HOUSE GIRL EP 51 | S2 | Love Story 💕💞

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 687

  • @busatitv
    @busatitv  9 дней назад +167

    Asante sana kwa Wewe ambae tumekuwa pamoja kuanzia season 1 mpaka sasa tunakaribia kufunga msimu wa pili... Asante sana kwa Sapot yako na usiache kuwa nasi.
    Shabiki yoyote wa Busatitv na Shabiki wa House Girl piga jipuge kwenye kifua maana wewe ni Shabiki bora zaidi na umechagua sehemu bora zaidi ambayo itakunoa ubongo wako 💪💪💪

    • @zahraali5113
      @zahraali5113 9 дней назад +3

      @@busatitv MBARIKIWE NYOTE, Asante na Mungu awabariki wote, mnatufunza kutuburudisha MBARIKIWE Sana

    • @JenipherJohnson-xo1nt
      @JenipherJohnson-xo1nt 9 дней назад +5

      tunashukuru ila mtoeni Candy na Sania wanatukera

    • @Mwajei0fficialmwajei
      @Mwajei0fficialmwajei 9 дней назад

    • @zahraali5113
      @zahraali5113 9 дней назад

      @@JenipherJohnson-xo1nt 😂😂😂😂 alfu kwenye nafasi yake ukae wewe 😂😂😂

    • @Tatufadhili-ud6se
      @Tatufadhili-ud6se 8 дней назад

      @@busatitv pia sisi tunawapenda tu sna mungu awaongoze kwa kila jambo 💪💪🥰🥰💞💞🤲🏼🤲🏼🤲🏼🤲🏼🤲🏼

  • @JescaDenis-d2r
    @JescaDenis-d2r 9 дней назад +279

    Director watoe candy na Sania wanatuumiza mioyo yetu jaman kama kunamtu anaumia kama mm gonga like nyingi Ili jambo lifanikiwe😢😢😢

  • @AishaAbdoullah
    @AishaAbdoullah 9 дней назад +60

    Jamani tusaidieni utofauti wa Tasha na Zatiti ukwishe waowane Mana tunasubiri harusi kwahamu Ila vikwazo haviishi Mr Tasha na Zatiti mtayapita hata kai na zuuu walipitiya magomu zayidi yahapo wanaotaka Hawa wawili wavuke hayo mazaifu wagonge like hapo

    • @AlylenShitamu-tc2ng
      @AlylenShitamu-tc2ng 9 дней назад +5

      Mm hdi naskia kama naboeka na zatiti sasa asikubali kurudi kwa uyo mjinga juu alisha mupea talaka

  • @TeresaSefu
    @TeresaSefu 9 дней назад +49

    Mtateseka. Sana chiko na Dada ako😏😏😏

    • @WilliamWilliam-s3k
      @WilliamWilliam-s3k 6 дней назад

      😢😢😢😢😢😢😢😢😱😱😱😱😱

  • @RehemeAlfonce
    @RehemeAlfonce 8 дней назад +12

    Allah akuponye wewe unayeumwa na kupitia magumu mengi katika hii dunia 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @user-nb3to7db3e
    @user-nb3to7db3e 9 дней назад +189

    Zatiti usikubali wanaonamin zatiti atamkataa chiko gonga like

    • @DianaRumbanisa
      @DianaRumbanisa 9 дней назад +1

      Mapenzi upofuuu mayi dia

    • @saadaally5705
      @saadaally5705 9 дней назад

      Zatiti arudi kwa chiko tu

    • @fathmambeyu8987
      @fathmambeyu8987 9 дней назад +1

      Hampendi chiko anampenda tasha

    • @user-mk6kq1sx5j
      @user-mk6kq1sx5j 9 дней назад

      Awezi kurudi mana alimpatia talaka tena 3 kidin inatakiwa aolewe achike na talaka akae eda ndo chiko amuowe tena​@@saadaally5705

    • @ZubedaShaban-fb2dl
      @ZubedaShaban-fb2dl 9 дней назад

      Zatiti usikubali kumrudia chiko

  • @user-yh5wy8lb5k
    @user-yh5wy8lb5k 9 дней назад +18

    Candy apewe mauwa yake jamn kajua kutuuma miyoyo uyu dada kama unamkubali candy anajua kuigiza weka like ❤

    • @zahraali5113
      @zahraali5113 8 дней назад

      @@user-yh5wy8lb5k sana tena sana abarikiwe popote alipo candy na sonia wake japo wanajeruhi mioyo ya watu lakini wameuvaa uhalisia wa mabinti wengi wako kama hivyo,

  • @tabithanzisa9755
    @tabithanzisa9755 9 дней назад +39

    Zatiti usijaribu kurudi kwa chiko kabisa...mr tasha ndo chaguo lako alikuwa na ww kipindi uko na machozi na maumivu yakudharauliwa❤❤❤

  • @EuniceWavinya-uf1cl
    @EuniceWavinya-uf1cl 9 дней назад +36

    Mwaendelea aje wezangu naamini mu wazima wote mungu hawabariki sana nahwazidishie miaka mingi ya kuishi hapa duniani yenye furaha.tuzidi kutazama housegirl ili tupate funzo

  • @ReginaAli-f3d
    @ReginaAli-f3d 9 дней назад +128

    Ambo wameboweka na Tasha kumuhamini candy like hapa

  • @bayubaheallydelly-rn2zv
    @bayubaheallydelly-rn2zv 9 дней назад +43

    Kunasikumoja mtaona ndoa ya Tasha na zatiti lazima ndoa iwe wanaomini ilo gonga apa like

  • @SalhaMselem-s1s
    @SalhaMselem-s1s 9 дней назад +23

    Kama unaikubali hii movie gonga like apa 🎉🥳🥳

  • @yusterkapinga7102
    @yusterkapinga7102 9 дней назад +15

    Chiko na dada yako wote hamna akili mnashindwa kukubali kosa ni la kwenu mnaanza kupaniki, nyie ndo hamna kizazi mnaanza kumtusi mdada wa watu huyo sio wenu tena😏😏

  • @Dasa1_Tv
    @Dasa1_Tv 9 дней назад +44

    Ngoja ni comment kabla ya waomba like hawajaja

  • @LucyOzward
    @LucyOzward 9 дней назад +44

    Nimewai kabla ya waomba like . Naipenda sana hii movie

  • @NasraHumudy-ih5xl
    @NasraHumudy-ih5xl 9 дней назад +22

    Jmn mekwa wa kwanz naomben like

  • @josephinepeter706
    @josephinepeter706 9 дней назад +21

    Jaman nimewahi ila kunip like hamnip kwann lakin

  • @JoelNtivuguruzwa
    @JoelNtivuguruzwa 9 дней назад +6

    Number one munipe likes hapa kabisa nawapenda sana kutoka Rwanda capital of African security

  • @HyasintaWisdom
    @HyasintaWisdom 9 дней назад +13

    Wa2 wawe wanakoment Mambo yaakili et directar watoe cand na zatit muv itanogajee hahahah ay bhn wanao Amin candy atatapeliw nyumba gong like 🎉❤❤🎉

  • @TimotheoNdonde
    @TimotheoNdonde 9 дней назад +9

    Tunao ikubari house girl gonga like

  • @jamesmusukwa229
    @jamesmusukwa229 9 дней назад +9

    Hii movie haina mpangirio mzuri wa scene yaani inaboa 😢😢😢😢😢😢😢😢 zatiti kila mda kulia tu

  • @LighySteven-gd8wo
    @LighySteven-gd8wo 9 дней назад +12

    Leo na mm nimewahi naombeni like aaaah dada chiko anamharibia tasha wa watu

  • @Elkhanamahenge
    @Elkhanamahenge 9 дней назад +13

    Wakwanza leo jmn mnaninyima like

  • @TabiaMwaisumo-ss7pz
    @TabiaMwaisumo-ss7pz 9 дней назад +8

    Zatiti ukimrudia chiko umekwisha kumbuka matusi ya dada yake na pia Mungu amekupa mume sahihi Tasha ni mume wako kua na msimamo😢

  • @user-nb3to7db3e
    @user-nb3to7db3e 9 дней назад +13

    Wakwanza jmn like zang naomba

  • @fatmahraseid7019
    @fatmahraseid7019 9 дней назад +9

    Huyo Rahma na kakaake waharibifu tu mbwa ao

  • @Qarim-kn7by
    @Qarim-kn7by 9 дней назад +61

    kama unaikubali hii movie gonga like

  • @Zaitunrashid-c7q
    @Zaitunrashid-c7q 9 дней назад +4

    Wow leo zatiti umenifurahisha sana hapo sawa nitaweka bando la mwenzi kwajili ya hii move

  • @JosephaSulle-yi4zr
    @JosephaSulle-yi4zr 9 дней назад +10

    Nimekoma matabe nimekoma mimi

  • @SarafinesimiyuMainq-iv5tw
    @SarafinesimiyuMainq-iv5tw 9 дней назад +13

    Wow afathsli

  • @user-hl7mo4pt2w
    @user-hl7mo4pt2w 9 дней назад +5

    jaman wat mpo makin duuuuu kwan mnakesha humu hum au aaah aya bwan

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 9 дней назад +5

    Candy yko nikali😂😂😂

  • @samuelbaraCh-9
    @samuelbaraCh-9 9 дней назад +6

    Hogera sana kaka rasoa,kai na wana busati tv wote keep it up guys we love you❤❤❤ plz like.

  • @Anna-me4kc
    @Anna-me4kc 8 дней назад +3

    Zatiti me sitakiiiii chiko umkubalieee sitakiii please zatiti angalia ombi langu 😢😢😢😢

  • @faithkalulu
    @faithkalulu 9 дней назад +3

    wa kwanza apewe likes

  • @CatherineChege-w5x
    @CatherineChege-w5x 9 дней назад +8

    Like moja tu 😢😢😢fron Kenya ni locked 🔒

  • @FaithJoshua-n8n
    @FaithJoshua-n8n 9 дней назад +9

    Wakwanza bila kuaribu mda

  • @ShukuruIssa-qx6tl
    @ShukuruIssa-qx6tl 8 дней назад +2

    wanao mkubali tasha na zatiti gonga like hapa

  • @AishaNdunge
    @AishaNdunge 9 дней назад +4

    Jamani, huyu ndiye alikuwa analia kweli 😂😂😂😂😂😂😂 wifi mgani huyu😮😮😮😮

  • @user-ii3rb6uj7g
    @user-ii3rb6uj7g 9 дней назад +3

    Hapa kwa zatiti kuachana na chiko kupata tasha nimejfunza wake tuwe na msimamo mana zatiti akuyumba kurud kwa.chiko 🎉🎉🎉🎉🎉🎉wake tujifunzeni ex harudiwi

  • @asiakabingo7052
    @asiakabingo7052 9 дней назад +3

    🤣🤣🤣mmewahi kutoka hizo ngumi jamani Dha candy kiboko ameamua kuya timba na kwa masozi 😂 timu candy nasubiri like zenu hapa 😂😂

  • @RachelJoseph-dy2jh
    @RachelJoseph-dy2jh 9 дней назад +4

    Haya sasa naona vita inakuwa kubwa🤣🤣🤣

  • @JoyceYohana-on2gp
    @JoyceYohana-on2gp 9 дней назад +5

    Wakwanza leo🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-mg7xx7ty1t
    @user-mg7xx7ty1t 9 дней назад +7

    Ambao awataki zatiti arudiane na chiko tujuane

  • @Rehema12
    @Rehema12 9 дней назад +1

    ❤❤❤❤

  • @ZUHURAOMAR-v2o
    @ZUHURAOMAR-v2o 9 дней назад +1

    Wa kwanza leoooo

  • @mauamshindo2558
    @mauamshindo2558 9 дней назад +4

    Yan mimi na kichwa changu kama tenga nikipata fundi aliemshonea wigi candy ntazalilika😂😂😂😂 mana cyo kwa weyi hiyo😂😂😂🙌

  • @onesmusfondo7679
    @onesmusfondo7679 9 дней назад +2

    Mr.Tasha,siku zote usionyeshe unyonge kwa mtu umpendae mzee...

  • @LuluFwalo
    @LuluFwalo 9 дней назад +4

    Ngoja nikomend kabla waomb like awajafika😂😂😂😂😂

  • @asiamwachega
    @asiamwachega 9 дней назад +4

    Leo nimewahi jamani naombeni likes tunaoomba Tasha na zatiti wapate mtoto gonga like

  • @user-nx4po4fz1c
    @user-nx4po4fz1c 9 дней назад +4

    Zatiti njoo uchukuwe zawaid maana na mm sitaki kurudi kwa mtalaka Wangu ukikubali ukamuumiza tasha kuwa na msimamo kama wakwanhu wanaume tukiwa hatuna kizazi hawatuoni watu tukizaa sana tubajaza watoto inakubali uskubali

  • @FatmaKambanga
    @FatmaKambanga 9 дней назад +4

    😂😂😂Alie mshonea candy Wivingi Mungu Anamuona kwakwel

    • @saidikikopa7357
      @saidikikopa7357 8 дней назад

      Sio kushona limewekwa tu naamini atajifunza kwa makosa kuigiza ni kioo cha jamii ivyo wanaokuangalia wanaangalia had rangi ya ktk kucha zako

    • @GraceDamas-g9p
      @GraceDamas-g9p 8 дней назад

      Nimemshonea mimi jmn nimekosea wapi

  • @buru1235
    @buru1235 9 дней назад +1

    Bibi am proud of you Mashallah Alf Candy n WiFi kazi kwenyu 😀😀😀fanyeni hiyo kazi hdi moja wenyu akose nguo😀and for you Zatiti Naomba umwelewe Tasha wallai

  • @LatifaAlly-xu8ng
    @LatifaAlly-xu8ng 9 дней назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @IrineRingoine
    @IrineRingoine 9 дней назад +1

    Leo me wa kwanza duuh

  • @FATUMAPASKAL
    @FATUMAPASKAL 9 дней назад +2

    Mmmmh nimewah leo

  • @boyflany2836
    @boyflany2836 9 дней назад +5

    Mjua kuwahisha Radha ya mashabiki zenu

  • @kostengyamutokala8459
    @kostengyamutokala8459 9 дней назад +1

    Kongole sana satiti kwa kupenda ena 😅😅😅😅

  • @شاميمشاميم-ر9ت
    @شاميمشاميم-ر9ت 9 дней назад +2

    Huyu bibiake zuu na babu yake wana vituko jamani wanifurahisha 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-rs6ue5pg7d
    @user-rs6ue5pg7d 9 дней назад +3

    Zatiti njoo Omani kpnz mwenzio yalinikuta nikakimbilia huku kwa sasa nawaza pesa na si mapenzi😂❤🎉

  • @CatherineChege-w5x
    @CatherineChege-w5x 9 дней назад +2

    Ila tasha na zatiti kitambo munaoana mtakuwa nahistoria aki nawependa sana 🙏

  • @user-xo7ns7bc8c
    @user-xo7ns7bc8c 9 дней назад +3

    Zatiti usirudi kwa Chiko baki Tasha mwanaume aliyetulia mstaarab lkn Chiko sio mtu sahihi kwako maana hata kama kutenda sio kosa kurudia kosa ndio kosa ila hata mwenyez Mungu anasamehe mtu ambaye amejutia kosa lake na anaungama kwa ukweli sio kuigiza.lkn hawa ni watu tu wa vita na kuchafua jinsi Rahma amejifanya analia kumbe unafki tu wanatumia sifa ety maana yake hata ukirud kwao hawataona umewasamehe na wakuzingatie wanajua tu sifa zao ndizo zimekurudisha hivyo hawataogopa kukuumiza tena.Mthamini Tasha maana hata uko hai leo yy ndio amesimama na ww kukutia moyo ila mwenyewe ulikua unajiua

  • @ElizabethOsimba-x6u
    @ElizabethOsimba-x6u 9 дней назад +1

    Nabaki kucheka sasa,mtu na wifi wake jamani,malombano ya nn sasa 😂😂😂😂

  • @joicejelomi
    @joicejelomi 9 дней назад +1

    Safi sana Zatiti umenifurahisha kwakweli kwa maamuzi yako mazuri

  • @AISHAFAAB
    @AISHAFAAB 9 дней назад +16

    Hakuna kuwasamehe hao zatiti

    • @Johar903
      @Johar903 9 дней назад

      Kweli kabisa zatiti usikubali kabisa

  • @WitnessMaile
    @WitnessMaile 9 дней назад +3

    Mungu Wang bonge tukunyema anapgana haoni ata aib??😅😅

  • @OfficialZuli-ve5kh
    @OfficialZuli-ve5kh 9 дней назад +1

    Na mimi nimo nazidi kufurahia house girl

  • @LatifaAlly-xu8ng
    @LatifaAlly-xu8ng 9 дней назад +2

    Wakwanza mm leo

  • @MaryMervin-n8v
    @MaryMervin-n8v 9 дней назад +1

    Jaman wa kwanza Leo naomba like❤

  • @ANNISTERROGGY-mq5bb
    @ANNISTERROGGY-mq5bb 9 дней назад +3

    Wa kwanza leo team tasha like

  • @EstherKadzo-yn3mk
    @EstherKadzo-yn3mk 9 дней назад +2

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @HhUhh-io8ix
    @HhUhh-io8ix 9 дней назад +2

    Zatity oyeeeee raha ndani ya roho hapo Sasa chiko jipange Wacha a na zatity hongera

  • @radotyga
    @radotyga 9 дней назад +2

    Nahisi dili atalopewa Sania ni la kumtapeli candy kwenye nyumba

  • @DoreenKajila
    @DoreenKajila 9 дней назад +18

    Ila mnatuchanganya nani aligundua Sauti ya Dalali ni Mr Tasha like

  • @user-iv6yx5ot6f
    @user-iv6yx5ot6f 9 дней назад +2

    Napenda sana njinsi ambavyo hamuchereweshi

  • @hutahuta1170
    @hutahuta1170 9 дней назад +1

    😢😢😢sijapenda kwann mnamfatilia zatiti

  • @SumaiyaAli-uq6xh
    @SumaiyaAli-uq6xh 8 дней назад +1

    Hivi kendi n sania mnatuelimisha nini maan hatuwaelewi maana mtu hufanya machafu kisha akabadilika lkn nyinyi imekuwa n wakosefu t

  • @MustyNgongo
    @MustyNgongo 9 дней назад +1

    Duuuh nyie noma yan cm ninyo lkn mshafika mia duu

  • @DeboraJems-zs7fr
    @DeboraJems-zs7fr 9 дней назад +5

    Mkaamua kutupunguzia dakika busati jamnii mnatunyima Raha

  • @MercySilvester
    @MercySilvester 9 дней назад +1

    Kwenda zako ww dadake chiko muache zatiti na Tasha waowane zatiti usikubali kurudi nyuma kabisa

  • @LovenessElisha-kh4gp
    @LovenessElisha-kh4gp 9 дней назад +3

    Sania na kendi ata awainogeshi hii mv jamani si muwatoe mikundu hao

  • @LuluFwalo
    @LuluFwalo 9 дней назад +1

    Ole wako zatiti uludi kwa chikooo😂😂😂😂

  • @ankohb
    @ankohb 9 дней назад +1

    team mr.tasha gonga like

  • @franktodory
    @franktodory 9 дней назад +1

    wifi wa zatt anachamba uyu duuuh 😂😂😂😂

  • @SalimoAli-t2p
    @SalimoAli-t2p 9 дней назад +2

    Zatiti wewe ni nzuri sana awendani na chiko isipokuwa mestre tasha

  • @fatfat9093
    @fatfat9093 9 дней назад +2

    Jamani mambo moto kendy sania atakusaliti wewe nahiyo Hati ya nyumba utapigwa bonge lajambo

  • @user-ig3wo3td2x
    @user-ig3wo3td2x 9 дней назад +1

    Uyu bibi jamani kavaa nguo ya malaica 😂😂😂

  • @user-qe6cg5sl2h
    @user-qe6cg5sl2h 9 дней назад +2

    kazi nzur sanaa team busati❤❤

  • @farajamachilika8414
    @farajamachilika8414 9 дней назад

    😂😂😂ambao hatutaki zatiti aludian na chiko like hapa

  • @JosephaSulle-yi4zr
    @JosephaSulle-yi4zr 9 дней назад +1

    Amna sehemu mnaweza weka candy na sania jamani

  • @PapiaDeogratiusMpangaje
    @PapiaDeogratiusMpangaje 9 дней назад +1

    Kumbe watu hamujaenda kazini leo du

  • @ElizabethMumbi-c6x
    @ElizabethMumbi-c6x 9 дней назад +2

    Mr Tasha Sasahiv ameanza kuniboa badilika haraka kabla sijakasirika kabisa 😂😂

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 9 дней назад +3

    Macho yangu yananiambia zatiti kafanana na Nifa😂😂😂😂

    • @prettyney3812
      @prettyney3812 9 дней назад

      Hapana yaan hata kidogo hawafanani

  • @QweenNickson
    @QweenNickson 9 дней назад +1

    Jamani watazamaji wenzagu nawapendaa sanaa❤❤❤❤❤ Mungu azidi kuwa nanyi..

  • @salmazwallo5920
    @salmazwallo5920 9 дней назад +1

    😂😂😂😂😂 yaani mtu umekujaa kuomba msamaha hafu unaaza kumchamba mtuu ilaa rahma na candy mtakujaa kufaa midomo wazi😂😂😂😂

  • @zahraali5113
    @zahraali5113 9 дней назад +1

    Jamani nyie mnaolalamika candy na sonia watolewe, ngoja niwachambie kitu hao ni kama chachu lakini pia kuna wanawake wenye tabia kama zao na ndio maana ya kwamba kuna wanawake wenye heshima kama zuu na zatiti alafu kuna hao na wote wapo dunia hii hii, kwaiyo mwanamke mwenye tabia kama za soni na candy wanatakiwa kubadilika ili wawe wake bora kwenye Jamii inatuzunguka 😂😂😂😂 tujifuzee jaman sio mnalalamika watole sasa wakitolewa kwenye nafasi yao nani ataingiza 😂😂😂😂😂

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 9 дней назад +2

    Unajidangaja San ww d yake chiko p Moja na kk yako mkaye Kwa kutuliy Tena mtuache n zatiti wetu n Tasha wetu hila zatiti anapitia magumu San wallah Hila mungu yup p Moja na ww zatiti

  • @GloriaNahimana-x8p
    @GloriaNahimana-x8p 9 дней назад +3

    Kama umeona mapenzi ya zatiti natacha atakua magumu tujuane kwenye like 🎉❤❤

  • @MariaHussen
    @MariaHussen 9 дней назад +2

    Yaan mda mwingine mnakera mtupereke kwawengine hao hatuwataki kend na Sania tumewachoka twamtaka Tasha na zatt bas

  • @user-es7pv6nf5r
    @user-es7pv6nf5r 9 дней назад +3

    Leo wa kwaza 🥰🥰