Sorry my sis Mimi niliishia form three kwakuachishwa shule ila nilikuwa na ndoto zakuwa Art mkubwa wa kuchora pia nilibahatika kufika Tanga nakukitana na wazungu ila nikashindwa kujua chakufanya Ili kufika huko sijui utanisaidiaje Ili kufika huko then nipate mpenzi
Safi sana my sis, hizi ndio content mnazotakiwa mue mnatupa Jmn mara kwa mara Naimani itachangia kuweka msukumo kwa vijana tulio wengi kuhitajia kuapply hizo fursa za Kuja huko ila mie kwa upande Wangu hebu nipe detail zaid juu ya hiyo work exchange program Plz..
Exchange program zipo nyingi sana jaribu hata kujifunza kwa kuuliza RUclips au unaweza Kutumia hata exchange program za mtandaoni za kuengage na watu kutoka sehemu mbalimbali duniani na inaweza ikawa bahati yako
@@EricaLulakwa habari madam hata wewe kama una ndugu bongo na ungependa kumsaidia kufika marekani lkn bado umeshindwa usijali kampuni yetu inaweza kukusaidia na kufanikiwa katika Hilo na tayari tumeshawasaida watu wengi
Mi nipo mkoa shnyanga haitaji kuja Marekani nifanye je naitaji kwa mtu au kampuni.
Nisipokuja us napata hasara gani
hakuna
😂
Inategemea na malengo yako
Sorry my sis Mimi niliishia form three kwakuachishwa shule ila nilikuwa na ndoto zakuwa Art mkubwa wa kuchora pia nilibahatika kufika Tanga nakukitana na wazungu ila nikashindwa kujua chakufanya Ili kufika huko sijui utanisaidiaje Ili kufika huko then nipate mpenzi
Hi dear I need job am from Kenya please I need ua help thanks
Mm napenda unifamishe ikishinda bahati nasibu unafanya nn mm nimecheza .mwaka jana nasubiri majibu mwezi 5
Ndugu ukishinda u ajiandaa na proces za ticket Yani nauli na kujianda Kwa interview kdg siku utakayokwenda ubalozini kuchukua hiyo green card
Natamani Sana kuja us niliwahi kupata mualiko furani ila baada ya kwenda embassy nilikosa visa plz naomba unisaidie
Unaweza kupata msaada na ukapata visa je upo Dar esa salaam ?
God bless you sister....naona una jina la kiluyha
Safi sana my sis, hizi ndio content mnazotakiwa mue mnatupa Jmn mara kwa mara Naimani itachangia kuweka msukumo kwa vijana tulio wengi kuhitajia kuapply hizo fursa za Kuja huko ila mie kwa upande Wangu hebu nipe detail zaid juu ya hiyo work exchange program
Plz..
Pembe Mussa , Asante nitafanya hivyo.
Exchange program zipo nyingi sana jaribu hata kujifunza kwa kuuliza RUclips au unaweza Kutumia hata exchange program za mtandaoni za kuengage na watu kutoka sehemu mbalimbali duniani na inaweza ikawa bahati yako
@@EricaLulakwa habari madam hata wewe kama una ndugu bongo na ungependa kumsaidia kufika marekani lkn bado umeshindwa usijali kampuni yetu inaweza kukusaidia na kufanikiwa katika Hilo na tayari tumeshawasaida watu wengi
Nafanya mpango nije uko majuu.
Beautyful song❤❤❤❤❤which country do you come from?
God bless you more my sister
Like
Respect❤❤❤❤❤
Good content