MCHINA ALIYEKUJA TANZANIA KUMTAFUTA BABA YAKE | AIR TANZANIA YA KWANZA YATUA CHINA | NYINGINE ZAJA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 май 2021

Комментарии • 391

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 3 года назад +113

    Tusinge kua nazo izo ndege ingekuaje.MUNGU ilaze mahali pema peponi mwanzilishi wetu .pombe magufuli.. AMENI

    • @uhurunyereremusa8592
      @uhurunyereremusa8592 3 года назад +6

      kwani kabla ya hizo ndege watu walikuwa wanakwendaje China?? hakuna cha ajabu

    • @subirajohn728
      @subirajohn728 3 года назад +1

      Amina.

    • @subirajohn728
      @subirajohn728 3 года назад +12

      @@uhurunyereremusa8592 Walikuwa wakenda na ndege za watu sasa tunazo za kwetu tunajivunia Magufuli Mwenyezimungu amrehemu uko alipo amjalie pepo isiyo na mwisho! Amina.

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 3 года назад +1

      Eee kelele wivu tu kabla ya Magufuli yalikua yansnufaika mataifa mengine uelewe

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 3 года назад +1

      Kama sio juhudi zako magufuli na mindege tungeipata wapi Tena magufuli aka endelea kusema UWIII! KWELI NIKIONDOKA IKITOKEA MUNGU AMENICHUKUA MINDEGE ITA NUNULIWA? PUMZIKA KWENYE HERI DADDY FROM TANZANIAN

  • @plujorilugano9489
    @plujorilugano9489 3 года назад +26

    Hongera sana mtangazaji una utulivu, huna mbwembwe, sauti yako iko vzr, umetulia na sautt yako. Watangazaji igeni style hii, mnaboa sana una mhoji mtu halafu ww mwenyewe ndo unakuwa na maneno mengi

  • @shyfettymtunda1928
    @shyfettymtunda1928 3 года назад +17

    Aisee kametoka bomba.Hongera sana wazazi wake.
    Kwakweli bwana Mwapamba kaliwakilisha Taifa vizuri.😄

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 3 года назад +47

    Umetokea bomba sana nusu china nusu Tz❤❤

  • @ELIZABETH-uz6dv
    @ELIZABETH-uz6dv 7 дней назад +1

    Nice mix 🇨🇳🇹🇿 from 🇯🇵❤❤❤❤❤

  • @luganomwaigomole8849
    @luganomwaigomole8849 3 года назад +9

    Mnyaki km Mnyakyusa Respect kwa Baharia mwenzangu... Karibu Mbeya kijana.. We Proudly as well For Our Nation... The Blessed Land.

  • @rajabuhondo4973
    @rajabuhondo4973 3 года назад +10

    Chuma Ali fanya kazi Allah 🙏 msamehe mabaya yake

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 3 года назад +11

    Mwana mwema wa Afrika daima TUTAKukumbuka . Shujaa wa Afrika John Pombe MaGufuli. WALIOKUPIGA VITA HAWATAFANIKIWA DAIMA TUTAKUTETEA ALUTA CONTINUA.
    . RIP JPM. MUNGU AILAZE ROHO YAKO MAHALI PEMA PEPONI

  • @caltongenmercantile4651
    @caltongenmercantile4651 3 года назад +7

    Mwandishi hongera sana , unajua kuhoji kukidhi maswali na uhitaji wa watazamaji wako - keep it up brother

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 3 года назад +14

    Jpm forever. Hatuna jinsi kwa sababu wewe mungu ndio muweza wa mambo yote I wish ungetuachia jpm tumalize nae miaka kumi tu tungekua mbali sana.

  • @mimimoop2617
    @mimimoop2617 3 года назад +17

    JPM Safi Sana japo Wana,ipo davlkn zinawafaa upumnzike kwa amani amen

  • @plujorilugano9489
    @plujorilugano9489 3 года назад +6

    Una uelewa sana dogo, umuhimu wa nia yako ya kutaka kumjua baba, hongera sana

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 3 года назад +22

    Safi sana ATCL, maendeleo hayo, kwa sasa biashara kutoka China kuja Tanzania imerahisishwa,
    Kikubwa mlinde sana mizigo inayotoka na inayoingia tusije kuletewa mabomu ya mbalimbali, na mizigo inayotoka mchunge mali zetu zisiondoke kiholela

  • @dothomwandaliw4057
    @dothomwandaliw4057 3 года назад +42

    Hakuna km maguu mungu ailaze mahali pema peponi

  • @derrickmutuma7185
    @derrickmutuma7185 3 года назад +22

    Congratulations Tanzania. Love from Kenya.

  • @irakozejclaude7869
    @irakozejclaude7869 3 года назад +33

    Full popo eti China wananita muafrica nikija Africa wananita Mu China😂
    Safi sana brother mapamba
    Hio nayo fursa kichina na kiswahili utapiga pesa

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 3 года назад +17

    Wowww this Tz/Chinese guy is very smart

  • @ruthmaeja6340
    @ruthmaeja6340 3 года назад +16

    Huu mchanganyiko uko pouwa kabisa yaani Handsome Mungu fundi🙏🏾

  • @Jenniferspace
    @Jenniferspace 3 года назад +15

    He looks like Filipino or Thai❤️👍🏾

  • @amigodossantos4129
    @amigodossantos4129 3 года назад +10

    Duuh Tanzania yetu iko forward na Ndege straight to China

  • @tuterlakapo2016
    @tuterlakapo2016 3 года назад +4

    Powa Sana.. inafurahisha mno kuona kijana wa kichinatanzania.. ambae ni mchangamfu mno wa kujitambua/kujinasibu kuayeye ni MtanazChaina.. hkk inapendeza sna na kufurahisha inastahil.

  • @josephinanikwelimdacki3330
    @josephinanikwelimdacki3330 3 года назад +5

    I love jpm walio sema ndege hazina aibu sasa wa naona aibu tuna muitunze nchi yetu mlioko madarakani

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 3 года назад +32

    Kweli Tanzania hakuna Corona.

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 3 года назад +34

    Mambo ya Magufuli hayo mandege! Waliomtukana ooh ananunua mandege!

  • @phillipmatola6964
    @phillipmatola6964 3 года назад +25

    WANYAKYUSA noma... Watoto mpaka China duuuh

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 3 года назад +7

    Mweee..mweee... Mwampamba. Wanyakyusa hoyeeee. Na sisi tupogo kimataifa.

  • @rehemamkalawa3801
    @rehemamkalawa3801 3 года назад +23

    Kumbe wachina mkichanganya dammu mnanoga hivyoo!

    • @isaacvtv547
      @isaacvtv547 3 года назад +1

      Hata hapa USA watoto kama hao from white + black = rangi huwa kama hiyo.
      Changamoto watoto wanabaguliwa na wazungu maana si mzungu halisi piya na akienda kwa wa black napenyewe wanasema siyo black

    • @donaldmwahalende4841
      @donaldmwahalende4841 3 года назад

      Handsome

    • @fatimambaruku1833
      @fatimambaruku1833 3 года назад

      😀😀😀

    • @isayasway4892
      @isayasway4892 3 года назад

      Nawewe tafuta mchinaa😂😂😂

    • @isayasway4892
      @isayasway4892 3 года назад

      Nawewe tafuta mchinaa😂😂😂

  • @fuadabdalla7097
    @fuadabdalla7097 3 года назад +9

    MAMA SAMIA AMPE UBALOZI WA CHINA HUYU CONNECTION ITAKUA KUBWA

    • @amaliweston3963
      @amaliweston3963 3 года назад

      VERY GOOD IDEA. THE YOUNG MAN IS VERY WELL SPOKEN. HE WOULD REPRESENT OUR COUNTRY VERY WELL. CAN SPEAK BOTH LANGUAGES WELL. WISHING HIM THE BEST.

    • @helangumusana5219
      @helangumusana5219 3 года назад

      Huyo raia wa tz kumbuka

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv 7 дней назад +1

      ​@@helangumusana5219ye

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 3 года назад +3

    jaman mkienda nchi za watu kutuwakilisha hakikisha unaacha mbegu kama hizi inakua poa sana

  • @nicholasamosbakar6182
    @nicholasamosbakar6182 3 года назад +3

    Kajieleza vizur sana mchinzania mwenzetu.

    • @edmondjr17
      @edmondjr17 3 года назад

      Daah eti Mchinzania 😂😂

    • @elibarikimaganga9571
      @elibarikimaganga9571 Месяц назад

      Daaah hii nimeipenda... Mchinzania...😂😂😂😂😂

  • @rosa629
    @rosa629 3 года назад +6

    Anaongea kiswahili kizuri sana chaaa...

  • @maryamtassama494
    @maryamtassama494 Год назад +1

    Broo wewe nintangazaji mzuri kwa Tanzania nnzima.keep up utafika mbali

  • @annasalum3366
    @annasalum3366 3 года назад +8

    Alafu wachina wenzako kivip ww n myakusa bwana sio mchina

  • @fctlinesfactlines2817
    @fctlinesfactlines2817 3 года назад +5

    Mtanzania Mwenye asili ya China aliekuja kumtafuta Baba yake

  • @mwanjekeyz8671
    @mwanjekeyz8671 3 года назад +6

    Mungu atupe hela kwakwel airport yetu lakin wachina walivoo jaa hapo utafkir sio kwetu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад +4

    Very interesting i love it. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 3 года назад +10

    Rip baba yetu magufuri maono yako hakika yalikuwa mbali faida ya ndege inaonekana sasa

  • @juliusjohn9453
    @juliusjohn9453 Год назад

    Hongera sana Tonny Zhang (Mapamba) You have tracked your origin.

  • @berthamasanja3512
    @berthamasanja3512 3 года назад +2

    Kijana amshukuru Mungu Sana kwa kupata babake na kapendeza Sana kwa rangi

  • @alluabdallah6893
    @alluabdallah6893 3 года назад +8

    Wanyaqusa mwaka wenu huu mumepata damu ya kichina ambay inatuwakilisha

  • @elenzianjk5543
    @elenzianjk5543 3 года назад +1

    Bwana Tony Mnyakyusa anahamasisha saaana hahaah!!

  • @awalimunishi
    @awalimunishi 3 года назад +1

    Mshukuru Baba walau umekuwa mchina mwenye macho makubwa.

  • @revocatusmkude4049
    @revocatusmkude4049 3 года назад +2

    Uwaambie kwamba tunajua wao wanachotaka kwetu ni kutuchuma tu awana urafiki ni watu wabaya ikiwezekana ludi home achana nao

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 3 года назад

    mashaallah asate kw kutujuza kk yetu bro hii tz au China ❤❤

  • @jescaswai9332
    @jescaswai9332 3 года назад +3

    ana bahat huyu jamaa ni kweli ndio mzee wako na kuna wenzio kama wewe kama edy galamwenda'na emy galamwnda wenyewe wanyaru wazaz wao rest in peace 'mshukuru mungu mnyak mama alicheza brother MZEE mapamba mzee wa kanisa langu coal mining kyela mbeya

  • @mursalsaid3327
    @mursalsaid3327 3 года назад +5

    Safi sana 👍

  • @precioussilungwe7365
    @precioussilungwe7365 3 года назад +2

    Wisile ndagha Mwaisa🤣🤣🤣🤣🤣eJho umwana jho Mwambamba. Wanyakyusa mpo juu mbegu mpaka China khaaaa

  • @dothomwandaliw4057
    @dothomwandaliw4057 3 года назад +23

    Magufuli oyeeee

  • @vumiliachacha2743
    @vumiliachacha2743 3 года назад +1

    Kweli mpaka nimemkumbuka magufuli jaman huku masaka tonge bado yanamkejeli

  • @bahatisunga1642
    @bahatisunga1642 Год назад

    Popote ulipo Mwampamba hongera sana kwa kutoa kopi Japo ukiwa uchi za watu huwezi kutumia mwa kama mimi Babangu aliishi nchini Zambia jina lake Mwaisunga ila Zambia alikua anatumia jina la Sunga badala Mwaisunga na mimi nimezoe kujita Bahati Sunga

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli2661 3 года назад +6

    Hawo nahisi ndio wanaotaka bagamoyo, mbona wengi 😂😂😂

    • @mrsnam6897
      @mrsnam6897 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣

    • @TeamKRX
      @TeamKRX 3 года назад

      Wanaitaka wakome jamani

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 3 года назад

      @@TeamKRX he we kama wanataka bagamoyo wanafanikiwa niwengi Sana, wenyeji wa kikwete mwenyewe a nawapenda wa China, mie nilijuwa hyo mtoto ni wake

  • @abdulmalickupete9015
    @abdulmalickupete9015 3 года назад +23

    Magufuli maono yako yameanza kuzaa matunda usamehewe kwa makosa yako kwa wema wako

    • @hajihamis5089
      @hajihamis5089 3 года назад

      Kwan kabla ya kua na ndege zetu wachina ilikua hawaj acheni ujinga

    • @user-rd7jt1vi5x
      @user-rd7jt1vi5x 3 года назад

      @@hajihamis5089 zilikuwepo lakini cyo zetu wewe huelewi kitu Magufuli pumzika kwa Amani baba nasi tupo nyuma yako

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 3 года назад +3

    Kweli kabisa kubadilisha ndenge ni shida

  • @lovenessmwaitege5324
    @lovenessmwaitege5324 3 года назад +5

    Toni Mwamapamba ndaga kalibu Tukuyu kwenu

  • @sharifumauridi4760
    @sharifumauridi4760 3 года назад +15

    NAKUKUBALI SANA KABWANGA NAZIPENDA SANA STORI ZAKO CLOUDS. TUNAE MKUBALI MSHIKAJI GONGA LIKE APA TUJUANE

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 3 года назад

    Hongera sn Tony.

  • @josephinanikwelimdacki3330
    @josephinanikwelimdacki3330 3 года назад +4

    Love jpm aibu yao

  • @frejascompany6094
    @frejascompany6094 Год назад

    Oooh karibu mbeya kwenu mnnyakyusa mmwenzangu

  • @christinacharles9771
    @christinacharles9771 3 года назад +6

    Tanzania Corona hakuna. Kama nchi nyingine wanaona hatuna corona, na sisi ndivyo tunavyojua, kwa nini mtu mmoja aanze kutuaminisha kwamba Tanzania kuna Corona? Tz wake up

  • @petersakariwakube8215
    @petersakariwakube8215 3 года назад +6

    Please use two microphones. It's part of the media protocols.

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 3 года назад +6

    R I P Magufuli..
    Tutakukumbuka kwa mengi uliyoyafanya..umeacha alama.

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 3 года назад +2

    Angekuwa mbongo ungekua unasikia kiingereza kidogo kiswahili kidogo "

  • @josephmalisa2987
    @josephmalisa2987 3 года назад

    Hongera sana kijana mimi nakuelewa saana tu

  • @emmanuelmaiko8503
    @emmanuelmaiko8503 3 года назад +1

    Jamaa nimempenda sana mnyachusa

  • @damsonwillison435
    @damsonwillison435 3 года назад +2

    Kijana yuko safi kabsa

  • @hramadhaniramadhani5328
    @hramadhaniramadhani5328 3 года назад +1

    Jux Aje Amchukue Mwanawe Uku/

  • @amaliweston3963
    @amaliweston3963 3 года назад +4

    THE REPORTER IS VERY GOOD🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @omarmatuta7709
    @omarmatuta7709 3 года назад

    Yule mwanangu wa kihindi wallah namfata mana daah mie damu yngu haipotei

  • @majaliwaandulile8379
    @majaliwaandulile8379 3 года назад

    Nice tony uko bien full ma conference

  • @masupildula
    @masupildula 3 года назад +1

    Haha mimi ni mtanzania lakini sijui kitu chochote inayo husu tanzania 😢 因为我一生来就在中国(北京)九岁时,觉得汉语是我母语<>kasababu niko china(Beijing) tangu nimezaliwa,
    miaka 9, nimehisi luha kubwa ni kichina

  • @mariamnjama3963
    @mariamnjama3963 3 года назад +3

    Babake n mwijaku huyu ...hyo kswahil eeeh umeweza had kigugumz maskn

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 года назад

    Hongera mbongo mchina

  • @joycesichone4121
    @joycesichone4121 3 года назад

    Mmmmh wanyakyusa mpo vizuri😀😀😀😋

  • @kapeljjkapeljj5407
    @kapeljjkapeljj5407 3 года назад +1

    Duh hawatatuletea corona yao nawako weng sana mh nouma

  • @iffatuma4823
    @iffatuma4823 3 года назад

    Mashallah

  • @doctorpheisaltv6266
    @doctorpheisaltv6266 3 года назад +5

    Jitibu ugonjwa wa ngiri busha kwa mti huu bofya apa 👉

  • @saidhamad533
    @saidhamad533 3 года назад +2

    Uwanja wa ndege wekeni na lugha ya kichina maana ni wengi sana tanzania

  • @angelmwanjalila857
    @angelmwanjalila857 3 года назад +4

    Ukoo wa Mapamba tuna kikao tarehe 26/6/2021 karibu kaka

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 3 года назад

      Kwenye kikao, ongeleeni kuhusu mchumba, mwambieni kuna binti wa kifipa huku mama yake mchina baba mfipa, tunaomba aoe huku jina la baba ni chikandaa😅

  • @johansenrauben6166
    @johansenrauben6166 3 года назад +1

    Brother habari nawezaje kupata connection na huyo ndg

  • @zamzamsuleiman6824
    @zamzamsuleiman6824 3 года назад

    Ilikuwa mtuoneshe wakati chombo ndio kinachimba polepole kuanza safari. It would be wonderful.....

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb 3 года назад +1

    The guy is handsome

  • @salehpandu2250
    @salehpandu2250 3 года назад +3

    Nice guestions and discussion and answers

  • @kshdbzjnxksksw6567
    @kshdbzjnxksksw6567 3 года назад +2

    Nangojea na oman ije ndonirudi Tanzania inshaallah

  • @geroldmwinuka6411
    @geroldmwinuka6411 3 года назад

    Nimeipenda

  • @jumakitwanajumajuma5337
    @jumakitwanajumajuma5337 3 года назад

    Tini uko vizuri wala ubaguzi werdan

  • @moisemsanga9081
    @moisemsanga9081 3 года назад +3

    Mbona kama sukuma genge 😂😂

  • @fahimafah349
    @fahimafah349 3 года назад +1

    Nimeipenda sauti yako mutangazaji

  • @eastafricabrokerkiller8028
    @eastafricabrokerkiller8028 3 года назад

    well done

  • @shishishishi3892
    @shishishishi3892 3 года назад +1

    Mzuri uyo kaka

  • @olipafrank7518
    @olipafrank7518 3 года назад

    Nakubali sanaaa mtangazajii

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 3 года назад +2

    Hakika.Tz oyeeeeee..maguu oyee

  • @gabrieladam1065
    @gabrieladam1065 Год назад

    Wanyakyusa tupo kila sehemu hahaaa

  • @seneequamoyo8111
    @seneequamoyo8111 3 года назад

    Handsome man

  • @markhenry6677
    @markhenry6677 3 года назад

    Safi sana

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Год назад

    Mwaisa karibu mwakaleli

  • @fadumayusuf6564
    @fadumayusuf6564 3 года назад

    Mvumilivu hula mbivu hongera Tanzania

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 Год назад

    Huyo mchina kaja kimkakati.
    Vile wachina wenzake wamemuona anautanzania kwakiasi flani wakampa shavu akae huku huku awe kiunganishi cha biashara zao.

  • @christinawallasch5228
    @christinawallasch5228 3 года назад

    Kijana mzuri.

  • @febbycosmas6298
    @febbycosmas6298 3 года назад +1

    Siyo mapamba, ni mwampamba eee ngoja niulize ulize vzr huenda ukawa shangazi

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 3 года назад

    Hio blog yake mbona hamjaandika?