Kuna rafiki yangu mmoja nilimwambia aombe dv lotery , akakataa kwasababu anasema marekan kuna homeless anaogopa kuwa homeless mean while jmaa hana issue yoyote bongo😂😂😂
I love how EBM is passionate about America and encouraging people to pursue the American dream. Keep doing what you do because you've brought many of us to light. Because of you my American dream started this year and am very optimistic nitafika America pamoja na familia yangu
hao wanaosema maisha ya ugaibuni ni magumu ni wale wasiopenda kujituma ambao hata ukiwakuta dar hawana issue za maana. kila sehemu maisha ni magumu ni mtu mwenyewe jinsi gani unaweza kupambananayo
Maisha ni mtu mwenyewe, maisha yakiwa magumu Tanzania huwezi fananisha na ugumu wa maisha ugaibuni bhana. Ukienda ugaibuni utakavyojipanga kimaisha kutaamua maisha yako yataendeleaje. Ukienda bila malengo utakosa muekekeo.
Kaka EBM Kwanza Hongera kwa kutupa martial mazuri na Adimu sana kama hayoo Na huyo kijana ambaye ameikataa Green Card Amepewa Supu Hatari kweli kweli Muachee Abaki Kuuza KARANGA anataka amewe nini Sasa
Uyo anayoongea ivyo ni mshamba uyo kaka uyo maisha yashampiga na ndio maana anawatia ujinga na wengine asikuongopee mtu, I tell you fact maisha ya nje sio sawa na maisha ya Tz
nyie ndo wale ndio mzeee kimubwa kupambana hata bongo ukiwa msenge msenge unakua maskini kokote utaftaji unatakiwa kujarbu sio mbaya ni uthubutu shida ya serikali yetu ishawap inferiority wabongo wengi sana aya uwe boda boda ukatwe mguu
Your right but ughaibuni sio ya kila mtu, kama mtu ameshinda bati nasibu na ataki kuja mwacheni musimlazimishe, opportunities zipo na challenges zipo pia kuishi nje need to have psychological stable not about education and legal papers only.
Am watching nikiwa Bahrain..Watu kama hao kina Petter ndio wale wanga ambao wakisikia mtu amesafiri kwenda nje ya Tanzania kutoka ndani ya familia ya ndio wanaowaroga
Alafu Hakuna mkenya kwenye ubarozi wa marekani nchi Tanzania anaetoa visa bali watu wanamfananisha Yule mdada anaefanya finger kuwa ndie anawanyima visa mabarozi wote ni wazungu na wako wawili wakike na wa kiume
Wabongo Wana vituko sana kwenye kukatisha watu tamaa tu hawajambo kibaya ni kuwa mhamiaji haramu ila Kama ww ni una enda Kwa program maalum utatesekaje bana shida ya watu ni wagumu kuelewa
Bro hao watu mi nishawawekaga pembeni unakuta jitu liko Germany, Denmark, Netherlands, Canada, UK, USA etc halafu linakwambia eti usiende uko maisha ni magumu wakat huo yeye Wala hataki kurudi, sas jitu kama Hilo unaliweka kwenye kundi gan.? Yaan Kuna mijituu Ina roho mbaya Hadi inakera
Afadhali umewaambia ukweli Kaka. Kuna jitu limoja lilirudi Tanzania. Lika anza kuwaambia watu kuwa Maisha ya Marekani ni magumu. 😅😅😅.....nimelishangaa limerudi Marekani kwenye maisha magumu 😂😂😂
Hongera sana mzee majibu yamekamilika ila Nina swali je nikiwango gani cha Elimu kinafaa kwa mtu kutembelea USA
This is why I only listen to the positive videos, yes its hard everywhere but learning from those who have made it.
Asante kwa kuongea kwa uwazi 👏👏
Achana na kamati ya roho chafu kaka nakukubali sana coz hauna roho chafu respect brother from Kenya
Awo ni watowo wa mama
My brother uko vizuri sana nakukubali we ni mwalimu mzuri sana
Waafrica wana low capacity of thinking,pia hawapendi watu wengine wafanikiwe.
True ❤
Well said, chuki mbaya mnoo wanachukianaa ughaibuni too much jelous for each other !
Wallahi Mheshimiwa Ernest Makulilo habari yako kwa kweli uyo mwenye yuko anasema hajui
Respect sana kaka Ernest Makulilo naamini One day yes Nitafika USA achana na Wasio na Malengo ya kufika huko!
Brò mm sijali maisha magumu natka kuuliza vp kuja marekan mpka ujue kingereza au hyo tu
Kuna rafiki yangu mmoja nilimwambia aombe dv lotery , akakataa kwasababu anasema marekan kuna homeless anaogopa kuwa homeless mean while jmaa hana issue yoyote bongo😂😂😂
Pole yake
kazoea kula kula nyumbani na mvivu kufanya kazi
Baba mbona povu sana mkuu
Mm sielew chochote Yan mpaka nije kuishi uko mwaka nimecheza girikad naomba Allah anisimamie nishinde awa mm hawanikatishi Tama
faza waambie ukweli mana wamezoea kutukatisha tamaa Hao wenye roho zakorosho
Watu wanaroho mbaya sanaa bongo ...u.s.a tunapambana mpaka tuingie huku na nimeomba green lotery this year I'm just waiting majibu yatoke
Safi maerezo mazuri sana kaka Ebm
Asante kwa kutoatazamo chanya,pia pole naona usoni haupo Kama nilivokuzoea kukuona
Mm natamani sana kuja marekan lakn sina muelekeo ila paspot ninayo sina visa wala nn naomba msahada wako
I love how EBM is passionate about America and encouraging people to pursue the American dream. Keep doing what you do because you've brought many of us to light. Because of you my American dream started this year and am very optimistic nitafika America pamoja na familia yangu
Maisha magumu ni mtu mwenyewe anavyoyapeleka au anavyotaka mtu mwenyewe aishi kutokana na plain yake ya maisha yake...
Jamani tunatafuta hizo nafasi hatuzipati wengine wanaleta nyodo du huyo alisema hivyo hajielewi
Brov unawajua adi kina Angel nyigu 😝😝😝😝😝😝😝
BRAZA EBM HUTAKIWI KUWAJIBU WAPUUZI. MAJITU MAJINGA JINGA NI MENGI MNO, USIYAJIBU. MIMI NAKUTANA NA MABICHWA KAMA HAYO. KUWAJIBU WANAKUCHOSHA.
Ni kweli kk edm hasa Tanzania wamezoweya kukatisha watu tamaaa
Usiwaamshe waache walale
How are you doing brother you speak true ukweli
Shukran
Kaka pole Sana kwa shida watu sio jielewa maisha nipo pote na mamuzi mtu sikuchoahie kwa hakili pole Kama
hao wanaosema maisha ya ugaibuni ni magumu ni wale wasiopenda kujituma ambao hata ukiwakuta dar hawana issue za maana. kila sehemu maisha ni magumu ni mtu mwenyewe jinsi gani unaweza kupambananayo
Mkuu hzo ni kamat za kishikirika maana ushirikina xio kuwanga usiku tuu
Maisha ni mtu mwenyewe, maisha yakiwa magumu Tanzania huwezi fananisha na ugumu wa maisha ugaibuni bhana. Ukienda ugaibuni utakavyojipanga kimaisha kutaamua maisha yako yataendeleaje. Ukienda bila malengo utakosa muekekeo.
Wambie sione sababu ya mtu kutofulahiya kuona mwenzake Anafanikisha,popote maisha nimagumu huezi kupata bila kutafuta
Kwa kumuona tu ebm face to face na kupata advice kwake ,,,, ninaamini one day in America,,,,,,
Wape vidonge vyao mkuuuu😂🤭🤣🤣😇🤣🤣
Mungu akulipe kwa dalasa
Mimi nisaidie kuhusu issue ya racism huko hiyo inanitia hofu
Kaka EBM Kwanza Hongera kwa kutupa martial mazuri na Adimu sana kama hayoo Na huyo kijana ambaye ameikataa Green Card Amepewa Supu Hatari kweli kweli Muachee Abaki Kuuza KARANGA anataka amewe nini Sasa
EBM shukurani ila kamati za roho mbaya zisimame kwani siote tunakua tunaitaji kusonga mbere kbsa sizani kuna mtu apendi kusongambere
Wavivu hao
Kamaha hawataki si waache tuu ss tunapambana tukifanakia hamuna kuchelea ata kidogo
Connection mwaya wewe ulikua na Connection
Kwl kabisa wabongo atupendani
Prof tema nondo kamati ya roho mbaya hawafai hawa
Uyo anayoongea ivyo ni mshamba uyo kaka uyo maisha yashampiga na ndio maana anawatia ujinga na wengine asikuongopee mtu, I tell you fact maisha ya nje sio sawa na maisha ya Tz
nyie ndo wale ndio mzeee kimubwa kupambana hata bongo ukiwa msenge msenge unakua maskini kokote utaftaji unatakiwa kujarbu sio mbaya ni uthubutu shida ya serikali yetu ishawap inferiority wabongo wengi sana aya uwe boda boda ukatwe mguu
😂😂😂😂😂 watu waoga sana wanaambukiza na wengine
Uyo nzo professor na mukubali from burundi
Muha kachafukwa, anatema nondo tu
Kweli pro
Kamati ya Roho mbaya inateseka sana
Your right but ughaibuni sio ya kila mtu, kama mtu ameshinda bati nasibu na ataki kuja mwacheni musimlazimishe, opportunities zipo na challenges zipo pia kuishi nje need to have psychological stable not about education and legal papers only.
Wambie hao ambao hawaelewi muache akae hukohuko
Am watching nikiwa Bahrain..Watu kama hao kina Petter ndio wale wanga ambao wakisikia mtu amesafiri kwenda nje ya Tanzania kutoka ndani ya familia ya ndio wanaowaroga
😅😅😅😅
@@iamdonvevo Eeh kwasababu tayari jashajionyesha roho mbaya mapema,sasa unazani atakuwaje si ndo walewale wachawi wa kuroga wenzao kwenye mafanikio
@@alijumamohamed ni kwel kabisa kaka
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Mbona unafoka😂
Watanzania bila kuwafokea hawaelewi?😅😅😅
Ukweli mtupu huo EBM 😂😂😂😂
Tutafia humu humu. Hata bongo wanaingizwa chupa na mwanamke.
Nikweli 🎉
Alafu Hakuna mkenya kwenye ubarozi wa marekani nchi Tanzania anaetoa visa bali watu wanamfananisha Yule mdada anaefanya finger kuwa ndie anawanyima visa mabarozi wote ni wazungu na wako wawili wakike na wa kiume
Ndio kaka nikupambana maisha uyo jamaa ayiko sawa,from Burundi 🇧🇮 niko nafatilliya video zako.
Wabongo Wana vituko sana kwenye kukatisha watu tamaa tu hawajambo kibaya ni kuwa mhamiaji haramu ila Kama ww ni una enda Kwa program maalum utatesekaje bana shida ya watu ni wagumu kuelewa
Maisha nivile MUNGU alivyo panga mtu afanikiwe mtu anaweza KUFANIKIWA mahali popote ambapo MUNGU amepanga afanikiwe kikubwa juhudi na bidii
Nondo!! The way you do!!....!!!
Kaka
All most 50 milion anazipoteza hivi hivi Kukataa Green Card Daa huyo kijana Ajiaangaliye Tena na Tena Sasa
Hao watu wenye roho mbaya ndio wako hivyo hlf hawana akili
Never backdown mpaka kieleweke
Hata yawe magumuje lazima niende Marekani
Unatufanya tuwe nanguvu ubarikiwe sana makulilo
Bro hao watu mi nishawawekaga pembeni unakuta jitu liko Germany, Denmark, Netherlands, Canada, UK, USA etc halafu linakwambia eti usiende uko maisha ni magumu wakat huo yeye Wala hataki kurudi, sas jitu kama Hilo unaliweka kwenye kundi gan.? Yaan Kuna mijituu Ina roho mbaya Hadi inakera
Maisha popote kila mtu ana mbinu zake za utafutaji, kinachotakiwa kupambana popote pale, iwe Bongo au viwanja vingine
Mfano tu Dar,ukitoka mkoani na kuja Dar bila think what you will do to survive,you failed
😅😅😅😅wapi petter wa mateso
Mimi nimechelewa kujua wallah
Brother na Mimi nimeomba green card mwaka huu nikipata naomba msaada wako katika kutafuta host
sio rahisi hivyo
@@kwisa4899kwa nin sio rahisi?
Everything is possible if you determine.
Wew unasemaga ukweli
Unachosema ni fact sana kaka
Naomba ufungue na office dubai watu wanatapeliwa sana apa
Huna baya EBM
Ata Mario alisema dar kugumu kweli lakini Kila siku watu wanakuja tu😂😂😂 pambana popote utafanikiwa tu
Huyo jamaa ni mpumavu tena masikini wa akili na maisha mwache afie bongo na biashara yake ya mkaa bwege huyo
Kaka Ebm wambie ukweli ata Tanzania kuna maisha magum ninacho kiamini ata kazi ya kupiga box inalipa inategemeana unapran gani
Nna umri wa MIAKA 63 isyo na maradhi ninaruhusiwa kuja us?
Kuna jamaa niliwaji mshirikisha ntaka niombee dv lottery, akanbi crush mbaya, Sahiv anafanya harakati za kwenda Korea
wengi tuna tabia mtu atoboe aje kutambie wenzie bongo ni upumbavu sana sie watu weusi wq east africa
Tutakuja tu MUNGU yupo
Common sense!
Naitaji mtoto wako
Fact tupu
Uyo ni chizi
Maisha popote
😂😂😂😂😂😂😂 athanasius na watu wajinga
🤣🤣🤣🤣🤣
Kaka unaongea kama unamfokea mtu.. kumbe unamhamasishaaa.. au ndio kuongea kimarekan hvyo
uyo si muha
Afadhali umewaambia ukweli Kaka. Kuna jitu limoja lilirudi Tanzania. Lika anza kuwaambia watu kuwa Maisha ya Marekani ni magumu. 😅😅😅.....nimelishangaa limerudi Marekani kwenye maisha magumu 😂😂😂
Waambie hao wapumbavu
Kwaiyi Dunia panawatu hawataki wengine wasonge mbele