![Maisha Ya Ulaya](/img/default-banner.jpg)
- Видео 155
- Просмотров 49 006
Maisha Ya Ulaya
Бельгия
Добавлен 1 июл 2023
Hi Everyone,
Kiswahili:
Karibuni katika channel Hii . Hi channel inahusu maisha ya ulaya, miji yake, vyakula na fursa za kuamia ulaya. Shinda Euro 50 kila wiki. Subscribe Kila wiki video naposti. Asanteni
English:
Welcome to my channel. This channel is about lifestyle abroad. If you would like to know more about how the lifestyle here abroad looks like, different cities, food please subscribe. New video will be posted every week.Thank you
French:
Bienvenue sur ma chaîne. Cette chaîne parle de la vie à l'étranger. Si vous souhaitez en savoir plus sur à quoi ressemble la vie à l'étranger, différentes villes, la nourriture, veuillez vous abonner. Une nouvelle vidéo sera publiée chaque semaine . Merci.
Dutch:
Welkom op mijn kanaal. Deze kanaal gaat over het leven in het buitenland. Als je meer wilt weten over hoe het leven er hier in het buitenland uitziet, verschillende steden, eten, abonneer je dan alsjeblieft. Een nieuwe video wordt elke week gepost. Bedankt.
Kiswahili:
Karibuni katika channel Hii . Hi channel inahusu maisha ya ulaya, miji yake, vyakula na fursa za kuamia ulaya. Shinda Euro 50 kila wiki. Subscribe Kila wiki video naposti. Asanteni
English:
Welcome to my channel. This channel is about lifestyle abroad. If you would like to know more about how the lifestyle here abroad looks like, different cities, food please subscribe. New video will be posted every week.Thank you
French:
Bienvenue sur ma chaîne. Cette chaîne parle de la vie à l'étranger. Si vous souhaitez en savoir plus sur à quoi ressemble la vie à l'étranger, différentes villes, la nourriture, veuillez vous abonner. Une nouvelle vidéo sera publiée chaque semaine . Merci.
Dutch:
Welkom op mijn kanaal. Deze kanaal gaat over het leven in het buitenland. Als je meer wilt weten over hoe het leven er hier in het buitenland uitziet, verschillende steden, eten, abonneer je dan alsjeblieft. Een nieuwe video wordt elke week gepost. Bedankt.
Jinsi ya Kutengeneza Ela Ukiwa Umelala Bila Kufanya Kazi
Hi guys,
Katika Video Hii utajifunza kuwekeza ni nini na jinsi ya kutengeneza ela wakati umelala bila ya kufanya kazi. Hii ni fursa nzuri kwa wale watu wanaotafuta ela zaidi ya mshahara wao. Kama unataka kuwezeka kununua nyumba au kupata ela ya kununua ticket kuja ulaya.
Ukishamaliza kuangalia video hii make sure unaangalia video yangu inayotoa info ya kufungua account ya bure ya kuwekeza hii hapa ruclips.net/video/LsH7laWkC8A/видео.html
Asante kwa kusubscribe; kulike na kushare na watu wengine.
Kama unaswali nitumie meseji : ulayalive@gmail.com
#tanzania #kenya #swahili #eastafrica #ulaya #uganda #uganda #diamondplatnumz #daressalaam #kiswahili #burundi #zanzibar #kuwekeza #investment
Katika Video Hii utajifunza kuwekeza ni nini na jinsi ya kutengeneza ela wakati umelala bila ya kufanya kazi. Hii ni fursa nzuri kwa wale watu wanaotafuta ela zaidi ya mshahara wao. Kama unataka kuwezeka kununua nyumba au kupata ela ya kununua ticket kuja ulaya.
Ukishamaliza kuangalia video hii make sure unaangalia video yangu inayotoa info ya kufungua account ya bure ya kuwekeza hii hapa ruclips.net/video/LsH7laWkC8A/видео.html
Asante kwa kusubscribe; kulike na kushare na watu wengine.
Kama unaswali nitumie meseji : ulayalive@gmail.com
#tanzania #kenya #swahili #eastafrica #ulaya #uganda #uganda #diamondplatnumz #daressalaam #kiswahili #burundi #zanzibar #kuwekeza #investment
Просмотров: 207
Видео
Pata Ela Ya Kuja Ulaya Kupitia Kuwekeza Rahisi na Bure I Fungua Account
Просмотров 25212 часов назад
Hi guys, Nimetoa hii video ili kuwasaidia watu kutengeneza ela za pembeni. Ili uweze kuja ulaya unaitaji ela. Kuwekeza ni njia moja inaweza kukusaidia kusave ela ya ticket ya ndege au ya visa application au ya kuja shule so ndio maana nimetengeneza hii video. Ukisaidie wewe kutengeneza ela ya kukusaidia kuja huku ulaya. Kwa wale wenye ndoto ya kuwekeza na kutengeneza ela za pepmbeni. Hii video ...
From 0 to 1000 Subscribers in Just 3 Months...How I Did It
Просмотров 98День назад
From 0 to 1000 Subscribers in Just 3 Months...How I Did It
Nafasi Za Kazi Ulaya Spain I Vlog Menorca
Просмотров 20014 дней назад
Nafasi Za Kazi Ulaya Spain I Vlog Menorca
Pata Hifadhi Ulaya Kwa Urahisi na Haraka - Fuata Haya
Просмотров 769Месяц назад
Pata Hifadhi Ulaya Kwa Urahisi na Haraka - Fuata Haya
Maisha Ya Ulaya - Vyakula Maarufu na Burudani Brussels City
Просмотров 206Месяц назад
Maisha Ya Ulaya - Vyakula Maarufu na Burudani Brussels City
Nafasi za Kazi Ulaya kama Au Pair - Hatua kwa Hatua ya Kuwa Au Pair
Просмотров 1,8 тыс.Месяц назад
Nafasi za Kazi Ulaya kama Au Pair - Hatua kwa Hatua ya Kuwa Au Pair
Maisha Ya Ulaya - Amia Ulaya Kama Mwanafunzi
Просмотров 1 тыс.Месяц назад
Maisha Ya Ulaya - Amia Ulaya Kama Mwanafunzi
Maisha Ya Ulaya - Wanyama Wakiafrika Wameletwa Ulaya Kufanya Hivi
Просмотров 1622 месяца назад
Maisha Ya Ulaya - Wanyama Wakiafrika Wameletwa Ulaya Kufanya Hivi
Maisha Ya Ulaya - VITU KUMI VYA KUSHANGAZA NILIVYOJIFUNZWA NIKIISHI ULAYA
Просмотров 2,3 тыс.2 месяца назад
Maisha Ya Ulaya - VITU KUMI VYA KUSHANGAZA NILIVYOJIFUNZWA NIKIISHI ULAYA
Maisha Ya Ulaya - HILI DUKA NI KUBWA SANA ULAYA NZIMA
Просмотров 1053 месяца назад
Maisha Ya Ulaya - HILI DUKA NI KUBWA SANA ULAYA NZIMA
Maisha Ya Ulaya - Uwezi Kuamini Kama Hii Ndi Rotterdam
Просмотров 1023 месяца назад
Maisha Ya Ulaya - Uwezi Kuamini Kama Hii Ndi Rotterdam
Maisha Ya Ulaya - Pasaka Ulaya Ndo Hii
Просмотров 663 месяца назад
Maisha Ya Ulaya - Pasaka Ulaya Ndo Hii
Maisha Ya Ulaya - Angalia Haya Mahamburgers Yalivyo Makubwa
Просмотров 1434 месяца назад
Maisha Ya Ulaya - Angalia Haya Mahamburgers Yalivyo Makubwa
Naulizia kuus ukimbizi je mtu anapokua airport unatakiwa kuwaeleza nn kuus ukimbizi
Unawaelezea ni kitu gani kinakukimbiza kwenu,nchi yako angalia hii video itakusaidia ruclips.net/video/w1dNkQaWmZU/видео.html
Swali langu sister hujatuelezea kuusu maswali amabayo ukiwa mkimbizi unaweza kuhojiwa
@@salumufabien1786 Mambo Kama Salumu, ukiwa mkimbizi unaulizwa maswali inategemea na story yako uliyosema kwa nini unekimbia nchi yako.Kuna maswali ya kawaida kama umetoka nchi gani,una familia na maswali ya kuhusu story yako ya ukimbizi.
It’s beautiful 😍
Kufungua GPS umemaanisha kufungua location ile ya kwenye simu??
@@alexandermilanzi9860 ndio location wakifanya address verification waone simu yako ipo hapo unaposema na sio nchi nyingine kwa mfano
@@MaishaYaUlaya Sawa asante
Bado sijaelewa jinsi yakuapply as au pair
@@bahatiapollo4892 ntatoa video aonyesha step by step jinsi ya kuapply dada
🙏🏽
Mie nataka kazi my
Mf nimewekeza dora 5 limit price inatakiwa iwe ngap
@@joycelucas405 Hi Joyce , limit unaweka kama hautaki kununua iyo stock zaidi ya dollar 5 , so katika example Hii Sio lazima kuweka limit
Nakukubali dada ake pambana I wish nami nice uko uliko one day naona Fulsa ni nyingi sana nauli ipo tatizo connection tu.
Naweza pata mawasilano yako maana nipo teyar kwa kuekeza ila nina maswali muhimu nilikua nataka unielekekeze baada ya kunijibu
@@omarizoyussuf4022 nitumie email ntakujibu asante kwa kuchukua step muhimu hii
❤❤😊
🙏🙏🙏🙏🙏
sister ofis zako zipo wapi
@@user-bf3mm5wu1s hapa RUclips kaka
❤❤
❤❤❤kuekeza ni akiba thanks for sharing
Mimi igoma kufunguA acount
Woow thanks you wacha nijaribu na mimi❤❤❤
Hi Manira , ndio anza mapema hauto regret
Wow thanks for sharing ❤
Thanks for watching
God bless you sister, such an amazing contents... wacha nijaribu
Thank you so much 🤗
🎉🎉🎉
❤❤❤
🙏🙏may God keep you for us.....unatupa hope sana katika kila nyanja ili kuweza kujikomboa malengo
Amen, asante kwa meseji nzuri
Nmekua wa kwanza leo
Tuambie unazipstaje
Fanya kazi ya working agent utu connectie ulaya
Vizuri Sana hivyo dear ❤❤❤
That's great
Wow wow
Thank you for sharing❤.nauliza ukiwekeza faida unapata kwa muda gani
Unaona faida direct ukiwekeza katika stocks kampuni nzuri-
❤❤❤
Nimefungua acc ila kutumiwa code ndio kipengele
Number umeiweka kutumia international country code kwa dank +255 kwa Tanzania ?- Kama ulipata email ku confirm email yako inatosha - unaweza kuwatumia ela baadae kupitia email uwaambie ilo tatizo
Ndio nimefanya hv
🎉
Mshahara kima cha chini ni shilingi ngapi kwa saa.
Je ambao wako Tanzania wanaweza kufungua?
@@aidaanatory9330 ndio unawezekana - fungua chaguaw nchi tanzania 🇹🇿-
Awesome
@@eaglerange4997thank you
Asante sana
@@joycelucas405 Asante kwa kuangalia Joyce
Ngoja nifungue halafu kama ntakwama mahali ntakurudia ni issue nzr sn ubarikiwe mno
Ndio Asante sana - ntapost video naelezea kuindani zaidi na Pia jinsi ya kupata faida- Amen
Asanteee saana dada hii lazıma nitajiunga
@@davidshaban7375 Asante kaka David
Hii tupic inahitaji kujipanga kidogo
Thank you for sharing ❤
@@MaryMatereadvicer011 you are welcome Mary
uwe unaongea unatuelekeza mitaa
kianzio cha chini ni shi ngapi kwa mfano 50k inafa au laki
@@KIMALEX255 kuna stocks kwanzia dollar 5, katika next video ntatoa info jinsi ya kuchagua stocks vitu vya kupay attention
Hiii itatu push sna
@@allenismail6295 ndio yaani sana
Good luck to us
Asante kwa kutuelimisha
@@UfooMunisi-u6l Asante mama kwa kusikiliza
Kama wewe ni mwanafunzi, Huna kazi unaweza fungua hii account?
@@HarunaMwanga Mambo Haruna, ndio hataw wanafunzi wanaweza kufungua-pale pakuchagua option ya employed chagua student
@@MaishaYaUlaya sawa
🙏♥️♥️
Sister naomba unisaidie kadi ya mwaliko ya kuja huko ulaya
@@stantv2847 Mambo Kaka- Mungu akipenda channel ikukua tutatoa mialiko watu kuja huku kutembea- endelea kunifatilia
@@MaishaYaUlaya ok thanks
Nimeipenda iyi information ya kutengeneza ela Asante sana
@@manirakizanocia3391 Hi Manira ndio naomba ufunfue ni nzuri sana mi Kila siku natengeneza Ela za bure- please fungua account
Sawa unaishi ulaya seem gan
@@user-iu1qq3kp3m Hallo kaka nipo Ubelgiji