Maisha Ya Ulaya
Maisha Ya Ulaya
  • Видео 155
  • Просмотров 49 006
Jinsi ya Kutengeneza Ela Ukiwa Umelala Bila Kufanya Kazi
Hi guys,
Katika Video Hii utajifunza kuwekeza ni nini na jinsi ya kutengeneza ela wakati umelala bila ya kufanya kazi. Hii ni fursa nzuri kwa wale watu wanaotafuta ela zaidi ya mshahara wao. Kama unataka kuwezeka kununua nyumba au kupata ela ya kununua ticket kuja ulaya.
Ukishamaliza kuangalia video hii make sure unaangalia video yangu inayotoa info ya kufungua account ya bure ya kuwekeza hii hapa ruclips.net/video/LsH7laWkC8A/видео.html
Asante kwa kusubscribe; kulike na kushare na watu wengine.
Kama unaswali nitumie meseji : ulayalive@gmail.com
#tanzania #kenya #swahili #eastafrica #ulaya #uganda #uganda #diamondplatnumz #daressalaam #kiswahili #burundi #zanzibar #kuwekeza #investment
Просмотров: 207

Видео

Pata Ela Ya Kuja Ulaya Kupitia Kuwekeza Rahisi na Bure I Fungua Account
Просмотров 25212 часов назад
Hi guys, Nimetoa hii video ili kuwasaidia watu kutengeneza ela za pembeni. Ili uweze kuja ulaya unaitaji ela. Kuwekeza ni njia moja inaweza kukusaidia kusave ela ya ticket ya ndege au ya visa application au ya kuja shule so ndio maana nimetengeneza hii video. Ukisaidie wewe kutengeneza ela ya kukusaidia kuja huku ulaya. Kwa wale wenye ndoto ya kuwekeza na kutengeneza ela za pepmbeni. Hii video ...
From 0 to 1000 Subscribers in Just 3 Months...How I Did It
Просмотров 98День назад
From 0 to 1000 Subscribers in Just 3 Months...How I Did It
Nafasi Za Kazi Ulaya Spain I Vlog Menorca
Просмотров 20014 дней назад
Nafasi Za Kazi Ulaya Spain I Vlog Menorca
Kisiwa Menorca Spain PART I
Просмотров 16914 дней назад
Kisiwa Menorca Spain PART I
Fursa Ya Kazi Ulaya Luxembourg
Просмотров 1,3 тыс.21 день назад
Fursa Ya Kazi Ulaya Luxembourg
Pata Hifadhi Ulaya Kwa Urahisi na Haraka - Fuata Haya
Просмотров 769Месяц назад
Pata Hifadhi Ulaya Kwa Urahisi na Haraka - Fuata Haya
Maisha Ya Ulaya - Vyakula Maarufu na Burudani Brussels City
Просмотров 206Месяц назад
Maisha Ya Ulaya - Vyakula Maarufu na Burudani Brussels City
Fursa Za Kazi Ulaya Ubelgiji
Просмотров 1,3 тыс.Месяц назад
Fursa Za Kazi Ulaya Ubelgiji
Nafasi za Kazi Ulaya kama Au Pair - Hatua kwa Hatua ya Kuwa Au Pair
Просмотров 1,8 тыс.Месяц назад
Nafasi za Kazi Ulaya kama Au Pair - Hatua kwa Hatua ya Kuwa Au Pair
Maisha Ya Ulaya - Amia Ulaya Kama Mwanafunzi
Просмотров 1 тыс.Месяц назад
Maisha Ya Ulaya - Amia Ulaya Kama Mwanafunzi
Taratibu Rahisi Za Kuja Ulaya
Просмотров 3 тыс.2 месяца назад
Taratibu Rahisi Za Kuja Ulaya
Maisha Ya Ulaya - Wanyama Wakiafrika Wameletwa Ulaya Kufanya Hivi
Просмотров 1622 месяца назад
Maisha Ya Ulaya - Wanyama Wakiafrika Wameletwa Ulaya Kufanya Hivi
Maisha Ya Ulaya - VITU KUMI VYA KUSHANGAZA NILIVYOJIFUNZWA NIKIISHI ULAYA
Просмотров 2,3 тыс.2 месяца назад
Maisha Ya Ulaya - VITU KUMI VYA KUSHANGAZA NILIVYOJIFUNZWA NIKIISHI ULAYA
Maisha Ya Ulaya - Siku Ya Kazi
Просмотров 1,5 тыс.2 месяца назад
Maisha Ya Ulaya - Siku Ya Kazi
Maisha Ya Ulaya - HILI DUKA NI KUBWA SANA ULAYA NZIMA
Просмотров 1053 месяца назад
Maisha Ya Ulaya - HILI DUKA NI KUBWA SANA ULAYA NZIMA
Maisha Ya Ulaya - Uwezi Kuamini Kama Hii Ndi Rotterdam
Просмотров 1023 месяца назад
Maisha Ya Ulaya - Uwezi Kuamini Kama Hii Ndi Rotterdam
Maisha Ya Ulaya - Pasaka Ulaya Ndo Hii
Просмотров 663 месяца назад
Maisha Ya Ulaya - Pasaka Ulaya Ndo Hii
Maisha Ya Ulaya - Angalia Haya Mahamburgers Yalivyo Makubwa
Просмотров 1434 месяца назад
Maisha Ya Ulaya - Angalia Haya Mahamburgers Yalivyo Makubwa

Комментарии

  • @salumufabien1786
    @salumufabien1786 Час назад

    Naulizia kuus ukimbizi je mtu anapokua airport unatakiwa kuwaeleza nn kuus ukimbizi

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya Час назад

      Unawaelezea ni kitu gani kinakukimbiza kwenu,nchi yako angalia hii video itakusaidia ruclips.net/video/w1dNkQaWmZU/видео.html

  • @salumufabien1786
    @salumufabien1786 День назад

    Swali langu sister hujatuelezea kuusu maswali amabayo ukiwa mkimbizi unaweza kuhojiwa

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya День назад

      @@salumufabien1786 Mambo Kama Salumu, ukiwa mkimbizi unaulizwa maswali inategemea na story yako uliyosema kwa nini unekimbia nchi yako.Kuna maswali ya kawaida kama umetoka nchi gani,una familia na maswali ya kuhusu story yako ya ukimbizi.

  • @davidshaban7375
    @davidshaban7375 День назад

    It’s beautiful 😍

  • @alexandermilanzi9860
    @alexandermilanzi9860 День назад

    Kufungua GPS umemaanisha kufungua location ile ya kwenye simu??

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya День назад

      @@alexandermilanzi9860 ndio location wakifanya address verification waone simu yako ipo hapo unaposema na sio nchi nyingine kwa mfano

    • @alexandermilanzi9860
      @alexandermilanzi9860 День назад

      @@MaishaYaUlaya Sawa asante

  • @bahatiapollo4892
    @bahatiapollo4892 День назад

    Bado sijaelewa jinsi yakuapply as au pair

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya День назад

      @@bahatiapollo4892 ntatoa video aonyesha step by step jinsi ya kuapply dada

  • @TrishaMana
    @TrishaMana День назад

    🙏🏽

  • @SalomeKhalfani-cm9xy
    @SalomeKhalfani-cm9xy День назад

    Mie nataka kazi my

  • @joycelucas405
    @joycelucas405 День назад

    Mf nimewekeza dora 5 limit price inatakiwa iwe ngap

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya День назад

      @@joycelucas405 Hi Joyce , limit unaweka kama hautaki kununua iyo stock zaidi ya dollar 5 , so katika example Hii Sio lazima kuweka limit

  • @FredyIsseme
    @FredyIsseme День назад

    Nakukubali dada ake pambana I wish nami nice uko uliko one day naona Fulsa ni nyingi sana nauli ipo tatizo connection tu.

  • @omarizoyussuf4022
    @omarizoyussuf4022 День назад

    Naweza pata mawasilano yako maana nipo teyar kwa kuekeza ila nina maswali muhimu nilikua nataka unielekekeze baada ya kunijibu

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya День назад

      @@omarizoyussuf4022 nitumie email ntakujibu asante kwa kuchukua step muhimu hii

  • @MaryMatereadvicer011
    @MaryMatereadvicer011 День назад

    ❤❤😊

  • @joycelucas405
    @joycelucas405 2 дня назад

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s 2 дня назад

    sister ofis zako zipo wapi

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya День назад

      @@user-bf3mm5wu1s hapa RUclips kaka

  • @allenismail6295
    @allenismail6295 2 дня назад

    ❤❤

  • @MaryMatereadvicer011
    @MaryMatereadvicer011 2 дня назад

    ❤❤❤kuekeza ni akiba thanks for sharing

  • @KIMALEX255
    @KIMALEX255 2 дня назад

    Mimi igoma kufunguA acount

  • @manirakizanocia3391
    @manirakizanocia3391 2 дня назад

    Woow thanks you wacha nijaribu na mimi❤❤❤

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya 2 дня назад

      Hi Manira , ndio anza mapema hauto regret

  • @MaryMatereadvicer011
    @MaryMatereadvicer011 3 дня назад

    Wow thanks for sharing ❤

  • @davidshaban7375
    @davidshaban7375 3 дня назад

    God bless you sister, such an amazing contents... wacha nijaribu

  • @davidshaban7375
    @davidshaban7375 3 дня назад

    🎉🎉🎉

  • @MaryMatereadvicer011
    @MaryMatereadvicer011 3 дня назад

    ❤❤❤

  • @allenismail6295
    @allenismail6295 3 дня назад

    🙏🙏may God keep you for us.....unatupa hope sana katika kila nyanja ili kuweza kujikomboa malengo

  • @agathalinus6518
    @agathalinus6518 3 дня назад

    Nmekua wa kwanza leo

  • @user-tr8hb7bd5t
    @user-tr8hb7bd5t 4 дня назад

    Tuambie unazipstaje

  • @user-tr8hb7bd5t
    @user-tr8hb7bd5t 4 дня назад

    Fanya kazi ya working agent utu connectie ulaya

  • @PuritySimba-jg6nj
    @PuritySimba-jg6nj 4 дня назад

    Vizuri Sana hivyo dear ❤❤❤

  • @PuritySimba-jg6nj
    @PuritySimba-jg6nj 4 дня назад

    That's great

  • @PuritySimba-jg6nj
    @PuritySimba-jg6nj 4 дня назад

    Wow wow

  • @nunimwaropia3584
    @nunimwaropia3584 4 дня назад

    Thank you for sharing❤.nauliza ukiwekeza faida unapata kwa muda gani

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya 3 дня назад

      Unaona faida direct ukiwekeza katika stocks kampuni nzuri-

  • @lavieestbelle3263
    @lavieestbelle3263 4 дня назад

    ❤❤❤

  • @joycelucas405
    @joycelucas405 4 дня назад

    Nimefungua acc ila kutumiwa code ndio kipengele

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya 3 дня назад

      Number umeiweka kutumia international country code kwa dank +255 kwa Tanzania ?- Kama ulipata email ku confirm email yako inatosha - unaweza kuwatumia ela baadae kupitia email uwaambie ilo tatizo

    • @joycelucas405
      @joycelucas405 День назад

      Ndio nimefanya hv

  • @TrishaMana
    @TrishaMana 4 дня назад

    🎉

  • @silvesterjoseph1680
    @silvesterjoseph1680 4 дня назад

    Mshahara kima cha chini ni shilingi ngapi kwa saa.

  • @aidaanatory9330
    @aidaanatory9330 4 дня назад

    Je ambao wako Tanzania wanaweza kufungua?

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya 4 дня назад

      @@aidaanatory9330 ndio unawezekana - fungua chaguaw nchi tanzania 🇹🇿-

  • @eaglerange4997
    @eaglerange4997 4 дня назад

    Awesome

  • @joycelucas405
    @joycelucas405 5 дней назад

    Asante sana

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya 4 дня назад

      @@joycelucas405 Asante kwa kuangalia Joyce

  • @genofevamosha8283
    @genofevamosha8283 5 дней назад

    Ngoja nifungue halafu kama ntakwama mahali ntakurudia ni issue nzr sn ubarikiwe mno

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya 3 дня назад

      Ndio Asante sana - ntapost video naelezea kuindani zaidi na Pia jinsi ya kupata faida- Amen

  • @davidshaban7375
    @davidshaban7375 5 дней назад

    Asanteee saana dada hii lazıma nitajiunga

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya 5 дней назад

      @@davidshaban7375 Asante kaka David

  • @davidshaban7375
    @davidshaban7375 5 дней назад

    Hii tupic inahitaji kujipanga kidogo

  • @MaryMatereadvicer011
    @MaryMatereadvicer011 5 дней назад

    Thank you for sharing ❤

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya 5 дней назад

      @@MaryMatereadvicer011 you are welcome Mary

  • @KIMALEX255
    @KIMALEX255 5 дней назад

    uwe unaongea unatuelekeza mitaa

  • @KIMALEX255
    @KIMALEX255 5 дней назад

    kianzio cha chini ni shi ngapi kwa mfano 50k inafa au laki

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya 5 дней назад

      @@KIMALEX255 kuna stocks kwanzia dollar 5, katika next video ntatoa info jinsi ya kuchagua stocks vitu vya kupay attention

  • @allenismail6295
    @allenismail6295 5 дней назад

    Hiii itatu push sna

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya 5 дней назад

      @@allenismail6295 ndio yaani sana

  • @allenismail6295
    @allenismail6295 5 дней назад

    Good luck to us

  • @UfooMunisi-u6l
    @UfooMunisi-u6l 5 дней назад

    Asante kwa kutuelimisha

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya 5 дней назад

      @@UfooMunisi-u6l Asante mama kwa kusikiliza

  • @HarunaMwanga
    @HarunaMwanga 5 дней назад

    Kama wewe ni mwanafunzi, Huna kazi unaweza fungua hii account?

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya 5 дней назад

      @@HarunaMwanga Mambo Haruna, ndio hataw wanafunzi wanaweza kufungua-pale pakuchagua option ya employed chagua student

    • @HarunaMwanga
      @HarunaMwanga 5 дней назад

      @@MaishaYaUlaya sawa

  • @lavieestbelle3263
    @lavieestbelle3263 5 дней назад

    🙏♥️♥️

  • @stantv2847
    @stantv2847 5 дней назад

    Sister naomba unisaidie kadi ya mwaliko ya kuja huko ulaya

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya 5 дней назад

      @@stantv2847 Mambo Kaka- Mungu akipenda channel ikukua tutatoa mialiko watu kuja huku kutembea- endelea kunifatilia

    • @stantv2847
      @stantv2847 5 дней назад

      @@MaishaYaUlaya ok thanks

  • @manirakizanocia3391
    @manirakizanocia3391 5 дней назад

    Nimeipenda iyi information ya kutengeneza ela Asante sana

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya 5 дней назад

      @@manirakizanocia3391 Hi Manira ndio naomba ufunfue ni nzuri sana mi Kila siku natengeneza Ela za bure- please fungua account

  • @user-iu1qq3kp3m
    @user-iu1qq3kp3m 5 дней назад

    Sawa unaishi ulaya seem gan

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya 5 дней назад

      @@user-iu1qq3kp3m Hallo kaka nipo Ubelgiji