Njia 5 za Kuja USA

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 22

  • @johnmayunga6226
    @johnmayunga6226 3 месяца назад +1

    Mi nipo mkoa shnyanga haitaji kuja Marekani nifanye je naitaji kwa mtu au kampuni.

  • @bestman8182
    @bestman8182 8 месяцев назад +1

    Nisipokuja us napata hasara gani

  • @sidemashine7168
    @sidemashine7168 8 месяцев назад +1

    Sorry my sis Mimi niliishia form three kwakuachishwa shule ila nilikuwa na ndoto zakuwa Art mkubwa wa kuchora pia nilibahatika kufika Tanga nakukitana na wazungu ila nikashindwa kujua chakufanya Ili kufika huko sijui utanisaidiaje Ili kufika huko then nipate mpenzi

  • @JoyceMusyimi-mo9hs
    @JoyceMusyimi-mo9hs 4 месяца назад +1

    Hi dear I need job am from Kenya please I need ua help thanks

  • @iddymlezi8994
    @iddymlezi8994 8 месяцев назад +1

    Mm napenda unifamishe ikishinda bahati nasibu unafanya nn mm nimecheza .mwaka jana nasubiri majibu mwezi 5

    • @InformationMarketer007
      @InformationMarketer007 2 месяца назад

      Ndugu ukishinda u ajiandaa na proces za ticket Yani nauli na kujianda Kwa interview kdg siku utakayokwenda ubalozini kuchukua hiyo green card

  • @bonamaxmagabilo-db8hp
    @bonamaxmagabilo-db8hp 10 месяцев назад +1

    Natamani Sana kuja us niliwahi kupata mualiko furani ila baada ya kwenda embassy nilikosa visa plz naomba unisaidie

  • @fjoshore2547
    @fjoshore2547 4 месяца назад

    God bless you sister....naona una jina la kiluyha

  • @pembemussa2804
    @pembemussa2804 2 года назад +1

    Safi sana my sis, hizi ndio content mnazotakiwa mue mnatupa Jmn mara kwa mara Naimani itachangia kuweka msukumo kwa vijana tulio wengi kuhitajia kuapply hizo fursa za Kuja huko ila mie kwa upande Wangu hebu nipe detail zaid juu ya hiyo work exchange program
    Plz..

    • @EricaLulakwa
      @EricaLulakwa  2 года назад +1

      Pembe Mussa , Asante nitafanya hivyo.

    • @InformationMarketer007
      @InformationMarketer007 2 месяца назад

      Exchange program zipo nyingi sana jaribu hata kujifunza kwa kuuliza RUclips au unaweza Kutumia hata exchange program za mtandaoni za kuengage na watu kutoka sehemu mbalimbali duniani na inaweza ikawa bahati yako

    • @InformationMarketer007
      @InformationMarketer007 2 месяца назад

      ​@@EricaLulakwa habari madam hata wewe kama una ndugu bongo na ungependa kumsaidia kufika marekani lkn bado umeshindwa usijali kampuni yetu inaweza kukusaidia na kufanikiwa katika Hilo na tayari tumeshawasaida watu wengi

  • @emmanueljudas4522
    @emmanueljudas4522 3 месяца назад

    Nafanya mpango nije uko majuu.

  • @frednz-s7x
    @frednz-s7x 9 месяцев назад

    Beautyful song❤❤❤❤❤which country do you come from?

  • @samsonmusyimi1782
    @samsonmusyimi1782 8 месяцев назад

    God bless you more my sister

  • @HalifaSalim
    @HalifaSalim 4 месяца назад

    Like

  • @frednz-s7x
    @frednz-s7x 9 месяцев назад

    Respect❤❤❤❤❤

  • @kyonabenjamin8056
    @kyonabenjamin8056 2 года назад

    Good content