WANAFANYA BIASHARA YA KUUZA MWILI | UNAINGIA EUROPE BILA VISA | WANAANZA KUNYWA WINE AHSUBUHI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Wilson ameeleza safari ya maisha kutoka Tanzania ambapo yeye ni mpiga ara za muziki, muziki ulimtoa Zanzibar na kumsafirisha nchi mbali mbali na baadae kwenda Georgia kwa kazi ya modeling
    Ameeleza maisha ya Georgia na utofauti wa utamaduni uliomshangaza zaidi ni wa kunywa wine kuanzia ahsubuhi na suala la faragha la kimapenzi kua hadharani.
    Kwasasa anaishi nchini Azerbaijan Kama mwalimu wa muziki.
    RUclips Channel yake ni ‪@MasilingiTZ‬
    Thank you Wilson for allowing this to be online
    www.oda.international

Комментарии • 33

  • @OfficialDatingAssistance
    @OfficialDatingAssistance  3 месяца назад +3

    Subscribe kwa RUclips channel yake @masilingitz

  • @johndottomakwaya3540
    @johndottomakwaya3540 2 месяца назад +1

    Teacher nimekupata vizuri sanaa👍👍👍

  • @BarakaBitariho
    @BarakaBitariho 3 месяца назад +4

    Nimecheka niliposikia eti kila kitu wanakisingimkza na waini, eti wine imegeuzwa chai. Niliwahi kusikia kitu kama hiki kikitokea Urusi wanapogeuza pombe kuwa chai.
    Hilo la Azbehidan kuwa na ubikra... nahisi ni kwa sababu ya kidini ila wanapokutana na ngozi nyeusi huwa wanawapapatikia kwakidhani ni wamarekan. Kuna watu wanakujaga eastern Europe kutafuta wachumba kutokana na wanavyopokea watu weusi...
    Ila over all: interview nzuri. Nasubiria mmu interview mtz mwingine kutoka hayo maeneo... hasa wale wa kutoka Sofia/Bulgaria and the nearby area. Eastern Europe ipo gizani na mambo yao mengi hayaletwi kwenye uwazi. Asante kwa kuendelea kutufunzeni.

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 3 месяца назад +2

    Muhaya mwenzio, nakutafuta Mashilingi

  • @regulashine8854
    @regulashine8854 3 месяца назад +2

    Asante sana Shena na kaka Wilson story nzuri sana

  • @AdamKessy
    @AdamKessy 3 месяца назад +1

    thanks very much sister shena

  • @mmasipeter4157
    @mmasipeter4157 3 месяца назад +2

    dadaangu shikamoo uko vzr kwa hilo swali ka kizushi nilikuwa nilisubiriya kwa hamu sana😂

  • @jackiesfood
    @jackiesfood 3 месяца назад +2

    ❤❤❤

  • @Ashreystar8465
    @Ashreystar8465 3 месяца назад +2

    Duh Georgia imenishinda

    • @Justine_Tz1
      @Justine_Tz1 3 месяца назад

      Duh hatari san😂😂

  • @johneliezeri9786
    @johneliezeri9786 3 месяца назад

    Baba Koku imenifundisha kupambana 16:16 😮

  • @johneliezeri9786
    @johneliezeri9786 3 месяца назад

    Baba Koku imenifundisha kupambana

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 3 месяца назад +3

    Haiyeyeyeyeee, Umesema kihaya 😂😂😂😂😂😂

    • @helinahenry2363
      @helinahenry2363 3 месяца назад

      😂😂😂 hiyo inaitwa Okushaigiliza🤣🤣🤣🤣

  • @mwanaidikingazi4222
    @mwanaidikingazi4222 3 месяца назад +1

    Kaka ameongea vzr kwakweli

  • @jovinangambeki7416
    @jovinangambeki7416 3 месяца назад +2

    Owomuka yeeeee

  • @NzeyimanaVéronique
    @NzeyimanaVéronique 3 месяца назад

    Ok

  • @DramaDive-8
    @DramaDive-8 3 месяца назад +1

    Wa Georgia eneo Lao la kujidai ni uturuki

  • @FURAHA_NI_HAKI_YAKO
    @FURAHA_NI_HAKI_YAKO 2 месяца назад

    Hiyo mwananyamala 😅

  • @lulumkongwe9987
    @lulumkongwe9987 3 месяца назад

    😂hapo kwenye kuchungulia

  • @DramaDive-8
    @DramaDive-8 3 месяца назад

    Watz wapo kwenye hizo ishu hawakosiii

  • @mohamedallyrajabu8301
    @mohamedallyrajabu8301 3 месяца назад +2

    Shena huyuu jamaa kwa maneno aliyo ongea na video yangu basi Watanzania kama hawata elewa basi ni vichwa vyao tuu vigumuu

  • @brigitafelix2421
    @brigitafelix2421 2 месяца назад +1

    😂😂😂

  • @johnmessi6831
    @johnmessi6831 3 месяца назад

    Nasikiliza vizuri kutoka Tel Aviv Israel 🇮🇱

  • @joejoshua7791
    @joejoshua7791 3 месяца назад

    Wanaigeria ni wezi ndio maana wanajificha

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 3 месяца назад

    Baba Kokushubira 😅😂

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 3 месяца назад +1

    Hao vijana ni escort

  • @DramaDive-8
    @DramaDive-8 3 месяца назад

    Hii mpya ya toy boy 😂