A - Z: MKANDARASI AMUONESHA DHARAU MKUU WA MKOA, ALICHOMFANYA NI FUNZO!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • A - Z: MKANDARASI AMUONESHA DHARAU MKUU WA MKOA, ALICHOMFANYA NI FUNZO!
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 800

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 Год назад +144

    Napenda sana kwa jinsi Tanzania 🇹🇿 inavyo chezewa safi sana MAGUFULI KATUKANWA SANA TENA SANA nasema tena safi sana 🤣🤣🤣 RIP mzee baba Magufuli 🙏😭😭😭😭

    • @Dantaata
      @Dantaata Год назад +11

      hapa kw staili hii ukuu wa mkoa ataukosa maana inaonekana hii mifumo haitakiwi sa hv,, watawakwaza wawekezaji

    • @meryandrew6902
      @meryandrew6902 Год назад +7

      Kwakweli rest in peace jpm 😭😭😭😭

    • @berthatz
      @berthatz Год назад +4

      Kumanina walahi..🤬🤬

    • @daimavlog
      @daimavlog Год назад +2

      Tupishe basi Magufuli muda wake ushakwisha, tumepona na udikiteta siye maana ambako angetufikisha Mungu anapajua, yeye aliyemruhusu awe duniani alimchukua, Kama angeona hajamaliza Kazi yake basi angemuacha zaidi

    • @avitusmichael5
      @avitusmichael5 Год назад

      @@daimavlog mkundus ww

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Год назад +26

    Hahaha
    Bulldozer ameondoka inchi inajitawala , watu wako kwenye kulamba asali tuu😭😭😭😭

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 Год назад +73

    Magufuli umeondok ikiwa tunakuitaji Sana Tanzania Mzee wetu,,,,Lala salama uko uliko mambo c mambo

    • @ufugajiwetu7782
      @ufugajiwetu7782 Год назад +1

      Acheni unafiki kila Kitu magufuli

    • @abdallahomary5032
      @abdallahomary5032 Год назад +5

      Basi tukutaje wewee 😂

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Год назад +1

      @@abdallahomary5032 😂😂😂😂😂🙏🙏

    • @jamaa2760
      @jamaa2760 Год назад +1

      @@abdallahomary5032 😂😂

    • @nkoydavid9658
      @nkoydavid9658 Год назад

      @@abdallahomary5032 sasa kutaja mtu asieweza kukusaidia huoni kama nao ni ujinga.. fanya maamuzi magumu siyo kulilia marehemu

  • @faridaf3923
    @faridaf3923 Год назад +16

    Baba etu magufuli alisema tutamkumbuka , nakweli tunamkumbuka, R.i.p kepenzi chawa TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @gilbertngemela6752
    @gilbertngemela6752 Год назад +16

    Yaan upumbavu huu unafanyika waziri yupo, Rais yupo...Yaan Kweli RIP 🙏 😢 Magufuli

  • @samwelipaul1462
    @samwelipaul1462 Год назад +39

    Magufuli tutakukumbuka Sana baba yetu 🙏🙏🙏🙏

  • @anathaliamwangamila3296
    @anathaliamwangamila3296 Год назад +18

    Magufuli ni RAISI Bora sana katika wote Yani utendaji wake safi sana, na kusimamia miradi. Yani basi tu kazi ya MUNGU Haina makosa.
    Rest in peace magufuli😭

  • @kazoumareeeyuusuph3919
    @kazoumareeeyuusuph3919 Год назад +9

    Mutanikumbuka tna mutanikumbuk kwa weme Rest in peace jembe letu hakika ha2wez tena kupata kiongoz kama ww

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Год назад +45

    RIP VIVA Magufuli😭😭🙏

  • @maikobruno341
    @maikobruno341 Год назад +8

    Ngoja tuendelee kuchezewa mpak awamu ii kuisha tutafika tumechoka sana

  • @silverman6930
    @silverman6930 Год назад +36

    Magu Magu Magu we are missing you dearly … this country is in ruin and the leader daily on flights … poleni watz

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Год назад

      Sasa kwanini uwandike kiingeleza kibovu c andika kiswahili 2

    • @evanslawrence7764
      @evanslawrence7764 Год назад

      @@hajjiomary2383 wee kingereza hukijui dugu' learn English

  • @humphreyngawamba583
    @humphreyngawamba583 Год назад +46

    R.I.P Baba tunakukumbuka

  • @rubixrude9954
    @rubixrude9954 Год назад +54

    This is what happens when a nation depends on foreign aid and investments.

    • @mohamedschaeublin7374
      @mohamedschaeublin7374 Год назад +1

      It depending with which Foreign nations to deal with. Bt not Country of those 2 people I've seen.

    • @vt-kn6qf
      @vt-kn6qf Год назад +1

      100% truth

    • @mcback4384
      @mcback4384 Год назад +2

      The project is funded by loans not aid

    • @rubixrude9954
      @rubixrude9954 Год назад +4

      @@mcback4384 Aren't loans the new form of slaverly. The terms given to African nations are deadly

    • @georgeikinya2779
      @georgeikinya2779 Год назад +2

      Very right, my fears are that even this so called mkuu wa mkoa appears not to go far with this .I don't know really when Africa will pull itself successful from this sludge of corruption. Always there has to be a personal force like Magufuli for state affairs to grind aptly instead of institutional drive.

  • @shupanamugala6266
    @shupanamugala6266 Год назад +22

    Baba baba tunakukumbuka sisi watoto wako

    • @Baba-nm4qz
      @Baba-nm4qz Год назад

      Mbona mradi haukuisha tangu 2020 na jpm alikuwepo?

    • @abdallahomary5032
      @abdallahomary5032 Год назад +1

      @@Baba-nm4qz mzee mbna kila anapotajwa JPM unaumiaaa
      Unataka atajwe naniii?

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Год назад

      @@Baba-nm4qz 🤣🤣 tulia BORO la Kirugulu likuingie kunako

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад +20

    Doooo mungu wangu nchi inatokomea na kuteketea wizi mtupu

  • @innocentmakala6542
    @innocentmakala6542 Год назад +36

    Chumaa. RIP kazi ya Mungu aina makosa

  • @saidyahya6392
    @saidyahya6392 Год назад +17

    rip baba jpm tutakukumbuka kwa mema yako

  • @HassanAlJabri
    @HassanAlJabri Год назад +1

    Uchunguzii ufanyike. Kuweka ndani hivi si vizuri. Iinakuwa kosa toka mwanzo, nani kawaleta hao???. Tuponye kidonda, chanzo chake nini???

  • @aukarhassan2197
    @aukarhassan2197 Год назад +9

    Rip tanzania 🇹🇿 mnaliwa hela na hamujui anae kula hela zenu🤣🤣

  • @mtekelechapemba5501
    @mtekelechapemba5501 Год назад +9

    Wizara ya Nishati Januari Makamba. Sawa sawa Watanzania tu wajinga kweli kweli

  • @barakaothumani6421
    @barakaothumani6421 Год назад +5

    utashangaa Mongela Katenguliwa yani Nchi hii haipendi haki hata kkdogo aliependa haki Mungu alishamchukua

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 Год назад +8

    jammani 😭😭😭 kazi ya mungu haina makosa mungu aziweke roho za marehemu wote na mjomba ailaze roho yake mahali pema peponi.🤲🤲🤲

  • @hamiboy1706
    @hamiboy1706 Год назад +1

    Lala mahali pema peponi magufuli daima tuta kikumbuka😭😭😭 wakandalasi waongo wanazid kujatu mana viongozi hawana jipya wanaangalia mayumbo yaotu 🖕

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Год назад +13

    Safi kabisa mkuu, hawa wazungu ovyoooo mnoooooo hii ni kazi ya makamba mbona wa Tz wanaweza kazi tena wakae mwaka

  • @jamesmwangi8598
    @jamesmwangi8598 Год назад +1

    Haki kama jpm agekua hakuwa anataka ujinga huu jamani kwanini viongozi msiige magufuri

  • @testarguy8609
    @testarguy8609 Год назад +5

    Daaaaaah R.I.P MJOMBA
    Na bado tunazisubiti na Yuro.

  • @saidikikoko
    @saidikikoko Год назад +1

    Mama yenu huyo ndio anaupiga mwingi, usimamizi wa hovyo mbwa wao

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 Год назад +6

    Ndio mkome kubabaikia hao mnaowaona kama miungu yenu safi sana hao ndio wawekezaji wazuri tena waongezeeni mikataba 🤣🤣 RIP mzee baba Magufuli 🙏 wezio huku mbele ni mwendo wa nguo KANIKI

  • @belzylucas7275
    @belzylucas7275 Год назад +1

    Magufuli angekuwepe haya mambo yote hayapo

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Год назад +1

    Mmewaza wanawake kwenye uongozi wanawake wa Kitanzania sio wazuri kwenye uongozi kutokana na mila na jinsi wanavyolelewa, ukute hapo Wazungu hao wameshawatomba mabosi wote wa kike sasa kuna kazi hapo , huyu mama Samia kama jeshi lisipo mpindua watz mtazidi kuwa mavi kunuka 🤮🤮🤮🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️

  • @MagufulificationOfAfrica
    @MagufulificationOfAfrica Год назад

    Rais Magufuli kuhusu Ufisadi na Tanzania kuwa Shamba la Bibi |Mar 20, 2016 |
    ruclips.net/user/shortsX8WlqyPevg0

  • @MagufulificationOfAfrica
    @MagufulificationOfAfrica Год назад

    KUMBUKUMBU YA RAIS #MAGUFULI ALIPOKUWA ANASISITIZA TUACHANE NA UMEME WA MATAPELI | JUN 28, 2017 |
    ruclips.net/user/shortsMpbt21tpAEI

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Год назад +1

    hii ndio tabia ya Rushwa mtu anakujibu anavyotaka ...Waziri aulizwe kiburi cha hawa wazungu kinatoka wapi?

  • @emanueli2452
    @emanueli2452 Год назад +35

    Rest in peace baba😭 mam endelea kupand ndege

    • @khalidmohamed454
      @khalidmohamed454 Год назад +7

      acha tu ndugu, yule jamaa alisema tutamkumbuka

    • @rukkysayid6613
      @rukkysayid6613 Год назад +5

      Alale salama kweli maana mambo ya kijinga yanarudi hakuna hata anayeshughulika kila mtu anashughulika na lake Magufuli babaaaaa😭

    • @richardbegga6679
      @richardbegga6679 Год назад +1

      @@khalidmohamed454 to

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 Год назад +1

      💔💔💔😭😭😭😭

    • @shakilamasoud2983
      @shakilamasoud2983 Год назад +1

      🤣🤣🤣🤣 kwakweli aendelee kupanda ndege

  • @imma_billy
    @imma_billy Год назад +6

    Hawa Dawa Yao Ilikuwa Uncle Magufuli. Sasa hivi wanatuchezea sana, wanajua hatuna cha kuwafanya ndo maana wanafanya dharau sana 😏😏😏

    • @happyhousekeeper
      @happyhousekeeper Год назад +1

      😃 natamani angekuwa Majaliwa badala ya mama mpole

  • @princehancesam9892
    @princehancesam9892 Год назад +2

    Nimemkumbuka magufuri

  • @nyandamoto1105
    @nyandamoto1105 Год назад +1

    Tutamkumbuka sana jp magu lichimondi Tena imeludi

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 Год назад +28

    Poleni San wa Tanzania wenzangu hata kwetu wapo Mungu atawasimamia🙏🏼
    Hongera Sana Mkuu wa mkoa
    Mwenyezi Mungu aendelee kukusimamia ktk majukumu yako💪🏽👍

  • @kajutiler418
    @kajutiler418 Год назад +4

    😭😭😭tanzania yangu kilakona madudu shamba la bibi

  • @salma0000
    @salma0000 Год назад +2

    Mtu mweusi hawezi kuendesha nchi nyie, kazi kuiba tu.

    • @mamlomamlo9064
      @mamlomamlo9064 Год назад

      Saw kabisa pia Kuna maneno ya mtume alisema Kaaba tukufu itavunjwa na mtu mweusi

    • @salma0000
      @salma0000 Год назад

      @@mamlomamlo9064 😂

  • @georgemdoe2161
    @georgemdoe2161 Год назад +3

    Ongezeni tozo tujazie hapo tulipoibiwa mana kwetu ndipo ndpo lilipo ficho lenu. Pahala pakupozea umeme kitaifa panaenda kombo tangu mwez May viongozi wakubwa wa nchi hamtambui had kaenda RC 😭😭😭

  • @swidickmussaswidickmussa1425
    @swidickmussaswidickmussa1425 Год назад +1

    Unaongea na makufuli anaongea hiii haaa...

  • @seamlesshunt3869
    @seamlesshunt3869 Год назад +6

    kwamba mradi mkubwa kama huo nchini serikali haijui na haina full document?? 🤔

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Год назад +1

    Nchi IME pewa. Watu WA ovyooo j p m

  • @robertokasike4824
    @robertokasike4824 Год назад +4

    Utasikia mkuu wa mkoa katenguliwa soon

    • @rukkysayid6613
      @rukkysayid6613 Год назад

      Inawezekana maana hii nchiii inakoelekea siko kabisaa MAKAMBA yuko wapi yy kakaa tu kwenye kiti kwenye miradi hatembelei aaaah Magufuli Magufuli tutakukumbuka mbona😭

  • @emmanuelaernext1494
    @emmanuelaernext1494 Год назад +1

    Wanakamatwa na gar nzur hvii

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter3894 Год назад +5

    Na watatudharau sana aiseeee. RIP JPM😥😥😥😥😥

  • @Kidia-yt3bm
    @Kidia-yt3bm Год назад

    Wapi mkurugenzi wa TANESCO ndio anatakiwa kujibu maswali yote

  • @MagufulificationOfAfrica
    @MagufulificationOfAfrica Год назад

    Kwanini tuwapa hawa watuweupe hii miradi mikubwa wakati wanatija zao kufanya tanzania isiendelee iliwawazidi kuenjoy mtaji wa umasikini wetu... ?

  • @deonicemollel4205
    @deonicemollel4205 Год назад

    Police wenyewe wanaogopa kumkamata hyo mzungu 🤣🤣🤣😆 Tanzania imekuwa ya hovyo sshiv RIP JPm

  • @zakwetuartsdecor9815
    @zakwetuartsdecor9815 Год назад +3

    Magufuli will be missed forever. Hongera mkuu wa mkoa walau kwa kuwabana hawa watu. Wabane hadi mradi ukamilike.

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Год назад

    Jamani mukIangalia miradi ya 19 kweusi 1900 ilijengwa bila wasomi sio kila msomi anaweza kazi. msidharau wasiosoma wape USIMAMIZI WA KUREPORTIIII BOGUS DEALS

  • @stellah3844
    @stellah3844 Год назад +15

    Magufuli alikua anamapungufu yake lakini Tumepoteza Jembe 😭😭😭,Lakin jaman Tz inamaana hatuna wasomi Mbona wanaweza wakiaminiwa hawa Ngoz nyeupe wanatudharau sana

    • @faisalhassam3721
      @faisalhassam3721 Год назад +2

      Hawa ngozi nyeupe ningekuwa Rais wasingethubutu kunichezea ningewafunga na ningejua ni watu wa taifa gani ningewapiga stop wasikanyage Tanzania ningejua nchi yao huenda imewatuma watuhujumu.

    • @Baba-nm4qz
      @Baba-nm4qz Год назад

      Mbona alikuwepo 2020 na mradi ulitakiwa kuisha mwaka huo?

    • @fransdembe4504
      @fransdembe4504 Год назад

      Wapo ila kazi wanayoiweza ni kuiba tu

    • @abdallahomary5032
      @abdallahomary5032 Год назад

      @@Baba-nm4qz mzee comment yako ndo hiyo hiyo unarudia kila sehemuuu 😂😂😂😂
      He is our champ na naamin siku moja tutapata kiongozi chuma kama yeye apa Tanzania na wapigaji wote watayayuka 😂

  • @mudykajunja4832
    @mudykajunja4832 Год назад +1

    Ongera mkuu sema anao wangusha ni mkuu wenu apo ni kazi bure tamkoka la kumtoa lipo njiani

  • @dj26number2
    @dj26number2 Год назад

    Izo ngurewe wakiziachia haki Mwalimu Nyerere ataamkaa 🥲🥲🥲🥲🥲🥲🥲

  • @hamadmohamed3056
    @hamadmohamed3056 Год назад

    Sisi waafrica viongozi wetu Bure kabisa.Ona Samia alivyo baridiii hajachangamka kama JPM

  • @litha2000
    @litha2000 Год назад +1

    Tutamkumbuka kwa mema yake rip magu

  • @foundationforcommunityhope7327

    Daaaa hivi kweli...ukweli ni ukweli JPM kaondoka ....tutaona mengi jinsi tutakavyotendewaaa.duuu

  • @migosmigo8099
    @migosmigo8099 Год назад

    Mnaajiri MBUMBUMBU mnategemea nini?watu wenye quality wapo mtaani na wakipata kazi wanaishia level za chini kwani wanawauliza maswali magumu....mnapromote ma_YESMAN .....Pamnaneni na hali zenu!

  • @geoffreyyeri598
    @geoffreyyeri598 Год назад +1

    Tuna pigwa na hawa

  • @reginaosward6170
    @reginaosward6170 Год назад

    Mmewaacha huru wawekezaji sasa wanafanya wanavyotaka,Tanzania inahitaji kiongozi shupavu mkali anayesimamia kikamilifu mali za nchi bila kupendelea mtu,tunamkumbuka sana sana Jembe letu MAGUFuLI Eeee Mungu wafumbue macho viongozi wapate juona madudu yanayofanyika TANZANIA

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 Год назад

    Angekuwepo Magu ndio angefanya nini mbali na kupiga kelele kama anavyofanya RC ?????!!!! Cha msingi ni kandarasi kuweza kufanywa na waTanzania wenyewe, kwani graduates wetu wanasomea nini vyuoni ??????!!!!

  • @luciansanga5195
    @luciansanga5195 Год назад

    Acheni ujinga wenu Mafundi wa umeme tupo hatuna kazi Muna leta wageni hapa kwani sisi hatu wezi ?shida ni viongozi wetu hao ni wenzao Acha wapige mihela ipo siku Ata kuja kama JPM ZITA TOKEAPOPOTE PALIPO WAZI

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 Год назад

    Cjui kuupiga mwingi ndo huku!?!?!?
    Yaan kinachoendelea hii nchi sasa hivi ni balaa tupu! Dharau zimejaa!

  • @angelinaeliakim4447
    @angelinaeliakim4447 Год назад +9

    R. I.P Magufuli

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Год назад

    Polisi acheni kufanyakazi kwa kufuata maagizo. Hakuna mtumishi yoyote wa Serikali anaeweza kuwapa amri Police. Polisi ni chombo huru.

  • @sebastianmwaphe497
    @sebastianmwaphe497 Год назад

    Dah kumbe wazungu wakikamatwa hawapandishwi kwenye magari ya police wanapanda Prado...

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 Год назад +1

    Rip magufuli kuleni pesa uku mtaani njaa kali taifa linahangamia mkija kushutuka somalia na Sudan inawahusu mtakuja kumbuka shuka kumeshakucha kweli mmetufanya sisi manyumbu

  • @johnwilliam2013
    @johnwilliam2013 Год назад +1

    Waziri yuko wapi?

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Год назад

    Inafika mahali MTU ungekuwa Mungu Yehova. Ili umfufue Mwl Nyerere na Moringa sokoine na Dr Magufuli aje aione nchi inavyo chezewa.

  • @Jumashadhil380
    @Jumashadhil380 Год назад

    Washenzi Wameongea Kingereza Wamemaliza
    Huku Waongeaji Kiswahili Kumbe Nao Hawajalipwa aah Tanzania!

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 Год назад

    Hapa ndipo ninapomkumbuka JPM ,. JPM alikuwa hakubaliani na ujinga huu ... Huyu enzi JPM alikuwa anakwenda ndani na viboko

  • @chido_wa_south2171
    @chido_wa_south2171 Год назад

    Alafu Unasema Kuna Waziri wa Nishati,Yani Hamna kitu kabisaaaa,Nandiomaana ata Mzee aliona huu Ni Uozo akauondoa wamekuja wengine wameurudisha Ili utuletee Harufu Wana Inchi😏😏

  • @makongoronyerere1564
    @makongoronyerere1564 Год назад

    Safi xna mkandaras piga makof hao, bosi wako yupo ikuru, shobo zenu, jpm, ulale xalama ,,

  • @ericksagara1719
    @ericksagara1719 Год назад

    SPK, si ajabu ni kigogo mmoja wa CCM. Ndio maana hili limeisha. TANESCO wanajua kinachelea, ndio maana wanajitafuna. Pia hawa watu wanachelewesha maksudi maana wanajua TZ kwa sasa umeme hatuna.RIP JPM

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 Год назад

    MUAFRIKA UNAMFUKUZA MGENI NA KUJITAPA UMEPATA UHURU KISHA UNAWAFUATA HAO HAO KUKUFANYIA MIRADI YAKO......USHENZI MTUPU !!!!!

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Год назад

    Serikali bwna kwanin msingewahoji mwanzoni kabla ya kuanza kazi,,, watu washapiga kazi leo ndio inawauliza kuwa Nani alikuleta,,,, je Kama alikuja kwa michongo mingine ,,,atakuwa ashafanikiwa.

  • @alexlipili9343
    @alexlipili9343 Год назад

    hapo angekuwa jemedari angeshapiga simu mda mrefu fukuza wote,weka rokapu... daaah... aiseeee

  • @moshikilimanjaro5660
    @moshikilimanjaro5660 Год назад

    Nchi ina rasilimali watu kibao , tunachezewa tu,
    " Tumieni Diaspora " Watatoa hii nchi kwenye hili giza, kuna wataalam wengi na uzoefu.wa kutosha.

  • @jaffarymwinyi1080
    @jaffarymwinyi1080 Год назад

    Kuwaweka ndani haisaidii kitu Bali inaharibu taswira ya nchi yetu... Wangechukua passport zao tu ili wakamilishe huo mradi

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 Год назад

    Wakandarasi wanajielewa hao. RC fanyia kazi watumishi na sio Mkandarasi. Mkandarasi ana mkataba wake. Ashughulikiwe kwa mujibu wa mkataba.

  • @allyomary5411
    @allyomary5411 Год назад +18

    Asilimia kubwa wakaguzi wa kwenye miradi... Yani awaitendei kazi miradi inayokuwa inaendere nchini wengine ni kuchukuwa fungu na kuondoka kadandalasi atafanya kazi atakavyo.mikataba wanayo ingia ukiisoma atasema apa usalama upo lakini wapi wafanya kazi wananyanyasika alafu wakaguzi Wana pita TU kama awaoni wakaguzi wengine awa elewi chochote..wanao tinga aya mambo wanayajuwa vizuri kazi kuwapelekea taharifa wabunge na wana nchi taarifa za huongo..uzembe mtupu kwenye sekta zaukaguzi maana wao ndio wapo kalibu nao😡

  • @thepurpleonlinetv8630
    @thepurpleonlinetv8630 Год назад

    Viongoz mliopo madarakani fanyeni mpango mtupishe, kila siku yale yale

  • @umemetech
    @umemetech Год назад +1

    duuhu

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 Год назад

    Nani ni boss? Nani mwenye mali? Serikali ya Tanzania mko wapi? Magufuli kafa, eti? au serikali ya kujipigia? Kaka kalemani yuko wapi?

  • @Sangaadam
    @Sangaadam Год назад

    Acheni salakasi Apo alitakiwa awepo waziri na viongozi wa juu wa Tanesco ndo walitakiwa kufanya hayo mahojiano hao wako kwny operations hawawezi kua kila kitu,haya mambo mnayaigilia kienyeji then mnapoteza kila kitu.......

  • @philemonmunuo9310
    @philemonmunuo9310 Год назад +2

    R.I.P Doctor Magufuli

  • @malcomg1004
    @malcomg1004 Год назад

    Hivi hawa viongozi wanapoona kila coment ni RIP MAGUFULI,hua hawajitathmini na kujifikiria kua hakuna cha maana wanachofanya?,kwann magufuli atajwe na kila mtu,inamaana kaz alokua anaifanya ilkua inakubalika,sasa nyie viongoz mliopo mnakwama wapi jamn?

  • @jumaciza461
    @jumaciza461 Год назад

    Yani mambo wanatufanyia Asia kwao wameona watufate hadi kwetu 😂😂😂😂Niatari

  • @floramwanja7860
    @floramwanja7860 Год назад

    Magufuli ,nchi hi imerud kwa majambaz na umetangulizwa kwa kusimamia nchii kupinga ufisadi

  • @kenosman4780
    @kenosman4780 Год назад

    "viongozi walkua wanafanya kazi kw woga sio heshma" haya sas Nadhan tunajionea wenyew kwann mwamba alkua mbabe kwny mambo ya Nchi. Haya viongozi wetu fanyen Kaz Kwa uhuru 😁

  • @eliakimzechariah4698
    @eliakimzechariah4698 Год назад

    Iv viongozi waliopo madarakani wakiona watu walivyo Bado wanaukumbuka utendaji wa magufuli hawaoni aibu Wala kushituka?

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Год назад

    Bora tu tuwe mazombi ili ijulikane tunanyonyana damu mchana kweupe

  • @chemstry409
    @chemstry409 Год назад +3

    KINYAAA, KICHEFUCHEFU AND SHEM ON YOU......RIp MAGUFULI......

  • @mussamussa8181
    @mussamussa8181 Год назад

    Tanzania janja janja sana,,apo kuna mtu wa Tanesco kisha kula chake...ichunguzwee mtatupa majbu....ao wakandalasi awana tatzk kabsa shida Tanesco

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 Год назад +3

    ACHENI wajipigie tu! Miela si ipo tu yakupiga bhana!🤗🤗 Tz chaka la maalamia wa mpunga.

  • @charlesmihuwa6287
    @charlesmihuwa6287 Год назад +34

    Hii ni shida ya ufisadi tu kazi kama hizi siku hizi Ma engineer wazawa wanaweza kufanya kwa asilimia 100.

    • @anthonymgina3893
      @anthonymgina3893 Год назад

      Ndio wanaweza

    • @abednego3876
      @abednego3876 Год назад

      Sw kwaio kawap kaz ss

    • @imanibakili8028
      @imanibakili8028 Год назад

      Ukiona Mkandarasi anajeuri jua anauhakika wakubwa hawatamfanya kitu

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale Год назад +1

      Ni kweli. Kwetu CHANIKA mkandarasi wa ndani kidaraja kidogo tu alitumia mwaka mmoja kukijenga! Kidaraja cha miezi mitatu ama miwili, katumia mwaka miezi na nane!

    • @mzeewahisia9959
      @mzeewahisia9959 Год назад

      @@TamuzaKale ok

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala8119 Год назад

    Anakuja msenge anasema Magufuli m'baya tizama nchi hii inavyochezewa na mafala kama huyo muhimdi ngozi mbaya kama yangu.
    Viongozi simamieni nchi hii inapotea Kwa nyie kuaminiwa, inakuwaje jamani?

  • @hashimabdalah3161
    @hashimabdalah3161 Год назад +4

    Makamba hana habar kabisa

  • @deohaule8161
    @deohaule8161 Год назад

    Mchawi hapo ni mtanzania ambaye si mzalendo, kauza mil. 61 ya watanzania kwa masilahi binafsi. Waafrika sijui tumelogwa na nani.