Kujiunga na jeshi Jeshi la Marekani | Taratibu na faida zake

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • Kuna faida gani ya kujiunga na jeshi la Marekani? Ni hatua zipi na sifa zipi inabidi uwe nazo uwweze kujiunga?
    #marekani #ebmswahili #ebmscholars

Комментарии • 68

  • @egmegm6202
    @egmegm6202 2 года назад +3

    Dah ahsante sana kaka yetu kwa ujumbe walio na vigezo wachangamkie fursa iyo me napenda jeshi ila kaelimu kadogo ila napenda sana

  • @mohammedbaraka9230
    @mohammedbaraka9230 2 года назад +4

    Nakupata Brother EBM nafatilia vyema kutoka Dar Es Salaam Now time nipo kazini I'm Bajaj Driver... Thank you...

    • @daimavlog
      @daimavlog 2 года назад

      Mungu akupuganie ndugu.

  • @mustafamtupa9061
    @mustafamtupa9061 2 года назад +6

    Kuna kipindi ulisema wasiokuwa na High School kuna mtihani maalumu wanaufanya, hii imekaaje ndugu..?

  • @halisimediatz
    @halisimediatz 2 года назад +3

    Ahsante EBM Swahili Kwa Elimu ✊

  • @thisandthat1523
    @thisandthat1523 2 года назад +3

    Nyinyi waTz mna ndoto ndogo sana maishani.
    Kuingia US army ni kitu ya mtoto wa miaka 17-20 akimaliza high school hata akifeli mtihani. Watu waafrica wamesoma shahada za nguvu na nyinyi ni kuota ndoto za kiushenji tu. Hasara tupu nyinyi mtabaki kuwa mkia kwa East Africa..

  • @barakalameck7163
    @barakalameck7163 2 года назад +5

    Asante. Je ulikaa jeshini kwa muda gani? Na je unaweza kustafu muda wowote ukihitaji?

  • @shalomsimon6953
    @shalomsimon6953 7 месяцев назад

    God Bless America

  • @Josephmukasa-z2b
    @Josephmukasa-z2b 11 месяцев назад

    Maisha marefu brother Mungu na Akubariki

  • @isaacomogo9872
    @isaacomogo9872 2 года назад +1

    Good 👍 advice brother

  • @eaglemaris327
    @eaglemaris327 2 года назад +6

    Nina miaka 22 sasa ninasomea cyber security and digital foreinsic engineering Tanxania udom natamani kuishi marekani kwa maisha yangu yote kaka EBM naomba unisaidia kwenye hili natamani niingie kwa njia ya jeshi

    • @miltonmachage2462
      @miltonmachage2462 2 года назад +4

      Acha kusasilit taifa lako ww hv kweli unasubutu kusema nataka kuishi malekan kwa maisha yanga yoteeee pumbavu sana ww tena ww sio mzalendo Yan unasoma kwa Kodi zetu alf utumikie taifa lengine

    • @ernestlaiza1176
      @ernestlaiza1176 2 года назад +1

      @@miltonmachage2462 fala were anasomaa Kwa ela ya mama yako

    • @hassanmassaga2476
      @hassanmassaga2476 Год назад +1

      @@miltonmachage2462 sasa kama nchi yake haijampatia nafasi ya kulitumikia katika jeshi afanye nini?!

    • @hassanmassaga2476
      @hassanmassaga2476 Год назад +3

      Saf kijn elimu yako ni nzuri sana..nakuombea utimize ndoto zako..maisha popote,usidanganywe na kivuli cha uzalendo utakufa masikini😂

    • @Veallesgut
      @Veallesgut 2 дня назад

      ​@@miltonmachage2462acha chuki wewe...kila mtu ana ndoto zake. Isitoshe huko TZ vinaja hawana kazi wapo mtaani baada ya kusoma degrees zao.
      Sasa wakipata chance waache kwenda nje? Acha chuki wewe

  • @haysam6317
    @haysam6317 2 года назад +2

    😂😂EBM 11:36 maisha ya africa ni boot camp toshaaa

  • @Ashi_Mushi
    @Ashi_Mushi 5 месяцев назад

    Nimejibika apa🙏

  • @MUNAHSHWAI
    @MUNAHSHWAI 2 года назад +3

    Jeshi la U.S A raha sana

  • @Faridkhalid-z3p
    @Faridkhalid-z3p Год назад

    Muongo, the reason watu hujiunga na majeshi ya marekani au any western military ni kutafuta status ya ukaazi, yes at some point unatakiwa kuwa na status, but possibly hata mwanafunzi you might be able ku switch na kujiunga na Jeshi and eventual kupata status ya mda mrefu

  • @mlindemabrouk8699
    @mlindemabrouk8699 2 года назад

    Kwiyo ukiwa Na certificate ya Coz example account je unakubalika?

  • @ernestk3549
    @ernestk3549 2 года назад

    Sio kwamba unajiunga tuu inabidi first kufanya mitihani yawo

  • @coldhart24
    @coldhart24 Год назад

    Kaka @EBM je mtu wa diploma anaweza kwenda jeshi la Marekani ???😊

  • @emmanuelkamenya4004
    @emmanuelkamenya4004 2 года назад +1

    Hahaaaa maisha ya Africa ni depo tosha dah!

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 2 года назад +2

    Hahahaha Maisha ya Africa ni depo tosha😆

  • @jafari001music6
    @jafari001music6 2 года назад +1

    🙏

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc 2 года назад +7

    Kujiunga na jeshi la US ni kupoteza muda. Unaweza kufanya kila kitu na zaidi bila kwenda huko jeshini. Wengi wameenda jeshini na sasa wapo mtaani wanapambana na hali zao huku maisha yamewachapa. EBM makes informative videos ila kuna kipindi anaiabudu sana US kupita kiasi.

    • @mbuvamedia195
      @mbuvamedia195 2 года назад +1

      Umarekani ushamuingia huyu

    • @Burner_Acc
      @Burner_Acc 2 года назад

      @@Arnolvel Sahihi kwa lipi? Nini ambacho vet anafanya ambacho mtu mwingine hawezi? Kazini kwangu vets kibao wapo chini yangu wapo wapo tu hadi nawaonea huruma walienda kupoteza muda wao tu huko jeshini.

    • @Burner_Acc
      @Burner_Acc 2 года назад

      @@mbuvamedia195 Kabisa. Jamaa anaiabudu sana US. Anafanya watu waamini hakuna maisha zaidi ya US.

    • @ellymia5555
      @ellymia5555 2 года назад

      vip wewe upo us?

    • @Burner_Acc
      @Burner_Acc 2 года назад

      ​@@ellymia5555 Ndiyo.

  • @michaelkasogela7219
    @michaelkasogela7219 2 года назад +1

    Kwl kabisaa maisha ya africa ni jeshin kamil hahahahahaha

  • @Laizer3
    @Laizer3 6 месяцев назад

    JESHI GANI HIYO HADI USHOGA INAFANYIKA 😂😂NA IMERUHUSIWA .

  • @T-puaBoy
    @T-puaBoy 7 месяцев назад

    Unaweza kunisaidia kuhusu kujiunga na IDF

  • @remyntiranyibagira1432
    @remyntiranyibagira1432 2 года назад

    Sasa nambie mbona nasikia eti ukipokea mushala auluhusu kutumana pesa kwenu kumazilikio ata ukituma eti kuna hela fulani auezi kuzidisha tupe ukweli kwaico kitu

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 Год назад

    Jiunge mkuu uende Afghanistan 🇦🇫

  • @kombatv2069
    @kombatv2069 4 месяца назад

    Tunaomba ututafutie na jinsi ya utaratibu wa kujiunga na jeshi la urusi

    • @GeraldElias-s7j
      @GeraldElias-s7j 3 месяца назад +1

      Tafuta wa tanzania wanaoishi urus watakuambia

  • @Tozypaul
    @Tozypaul 2 года назад

    Je kujiunga ni bure au inakuje

  • @ruhumurizarobert990
    @ruhumurizarobert990 2 года назад +2

    Ukitaka kusomea ujasusi ama intelligency unasoma course gani?,ninge penda kufanya kazi n'a Nasa, ama CIA, FBI etc...,

  • @olaycereuben419
    @olaycereuben419 2 года назад +1

    Sasa kwanini veterans wanaishia kutumia madawa na suicide kama kuna mambo mengi kama haya

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 2 года назад

      Hujasikia memory kwenye miti hakuna wajenzi?

  • @Kashindi-h9c
    @Kashindi-h9c 2 месяца назад

    Mimi ninaipendasanaiyokazi

  • @oxwad3836
    @oxwad3836 2 года назад

    🙏🏿🙏🏿
    .
    🇹🇿

  • @valentinoraymond7659
    @valentinoraymond7659 2 года назад +1

    mwamba wewe ni tajiri aisee umetoboa

  • @stevengerald-e2e
    @stevengerald-e2e 2 месяца назад

    Je katika upande wa elimu nina elimu ya form four na nilipata divison 4 point 29 je inakubalika kujiunga

    • @arafathussein7910
      @arafathussein7910 Месяц назад +2

      Si umeambiwa kuwa unatakiwa atleast uwe umefikia high school au hujaelewa

    • @Veallesgut
      @Veallesgut 2 дня назад

      ​@@arafathussein7910 yaani watu hawasikilizi video vizuri

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 2 года назад +1

    Wewe ni opportunist sana mpaka una ingia jeshi LA USA sio mzalendo kabisa!!!!!

    • @klaussteiner94
      @klaussteiner94 2 года назад

      😳😳

    • @veraisaria
      @veraisaria 2 года назад +1

      Kwani Kuna mtu duniani sio opportunisty?bro ebm eh! Endelea kusaidia watu wako sio lazima tujazane humu

    • @klaussteiner94
      @klaussteiner94 2 года назад +1

      @@veraisaria imma eeeh 👍

    • @liberatusjackson5045
      @liberatusjackson5045 2 года назад

      Ww nmuzarendo

    • @ayoubabdullrahaman6120
      @ayoubabdullrahaman6120 2 года назад

      Zawadi×'...wewe baki na kauli hiyo,hiyo ya kufanya watu mabwege eti uzalendo pumbav sn ..wenzio wanyoosha mambo yao wenye nchi🤣