Jinsi ya kuomba na kushinda American Green Card Lottery (DV2025 Application)
HTML-код
- Опубликовано: 6 сен 2024
- FURSA YA KUPATA GREEN CARD YA MAREKANI KUPITIA GREEN CARD LOTTERY (DIVERSITY VISA PROGRAM)
EBM SCHOLARS ITAWAPIGA PICHA NA KUJAZIA WATU TENA KAMA MWAKA JANA?
Ndio: Mwaka huu tunaanza mapema. Sio kuanza mapema kuingiza information online, la hasha, kuanza mapema KUPIGA PICHA na KUJAZA TAARIFA KWENYE FOMU YA KARATASI. Tukisubiria October kujaza online.
Changamoto ya kusubiria October tuliyokutana nayo mwaka jana ni kwamba wengi watoto wao wapo shule za boarding au vyuoni, au wenza wao kuwa mikoa mingine. Hii kufanya kupata picha yenye kukidhi masharti kuwa ngumu sana.
Kupiga picha mapema, kunafanya mtu kupata muda wa kutosha kuhakikisha watoto na mwenza wote mnakuwa na picha. Hii huondoa ile kusema sina mme, au sina mke, au sina mtoto kisa huna picha zao.
Tumeshaanza kupiga picha za DV Lottery Applications hadi NOVEMBER 7.
Kila siku ofisi itakuwa wazi hadi weekend tupo wazi.
KWA DSM, OFISI IPO PALE PALE KWA MWAKA JANA NYUMA YA SKY CITY MALL?
Ofisi ipo NYUMA ya SKY CITY MALL. Ila ni nyumba ya jirani na ile ofisi ya HOPE CENTER. Hivyo ukija kama unakuja pale kwa mwaka jana, nyuma ya Sky City Mall utaona vibao vya direction.
KWANINI NISITUMIE PICHA YA MWAKA JANA?
Hairuhusiwi kutumia picha ukliyotumia kuombea mwaka uliopita. Utakosa.
GHARAMA NI ZILE ZILE KAMA MWAKA JANA AU MMEONGEZA?
Gharama ni zile zile ndogo tu. Mtu ambaye ni SIGNLE na hana MTOTO ni Tsh. 20,000 na mtgu ambaye ana FAMILIA ni Tsh. 30,000
KUNA HUDUMA ZINGINE NJE YA DV PROGRAM?
Ndio ukija ofisini kwetu kuna fursa za kwenda USA, CANADA, ULAYA, NEW ZEALAND, ASUTRALIA kwa njia mbalimbali. Pia unaweza kutembelea website yetu www.ebmscholars.com kisha nenda SERVICES utaona huduma.
FOLLOW US
@ebmsignature
@ebmscholars
@ebmscholarsapp
EBM SCHOLARS, LLC
www.ebmscholars.com
ebm@ebmscholars.com
MISSOURI, USA
Download our New App, EBM SCHOLARS APP play.google.co...
Or Search EBM SCHOLARS on Google Play Store to Download the app
DONATE TO EBM SCHOLARS
1. PayPal www.paypal.com...
2. CASH APP cash.app/$EBMS...
Asante sana, nimeomba hii green kadi mara tatu, naaminni kwa mara ya nne nitakapoomba na jamaa yangu oktoba nitafulu kuchaguliwa mwaka ujao kwa neema ya Mola, Amina
Kaka salama unaweza nipa elim zaid uliombaje
Utapata kaka inshaallah 🙏🙏🙏
@@Lifemotivation7171 nashukuru sana kwa kunitia moyo
Hongera sana chif kwa semna zuri sana mungu akubariki sana
Maelezo yakinguvu mkuu nayashabikia vilivyo,naona ushindi wangu ukijitokelezea baada ya kuangalia filamu hii,mungu akushidishie.
Mimi nimuchindi wa mwaka hu ila nimekosa wakunielekeza nisaidiye sana unipe namba zako na unambiye kiasi cha pesa nitalipa kaka nisaidiye
Asante Bro.EBM, naomba kuuliza, vip Kama Sina ndoa na Nina watoto.
❤❤
Pia mm nataka unifanye bro my name is suleiman I'm form kenya niarobi
Mungu akubariki mno kwa moyo wako wa kutusaidia watz weng
Pamoja sana 5/5 🇨🇩🇨🇩
Habari....swali langu kwako ninkwamba ..unaweza host mtu akisha shinda green card
So Nice kaka, nisha like na kushare 🎉
❤napenda jinsi unawaelimisha wa Africa
Thanks bro
Asante Sana kaka nimekuelewa vizuri 🎉
Asante
@@EBMSWAHILI kaka naomba namba zako nataka unisaidiye kujaza fomu mimi ni mshindi wa mwaka hu nisaidiye unielekeze nakosa wakunielekeza na unambiye kiasi cha pesa ndalopa nisaidiye sana
@@mauwafrancine9956hello
Mbona simu haipokelewi
❤❤❤❤❤
Thanks
@@EBMSWAHILI number ya simu tunaitaji
😊
Nimeleewa Sana bonifasi Sasa tunakusubiri Arusha kwajili ya picha na application October
Mimi sikufika secondary je naweza kufanya nini nahitaji kushiriki
Kaka ni lijaza last year swali langu mimi elimu yangu ni.ya primary work experience yangu ni business na mimi hupenda sana kua Draiver wa trailer au heavy track au laity car.naomba ushauri wako kaka
Asante kaka nimefanya shared kwa magropu ya WhatsApp na nimewaelekeza
Habari nataka namimi unifanyiye lakini mimi Niko Rwanda unaweza Kuni saidiya Kuni fanyiziya green card
Kk habari za siku mwaka huu tunajaza Green card lini nikutakie week end njema
Vip kuhusu swala la lugha
Kaka iyo green card holder nita ipata baada ya kufika American au
God bless you Ernest unatotoa matongotongo. Sasa Iringa utakuja lini tupige Picha?
Nauliza kama uko na office huku Kenya nairobi au kisii asante
Kwa Daresalam Ni sehem gani pakuandaa picha na kila kitu kwa anaejua Tafadhali naomba nielekeze
Nenda Mlimani City kuna jengo linaitwa Sky City Mall nyuma yake kuna mtaa unakuelekeza moja kwa moja zilipo ofisi za EBM
00
Naomba nielekeze mwaka huu office yako ipo wapi?
Au kwenye ile form nitajaza aje kuonesha kama Mke na mtoto wako marekani naomba unisaidie sana please
Habari yako Coach, mimi ni Alex baliba from Tanzania, nimekuwa nauliza ivi, Mtu ambae ana Mke na mtoto Marekani anaeza akafanya aje???
Please naomba jibu please
Mwaka huu inaombwa lini
Mkuu je kwa wanandoa mnaweza kutumia emeir moja au emeir tofauti kwenye maombi ya green card?
ABM kwa dareslam upigaji wapicha mpo sehemu gani?
Mimi nilikuwa nauliza kwamba kama mtu umemaliza elimu ya high school alafu umemaliza hadi level ya diploma hapo unajaze?
Jaza high school
Kaka EBM Mimi Kama ni olevel secondary School,ila nina diploma ya miaka miwili ya Tanzania ambayo kitanzania ni elimu ya vyuo vya ufundi stadi ila nikijaza vocational school kuna shida Kaka.?
Jamn si nimeskia no more green card lottery 😢
umesikia wapi?😂😂😂😂
Kaka pole kwa majukumu ofisi ziko wapi kwa Dar es salaam
Mzee wa kaz. Je upgaji picha mwanza ni lini mbn ni kama wa dsm wamepewa kipaumbele
Mikoani tunaandaa utaratibu
Ndoto yangu ya kufika marekani hii hapa jamani inaenda kutia🙏 please jamani mimi natamani sana kucheza hii green card ila ndo sijui nianzie wapi 🤔 mimi nipo dar res laam niwapi naweza kwenda kwa hapa dar
Tuonane tufanye maandalizi please.....nipo dar pia
Mwaka huu application zinaaza lini 2024
Mwezi wa 10
kama umeApply wewe na mwenza wako namkashinda namkapata visa je inawezekana mmoja akaondoka kisha baada ya muda mwingine ndio afuate?
Ndio, inawezekana ila lazima iwe ndani ya muda wa mwaka wa Green Card Lottery. Kama muda wa kuingia ukipita, itakulazimu kuja kwa njia ya sponsorship na sio lottery. Huwa nashauri ni vyema nyote mje pamoja
Shukran sana kiongozi
Naomba mungu akutunze mzee wangu 🙏 maaana sioni wakunisaidia hii kitu nikishinda tofauti naww
Samaham Father EBM🙏
Kama umeenda kuApply namtu ambaye unatarajia kuingianae kwenye ndoa inakuwaje mtaApply kama mmeoana au?
Hii ni case yangu binafsi
Mm natarajia kuoa mwezi wa 11 mwaka huu sasa dirisha la kuomba Dv lottery ni mwezi wa 10 tunataka kuApply je tunaweza kuApply kama watu walioowana ili kuongeza Double chance?
@@jumamaruzuku4816 mnaweza kuapply imshu imakuja kwenye tarehe mliyojaza za ndoa yenu na tarehe original mliyooana kabisa yani kifupi kwenye dv lottery ulijaza tarehe tofauti na utakapo funga ndoa cheti chako kitakapotoka kitasoma tarehe tofauti tayari utakuwa disqualified kwenye interview yako
mwenye form four lakini ana diploma yeye achague level gan ya elimu. hapo haujaclarify
Ningekushauri tumia work experience
High school no degree
Wewe jaza primary tu kwasababu kule hii form 4 yako na diploma haijulikani ndio maana nikamwambia jaza primary then ujiandae kwa work experience
Kwa mara ya kwanza ukishinda pia auendi kuomba visa
Umemaanisha nn hapa kiongozi?
Hata mimi sijamuelewa
@@EBMSWAHILI❤
Kaka angu hixi msg zangu huzioni naomba namba.ya watsap mimi napiga cm officin hampokei
❤❤❤
❤❤