@@uhurunyereremusa8592 Walikuwa wakenda na ndege za watu sasa tunazo za kwetu tunajivunia Magufuli Mwenyezimungu amrehemu uko alipo amjalie pepo isiyo na mwisho! Amina.
Kama sio juhudi zako magufuli na mindege tungeipata wapi Tena magufuli aka endelea kusema UWIII! KWELI NIKIONDOKA IKITOKEA MUNGU AMENICHUKUA MINDEGE ITA NUNULIWA? PUMZIKA KWENYE HERI DADDY FROM TANZANIAN
Hongera sana mtangazaji una utulivu, huna mbwembwe, sauti yako iko vzr, umetulia na sautt yako. Watangazaji igeni style hii, mnaboa sana una mhoji mtu halafu ww mwenyewe ndo unakuwa na maneno mengi
Mwana mwema wa Afrika daima TUTAKukumbuka . Shujaa wa Afrika John Pombe MaGufuli. WALIOKUPIGA VITA HAWATAFANIKIWA DAIMA TUTAKUTETEA ALUTA CONTINUA. . RIP JPM. MUNGU AILAZE ROHO YAKO MAHALI PEMA PEPONI
Safi sana ATCL, maendeleo hayo, kwa sasa biashara kutoka China kuja Tanzania imerahisishwa, Kikubwa mlinde sana mizigo inayotoka na inayoingia tusije kuletewa mabomu ya mbalimbali, na mizigo inayotoka mchunge mali zetu zisiondoke kiholela
Powa Sana.. inafurahisha mno kuona kijana wa kichinatanzania.. ambae ni mchangamfu mno wa kujitambua/kujinasibu kuayeye ni MtanazChaina.. hkk inapendeza sna na kufurahisha inastahil.
Hata hapa USA watoto kama hao from white + black = rangi huwa kama hiyo. Changamoto watoto wanabaguliwa na wazungu maana si mzungu halisi piya na akienda kwa wa black napenyewe wanasema siyo black
ana bahat huyu jamaa ni kweli ndio mzee wako na kuna wenzio kama wewe kama edy galamwenda'na emy galamwnda wenyewe wanyaru wazaz wao rest in peace 'mshukuru mungu mnyak mama alicheza brother MZEE mapamba mzee wa kanisa langu coal mining kyela mbeya
Popote ulipo Mwampamba hongera sana kwa kutoa kopi Japo ukiwa uchi za watu huwezi kutumia mwa kama mimi Babangu aliishi nchini Zambia jina lake Mwaisunga ila Zambia alikua anatumia jina la Sunga badala Mwaisunga na mimi nimezoe kujita Bahati Sunga
Tanzania Corona hakuna. Kama nchi nyingine wanaona hatuna corona, na sisi ndivyo tunavyojua, kwa nini mtu mmoja aanze kutuaminisha kwamba Tanzania kuna Corona? Tz wake up
Haha mimi ni mtanzania lakini sijui kitu chochote inayo husu tanzania 😢 因为我一生来就在中国(北京)九岁时,觉得汉语是我母语<>kasababu niko china(Beijing) tangu nimezaliwa, miaka 9, nimehisi luha kubwa ni kichina
Tusinge kua nazo izo ndege ingekuaje.MUNGU ilaze mahali pema peponi mwanzilishi wetu .pombe magufuli.. AMENI
kwani kabla ya hizo ndege watu walikuwa wanakwendaje China?? hakuna cha ajabu
Amina.
@@uhurunyereremusa8592 Walikuwa wakenda na ndege za watu sasa tunazo za kwetu tunajivunia Magufuli Mwenyezimungu amrehemu uko alipo amjalie pepo isiyo na mwisho! Amina.
Eee kelele wivu tu kabla ya Magufuli yalikua yansnufaika mataifa mengine uelewe
Kama sio juhudi zako magufuli na mindege tungeipata wapi Tena magufuli aka endelea kusema UWIII! KWELI NIKIONDOKA IKITOKEA MUNGU AMENICHUKUA MINDEGE ITA NUNULIWA? PUMZIKA KWENYE HERI DADDY FROM TANZANIAN
Hongera sana mtangazaji una utulivu, huna mbwembwe, sauti yako iko vzr, umetulia na sautt yako. Watangazaji igeni style hii, mnaboa sana una mhoji mtu halafu ww mwenyewe ndo unakuwa na maneno mengi
Sana
Aisee kametoka bomba.Hongera sana wazazi wake.
Kwakweli bwana Mwapamba kaliwakilisha Taifa vizuri.😄
Umetokea bomba sana nusu china nusu Tz❤❤
Kweli kabisa
Nice mix 🇨🇳🇹🇿 from 🇯🇵❤❤❤❤❤
Mnyaki km Mnyakyusa Respect kwa Baharia mwenzangu... Karibu Mbeya kijana.. We Proudly as well For Our Nation... The Blessed Land.
Chuma Ali fanya kazi Allah 🙏 msamehe mabaya yake
Mwana mwema wa Afrika daima TUTAKukumbuka . Shujaa wa Afrika John Pombe MaGufuli. WALIOKUPIGA VITA HAWATAFANIKIWA DAIMA TUTAKUTETEA ALUTA CONTINUA.
. RIP JPM. MUNGU AILAZE ROHO YAKO MAHALI PEMA PEPONI
Umemalza kumuombea dua mwendazake
Mwandishi hongera sana , unajua kuhoji kukidhi maswali na uhitaji wa watazamaji wako - keep it up brother
Jpm forever. Hatuna jinsi kwa sababu wewe mungu ndio muweza wa mambo yote I wish ungetuachia jpm tumalize nae miaka kumi tu tungekua mbali sana.
JPM Safi Sana japo Wana,ipo davlkn zinawafaa upumnzike kwa amani amen
Una uelewa sana dogo, umuhimu wa nia yako ya kutaka kumjua baba, hongera sana
Safi sana ATCL, maendeleo hayo, kwa sasa biashara kutoka China kuja Tanzania imerahisishwa,
Kikubwa mlinde sana mizigo inayotoka na inayoingia tusije kuletewa mabomu ya mbalimbali, na mizigo inayotoka mchunge mali zetu zisiondoke kiholela
Ni kweli kuweni makini siyo kila kitu yes!
Hakuna km maguu mungu ailaze mahali pema peponi
Congratulations Tanzania. Love from Kenya.
Love you too.... Hapa kwenu, K.U.
Full popo eti China wananita muafrica nikija Africa wananita Mu China😂
Safi sana brother mapamba
Hio nayo fursa kichina na kiswahili utapiga pesa
Hahaha
Ni Mwampamba mnyakyusa
Huyo kashindwa kutamka jina lake halisi ni Mwampamba. Very smart young man
ni mwambapa china hawana mwa
Wowww this Tz/Chinese guy is very smart
Huu mchanganyiko uko pouwa kabisa yaani Handsome Mungu fundi🙏🏾
sana hb
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
He looks like Filipino or Thai❤️👍🏾
Yes ur right he so handsome
Exactly
Sure, i was wondering the same
Kweli kma filipino
Duuh Tanzania yetu iko forward na Ndege straight to China
Powa Sana.. inafurahisha mno kuona kijana wa kichinatanzania.. ambae ni mchangamfu mno wa kujitambua/kujinasibu kuayeye ni MtanazChaina.. hkk inapendeza sna na kufurahisha inastahil.
I love jpm walio sema ndege hazina aibu sasa wa naona aibu tuna muitunze nchi yetu mlioko madarakani
Kweli Tanzania hakuna Corona.
Ughonile nkamu ghwitu
Mambo ya Magufuli hayo mandege! Waliomtukana ooh ananunua mandege!
Kweri mmh!
Wanaona haya hasaaa!
Mnanitonesha kidonda sitamsahau magu anaishi moyoni mwangu,tuonane nae baadae
@@kabulamhembe1024 hauko peke yako
WANYAKYUSA noma... Watoto mpaka China duuuh
Hahahaha
Mwanetuu hojo mwaisa
Magufuri atakuwa kapewa kazi za kuwaongoza malaika maana kila kukicha nikuongelewa mazur tu mungu amsamehe baba yetu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@user-jk5ir4ke3z amka kumekucha naona unaota balaa
Mweee..mweee... Mwampamba. Wanyakyusa hoyeeee. Na sisi tupogo kimataifa.
😄😄
Kumbe wachina mkichanganya dammu mnanoga hivyoo!
Hata hapa USA watoto kama hao from white + black = rangi huwa kama hiyo.
Changamoto watoto wanabaguliwa na wazungu maana si mzungu halisi piya na akienda kwa wa black napenyewe wanasema siyo black
Handsome
😀😀😀
Nawewe tafuta mchinaa😂😂😂
Nawewe tafuta mchinaa😂😂😂
MAMA SAMIA AMPE UBALOZI WA CHINA HUYU CONNECTION ITAKUA KUBWA
VERY GOOD IDEA. THE YOUNG MAN IS VERY WELL SPOKEN. HE WOULD REPRESENT OUR COUNTRY VERY WELL. CAN SPEAK BOTH LANGUAGES WELL. WISHING HIM THE BEST.
Huyo raia wa tz kumbuka
@@helangumusana5219ye
jaman mkienda nchi za watu kutuwakilisha hakikisha unaacha mbegu kama hizi inakua poa sana
😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Kajieleza vizur sana mchinzania mwenzetu.
Daah eti Mchinzania 😂😂
Daaah hii nimeipenda... Mchinzania...😂😂😂😂😂
Anaongea kiswahili kizuri sana chaaa...
Broo wewe nintangazaji mzuri kwa Tanzania nnzima.keep up utafika mbali
Alafu wachina wenzako kivip ww n myakusa bwana sio mchina
Mwenzako Ana post makini China anatambulika
Mtanzania Mwenye asili ya China aliekuja kumtafuta Baba yake
Mungu atupe hela kwakwel airport yetu lakin wachina walivoo jaa hapo utafkir sio kwetu
🤣🤣
Very interesting i love it. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Rip baba yetu magufuri maono yako hakika yalikuwa mbali faida ya ndege inaonekana sasa
yani namkumbuka baba yetu
Hongera sana Tonny Zhang (Mapamba) You have tracked your origin.
Kijana amshukuru Mungu Sana kwa kupata babake na kapendeza Sana kwa rangi
Wanyaqusa mwaka wenu huu mumepata damu ya kichina ambay inatuwakilisha
Afadhali 😬😬😬😬😬😬
Nimecheka
@@samiramawby8252 😂😂😂😂😂😂😂😂
nimecheka kwa sauti
@@dominicakamwela4799 upoooo 😂😂😂😂😂
Bwana Tony Mnyakyusa anahamasisha saaana hahaah!!
Mshukuru Baba walau umekuwa mchina mwenye macho makubwa.
Uwaambie kwamba tunajua wao wanachotaka kwetu ni kutuchuma tu awana urafiki ni watu wabaya ikiwezekana ludi home achana nao
mashaallah asate kw kutujuza kk yetu bro hii tz au China ❤❤
ana bahat huyu jamaa ni kweli ndio mzee wako na kuna wenzio kama wewe kama edy galamwenda'na emy galamwnda wenyewe wanyaru wazaz wao rest in peace 'mshukuru mungu mnyak mama alicheza brother MZEE mapamba mzee wa kanisa langu coal mining kyela mbeya
Safi sana 👍
Wisile ndagha Mwaisa🤣🤣🤣🤣🤣eJho umwana jho Mwambamba. Wanyakyusa mpo juu mbegu mpaka China khaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣
🥰 ndaaga mwaisa hahahaa
Hahahahaaaa
Magufuli oyeeee
Kweli mpaka nimemkumbuka magufuli jaman huku masaka tonge bado yanamkejeli
Popote ulipo Mwampamba hongera sana kwa kutoa kopi Japo ukiwa uchi za watu huwezi kutumia mwa kama mimi Babangu aliishi nchini Zambia jina lake Mwaisunga ila Zambia alikua anatumia jina la Sunga badala Mwaisunga na mimi nimezoe kujita Bahati Sunga
Hawo nahisi ndio wanaotaka bagamoyo, mbona wengi 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Wanaitaka wakome jamani
@@TeamKRX he we kama wanataka bagamoyo wanafanikiwa niwengi Sana, wenyeji wa kikwete mwenyewe a nawapenda wa China, mie nilijuwa hyo mtoto ni wake
Magufuli maono yako yameanza kuzaa matunda usamehewe kwa makosa yako kwa wema wako
Kwan kabla ya kua na ndege zetu wachina ilikua hawaj acheni ujinga
@@hajihamis5089 zilikuwepo lakini cyo zetu wewe huelewi kitu Magufuli pumzika kwa Amani baba nasi tupo nyuma yako
Kweli kabisa kubadilisha ndenge ni shida
Toni Mwamapamba ndaga kalibu Tukuyu kwenu
Uko poa kaka
NAKUKUBALI SANA KABWANGA NAZIPENDA SANA STORI ZAKO CLOUDS. TUNAE MKUBALI MSHIKAJI GONGA LIKE APA TUJUANE
Hongera sn Tony.
Love jpm aibu yao
Kabsaaa
Oooh karibu mbeya kwenu mnnyakyusa mmwenzangu
Tanzania Corona hakuna. Kama nchi nyingine wanaona hatuna corona, na sisi ndivyo tunavyojua, kwa nini mtu mmoja aanze kutuaminisha kwamba Tanzania kuna Corona? Tz wake up
Please use two microphones. It's part of the media protocols.
Mambo ya kizamami mic moja
R I P Magufuli..
Tutakukumbuka kwa mengi uliyoyafanya..umeacha alama.
Kwanini
Angekuwa mbongo ungekua unasikia kiingereza kidogo kiswahili kidogo "
Sahihi huyu hawek lugha yeyote zaid ya kiswahili
Unge sikia yes no
HhhhhhhhHahahHH mnavunja mbavu nyie
Hongera sana kijana mimi nakuelewa saana tu
Jamaa nimempenda sana mnyachusa
Kijana yuko safi kabsa
Jux Aje Amchukue Mwanawe Uku/
THE REPORTER IS VERY GOOD🙌🏾🙌🏾🙌🏾
No yake ilituagizemizigo
Yule mwanangu wa kihindi wallah namfata mana daah mie damu yngu haipotei
Nice tony uko bien full ma conference
Haha mimi ni mtanzania lakini sijui kitu chochote inayo husu tanzania 😢 因为我一生来就在中国(北京)九岁时,觉得汉语是我母语<>kasababu niko china(Beijing) tangu nimezaliwa,
miaka 9, nimehisi luha kubwa ni kichina
Mbn wakiandika kama hukijui
Babake n mwijaku huyu ...hyo kswahil eeeh umeweza had kigugumz maskn
Mwijaku mmh ajinyee
Hongera mbongo mchina
Mmmmh wanyakyusa mpo vizuri😀😀😀😋
Duh hawatatuletea corona yao nawako weng sana mh nouma
Mashallah
Jitibu ugonjwa wa ngiri busha kwa mti huu bofya apa 👉
Uwanja wa ndege wekeni na lugha ya kichina maana ni wengi sana tanzania
Ipo nmeona juzi
Ukoo wa Mapamba tuna kikao tarehe 26/6/2021 karibu kaka
Kwenye kikao, ongeleeni kuhusu mchumba, mwambieni kuna binti wa kifipa huku mama yake mchina baba mfipa, tunaomba aoe huku jina la baba ni chikandaa😅
Brother habari nawezaje kupata connection na huyo ndg
Ilikuwa mtuoneshe wakati chombo ndio kinachimba polepole kuanza safari. It would be wonderful.....
The guy is handsome
Nice guestions and discussion and answers
Nangojea na oman ije ndonirudi Tanzania inshaallah
🙄🙄
Nimeipenda
Tini uko vizuri wala ubaguzi werdan
Mbona kama sukuma genge 😂😂
Nimeipenda sauti yako mutangazaji
well done
Mzuri uyo kaka
Nakubali sanaaa mtangazajii
Hakika.Tz oyeeeeee..maguu oyee
Wanyakyusa tupo kila sehemu hahaaa
Handsome man
Safi sana
Mwaisa karibu mwakaleli
Mvumilivu hula mbivu hongera Tanzania
Huyo mchina kaja kimkakati.
Vile wachina wenzake wamemuona anautanzania kwakiasi flani wakampa shavu akae huku huku awe kiunganishi cha biashara zao.
Kijana mzuri.
Siyo mapamba, ni mwampamba eee ngoja niulize ulize vzr huenda ukawa shangazi
Hio blog yake mbona hamjaandika?