Imenikumbusha mbali sana…kipindi nimemaliza form 6,na hasira zangu za kwenda mbele…chochote kinawezekana nilifanikisha kwenda UK,nimesoma na ndoto yangu ilikuwa shule na kurudi,nilifanikiwa nikapata vyeti vya mama Eliza nikarudi bongo,na sasa maisha sio yale ya zamani..Ashukuriwe mwenyezi Mungu ila kila kitu kinawezekana
Wa mkoa tupo pamoja napenda mtu wa kujiongeza cio mtu unazaliwa iramba unazekea hapo hapo fanya kazi kakaangu utafika mbali sana kwa mapito yako uliopitia mimi niko oman 🇴🇲 na tupambane watu wa singida❤❤❤
Nimempenda bure huyu ndugu yangu mnyaturu mwenzangu anajielewa sana. Yaani ni Genius sana. Mungu amsaidie namshauri atulie kwenye ndoa yake asidanganyike . Wazeeke pamoja
Hello brother yani umeni inspire saaana blessing to you uko vizuri sana mpambanaji na hakuna kizuri bila ku harsal Ndoto yangu kupitia wewe naona itatimia na naamini Mungu ataniwezesha.
Marekani watu wanatamani kufika kwa maneno Ila kk umeipambania ndoto kwakweli watu wasitume DM tu kuomba kufika🇺🇸pia wajitume binafsi Marekani is home of opportunity 🇺🇸💪🏻
Hongera sana Shena kwa kazi zako nzuri Sana. Nakutuletea interview nzuri, hongera kaka wewe ni mpambanaji kwa unajiamini hicho ndicho kilichokusaidia. Hongera sana ubarikiwe unakichwa chepesi chenye kupambanua mambo.
Dada umemleta mtu mhimu kwangu ananipa nguvu ya kusonga mbele pamoja najuwa sina elimu alafu umri wangu makubwa Ila safari yangu ya USA CANADA au ulaya IPO jirani ubarikiwe sana mpaka watu washangae
I need to your email address pls or namba yako nipo California tuna program hapa ya sports Exchange Program kama utakuwa na muda nataka tuongee sema bado kidogo ila ukinipa email nitakutext pls
Kama una talent ya music USA si ndo kwake usiache utatisia hapo hapo inshallah kheri watafute wakina roma wezako uweke madude kwenye platform utatisuwa tu
Yaan Airport ya Tz ni kingese sana mim nimewapa passport wanataka eti kitambulisho cha kazin kwangu niliwajibu tu passport ina contains all details hadi NIDA hipo humo
This guy is a story teller na mpambanaji haswa. Big Up sana kijana. The sky is not even a limit
Asante sana Dada kwa kipindi hiki,asante sana kaka umejieleza vizuri sana hongera kwa kupambana.na mimi nipo uku U.S.A
Upo mjigan dada yangu
Yeah mwana kupambana sn aisee
Hongera sana kwa kutupa moyo! Ss pia tunapambana kutafuta USA inshaALLAH.
Imenikumbusha mbali sana…kipindi nimemaliza form 6,na hasira zangu za kwenda mbele…chochote kinawezekana nilifanikisha kwenda UK,nimesoma na ndoto yangu ilikuwa shule na kurudi,nilifanikiwa nikapata vyeti vya mama Eliza nikarudi bongo,na sasa maisha sio yale ya zamani..Ashukuriwe mwenyezi Mungu ila kila kitu kinawezekana
Oya tupambane wanangu lla bongo watu wachawi sn especially mitaa yt tuliokulia mamae zao ss hv wanatumiss
Msikate tamaa hadi kieleweke
Wow nndg yangu wa singida hongera sana
Masifaa Mengii kumbe una miaka 2jamn
Big inspiration;keep trying as much as possible
Nimefurahi sana kusikia mnyiramba mwenzangu umetoboa🎉 Alhamdulillah m/Mungu akuzidishie inshaALLAH!
Waooo Story yakutufanya tuamke sasa. shukuran sana Sheina 🙏
Nice interview, wasingida Mwenzangu, karibu Frankfurt Germany!!
Tu nafrahi kuwaona wanasingida wenzetu mpo mbali mbarikiwe umsaidie na wengine
Wajefya
@@BIGBOSS-hl3bu honger mhaja
Habari ikkje umufanga
Big up mwanangu. Kukata tamaa ni dhambi. Umemheshimisha Mungu kwa ajili ya kuitafuta furaha ya kesho yako
I like your confidence, I proud of you
Kwel kabisa yaan tunashukuru sana kwa Elimu hii nimejifunza kitu leo🎉🎉🎉
Wa mkoa tupo pamoja napenda mtu wa kujiongeza cio mtu unazaliwa iramba unazekea hapo hapo fanya kazi kakaangu utafika mbali sana kwa mapito yako uliopitia mimi niko oman 🇴🇲 na tupambane watu wa singida❤❤❤
Niko Tanzania naomba mawasiliano Yako da zainabu, natamani sana kufanya kazi njee ila Sina connection na watu. Zaid ya kufuatilia interview za shena.
Jamani jamani wilaya moja na mm mkalaa aiseee ndugu yangu wa mkoaa
Nitafute nitakuonyesha njia za kupita ila uwe unamaanisha uchokisema@@NeemRamadhani-j8h
Nimempenda bure huyu ndugu yangu mnyaturu mwenzangu anajielewa sana. Yaani ni Genius sana. Mungu amsaidie namshauri atulie kwenye ndoa yake asidanganyike . Wazeeke pamoja
Hii nzuri sana jamani, kupambana ndo msingi was maisha, naomba mawasiliano yake mnyiramba wa Ome kwetu jamani da shena🎉🎉🎉❤❤❤
Watu ulaya hatutowagi no kirahis hv km unavozani maana wabongo mnapendaga watu wakiwa na kitu tu
Hongera sana mdogo wangu kwa kupambana ALLAH AKUPE SUBRA Kwa kila mtihani maana mafanikio nilizima ukutane na mtihani kila kheri
Thanks for this opportunity. It was so amazing to me, and I'm glad to be the person to interview with you. God bless you 🫶🏾
Hongera, nice interview wasingida mwenzangu,, karibu Frankfurt, Germany!
Thanks for coming brother 🙏
Hello brother yani umeni inspire saaana blessing to you uko vizuri sana mpambanaji na hakuna kizuri bila ku harsal Ndoto yangu kupitia wewe naona itatimia na naamini Mungu ataniwezesha.
Marekani watu wanatamani kufika kwa maneno Ila kk umeipambania ndoto kwakweli watu wasitume DM tu kuomba kufika🇺🇸pia wajitume binafsi Marekani is home of opportunity 🇺🇸💪🏻
📌
Noma san
Mwamba anastahili Nyota mabegani.
oi n Aje #AfandeMshana umemuna #Blackmwenze2
Karibu mdogo wangu Karibu Miami,Karibu sana wasingidababa hongera sana
❤❤
Hello mambo vipi . Unaendeleaje. Am Miriam from Tz arusha
Congrats 👏
I like your openness and for being courageous 🎉
Keep going never give up because of people talking.
Hongera sana kaka hukujifanya born town ❤❤❤
Yani ni mzuri.🎉🎉🎉
Watu wengi Sana wanarudishwa JK international airport, big up sana brother
JF?
Wasenge sn pl mamae zao
Allah akishakadiria jambo lake katu binadamu hawezi panguaa
4 sure mwanangu
Dah hyu jama story yake maisha kapitia mkubwa sana @@OCHUMASIHI
Hii interview ni nzuri sana
🎉🎉🎉🎉🎉 interview nzuli sana
Much appreciation dada. Tunaomba next time tuletee D Nyota kama itawezekana 🙏
Nikienda na Uber nikarudi na bajaji….Duhhh, hiyo imenigusa. Bigup sana Blacky for your determination, efforts and a go to work mentality.
Hatari sana
Hongera sana Shena kwa kazi zako nzuri Sana. Nakutuletea interview nzuri, hongera kaka wewe ni mpambanaji kwa unajiamini hicho ndicho kilichokusaidia. Hongera sana ubarikiwe unakichwa chepesi chenye kupambanua mambo.
Karibu sana New York ndugu yangu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
From baltimore maryland here nacheka unavyojieleza kupigwa nakitu kizito hahah wabongo nishiidaa kua msiri mambo yako yanaenda bien
Hiyo kazi ya kuosha vyombo ni ya maana sana kulikoni usingekuwa unaingiza chochote.. very proud of u bro
Madini mengi hii interview 🙏🏻🙏🏻
mbona ulet ma content upo kimya Awadh
Safi sana kaka
hongera sana Kijana
Black singapole safi sana
😂😂😂😂 nmeifurahia saana hii story sheena ❤❤❤❤
Napendaga Sana hizi interview jomn 7bu zinanifunza mambo mengi mnooo
Glad to hear
Dada umemleta mtu mhimu kwangu ananipa nguvu ya kusonga mbele pamoja najuwa sina elimu alafu umri wangu makubwa Ila safari yangu ya USA CANADA au ulaya IPO jirani ubarikiwe sana mpaka watu washangae
Kakamkuu hata mim safar ipo jilan
I need to your email address pls or namba yako nipo California tuna program hapa ya sports Exchange Program kama utakuwa na muda nataka tuongee sema bado kidogo ila ukinipa email nitakutext pls
@@OfficialDatingAssistance Mambo sister pls nitumie email yako
Wasingida tujuane hapa jmn ila hii ndoto ya kwenda ma mbele inatusumbua weng sana mng atunyanyue na atutunuku tuzitimize😊
Mie wa singida mwenzio
Respect kwako kaka
Black Singapore noma sana babu
Dah .jamaa wa gumanga mm nipo ndugut mkalama..hongera
Aisee jamaa umepambana kweli kweli bro kikubwa nimependa uliamin kwenye kila kitu chako iman iyo iyo imekufikisha hapo na itakufikisha mbali sana
Inspiring :)
Hongera sana Blacksingapore!
yaan story ya kusisimua kweli asante kaka
Umeyawezea maisha kaka hongera
Pole mwanetu , kweli tunatoka mbali
Huyu kaka MashaAllah mjasiri sana big up Black Singapore
KAZI nzuri bro kusaidia eatazania
yupo vizuri sana
Hongera sana Shena Story ya brother inatia wengi moyo.
It's marvellous
Hii interview mzur jmn mashaallah
Miami boy nimependa story yako Mungu akufanyie wepesi ufike Marengo yako
Hongera sana
Ndugu yangu Wa Singida
Jamaa namkubali sana. Kwenye cm yangu Nina videos zake za tik tok km zoteee
Kwa kweli mimi nafikiri wilaya nzima wewe ndiye wa kwanza. Kama nimekosea nisameheni. Vijaa sana
Leo safi sana umetuletea kidume wadada story zao zilikuwa zinafanana
Kip going bro
Big up
From Zero to hero🇹🇿💯
Da shena interview zako ni nzuri mnoo
This bro made my day😂😂,
Kwa kweli we kinganganizi kweli wa maisha
Interview nzuri sana hii bro keep goin up
Broo appreciate San
Nice
Upo wapi Harlem, Queens, Jamaica,.... etc?.Mimi nilikuwa bowery (China Town) Manhattan NYC the big apple 🍎
Umepambana sana kutimiza ndoto
Hii amesema kweli kabisa, Airport za Tz wana makusudi sana.
Nimeangalia mwanzo mwisho. Good
Shena Mungu akubariki sana..
Yaani mimi ndo nawaza kuwa itawezekana na lugha ina babaisha?
Ila ngoja niende shule.
Brother alimove na sisi inshallah tutamove😂😂
❤❤
Kama una talent ya music USA si ndo kwake usiache utatisia hapo hapo inshallah kheri watafute wakina roma wezako uweke madude kwenye platform utatisuwa tu
Mdogo wangu wa kwetu GUMAMGA wewe ni mpambanaji. Wanyiramba tunajivunia kuwa na watu jasiri kama wewe.
Hapo kwa mistimu ya umeme nilikutananazo hzo ajira , nikutembeza mabeseni au mahotpot tu ukikosa hapo sabuni za aloe vera
Pole sana kaka lakini kuweni making sana na security wa Airport wanakuwa hawana haki ya kukuzuwiya wao siyo kazi yao
Uyu kaka nimempenda yan ananichekesha interview nzima
Nimejifunza kitu kikubwa jamaa anajua kujieleza sana
I always love your interview, Sis Shena❤🇹🇿
Thanks so much
@@OfficialDatingAssistance❤
Dig, hi ya kuzuiwa airport ilishanikuta, nimezuiliwa eti sina cheti cha kuzaliwa
Yaan Airport ya Tz ni kingese sana mim nimewapa passport wanataka eti kitambulisho cha kazin kwangu niliwajibu tu passport ina contains all details hadi NIDA hipo humo
HAKUNA KITU KIZURI KM KUJIAMINI. NDICHO KILICHOKUSAIDIA MDOGO WANGU. HONGERA SANA. MUNGU AKUSAIDIE NDOTO ZAKO.
Black Singapore is one of my favorite RUclipsr. I lobe this interview
Ooo pamoja kaka m mwenyewe wa mkalama ikungu
Nimeipenda sn kka
Da shena Yan mimi haipiti siku Bila kupitia hii account yako inamadini mengi ❤️
Shukran kaka
😂😂Mm ni dada mpenzi
Mimi nimependa sana nampataje sasa
Mbona huko marekani tunaambiwa kazi kibao why aombe nyingi hivo kabla hajapata..mpaka kapata ya kuosha vyombo...ila yote maisha big up
Mmh
Umesikiliza vizuri kweli ?
Hyooo anafikili USA hakuna watu
Manager wa snura anaitwa HK (Hemedy Kavu)
Hyper man HK
Karibu Florida Miami ndugu
😂😂😂😂kaka anaonekana ni mcheshi sanaa
Airport ya bongo washenzi sana sijui ni roho mbaya but all in all kama imeandikwa hakuna wakuzuia 🙏
Wacha matusi.bwege nn
Upo sawa mzee wa Singapore,unatuwakilisha wa singda abroad
🥂🥂🥂🥂
Naomba jamani hiyo website ya Facebook plz
Black unitafte Singapore pls nitafuteee pls
Asante
💪💪💪
Mm pia natamani ufiki marekan likn sijuh nahanzia wap
Mwamba kumbe kupambana sana katika haya maisha mahasla tupo wengi aisee acha avimbe New York 😅