KAZI NGUMU NILIZABULIWA KIBAO KAZINI | SIKU YA KWANZA TUNAKUTANA NILIMLAZA CHINI SIKUA NA PAKULALA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 апр 2024
  • Norbert ameeleza safari ya maisha yake kutoka Bongo kuingia Marekani kimasomo
    Ambapo yeye ni mwanasheria lakini aliingia marekani kusomea Muziki ili kuendeleza talanta yake ya muziki
    Lakini alipofika mambo yalienda ndivyo sivyo ikabidi ajiunge na kazi za kuosha vyombo, kuendesha na kufanya kazi za care ambapo alikutana na changamoto ya kazi ya kupigwa kazini.
    Sasa anafanya kazi ya Muziki kama ilivyokua ndoto yake, na ameoa African American.
    Thank you Norbert for allowing this to be online
    www.oda.international

Комментарии • 71

  • @OfficialDatingAssistance
    @OfficialDatingAssistance  2 месяца назад +3

    Instagram: min_norbert_joseph

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 2 месяца назад +5

    Kaka anajitambua sana atafika mbali. Nimependa vile ana moyo wa kushukuru kwa kila aliyemshika mkono kwa nukta moja. Big up young man.
    Na muomba Mungu aniongezee moyo wa shukrani

  • @zainabsibuma-omary7061
    @zainabsibuma-omary7061 2 месяца назад +15

    Kijana ana heshima na anajielewa na anakumbuka kutoa shukran sana, safi sana. Mazungumzo mazuri. Una bahati kupata fursa ya kufanyiwa interview bila kulipia fee huo ubalozi

  • @AdamBabalao
    @AdamBabalao 2 месяца назад +6

    Uyoo ametisha ndugu yetu wewe nimwana alakati salut dada yao

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 2 месяца назад +5

    Mambo shena , hongera kwa kazi yako zuri, huyu kaka na roho nyeupe Sana ndo maana anafakiwa, hongera Sana mdogo wangu ,Mungu abariki ndoa yetu mbarikiwe mtoto was kikie na. Wakiume

  • @anociatafungameza
    @anociatafungameza 18 дней назад

    Ndoa na iheshimiwe na watu wote. Asante kaka kwa kulijua hilo, kweli mtoto mlee katika njia impasayo nae hataiacha hata atakapokiwa Mzee. Big up kwa wazazi wako pia. Wamekilea ktk njia za kumjia Mungu.

  • @selemanmniko1158
    @selemanmniko1158 2 месяца назад +5

    Big nakupa hongera make wewe ni mwanzi sana sana mungu akupe kibali ndoa yako ifike miaka 60 . SELEMAN CHARLES MNIKO nipo mwanza tanzania

  • @devothasimbi6495
    @devothasimbi6495 2 месяца назад +9

    Nimemuelewa vizuri na nimecheka sana wifi siku ya kwanza kulazwa chini😂na asiyetaka kukusamehe apambane mwenyewe

  • @marthapeter8246
    @marthapeter8246 2 месяца назад +9

    Kweli mnakula vizuri mwanangu😂😂

  • @johnriwa2854
    @johnriwa2854 2 месяца назад +8

    The most fascinating story ana chekesha ubarikiwe bro 👏

  • @zabibukasele4305
    @zabibukasele4305 Месяц назад +2

    Kaka ana Hofu ya Mungu NA mchapa kazi kitambo. Hachagua kazi. Anajitambua atafik mbali Sana. Bi Mkubwa wake ameleaaa kwa vitendo. Big up mama Norbert

  • @jescanicodemus
    @jescanicodemus 2 месяца назад +5

    Ana heshima mno sanaa aseee

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 2 месяца назад +5

    Community college ni sawa na Chuo kinachotoa Diploma mfano CBE Chuo cha Biashara, au DSA ni vyuo vinavyotoa Diploma inayokuwezesha kuingia University kupata Degree, ukimaliza Community College miaka miwili unatunukiwa Associate Degree (sawa na Diploma)
    Wengine wanaenda Community college sababu ufaulu wao hautoshi kuingia University unaanzia Community kusafisha ufaulu ili ukubalike University, ila tofauti ukikubaliwa kuingia University ukiwa umemaliza community college University wanahesabu masomo yako na wanakuanzisha Mwaka wa Tatu wa University na utasoma na kumaliza degree yako

  • @komboko4143
    @komboko4143 2 месяца назад +1

    Hilo uamifu ni swala la kwanza katika maisha ya binaadam big up
    Bro umeongea point muhim sana.

  • @ashaidei5680
    @ashaidei5680 2 месяца назад +3

    Norbert Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi ktk njia zako zote.🙏🙏🙏🙏

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 месяца назад +5

    Kijana mdogo lakini kasema maneno makubwa yanayo eleweka. Siyo maneno ya kiwazimu. Mzungu Mzungu.

  • @judithetaeta2594
    @judithetaeta2594 2 месяца назад +2

    Hongera mshikaji wangu ongera umechakalika Sana MUNGU akubariki Zaidi

  • @anetkileo2461
    @anetkileo2461 2 месяца назад +7

    Kipapai Yani hii ni kweli kabisaaaa

  • @giboncebarnabas9667
    @giboncebarnabas9667 2 месяца назад +5

    Safi sana Shena, leo nimecheki all of the interviews na zote ziko poaaaa sana. Kudos!

  • @kaupigwe
    @kaupigwe 2 месяца назад +5

    We get you 100%

  • @shamzone388
    @shamzone388 2 месяца назад +2

    Shena umetuletea kijana mkweli na anajitambua sana
    Mapenzi na maelewano ndio muhimu

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 2 месяца назад +2

    Norbat Asante sana, nakuomba kitu kimoja, mimi pia niko USA angalia chakula kula kiasi, usipate pressure, sukari, na cholesterol, tunakupenda sana sana.

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 2 месяца назад

      Wewe naye muache mwezio ale mpaka apasuke😂

    • @jescanicodemus
      @jescanicodemus 2 месяца назад

      @@aishaarusha894😂😂😂😂😂 eti jmn ananichekesha uyo eti nipo marekani sijui nin na nn 😂😂

  • @PiusBitakweite
    @PiusBitakweite 2 месяца назад

    Sister ongera kwa kazi nzuri uyu kijana ana moyo mweupe naomba namna ya kupata msaada kasema amewai kuendesha maroli ndo fani yangu na pasport ninayo.

  • @mazruyonlinetv2423
    @mazruyonlinetv2423 2 месяца назад +6

    Story nzuri sn kiukweli.

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 2 месяца назад +2

    Aah kumbe hy ndo maana ya mtoto kuzaliwa amefunga mkono,I get you bro

  • @MadinaMalk-yd6kp
    @MadinaMalk-yd6kp 2 месяца назад +1

    Nice interview da shena na kaka Nobert 💐🥰🌹♥️

  • @klaussteiner94
    @klaussteiner94 2 месяца назад

    Hiiii dunia hiii aisee hapana...watu wanapiga kimbola balaaaa...cheki mwamba kafika zake state lakini maraia bado wanamfuatilia godamn it🙌🙌

  • @komboko4143
    @komboko4143 2 месяца назад

    Dahh hiyo ya mwisho nimeipenda sana kama hutaki kumisamehee pambana nalo😂😂😂
    Jamaa anakiona sana mm nilishamsamee na kumuomba samahan ila jamaa hataki ila ujumbe apambane nalo❤😂😂😂

  • @FredyIsseme
    @FredyIsseme Месяц назад +1

    Namjua alikua anatuimbia pale kariaaako morning gro

  • @theresiamilanzi5907
    @theresiamilanzi5907 Месяц назад

    Kweli kabisa❤ nimependa sana kaka yangu achosema

  • @mazruyonlinetv2423
    @mazruyonlinetv2423 2 месяца назад +2

    Hio kazi ya jumatatu hadi jumamosi hapa UK tunaita care sleep in.

  • @esterMahenge
    @esterMahenge 19 дней назад +1

    😂😂😂😂apo kwenye kula

  • @mohrecaps
    @mohrecaps 2 месяца назад +3

    Shena leo umenifurahisha sana umeleta mwanaume hongera dada

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  2 месяца назад +1

      Mbona wanaume wanakuja sana kaka
      Hujaona video za wanaume ?

    • @mohrecaps
      @mohrecaps 2 месяца назад +1

      Sikuona dada ila nitajitahidi niangalie video zote shukran sana dada kwa watu unaotuletea wanatupa sana moyo kufika abroad

  • @kaupigwe
    @kaupigwe 2 месяца назад +2

    Correct kabisa.

  • @MartinaMsimbe-qk8ug
    @MartinaMsimbe-qk8ug 2 месяца назад +2

    Nimependa story, anaongea vizuri❤❤❤❤

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 2 месяца назад

    Waoo umekatika kidogo

  • @Ericzdeking24
    @Ericzdeking24 2 месяца назад +1

    sikujua watanzania tunajulikana kwa wizi😢😢😢😢

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 месяца назад +1

    Young Brother… vipi lile begi lako lililo potea uliliona Tena??? 😅

  • @leonidammbone2405
    @leonidammbone2405 2 месяца назад

    Wah Leo mtambo mmbaya kweli ana hung sana

  • @ashumohd2192
    @ashumohd2192 Месяц назад

    28:01 kuendelea🤣🤣

  • @irenewile
    @irenewile Месяц назад

    Shule amesoma mdogo wangu

  • @veronicankenja9061
    @veronicankenja9061 2 месяца назад

    Dada Shena .Network ni tatizo,

  • @user-ky2ru7hl9j
    @user-ky2ru7hl9j 2 месяца назад

    Sàuti inakwama sana.

  • @ESTHERKamala-qp7gi
    @ESTHERKamala-qp7gi 2 месяца назад

    Naona anakatika katika

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 месяца назад

    Mtanzania atakuibiya 😂😂😂😂😂

  • @benardmsafiri4648
    @benardmsafiri4648 2 месяца назад

    Big Up 👊🏽

  • @zakiamseka9698
    @zakiamseka9698 2 месяца назад

    Hutaki kunisamehe pambana mwenyewe 😅😅😅

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 2 месяца назад +1

    Anza kujiombea binafsi

  • @neemasalema1546
    @neemasalema1546 2 месяца назад

    Sauti inakatakata sijui ni mtandao

  • @ZuwenaSinde-hj9qg
    @ZuwenaSinde-hj9qg 2 месяца назад

    Kama hutaki kunisamehe 😅😅 pambana nayo

  • @user-ky2ru7hl9j
    @user-ky2ru7hl9j 2 месяца назад

    Hatusikii

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 Месяц назад

    Kaka mcheshi😅😅😅

  • @devothasimbi6495
    @devothasimbi6495 2 месяца назад +3

    Shena umefurahi kwa story,nimefurahi kukuona na furaha

  • @JaniferMichael
    @JaniferMichael 2 месяца назад

    Sauti ndogo

  • @JacoGityamwi
    @JacoGityamwi 2 месяца назад

    😂😂

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 месяца назад

    MBONA PETE HATUIONI JAMAANI ?

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  2 месяца назад

      Hivi Pete ni lazima ?

    • @immaculateakilimali7220
      @immaculateakilimali7220 Месяц назад

      Wabongo bwana,sasa we unamuulizia Pete ya nini?tatizo tunakariri sana maisha,mwenzio kaishatengeneza maisha yake,kafunga ndoa yake,kasajili document zake,na anatambulika na serikali ya marekani ni mwanandoa halali,we unauliza pete hahahaha.

  • @upendomshani3932
    @upendomshani3932 2 месяца назад

    Afu kuna ngongonda atabak kudai ODA haina mafundisho 😏😏