WANAFANYA BIASHARA YA KUUZA MWILI | UNAINGIA EUROPE BILA VISA | WANAANZA KUNYWA WINE AHSUBUHI
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Wilson ameeleza safari ya maisha kutoka Tanzania ambapo yeye ni mpiga ara za muziki, muziki ulimtoa Zanzibar na kumsafirisha nchi mbali mbali na baadae kwenda Georgia kwa kazi ya modeling
Ameeleza maisha ya Georgia na utofauti wa utamaduni uliomshangaza zaidi ni wa kunywa wine kuanzia ahsubuhi na suala la faragha la kimapenzi kua hadharani.
Kwasasa anaishi nchini Azerbaijan Kama mwalimu wa muziki.
RUclips Channel yake ni @MasilingiTZ
Thank you Wilson for allowing this to be online
www.oda.international
Subscribe kwa RUclips channel yake @masilingitz
Teacher nimekupata vizuri sanaa👍👍👍
Nimecheka niliposikia eti kila kitu wanakisingimkza na waini, eti wine imegeuzwa chai. Niliwahi kusikia kitu kama hiki kikitokea Urusi wanapogeuza pombe kuwa chai.
Hilo la Azbehidan kuwa na ubikra... nahisi ni kwa sababu ya kidini ila wanapokutana na ngozi nyeusi huwa wanawapapatikia kwakidhani ni wamarekan. Kuna watu wanakujaga eastern Europe kutafuta wachumba kutokana na wanavyopokea watu weusi...
Ila over all: interview nzuri. Nasubiria mmu interview mtz mwingine kutoka hayo maeneo... hasa wale wa kutoka Sofia/Bulgaria and the nearby area. Eastern Europe ipo gizani na mambo yao mengi hayaletwi kwenye uwazi. Asante kwa kuendelea kutufunzeni.
Muhaya mwenzio, nakutafuta Mashilingi
Asante sana Shena na kaka Wilson story nzuri sana
❤
thanks very much sister shena
dadaangu shikamoo uko vzr kwa hilo swali ka kizushi nilikuwa nilisubiriya kwa hamu sana😂
❤❤❤
Duh Georgia imenishinda
Duh hatari san😂😂
Baba Koku imenifundisha kupambana 16:16 😮
Baba Koku imenifundisha kupambana
Haiyeyeyeyeee, Umesema kihaya 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 hiyo inaitwa Okushaigiliza🤣🤣🤣🤣
Kaka ameongea vzr kwakweli
Owomuka yeeeee
Ok
Wa Georgia eneo Lao la kujidai ni uturuki
Kumbeee 😁
Hiyo mwananyamala 😅
😂hapo kwenye kuchungulia
Watz wapo kwenye hizo ishu hawakosiii
Shena huyuu jamaa kwa maneno aliyo ongea na video yangu basi Watanzania kama hawata elewa basi ni vichwa vyao tuu vigumuu
😂😂😂
Nasikiliza vizuri kutoka Tel Aviv Israel 🇮🇱
Karibu sana kwa kipindi tupate kujifunza kuhusu Israel
+4367764790884
Wanaigeria ni wezi ndio maana wanajificha
Baba Kokushubira 😅😂
Hao vijana ni escort
Hii mpya ya toy boy 😂
😅
@@OfficialDatingAssistance Escorts 😅😅