Achana na kamati ya roho mbaya, oooh usiende USA eti maisha magumu. Acha kusikiliza watu wa hivi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 дек 2023
  • Kuna watu wengi ni KAMATI YA ROHO MBAYA. Hawataki wengine wanufaike, wanataka washindwe au wasifanikiwe.

Комментарии • 110

  • @brunonestory9881
    @brunonestory9881 2 месяца назад

    Hongera sana mzee majibu yamekamilika ila Nina swali je nikiwango gani cha Elimu kinafaa kwa mtu kutembelea USA

  • @roslynseries
    @roslynseries 7 месяцев назад +3

    This is why I only listen to the positive videos, yes its hard everywhere but learning from those who have made it.
    Asante kwa kuongea kwa uwazi 👏👏

  • @emmaculatewambua-ou9nu
    @emmaculatewambua-ou9nu 7 месяцев назад +5

    Achana na kamati ya roho chafu kaka nakukubali sana coz hauna roho chafu respect brother from Kenya

  • @ndikumanajafari1914
    @ndikumanajafari1914 2 месяца назад

    Awo ni watowo wa mama

  • @hamissiali4121
    @hamissiali4121 7 месяцев назад +1

    My brother uko vizuri sana nakukubali we ni mwalimu mzuri sana

  • @rahelpaul3079
    @rahelpaul3079 7 месяцев назад +4

    Waafrica wana low capacity of thinking,pia hawapendi watu wengine wafanikiwe.

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 7 месяцев назад +2

    Wallahi Mheshimiwa Ernest Makulilo habari yako kwa kweli uyo mwenye yuko anasema hajui

  • @ELIEZERNDARO
    @ELIEZERNDARO 6 месяцев назад +1

    Respect sana kaka Ernest Makulilo naamini One day yes Nitafika USA achana na Wasio na Malengo ya kufika huko!

  • @AltonFelix-vy5be
    @AltonFelix-vy5be Месяц назад

    Brò mm sijali maisha magumu natka kuuliza vp kuja marekan mpka ujue kingereza au hyo tu

  • @salvatorybakilana2378
    @salvatorybakilana2378 7 месяцев назад +5

    Kuna rafiki yangu mmoja nilimwambia aombe dv lotery , akakataa kwasababu anasema marekan kuna homeless anaogopa kuwa homeless mean while jmaa hana issue yoyote bongo😂😂😂

    • @joycemhana2018
      @joycemhana2018 7 месяцев назад +1

      Pole yake

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 5 месяцев назад +1

      kazoea kula kula nyumbani na mvivu kufanya kazi

  • @WilsonJohn-or6rl
    @WilsonJohn-or6rl 7 месяцев назад +2

    Baba mbona povu sana mkuu

  • @user-vh3lc7vn9y
    @user-vh3lc7vn9y 6 месяцев назад

    Mm sielew chochote Yan mpaka nije kuishi uko mwaka nimecheza girikad naomba Allah anisimamie nishinde awa mm hawanikatishi Tama

  • @user-yb2ed8we8p
    @user-yb2ed8we8p 3 месяца назад

    faza waambie ukweli mana wamezoea kutukatisha tamaa Hao wenye roho zakorosho

  • @mohamedithabiti4476
    @mohamedithabiti4476 7 месяцев назад +3

    Watu wanaroho mbaya sanaa bongo ...u.s.a tunapambana mpaka tuingie huku na nimeomba green lotery this year I'm just waiting majibu yatoke

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 7 месяцев назад

    Safi maerezo mazuri sana kaka Ebm

  • @vedastusmdapo3837
    @vedastusmdapo3837 7 месяцев назад

    Asante kwa kutoatazamo chanya,pia pole naona usoni haupo Kama nilivokuzoea kukuona

  • @dainesdiana583
    @dainesdiana583 6 месяцев назад

    Mm natamani sana kuja marekan lakn sina muelekeo ila paspot ninayo sina visa wala nn naomba msahada wako

  • @user-nb1qx7mh8y
    @user-nb1qx7mh8y 7 месяцев назад

    I love how EBM is passionate about America and encouraging people to pursue the American dream. Keep doing what you do because you've brought many of us to light. Because of you my American dream started this year and am very optimistic nitafika America pamoja na familia yangu

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 7 месяцев назад +4

    Maisha magumu ni mtu mwenyewe anavyoyapeleka au anavyotaka mtu mwenyewe aishi kutokana na plain yake ya maisha yake...

  • @user-tp1kd8nj1s
    @user-tp1kd8nj1s Месяц назад

    Jamani tunatafuta hizo nafasi hatuzipati wengine wanaleta nyodo du huyo alisema hivyo hajielewi

  • @huthhuthlih5858
    @huthhuthlih5858 7 месяцев назад

    Brov unawajua adi kina Angel nyigu 😝😝😝😝😝😝😝

  • @thebmcblackmiccatcher3949
    @thebmcblackmiccatcher3949 7 месяцев назад +1

    BRAZA EBM HUTAKIWI KUWAJIBU WAPUUZI. MAJITU MAJINGA JINGA NI MENGI MNO, USIYAJIBU. MIMI NAKUTANA NA MABICHWA KAMA HAYO. KUWAJIBU WANAKUCHOSHA.

  • @IbrahimMwadini-hz7ib
    @IbrahimMwadini-hz7ib 7 месяцев назад +2

    Ni kweli kk edm hasa Tanzania wamezoweya kukatisha watu tamaaa

  • @ntendindaaasab7405
    @ntendindaaasab7405 7 месяцев назад

    Usiwaamshe waache walale

  • @tuyisengegad4283
    @tuyisengegad4283 7 месяцев назад +1

    How are you doing brother you speak true ukweli

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 7 месяцев назад +1

    Shukran

  • @tatually1366
    @tatually1366 7 месяцев назад

    Kaka pole Sana kwa shida watu sio jielewa maisha nipo pote na mamuzi mtu sikuchoahie kwa hakili pole Kama

  • @upendomahenge3802
    @upendomahenge3802 6 месяцев назад

    hao wanaosema maisha ya ugaibuni ni magumu ni wale wasiopenda kujituma ambao hata ukiwakuta dar hawana issue za maana. kila sehemu maisha ni magumu ni mtu mwenyewe jinsi gani unaweza kupambananayo

  • @mkingageorge2641
    @mkingageorge2641 7 месяцев назад

    Mkuu hzo ni kamat za kishikirika maana ushirikina xio kuwanga usiku tuu

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 7 месяцев назад +2

    Maisha ni mtu mwenyewe, maisha yakiwa magumu Tanzania huwezi fananisha na ugumu wa maisha ugaibuni bhana. Ukienda ugaibuni utakavyojipanga kimaisha kutaamua maisha yako yataendeleaje. Ukienda bila malengo utakosa muekekeo.

  • @NIMFASHADieudonne-cy1fx
    @NIMFASHADieudonne-cy1fx 7 месяцев назад +2

    Wambie sione sababu ya mtu kutofulahiya kuona mwenzake Anafanikisha,popote maisha nimagumu huezi kupata bila kutafuta

  • @matevamusa2212
    @matevamusa2212 7 месяцев назад +1

    Kwa kumuona tu ebm face to face na kupata advice kwake ,,,, ninaamini one day in America,,,,,,

  • @Marwa.T.Bonaventura.
    @Marwa.T.Bonaventura. 7 месяцев назад +1

    Wape vidonge vyao mkuuuu😂🤭🤣🤣😇🤣🤣

  • @user-qv9hn9sm6i
    @user-qv9hn9sm6i 7 месяцев назад

    Mungu akulipe kwa dalasa

  • @PaulMatz-fi1zl
    @PaulMatz-fi1zl 7 месяцев назад

    Mimi nisaidie kuhusu issue ya racism huko hiyo inanitia hofu

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 7 месяцев назад +1

    Kaka EBM Kwanza Hongera kwa kutupa martial mazuri na Adimu sana kama hayoo Na huyo kijana ambaye ameikataa Green Card Amepewa Supu Hatari kweli kweli Muachee Abaki Kuuza KARANGA anataka amewe nini Sasa

  • @claudeniyondiko5460
    @claudeniyondiko5460 7 месяцев назад +1

    EBM shukurani ila kamati za roho mbaya zisimame kwani siote tunakua tunaitaji kusonga mbere kbsa sizani kuna mtu apendi kusongambere

  • @godfreykipanga9468
    @godfreykipanga9468 7 месяцев назад +1

    Wavivu hao

  • @benjaminfaustin4234
    @benjaminfaustin4234 6 месяцев назад

    Kamaha hawataki si waache tuu ss tunapambana tukifanakia hamuna kuchelea ata kidogo

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 7 месяцев назад +1

    Connection mwaya wewe ulikua na Connection

  • @oleboyofficial
    @oleboyofficial 7 месяцев назад

    Kwl kabisa wabongo atupendani

  • @hailehim1
    @hailehim1 7 месяцев назад +2

    Prof tema nondo kamati ya roho mbaya hawafai hawa

  • @salumusobo4009
    @salumusobo4009 7 месяцев назад +1

    Uyo anayoongea ivyo ni mshamba uyo kaka uyo maisha yashampiga na ndio maana anawatia ujinga na wengine asikuongopee mtu, I tell you fact maisha ya nje sio sawa na maisha ya Tz

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 5 месяцев назад

      nyie ndo wale ndio mzeee kimubwa kupambana hata bongo ukiwa msenge msenge unakua maskini kokote utaftaji unatakiwa kujarbu sio mbaya ni uthubutu shida ya serikali yetu ishawap inferiority wabongo wengi sana aya uwe boda boda ukatwe mguu

  • @Winifridainturkey
    @Winifridainturkey 7 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂 watu waoga sana wanaambukiza na wengine

  • @KisatambweAblaham
    @KisatambweAblaham 7 месяцев назад

    Uyo nzo professor na mukubali from burundi

  • @hestonbanda4832
    @hestonbanda4832 3 месяца назад

    Muha kachafukwa, anatema nondo tu

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 7 месяцев назад

    Kweli pro

  • @johnmfuko4426
    @johnmfuko4426 7 месяцев назад +1

    Kamati ya Roho mbaya inateseka sana

  • @ibbyikh1788
    @ibbyikh1788 7 месяцев назад

    Your right but ughaibuni sio ya kila mtu, kama mtu ameshinda bati nasibu na ataki kuja mwacheni musimlazimishe, opportunities zipo na challenges zipo pia kuishi nje need to have psychological stable not about education and legal papers only.

  • @AlexisCongera-so4mi
    @AlexisCongera-so4mi 7 месяцев назад +1

    Wambie hao ambao hawaelewi muache akae hukohuko

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 7 месяцев назад +2

    Am watching nikiwa Bahrain..Watu kama hao kina Petter ndio wale wanga ambao wakisikia mtu amesafiri kwenda nje ya Tanzania kutoka ndani ya familia ya ndio wanaowaroga

    • @iamdonvevo
      @iamdonvevo 7 месяцев назад

      😅😅😅😅

    • @alijumamohamed
      @alijumamohamed 7 месяцев назад

      @@iamdonvevo Eeh kwasababu tayari jashajionyesha roho mbaya mapema,sasa unazani atakuwaje si ndo walewale wachawi wa kuroga wenzao kwenye mafanikio

    • @iamdonvevo
      @iamdonvevo 7 месяцев назад

      @@alijumamohamed ni kwel kabisa kaka

    • @celinamachundoInspires
      @celinamachundoInspires 7 месяцев назад

      😂😂😂😂😂

    • @MagrethCharles-ne2ts
      @MagrethCharles-ne2ts 7 месяцев назад

      😂😂😂😂

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 7 месяцев назад +2

    Mbona unafoka😂

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 7 месяцев назад

      Watanzania bila kuwafokea hawaelewi?😅😅😅

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 7 месяцев назад +1

    Ukweli mtupu huo EBM 😂😂😂😂
    Tutafia humu humu. Hata bongo wanaingizwa chupa na mwanamke.

  • @tatually1366
    @tatually1366 7 месяцев назад

    Nikweli 🎉

  • @Msafirimakini
    @Msafirimakini 7 месяцев назад

    Alafu Hakuna mkenya kwenye ubarozi wa marekani nchi Tanzania anaetoa visa bali watu wanamfananisha Yule mdada anaefanya finger kuwa ndie anawanyima visa mabarozi wote ni wazungu na wako wawili wakike na wa kiume

  • @fabricemusore670
    @fabricemusore670 7 месяцев назад

    Ndio kaka nikupambana maisha uyo jamaa ayiko sawa,from Burundi 🇧🇮 niko nafatilliya video zako.

  • @emmanuelayoub1319
    @emmanuelayoub1319 7 месяцев назад

    Wabongo Wana vituko sana kwenye kukatisha watu tamaa tu hawajambo kibaya ni kuwa mhamiaji haramu ila Kama ww ni una enda Kwa program maalum utatesekaje bana shida ya watu ni wagumu kuelewa

  • @PROPHETLWITIKO-rr4gc
    @PROPHETLWITIKO-rr4gc 7 месяцев назад

    Maisha nivile MUNGU alivyo panga mtu afanikiwe mtu anaweza KUFANIKIWA mahali popote ambapo MUNGU amepanga afanikiwe kikubwa juhudi na bidii

  • @allyshomari7417
    @allyshomari7417 7 месяцев назад

    Nondo!! The way you do!!....!!!

  • @jackmalipo4774
    @jackmalipo4774 7 месяцев назад +1

    Kaka

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 7 месяцев назад

    All most 50 milion anazipoteza hivi hivi Kukataa Green Card Daa huyo kijana Ajiaangaliye Tena na Tena Sasa

  • @YahyaSaid-nv1ri
    @YahyaSaid-nv1ri 7 месяцев назад +1

    Hao watu wenye roho mbaya ndio wako hivyo hlf hawana akili

  • @johnmfuko4426
    @johnmfuko4426 7 месяцев назад

    Never backdown mpaka kieleweke

  • @joycemhana2018
    @joycemhana2018 7 месяцев назад

    Hata yawe magumuje lazima niende Marekani

  • @RehemaMichael-fz8qs
    @RehemaMichael-fz8qs 7 месяцев назад

    Unatufanya tuwe nanguvu ubarikiwe sana makulilo

  • @aoloathumani10
    @aoloathumani10 7 месяцев назад

    Bro hao watu mi nishawawekaga pembeni unakuta jitu liko Germany, Denmark, Netherlands, Canada, UK, USA etc halafu linakwambia eti usiende uko maisha ni magumu wakat huo yeye Wala hataki kurudi, sas jitu kama Hilo unaliweka kwenye kundi gan.? Yaan Kuna mijituu Ina roho mbaya Hadi inakera

  • @ibbyikh1788
    @ibbyikh1788 7 месяцев назад

    Maisha popote kila mtu ana mbinu zake za utafutaji, kinachotakiwa kupambana popote pale, iwe Bongo au viwanja vingine

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 7 месяцев назад

    Mfano tu Dar,ukitoka mkoani na kuja Dar bila think what you will do to survive,you failed

  • @netflixfreepremiumaccount534
    @netflixfreepremiumaccount534 7 месяцев назад

    😅😅😅😅wapi petter wa mateso

  • @aminakunja277
    @aminakunja277 7 месяцев назад

    Mimi nimechelewa kujua wallah

  • @frankkigodi8549
    @frankkigodi8549 7 месяцев назад +1

    Brother na Mimi nimeomba green card mwaka huu nikipata naomba msaada wako katika kutafuta host

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 7 месяцев назад

      sio rahisi hivyo

    • @esterpeter8295
      @esterpeter8295 7 месяцев назад

      ​@@kwisa4899kwa nin sio rahisi?

    • @frankkigodi8549
      @frankkigodi8549 7 месяцев назад

      Everything is possible if you determine.

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 7 месяцев назад

    Wew unasemaga ukweli

  • @masaifinancialagent5089
    @masaifinancialagent5089 7 месяцев назад

    Unachosema ni fact sana kaka

  • @aminakunja277
    @aminakunja277 7 месяцев назад

    Naomba ufungue na office dubai watu wanatapeliwa sana apa

  • @VicentJohn-tg9yp
    @VicentJohn-tg9yp 7 месяцев назад +1

    Huna baya EBM

  • @devidjav3583
    @devidjav3583 7 месяцев назад

    Ata Mario alisema dar kugumu kweli lakini Kila siku watu wanakuja tu😂😂😂 pambana popote utafanikiwa tu

  • @GabrielAmlima-le8wj
    @GabrielAmlima-le8wj 7 месяцев назад

    Huyo jamaa ni mpumavu tena masikini wa akili na maisha mwache afie bongo na biashara yake ya mkaa bwege huyo

  • @user-yw5hs6in2z
    @user-yw5hs6in2z 7 месяцев назад

    Kaka Ebm wambie ukweli ata Tanzania kuna maisha magum ninacho kiamini ata kazi ya kupiga box inalipa inategemeana unapran gani

  • @vivamtahoya9609
    @vivamtahoya9609 7 месяцев назад

    Nna umri wa MIAKA 63 isyo na maradhi ninaruhusiwa kuja us?

  • @peteremmanuel1188
    @peteremmanuel1188 7 месяцев назад

    Kuna jamaa niliwaji mshirikisha ntaka niombee dv lottery, akanbi crush mbaya, Sahiv anafanya harakati za kwenda Korea

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 5 месяцев назад

      wengi tuna tabia mtu atoboe aje kutambie wenzie bongo ni upumbavu sana sie watu weusi wq east africa

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 7 месяцев назад

    Tutakuja tu MUNGU yupo

  • @mwl.michaelsainethmlowe2641
    @mwl.michaelsainethmlowe2641 7 месяцев назад

    Common sense!

  • @OmariDunia-kk9sh
    @OmariDunia-kk9sh 7 месяцев назад

    Naitaji mtoto wako

  • @josiahjosiah-MPs
    @josiahjosiah-MPs 7 месяцев назад

    Fact tupu

  • @jackmalipo4774
    @jackmalipo4774 7 месяцев назад

    Uyo ni chizi

  • @user-mx1ms4rv8k
    @user-mx1ms4rv8k 7 месяцев назад

    Maisha popote

  • @user-ig4in5ut9k
    @user-ig4in5ut9k 7 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂 athanasius na watu wajinga

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 7 месяцев назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @KaribuKwetu-ex2kd
    @KaribuKwetu-ex2kd 7 месяцев назад +2

    Kaka unaongea kama unamfokea mtu.. kumbe unamhamasishaaa.. au ndio kuongea kimarekan hvyo

  • @YasminaMkali
    @YasminaMkali 7 месяцев назад

    Afadhali umewaambia ukweli Kaka. Kuna jitu limoja lilirudi Tanzania. Lika anza kuwaambia watu kuwa Maisha ya Marekani ni magumu. 😅😅😅.....nimelishangaa limerudi Marekani kwenye maisha magumu 😂😂😂

  • @OmaryKaniki-hs5mz
    @OmaryKaniki-hs5mz 7 месяцев назад +1

    Waambie hao wapumbavu

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 7 месяцев назад +1

    Kwaiyi Dunia panawatu hawataki wengine wasonge mbele