Kazi zisizohitaji Vyeti, Uzoefu Ukitua USA / Drivers License / Majimbo 10 yenye nafuu /

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2022
  • #swahilination #commonsence #Tanzania #marekani
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 61

  • @justusmochoge6577
    @justusmochoge6577 5 месяцев назад +5

    Wow I appreciate from here Kenya 🇰🇪 our beautiful Tanzanian ❤❤❤

  • @pilitanzania1420
    @pilitanzania1420 5 месяцев назад +1

    Habari dada asante kwa ushauli nzuri
    Mimi binafsi Nina ujuzi wangu ni welder nipo Mozambique nafanya kazi napenda kuja kufanya kazi huko

  • @Victor-Frank
    @Victor-Frank 7 месяцев назад +1

    Gaddamn she is giving me goosebumps with that beyonce

  • @Summertechtz
    @Summertechtz 6 месяцев назад +2

    Nimependa vile unavyowashauri ndugu zako kuhusu maisha ya ughaibuni

  • @NgelejaCharles-ng7bh
    @NgelejaCharles-ng7bh 8 месяцев назад +2

    Nakupenda dadangu, nikija nitkutafuta Kwa maelekezo zaidi.

  • @HamisDotto
    @HamisDotto 6 месяцев назад +2

    Good sana sister nikisema nije huko ninunue gari ndogo laba ya kufanyia tex bei ya chini

  • @chamballaally8767
    @chamballaally8767 2 месяца назад +2

    Nilidhani ww Salama Jabir wa BSS

    • @hanswan1
      @hanswan1 Месяц назад

      Mimi pia kafanana nae sana...mno

  • @ilankundakamenya3171
    @ilankundakamenya3171 5 месяцев назад +1

    Big up sana sister nimekuelewa vzr sana

  • @reginaevance7175
    @reginaevance7175 Год назад +1

    Asante sana dada 🙏Mungu akubariki sana

  • @abdallahyusuf7641
    @abdallahyusuf7641 5 месяцев назад

    Shukrani nimekuelewa vizuri sana tena sana

  • @eliadaniel216
    @eliadaniel216 7 месяцев назад +1

    Asante kwa elimu poa madame

  • @mubabray9845
    @mubabray9845 Год назад +1

    Asante sana dada

  • @samsonmusyimi1782
    @samsonmusyimi1782 8 месяцев назад +1

    Ghai msungu anaboga swahili❤❤❤

  • @khadijaismail8427
    @khadijaismail8427 8 месяцев назад +1

    Nimefurahishwa sana na maelezo yako ubarikiwe

  • @user-kf9uc4us3j
    @user-kf9uc4us3j 7 месяцев назад +5

    Dada nimekuelewa vzr mm Niko oman nafanya kazi za ndani nataka kuja huko nipambane ni mtznia je nikija nitapata kazi ya usafi kulea mabibi au watoto naulixa hivyo maana elimi yangu darasa la 7 na hata wanakojenga kubeba tofali mm nikija sichagui kazi na hata kuzoa taka naomba nisaidie tafadhali dada angu pass port ninayo nani naomba nitajie gharama mpaka kufikia huko marekani nisaidie dada Sina Cha kukulipa ila mungu atakulipa pole Kwa usumbufu

    • @peterkariuki9073
      @peterkariuki9073 6 месяцев назад

      Uko sawa tu

    • @EricaLulakwa
      @EricaLulakwa  6 месяцев назад

      @user-kf9uc4us3j, Nimeelewa maelezo yako ntakujibu soon. Asante

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 6 месяцев назад

      Nashukuru rafiki yangu mimi niko Zanzibar natamani sana nipate nafasi ya kufanya kazi hata hapo omani tu nitashukuru naomba unisaidie kama unachanel hiyo samahani kwa usumbufu maisha yetu hujui nani ataekufaa nisaidie sixhagui kazi kazi yeyote nafanya mimi

    • @Daima-ik1cf
      @Daima-ik1cf 5 месяцев назад

      Aha mm nipo oman nilitaka niende lakin bado nawafatilia vzr

    • @MwajumaRashidi-tx6ks
      @MwajumaRashidi-tx6ks 5 месяцев назад

      Dada VP ulijibiwa

  • @emmanuelmliga132
    @emmanuelmliga132 8 месяцев назад +1

    Safi Sana dadayangu akiri kubwa

  • @dasilvajacmwax7436
    @dasilvajacmwax7436 Год назад +1

    Asante dada

  • @ronaldouchi1083
    @ronaldouchi1083 7 месяцев назад +1

    Good job sister

  • @stanslausmbuta-ck5im
    @stanslausmbuta-ck5im Год назад +1

    Safi sana dada, naomba email na no ya simu maelezo yako ni mazuri sana unaelimisha vizuri kwa kweli.

  • @dainesdiana583
    @dainesdiana583 5 месяцев назад

    nashukuru sana dada Erika nimekuelewa naomba unisaidie niweze kipata mtu kitoka uko ili nipate viza au barua ya mwaliko nataman nije kifanya kaz hata za nurse home nina passport lakan sina wakuniasaidia kija uko

  • @user-cg1qf8xi7v
    @user-cg1qf8xi7v 2 месяца назад +1

    Habali za kwako aunt

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 7 месяцев назад +1

    Thanks

  • @babyboy6310
    @babyboy6310 2 месяца назад

    Habari gani Dada.. Napenda program yako

  • @SalomeKhalfani-cm9xy
    @SalomeKhalfani-cm9xy 8 месяцев назад +2

    Dada tunashukulu sana kwamaelekezo naomba no yako

  • @user-xw4uc1pb5u
    @user-xw4uc1pb5u 8 месяцев назад +1

    Dada naomba no yko tuwasliane unielekeze zaid

  • @dasilvajacmwax7436
    @dasilvajacmwax7436 Год назад +1

    Nimesabskraibu👍

  • @SalomeKhalfani-cm9xy
    @SalomeKhalfani-cm9xy 8 месяцев назад +1

    Naomba dada tuwasiliane

  • @krtv3666
    @krtv3666 22 дня назад

    My name is Yohana Mweta.
    My question to you is that how can I get there

  • @ElikanaKiheka-fl4wu
    @ElikanaKiheka-fl4wu 5 месяцев назад

    Safe sana aiseee

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay 6 месяцев назад +2

    Hizo gharama za nyumba USA unazosema ama apartment za USA naona kama China tu hapa! Chini ya dollar 120,000 USD china hapa hupati nyumba kudadeki naona hakuna tofauti sana na USA.😱

    • @EricaLulakwa
      @EricaLulakwa  6 месяцев назад +1

      @tradersEasyway, hayo majimbo niliyoongelea ni Yale yenye gharama za chini USA.

    • @TradersEasyWay
      @TradersEasyWay 6 месяцев назад

      sawa@@EricaLulakwa

    • @user-mf5yw8nv7n
      @user-mf5yw8nv7n Месяц назад

      Hellow

  • @josephstephen2047
    @josephstephen2047 6 месяцев назад +1

    Fb upo na unatumia jina gani?

  • @johnkasosokola7461
    @johnkasosokola7461 6 месяцев назад

    Habari dada jee naipataja hiyo visor yakuja huko pia nahitaji kuja kufanya kazi nnje ya nchi

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 5 месяцев назад

    Daaah Aisee ñaoña Ùpo Kabila Lañgu Naomba Namba Kwa Mawasiliano"

  • @deniskangombe7442
    @deniskangombe7442 Месяц назад

    Tatizo lako dada haujibu msg lakin una vitu vingi sana

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.7376 Год назад +1

    Sauti yako ndogo dada ongeza Sauti..

  • @emmanuelmliga132
    @emmanuelmliga132 8 месяцев назад +1

    Naomba namba Yako dada

  • @user-st1xf9un7v
    @user-st1xf9un7v 5 месяцев назад

    Hello Erica Mimi Nina degree wa ualimu wa kiswahili na kingereza je naweza kupata kazi huko

  • @user-qy2ft1lg6e
    @user-qy2ft1lg6e Месяц назад

    Mawasiliano yko dada

  • @salumsalum8866
    @salumsalum8866 9 месяцев назад +1

    toa sauti

  • @user-ic7qf8fl9x
    @user-ic7qf8fl9x 7 месяцев назад +1

    Oi my tuongee namba

  • @samsonmusyimi1782
    @samsonmusyimi1782 8 месяцев назад

    Kama ukumalixa form 4 ukipata Green card utakubaliwa kweda?

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 2 месяца назад

      Green card sizan km wananglia kiwango cha Elimu

  • @HabibaIdany
    @HabibaIdany 2 месяца назад

    Dada namba namba

  • @rukiyashali
    @rukiyashali Год назад +1

    Vp kazi za kuchora heena ziko?

    • @viousa
      @viousa 8 месяцев назад

      Hamna

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 6 месяцев назад

      ​@@viousanaishi Zanzibar naomba channel ya fursa nisaidie pia samahani kwa kusumbua huenda utakasirika lkn ni shida na usongo wa kujikwamua kimaisha naomba uniwezeshe kwa lolote hata ushauri pia naishi Zanzibar

    • @godwinaxwesso8726
      @godwinaxwesso8726 2 месяца назад

      Vigezo gani vinahitajika kwa ajili ya green card?

    • @godwinaxwesso8726
      @godwinaxwesso8726 2 месяца назад

      Naomba ni connect na agency wa delivery driver wa USA madam

    • @user-mf5yw8nv7n
      @user-mf5yw8nv7n Месяц назад

      Hellow ​@@viousa

  • @kibejaden3306
    @kibejaden3306 7 месяцев назад +1

    Mambo ya saloon kunyoa vp