A - Z: MKANDARASI AMUONESHA DHARAU MKUU WA MKOA, ALICHOMFANYA NI FUNZO!
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- A - Z: MKANDARASI AMUONESHA DHARAU MKUU WA MKOA, ALICHOMFANYA NI FUNZO!
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Napenda sana kwa jinsi Tanzania 🇹🇿 inavyo chezewa safi sana MAGUFULI KATUKANWA SANA TENA SANA nasema tena safi sana 🤣🤣🤣 RIP mzee baba Magufuli 🙏😭😭😭😭
hapa kw staili hii ukuu wa mkoa ataukosa maana inaonekana hii mifumo haitakiwi sa hv,, watawakwaza wawekezaji
Kwakweli rest in peace jpm 😭😭😭😭
Kumanina walahi..🤬🤬
Tupishe basi Magufuli muda wake ushakwisha, tumepona na udikiteta siye maana ambako angetufikisha Mungu anapajua, yeye aliyemruhusu awe duniani alimchukua, Kama angeona hajamaliza Kazi yake basi angemuacha zaidi
@@daimavlog mkundus ww
Hahaha
Bulldozer ameondoka inchi inajitawala , watu wako kwenye kulamba asali tuu😭😭😭😭
Magufuli umeondok ikiwa tunakuitaji Sana Tanzania Mzee wetu,,,,Lala salama uko uliko mambo c mambo
Acheni unafiki kila Kitu magufuli
Basi tukutaje wewee 😂
@@abdallahomary5032 😂😂😂😂😂🙏🙏
@@abdallahomary5032 😂😂
@@abdallahomary5032 sasa kutaja mtu asieweza kukusaidia huoni kama nao ni ujinga.. fanya maamuzi magumu siyo kulilia marehemu
Baba etu magufuli alisema tutamkumbuka , nakweli tunamkumbuka, R.i.p kepenzi chawa TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Yaan upumbavu huu unafanyika waziri yupo, Rais yupo...Yaan Kweli RIP 🙏 😢 Magufuli
Makamba kaweka miguu juu tu
😂😂😂😂
Magufuli tutakukumbuka Sana baba yetu 🙏🙏🙏🙏
🙏🏾🙏🏾
Magufuli ni RAISI Bora sana katika wote Yani utendaji wake safi sana, na kusimamia miradi. Yani basi tu kazi ya MUNGU Haina makosa.
Rest in peace magufuli😭
Kwako ndio rais bora
Kuua upinzani kulikua maana Gani,hebu twambie wewe kama sio kukurupuka
Mutanikumbuka tna mutanikumbuk kwa weme Rest in peace jembe letu hakika ha2wez tena kupata kiongoz kama ww
RIP VIVA Magufuli😭😭🙏
Mbona mradi haukuisha tangu 2020 na yeye alikuwepo acheni upumbavu
Mbona unaumia akitajwa Magufulii mzee
Atabaki kuwa Icon milele hata ukichukiaa 😂😂😂
@@abdallahomary5032 😂😂😂😂😂👏🤝👏
@@Baba-nm4qz RIP MWAMBA
Piga kazi mh.mkuu wa mkoa
Ngoja tuendelee kuchezewa mpak awamu ii kuisha tutafika tumechoka sana
Magu Magu Magu we are missing you dearly … this country is in ruin and the leader daily on flights … poleni watz
Sasa kwanini uwandike kiingeleza kibovu c andika kiswahili 2
@@hajjiomary2383 wee kingereza hukijui dugu' learn English
R.I.P Baba tunakukumbuka
Baba yupi sasa?
Baba Ako aikuw tanexko
kabisaaaaaaaa
uyu mama samia siyomkari
urais siyo siyasa tu! ukali kwanza
💔💔😭😭😭
This is what happens when a nation depends on foreign aid and investments.
It depending with which Foreign nations to deal with. Bt not Country of those 2 people I've seen.
100% truth
The project is funded by loans not aid
@@mcback4384 Aren't loans the new form of slaverly. The terms given to African nations are deadly
Very right, my fears are that even this so called mkuu wa mkoa appears not to go far with this .I don't know really when Africa will pull itself successful from this sludge of corruption. Always there has to be a personal force like Magufuli for state affairs to grind aptly instead of institutional drive.
Baba baba tunakukumbuka sisi watoto wako
Mbona mradi haukuisha tangu 2020 na jpm alikuwepo?
@@Baba-nm4qz mzee mbna kila anapotajwa JPM unaumiaaa
Unataka atajwe naniii?
@@Baba-nm4qz 🤣🤣 tulia BORO la Kirugulu likuingie kunako
Doooo mungu wangu nchi inatokomea na kuteketea wizi mtupu
Magu allisemA haya
Chumaa. RIP kazi ya Mungu aina makosa
rip baba jpm tutakukumbuka kwa mema yako
Uchunguzii ufanyike. Kuweka ndani hivi si vizuri. Iinakuwa kosa toka mwanzo, nani kawaleta hao???. Tuponye kidonda, chanzo chake nini???
Rip tanzania 🇹🇿 mnaliwa hela na hamujui anae kula hela zenu🤣🤣
Wizara ya Nishati Januari Makamba. Sawa sawa Watanzania tu wajinga kweli kweli
utashangaa Mongela Katenguliwa yani Nchi hii haipendi haki hata kkdogo aliependa haki Mungu alishamchukua
jammani 😭😭😭 kazi ya mungu haina makosa mungu aziweke roho za marehemu wote na mjomba ailaze roho yake mahali pema peponi.🤲🤲🤲
Lala mahali pema peponi magufuli daima tuta kikumbuka😭😭😭 wakandalasi waongo wanazid kujatu mana viongozi hawana jipya wanaangalia mayumbo yaotu 🖕
Safi kabisa mkuu, hawa wazungu ovyoooo mnoooooo hii ni kazi ya makamba mbona wa Tz wanaweza kazi tena wakae mwaka
Haki kama jpm agekua hakuwa anataka ujinga huu jamani kwanini viongozi msiige magufuri
Daaaaaah R.I.P MJOMBA
Na bado tunazisubiti na Yuro.
Mama yenu huyo ndio anaupiga mwingi, usimamizi wa hovyo mbwa wao
Ndio mkome kubabaikia hao mnaowaona kama miungu yenu safi sana hao ndio wawekezaji wazuri tena waongezeeni mikataba 🤣🤣 RIP mzee baba Magufuli 🙏 wezio huku mbele ni mwendo wa nguo KANIKI
Magufuli angekuwepe haya mambo yote hayapo
Mmewaza wanawake kwenye uongozi wanawake wa Kitanzania sio wazuri kwenye uongozi kutokana na mila na jinsi wanavyolelewa, ukute hapo Wazungu hao wameshawatomba mabosi wote wa kike sasa kuna kazi hapo , huyu mama Samia kama jeshi lisipo mpindua watz mtazidi kuwa mavi kunuka 🤮🤮🤮🤦🏽♂️🤦🏽♂️
Rais Magufuli kuhusu Ufisadi na Tanzania kuwa Shamba la Bibi |Mar 20, 2016 |
ruclips.net/user/shortsX8WlqyPevg0
KUMBUKUMBU YA RAIS #MAGUFULI ALIPOKUWA ANASISITIZA TUACHANE NA UMEME WA MATAPELI | JUN 28, 2017 |
ruclips.net/user/shortsMpbt21tpAEI
hii ndio tabia ya Rushwa mtu anakujibu anavyotaka ...Waziri aulizwe kiburi cha hawa wazungu kinatoka wapi?
Rest in peace baba😭 mam endelea kupand ndege
acha tu ndugu, yule jamaa alisema tutamkumbuka
Alale salama kweli maana mambo ya kijinga yanarudi hakuna hata anayeshughulika kila mtu anashughulika na lake Magufuli babaaaaa😭
@@khalidmohamed454 to
💔💔💔😭😭😭😭
🤣🤣🤣🤣 kwakweli aendelee kupanda ndege
Hawa Dawa Yao Ilikuwa Uncle Magufuli. Sasa hivi wanatuchezea sana, wanajua hatuna cha kuwafanya ndo maana wanafanya dharau sana 😏😏😏
😃 natamani angekuwa Majaliwa badala ya mama mpole
Nimemkumbuka magufuri
Tutamkumbuka sana jp magu lichimondi Tena imeludi
Poleni San wa Tanzania wenzangu hata kwetu wapo Mungu atawasimamia🙏🏼
Hongera Sana Mkuu wa mkoa
Mwenyezi Mungu aendelee kukusimamia ktk majukumu yako💪🏽👍
Laz
😭😭😭tanzania yangu kilakona madudu shamba la bibi
Mtu mweusi hawezi kuendesha nchi nyie, kazi kuiba tu.
Saw kabisa pia Kuna maneno ya mtume alisema Kaaba tukufu itavunjwa na mtu mweusi
@@mamlomamlo9064 😂
Ongezeni tozo tujazie hapo tulipoibiwa mana kwetu ndipo ndpo lilipo ficho lenu. Pahala pakupozea umeme kitaifa panaenda kombo tangu mwez May viongozi wakubwa wa nchi hamtambui had kaenda RC 😭😭😭
Unaongea na makufuli anaongea hiii haaa...
kwamba mradi mkubwa kama huo nchini serikali haijui na haina full document?? 🤔
Msiba huu
Nchi IME pewa. Watu WA ovyooo j p m
Utasikia mkuu wa mkoa katenguliwa soon
Inawezekana maana hii nchiii inakoelekea siko kabisaa MAKAMBA yuko wapi yy kakaa tu kwenye kiti kwenye miradi hatembelei aaaah Magufuli Magufuli tutakukumbuka mbona😭
Wanakamatwa na gar nzur hvii
Na watatudharau sana aiseeee. RIP JPM😥😥😥😥😥
Wapi mkurugenzi wa TANESCO ndio anatakiwa kujibu maswali yote
Kwanini tuwapa hawa watuweupe hii miradi mikubwa wakati wanatija zao kufanya tanzania isiendelee iliwawazidi kuenjoy mtaji wa umasikini wetu... ?
Police wenyewe wanaogopa kumkamata hyo mzungu 🤣🤣🤣😆 Tanzania imekuwa ya hovyo sshiv RIP JPm
Magufuli will be missed forever. Hongera mkuu wa mkoa walau kwa kuwabana hawa watu. Wabane hadi mradi ukamilike.
Jamani mukIangalia miradi ya 19 kweusi 1900 ilijengwa bila wasomi sio kila msomi anaweza kazi. msidharau wasiosoma wape USIMAMIZI WA KUREPORTIIII BOGUS DEALS
Magufuli alikua anamapungufu yake lakini Tumepoteza Jembe 😭😭😭,Lakin jaman Tz inamaana hatuna wasomi Mbona wanaweza wakiaminiwa hawa Ngoz nyeupe wanatudharau sana
Hawa ngozi nyeupe ningekuwa Rais wasingethubutu kunichezea ningewafunga na ningejua ni watu wa taifa gani ningewapiga stop wasikanyage Tanzania ningejua nchi yao huenda imewatuma watuhujumu.
Mbona alikuwepo 2020 na mradi ulitakiwa kuisha mwaka huo?
Wapo ila kazi wanayoiweza ni kuiba tu
@@Baba-nm4qz mzee comment yako ndo hiyo hiyo unarudia kila sehemuuu 😂😂😂😂
He is our champ na naamin siku moja tutapata kiongozi chuma kama yeye apa Tanzania na wapigaji wote watayayuka 😂
Ongera mkuu sema anao wangusha ni mkuu wenu apo ni kazi bure tamkoka la kumtoa lipo njiani
Izo ngurewe wakiziachia haki Mwalimu Nyerere ataamkaa 🥲🥲🥲🥲🥲🥲🥲
Sisi waafrica viongozi wetu Bure kabisa.Ona Samia alivyo baridiii hajachangamka kama JPM
Tutamkumbuka kwa mema yake rip magu
Daaaa hivi kweli...ukweli ni ukweli JPM kaondoka ....tutaona mengi jinsi tutakavyotendewaaa.duuu
Mnaajiri MBUMBUMBU mnategemea nini?watu wenye quality wapo mtaani na wakipata kazi wanaishia level za chini kwani wanawauliza maswali magumu....mnapromote ma_YESMAN .....Pamnaneni na hali zenu!
Tuna pigwa na hawa
Mmewaacha huru wawekezaji sasa wanafanya wanavyotaka,Tanzania inahitaji kiongozi shupavu mkali anayesimamia kikamilifu mali za nchi bila kupendelea mtu,tunamkumbuka sana sana Jembe letu MAGUFuLI Eeee Mungu wafumbue macho viongozi wapate juona madudu yanayofanyika TANZANIA
Angekuwepo Magu ndio angefanya nini mbali na kupiga kelele kama anavyofanya RC ?????!!!! Cha msingi ni kandarasi kuweza kufanywa na waTanzania wenyewe, kwani graduates wetu wanasomea nini vyuoni ??????!!!!
Acheni ujinga wenu Mafundi wa umeme tupo hatuna kazi Muna leta wageni hapa kwani sisi hatu wezi ?shida ni viongozi wetu hao ni wenzao Acha wapige mihela ipo siku Ata kuja kama JPM ZITA TOKEAPOPOTE PALIPO WAZI
Cjui kuupiga mwingi ndo huku!?!?!?
Yaan kinachoendelea hii nchi sasa hivi ni balaa tupu! Dharau zimejaa!
R. I.P Magufuli
Polisi acheni kufanyakazi kwa kufuata maagizo. Hakuna mtumishi yoyote wa Serikali anaeweza kuwapa amri Police. Polisi ni chombo huru.
Dah kumbe wazungu wakikamatwa hawapandishwi kwenye magari ya police wanapanda Prado...
Rip magufuli kuleni pesa uku mtaani njaa kali taifa linahangamia mkija kushutuka somalia na Sudan inawahusu mtakuja kumbuka shuka kumeshakucha kweli mmetufanya sisi manyumbu
Waziri yuko wapi?
Inafika mahali MTU ungekuwa Mungu Yehova. Ili umfufue Mwl Nyerere na Moringa sokoine na Dr Magufuli aje aione nchi inavyo chezewa.
Washenzi Wameongea Kingereza Wamemaliza
Huku Waongeaji Kiswahili Kumbe Nao Hawajalipwa aah Tanzania!
Hapa ndipo ninapomkumbuka JPM ,. JPM alikuwa hakubaliani na ujinga huu ... Huyu enzi JPM alikuwa anakwenda ndani na viboko
Alafu Unasema Kuna Waziri wa Nishati,Yani Hamna kitu kabisaaaa,Nandiomaana ata Mzee aliona huu Ni Uozo akauondoa wamekuja wengine wameurudisha Ili utuletee Harufu Wana Inchi😏😏
Safi xna mkandaras piga makof hao, bosi wako yupo ikuru, shobo zenu, jpm, ulale xalama ,,
SPK, si ajabu ni kigogo mmoja wa CCM. Ndio maana hili limeisha. TANESCO wanajua kinachelea, ndio maana wanajitafuna. Pia hawa watu wanachelewesha maksudi maana wanajua TZ kwa sasa umeme hatuna.RIP JPM
MUAFRIKA UNAMFUKUZA MGENI NA KUJITAPA UMEPATA UHURU KISHA UNAWAFUATA HAO HAO KUKUFANYIA MIRADI YAKO......USHENZI MTUPU !!!!!
Serikali bwna kwanin msingewahoji mwanzoni kabla ya kuanza kazi,,, watu washapiga kazi leo ndio inawauliza kuwa Nani alikuleta,,,, je Kama alikuja kwa michongo mingine ,,,atakuwa ashafanikiwa.
hapo angekuwa jemedari angeshapiga simu mda mrefu fukuza wote,weka rokapu... daaah... aiseeee
Nchi ina rasilimali watu kibao , tunachezewa tu,
" Tumieni Diaspora " Watatoa hii nchi kwenye hili giza, kuna wataalam wengi na uzoefu.wa kutosha.
Kuwaweka ndani haisaidii kitu Bali inaharibu taswira ya nchi yetu... Wangechukua passport zao tu ili wakamilishe huo mradi
Wakandarasi wanajielewa hao. RC fanyia kazi watumishi na sio Mkandarasi. Mkandarasi ana mkataba wake. Ashughulikiwe kwa mujibu wa mkataba.
Asilimia kubwa wakaguzi wa kwenye miradi... Yani awaitendei kazi miradi inayokuwa inaendere nchini wengine ni kuchukuwa fungu na kuondoka kadandalasi atafanya kazi atakavyo.mikataba wanayo ingia ukiisoma atasema apa usalama upo lakini wapi wafanya kazi wananyanyasika alafu wakaguzi Wana pita TU kama awaoni wakaguzi wengine awa elewi chochote..wanao tinga aya mambo wanayajuwa vizuri kazi kuwapelekea taharifa wabunge na wana nchi taarifa za huongo..uzembe mtupu kwenye sekta zaukaguzi maana wao ndio wapo kalibu nao😡
Viongoz mliopo madarakani fanyeni mpango mtupishe, kila siku yale yale
duuhu
Nani ni boss? Nani mwenye mali? Serikali ya Tanzania mko wapi? Magufuli kafa, eti? au serikali ya kujipigia? Kaka kalemani yuko wapi?
Acheni salakasi Apo alitakiwa awepo waziri na viongozi wa juu wa Tanesco ndo walitakiwa kufanya hayo mahojiano hao wako kwny operations hawawezi kua kila kitu,haya mambo mnayaigilia kienyeji then mnapoteza kila kitu.......
R.I.P Doctor Magufuli
Hivi hawa viongozi wanapoona kila coment ni RIP MAGUFULI,hua hawajitathmini na kujifikiria kua hakuna cha maana wanachofanya?,kwann magufuli atajwe na kila mtu,inamaana kaz alokua anaifanya ilkua inakubalika,sasa nyie viongoz mliopo mnakwama wapi jamn?
Yani mambo wanatufanyia Asia kwao wameona watufate hadi kwetu 😂😂😂😂Niatari
Magufuli ,nchi hi imerud kwa majambaz na umetangulizwa kwa kusimamia nchii kupinga ufisadi
"viongozi walkua wanafanya kazi kw woga sio heshma" haya sas Nadhan tunajionea wenyew kwann mwamba alkua mbabe kwny mambo ya Nchi. Haya viongozi wetu fanyen Kaz Kwa uhuru 😁
Iv viongozi waliopo madarakani wakiona watu walivyo Bado wanaukumbuka utendaji wa magufuli hawaoni aibu Wala kushituka?
Bora tu tuwe mazombi ili ijulikane tunanyonyana damu mchana kweupe
KINYAAA, KICHEFUCHEFU AND SHEM ON YOU......RIp MAGUFULI......
Tanzania janja janja sana,,apo kuna mtu wa Tanesco kisha kula chake...ichunguzwee mtatupa majbu....ao wakandalasi awana tatzk kabsa shida Tanesco
ACHENI wajipigie tu! Miela si ipo tu yakupiga bhana!🤗🤗 Tz chaka la maalamia wa mpunga.
Hii ni shida ya ufisadi tu kazi kama hizi siku hizi Ma engineer wazawa wanaweza kufanya kwa asilimia 100.
Ndio wanaweza
Sw kwaio kawap kaz ss
Ukiona Mkandarasi anajeuri jua anauhakika wakubwa hawatamfanya kitu
Ni kweli. Kwetu CHANIKA mkandarasi wa ndani kidaraja kidogo tu alitumia mwaka mmoja kukijenga! Kidaraja cha miezi mitatu ama miwili, katumia mwaka miezi na nane!
@@TamuzaKale ok
Anakuja msenge anasema Magufuli m'baya tizama nchi hii inavyochezewa na mafala kama huyo muhimdi ngozi mbaya kama yangu.
Viongozi simamieni nchi hii inapotea Kwa nyie kuaminiwa, inakuwaje jamani?
Makamba hana habar kabisa
Makamba hana uwezo n kilaza 2
Mchawi hapo ni mtanzania ambaye si mzalendo, kauza mil. 61 ya watanzania kwa masilahi binafsi. Waafrika sijui tumelogwa na nani.