Habari. Nimesoma certificate ya Information Technology, nahitaji kusoma Diploma ya Information Technology. Naomba msaada wako. Niwe na Documents gani? Ada bei rahisi ni kiasi gani? Hostel za bei rahisi sana ni bei gani?
Washikaji ninyi ambao mko US mwishoni mmebadiri mada hivi mnajua kwamba walio nyumbani walihitaji sana info mahusus? Ko hamkumbuki walio Om mnakalia kumshauri apandishe bei 😂😂😂😂😂
Thank you ...emb
First comment today, thanks brother EBM for the information
Thanks...I really appreciate
Bro nimesikiliza yote asante sanaaaaaaaaaaa
Thank you for information brother
Thank for Information EBM
Very informative🙏
Habari. Nimesoma certificate ya Information Technology, nahitaji kusoma Diploma ya Information Technology. Naomba msaada wako.
Niwe na Documents gani?
Ada bei rahisi ni kiasi gani?
Hostel za bei rahisi sana ni bei gani?
Ukiomba visa zote mbili B1 na B2 pamoja kwenye ada unalipaje nako
Can I change my B1/B2 visa to a student/training visa if I join a truck driving college once in the US???
Nime submit DS 160 na nimegundua nimekosea baadhi ya Taarifa je naweza ku edit ds 160 yangu?
Hauwez umesubmit tyr
Washikaji ninyi ambao mko US mwishoni mmebadiri mada hivi mnajua kwamba walio nyumbani walihitaji sana info mahusus? Ko hamkumbuki walio Om mnakalia kumshauri apandishe bei 😂😂😂😂😂