje-wk6uj
    @BlaiseNdayongeje-wk6uj 9 месяцев назад +2

    Asante

  • @vincent3280
    @vincent3280 9 месяцев назад +2

    Pamoja kaka

  • @BAMOMEMORIALFOUNDATION254
    @BAMOMEMORIALFOUNDATION254 9 месяцев назад +3

    Niko kenya Nakuru County.

  • @BlaiseNdayongeje-wk6uj
    @BlaiseNdayongeje-wk6uj 9 месяцев назад +2

    Sana

  • @Ashi_Mushi
    @Ashi_Mushi 4 дня назад

    Naangàlia from Chuga Tz ❤

  • @user-zw7tb7dx6f
    @user-zw7tb7dx6f 9 месяцев назад +1

    Niko burundi buyenzi

  • @eddmina
    @eddmina 9 месяцев назад +1

    Pamoja sanaa

  • @salimabdallah8097
    @salimabdallah8097 9 месяцев назад

    Mr. Ebm kwa kweli tumenufaika sana na elimu uliyotoa iko vizuri natumai wengi tumenufaika nayo nami nitaendelea kukutumia katika yale tuliyoongea, nashukuru sana.

  • @NS-ru1yf
    @NS-ru1yf 8 месяцев назад

    Tz,Arusha

  • @jumamanzi4531
    @jumamanzi4531 9 месяцев назад +1

    Ndo nimejiunga sahivi bro nafurahi sana

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 9 месяцев назад

    God bless you bro umejikita sana kuakikisha ndugu zako tunasonga mbele kimaisha sisi na vijana wetu piya iz elim watu wengezipataga mapema wasingepeleka watoto kwenda nje kusoma nchi ambazo kila siku wanatuma mapesa h

  • @Summerbtz
    @Summerbtz Месяц назад

    From Tanzania Dar es Salaam

  • @user-tf3vf8rj8n
    @user-tf3vf8rj8n 7 месяцев назад

    From zanzibar Tanzania

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 9 месяцев назад

    Mheshimiwa Ernest Makulilo tunakufata Mile na milelele barikiwa saaana

  • @bonnyuholo7555
    @bonnyuholo7555 9 месяцев назад +2

    Mimi ni mkenya lakini niko Doha Qatar

  • @tesenimgabo2009
    @tesenimgabo2009 9 месяцев назад

    Tanzania

  • @user-hy1mt1vb7e
    @user-hy1mt1vb7e 3 месяца назад

    From kigali (Rwanda)

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 9 месяцев назад

    Kwa kweli big up big up Mheshimiwa

  • @samuelmbaga1557
    @samuelmbaga1557 4 месяца назад

    Nipo Dar es salaam, Tanzania

  • @IsiakaNkya
    @IsiakaNkya 5 месяцев назад

    From moshi Tanzania

  • @hushtracktz
    @hushtracktz 7 месяцев назад

    dar es salaam tanzania🎉

  • @medadylavas4928
    @medadylavas4928 9 месяцев назад

    Mimi nipo tanzania 🇹🇿 in nyarugusu refuge camps

  • @SuzanMkeyenge
    @SuzanMkeyenge 16 часов назад

    Mwanangu amechukua kozi ya low anaweza kusoma icho chuo

  • @khamisali-wz8ds
    @khamisali-wz8ds 9 месяцев назад

    Kaka asante kwakututowa kwenye kiza kizito mungu atakulip

  • @GodandGodAlone1
    @GodandGodAlone1 7 месяцев назад

    EBM ni mtu Mhimu sana Nko china now nasoma masters China but hakuna kufanya Kazi.

  • @samuelmbaga1557
    @samuelmbaga1557 3 месяца назад

    Niko dar es salaam

  • @aoloathumani10
    @aoloathumani10 9 месяцев назад

    Mimi naitwa Athumani naangalia kutokea Tanzania, Dar es salaam 🙏

  • @nadildylan6124
    @nadildylan6124 7 месяцев назад

    Nadil from dar es salaam tz

  • @user-wz7ci3xp1f
    @user-wz7ci3xp1f 9 месяцев назад

    I'm Kenyan currently in Bahrain

  • @christianchristianwella4910
    @christianchristianwella4910 9 месяцев назад

    Nimeyapenda haya maelezo yako

  • @lilianlukumai
    @lilianlukumai 8 месяцев назад

    nipo Arusha Tanzania

  • @giselapeter5282
    @giselapeter5282 9 месяцев назад

    Naitwa Gisela nipo Kilimanjaro Tanzania. Tupo pamoja

  • @fedrickfred7406
    @fedrickfred7406 9 месяцев назад

    Zanzibar

  • @veronicah2160
    @veronicah2160 9 месяцев назад

    Veronicah Niko Kenya,mtaa wa pipelini

  • @user-hv1zn6lw3p
    @user-hv1zn6lw3p 9 месяцев назад

    Naitwa Prisila Kiwango..Tanzania Dar es salaam

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 9 месяцев назад

    From Zanzibar!!!

  • @Upendo-t9s
    @Upendo-t9s 9 месяцев назад

    Tanzania, Arusha

  • @jumamanzi4531
    @jumamanzi4531 9 месяцев назад +1

    Kwanini mtoto asiende china au India??

  • @poohwashington2752
    @poohwashington2752 9 месяцев назад

    Niko pamoja nawe nakufatilia Niko Tanzania Dar es salaam Mbagala Chamazi

  • @Ahmed26171
    @Ahmed26171 5 месяцев назад

    Mr EBM naomba list ya vyuo vya Community college, deadline zao zipoje!?

  • @davidmajura6706
    @davidmajura6706 9 месяцев назад

    Mimi nakufatilia kutokea Dar es salaam Tanzania

  • @usamaiddsu
    @usamaiddsu 9 месяцев назад

    Je unaweza kuomba kusoma Marekani kwa kutumia uzoefu wa kazi fulani bila ya kua na academic backgrounds.

  • @mbokachawe9657
    @mbokachawe9657 9 месяцев назад

    Naangalia toka Iringa Tanzania

  • @howardbillionaire
    @howardbillionaire 5 месяцев назад

    Tanzania SIngida hapaaa

  • @saviorJesusChrist
    @saviorJesusChrist 9 месяцев назад

    From South Africa.
    Kwa wazazi ambao walimalizia grade11 je wanaweza kusoma ku community College na pesa ngapi naam kwa wenye hawajuwi English sana itakua je

  • @christianchristianwella4910
    @christianchristianwella4910 9 месяцев назад

    Nipo Songea mimi

  • @fortunatah
    @fortunatah 2 месяца назад

    kias gan kinatosha kwa semister moja plz?

  • @Ahmed26171
    @Ahmed26171 5 месяцев назад

    Mimi nipo Tanzania nipo Mwanza

  • @GairoTeamOfficesim-sh6lp
    @GairoTeamOfficesim-sh6lp 7 месяцев назад

    Morogoro ...gairo

  • @rahelpaul3079
    @rahelpaul3079 9 месяцев назад

    Kaka pole kwa kutuhangaikia kutupa taarifa njema,mimi nina diploma naweza kujiunga na community college.

  • @aashirumargaretchege6527
    @aashirumargaretchege6527 9 месяцев назад

    You mean kuna mpesa Kenya niliona App hakuna aki niliboeka juu hiyo ndio naweza tumia nikiwa Saudia juu hata pesa huwa wanatumia mobile wallet kunipea salary sasa hata bank ni hard kwenda

  • @NamAtaro_Kenya
    @NamAtaro_Kenya 9 месяцев назад

  • @lucykimani4949
    @lucykimani4949 9 месяцев назад

    Niko Nakuru City, Kenya

  • @zabulonhakizimana4386
    @zabulonhakizimana4386 9 месяцев назад

    Niko Burundi Bujumbura.

  • @amosyedward1546
    @amosyedward1546 9 месяцев назад

    kwa mtu aliemaliza A level na kupata Dv- I anu II je anaweza kupata scholarship community college

  • @goodnesshosea303
    @goodnesshosea303 9 месяцев назад

    Tanzania dar es saaam

  • @jabibama
    @jabibama 9 месяцев назад

    Mtanzania: nipo Mwanza

  • @CalorineNsaro
    @CalorineNsaro 8 месяцев назад

    Nipo Tanzania mkoa wamorogoro

  • @christianchristianwella4910
    @christianchristianwella4910 9 месяцев назад

    Mimi naitwa Christian wella nipo Songea Ruvuma

  • @user-hh1wq2wf6s
    @user-hh1wq2wf6s 9 месяцев назад

    Sorry tunaomba msaada WA connection Ili utusaidie tupate chance

  • @emmanuelmsambya5293
    @emmanuelmsambya5293 9 месяцев назад

    Tanzania kigoma

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 9 месяцев назад

    The American my dream

  • @user-tc7wd1qj8e
    @user-tc7wd1qj8e 9 месяцев назад

    Mimi Niko Tanzania mkoa wa Arusha

  • @KazimiliFaustine
    @KazimiliFaustine 9 месяцев назад

    Kaka Ebm hakika wewe umekuwa ni msaada mkubwa Sana kwetu sisi waafrika endelea kutupa taarifa kwani mafanikio ya waafrika yanatokana na upendo was waafrika wenyewe, U arikiwe Sana kaka

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 9 месяцев назад

    Kila kitu unatueweka waaazi

  • @kiizerafrica8134
    @kiizerafrica8134 9 месяцев назад

    Brother hiyo app kila nikijaribu kulog in inasema kuna tatizo la kimtandao

  • @Dr_pumber
    @Dr_pumber 6 месяцев назад

    DSM TZ

  • @AndreaKilasi-b6s
    @AndreaKilasi-b6s 9 месяцев назад

    Nipo njombe Tanzania

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 9 месяцев назад

    Na je wajina kuhusu garama ziko je

  • @Wesley-AK
    @Wesley-AK 9 месяцев назад

    Am having a problem with the app

  • @mustafamgomba1713
    @mustafamgomba1713 9 месяцев назад

    Wakumbuke hiyo usd 1000 wewe upo USA sisi tunaivalue dola elfu moja kibongobongo nafikiri ni sawa kwa hiyo bei tatzo u humi huku bongo

  • @alfakisaidkilaga7605
    @alfakisaidkilaga7605 9 месяцев назад

    Naitwa Alfa nipo bongo dar es salam

  • @user-yr2sg6nq1p
    @user-yr2sg6nq1p 9 месяцев назад

    Kama Nina certificate na diploma naweza kuaply na cheti kipi hapo?

  • @BlaiseNdayongeje-wk6uj
    @BlaiseNdayongeje-wk6uj 9 месяцев назад +2

    Asante

  • @user-tf3vf8rj8n
    @user-tf3vf8rj8n 7 месяцев назад

    From zanzibar Tanzania

  • @AndreaKilasi-b6s
    @AndreaKilasi-b6s 9 месяцев назад

    Nipo njombe Tanzania