NAMNA YA KUFIKA CANADA | KAZI ZA CARE ZINAKUTOA KIMAISHA | CHUNGA MAISHA YAKO YA MTANDAONI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 май 2024
  • Alex ameeleza Safari yake ya kutoka Tanzania mpaka Marekani
    Ambapo alipoteza begi lake la documents zake Airport na kumfanya kukosa raha Marekani.
    Alirudi Tanzania baada ya kushinda DV lottery lakini kwa bahati mbaya hakuitwa kwaajili ya interview lakini alibahatika kupata Visa ya Canada na sasa anaishi Canada
    Anasema kazi za Care zinakutoa kimaisha endapo utakua na malengo.
    Thank you Alex for allowing this to be online
    www.oda.international

Комментарии • 223

  • @OfficialDatingAssistance
    @OfficialDatingAssistance  2 месяца назад +18

    TikTok: Alex_Karia

  • @jacquelinepalangyo412
    @jacquelinepalangyo412 Месяц назад +5

    Hakika huyu kaka Mungu amempa hekima kubwa sana,Mwenyezi Mungu amsaidie apate Mke mwema na amtangulize Mungu ktk hilo sana,nae atampa anachokistahili,nampenda mwanaume mwenye hofu ya Mungu sana,Mungu tukutanishe na watu sahihi ktk maisha yetu,hakika nimeipenda hii interview.

    • @deniskg310
      @deniskg310 8 дней назад

      Alex Karia namjua tangu ubungo kibangu, ni kijana mtanashati, straight forward, na amejaliwa vipaji vingi hasa uongozi.
      He is a good man, atafika mbali.

  • @angelamaingi817
    @angelamaingi817 2 месяца назад +5

    Asante sana mwanangu Alex Karia, mimi ni mama mtu mzima (71) ni likuwa naishi na mtoto wangu Califoni ,lakini sasa niko Syato.na shikilia mama mwingine kazi ameenda Kenya. Naatarudi. Mimi ni MTANZANIA.Naomba unipe number ya huyu mama MTANZANIA. ATANISAIDIA NIKO NA GREEN GARD TAYARI. UBARIKIWE AMINA

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 2 месяца назад +10

    Napenda kuangalia vipindi vyako but hii nimeipenda sana for me . Alex ameonge kijamii kiujana .ndoa ila yot ameeka mungu mbele ndio maana anafanikiwa .kufanikia not only material . Nafsi (Faith) 🇬🇧

  • @devothasimbi6495
    @devothasimbi6495 2 месяца назад +9

    Ahsante Shena kwa kutuletea mtu mwenye kunyoosha maneno hongera kijana ana nondo zenye mashiko.

  • @naomijoseph7749
    @naomijoseph7749 2 месяца назад +6

    Alex umenitia moyo Sana sana Barikiwa

  • @tabithadaudi5960
    @tabithadaudi5960 2 месяца назад +4

    Alex amemaliza,ameelezea vizuti sana yani,hayo mambo ya madawa ni jaribu kwakweli,nakumbuka niliacha kazi sababu hiyo sitaki kuua mtu mimi🤦🏼‍♀️🤦🏼‍♀️🤦🏼‍♀️🤦🏼‍♀️🤦🏼‍♀️🤦🏼‍♀️

  • @AikenAidan-wf6wy
    @AikenAidan-wf6wy 2 месяца назад +6

    Jamaa Ana Akili sanaa ✅💪🏽big up Alex

  • @user-kt3bb7mr4e
    @user-kt3bb7mr4e 2 месяца назад +4

    Dada shena binafsi nimejifunza mengi Sana toka kwa huyo kaka,pia nimefurahi sana kusikia yeye ni msabato jamani waoooo,mie nipo dubai na nimuadiventista msabato pia,kaka mungu akubariki sana

  • @mbarakamwayungu3485
    @mbarakamwayungu3485 2 месяца назад +6

    DADA,MUALIKE TENA ALEX ATUPE MADINI.

  • @verynicemoshi9959
    @verynicemoshi9959 2 месяца назад +5

    Vipindi vyako vinafundisha sana Mungu akubariki sana mdogo wangu

  • @naomijoseph7749
    @naomijoseph7749 2 месяца назад +6

    Dada ubarikiwe umetufunguwa macho sana

  • @huludaemmanuel8803
    @huludaemmanuel8803 2 месяца назад +2

    Kaka Alex Mwenyezi akubariki sana 🙏🏾, Dada Mungu akubariki sana pia🙏🏾

  • @user-cd2np5by6g
    @user-cd2np5by6g 2 месяца назад +6

    Nimeomba mwaka huu kwa EBM nimekosa na passport nnayo ila bado sijakata tamaa apa natak nichekeche nideal na summer camp chap kwa nichomoke 🙏🙏🙏

    • @BsekoMimi
      @BsekoMimi 2 месяца назад +3

      Iyo summer camp inakuwaje ndugu?

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 2 месяца назад +1

      Rajabu nakupataje ndugu

    • @edwardmkwelele
      @edwardmkwelele 2 месяца назад +1

      Green Card ngumu kupata lakini ukipata ni rahisi kwenda Marekani njia ingine rahisi ni kuoa au kuolewa

  • @kevinmushi8209
    @kevinmushi8209 2 месяца назад +6

    Sister unajua sana very smart question

  • @masatujustine-vh9xs
    @masatujustine-vh9xs 2 месяца назад +3

    Habari madaam naomba niunganishe na huyo jamaa,kwa sasa nipo qatar,ahsante.

  • @user-th8bo9lu8n
    @user-th8bo9lu8n 2 месяца назад +4

    Jaman hii live Jana nilikua Ata siijali kumbe ya Maan hivi congratulations waadventist

  • @dorothysista7463
    @dorothysista7463 2 месяца назад +2

    I am always a silent watcher. I watch you all the time. You aredoing a wonderful job to educate our people. Kazi nzuri sana Shena ubarikiwe sana

  • @elibarikimaganga9571
    @elibarikimaganga9571 2 месяца назад +1

    Asante sana dada Shena, yaani kwenye hii interview nimejifunza mengi sana

  • @lillyborah1060
    @lillyborah1060 2 месяца назад +7

    Hongera sana dada Shenna,hupenda sana kukufatilia kwa kipindi chako natoka Kenya 🇰🇪

  • @halimahassan3031
    @halimahassan3031 2 месяца назад +1

    Asante sana dada yetu Shena kwa kutuletea watu ili tujifunze, be blessed

  • @beatriceemanuel1098
    @beatriceemanuel1098 2 месяца назад +2

    Asante shena , asante Alex asante asante@shena

  • @rahabbrayson6552
    @rahabbrayson6552 2 месяца назад +1

    Good job Shena

  • @racheljoel-ry2gg
    @racheljoel-ry2gg 2 месяца назад +3

    hongera sana my brooo...

  • @aidaanatory9330
    @aidaanatory9330 2 месяца назад +3

    Dada Naomba huyu kaka anaweza kusaidia hata wengne kupata chance

  • @alhajiabed7479
    @alhajiabed7479 2 месяца назад +1

    Hongera sana intreview ipo smart sana

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele 2 месяца назад +3

    huwezi kumkuta mzungu kijana aje aoe Afrika hiyo ni fact

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 2 месяца назад +1

    Well said Alex 👏

  • @CatherineNyange-ku7yk
    @CatherineNyange-ku7yk 2 месяца назад +2

    Good interview 🎉

  • @NattiePeter
    @NattiePeter 2 месяца назад +2

    Nice interview ever….

  • @katumabiyan5090
    @katumabiyan5090 2 месяца назад +1

    My sister, how, are? You have done a very good innovation of enabling us to interact with our fellows brothers and sisters who are living abroad!!

  • @maryannaedward7764
    @maryannaedward7764 2 месяца назад

    Ubarikiwe kaka kwa kushare information ❤

  • @surveyor_dk
    @surveyor_dk 2 месяца назад +1

    This interview is very informative! Thanks dada Shenna

  • @Salumchiwili2023
    @Salumchiwili2023 2 месяца назад +1

    Aisee nimpe hongera sana brother aisee kweli amemshinda ebilisi

  • @miriamkakwezi7309
    @miriamkakwezi7309 Месяц назад

    Huyu kaka anaroho nzuri sana, siku moja niliingia live yake nikamuomba kunitafutia kazi marekani akaniambia fika marekani nitafute.. he is very good.. mungu atambariki sana sana...

  • @charlesmakelele4268
    @charlesmakelele4268 2 месяца назад

    Habari Madame,,, Asante kwa kutuletea Alex,,, kwa kweli amenitia moyo sn,,, naomba unisaidie namba yake ili niweza ongea nae baadhi ya Mambo.

  • @matthewsasali5632
    @matthewsasali5632 7 дней назад +1

    Wanaita 5 eyes counties Australia, Canada, New Zealand, the United Kingdom and the United States...wanashare their data "wanaita intelligence alliance"
    Uki-mess up in one of those countries umejifungia kote

  • @godwinaxwesso8726
    @godwinaxwesso8726 2 месяца назад

    Shena you are doing great

  • @ImaniFamilyChurch
    @ImaniFamilyChurch 27 дней назад

    Good presentation very truthful Person.

  • @prophetessbahatikashasha3858
    @prophetessbahatikashasha3858 2 месяца назад +1

    Hongera sana dada
    Alex shukrani sana
    Ila naomba namba yako
    Nahitaji msaada wako

  • @cookiegurl7780
    @cookiegurl7780 2 месяца назад +3

    Kazi nzuri sana hii dada yangu mimi nipo uganda 🇺🇬 katika kambi ya wakimbizi ni mtanzania

    • @beatriceemanuel1098
      @beatriceemanuel1098 2 месяца назад

      Unandoto gani embu nipo tips mwenzio

    • @olivernyange2349
      @olivernyange2349 3 дня назад

      😂😂😂😂😂😂 mbavu sana uko uganda,we ni mtanzania!!! TANZANIA Kuna shida gani hadi uitwe mkimbizi

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 2 месяца назад +2

    Asante 🎉🎉

  • @NancyPeter-pf3js
    @NancyPeter-pf3js 2 месяца назад +2

    Nibiashara ipi ambayo leseni yake or tin yake itanisaidia katika kupata visa nipe mfano tafadhari Ili niwe na aidia

  • @sophiarwehumbiza209
    @sophiarwehumbiza209 2 месяца назад +2

    kwa kweli tangu nimejifunza mengi kupitia hii channel asante Shena🥰🥰🥰🥰🥰

    • @VictaMfumbilwa
      @VictaMfumbilwa 10 дней назад

      Dada shena Kwa kweli nimejifunza mengi nifanyaje

  • @ChadoraMANYENGA
    @ChadoraMANYENGA 2 месяца назад +1

    Alex Kakaaangu Sio Mchoyooo Huyu ! Sisi Bado Tupo Marekani Tunalea Wezeee Mpaka Kieleweke❤

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  2 месяца назад +1

      Karibu sana kwenye kipindi tupate kujifunza pia +4367764790884

    • @wasilaahmad7913
      @wasilaahmad7913 2 месяца назад

      Tuunganisheni na sisi jaman mimi nipo Oman kwa sasa 😢😢😢

    • @ChalaS-uk7kb
      @ChalaS-uk7kb Месяц назад

      Mm nipo oman nataka kwenda Canada tusaidieni connection

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita 2 месяца назад +2

    Huyo binti mdogo mwenye miaka 30 bosi nahisi kama namjua hahahaha 😂 nice interview

  • @bajunimgunya8559
    @bajunimgunya8559 Месяц назад

    Alex umetisha sana...umefunguka sana babu

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 2 месяца назад +1

    Mh! Kazi ngumu sana care giver 😢🙌

  • @angelinamachibya-nb8sh
    @angelinamachibya-nb8sh 2 месяца назад +4

    Nataka nijue pr ya Canada alipataje

  • @drsamsonkibona371
    @drsamsonkibona371 2 месяца назад

    Da sheina hongera. Na huyo Alex dini au Imani yake ni yangu pia. Nami ni mshauri wa vijana na ndoa, kwa kuwa nimemwona ni mtu sahihi na hofu ya Mungu naweza hata kumwelekeza mabinti wenye tabia ya kufanana naye achague. naomba umpe contact yangu nimchekeshe kidogo.

    • @LinahRwambali
      @LinahRwambali Месяц назад

      Shkamoo doctor. Nadhani kama unaangalia habari hizi za online dating platforms inaonekana una mtazamo chanya kuhusiana nazo. Naomba andaa kipindi uelezee faida na hasara na jinsi ya kujilinda na chagamoto za online dating kama itakupendeza.

  • @jumamtepa7424
    @jumamtepa7424 Месяц назад

    Naitwa Juma, ni muislamu, napenda sana urafiki na wasabato, nimepemda sana elimu yako, hii ni sadaka uliyoitoa

  • @Big-oc8wl
    @Big-oc8wl 2 месяца назад

    Dada nakufuatilia sana upo powa sana Kwa taalifa zako.ila kiukweli natamani sana kufanya kazi uko Canada and us.

  • @AmbroseMwanganyi
    @AmbroseMwanganyi 2 месяца назад

    Pongezi dada kwa kazi njema,niko kenya naomba emeil address ya Kaka Alex.

  • @paskalnakiru
    @paskalnakiru 2 месяца назад

    Mungu kubariki Dada

  • @WandishaNatianota
    @WandishaNatianota 2 месяца назад

    Kazi nzuri Shena. Mimi niko Marekani Columbus Ohio. Naomba namba ya huyu kaka nna changamoto kidogo

  • @AndrewAloyce
    @AndrewAloyce 2 месяца назад

    Hakika umeweza....
    Hayo ndiyo mahojiano tunayoyahitaji watu ambao tunajitafuta.
    Hongera Dada
    I wish nipate namba ya huyo KAKA.... Sijajua wewe naweza KUPATA muda wako lini na saa ngapi Ili nipate mwanga zaidi maana huyu amesimulia. 24:44

  • @user-eg9wt1vc4z
    @user-eg9wt1vc4z 2 месяца назад +2

    Jamaa Kutusanua sna

  • @amanamohd-bo8ih
    @amanamohd-bo8ih 2 месяца назад +4

    Natam kwend canda lakn wat hawaamin kuwao pesa jamn dad kam unawatu waamif naomba tuwasilian please 🙏

    • @Summerbtz
      @Summerbtz 2 месяца назад

      Dada kama financially upo vizuri karibu nitakusaidia kufanya application ya visa hata ya matembezi au hizo za conference ukishafika huko basi ndio mwanzo WA kupata connection zingine

    • @ChalaS-uk7kb
      @ChalaS-uk7kb Месяц назад

      Nataka hata mm

    • @ChalaS-uk7kb
      @ChalaS-uk7kb Месяц назад

      Jamani nipo oman narudi mwakani natamani niende Canada nataka mtu muaminifu anisaidie

  • @user-iu1qq3kp3m
    @user-iu1qq3kp3m 2 месяца назад

    Bro anaongea fact 💯 san

  • @MaryamMohamed-xy8ti
    @MaryamMohamed-xy8ti Месяц назад

    Mungu awabarki munaokahuko muwena maishamema

  • @irinefrank3114
    @irinefrank3114 2 месяца назад

    Dada shena nitakupataje for more information from Tanzania

  • @nurumwangoka5924
    @nurumwangoka5924 2 месяца назад +2

    Jamaa anajua kujieleza ,,ana madini

  • @yohanakiongo5094
    @yohanakiongo5094 Месяц назад

    Hongera sana kaka na mimi ni msabato mwenzako nina dream ya kuja uko naomba namba ako niweze kuplay green card

  • @paulaugustino3242
    @paulaugustino3242 21 день назад

    Alex mwamba sana katoa nondo kali na pontetial

  • @user-th8bo9lu8n
    @user-th8bo9lu8n 2 месяца назад

    Jaman kaka wewe msabato waoo❤❤ ngoja na kutafta 😂😂😂

  • @marygeorge3896
    @marygeorge3896 2 месяца назад

    Mi napenda sana

  • @sarahkalinga2522
    @sarahkalinga2522 2 месяца назад

    ❤da Shenaa jmn please nisaidie mimi nije huko

  • @AndrewAloyce
    @AndrewAloyce 2 месяца назад

    Hakika umeweza....
    Hayo ndiyo mahojiano tunayoyahitaji watu ambao tunajitafuta.
    Hongera Dada
    I wish nipate namba ya huyo KAKA.... Sijajua wewe naweza KUPATA muda wako lini na saa ngapi Ili nipate mwanga zaidi maana huyu amesimulia... 24:44 24:44 24:44 24:44 24:44 24:44 24:44

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 2 месяца назад +1

    Dada mwambie Alex kwamba iyo invety ya wasabato anitumie Link yake

  • @user-mf2jf6dp7z
    @user-mf2jf6dp7z Месяц назад

    Nakubali sana jamani

  • @NeemaShababi-nu8dr
    @NeemaShababi-nu8dr 2 месяца назад +1

    Hongera kaka nimefurahi kusikia wewe ni msabato

    • @NeemaShababi-nu8dr
      @NeemaShababi-nu8dr 2 месяца назад +1

      Napataje msaada wako tafathali msabato mwenzio

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 2 месяца назад

    Mtani wangu umevipiga vita vikali hongra sana mpambanaji Mungu akulinde

  • @HelinaMsese
    @HelinaMsese 4 дня назад

    Wao jaman nimejifunza kitu kikubwa sana

  • @user-pg4nl3fo8y
    @user-pg4nl3fo8y Месяц назад

    Jamani dada Shena naomba no.ya Alex ili aweze kumuongoza Mr.wangu naye anapambana aende Canada

  • @shinestudiotz3221
    @shinestudiotz3221 2 месяца назад

    Hello sister naweza kupata no ya Ofisi yako ili tuweze kuwasiliana, niko na ndoto ya kwenda

  • @anisiamchembe6552
    @anisiamchembe6552 2 месяца назад

    Huyo kaka wa kanada naomba tu namba yake❤

  • @MaryamMohamed-xy8ti
    @MaryamMohamed-xy8ti Месяц назад

    Alex naomba yako tuweze kuwasiliana

  • @user-is7ot7bq9x
    @user-is7ot7bq9x 2 месяца назад +2

    Why mtu ujiguse masikio afu utie kidole puani

  • @ASHURAAMANZI
    @ASHURAAMANZI 2 месяца назад

    I love You Tube very much

  • @jackmalipo4774
    @jackmalipo4774 2 месяца назад

  • @dorothysista7463
    @dorothysista7463 2 месяца назад +7

    Pia shida nyingine kuhusu caregiver Tanzania walitoa hiyo course ya nursing assitant, course hizo zipo Kenya na zinawaptia njia ya kutoka. Pia wa TZ ndugu zangu tukazanie lugha ya Kingereza kinatuangusha sana. Nenda RUclips au google ufanye mazoezi ya lugha. This is from my own experince. From USA

  • @ZuleykhaIsmail-rc5ly
    @ZuleykhaIsmail-rc5ly Месяц назад

    Habari shena mulize Alex akiwa canada ili apate PR anatakiwa awe na sifa zipi na akipata PR akitaka kuwa nurse awe na viambata vipi

  • @JrNsummy-xk8xe
    @JrNsummy-xk8xe 2 месяца назад

    Umesema Kweli.

  • @sabriwayee4180
    @sabriwayee4180 2 месяца назад

    Kuna utofaut gani WA ki financial katı ya Canada na marekani?.. mnisaidie jmn

  • @annahmakabara3049
    @annahmakabara3049 2 месяца назад

    Kaka naomba umjazie mwanangu

  • @AgrimAbdi
    @AgrimAbdi Месяц назад

    Naanzaje kupata kazi huko, kwasababu sina hata ndugu

  • @maryjoseph8914
    @maryjoseph8914 2 месяца назад

    Mambo?Mimi nipo dar es salaam na nimefurahia sana dada shenna kwa mambo mazuri unayotufunulia ili tusikate Tamaa.Kaka Alex natamani na mimi siku moja niwepo Canada maana ni ndoto yangu lakini nashindwa nipite njia gani.

  • @justinatemba
    @justinatemba Месяц назад

    Jamani naoomba namba ya huyu kaka Alex Karia tafadhali

  • @godwinaxwesso8726
    @godwinaxwesso8726 2 месяца назад

    Je Alex mdogo wangu huwezi kunifanyia makaratasi ya kuja Canada maeneo ya vijijini?

  • @Samwelianaseti
    @Samwelianaseti Месяц назад

    ki ukweli ni elimu nzuri sana

  • @OmanOman-pf9ut
    @OmanOman-pf9ut 2 месяца назад

    ❤❤❤

  • @aronjohn8818
    @aronjohn8818 2 месяца назад

    Me nimeona nywele dada una nywele ndefu sana kama mzungu

  • @talentshow2024
    @talentshow2024 2 месяца назад +1

    Jamani hospice nimewahi kusikia kwa watu waliopata maambukizi ya ukimwi so pain😢

    • @evakabete2944
      @evakabete2944 2 месяца назад

      Hata wenye cancer na wenye magonjwa mengine tofauti tofauti

    • @mwanonomohamed4688
      @mwanonomohamed4688 2 месяца назад

      Mmmh kivipi ndugu??? Wakati kila mtu na chumba chake??

  • @fletchamuhalia9103
    @fletchamuhalia9103 2 месяца назад +1

    How are you

  • @LinahRwambali
    @LinahRwambali 2 месяца назад

    Nmependa alivyo muwazi wengine hawatuelezi kwamba izo kazi ni ngum na ukijaribu kuwauliza wanatia Kona Tu, asante kwa kutuleleza kwamba kuna suala la kubeba wagonjwa ili wenye kg 45 tujitathmini kama tutaweza kubeba watu migongoni😅

  • @yonnesmwakyusa
    @yonnesmwakyusa 2 месяца назад

    Mm naomba namba ya kaka Alex

  • @Jeff_Tz
    @Jeff_Tz 2 месяца назад

    Alex jamani❤😂😂😂😂

  • @godwinaxwesso8726
    @godwinaxwesso8726 2 месяца назад

    Shena nahitaji nipate hata conferences ya kwenda Canada au marekani ninayo passport tayari

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 2 месяца назад

    Huyu kweli ni msabato bhna

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s 3 дня назад

    sister mm naitaji visa ya kwenda canada nifanyeje