Jinsi ya kuomba na kushinda American Green Card Lottery (DV2025 Application)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • FURSA YA KUPATA GREEN CARD YA MAREKANI KUPITIA GREEN CARD LOTTERY (DIVERSITY VISA PROGRAM)
    EBM SCHOLARS ITAWAPIGA PICHA NA KUJAZIA WATU TENA KAMA MWAKA JANA?
    Ndio: Mwaka huu tunaanza mapema. Sio kuanza mapema kuingiza information online, la hasha, kuanza mapema KUPIGA PICHA na KUJAZA TAARIFA KWENYE FOMU YA KARATASI. Tukisubiria October kujaza online.
    Changamoto ya kusubiria October tuliyokutana nayo mwaka jana ni kwamba wengi watoto wao wapo shule za boarding au vyuoni, au wenza wao kuwa mikoa mingine. Hii kufanya kupata picha yenye kukidhi masharti kuwa ngumu sana.
    Kupiga picha mapema, kunafanya mtu kupata muda wa kutosha kuhakikisha watoto na mwenza wote mnakuwa na picha. Hii huondoa ile kusema sina mme, au sina mke, au sina mtoto kisa huna picha zao.
    Tumeshaanza kupiga picha za DV Lottery Applications hadi NOVEMBER 7.
    Kila siku ofisi itakuwa wazi hadi weekend tupo wazi.
    KWA DSM, OFISI IPO PALE PALE KWA MWAKA JANA NYUMA YA SKY CITY MALL?
    Ofisi ipo NYUMA ya SKY CITY MALL. Ila ni nyumba ya jirani na ile ofisi ya HOPE CENTER. Hivyo ukija kama unakuja pale kwa mwaka jana, nyuma ya Sky City Mall utaona vibao vya direction.
    KWANINI NISITUMIE PICHA YA MWAKA JANA?
    Hairuhusiwi kutumia picha ukliyotumia kuombea mwaka uliopita. Utakosa.
    GHARAMA NI ZILE ZILE KAMA MWAKA JANA AU MMEONGEZA?
    Gharama ni zile zile ndogo tu. Mtu ambaye ni SIGNLE na hana MTOTO ni Tsh. 20,000 na mtgu ambaye ana FAMILIA ni Tsh. 30,000
    KUNA HUDUMA ZINGINE NJE YA DV PROGRAM?
    Ndio ukija ofisini kwetu kuna fursa za kwenda USA, CANADA, ULAYA, NEW ZEALAND, ASUTRALIA kwa njia mbalimbali. Pia unaweza kutembelea website yetu www.ebmscholars.com kisha nenda SERVICES utaona huduma.
    FOLLOW US
    @ebmsignature
    @ebmscholars
    @ebmscholarsapp
    EBM SCHOLARS, LLC
    www.ebmscholars.com
    ebm@ebmscholars.com
    MISSOURI, USA
    Download our New App, EBM SCHOLARS APP play.google.co...
    Or Search EBM SCHOLARS on Google Play Store to Download the app
    DONATE TO EBM SCHOLARS
    1. PayPal www.paypal.com...
    2. CASH APP cash.app/$EBMS...

Комментарии • 73

  • @mosesmochama9548
    @mosesmochama9548 11 месяцев назад +3

    Asante sana, nimeomba hii green kadi mara tatu, naaminni kwa mara ya nne nitakapoomba na jamaa yangu oktoba nitafulu kuchaguliwa mwaka ujao kwa neema ya Mola, Amina

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 5 месяцев назад +1

    Hongera sana chif kwa semna zuri sana mungu akubariki sana

  • @nathanontegi3222
    @nathanontegi3222 11 месяцев назад +1

    Maelezo yakinguvu mkuu nayashabikia vilivyo,naona ushindi wangu ukijitokelezea baada ya kuangalia filamu hii,mungu akushidishie.

  • @mauwafrancine9956
    @mauwafrancine9956 11 месяцев назад +4

    Mimi nimuchindi wa mwaka hu ila nimekosa wakunielekeza nisaidiye sana unipe namba zako na unambiye kiasi cha pesa nitalipa kaka nisaidiye

  • @DeniceSimeo-ul8dk
    @DeniceSimeo-ul8dk 11 месяцев назад

    Asante Bro.EBM, naomba kuuliza, vip Kama Sina ndoa na Nina watoto.

  • @suleabtigigis6932
    @suleabtigigis6932 11 месяцев назад +1

    ❤❤
    Pia mm nataka unifanye bro my name is suleiman I'm form kenya niarobi

  • @tinaminja5500
    @tinaminja5500 11 месяцев назад

    Mungu akubariki mno kwa moyo wako wa kutusaidia watz weng

  • @ngoynzoagermain
    @ngoynzoagermain 9 месяцев назад

    Pamoja sana 5/5 🇨🇩🇨🇩

  • @georgembuvi10
    @georgembuvi10 11 месяцев назад

    Habari....swali langu kwako ninkwamba ..unaweza host mtu akisha shinda green card

  • @joejosca7594
    @joejosca7594 11 месяцев назад +2

    So Nice kaka, nisha like na kushare 🎉

  • @razoindeed8228
    @razoindeed8228 4 месяца назад

    Thanks bro

  • @teresiamathias8636
    @teresiamathias8636 11 месяцев назад +1

    Asante Sana kaka nimekuelewa vizuri 🎉

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  11 месяцев назад

      Asante

    • @mauwafrancine9956
      @mauwafrancine9956 11 месяцев назад

      @@EBMSWAHILI kaka naomba namba zako nataka unisaidiye kujaza fomu mimi ni mshindi wa mwaka hu nisaidiye unielekeze nakosa wakunielekeza na unambiye kiasi cha pesa ndalopa nisaidiye sana

    • @mbtwinsentertinment8124
      @mbtwinsentertinment8124 10 месяцев назад

      @@mauwafrancine9956hello

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 10 месяцев назад +1

    Mbona simu haipokelewi

  • @Wesley-AK
    @Wesley-AK 11 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  11 месяцев назад

      Thanks

    • @claralymo1698
      @claralymo1698 11 месяцев назад

      ​@@EBMSWAHILI number ya simu tunaitaji

  • @ochuuothmani9555
    @ochuuothmani9555 5 месяцев назад

    😊

  • @frankfitiaelmbise9682
    @frankfitiaelmbise9682 11 месяцев назад +1

    Nimeleewa Sana bonifasi Sasa tunakusubiri Arusha kwajili ya picha na application October

  • @SarahPhilemon-g2o
    @SarahPhilemon-g2o Месяц назад

    Mimi sikufika secondary je naweza kufanya nini nahitaji kushiriki

  • @lawrencetarimomash
    @lawrencetarimomash 11 месяцев назад

    Kaka ni lijaza last year swali langu mimi elimu yangu ni.ya primary work experience yangu ni business na mimi hupenda sana kua Draiver wa trailer au heavy track au laity car.naomba ushauri wako kaka

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 11 месяцев назад

    Asante kaka nimefanya shared kwa magropu ya WhatsApp na nimewaelekeza

  • @UmuhozaEsperance-jz1fe
    @UmuhozaEsperance-jz1fe 10 месяцев назад

    Habari nataka namimi unifanyiye lakini mimi Niko Rwanda unaweza Kuni saidiya Kuni fanyiziya green card

  • @BaigonMacha
    @BaigonMacha 6 дней назад

    Kk habari za siku mwaka huu tunajaza Green card lini nikutakie week end njema

  • @jamesrutha723
    @jamesrutha723 10 месяцев назад

    Vip kuhusu swala la lugha

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s Месяц назад

    Kaka iyo green card holder nita ipata baada ya kufika American au

  • @Mamabrie111
    @Mamabrie111 11 месяцев назад

    God bless you Ernest unatotoa matongotongo. Sasa Iringa utakuja lini tupige Picha?

  • @lawrencetarimomash
    @lawrencetarimomash 11 месяцев назад

    Nauliza kama uko na office huku Kenya nairobi au kisii asante

  • @msalikemedia
    @msalikemedia 11 месяцев назад

    Kwa Daresalam Ni sehem gani pakuandaa picha na kila kitu kwa anaejua Tafadhali naomba nielekeze

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 11 месяцев назад +1

      Nenda Mlimani City kuna jengo linaitwa Sky City Mall nyuma yake kuna mtaa unakuelekeza moja kwa moja zilipo ofisi za EBM

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 11 месяцев назад

      00

  • @ismailislam2462
    @ismailislam2462 4 месяца назад

    Naomba nielekeze mwaka huu office yako ipo wapi?

  • @user-zy7re9pk5k
    @user-zy7re9pk5k 11 месяцев назад

    Au kwenye ile form nitajaza aje kuonesha kama Mke na mtoto wako marekani naomba unisaidie sana please

  • @user-zy7re9pk5k
    @user-zy7re9pk5k 11 месяцев назад

    Habari yako Coach, mimi ni Alex baliba from Tanzania, nimekuwa nauliza ivi, Mtu ambae ana Mke na mtoto Marekani anaeza akafanya aje???
    Please naomba jibu please

  • @ChifuTozi
    @ChifuTozi 2 месяца назад

    Mwaka huu inaombwa lini

  • @alphoncemaganga1876
    @alphoncemaganga1876 11 месяцев назад

    Mkuu je kwa wanandoa mnaweza kutumia emeir moja au emeir tofauti kwenye maombi ya green card?

  • @jafarikilima368
    @jafarikilima368 11 месяцев назад

    ABM kwa dareslam upigaji wapicha mpo sehemu gani?

  • @iamfrowin7844
    @iamfrowin7844 11 месяцев назад +1

    Mimi nilikuwa nauliza kwamba kama mtu umemaliza elimu ya high school alafu umemaliza hadi level ya diploma hapo unajaze?

    • @upendomshani3932
      @upendomshani3932 11 месяцев назад

      Jaza high school

    • @rahelpaul3079
      @rahelpaul3079 4 месяца назад

      Kaka EBM Mimi Kama ni olevel secondary School,ila nina diploma ya miaka miwili ya Tanzania ambayo kitanzania ni elimu ya vyuo vya ufundi stadi ila nikijaza vocational school kuna shida Kaka.?

  • @athumankassimu8913
    @athumankassimu8913 11 месяцев назад +1

    Jamn si nimeskia no more green card lottery 😢

    • @Mamabrie111
      @Mamabrie111 11 месяцев назад

      umesikia wapi?😂😂😂😂

  • @user-fh2ih9ec6p
    @user-fh2ih9ec6p 11 месяцев назад

    Kaka pole kwa majukumu ofisi ziko wapi kwa Dar es salaam

  • @stanslauskaparangabo8977
    @stanslauskaparangabo8977 11 месяцев назад

    Mzee wa kaz. Je upgaji picha mwanza ni lini mbn ni kama wa dsm wamepewa kipaumbele

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  11 месяцев назад +1

      Mikoani tunaandaa utaratibu

  • @dainafranck8718
    @dainafranck8718 11 месяцев назад

    Ndoto yangu ya kufika marekani hii hapa jamani inaenda kutia🙏 please jamani mimi natamani sana kucheza hii green card ila ndo sijui nianzie wapi 🤔 mimi nipo dar res laam niwapi naweza kwenda kwa hapa dar

    • @evanceaboke9381
      @evanceaboke9381 11 месяцев назад

      Tuonane tufanye maandalizi please.....nipo dar pia

  • @EmmanuelKibavu
    @EmmanuelKibavu 5 месяцев назад

    Mwaka huu application zinaaza lini 2024

  • @jumamaruzuku4816
    @jumamaruzuku4816 11 месяцев назад

    kama umeApply wewe na mwenza wako namkashinda namkapata visa je inawezekana mmoja akaondoka kisha baada ya muda mwingine ndio afuate?

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  11 месяцев назад

      Ndio, inawezekana ila lazima iwe ndani ya muda wa mwaka wa Green Card Lottery. Kama muda wa kuingia ukipita, itakulazimu kuja kwa njia ya sponsorship na sio lottery. Huwa nashauri ni vyema nyote mje pamoja

    • @jumamaruzuku4816
      @jumamaruzuku4816 11 месяцев назад

      Shukran sana kiongozi

    • @jumamaruzuku4816
      @jumamaruzuku4816 11 месяцев назад

      Naomba mungu akutunze mzee wangu 🙏 maaana sioni wakunisaidia hii kitu nikishinda tofauti naww

    • @jumamaruzuku4816
      @jumamaruzuku4816 11 месяцев назад

      Samaham Father EBM🙏
      Kama umeenda kuApply namtu ambaye unatarajia kuingianae kwenye ndoa inakuwaje mtaApply kama mmeoana au?
      Hii ni case yangu binafsi
      Mm natarajia kuoa mwezi wa 11 mwaka huu sasa dirisha la kuomba Dv lottery ni mwezi wa 10 tunataka kuApply je tunaweza kuApply kama watu walioowana ili kuongeza Double chance?

    • @betricedavid2412
      @betricedavid2412 11 месяцев назад

      ​@@jumamaruzuku4816 mnaweza kuapply imshu imakuja kwenye tarehe mliyojaza za ndoa yenu na tarehe original mliyooana kabisa yani kifupi kwenye dv lottery ulijaza tarehe tofauti na utakapo funga ndoa cheti chako kitakapotoka kitasoma tarehe tofauti tayari utakuwa disqualified kwenye interview yako

  • @thebmcblackmiccatcher3949
    @thebmcblackmiccatcher3949 11 месяцев назад

    mwenye form four lakini ana diploma yeye achague level gan ya elimu. hapo haujaclarify

    • @betricedavid2412
      @betricedavid2412 11 месяцев назад

      Ningekushauri tumia work experience

    • @evanceaboke9381
      @evanceaboke9381 11 месяцев назад

      High school no degree

    • @betricedavid2412
      @betricedavid2412 11 месяцев назад

      Wewe jaza primary tu kwasababu kule hii form 4 yako na diploma haijulikani ndio maana nikamwambia jaza primary then ujiandae kwa work experience

  • @user-fq4xr3le1i
    @user-fq4xr3le1i 11 месяцев назад

    Kwa mara ya kwanza ukishinda pia auendi kuomba visa

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 10 месяцев назад

    Kaka angu hixi msg zangu huzioni naomba namba.ya watsap mimi napiga cm officin hampokei

  • @user-gb8hx9ij3n
    @user-gb8hx9ij3n 11 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @betricedavid2412
    @betricedavid2412 11 месяцев назад

    ❤❤