Pata Hifadhi Ulaya Kwa Urahisi na Haraka - Fuata Haya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 июн 2024
  • Hi all,
    Hongera kwa mshindi wetu wa pili wa EUR 50, Nitumie information zako. Asanteni kwa wote mlioshiriki,msife moyo endelea kusupport channel tutatangaza tena give away nyingine.
    Kwa wale waliokuwa na maswali ya kuja ulaya kama wakimbizi - please make sure unasikiriza hii video hadi mwisho. Kama unaswali acha kwenye comment section.
    Please endeleni kunisupport, asanteni sana
    #kiswahili #tanzania #ulaya #kenya #diamondplatnumz #swahili #zuchu #kiswahili ##uganda #rwandaupdate #viral #waswahili #watanzania #eastafrica #ukimbizi #daressalaam #zanzibar

Комментарии • 39

  • @NyangusiTv
    @NyangusiTv 27 дней назад +1

    Hello,,.Madam Nashkuru Sana.. Nimepata Zawadi Yangu..🙏🙏 Jaman tuendelee kussaport hii chanel ...

  • @salomemkilima5732
    @salomemkilima5732 7 дней назад

    ahsante kwa taarifa umeongea vizuri tupo pamoja

  • @rebeccajaphet6032
    @rebeccajaphet6032 27 дней назад +1

    Utaratibu unaanzaje sasa

  • @davidshaban7375
    @davidshaban7375 Месяц назад +1

    Hongera sana dada, kwa kuendelea ku support EURO 50 uko kwenye mission nzuri sana God bless you... binafsi nimekuwa interesting kwa topic ya leo maana inawagusa wengi nikiwemo mimi wanao tafuta njia mbalimbali zinazoweza kuwasaidia kwenda Ulaya... ni shauku yangu kubwa na nina imani nitakuja one day YES.

  • @allenismail6295
    @allenismail6295 14 дней назад

    Mimi my sister one day ngoja nimalize masomo tu nina ndoto za kuja ku fanya kaz ya chef cook hotel na kuishi i hope hii njia ya ukimbizi ina weza work pia kwangu one day yes tuombe uzima tu Mungu akubariki unatu sanua ili tusafir wote

  • @user-rc9qm2tw2o
    @user-rc9qm2tw2o 24 дня назад

    Asante nduguyangu sana mimi napenda sana Tafadhali tusaidie ndoto yangu nifike huko

  • @ndikumanapegbmashin1940
    @ndikumanapegbmashin1940 28 дней назад +1

    I like it gisi unatupa ushauri

  • @manirakizanocia3391
    @manirakizanocia3391 Месяц назад

    Kazi nzuri sana dada❤❤❤

  • @joycelucas405
    @joycelucas405 28 дней назад +1

    Hi, nimekutumia ujumbe kwenye gmail yako hujanijib

  • @jewelleryjewellery9724
    @jewelleryjewellery9724 Месяц назад

    Nakupata vnzr kutoka tanzania asante sana.

  • @Formula_Tz
    @Formula_Tz Месяц назад

    Kazi nzuri san dada

  • @emachrissdalah8602
    @emachrissdalah8602 27 дней назад

    Asante kwa kutupa taarifa muhimu kama hizi

  • @dorcasmwesiga2795
    @dorcasmwesiga2795 29 дней назад +1

    Asante kwa elimu sis. Hiyo Asylum unaweza kwenda na famili?? Pili unaweza fanya kazi? Yani unapewa kazi?.
    Tunasubir video ya kuwekeza 🥰

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  14 дней назад

      Ndio unaweza kuomba ukimbizi na familia- au ukawaleta familia baadae- video ya Kuwekeza inakuja- sorry for delay

  • @Mimi.Official
    @Mimi.Official Месяц назад +1

    Kuhusu lugha pia

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 Месяц назад +1

    Ndomana Tundulisu kakimbilia Belgium

  • @FredyIsseme
    @FredyIsseme 24 дня назад

    Tunakupata sana

  • @MaryMatereadvicer011
    @MaryMatereadvicer011 Месяц назад

    Asante sana dada kwa maelezo mazuri barikiwa ❤

  • @zawadiharrison1285
    @zawadiharrison1285 24 дня назад +1

    Nahitaji kuja ulaya bt sijui nitaamzia wap dada nisaidie please

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  14 дней назад

      Video zangu ndo zinakupa info ili ujue uanzie wapi

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 Месяц назад

    Tunakusapoti tuko pamoja nawewe dada yetu

  • @user-fh5fz6rn6x
    @user-fh5fz6rn6x 29 дней назад

    Asante sana

  • @msalikemedia
    @msalikemedia 11 дней назад

    I am new subscriber please na wewe ni follow. Kwa msaada zaidi pia nahitaji kupata Information za kuja Ulaya. I have Experience ya nch za kiarabu nimefanya kazi huko miaka 10 ila kwa sasa nahitaji kuingia nch za kizungu please I need your help how I can start

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 Месяц назад

    Tupe more video za info usikawie sana tunakumic jumamos mpaka jumamosi mbali

  • @NyangusiTv
    @NyangusiTv Месяц назад

    Asante sana dada kwa kuwa mshindi wa leo.. jamni..🙏🙏🙏🙏

  • @farajalusambo9485
    @farajalusambo9485 23 дня назад +1

    samahani sister nahulidha, mfano nilihishi kambi fulani africa,nikapata vitambulisho vyote vya ukimbizi na nikaja uko ulaya nikaonesha hivyo vyeti zangu kwawo, je? watanipokea moja moja au watazinguwa?

    • @farajalusambo9485
      @farajalusambo9485 23 дня назад +1

      watanipokea moja kwa moja au watanizinguwa?

    • @farajalusambo9485
      @farajalusambo9485 23 дня назад +1

      moja kwa moja ao watanizinguwa?

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  21 день назад

      Watajiiza kwanini unakuja huku kuomba ukimbizi wakati umeshapewa ukimbizi nchi nyingine- so nice bira ukija huku uaanze upya

  • @user-rp9dm5vo9f
    @user-rp9dm5vo9f 14 дней назад +1

    Minataka kutuma mkewangu na watoto kwampango wa ukimbizi nahadi sasa wako kambini nifanyeje ili wafike huko kwa rahisi?

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  13 дней назад

      @@user-rp9dm5vo9f nitumie meseji ulayalive@gmail.com ntakupa ushauri

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 Месяц назад

    Twajitaafuta tuje

  • @user-dh7yg6dl5e
    @user-dh7yg6dl5e 25 дней назад

    Dada mm nataka kwenda uk kwa sasa nipo omani ila sijui chochote nifanyaje ili.nipate viza hapa omani ya kwenda UK nipo nafanya ky za ndani hapa ila natamani kwenda UK

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  17 дней назад

      Ntakuangalizia procedure ya kwenda UK -

  • @msalikemedia
    @msalikemedia 11 дней назад

    I am new subscriber please na wewe ni follow. Kwa msaada zaidi pia nahitaji kupata Information za kuja Ulaya. I have Experience ya nch za kiarabu nimefanya kazi huko miaka 10 ila kwa sasa nahitaji kuingia nch za kizungu please I need your help how I can start