NAMNA YA KUFIKA CANADA | KAZI ZA CARE ZINAKUTOA KIMAISHA | CHUNGA MAISHA YAKO YA MTANDAONI
HTML-код
- Опубликовано: 4 май 2024
- Alex ameeleza Safari yake ya kutoka Tanzania mpaka Marekani
Ambapo alipoteza begi lake la documents zake Airport na kumfanya kukosa raha Marekani.
Alirudi Tanzania baada ya kushinda DV lottery lakini kwa bahati mbaya hakuitwa kwaajili ya interview lakini alibahatika kupata Visa ya Canada na sasa anaishi Canada
Anasema kazi za Care zinakutoa kimaisha endapo utakua na malengo.
Thank you Alex for allowing this to be online
www.oda.international
TikTok: Alex_Karia
Ahsante da Shena nimeona acc yake but yuko private Tunaomba apokee request zetu naona huyu kaka anaweza kutusaidia
Habari dada
Habari nimependa kipindi chako
H
I like that how can i do?
Hakika huyu kaka Mungu amempa hekima kubwa sana,Mwenyezi Mungu amsaidie apate Mke mwema na amtangulize Mungu ktk hilo sana,nae atampa anachokistahili,nampenda mwanaume mwenye hofu ya Mungu sana,Mungu tukutanishe na watu sahihi ktk maisha yetu,hakika nimeipenda hii interview.
Alex Karia namjua tangu ubungo kibangu, ni kijana mtanashati, straight forward, na amejaliwa vipaji vingi hasa uongozi.
He is a good man, atafika mbali.
Asante sana mwanangu Alex Karia, mimi ni mama mtu mzima (71) ni likuwa naishi na mtoto wangu Califoni ,lakini sasa niko Syato.na shikilia mama mwingine kazi ameenda Kenya. Naatarudi. Mimi ni MTANZANIA.Naomba unipe number ya huyu mama MTANZANIA. ATANISAIDIA NIKO NA GREEN GARD TAYARI. UBARIKIWE AMINA
Napenda kuangalia vipindi vyako but hii nimeipenda sana for me . Alex ameonge kijamii kiujana .ndoa ila yot ameeka mungu mbele ndio maana anafanikiwa .kufanikia not only material . Nafsi (Faith) 🇬🇧
Ahsante Shena kwa kutuletea mtu mwenye kunyoosha maneno hongera kijana ana nondo zenye mashiko.
Alex umenitia moyo Sana sana Barikiwa
Alex amemaliza,ameelezea vizuti sana yani,hayo mambo ya madawa ni jaribu kwakweli,nakumbuka niliacha kazi sababu hiyo sitaki kuua mtu mimi🤦🏼♀️🤦🏼♀️🤦🏼♀️🤦🏼♀️🤦🏼♀️🤦🏼♀️
Jamaa Ana Akili sanaa ✅💪🏽big up Alex
Dada shena binafsi nimejifunza mengi Sana toka kwa huyo kaka,pia nimefurahi sana kusikia yeye ni msabato jamani waoooo,mie nipo dubai na nimuadiventista msabato pia,kaka mungu akubariki sana
DADA,MUALIKE TENA ALEX ATUPE MADINI.
Vipindi vyako vinafundisha sana Mungu akubariki sana mdogo wangu
Dada ubarikiwe umetufunguwa macho sana
Kaka Alex Mwenyezi akubariki sana 🙏🏾, Dada Mungu akubariki sana pia🙏🏾
Nimeomba mwaka huu kwa EBM nimekosa na passport nnayo ila bado sijakata tamaa apa natak nichekeche nideal na summer camp chap kwa nichomoke 🙏🙏🙏
Iyo summer camp inakuwaje ndugu?
Rajabu nakupataje ndugu
Green Card ngumu kupata lakini ukipata ni rahisi kwenda Marekani njia ingine rahisi ni kuoa au kuolewa
Sister unajua sana very smart question
Habari madaam naomba niunganishe na huyo jamaa,kwa sasa nipo qatar,ahsante.
Jaman hii live Jana nilikua Ata siijali kumbe ya Maan hivi congratulations waadventist
I am always a silent watcher. I watch you all the time. You aredoing a wonderful job to educate our people. Kazi nzuri sana Shena ubarikiwe sana
Shukran sana 🙏
Asante sana dada Shena, yaani kwenye hii interview nimejifunza mengi sana
Hongera sana dada Shenna,hupenda sana kukufatilia kwa kipindi chako natoka Kenya 🇰🇪
Shukran Lilly🙏
Habar Dada VP mzima lakini pole na majukumu
Naomba namba yako yaani nimekupenda bure
@@OfficialDatingAssistance naomba namba yako ya WhatsApp naomba unitafutie kazi nilikuwa Dubai Sasa hv niko Tanzania
@@OfficialDatingAssistance Ahsante
Asante sana dada yetu Shena kwa kutuletea watu ili tujifunze, be blessed
Asante shena , asante Alex asante asante@shena
Good job Shena
hongera sana my brooo...
Dada Naomba huyu kaka anaweza kusaidia hata wengne kupata chance
Hongera sana intreview ipo smart sana
huwezi kumkuta mzungu kijana aje aoe Afrika hiyo ni fact
Well said Alex 👏
Good interview 🎉
Nice interview ever….
My sister, how, are? You have done a very good innovation of enabling us to interact with our fellows brothers and sisters who are living abroad!!
Ubarikiwe kaka kwa kushare information ❤
This interview is very informative! Thanks dada Shenna
Most welcome!
He is amazing 🥰
Aisee nimpe hongera sana brother aisee kweli amemshinda ebilisi
Huyu kaka anaroho nzuri sana, siku moja niliingia live yake nikamuomba kunitafutia kazi marekani akaniambia fika marekani nitafute.. he is very good.. mungu atambariki sana sana...
Habari Madame,,, Asante kwa kutuletea Alex,,, kwa kweli amenitia moyo sn,,, naomba unisaidie namba yake ili niweza ongea nae baadhi ya Mambo.
Wanaita 5 eyes counties Australia, Canada, New Zealand, the United Kingdom and the United States...wanashare their data "wanaita intelligence alliance"
Uki-mess up in one of those countries umejifungia kote
Shena you are doing great
Good presentation very truthful Person.
Hongera sana dada
Alex shukrani sana
Ila naomba namba yako
Nahitaji msaada wako
Kazi nzuri sana hii dada yangu mimi nipo uganda 🇺🇬 katika kambi ya wakimbizi ni mtanzania
Unandoto gani embu nipo tips mwenzio
😂😂😂😂😂😂 mbavu sana uko uganda,we ni mtanzania!!! TANZANIA Kuna shida gani hadi uitwe mkimbizi
Asante 🎉🎉
Nibiashara ipi ambayo leseni yake or tin yake itanisaidia katika kupata visa nipe mfano tafadhari Ili niwe na aidia
kwa kweli tangu nimejifunza mengi kupitia hii channel asante Shena🥰🥰🥰🥰🥰
Dada shena Kwa kweli nimejifunza mengi nifanyaje
Alex Kakaaangu Sio Mchoyooo Huyu ! Sisi Bado Tupo Marekani Tunalea Wezeee Mpaka Kieleweke❤
Karibu sana kwenye kipindi tupate kujifunza pia +4367764790884
Tuunganisheni na sisi jaman mimi nipo Oman kwa sasa 😢😢😢
Mm nipo oman nataka kwenda Canada tusaidieni connection
Huyo binti mdogo mwenye miaka 30 bosi nahisi kama namjua hahahaha 😂 nice interview
Alex umetisha sana...umefunguka sana babu
Mh! Kazi ngumu sana care giver 😢🙌
Nataka nijue pr ya Canada alipataje
Da sheina hongera. Na huyo Alex dini au Imani yake ni yangu pia. Nami ni mshauri wa vijana na ndoa, kwa kuwa nimemwona ni mtu sahihi na hofu ya Mungu naweza hata kumwelekeza mabinti wenye tabia ya kufanana naye achague. naomba umpe contact yangu nimchekeshe kidogo.
Shkamoo doctor. Nadhani kama unaangalia habari hizi za online dating platforms inaonekana una mtazamo chanya kuhusiana nazo. Naomba andaa kipindi uelezee faida na hasara na jinsi ya kujilinda na chagamoto za online dating kama itakupendeza.
Naitwa Juma, ni muislamu, napenda sana urafiki na wasabato, nimepemda sana elimu yako, hii ni sadaka uliyoitoa
Dada nakufuatilia sana upo powa sana Kwa taalifa zako.ila kiukweli natamani sana kufanya kazi uko Canada and us.
Pongezi dada kwa kazi njema,niko kenya naomba emeil address ya Kaka Alex.
Mungu kubariki Dada
Kazi nzuri Shena. Mimi niko Marekani Columbus Ohio. Naomba namba ya huyu kaka nna changamoto kidogo
Nicheck WhatsApp +4367764790884
Hakika umeweza....
Hayo ndiyo mahojiano tunayoyahitaji watu ambao tunajitafuta.
Hongera Dada
I wish nipate namba ya huyo KAKA.... Sijajua wewe naweza KUPATA muda wako lini na saa ngapi Ili nipate mwanga zaidi maana huyu amesimulia. 24:44
Jamaa Kutusanua sna
Natam kwend canda lakn wat hawaamin kuwao pesa jamn dad kam unawatu waamif naomba tuwasilian please 🙏
Dada kama financially upo vizuri karibu nitakusaidia kufanya application ya visa hata ya matembezi au hizo za conference ukishafika huko basi ndio mwanzo WA kupata connection zingine
Nataka hata mm
Jamani nipo oman narudi mwakani natamani niende Canada nataka mtu muaminifu anisaidie
Bro anaongea fact 💯 san
Mungu awabarki munaokahuko muwena maishamema
Dada shena nitakupataje for more information from Tanzania
Jamaa anajua kujieleza ,,ana madini
Hongera sana kaka na mimi ni msabato mwenzako nina dream ya kuja uko naomba namba ako niweze kuplay green card
Alex mwamba sana katoa nondo kali na pontetial
Jaman kaka wewe msabato waoo❤❤ ngoja na kutafta 😂😂😂
Mi napenda sana
❤da Shenaa jmn please nisaidie mimi nije huko
Hakika umeweza....
Hayo ndiyo mahojiano tunayoyahitaji watu ambao tunajitafuta.
Hongera Dada
I wish nipate namba ya huyo KAKA.... Sijajua wewe naweza KUPATA muda wako lini na saa ngapi Ili nipate mwanga zaidi maana huyu amesimulia... 24:44 24:44 24:44 24:44 24:44 24:44 24:44
Dada mwambie Alex kwamba iyo invety ya wasabato anitumie Link yake
Nakubali sana jamani
Hongera kaka nimefurahi kusikia wewe ni msabato
Napataje msaada wako tafathali msabato mwenzio
Mtani wangu umevipiga vita vikali hongra sana mpambanaji Mungu akulinde
Wao jaman nimejifunza kitu kikubwa sana
Jamani dada Shena naomba no.ya Alex ili aweze kumuongoza Mr.wangu naye anapambana aende Canada
Hello sister naweza kupata no ya Ofisi yako ili tuweze kuwasiliana, niko na ndoto ya kwenda
Huyo kaka wa kanada naomba tu namba yake❤
Alex naomba yako tuweze kuwasiliana
Why mtu ujiguse masikio afu utie kidole puani
I love You Tube very much
❤
Pia shida nyingine kuhusu caregiver Tanzania walitoa hiyo course ya nursing assitant, course hizo zipo Kenya na zinawaptia njia ya kutoka. Pia wa TZ ndugu zangu tukazanie lugha ya Kingereza kinatuangusha sana. Nenda RUclips au google ufanye mazoezi ya lugha. This is from my own experince. From USA
Ahsante kwa ujumbe na Karibu sana kwa kipindi +4367764790884
kweli mdogo wangu nakujua huna choyo,Mungu akuinue sana,
Coz ya care giver unaipata Alison online na unalipia
Habari shena mulize Alex akiwa canada ili apate PR anatakiwa awe na sifa zipi na akipata PR akitaka kuwa nurse awe na viambata vipi
Umesema Kweli.
Kuna utofaut gani WA ki financial katı ya Canada na marekani?.. mnisaidie jmn
Kaka naomba umjazie mwanangu
Naanzaje kupata kazi huko, kwasababu sina hata ndugu
Mambo?Mimi nipo dar es salaam na nimefurahia sana dada shenna kwa mambo mazuri unayotufunulia ili tusikate Tamaa.Kaka Alex natamani na mimi siku moja niwepo Canada maana ni ndoto yangu lakini nashindwa nipite njia gani.
Jamani naoomba namba ya huyu kaka Alex Karia tafadhali
Je Alex mdogo wangu huwezi kunifanyia makaratasi ya kuja Canada maeneo ya vijijini?
ki ukweli ni elimu nzuri sana
❤❤❤
Me nimeona nywele dada una nywele ndefu sana kama mzungu
Jamani hospice nimewahi kusikia kwa watu waliopata maambukizi ya ukimwi so pain😢
Hata wenye cancer na wenye magonjwa mengine tofauti tofauti
Mmmh kivipi ndugu??? Wakati kila mtu na chumba chake??
How are you
Nmependa alivyo muwazi wengine hawatuelezi kwamba izo kazi ni ngum na ukijaribu kuwauliza wanatia Kona Tu, asante kwa kutuleleza kwamba kuna suala la kubeba wagonjwa ili wenye kg 45 tujitathmini kama tutaweza kubeba watu migongoni😅
Mm naomba namba ya kaka Alex
Alex jamani❤😂😂😂😂
Shena nahitaji nipate hata conferences ya kwenda Canada au marekani ninayo passport tayari
Huyu kweli ni msabato bhna
sister mm naitaji visa ya kwenda canada nifanyeje