OSCAR: Mzungu Mwenye Asili ya Kimasai, Asimulia Alivyompiga Jamaa mwenye Miaka 20
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- OSCAR: Mzungu Mwenye Asili ya Kimasai, Asimulia Alivyompiga Jamaa mwenye Miaka 20
(HABARI MPYA DAILY)
www.youtube.co....
(HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA)
www.youtube.co....
(GLOBAL RADIO TV)
www.youtube.co....
(EXCLUSIVE INTERVIEWS)
www.youtube.co....
mmasai umetisha sana kwa iyo rafiki alijipigia boss wake, na mimba juu, tena kamuongeza na offer ya mwingine, hongera sana rafiki umeliwakilisha Taifa vyema.
😂😂😂😂😂
Akajipigia
Hahaaahaaa
Hey
Vipi
kama umempenda Osca like
Safi sana Oscar
Halimah Nah
Nimeipenda sana iyo
kiukweli osca fundi
Halimah Nah Mzungu still stealing African culture
"HUYU BABA YANGU,,,,ALIKUWA MLINZI HAPA" What a courtesy boy! Well mannered. You humbly brought your self to the ground. Simple sentence/expression but it means a lot to us.Keep it up
kwa mtazamo wangu anamaanisha huyo bwana wa mama ake alikuwa mlinzi wao mama akamzimikia ndio wanaendeleza maisha.
Wamasai sio mchezo mlinzi kachukua na boss mtoto hadi ana lafudhi ya Masai
Namiri Hamisi babake mazazi(ambaye ni mmasai) aliwahi kua mlinzi hapo ambapo nahisi mamake alikua anakaa
Ndo wakapendana akazaliwa yeye
Mmmh noma kweli
@@gloriousnp huyo mtoto sio mixed race kabisa
Huyu mtoto kanifurahisha sana, amejikubali!
Thanks for likes am humbled # Chakula NiAfya
Oscar i really appreciate you...napenda kuongea kimasai sjafankiwa ila ww unaweza saluteeeee
Nyama ya mbusi!!!!! 😂😂😂 daaaaah!!! Nakupenda bureee Oscar!!! Excellent!!! 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
I like this boy! Creative and intelligent.
Huyu mtangazaji hajui kuuliza maswali hajui kuvutia watazamaji tunaangalia kwa sababu ya dogo tuu siyo mtangazaji...
This boy has a great father figure and he loves him. Irrespective of how the couple met, they have nurtured this boy. He has identified himself as Maasai and Maasai he is. The mother said "follow your heart" and I believe her. Fantastic family. When we make our choices please respect them. The interviewer has tried to bring it out but she needs to do some homework on presentation.
Masai wetu huyu .tena mkali mjasiri hivo ivo .nakupendaaa .enkiti murrani aang sidai .tubula!
Hongera sana kijana Oscar . Nilifuatilia wewe ni shujaa na Mungu akubariki utakuja kuwa mtu mashuhuri duniani
Mashallah good boy! May God bless you!
HUYUU SIO MZUNGU NIMMASAI KBS BIG UP YEROOO
Namimi naombeni Like jamani hata nisipocoment
we umezaliwa Tanzania au mmasai alieelewa hapo agonge like
Ndio nimechekaaaa
He is soooo cute n has a masai accent. Love it.
Safi sana oscar small maasai Lomaiyani true spirit kutoka moyoni
Dogo anasema nyama ya mbusi😂😂 Yani anaongea kiswahili chakimasai🔥🔥🔥
😂😂😂
@@paperyadams6249 hatari
😁😁
🤣🤣🤣
@@marydiaz4948 wow mtoto
This boy is a future leader.
Yan huyu mtoto ni Mmasaai mtupu 🙌🙌🙌
Amen amen. Karibu sana kijana. Wamaasai tunawapenda sana watu. Mungu akusaidie. Amen.
Smart boy ever😘😘😍😍❤❤
Nmempenda cn Oscar
That Maasai accent, nakubali Sana Karibu Sana ngorongoro home of maasais
When i watch this i really proud to be maasai ,always people talk shit about it because they don't know the reality of maasai they jus listen the negativity people spit about that tribe ,anyor olosho lengai 😍🙌
True osotua lai
Be proud but also be aware , time change and you have to let your children go to school, life is NOT cow, 😂sorry, I love you all but also feel sorry because you are more than 100 years back ❤️
Wamenifurahisha sana hawa watoto,Duuh hako kadogo sasa wametisha,safi sana
He is clever,in 5 years he learnt swahili and kimasai👏👏
Ndagu Rosette it's normal for a child
For kids its normal
This
Huyu mama ana upendo wa dhati kbs,piya mungu amempa mtoto mwenye ujasiri na hodari wa kueleza hisiya zake bila woga na kupenda mila ya baba yk,kuvuwa vazi la kizungu na vazi la kimasai " Mungu ampe makuzi mema "
dogo yuko smart sana!! Big up Oscar
Da boy don't look even close like the father you guys amazing make things up
facts , his facial look like his father but he is too white, no melanin at all, i feel the same way, perhaps maasai is a step father, I have Kid with white chick and i am lighter skin than Maasai guy, but ma baby look more darker than oscar
Kwani kiswahili kimewashinda? Mlinzi ni baba wa kambo au stepfather wa huyu kijana. Mama alitoka sweden na watoto wawili tu kisha akaja kuelewana na mlinzi wake. Oscar si chotara.
Huyu mtoto nishujaa mpaka kuongea mashaaAllah
KABISA
Whoah....Whoah. He speaks such sanifu Kiswahili. He is so cute too...
Huyo presenter sasa😂😂😂🙌
Wao kijana Oscar masai, anaongea kiswahili muzuri 🙏🙏🙏🙏mungu amubariki mutoto huyu na wazazi wake asanten 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍
KAMA MNAAMINI HUYU DADA HAJUI KUMUHOJI MASWALI HUYU DOGO MASAI MZUNGU GONGA LIKE HAPA
Asanteh,Sanaa Wajinaa Wangu.
Nawashangaa sana wanao mkandia huyo mtoto kuiga mila za kwetu watanzania mbona sxsx tunafata mambo yao yakizungu ambayo nimabaya hayampendezi mngu kweli sisi nyelengumu badoniwashamba mtoto huyu anatakiwa angaliwe na serikali ya kwajicho pevu sana hikini kivutio kizuri kwa utalii pia atakuwa na amsha popo kwa wazungu wenzake mngu ametupatia ridhiki big up dogo
Hawana akili maana hata kubusiana wameinga mzungu bora huyu mtoto anaiga mambo ya mila
Asante sana umeongea ukweli kabisa
Kwanza mtoto hajaiga mila, Bali amezaliwa na mmasai so ni mmasai
I like the calture.hongera Oscar
Du,hicho kiswahili hakija kaa sawa. Sema Mmasai mwenye asili ya Kizungu,asili ndio nature ya Mtu ndugu...
Hajui kuuliza
Duh huyu mtoto mbn Kama mtanzania. Anajua kuongea kupita kiasi na hvo atakuwa ni mtu sio wa kawaida
Sasa km kakulia na waswahili unataka azungumze lugha gani , pia na huyo ni mtoto wa kimasai baba yake ni masai . Ni kawaida sana .
mtoto ni bright mwaka mmoja anaongea kiswahili na kimasai sio rahisi
Nancy Shamba m
Dogo kaniacha hoi jinsi anazungumza kama Masai og kabisa "nafaa" mbusi"yuko vizuri kama unaukubali ujasiri wa dogo nipe like
Watu wengine banaa!! Hivi mlitaka huyu dada amuulize huyu mtoto maswali ypi?..mbona povu jingi tulieni basi.
raha sana
Wana boer
Hiyo ni poa. Kimila za Africa ni poa sana. Sisi waAfrika ndo tunapenda kusitoroka. WaAfrica wote tusome na tuongea Kiswahili
Wow l like this boy anaongea k8masai vizuri sana
Sooo cute, ata ascent ni kimasaai ..
Wazungu wana akir sana zakutafuta pesa mama kaona watoto wajifundishe kimasai wakishakijua2 wanaenda piga pesa swiden kupitia mavazi yakimasai na e.t.c daah good Oscar
Mwandishi umeshindwa kuwa creative
Simba fc mpka kwa mzungu masai gonga like mashabik wa simba
Yaani apo kwenye kupenda SIMBA tu nimekuelewa mzungu masaai
Oscar you are the best
Hahaha kama umeskia oscar akisema sijakuelewa ... like hapa🤣🤣
The best presenter I've ever seen. Talent
Mbona mtangazaji yuko powa
Kwel asili inatoka Kwa baba mzung kawa mmasai
mlizi kama mlizi masai kaupiga mwingi
Mtoto ana akili sana. He build his future. Anatengeneza jina atajulikana sana na atakuwa maarufu. Mungu amtunze coz ni kwa nia njema maana ukitaka maisha yakunyokee lazima utafute kitu cha tofauti na wengine utafute title yako pekee
Karibu Sana tz..
Sema ni kweli uzunguni huku akunaga heshima hakiamungu yaani ni inchi yawa kosefu wa adabu kweli
Hongera sana dumisha mila
The interview though 🤗
Yupo vizuriiii saana
Oscar upo vizuri mno,hongera sana
Ni noma sana
Love you tot
Mtangazaji kweli maswali yako hayatoa taarifa kamili kuhusu Oscar. Angekuwa Millard Ayo tungejua mengi zaidi.
naipenda tanzania sana yani tunge enjoy kwa Millar ayo
swal la kwanza et nngependa kujua kama ww n mtanzania au n mmasai 😂 😂 😂 😂.. mtangazaji eko sana 💪
🤣 🤣 🤣 Labda masai sio mtanzania 😲ila dogo noma kiswahili chake kama wamasai original
Hahahaaaaaaa
måvęriçk 26 hapo kachemka
Mtangazaji 😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣 Hak nimecheka
Hongera baba yoyo
Naumiya sana @miladi ayo .kukosa apo kumuogi uyu mtot
Kwel asee
sijapenda namna unavyomuuliza maswali..
Mbona mtangazaji yuko vizuri tu. Mnataka amuulize nini? Subirini interview ya Mond na idadi ya watoto wake
Ningependa kufahamu maisha ya shule/elimu ya mtoto
Dada mtangazaji ww ni mrembo Mungu autunze urembo wako na husda za watu
Farris Ikrimah 🤣🤣🤣🤣🤣
Acha unafiki
Bro huendi mbinguni😜
Da utanivunja mbavu aisee
Eric Mrosso kwaivo ukweli wangu ndo umekuwa unafik?
Du är duktig, jag är verkligen stolt över dig Oscar
Kweli uyo mtoto mkweli kabisa, ata apa marekani mtoto anaambia mkubwa hi
Nakupa heko OSCAR, Masai bwana
Kwa maoni na mtazamo wng nahisi CIA wanahusika lkn Mungu inusuru tanzania yetu
CIA na Sweden wapi na wapi ?
@@loner_wolf kua uyaone
Haha usiwe na prsha unahisi maandalizi
Acha woga bro,dunia imechange mwingiliano umekuwa kwa kasi kote duniani
Please mueleze Osca maswali mazuri
Wamasai oyee. Atejo asheee Oscar
Very confident boy
Yaan hapa ingenoga akutan na millad ayo ingekua tam sana
Huyu dada hajui kuhoji hamna kitu
Kweli shamimu
Shamimu umeona na wewe
Ainaa maana kwan Millard ni naniii...mbona yuko powah tuu uyo Dada
Mnatakaa MTU atangazajeeee mmmmmh wabongo bwana mnajifanyaga mnajuaa mnakera
Hongera my wf
Itabidi tumtume Millard Ayo
Paul Shija haswa ndo tutaelewa
Watu wa napenda vya Burr lakini ungemuomba wewe ungepewa neno moja tu ukakimbia
mtangazaji ayupo competent kbsa
Watu kwa kupondea mlitaka ahoji maswali gani?
😂😂😂😅😅 hawa watu wanashangaza sana
Karibu Tanzania
Ashenale oscar
Yero oscar!!
safi endelea kudumisha dogo ,atonyora naleng"inamwa
Nimempenda mdogo wake Oscar mana na yy hayupo nyuma kujirusha rusha 😂 😂 😂 😂 😂
Nawewe nawe🤣🤣🤣
I love this! Ashe mbaba lai...
Nyinyi mbao munasem mtngzaji hajuwi kuongeya mukipew hiyo kz mtaweza mdomotu
Hongera sn
KWANZA WAZIRI WA UTALII AMTUMIE HUYU MTOTO KUTANGAZA UTALII WA NCHI ILI DUNIA NZIMA WATAMBUE VIVUTIO VYETU, PILI NYIE MNAESEMA HAJUI KUHOJI MBONA ANAMUULIZA VIZURI TU MASWALI YANAYOENDANA NA UMRI WAKE.
I really like him👌🏻👌🏻
Mnarukia kazi za watu za uandishi wala hamujui
mtangazaji hata hujui kuuliza maswali ya msingi
Ananichekesha katoto kdg ako kanakocheza😂😂😂
Wenzake wanaruka Mara 1,yeye kaenda 5😁😁
😂😂😂
Kanaruka 10x wenzake wakiwa 2x 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Anachekeshaaa
Na mie pia
Nampenda Oscar anavyoongea❤️
Anapandikizwa huyo, hao ndo wapelelezi wa KIBEPARI,
Wanaandalowa wakiwa wadogo.
Uko sahihi lakini hatutokuja kumwamini mpaka aje aoe mwafrika mwenye ngozi nyeusi.
Maskini baada kuiga unapandikiza chuki
Hahahaha
Anachunguza WAMASAI wanalala wap😂😂😂😂😂😂
Sina imani na Wasio WA_AFRICA.
Kama maHAINI yanasumbua sana.
Undercover nakupata
Manaotetea Mtangazaji huyu kwenye mahojiano haya, hamjui kuwa hii ni taaluma. Na anapaswa kufuata au kujifunza kwanza.
Pia anaonekana hajajiandaa kwa mahojiano au alikuwa na kutamani zaidi kufanya mahojiano.
safi sana mtoto mzuri wengine wainge
A thousand likes to u oscar
Huo ni ujanja wa serekari zao, wanawaleta wakisha rudi kwao they use them
Unadhani watu wanajua basi? Wazungu ni wajanja sana... wanauwezo wa kumpandikiza mtoto mdogo katika nchi fulani, kwa lengo tu la kumtumia kama jasusi, mpaka atakapo zeeka, atakuwa amebeba mwenendo mzima wa taifa wa taarifa za kijasusi.
@@shorewanda5635 exactly
Shore Wanda fact
Achana na mtu anaitwa Mzungu.wanawaza mbali sana
Kaka umesema uzuri, wazungu wana mbinu nyingi , huwezi huwajua wazungu mpaka usome historia zao , na vipi wanafikiri , wazungu hifikiri na kupanga kitu kwa mia 100 - 200 kufikia lengo na madhumuni yao , fikiria tuu hawa mabwana bara gani katika hii dunia hawakulitawala au kwenda kuiba , kila mtu nimeona yupo kwenye kustaajabishwa na huyu beberu mchana . Mie sio
Mtangazaji kasome