OSCAR: MZUNGU MASAI ALIVYOSHEREHEKEA BIRTHDAY YAKE / WANANIITA BOYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • OSCAR: MZUNGU MASAI ALIVYOSHEREHEKEA BIRTHDAY YAKE / WANANIITA BOYA
    Oscar ni kijana wa Kimasai mwenye Asili ya Sweden anayeishi Tanzania ambaye ameamua kuishi maisha ya kimasai, mapema wiki hii alikuwa anasheherekea siku yake ya kuzaliwa, kama ulikosa Interview ya Oscar akielezea maamuzi yake ya kuwa MMASAI hii hapa.... • OSCAR: Mzungu Mwenye A...
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    -----------------------------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY:www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEW:www.youtube.co...

Комментарии • 547

  • @abdulkillya2655
    @abdulkillya2655 5 лет назад +81

    Yani mm ninachosikitika hapa ni hawa wamasai wenzangu wanaotumia muda wao kumfurahisha huyu dogo ,wakati rika lake lipo na ndo walipaswa kuwepo hapo,

    • @fahadfaraj1822
      @fahadfaraj1822 5 лет назад +12

      Mzee hiyo ni birthday au wakienda kwa mtoto wa dangote mwenye siku arobaini ni kawaida pale c watu wazima nao walikuwepo

    • @mwajumaabeidy8137
      @mwajumaabeidy8137 5 лет назад +10

      Kingine huyo ni baba zake yn rafik za baba zake

    • @abdulkillya2655
      @abdulkillya2655 5 лет назад +5

      @@fahadfaraj1822 kama wew ni maasai kama mm utanielewa ila huwez kuelewa coz nmeongelea mambo ambayo yamekuwa common hasa inapotokea interview ya huyo dogo na media lazima wamuimbie dogo ili kumfurahisha tu,

    • @fahadfaraj1822
      @fahadfaraj1822 5 лет назад +3

      @@abdulkillya2655 nakuelewa in sense of utaratibu wakimasi huenda kwa rika korianga na wenzie morani na morani but sio issue uyo mtoto si masai

    • @suzankiluwa9811
      @suzankiluwa9811 5 лет назад +7

      Hapa ni mjini watoto wa kimasai hawapo mjini wapo kijijini kwao

  • @MWALIMUMBUNIFU89
    @MWALIMUMBUNIFU89 4 года назад +131

    Kama unamkubali oscar gonga like hapa.

    • @victormpapuluu6497
      @victormpapuluu6497 4 года назад

      Very nice kid.

    • @machaggechacha3422
      @machaggechacha3422 4 года назад

      Oscar is a rising Tz star who has embraced our African way of life. I wish him all the best and join in building Tz like any other wazalendo. Big up kid!!!!!

  • @MWALIMUMBUNIFU89
    @MWALIMUMBUNIFU89 4 года назад +219

    Kama unakubali kwamba ubaguzi wa rangi hauna nafasi , gonga like hapa

    • @fredducaunt1724
      @fredducaunt1724 4 года назад +2

      Wanawapanga tu ukienda kule kwao huwezi kujichanganya tu. Wanakuwa wanakuona kha mdudu gan sijui, hasa watoto wao. Nafikiri wengi wanafundishwa chuki kwa waafrika

    • @mariamdimosso621
      @mariamdimosso621 4 года назад +1

      @@fredducaunt1724 hacha uongo Kama ujawai kuishi nao bora kunyamaza sio kujifanya unawajua sana huku shule wanasoma watoto rangi mchanganyiko na wengi ni marafiki hacha akili za kitumwa

    • @fredducaunt1724
      @fredducaunt1724 4 года назад +1

      @@mariamdimosso621 mwenye akili za kitumwa ni wewe unayebembeleza urafiki nao na kuwatetea kisa wanakuchekea chekea ukiwa nao yaani hiyo isikudanganye mtoto wa nyoka ni nyoka

    • @mariamdimosso621
      @mariamdimosso621 4 года назад

      @@fredducaunt1724 akili yako ndipo ilipoishia

    • @gogonta5508
      @gogonta5508 4 года назад

      @@fredducaunt1724 acha uongo wew

  • @samirbinjohn3188
    @samirbinjohn3188 5 лет назад +74

    Alie sikia baba Oscar unafunga ndoa na mama Oscar Sana 🔥🔥🔥 anipe like zangu jmn

  • @aminamahamud9333
    @aminamahamud9333 4 года назад +24

    Wow!! From Kenya I love this boy Oscar, so brave and courageous.

  • @violetnandwa2022
    @violetnandwa2022 4 года назад +29

    From Kenya I like this boy so amazing

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 5 лет назад +89

    Wamasai wotre gonga like apa!

  • @vick7186
    @vick7186 3 года назад +19

    He even has the spirit of a true maasai.

  • @999kriscent
    @999kriscent 5 лет назад +51

    Kwa watanzania wote, Kwa kingereza, Hii ndio tunaita “Beautiful Story”

  • @robbykasson8073
    @robbykasson8073 5 лет назад +15

    Hongera Oscar,nimependa ulivyo mcheshi na usivyojiona special zaid ya wengine.

  • @maisyachieng1391
    @maisyachieng1391 2 года назад +5

    Wow... The boy is so cute and clever🥰👏👏👏

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 года назад

    Safiiiiiiiii sana wenyewe ndio maboya wewe una preserve na you maintain our African culture

  • @eveimbusi5940
    @eveimbusi5940 4 года назад +12

    Congratulations 🎉👏 Mom Oscar

  • @Africanvillageactivities
    @Africanvillageactivities 3 года назад +2

    Alisema kuna baridi ulaya...anapenda uku
    Wow

  • @Generationalfaithbuilder
    @Generationalfaithbuilder 4 месяца назад

    Wow I just met him now is so grown I didn’t even know it’s was him 😅I got a shock when I heard him speaking Swahili in the bus , I hope I wasn’t caught on camera coz I as shocked like shocked 😅

  • @mohanoor153
    @mohanoor153 3 года назад +7

    That is why I am proud to be African

  • @latifahmulanda7190
    @latifahmulanda7190 3 года назад +6

    Allahu akbar mashallah I am proud to muislim

  • @hopeinallah5112
    @hopeinallah5112 5 лет назад +11

    So head strong Oscar Masha Allah

  • @lusekelomwasibata1977
    @lusekelomwasibata1977 5 лет назад +45

    mtoto anajua kiswahili kuliko Baba .

  • @dativamushi4835
    @dativamushi4835 4 года назад +6

    Unique couple and unique family...

  • @umu9923
    @umu9923 2 года назад

    Uyu mtoto wetu mashallh tunakupenda mno wetu Be blessed yarab

  • @penninahthegrace3036
    @penninahthegrace3036 4 года назад +11

    Oscar happy belated birthday to you 😊

  • @halimahhajarah972
    @halimahhajarah972 3 года назад +8

    Love has no boundaries

  • @justuskirongosi6859
    @justuskirongosi6859 2 года назад +1

    Waauu this boy is amazing 💔 the real Maasai

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад +2

    Baba na mama Oscar hongereni sana. Mmeonesha mapenzi hayana ubaguzi. Oscar atakuja kuwa mtu Mashuhuri duniani.

  • @mwami_the_don_
    @mwami_the_don_ 5 лет назад +20

    Kuna wapumbavu fran wanaomba like sijuh wanaenda kuombea mkopo

  • @JamesMiseyeki-nj8xt
    @JamesMiseyeki-nj8xt 11 месяцев назад

    Endasupa engajemasai......we are proud of our tribe

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 5 лет назад +10

    Katoto kazir jamani love osca

  • @evanskinyua1549
    @evanskinyua1549 4 года назад +4

    What a wonderful boy.

  • @rithersospeterkati3355
    @rithersospeterkati3355 11 месяцев назад

    GRATTIS OSCAR FÖR FÖDELSEDAGEN. JAG ÖNSKAR DIG EN TREVLIG FESTEN. Nakutakia maisha marefu .❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇸🇪🇸🇪🇹🇿🇹🇿🙏😁

  • @JustMe-mh2pn
    @JustMe-mh2pn 11 месяцев назад

    Yaya you go ahead Lady! Wait and see

  • @lalezfirgo2039
    @lalezfirgo2039 7 месяцев назад

    global tv swali lako yaani ina boo sana...nimevumiliya kumaliza video hii sababu ya oscar

  • @masaaibeiby4030
    @masaaibeiby4030 2 года назад +2

    Wow wetu kekinyor iyo oleng 🥰🥰🥰

  • @goldensunshine8693
    @goldensunshine8693 3 года назад +3

    This boy should have a RUclips channel. Please help him.....

  • @niyakhalid5650
    @niyakhalid5650 2 года назад +1

    Yaani mzungu anafurahia kuongea kiswahili ila sisi watu weusi tunadharaù kiswahili wakati wenzetu(wazungu) wanakisifia

  • @captenndunga6199
    @captenndunga6199 5 лет назад +121

    KWANINI HUKUCHINJA? Anajibu mimi sio muislamu... hakika uislamu ndio dini ya haki WAISLAMU TAQBIR.

    • @mamyrahima6913
      @mamyrahima6913 5 лет назад +1

      Taqbie♥️♥️♥️♥️

    • @yussuphali7860
      @yussuphali7860 5 лет назад +4

      But Mungu ni mmoja brother

    • @cestjolie5574
      @cestjolie5574 5 лет назад +5

      😂 😂 😂 😂 😂 😂 lol, endelea kujip moy iv iv

    • @nohatredbutlove5786
      @nohatredbutlove5786 5 лет назад +11

      Hata mimi nilikuwa naishi na majirani wa kikristo but wakitaka kuchinja kuku ilikuwa lazma waniite mimi niwachinjie👀👀👀

    • @captenndunga6199
      @captenndunga6199 5 лет назад +4

      @@cestjolie5574 kujipa moyo eeee!! Vp nyi mnachinja wenyewe? Mnakula kibudu wapeni waislamu wawachinjie.

  • @agripinamgema3656
    @agripinamgema3656 5 лет назад +6

    Duu wamasai wamepata mbegu nzuri. Asanteni wazungu.

    • @Philo45
      @Philo45 4 года назад

      Mbegu nzuri?????

  • @mukhtaryalia6155
    @mukhtaryalia6155 4 года назад +2

    Oscar anapiga kiswahili kuliko babaake aisee😂😂😂
    Ila kaka masai hapa kwa mama Oscar daah mbona kama Bibi, by the way nimeipenda sana hii familia wako happy sana

  • @basheybsb7919
    @basheybsb7919 3 года назад +12

    This is a LESSON for AFRICAN parents. Teach your children your culture

  • @paulmasoli5886
    @paulmasoli5886 4 года назад +6

    Kudanganywa ni kupenda baba na mtoto vitu viwili tofauti.

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb 3 года назад

    Mashallah asema mbuzi anachinjwa na muislam allahu akbar

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 2 года назад

    Masai mm nawakubali Sana wanajua huyu mtoto wetu wanamrisisha Mila zao nisawa kabisa had yeye kazoea naunaona kabisa humtoi au kumbadirisha Kwanza hatoki

  • @hadijasalimu1808
    @hadijasalimu1808 4 года назад +3

    Mashaallah Allah anahakili mutoto huyu

  • @Anders.W.
    @Anders.W. Год назад

    A Swedish boy looking good even dressed up like that and i like his white sandals .

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 года назад

    We love you 😘❤️ ❤️😘❤️ our sister in-law (wifi) or African wifi from Maasai tribal

  • @elibarikirunda9530
    @elibarikirunda9530 4 года назад +1

    Waoooooo hongera .Masai muzugu

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 2 года назад

    From Juba Sudan osker congratulations 👏🎉

  • @yasimintinzan5144
    @yasimintinzan5144 2 года назад +1

    Yaaan dahaaa hakika ubaguzi wa rangi Tanzania kwetu hauna nafasi kabsa binadam st n ndugu

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 3 года назад +3

    Nimetabasamu mwanzo hadi mwisho wa hii video, asanteni Global TV online

  • @jpmugishapps
    @jpmugishapps 2 года назад

    He's preserving his heritage 🤲🏾🙏🏾

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 4 года назад +1

    Mashaallah hongera

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 2 года назад

    aslm hiyooo Nii mtanzania kiswahili hicho Cha bongo Tz

  • @sospetermsalamo8354
    @sospetermsalamo8354 2 года назад

    Great 👍

  • @chekeshone5265
    @chekeshone5265 5 лет назад +5

    Hapa Maasai amedanganywa..huyu mtoto hana damu ya kiafrika hata kidogo

    • @digitallocations1423
      @digitallocations1423 4 года назад

      Anayo.
      Mmnmscheew!

    • @RUFUS_97
      @RUFUS_97 3 года назад +1

      Mi nachojua huyu mama amekuja na mwanaye kutoka nje na ndo wakakaa tanzania kwa muda alaf mama akampenda mmasai. Lakin alikuja na mtoto wake kutoka nje. Huyu mtoto sio baba halisi mmasai, but ame mu adopt tu.. wazungu kwa kawaida ukimuoa basi custody zote za mtoto unachukua na unaitwa baba.

  • @makayistevenmusso1520
    @makayistevenmusso1520 Год назад

    Oscar ❤🎉🎉🎉so mach

  • @faithdaniel5652
    @faithdaniel5652 5 лет назад +51

    Oscar ana akili sana 👏👏👏👏 yeye ajachinja kwa sababu sio muislam

    • @salimharrasy7047
      @salimharrasy7047 5 лет назад +6

      Osca nampenda sana.
      Namuomba M.Mungu amuonyeshe njia salama ya maisha yake ya dunia na akhera.
      Amin.

    • @alexlugembe4816
      @alexlugembe4816 5 лет назад +2

      acheni upumbavu yeye kutochinja ni kutaka watu wote wale hata wale waislam sio kwamba yeye huwa hali ambazo hazijachinjwa na mwislam.

    • @thuvakonde2584
      @thuvakonde2584 5 лет назад +1

      @@alexlugembe4816 ss povu la nn n mwenyewe dogo kashasema hawezi kuchinja kwakuwa yy cio muislamu

    • @jasminhassan4626
      @jasminhassan4626 5 лет назад +2

      Uislamu Ni Dini Ya Haki Alhadulillah

    • @faithdaniel5652
      @faithdaniel5652 5 лет назад +1

      @@alexlugembe4816 acha kupaniki bir Islamic ndio dini ya haki

  • @NasirAhmed-cy9fx
    @NasirAhmed-cy9fx 4 года назад +1

    Ndugu zangu wa africa tujitambue kuna jambo hapo hao wazungu tunawakaribisha baadae wanakuja kututumikisha angalieni south africa mtapata picha kamili thenkyou

  • @jumamustapha944
    @jumamustapha944 2 года назад +2

    Kwakweli nimevutiwa sana na huyu mtoto.

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 2 года назад +1

    What is the funny thing hapa? Nothing. He is a young Maasai and growing very well in the community. Good on you young man. You are not a muzungu, you are a maasai!

  • @binamutawa9637
    @binamutawa9637 5 лет назад +10

    Ningependa sana dada zetu wanaokimbilia ulaya

    • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
      @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 5 лет назад

      MBONA MIMI NATAKA KURUDI NYUMBANI ILA NINGUMU MUME WANGU KUPATA KAZI HUKO SO YABIDI TUISHI KWAO🇰🇪🇨🇿

    • @meg-iv1sw
      @meg-iv1sw 3 года назад +1

      Mimi niko ulaya..siwezi rundi home...haha...

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 5 лет назад +2

    Nice Nice jamani nimeipenda bure mtoto huyu

  • @daudilaizer9681
    @daudilaizer9681 4 года назад

    Safi sana jamani Mimi nimasai nimefurahi sana kuona mtoto wetu

  • @jonathanicrisatijonathanic6708
    @jonathanicrisatijonathanic6708 4 года назад +1

    Mucheki Giva ana ngoma kali sana

  • @aggreyoriema8914
    @aggreyoriema8914 2 года назад

    I love that 💘💘

  • @amanimollel7086
    @amanimollel7086 5 лет назад +7

    I proudly To be Masai

  • @aizakhabib6373
    @aizakhabib6373 5 лет назад +4

    Mashallah mungu waondoshe husda watu hawa waishi melele na wadumu amin

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 5 лет назад +11

    HAPPY BIRTHDAY OSCAR I LOVE YOU 🇰🇪🇨🇿

  • @Bellanna100
    @Bellanna100 4 года назад +6

    He wil live to love African culture rest of his life 🤫🤫🤫🤫

  • @phillipbulika3055
    @phillipbulika3055 4 года назад

    Hongera osika

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 5 лет назад +5

    Hebu eleweni watanzania wenzangu Osca sio Mmasai ila kiranga cha mama ndicho kimemfanya Osca Leo ajiite mmasai,huyu masai nae akome kusema huyo ni mwanae ye kamuoa mama akiwa na mwanae tu,IPO Siku baba Osca atakuja kuchukua mwanae we subiri

  • @emmah6235
    @emmah6235 3 года назад

    so awesome ilov it

  • @emaanursery1560
    @emaanursery1560 4 года назад +3

    Woow its good

  • @snuffkikopo9503
    @snuffkikopo9503 4 года назад

    Babako ni hassan mgonja hax unaact mmasai...duuh noma sanaaaa

  • @FaithKibwii
    @FaithKibwii 2 года назад

    Wow.

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 2 года назад

    Mh mapenzi kweli huota popote mzungu na mmasai

  • @annacheq5272
    @annacheq5272 4 года назад +32

    This is why I wonder when some afrcan mother s don't teach there children even swahili

    • @maureennyadzua6394
      @maureennyadzua6394 3 года назад

      Esp. in my country kenya mmmh si wa coast were being undermined coz we are only fluent in swahili. Our friends from the highlands think speaking in english makes you pro. Infact it's so annoying when they tweng trying to mimic the way wazungu speak.

    • @applebtz3779
      @applebtz3779 3 года назад

      I'm kenyan and have been judged by kenyans for been married to a white guy ...why would I bother teaching my child swahili? For what? I speak swahili but it's not guaranteed acceptance... ooh and of cos my husband gets better services in kenya as opposed to me ... stop the double standards guys

  • @zalika7269
    @zalika7269 3 года назад

    Beautiful beautiful 🤩

  • @binbaya923
    @binbaya923 4 года назад

    Óscar katulia kiswahili anishinda mpaka mimi 😁😁😁🇹🇿🇦🇷

  • @biaysha8553
    @biaysha8553 3 года назад

    Nimefurahi kusikia kama mimi sio muislaam kwahiyo yaonyesha waisalam ndo wanao takiwa wachinje tuu basi kubari dini ya kislaam ndo dini pekee❤

  • @karanijunior1257
    @karanijunior1257 4 года назад

    OK. Uko. Raba. Sana

  • @juliusoleka51
    @juliusoleka51 2 года назад

    Kweli

  • @zozohmeed5546
    @zozohmeed5546 5 лет назад +8

    Anakiswahili kizuri sana

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 года назад

    Good baby boy

  • @eveimbusi5940
    @eveimbusi5940 4 года назад +1

    👌👌👌 Happy birthday 🎉🎂🎈 Oscar l wish you many happy birthday to you

  • @sagreymduda6569
    @sagreymduda6569 2 года назад

    Mzungu kaelewa myotoo ya kimasaii😁😁🔥🔥🔥

  • @cesilialawrence2935
    @cesilialawrence2935 4 года назад +2

    This is good👍👍❤️😍

  • @joychanty9889
    @joychanty9889 4 года назад

    What're they drinking?

  • @amrihamis5420
    @amrihamis5420 2 года назад

    Tanzania inchi mzuri sana amani u pendo

  • @stn4873
    @stn4873 2 года назад

    Baba mbona kiswahili hajui...

  • @brownjulius8514
    @brownjulius8514 5 лет назад +7

    Mapenz bana nimeyavuria kapero

  • @faithnthenya8453
    @faithnthenya8453 3 года назад

    I love this boy

  • @rehemadunia5639
    @rehemadunia5639 3 года назад

    I love you 🥰🥰🥰😘😘

  • @filmonpeter7587
    @filmonpeter7587 3 года назад

    Na anachagamka kweli kweli😊😄

  • @ajaysele5766
    @ajaysele5766 4 года назад +1

    Kama Umependa Majibu Yaockar Gonga Like Apoo

  • @ibraimoissiaca6058
    @ibraimoissiaca6058 5 лет назад +21

    Sikuwai kumuamini mzungu hata ckiu 1

    • @yahyaally364ally2
      @yahyaally364ally2 5 лет назад +3

      Ww falsafa zako hazipingani na mm kbxa

    • @mariammariam6307
      @mariammariam6307 5 лет назад +3

      Ibraimo Issiaca kabisa

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 5 лет назад +6

      Ibraimo issaica kwani wazungu si watu tu kama sisi, nini cha kujifanya usiwaamini, hata wa Afrika sisi tuna aminika sasa? Watu wote ni sawa.

    • @mariammariam6307
      @mariammariam6307 5 лет назад

      Nisawa lkn hawa watu wanaubaguzi sana

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 5 лет назад +2

      @@mariammariam6307 inategemea utakavyojiweka nao, ukiona wao ni bora kuliko wewe watakudharau au ukiwaona tu unajiona hufai ndivyo italavyokuwa, sisi wa Afrika Siku zote tunakuwa hatujiamini tukikutana na hawa watu ndio maana tuna ona ni watu waajabu. Mim pia nimeoa huko ni watu wa kawaida tu na tuna mtoto pia. Tukiacha hiyo hali ya kutokujiamini na kujiona hatufai ndo hatutakaa kamwe kudharauliwa. Tujiamini pia kuwa sisi ni waafrika na ni watu wakuthaminika, kamwe hawezei kukudharau.

  • @ericbajeme
    @ericbajeme 5 лет назад +26

    Hawa Wazungu Wnapandikiza Watu Zao Kila Sehemu Msione Wanawachekea Tu Usoni Hao Ni Maspy Wajao

  • @fredducaunt1724
    @fredducaunt1724 4 года назад +2

    Watu wanaowatetea wazungu muache kujikomba komba kwao
    msione watu weusi wanaishi huko kwao, wanaishi tu kibishi ,
    ukweli ni kwamba wazungu wana art ya kupumbaza watu kupata kile wanachokitafuta muwe makini nao muda wote

  • @NawalFoodandRemedies
    @NawalFoodandRemedies 4 года назад

    Beautiful dada imelda

  • @Nesphore1
    @Nesphore1 3 года назад +3

    Hio accent ya mama yake 😍😍😍😍😍😍😍❤️👌🏾

  • @prettyheart45
    @prettyheart45 5 лет назад +2

    Uyo mtto ad kakomaaa👏👏

    • @thetrends9973
      @thetrends9973 5 лет назад

      Hajakomaa bwana.. anasema ana miaka 14.. wazungu wa miaka 14 wako wakubwa. Utafikiria wako na mika 28

    • @neemamayco3238
      @neemamayco3238 4 года назад

      Heee kumbe miak 14?...me nlijua mdogo