MIAKA 22 SASA BABA MKWE HAJANIAFIKI | MAHUSIANO YA BARUA | NILINYIMWA KAZI KISA MIMI NI MUAFRIKA
HTML-код
- Опубликовано: 1 фев 2025
- Joshua ni Mtanzania ambae alikutana na mke wake kutoka shuleni Kigoma na alienda Ubelgiji kwa lengo la kujiendeleza kimasomo na kuendeleza mahusiano yao.
Lakini alikutana na changamoto nyingi zilizofanya apoteze takribani miaka mitatu akihangaikia ndoto yake ya kusoma degree.
Alikutana na ubaguzi wakati akiwa anatafuta kazi na ameeleza changamoto kadha wa kadha za kuishi ughaibuni.
Thank you Joshua for allowing this to be online
www.oda.international
My brother Josua ameeleza Story yake vizuri sana,very smart guy,na anajua msimamo wake👍🏾lakini nimecheka sana 😂😂😂
Maongezi mazuri sana kusikiliza. Kaka anajitambua hadi raha nimempenda mno.. Asante Shena na Joshua.
Asante sana kwa kutoa advice kwa wale wanaodhani Ulaya ndio kila kitu na wale wanaume wanaodhani kazi za nyumbani kama kupika, kusafisha nyumba ni wanawake. Ubarikiwe kaka 🙏
Joshua umenichekesha kweli kuhusu taarifa za kweli. Big up umeonyesha ulisoma Kwa wakatoliki has. Ubarikiwe
nimebahatika kuishi ubelgiji analozungumza juu ya ubaguzi ni kweli upo na kupata kazi kwa mgeni ni issue sana...hongera kwake kwa uvumilivu.>
Karibu sana kwa kipindi tupate kujifunza kupitia experience yako +4367764790884
Miaka 20 still kiswahili Bado Cha kigoma. Safi Sana kaka
Yani balaa haswa
Thanks Joshua, nimejifunza mengi. Hata mimi story ya mswedesh imenishangaza sana
Mpo vizuri mgeni n mcheshi na anajua kuelezea Host kama kawaida hujawai kuboa 😍😍my fav channel huku yutubu
😂😂😂😂😂😂😂Nimempenda kaka Joshua,kwanza Nimemuelewa alafu nimejifunza kitu alafu nimefurai sana mana nimecheka sana🥰🥰🥰
Beautiful love story ❤.Hii tofauti sana na ile ya juzi. Pole sana na kuanza chuo Kweli Dutch ni lugha ngumu sana .
Yule wa juzi yuko sahihi anajitambua na amepata anachotaka jifunze kuheshimu mitazamo ya watu
Kaka umenyoosha maelezo kweli kweli. Hii interwiev imevutia Sana 🔥🔥🔥👌👌👌👌
Safi sana Joshua mm nimependaa ujiwekii Kaa tunao waona yes yah it's
Upo sawa
Joshua 'Mwakeye' umeongea ukweli mtupu, jamaa wakienda nchi za watu lazima wa adjust halafu pia una moyo wa huruma, huyo Mnigeria umemuokoa. Asante Shena kazi yako ni nzuri.
This is the best interview that's educative, I've learned more things.
Endelea kuelemisha watu wajue Siri ya maisha ya ngambo ama uzunguni hasa.
Congratulations. Boke from Kenya watching
Hongera Joshua. Mungu alikuchagulia mke mwema. Story yako ina mvuto wa aina yake. Ubarikiwe sana.
Hongera joshua m nasoma Dutch online soon inshallah nitatokea huko nko na mualiko
Asante sana shena kwa kumleta kwetu Kaka Joshua .....hakika tunajifunza🎉🎉🎉
Great interview kaka Joshua, 👍 👏. " wewe kama unaogopa nipe hiyo visa niende mimi " 😅😅 Wabongoo😅 wanafikiri Ulaya ndio mwisho wa matatizo😅
🎉🎉 hongera interview ni nzuri sana kwa kaka joshua
Kuuliza ghalama, kweli hiyo ni altitudes ya kiume asante Bro. Joshua, maanake sijaona kwa interview za akina Dada.
Hii fungua Mwaka Hongera sana Joshua
Daaaa maisha jamani. Ulianza vizuri mwenyewe maskini. Ila hongera sana na mpambano kaka Joshu
Hongera Kaka, umeongea MAPOINT SANA, wadada wenye wazungu acheni kujidanganya eti mimi sifanyi kazi napewa card natumia pesa ninavyotaka 😂, SOMENI, FANYA KAZI, BUSINESS.Ukiona Mzungu anakuacha ukae tu ujue anaogopa ukichakarika utakuwa mjanja.
Sanamu yako pls🙌
@@dayana5513story😂huwa nawasikiliza tu mitandaoni wanajazana ujinga, watakuja kukumbuka kujifunika shuka kutakuwa kumeshakucha 😂
@@homeandaway2811 😆
@@homeandaway2811mmmmh aiseeee daaaah uko na ujinga
@@homeandaway2811kweli kabisa hawajui walitendalo eti mzungu wangu hataki nifanye kazi hawajui kama wanajipotezea kesho ukiriya utatumia nini wengi hawajielewi ndio hao bibi anaumwa,shangazi kakatika mguu nataka hele ya kumnunulia piopio wanajazana ujinga
Story nzuri sana hongera sana kaka
My brother Josua nimekukubali umetoa elimu ya kutosha
Yaani nimecheka leo.Aki maisha ni safari ndefu.
😂😂😂
Safi sana nimekusoma vizuri maelezo yako ni mazuri
Wow. Asante kwa Interview nzuri
Joshua nimekufutahia kwa mwanzo wako wa mahusiano.hukuwa mwepesi hiyo ilikusaidia sana mubelgiji kukuelewa zaidi.it is interesting
Ubaguzi upo kila sehemu. Watoto wangu mara ya kwanza kubaguliwa ilikua Tz Yani mpaka Leo sita kaa nisahau hii Siku. Na ndio Siku niliyo gundua kua ubaguzi upo kila sehemu kama ulivyo sema kaka Joshua hata Sisi wenyewe kwa wenyewe tunabaguana hata ndugu kwa ndugu tunabaguana.
Wow story nzuri sana.
Such an inspiring story👌
Gefeliciteerd broer, God is goed alle tijd.
Very nice interview 👍 👌
Interview nzuri nimeipenda.
Da shena asante sana kwa kumleta uyu mbamba maana nimecheka mbavu zangu mie jamani 😂😂😂😂😂😂
Asante kwa darasa
Mzee wa eye contact, safi sana. 😄
Kaka Joshua bado bado yanki ana mwili mzuri sana Dongo lake zuri Aongeze mke basi wa kibongo nguvu bado haijatumika vizuri😅
Asante sana kwa somo Hakika nime jifunza
Msimamo man!!!! nimependa sana behaviour and character yako safi sana broo
at 1:54:30 hapo jamaa kagonga kwenye point, hii ipo marafiki including mama mkwe wana maswali mengi ya nguoni sana wanataka wajue mpango makakati na binti yao kama hauna wataanza kukupunguza taratibu. Huyu jamaa inaoneka amesha sana na wazungu anawajua nje ndani
Sisi waha kuja kubadili assert zetu kazi sana.
Uyoo mkuu wa shule yupo vizuri sana.
Uyu kaka yupo vzr anajitambua wengine mbwembwe nyingi
Asante nimependa
😂😂😂 nimecheka kweli kaka Joshua upo vizuri
58:00 shena ulivyocheka umependeza saaaana😂😂
Katika interview nilizoinjoy hii ni moja wapo mana tumeanziwa high-school mpaka Belgium sio mchezo😊 nimempenda kaka Joshua natamani aje tena
Jaman nimependa hii story na nimejifunza vitu vingi
Mapenzi ya zamani yalikuwa mazuri
Hadithi nzuri mno,
Wa kwetu Kigoma 😂😂😂 mmenifurahisha kwa kweli, mazungumzo mazuri sana. Hongera sana kwa ujumla. Mmepambana sana, mwendo huo huo. 😆 🤣
😂😂😂😂😂apewe maua yake kaka Joshua 🎉🎉🎉🎉🎉
Namie nipo ubeljiji natokea kigoma😊
Mie napenda kupika....napika chips kuku 🤣
Big up kijana umeongea point
Kipindi kizuri sana❤
Nzuri
Nimependa ako kama anaishi Kigoma tu, lugha yake. Mkuu alikuwa hana ubaya
👏👏
Nimependa story , anachekesha Sana 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 kaka anazunguka huyu jamani hahahaa seminari tunajuana , 😅😅😅😅 But shena hongera kwa kuwa mtulivu kumsikiliza huyu mbaba ,
Ukweli baba Mimi nimekaa na umalaya na umarekani. Luga na utamaduni zao ujifunze.muangalie sasa
Hongera, ila unakutana na hawa wapuuzi amekaa miezi 2 nnje kashabadilisha rugha mjifunze kwa huyu mkigoma 😂
Kupatwa kwa muha na mzungu😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Eye contact😂😂😂😂😂
@Official Dating Assistance hiyo rafiki yake naye mtafute atupe uhondo na mwenyewe.
Hahahah lafudhi ya kiha bado ipo mule mule😂😂😂.. Raha sanaaaa
Kaka Joshua nimependa interview yako
Nmekuelew xn pia nmependa xn hujapoteza lugha yako kaka nmexkiliza interview nyingi weng ni uzungu xn neno moja kingereza nmependa kusikia kiswahili safi pia rafuz ya kigoma kwer nmefurah shena tafuta watu kama hawa
Ila na wewe sasa hizi “x” katika kila “s“ ni nyingi sana, je hichi ni kiswahili ?
Angalia boriti la jicho lako 🙏
@@OfficialDatingAssistance😅
Lol
Hoongera sana nimfurahi sana
Wewe ni mkarm sana kaka yakwako aitavunjika
Nakuambia hii nime enjoy kuskiza nimecheka nimefurahi ati anakatiwa nae haona jicho😂😂😂😂😂😂
😮
Nimependa sana hii interview😂
Joshua mpaqa leo hajaacha rafudhi ya qwao nmependa
Waaaoh chambu jamani mwidiwe see
Wow
Joshua nime😂😂😂 na nimejufunza kitu
😂😂amenichekesha sana et unaona mtu anasogea taratiiibu😂😂😂
Una watoto wangapi?
Haki wachu umenivunja mbavu hapo kwenye Jicho wewe hukujua aliona vipi wewe hujui😂😂😂😂❤❤
Nyie mnazungumzia mapenzi tu mbona hamongeli kazi
Chezea eye contact wew
Tumemiss kujua kama huwa wanakuja Kigoma na watoto na reaction ya ndugu inakuwaje.
Yaani unaongea straight
Uliza ana watoto wangapi?
Nimeamini mwanamke akitaka jambo lake hawezi shindwa😂😂😂 mwalimu mkuu apewe maua yake.....
Sijui nini na nini 😅😅😅
Sasa Joshua miaka 17 ya ndoa halafu watoto 2 tu jamani!
Wazungu hawana mila za kuwa na watoto wengi hao 2 ni bahati. Mie nilipo zaa mtoto 3 wakwe zangu wanauliza again one more ? utafikiri nimeleta kijiji
Wazungu. Walio wengi ni mtoto Mmoja tu kamaliza
@@aromaofzanzibar😅
Kwa watu wasio conscious wakibaguliwa sana uwa wanatafuta njia ya ku justify ubaguzi , naona bingwa ubaguzi wa Ngozi uliokithiri wa Ubgelgiji analinganisha na ubaguzi wa Tanzania 🇹🇿 😅😅😅 Belgium ni wabaguzi kuliko maelezo na ni mbaya sana huyo jamaa inaonekana anaona ni sawa kubaguliwa na kutafuta sababu za kujifariji za kubaguliwa!
If only people will understand your point..Bravo.
Ubelgiji Lukaka kazaliwa kule na kafanya makubwa anakila kitu ila analalamika ubaguzi ila muha wa kigoma anajustify.
Huyo jamaa inaekekea alishakuwa sugu na kajikubali kubaguliwa mi nikikumbana na ubaguzi huwa nahsi kichaa kinapanda . Duuu ati Tanzania kuna ubaguzi
Yani ya mtoto wangu nimeongea haswaaa hasikii , namchapaa , wakimchukua acha wakae nae watasaidia kulea
Ajasema amepata kazi au ubaguzi uliendelea
Duuu sasa mtu mnajutana kwenye Tereni hafu simu haina kerediti ni noma
BEIGE HOME 🎉
Dada muhoji na rafiki yake
Kaka una kiti chako mbinguni
Eyes contact 😂😂😂😂❤❤❤
😂😂😂 Hii ya Joshua imenifurahisha sana ila hongera kwa uvumilivu wa mahusiano