Asante sana kwa Wewe ambae tumekuwa pamoja kuanzia season 1 mpaka sasa tunakaribia kufunga msimu wa pili... Asante sana kwa Sapot yako na usiache kuwa nasi. Shabiki yoyote wa Busatitv na Shabiki wa House Girl piga jipuge kwenye kifua maana wewe ni Shabiki bora zaidi na umechagua sehemu bora zaidi ambayo itakunoa ubongo wako 💪💪💪
Jamani tusaidieni utofauti wa Tasha na Zatiti ukwishe waowane Mana tunasubiri harusi kwahamu Ila vikwazo haviishi Mr Tasha na Zatiti mtayapita hata kai na zuuu walipitiya magomu zayidi yahapo wanaotaka Hawa wawili wavuke hayo mazaifu wagonge like hapo
@@user-yh5wy8lb5k sana tena sana abarikiwe popote alipo candy na sonia wake japo wanajeruhi mioyo ya watu lakini wameuvaa uhalisia wa mabinti wengi wako kama hivyo,
Mwaendelea aje wezangu naamini mu wazima wote mungu hawabariki sana nahwazidishie miaka mingi ya kuishi hapa duniani yenye furaha.tuzidi kutazama housegirl ili tupate funzo
Chiko na dada yako wote hamna akili mnashindwa kukubali kosa ni la kwenu mnaanza kupaniki, nyie ndo hamna kizazi mnaanza kumtusi mdada wa watu huyo sio wenu tena😏😏
Zatiti njoo uchukuwe zawaid maana na mm sitaki kurudi kwa mtalaka Wangu ukikubali ukamuumiza tasha kuwa na msimamo kama wakwanhu wanaume tukiwa hatuna kizazi hawatuoni watu tukizaa sana tubajaza watoto inakubali uskubali
Bibi am proud of you Mashallah Alf Candy n WiFi kazi kwenyu 😀😀😀fanyeni hiyo kazi hdi moja wenyu akose nguo😀and for you Zatiti Naomba umwelewe Tasha wallai
Zatiti usirudi kwa Chiko baki Tasha mwanaume aliyetulia mstaarab lkn Chiko sio mtu sahihi kwako maana hata kama kutenda sio kosa kurudia kosa ndio kosa ila hata mwenyez Mungu anasamehe mtu ambaye amejutia kosa lake na anaungama kwa ukweli sio kuigiza.lkn hawa ni watu tu wa vita na kuchafua jinsi Rahma amejifanya analia kumbe unafki tu wanatumia sifa ety maana yake hata ukirud kwao hawataona umewasamehe na wakuzingatie wanajua tu sifa zao ndizo zimekurudisha hivyo hawataogopa kukuumiza tena.Mthamini Tasha maana hata uko hai leo yy ndio amesimama na ww kukutia moyo ila mwenyewe ulikua unajiua
Jamani nyie mnaolalamika candy na sonia watolewe, ngoja niwachambie kitu hao ni kama chachu lakini pia kuna wanawake wenye tabia kama zao na ndio maana ya kwamba kuna wanawake wenye heshima kama zuu na zatiti alafu kuna hao na wote wapo dunia hii hii, kwaiyo mwanamke mwenye tabia kama za soni na candy wanatakiwa kubadilika ili wawe wake bora kwenye Jamii inatuzunguka 😂😂😂😂 tujifuzee jaman sio mnalalamika watole sasa wakitolewa kwenye nafasi yao nani ataingiza 😂😂😂😂😂
Unajidangaja San ww d yake chiko p Moja na kk yako mkaye Kwa kutuliy Tena mtuache n zatiti wetu n Tasha wetu hila zatiti anapitia magumu San wallah Hila mungu yup p Moja na ww zatiti
Asante sana kwa Wewe ambae tumekuwa pamoja kuanzia season 1 mpaka sasa tunakaribia kufunga msimu wa pili... Asante sana kwa Sapot yako na usiache kuwa nasi.
Shabiki yoyote wa Busatitv na Shabiki wa House Girl piga jipuge kwenye kifua maana wewe ni Shabiki bora zaidi na umechagua sehemu bora zaidi ambayo itakunoa ubongo wako 💪💪💪
@@busatitv MBARIKIWE NYOTE, Asante na Mungu awabariki wote, mnatufunza kutuburudisha MBARIKIWE Sana
tunashukuru ila mtoeni Candy na Sania wanatukera
❤
@@JenipherJohnson-xo1nt 😂😂😂😂 alfu kwenye nafasi yake ukae wewe 😂😂😂
@@busatitv pia sisi tunawapenda tu sna mungu awaongoze kwa kila jambo 💪💪🥰🥰💞💞🤲🏼🤲🏼🤲🏼🤲🏼🤲🏼
Director watoe candy na Sania wanatuumiza mioyo yetu jaman kama kunamtu anaumia kama mm gonga like nyingi Ili jambo lifanikiwe😢😢😢
Siwapend Kam Nini wananikela San 😒😒😒😒😒 waking San haw wawatoe😊 kabis
Watutolee Candy na Sania wanaumizaa mioyo siyo Siri haaaa
😂😂😂😂
Aki kwa hii nakusupport mia kwa mia
Sanaa😢
Jamani tusaidieni utofauti wa Tasha na Zatiti ukwishe waowane Mana tunasubiri harusi kwahamu Ila vikwazo haviishi Mr Tasha na Zatiti mtayapita hata kai na zuuu walipitiya magomu zayidi yahapo wanaotaka Hawa wawili wavuke hayo mazaifu wagonge like hapo
Mm hdi naskia kama naboeka na zatiti sasa asikubali kurudi kwa uyo mjinga juu alisha mupea talaka
Mtateseka. Sana chiko na Dada ako😏😏😏
😢😢😢😢😢😢😢😢😱😱😱😱😱
Allah akuponye wewe unayeumwa na kupitia magumu mengi katika hii dunia 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Zatiti usikubali wanaonamin zatiti atamkataa chiko gonga like
Mapenzi upofuuu mayi dia
Zatiti arudi kwa chiko tu
Hampendi chiko anampenda tasha
Awezi kurudi mana alimpatia talaka tena 3 kidin inatakiwa aolewe achike na talaka akae eda ndo chiko amuowe tena@@saadaally5705
Zatiti usikubali kumrudia chiko
Candy apewe mauwa yake jamn kajua kutuuma miyoyo uyu dada kama unamkubali candy anajua kuigiza weka like ❤
@@user-yh5wy8lb5k sana tena sana abarikiwe popote alipo candy na sonia wake japo wanajeruhi mioyo ya watu lakini wameuvaa uhalisia wa mabinti wengi wako kama hivyo,
Zatiti usijaribu kurudi kwa chiko kabisa...mr tasha ndo chaguo lako alikuwa na ww kipindi uko na machozi na maumivu yakudharauliwa❤❤❤
lzatiti usikubali
Kabisa
Mwaendelea aje wezangu naamini mu wazima wote mungu hawabariki sana nahwazidishie miaka mingi ya kuishi hapa duniani yenye furaha.tuzidi kutazama housegirl ili tupate funzo
Aaaaaameeeeen ya Rabbi 🤲 🤲 🤲
Ameen ❤
Amen inshallah ❤❤
Ambo wameboweka na Tasha kumuhamini candy like hapa
Tasha saiz nikama zuzu anaboa
Tasha ana chemusha Sasa anamuamini candy
Kazingua Tasha....kwani Candy hamjui m ananiudhi
Kama mm nimeboeka labixaa et amemwamin kend
Yan me wakwanza umenipata spend
Kunasikumoja mtaona ndoa ya Tasha na zatiti lazima ndoa iwe wanaomini ilo gonga apa like
Hakuna ndoa hapo
Kama unaikubali hii movie gonga like apa 🎉🥳🥳
Chiko na dada yako wote hamna akili mnashindwa kukubali kosa ni la kwenu mnaanza kupaniki, nyie ndo hamna kizazi mnaanza kumtusi mdada wa watu huyo sio wenu tena😏😏
Ngoja ni comment kabla ya waomba like hawajaja
😂😂😂
😂😂😂 wallai tena
😂😂😂😂😂
Nimewai kabla ya waomba like . Naipenda sana hii movie
Jmn mekwa wa kwanz naomben like
Jaman nimewahi ila kunip like hamnip kwann lakin
Number one munipe likes hapa kabisa nawapenda sana kutoka Rwanda capital of African security
Wa2 wawe wanakoment Mambo yaakili et directar watoe cand na zatit muv itanogajee hahahah ay bhn wanao Amin candy atatapeliw nyumba gong like 🎉❤❤🎉
Tunao ikubari house girl gonga like
Hii movie haina mpangirio mzuri wa scene yaani inaboa 😢😢😢😢😢😢😢😢 zatiti kila mda kulia tu
Leo na mm nimewahi naombeni like aaaah dada chiko anamharibia tasha wa watu
Wakwanza leo jmn mnaninyima like
Zatiti ukimrudia chiko umekwisha kumbuka matusi ya dada yake na pia Mungu amekupa mume sahihi Tasha ni mume wako kua na msimamo😢
Wakwanza jmn like zang naomba
Huyo Rahma na kakaake waharibifu tu mbwa ao
kama unaikubali hii movie gonga like
Wow leo zatiti umenifurahisha sana hapo sawa nitaweka bando la mwenzi kwajili ya hii move
Nimekoma matabe nimekoma mimi
Nimecheka 😅😅
😅😅😅Niuwe
😅😂😂😂uwiii mbavu zangu mie
Wow afathsli
jaman wat mpo makin duuuuu kwan mnakesha humu hum au aaah aya bwan
Candy yko nikali😂😂😂
Hogera sana kaka rasoa,kai na wana busati tv wote keep it up guys we love you❤❤❤ plz like.
Zatiti me sitakiiiii chiko umkubalieee sitakiii please zatiti angalia ombi langu 😢😢😢😢
wa kwanza apewe likes
Like moja tu 😢😢😢fron Kenya ni locked 🔒
Wakwanza bila kuaribu mda
wanao mkubali tasha na zatiti gonga like hapa
Jamani, huyu ndiye alikuwa analia kweli 😂😂😂😂😂😂😂 wifi mgani huyu😮😮😮😮
Hapa kwa zatiti kuachana na chiko kupata tasha nimejfunza wake tuwe na msimamo mana zatiti akuyumba kurud kwa.chiko 🎉🎉🎉🎉🎉🎉wake tujifunzeni ex harudiwi
🤣🤣🤣mmewahi kutoka hizo ngumi jamani Dha candy kiboko ameamua kuya timba na kwa masozi 😂 timu candy nasubiri like zenu hapa 😂😂
Haya sasa naona vita inakuwa kubwa🤣🤣🤣
Wakwanza leo🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ambao awataki zatiti arudiane na chiko tujuane
❤❤❤❤
Wa kwanza leoooo
Yan mimi na kichwa changu kama tenga nikipata fundi aliemshonea wigi candy ntazalilika😂😂😂😂 mana cyo kwa weyi hiyo😂😂😂🙌
😂😂😂😂
Mr.Tasha,siku zote usionyeshe unyonge kwa mtu umpendae mzee...
Ngoja nikomend kabla waomb like awajafika😂😂😂😂😂
Leo nimewahi jamani naombeni likes tunaoomba Tasha na zatiti wapate mtoto gonga like
Zatiti njoo uchukuwe zawaid maana na mm sitaki kurudi kwa mtalaka Wangu ukikubali ukamuumiza tasha kuwa na msimamo kama wakwanhu wanaume tukiwa hatuna kizazi hawatuoni watu tukizaa sana tubajaza watoto inakubali uskubali
😂😂😂Alie mshonea candy Wivingi Mungu Anamuona kwakwel
Sio kushona limewekwa tu naamini atajifunza kwa makosa kuigiza ni kioo cha jamii ivyo wanaokuangalia wanaangalia had rangi ya ktk kucha zako
Nimemshonea mimi jmn nimekosea wapi
Bibi am proud of you Mashallah Alf Candy n WiFi kazi kwenyu 😀😀😀fanyeni hiyo kazi hdi moja wenyu akose nguo😀and for you Zatiti Naomba umwelewe Tasha wallai
❤❤❤❤❤❤
Leo me wa kwanza duuh
Mmmmh nimewah leo
Mjua kuwahisha Radha ya mashabiki zenu
Kongole sana satiti kwa kupenda ena 😅😅😅😅
Huyu bibiake zuu na babu yake wana vituko jamani wanifurahisha 😂😂😂😂😂😂😂😂
Zatiti njoo Omani kpnz mwenzio yalinikuta nikakimbilia huku kwa sasa nawaza pesa na si mapenzi😂❤🎉
Wewe zatiti ni kipenzi Cha tasha
Ila tasha na zatiti kitambo munaoana mtakuwa nahistoria aki nawependa sana 🙏
Zatiti usirudi kwa Chiko baki Tasha mwanaume aliyetulia mstaarab lkn Chiko sio mtu sahihi kwako maana hata kama kutenda sio kosa kurudia kosa ndio kosa ila hata mwenyez Mungu anasamehe mtu ambaye amejutia kosa lake na anaungama kwa ukweli sio kuigiza.lkn hawa ni watu tu wa vita na kuchafua jinsi Rahma amejifanya analia kumbe unafki tu wanatumia sifa ety maana yake hata ukirud kwao hawataona umewasamehe na wakuzingatie wanajua tu sifa zao ndizo zimekurudisha hivyo hawataogopa kukuumiza tena.Mthamini Tasha maana hata uko hai leo yy ndio amesimama na ww kukutia moyo ila mwenyewe ulikua unajiua
Nabaki kucheka sasa,mtu na wifi wake jamani,malombano ya nn sasa 😂😂😂😂
Safi sana Zatiti umenifurahisha kwakweli kwa maamuzi yako mazuri
Hakuna kuwasamehe hao zatiti
Kweli kabisa zatiti usikubali kabisa
Mungu Wang bonge tukunyema anapgana haoni ata aib??😅😅
Na mimi nimo nazidi kufurahia house girl
Wakwanza mm leo
Jaman wa kwanza Leo naomba like❤
Wa kwanza leo team tasha like
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Zatity oyeeeee raha ndani ya roho hapo Sasa chiko jipange Wacha a na zatity hongera
Nahisi dili atalopewa Sania ni la kumtapeli candy kwenye nyumba
Ila mnatuchanganya nani aligundua Sauti ya Dalali ni Mr Tasha like
😊😊
@@DoreenKajila hata mm naisi
@@SwaumuJuma-d6t wajaribu kuwa seriously na sauti za kwenye cm
😂😂
Napenda sana njinsi ambavyo hamuchereweshi
😢😢😢sijapenda kwann mnamfatilia zatiti
Hivi kendi n sania mnatuelimisha nini maan hatuwaelewi maana mtu hufanya machafu kisha akabadilika lkn nyinyi imekuwa n wakosefu t
Duuuh nyie noma yan cm ninyo lkn mshafika mia duu
Mkaamua kutupunguzia dakika busati jamnii mnatunyima Raha
Kwenda zako ww dadake chiko muache zatiti na Tasha waowane zatiti usikubali kurudi nyuma kabisa
Sania na kendi ata awainogeshi hii mv jamani si muwatoe mikundu hao
Khaa😂😂
Nawafagilia hivi vicha 😂
Ole wako zatiti uludi kwa chikooo😂😂😂😂
team mr.tasha gonga like
wifi wa zatt anachamba uyu duuuh 😂😂😂😂
Zatiti wewe ni nzuri sana awendani na chiko isipokuwa mestre tasha
Jamani mambo moto kendy sania atakusaliti wewe nahiyo Hati ya nyumba utapigwa bonge lajambo
Uyu bibi jamani kavaa nguo ya malaica 😂😂😂
kazi nzur sanaa team busati❤❤
😂😂😂ambao hatutaki zatiti aludian na chiko like hapa
Amna sehemu mnaweza weka candy na sania jamani
Kumbe watu hamujaenda kazini leo du
Mr Tasha Sasahiv ameanza kuniboa badilika haraka kabla sijakasirika kabisa 😂😂
Macho yangu yananiambia zatiti kafanana na Nifa😂😂😂😂
Hapana yaan hata kidogo hawafanani
Jamani watazamaji wenzagu nawapendaa sanaa❤❤❤❤❤ Mungu azidi kuwa nanyi..
😂😂😂😂😂 yaani mtu umekujaa kuomba msamaha hafu unaaza kumchamba mtuu ilaa rahma na candy mtakujaa kufaa midomo wazi😂😂😂😂
Jamani nyie mnaolalamika candy na sonia watolewe, ngoja niwachambie kitu hao ni kama chachu lakini pia kuna wanawake wenye tabia kama zao na ndio maana ya kwamba kuna wanawake wenye heshima kama zuu na zatiti alafu kuna hao na wote wapo dunia hii hii, kwaiyo mwanamke mwenye tabia kama za soni na candy wanatakiwa kubadilika ili wawe wake bora kwenye Jamii inatuzunguka 😂😂😂😂 tujifuzee jaman sio mnalalamika watole sasa wakitolewa kwenye nafasi yao nani ataingiza 😂😂😂😂😂
Unajidangaja San ww d yake chiko p Moja na kk yako mkaye Kwa kutuliy Tena mtuache n zatiti wetu n Tasha wetu hila zatiti anapitia magumu San wallah Hila mungu yup p Moja na ww zatiti
Kama umeona mapenzi ya zatiti natacha atakua magumu tujuane kwenye like 🎉❤❤
Yaan mda mwingine mnakera mtupereke kwawengine hao hatuwataki kend na Sania tumewachoka twamtaka Tasha na zatt bas
Leo wa kwaza 🥰🥰