HIZI NDOZO FAIDA ZAKUHAMIA CANADA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Katika video hii ninaeleza faida za kwenda kule nakupata ukazi wa kudumu. kwa ajili ya kuomba kazi canada we www.jobbank.ca.

Комментарии • 53

  • @yassirmaulid683
    @yassirmaulid683 5 месяцев назад +1

    kwel kabixaaa🛫👌

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud256 2 месяца назад

    Asante sana dada

  • @allyshomari7417
    @allyshomari7417 10 месяцев назад

    Asante kwa mrejesho. Wa huko ughaibuni!!

  • @binaljabirmshihirzanzibar8369
    @binaljabirmshihirzanzibar8369 11 месяцев назад

    Safi sana my sister Shukran sana 🤝🏼

  • @ChukuMrido
    @ChukuMrido 3 месяца назад

    Tutahitji tips zaidi

  • @ebenezerykimendo-oe2mx
    @ebenezerykimendo-oe2mx Год назад

    Safi sana umenipa kitu cha tofauti sana.nipo kwenye harakati za kuja huko

  • @ShadowScreamStudio
    @ShadowScreamStudio 5 месяцев назад

    Safi sanaa mdm

  • @emmanuelmsemo3545
    @emmanuelmsemo3545 Год назад

    Thanx very much for your informations you help alot

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 Год назад

    Asante kwa kutufahamisha

  • @josephirambona343
    @josephirambona343 3 месяца назад

    Jambo sana

  • @betricemainoya4176
    @betricemainoya4176 Год назад

    Nimekuelewa uko vzr

  • @mukhtarally5819
    @mukhtarally5819 Год назад +1

    Dada asante sana

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 10 месяцев назад +2

    kwa hicho kiingereza chako kama umtoboa canada😂 basi mimi nitatoboa mpaka alaska😂

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 месяца назад +1

    Maisha yanabadilika saana kila pembe ya Dunia, Kazi pekee zenye uhakika Ni za hospital, lakini Sasa Kuna changamoto za Kazi hata Kwa wazawa, binafsi Naona Kwa suala la Kazi Bora Marekani

  • @VictaMfumbilwa
    @VictaMfumbilwa 3 месяца назад

    Dada naomba namba tuwasiriane

  • @ChukuMrido
    @ChukuMrido 3 месяца назад

    Nitahitaji namba yako yako tuwasiliane kwa what's up Kama upo nje

  • @HashimuSalumu-mg6ht
    @HashimuSalumu-mg6ht Месяц назад

    Dada unaongea ukweli sana Mimi ni derevA wa magari makubwa nashida na kaz naomba namba yako unipe muongozo

  • @yahyambugha7870
    @yahyambugha7870 6 месяцев назад

    Dada jese mi nahitaji barua ya mualiko

  • @AbediBasimba
    @AbediBasimba 11 месяцев назад

    Jambo na kupata

  • @Allymrisho-w9j
    @Allymrisho-w9j 8 месяцев назад

    Dada minataman kujahuko canada nisaidie dada

  • @shukurukisuguru6461
    @shukurukisuguru6461 Год назад +1

    next time dada... zungumzia watu ambao Wana elimu ya form 4.. wanawezaje kwenda Canada au marekan?

    • @godwinaxwesso8726
      @godwinaxwesso8726 Год назад

      Thanks Dada, upo Tanzania? Naomba msaada wa kuandika resume ya kazi na how to apply visitor viza please

  • @godwinaxwesso8726
    @godwinaxwesso8726 11 месяцев назад

    Naomba nijue pia umri wa kukubaliwa kufanya kazi Canada na kazi gani ambazo zinapatikana kirahisi?

    • @jessevlogswahili
      @jessevlogswahili  11 месяцев назад

      Kukubaliwa kufanya kazi kuanzia miaka kumi nane hadi 65

  • @amass8865
    @amass8865 Год назад

    Please naomba nisaidie website nataka Host canada

  • @MarieLulu-k9u
    @MarieLulu-k9u Год назад

    Dada nahitaji kazi ya kujitoleya za shambani sijasoma nimeishiya dalasa ya 5 tu

    • @VictaMfumbilwa
      @VictaMfumbilwa 3 месяца назад

      Dada Jese nahitaji kazi za kujitolea zamashambani naomba unisaidie mchakato

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Год назад

    Me nakukubal san my boc

  • @washamsskhalphan
    @washamsskhalphan 10 месяцев назад +1

    nina hitajj msaadaa nisaidie namba yako ya whtaspp

  • @ibrahimelisha6842
    @ibrahimelisha6842 8 месяцев назад

    Bado upo Tanzania?

  • @mswahilipeople2579
    @mswahilipeople2579 10 месяцев назад

    Dada hujambo mzima lakini naomba Dada namba zako kama hutojali dada

  • @safimatola4436
    @safimatola4436 11 месяцев назад

    Naomba no yako nataka kuja huko ila sina mtu

  • @alhajiabed7479
    @alhajiabed7479 11 месяцев назад

    We mbona hujaenda dada.

  • @godwinaxwesso8726
    @godwinaxwesso8726 11 месяцев назад

    Nahitaji nije kukuona kama upo Tanzania nipate information ya kutosha

  • @kaselejetombolo
    @kaselejetombolo 8 месяцев назад

    dad naomb nifanyie nipate host canada

  • @deusmbassa9749
    @deusmbassa9749 Год назад

    Kwn wewe unakaa nchi gani mbona ukienda kule

  • @bigboys016
    @bigboys016 Год назад

    Asante sana dada wewe uko wapi😊

  • @Gannaartist
    @Gannaartist Год назад

    Asante sana nimekulewa.

  • @ChukuMrido
    @ChukuMrido 3 месяца назад

    Nitahitaji namba yako yako tuwasiliane kwa what's up Kama upo nje

  • @ChukuMrido
    @ChukuMrido 3 месяца назад

    Nitahitaji namba yako yako tuwasiliane kwa what's up Kama upo nje