We ni Kama baba mzazi kwangu I really like your videos God bless you don't listen other's words do your best for all africans na Kamati ya roho mbaya hawa watanzania hawa God bless you 'Baba'
Can any nationality join???Can one join at any age???? Are there differences in wages paid btn American and other nationalities??? Can a person other than American join as a specialist??? maybe your speciality is in Human anatomy or Biotechnology etc
Naomba kufahamu Mr EBM naweza kujiunga na jeshi la marekani na nikabaki na greencard bila kuchukua uraia na nikapata benefit zote kama enlisted kipindi chote cha kazi na baada ya kustaafu?
Sasa kwa mwanamke kujiunga na jeshi ikoje ukifanikiwa kufika hukoo,na je Kama uyo mwanamke ameshazaa mtoto au watoto wawili je anarusiwa kujiunga na jeshi la marekani, alafuu umri wa mwisho kujiunga jeshini ukifanikiwa kufika mwisho ni miaka mingapi.please please tusaidie ufafanuzi kaka
Good Job
Jamaa anataka awe jesh marekani duuu
nimependa inspiration kwajili yetu Asante TZ
Nashkuru sana kwa kutuelewesha kaka baba
We ni Kama baba mzazi kwangu I really like your videos God bless you don't listen other's words do your best for all africans na Kamati ya roho mbaya hawa watanzania hawa God bless you 'Baba'
Asante sana
@@EBMSWAHILI hello
@@EBMSWAHILI Mkuu naomba kuonana na wewe mkuu
Excellent explanation.
Je nitaingia vip marekani
Umri wa kuingia jeshini mwisho miaka mingapi?
Asante Sana kaka
Je, jeshi la marekani linaweza kupokea mtu mwenye elimu ya form four
Jeshi la bongo linatumia nguvu kuliko akiri
Hy sir am martyn from Kenya when is Green card been applied these year plz
Would wish to know the maximum age allowed for foreigners going with green card to join military 🪖.
TUPE NDUGU ZAKO CONNECTION
nawezaje kukupigia sim? kuna maswali na m nataka kuuliza
Can any nationality join???Can one join at any age???? Are there differences in wages paid btn American and other nationalities??? Can a person other than American join as a specialist??? maybe your speciality is in Human anatomy or Biotechnology etc
Kwahiyo kaka yangu hapa tusiosoma Ni ngumu. Hizo meli zinakuwa zimebeba abiria ama.
Naomba kufahamu Mr EBM naweza kujiunga na jeshi la marekani na nikabaki na greencard bila kuchukua uraia na nikapata benefit zote kama enlisted kipindi chote cha kazi na baada ya kustaafu?
Umri wa kujiunga jeshini mwisho ni miaka mingapi ?
Kaka EBM ningependa kukuomba namba yako ya mawasiliano ya WhatsApp for more communication
Sasa kwa mwanamke kujiunga na jeshi ikoje ukifanikiwa kufika hukoo,na je Kama uyo mwanamke ameshazaa mtoto au watoto wawili je anarusiwa kujiunga na jeshi la marekani, alafuu umri wa mwisho kujiunga jeshini ukifanikiwa kufika mwisho ni miaka mingapi.please please tusaidie ufafanuzi kaka
hua wanachukua miaka mingp kwa training
mwambia jesh la Kule unakula biscuti na hata KFC sio kama bongo
na inachukua miaka mingap mpaka kua muajiriwa rasmi wa jeshi la marekani
Nitapataje green card kaka
Jambo
Poa
Naomba namba Yako whaps
Kujiunga na usa marine mwisho miaka mingapi?
Mazingira ndo yale magufuli aliyokataka atufanyia ukiwa umetembea ndo utamwelewa hayati magu inawezekana Africa also but
Kuji unga na jeshi ya Americans hiyo ni utumua pendeni kwenu nyumbani ni nyumbani.....
Huku kupata chance ni shida