Uchafu umezidi machinga ni shida hivi kweli chakula kina pikwa balalani Kwa Sasa mji hamuna heshima sheliya itumike Kwa utawala huu watu watazidi kutok
Vijijini wa vamie mabalabala mabondeni ndio mtajua sela zetu nitatu wakulima wafanyakazi wafanya biashara je ukikosa sehemu ya kulima ulime balabalani ukikosa sehemu ya biashala uvamie mabalabala wabongo hamutujuwi ccm mutajuta sana
Wamachinga tuna kupenda acha tule Bata tuvamie matajili walitutesa sana hata posta tuna ludi samola
Kaliakoo hata kupita Kwa mugu huwezi kamela itaka wapi jamani
Uchafu umezidi machinga ni shida hivi kweli chakula kina pikwa balalani Kwa Sasa mji hamuna heshima sheliya itumike Kwa utawala huu watu watazidi kutok
Vijijini wa vamie mabalabala mabondeni ndio mtajua sela zetu nitatu wakulima wafanyakazi wafanya biashara je ukikosa sehemu ya kulima ulime balabalani ukikosa sehemu ya biashala uvamie mabalabala wabongo hamutujuwi ccm mutajuta sana
Powerful
❤❤❤tunakupenda mkuu wa mkoa uko vizuri
Naitaji namba ya mkuu wa mkoa wa Dar es salama na shida sana tena sana