Kk ahsant sana Kwa msaada mkubwa Kwa Africa na na jamii ya wanaojielewa ktk maisha... Bwana akubariki sana EDM... Please 🙏🙏🙏 naomba mawasiliano ya whpp Yako sir...
Mkuu ahsante sana kwa Elimu hii,nilitaka kuuliza hivi ikitokea mtu ameshinda greencard lottery na akawa hana uwezo wa kujigharamia kwa mahitaji yote mf,kugharamia document ya daktari kuthibisha afya ako,nauli hiyo nafasi unakua umeipoteza au inakuaje hapo?
Kaka samahani naomba uelezee vizuri hapo kwenye km umewahi ku apply green card lottery na hujapata je hutakiwi kusema kwenye fomu ile ya Ds 160 au pale kwenye interview hutakiwi kusema
Kaka mmi niliomba visa nikakosa alafu nikairudia ila tarehe za tukio zimepita alafu intaviwer ni mwezi huu wa tarehe 29 sasa hapo nitamdanganyaje barozi ,ilikuwa ni harusi
Na jambo lingine niliomba green card lottery kupitia EMB nataka kufaham kama pindi natokeo yakitoka na nikapata nafasi na wakati huo nikawa marekani ambapo nilienda kwa njia nyingine vp nilazima kufanya interview huku Tanzania
Kk ahsant sana Kwa msaada mkubwa Kwa Africa na na jamii ya wanaojielewa ktk maisha... Bwana akubariki sana EDM... Please 🙏🙏🙏 naomba mawasiliano ya whpp Yako sir...
Hii elimu mzee sio mchezo asante sana kka ebm Allah akubariki sana
Asante kwa elimu..Mungu akubariki
Thank you EBM for the very informative guidance
Mkuu asante sana darasa zuri sana hili
Mazingatio muhimu sana
#mpakakieleweke #vivaebm
Shukran kaka
Ahsante kwa elimu hii kubwa..Baraka nyingi zikumiminikie
Kaka Mheshimiwa Ernest Makulilo Ahsante saaana
Nakupata kaka Ebm
Hii video inatoa sana elim kwa vishoka wa tz kwenye mipango yao kujifanya wanaweza kukupeleka usa
Asante kwa haya yote mkuu
Wazee mpango hapa usiombe green card lottery masna ukikosa ukija omba visa nawakajua ulishawahi kuomba hyo card ndug yangu umeisha
Sio kweli
Immigrant vs non immigrant
Mkuu ahsante sana kwa Elimu hii,nilitaka kuuliza hivi ikitokea mtu ameshinda greencard lottery na akawa hana uwezo wa kujigharamia kwa mahitaji yote mf,kugharamia document ya daktari kuthibisha afya ako,nauli hiyo nafasi unakua umeipoteza au inakuaje hapo?
wazee wanakufyeka...😅😅 video zuri sana umetupa elimu kwa undani zaidi
Somo zuri sana kaka ebm
Na nilikuwa na vigezo vyote ,,alafu wenzangu wawili walipata na wote tulitumia njia hiyo hiyo ila intaviwer siku tofauti
Shukran sana mkuu
Kaka samahani naomba uelezee vizuri hapo kwenye km umewahi ku apply green card lottery na hujapata je hutakiwi kusema kwenye fomu ile ya Ds 160 au pale kwenye interview hutakiwi kusema
Naomba kujua gharama zinazotakiwa katika safari ya kimatembezi nchini marekani
But ebm ni mwisho wa matatzo
Kaka mmi niliomba visa nikakosa alafu nikairudia ila tarehe za tukio zimepita alafu intaviwer ni mwezi huu wa tarehe 29 sasa hapo nitamdanganyaje barozi ,ilikuwa ni harusi
Duu mdg wangu nae ni tarehe hiyo ya visa.mwezi huu
Na jambo lingine niliomba green card lottery kupitia EMB nataka kufaham kama pindi natokeo yakitoka na nikapata nafasi na wakati huo nikawa marekani ambapo nilienda kwa njia nyingine vp nilazima kufanya interview huku Tanzania
Kuna aina ngapi ya visa
What about health insuarance international
Ukiwa una historia ya kutembelea nchi yoyote unanyimwa visa?
Kaka EBM nisaidie kitu kwa mgeni mara ya kwanza namna gani anaweza kupata mawasiliano, akaunti namba ya benki na paperwork
Kaka mbona hatukupati, hujibu email wala ujumbe kwa what's up tuko serous kuja ughaibuni kupiga Shule gharama za huduma yako tutalipa.
Sasa Kama hujawai kwenda nchi za Dunia ya kwanza maana ake huwezi kupewa visa
Kaka nahitaji niombe visiting visa lakini sifaham jinsi ya kuomba
Naombeni email adree