KAZI NGUMU NILIZABULIWA KIBAO KAZINI | SIKU YA KWANZA TUNAKUTANA NILIMLAZA CHINI SIKUA NA PAKULALA
HTML-код
- Опубликовано: 28 апр 2024
- Norbert ameeleza safari ya maisha yake kutoka Bongo kuingia Marekani kimasomo
Ambapo yeye ni mwanasheria lakini aliingia marekani kusomea Muziki ili kuendeleza talanta yake ya muziki
Lakini alipofika mambo yalienda ndivyo sivyo ikabidi ajiunge na kazi za kuosha vyombo, kuendesha na kufanya kazi za care ambapo alikutana na changamoto ya kazi ya kupigwa kazini.
Sasa anafanya kazi ya Muziki kama ilivyokua ndoto yake, na ameoa African American.
Thank you Norbert for allowing this to be online
www.oda.international
Instagram: min_norbert_joseph
Shukrani
Kaka anajitambua sana atafika mbali. Nimependa vile ana moyo wa kushukuru kwa kila aliyemshika mkono kwa nukta moja. Big up young man.
Na muomba Mungu aniongezee moyo wa shukrani
Kijana ana heshima na anajielewa na anakumbuka kutoa shukran sana, safi sana. Mazungumzo mazuri. Una bahati kupata fursa ya kufanyiwa interview bila kulipia fee huo ubalozi
Sana, God bless his heart
Uyoo ametisha ndugu yetu wewe nimwana alakati salut dada yao
Mambo shena , hongera kwa kazi yako zuri, huyu kaka na roho nyeupe Sana ndo maana anafakiwa, hongera Sana mdogo wangu ,Mungu abariki ndoa yetu mbarikiwe mtoto was kikie na. Wakiume
Ndoa na iheshimiwe na watu wote. Asante kaka kwa kulijua hilo, kweli mtoto mlee katika njia impasayo nae hataiacha hata atakapokiwa Mzee. Big up kwa wazazi wako pia. Wamekilea ktk njia za kumjia Mungu.
Big nakupa hongera make wewe ni mwanzi sana sana mungu akupe kibali ndoa yako ifike miaka 60 . SELEMAN CHARLES MNIKO nipo mwanza tanzania
Nimemuelewa vizuri na nimecheka sana wifi siku ya kwanza kulazwa chini😂na asiyetaka kukusamehe apambane mwenyewe
Kweli mnakula vizuri mwanangu😂😂
The most fascinating story ana chekesha ubarikiwe bro 👏
He is amazing 🥰🙏
Kaka ana Hofu ya Mungu NA mchapa kazi kitambo. Hachagua kazi. Anajitambua atafik mbali Sana. Bi Mkubwa wake ameleaaa kwa vitendo. Big up mama Norbert
Tumpe Maua Mama 💐
Ana heshima mno sanaa aseee
Community college ni sawa na Chuo kinachotoa Diploma mfano CBE Chuo cha Biashara, au DSA ni vyuo vinavyotoa Diploma inayokuwezesha kuingia University kupata Degree, ukimaliza Community College miaka miwili unatunukiwa Associate Degree (sawa na Diploma)
Wengine wanaenda Community college sababu ufaulu wao hautoshi kuingia University unaanzia Community kusafisha ufaulu ili ukubalike University, ila tofauti ukikubaliwa kuingia University ukiwa umemaliza community college University wanahesabu masomo yako na wanakuanzisha Mwaka wa Tatu wa University na utasoma na kumaliza degree yako
Hilo uamifu ni swala la kwanza katika maisha ya binaadam big up
Bro umeongea point muhim sana.
Norbert Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi ktk njia zako zote.🙏🙏🙏🙏
Kijana mdogo lakini kasema maneno makubwa yanayo eleweka. Siyo maneno ya kiwazimu. Mzungu Mzungu.
Ya kiwazimu yakoje 😅😅
Hongera mshikaji wangu ongera umechakalika Sana MUNGU akubariki Zaidi
Kipapai Yani hii ni kweli kabisaaaa
Safi sana Shena, leo nimecheki all of the interviews na zote ziko poaaaa sana. Kudos!
Shukran 🙏
We get you 100%
Shena umetuletea kijana mkweli na anajitambua sana
Mapenzi na maelewano ndio muhimu
Norbat Asante sana, nakuomba kitu kimoja, mimi pia niko USA angalia chakula kula kiasi, usipate pressure, sukari, na cholesterol, tunakupenda sana sana.
Wewe naye muache mwezio ale mpaka apasuke😂
@@aishaarusha894😂😂😂😂😂 eti jmn ananichekesha uyo eti nipo marekani sijui nin na nn 😂😂
Sister ongera kwa kazi nzuri uyu kijana ana moyo mweupe naomba namna ya kupata msaada kasema amewai kuendesha maroli ndo fani yangu na pasport ninayo.
Story nzuri sn kiukweli.
Aah kumbe hy ndo maana ya mtoto kuzaliwa amefunga mkono,I get you bro
Nice interview da shena na kaka Nobert 💐🥰🌹♥️
Hiiii dunia hiii aisee hapana...watu wanapiga kimbola balaaaa...cheki mwamba kafika zake state lakini maraia bado wanamfuatilia godamn it🙌🙌
Dahh hiyo ya mwisho nimeipenda sana kama hutaki kumisamehee pambana nalo😂😂😂
Jamaa anakiona sana mm nilishamsamee na kumuomba samahan ila jamaa hataki ila ujumbe apambane nalo❤😂😂😂
Namjua alikua anatuimbia pale kariaaako morning gro
Kweli kabisa❤ nimependa sana kaka yangu achosema
Hio kazi ya jumatatu hadi jumamosi hapa UK tunaita care sleep in.
😂😂😂😂apo kwenye kula
Shena leo umenifurahisha sana umeleta mwanaume hongera dada
Mbona wanaume wanakuja sana kaka
Hujaona video za wanaume ?
Sikuona dada ila nitajitahidi niangalie video zote shukran sana dada kwa watu unaotuletea wanatupa sana moyo kufika abroad
Correct kabisa.
Nimependa story, anaongea vizuri❤❤❤❤
Mungu yu mwema awalinde zaidi ndoa yenu
Waoo umekatika kidogo
sikujua watanzania tunajulikana kwa wizi😢😢😢😢
Young Brother… vipi lile begi lako lililo potea uliliona Tena??? 😅
Wah Leo mtambo mmbaya kweli ana hung sana
28:01 kuendelea🤣🤣
Shule amesoma mdogo wangu
Dada Shena .Network ni tatizo,
Sàuti inakwama sana.
Naona anakatika katika
Mtanzania atakuibiya 😂😂😂😂😂
Big Up 👊🏽
Hutaki kunisamehe pambana mwenyewe 😅😅😅
Anza kujiombea binafsi
Sauti inakatakata sijui ni mtandao
Kama hutaki kunisamehe 😅😅 pambana nayo
Hatusikii
Kaka mcheshi😅😅😅
Shena umefurahi kwa story,nimefurahi kukuona na furaha
Thanks dear
Kaka kaongea ukweli unaofurahisha pia
Sauti ndogo
😂😂
MBONA PETE HATUIONI JAMAANI ?
Hivi Pete ni lazima ?
Wabongo bwana,sasa we unamuulizia Pete ya nini?tatizo tunakariri sana maisha,mwenzio kaishatengeneza maisha yake,kafunga ndoa yake,kasajili document zake,na anatambulika na serikali ya marekani ni mwanandoa halali,we unauliza pete hahahaha.
Afu kuna ngongonda atabak kudai ODA haina mafundisho 😏😏