Dada nimekuelewa vzr mm Niko oman nafanya kazi za ndani nataka kuja huko nipambane ni mtznia je nikija nitapata kazi ya usafi kulea mabibi au watoto naulixa hivyo maana elimi yangu darasa la 7 na hata wanakojenga kubeba tofali mm nikija sichagui kazi na hata kuzoa taka naomba nisaidie tafadhali dada angu pass port ninayo nani naomba nitajie gharama mpaka kufikia huko marekani nisaidie dada Sina Cha kukulipa ila mungu atakulipa pole Kwa usumbufu
Nashukuru rafiki yangu mimi niko Zanzibar natamani sana nipate nafasi ya kufanya kazi hata hapo omani tu nitashukuru naomba unisaidie kama unachanel hiyo samahani kwa usumbufu maisha yetu hujui nani ataekufaa nisaidie sixhagui kazi kazi yeyote nafanya mimi
nashukuru sana dada Erika nimekuelewa naomba unisaidie niweze kipata mtu kitoka uko ili nipate viza au barua ya mwaliko nataman nije kifanya kaz hata za nurse home nina passport lakan sina wakuniasaidia kija uko
Hizo gharama za nyumba USA unazosema ama apartment za USA naona kama China tu hapa! Chini ya dollar 120,000 USD china hapa hupati nyumba kudadeki naona hakuna tofauti sana na USA.😱
@@viousanaishi Zanzibar naomba channel ya fursa nisaidie pia samahani kwa kusumbua huenda utakasirika lkn ni shida na usongo wa kujikwamua kimaisha naomba uniwezeshe kwa lolote hata ushauri pia naishi Zanzibar
Wow I appreciate from here Kenya 🇰🇪 our beautiful Tanzanian ❤❤❤
Habari dada asante kwa ushauli nzuri
Mimi binafsi Nina ujuzi wangu ni welder nipo Mozambique nafanya kazi napenda kuja kufanya kazi huko
Gaddamn she is giving me goosebumps with that beyonce
Nimependa vile unavyowashauri ndugu zako kuhusu maisha ya ughaibuni
Nakupenda dadangu, nikija nitkutafuta Kwa maelekezo zaidi.
Good sana sister nikisema nije huko ninunue gari ndogo laba ya kufanyia tex bei ya chini
Nilidhani ww Salama Jabir wa BSS
Mimi pia kafanana nae sana...mno
Big up sana sister nimekuelewa vzr sana
Asante sana dada 🙏Mungu akubariki sana
Shukrani nimekuelewa vizuri sana tena sana
Asante kwa elimu poa madame
Asante sana dada
Ghai msungu anaboga swahili❤❤❤
Nimefurahishwa sana na maelezo yako ubarikiwe
Dada nimekuelewa vzr mm Niko oman nafanya kazi za ndani nataka kuja huko nipambane ni mtznia je nikija nitapata kazi ya usafi kulea mabibi au watoto naulixa hivyo maana elimi yangu darasa la 7 na hata wanakojenga kubeba tofali mm nikija sichagui kazi na hata kuzoa taka naomba nisaidie tafadhali dada angu pass port ninayo nani naomba nitajie gharama mpaka kufikia huko marekani nisaidie dada Sina Cha kukulipa ila mungu atakulipa pole Kwa usumbufu
Uko sawa tu
@user-kf9uc4us3j, Nimeelewa maelezo yako ntakujibu soon. Asante
Nashukuru rafiki yangu mimi niko Zanzibar natamani sana nipate nafasi ya kufanya kazi hata hapo omani tu nitashukuru naomba unisaidie kama unachanel hiyo samahani kwa usumbufu maisha yetu hujui nani ataekufaa nisaidie sixhagui kazi kazi yeyote nafanya mimi
Aha mm nipo oman nilitaka niende lakin bado nawafatilia vzr
Dada VP ulijibiwa
Safi Sana dadayangu akiri kubwa
Asante dada
Good job sister
Safi sana dada, naomba email na no ya simu maelezo yako ni mazuri sana unaelimisha vizuri kwa kweli.
nashukuru sana dada Erika nimekuelewa naomba unisaidie niweze kipata mtu kitoka uko ili nipate viza au barua ya mwaliko nataman nije kifanya kaz hata za nurse home nina passport lakan sina wakuniasaidia kija uko
Habali za kwako aunt
Thanks
Habari gani Dada.. Napenda program yako
Dada tunashukulu sana kwamaelekezo naomba no yako
Wapi hiyo?
Dada naomba no yko tuwasliane unielekeze zaid
Nimesabskraibu👍
Naomba dada tuwasiliane
My name is Yohana Mweta.
My question to you is that how can I get there
Safe sana aiseee
Hizo gharama za nyumba USA unazosema ama apartment za USA naona kama China tu hapa! Chini ya dollar 120,000 USD china hapa hupati nyumba kudadeki naona hakuna tofauti sana na USA.😱
@tradersEasyway, hayo majimbo niliyoongelea ni Yale yenye gharama za chini USA.
sawa@@EricaLulakwa
Hellow
Fb upo na unatumia jina gani?
Habari dada jee naipataja hiyo visor yakuja huko pia nahitaji kuja kufanya kazi nnje ya nchi
Daaah Aisee ñaoña Ùpo Kabila Lañgu Naomba Namba Kwa Mawasiliano"
Tatizo lako dada haujibu msg lakin una vitu vingi sana
Sauti yako ndogo dada ongeza Sauti..
Naomba namba Yako dada
Hello Erica Mimi Nina degree wa ualimu wa kiswahili na kingereza je naweza kupata kazi huko
Mawasiliano yko dada
toa sauti
Oi my tuongee namba
Kama ukumalixa form 4 ukipata Green card utakubaliwa kweda?
Green card sizan km wananglia kiwango cha Elimu
Dada namba namba
Vp kazi za kuchora heena ziko?
Hamna
@@viousanaishi Zanzibar naomba channel ya fursa nisaidie pia samahani kwa kusumbua huenda utakasirika lkn ni shida na usongo wa kujikwamua kimaisha naomba uniwezeshe kwa lolote hata ushauri pia naishi Zanzibar
Vigezo gani vinahitajika kwa ajili ya green card?
Naomba ni connect na agency wa delivery driver wa USA madam
Hellow @@viousa
Mambo ya saloon kunyoa vp