Usikubali kudanganywa kwa kuambiwa Utaletwa Ulaya kwa njia kama hizo☝️❤️🙏☝️

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • Tafathali uwe muangalifu na watu kama hao nao waelezea ukitaka kuja Ulaya💗💗💕💕☝️🙏🙏🙏.

Комментарии • 398

  • @deborahrehema5819
    @deborahrehema5819 3 года назад +20

    Ubarikiwe sana kweli nipo Miaka 16 ulaya niliishi Holland na hivi naishi Ireland unasema kweli keep telling them the truth wengi sana wana wadanganya na wengine kuwaogopesha wengine sababu hawataki wake nao wa enjoy maisha ya huku 🥰🥰🥰

    • @aminakupila3079
      @aminakupila3079  3 года назад +2

      Asante sana ndugu yangu 👍☝️💕💕💕💕😘☝️🙏🙏🙏

    • @lydiagabrielshirima4717
      @lydiagabrielshirima4717 Год назад

      Waaaoooooo asante dada kwa ushauri wako nitaftie nami kazi huko

    • @agnescarlos8868
      @agnescarlos8868 Год назад

      ​@@aminakupila3079asante kw ushauli

    • @frankplatinam
      @frankplatinam Год назад +1

      Safi nahogera dada. Pia natamani nihishi ulaya lakini sina njisi please nisahidiyeni

    • @brownjoseph5154
      @brownjoseph5154 Год назад +2

      @@frankplatinam dada ubarikiwe Sana dada nimeipenda maelzo Yako mungu akubariki sana

  • @saidrusuma8523
    @saidrusuma8523 3 года назад +12

    Bi. Aminah kwakweli leoo umenikosha saana, kuanzia jinsi unavyoongea hadi pia unavyotufikishia ujumbe Mzuuri kabisa, yaani wewee ni LULU ambayo hatupaswi kuipotezaa!! Namuomba mwenyezi akutunze na akulinde, piaa watu wabaya wakupitie mbaali Mama.!! 🥰😍😘

    • @paskalishida7525
      @paskalishida7525 Год назад +1

      Mi mtanzania naweza pata kazi

    • @aminakupila3079
      @aminakupila3079  Год назад

      Asante sana ndugu yangu Namshukuru MUNGU kwa kukupa moyo ulionao na Samahani sijui a comment yangu ni vigumu kuona zote na kuzijibu nakushukuru sana🥂🥰🥰🥰🙏🙏🙏

  • @florathomas6234
    @florathomas6234 3 года назад +5

    Asante dada Amina kwa ushauri mzuri,well received and noted

  • @Mosesy_Bright
    @Mosesy_Bright Год назад +3

    Ubarikiwe sanaa na Mungu aliye hai.... Na roho mtakatifu azidi kukuongoza....🙏🇹🇿🌦️❤️

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 3 года назад +7

    Nakuita Dada wa Ulaya kwa sababu wapo wengi wanafurahi kusifiwa tu ila wewe umejitolea kutueleza uhalisia ...unatusaidia sana coz kuna vingi hujui umuulize nani for better advice...Mungu akubariki sana🙏😍🇩🇪

    • @aminakupila3079
      @aminakupila3079  3 года назад

      Asante ndugu yangu 💗💕☝️🙏🙏

    • @abdallahmagera9160
      @abdallahmagera9160 3 года назад

      @@aminakupila3079 MUNGU akulinde sana Dada yangu kwakutueleza ukweli

  • @SANGTINAGODETRUDMAKONYOLA
    @SANGTINAGODETRUDMAKONYOLA Месяц назад

    Naomba unisaidie nifike ulaya❤❤❤❤ I'm struts you my mom

  • @blackninjaentertainmentssh8076
    @blackninjaentertainmentssh8076 Год назад +2

    Hongera Sana Amina Kwa mafundisho yako Kwa wengine walio hawajui na mengine hawaja wapata god bless you big thanks Emmanuel from Italy milano

  • @shohamuwokovuhalisi.2648
    @shohamuwokovuhalisi.2648 3 года назад +4

    Namshukuru MUNGU BABA kwa mafunzo yako. Barikiwa

  • @HawaAbell
    @HawaAbell 6 месяцев назад +1

    Asante sana dada Amina ninandoto yakuja kufanya kazi huko je unaweza kunitajia kazi nakupenda❤

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog Год назад

    Asante dada kutwambia Ukweli. Mwenyew nimewahi kuokota chupa. Walioko ulaya nao wengine wanafeki maisha ndio maana wanaombwa Hela

  • @chalzsenior9075
    @chalzsenior9075 3 года назад +12

    Asante Mungu wangu kuweza kunikutanisha na uyu Dada... Ntakupenda maisha yang yote

    • @loirucklaizer52
      @loirucklaizer52 3 года назад +1

      Samahani Kuna swali nimekuuliza hujanijibu Dada Amina,swali langu nauli ya kuja na kurudi ni sh ngapi? Pia nyumba ya kulipia kwa miezi mi3 Ina gharimu kiasi gani? Naomba usichoke kutoa darasa.

    • @mohamedkitwiko3675
      @mohamedkitwiko3675 Год назад +1

      Safi kabisaaaaa dada

    • @baharesavip-yu8zk
      @baharesavip-yu8zk Год назад

      Dada nimekuelewa

  • @jacksonmusimo8355
    @jacksonmusimo8355 3 года назад +4

    dada nimekuelewa sana firsttime nakusikiliza kwenye interview yako na sky nimevutiwa sana na wewe kwa maono yako wewe huko very smart nimekukubali na kukupenda bure

  • @mugisha580
    @mugisha580 3 года назад +8

    Uyu maman ni mungu arimureta nakupenda malaika😍😍😍👍🥰

  • @zainabibrahim4183
    @zainabibrahim4183 3 года назад +2

    Yote uliyosema ni kweli it's not easy than it's look, na sio kukurupuka.Ahsante dada 😍😍❤💕💖👍

  • @clarasima5447
    @clarasima5447 3 года назад +4

    Sijutii kukufahamu kupitia mtandao Dada Amina❤️❤️❤️

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 3 года назад +2

    Leo umeongea vizuri sana amina,nimekuelewa kuliko siku nyingine,mimi niko ujerumani,waafrika wapo wengi wanaishi kwa tabu mnooo,siyo rahisi kwa kweli,

  • @lilliansalvatory8183
    @lilliansalvatory8183 Год назад +1

    Asanteh sana dada Amina.. samahani naomba niwaeleze vizuri hiko chuo kipo posta pale karibu na holland house CRDB au ilipokua steers zamani pale posta .

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 3 года назад +5

    "Hakuna kazi ngumu Kama kuwa msema kweli, maana uongo ni bidhaa yenye wateja wengi ili hali ndani yake hamna Faida"" Safi sana dada yangu, tembea kifua mbele kwa kuzidi kutumbua majipu Wala usione haya ikiwa kusema kweli ndiyo Fungu lako salaam toka Mwanza 🐟🇹🇿. Pongezi pia leo kwa vazi rililo kustiri na utulivu wa pekee katika kuzungumza.

    • @aminakupila3079
      @aminakupila3079  3 года назад

      Asante ndugu yangu☝️🙏

    • @mbekwamughenya9556
      @mbekwamughenya9556 3 года назад +2

      Pongezi sana dada kwenye hii Mada umeelezea kwa umakini mkubwa na utulivu wa hali ya juu ,umeeleweka vizuri sana . Usife moyo endelea kuelimisha jamii .sisi tuko pamoja na wewe.

    • @aminakupila3079
      @aminakupila3079  3 года назад

      @@mbekwamughenya9556 Namshukuru sana ndugu yangu ☝️💕💕💕💕🙏🙏🙏

  • @josephirambona343
    @josephirambona343 3 месяца назад +1

    Jambo sana

  • @mariamtumwebaze389
    @mariamtumwebaze389 3 года назад +2

    Shukulan Sana dadangu Unanifurahisha Sana Allah akubaliki

  • @DaudiKunambi-z2x
    @DaudiKunambi-z2x 9 месяцев назад

    Dada Amina asante sana kwa kipindi chako kizuri na Mungu wa mbinguni akubariki sana

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibar 3 года назад +9

    Leo umesema dada 😘

  • @samanthalyimo4598
    @samanthalyimo4598 11 месяцев назад

    Asante sana dada Amina kwa maelezo mazuri na ya uwazi ,ndoto yangu ni kufika ulaya kufanya kazi kwa njia sahihi

  • @aishamsandawe3029
    @aishamsandawe3029 2 года назад +1

    Dada amina nitafutie kazi ya usafi na mumewa.ngu nidereva Dada nifanyie msaadana amini mungu amekusimamisha utusaidie

  • @newtonnyembe8228
    @newtonnyembe8228 Год назад +2

    Nimekumiss sanaaa nakumbuka tu Mandela 😀

  • @kisalaTV
    @kisalaTV 3 года назад +2

    Asante, kwa ukweli unao tupa, lakini mimi naacha tangazo wara sifanyi next, nakupenda dada unajuwa kufumbua macho ya watu

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 3 года назад +6

    Msema kweli ni mpenzi wa mungu. Oga😹😹🚴‍♀️🚴‍♀️🚴‍♀️

    • @aminakupila3079
      @aminakupila3079  3 года назад +1

      Nakupenda sana my🌹🌹🌹❤️💕☝️🙏😘

  • @allanquaterman98
    @allanquaterman98 Год назад +1

    Dada hakika mungu yuko nawe, nakushukuru sana ,umenifundisha kitu kikubwa sana ambacho nimekua naumiza kichwa maana mpaka nikawa naseach nitafute nijue taratibu, nilikua na ndoto kama hizo za kubadilisha maisha yangu, hapo ngoja niendelee kufwatilia umenipa mwongozo mkubwa sana mAana niliona simple

  • @Francis-kx1sb
    @Francis-kx1sb Год назад +1

    Safi sana dada yangu yangu wengi tuna ndondo za kufanya kazi huko asante umetuelimisha

  • @kbdesgners
    @kbdesgners Год назад +1

    Mungu akuzidishie kwa kila mda unaotenga kwajil yawatu wengine nauzid kufanikiwa

  • @yusrtv2622
    @yusrtv2622 Год назад +2

    Hongera sana dada allah akuhifazi kwa kutuelewesha kwani nna ndoto kuja nje sana

  • @evarramdhani539
    @evarramdhani539 Год назад

    Asante sana dada, nafurahi sana kukutana nawe.naomba ukipata Muda tuongee unisaidie asante sana.

  • @kilimba687
    @kilimba687 2 года назад +2

    Ahsante Sana sister Amina nimekuelewa Sana me pia nina ndoto ya kuja kutafuta maisha huko nje! Kwa ajili ya kuwasaidia Ndugu zangu na wazazi wangu!

  • @reginaoyugi7283
    @reginaoyugi7283 Год назад +2

    Amina nimekupenda Buree. Na pia nakuheshimu. Unaongea mambo muhimu sana kutoka moyoni mwako. Unaupendo Kwa watu wako. Mungu akubariki🙏🙏

  • @emelesianaluambano5900
    @emelesianaluambano5900 2 года назад +1

    Amina sijui niseme ninimimi nimekuelewa sanaaa maneno yako ushauli wako nimefika mbali sana

    • @aminakupila3079
      @aminakupila3079  2 года назад

      Shukurani ndugu yangu 🥰🥰🥰🙏🙏🙏

  • @tinayonafoundertinayonafou1927
    @tinayonafoundertinayonafou1927 3 года назад +1

    Me nimesoma British council Steg 2 na nime pass lakini nilishindwa kuja kutokana na Baba yangu alifaliki. hila Mungu akupe maisha marefu nimekupenda dada

  • @mjanaheriyusuph2708
    @mjanaheriyusuph2708 3 года назад +1

    Amina nimependa sana ushauri wako sana nina tamani nipate na mba yako lli nipate kuongea na wewe parayiveti nina ona una weza kunisaidia

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 3 года назад +6

    Kwa wale wanaopenda kuona fursa hizi huwa zinatolewa kwenye website za balozi husika, mfano kama ni ujerumani ukienda pale Goethe institut- upanga (germany culture) na kama yupo aliedhamiria kuja nimshauri kusoma language huko Tz ni rahisi zaidi kuliko kusomea huku ni expensive..ni ushauri tu

    • @rose_Winchester86
      @rose_Winchester86 3 года назад

      Thanks

    • @aminakupila3079
      @aminakupila3079  3 года назад +1

      Asante sana ndugu yangu ☝️❤️❤️❤️❤️☝️🙏

    • @joyceDbonus
      @joyceDbonus 3 года назад +1

      Kwa huku unasomea wapi Lugha ya Germany sorry

    • @marthamlove1342
      @marthamlove1342 3 года назад

      Sorry naomba kujua huku Tz ukitaka kusoma lugha ya kijerumani unasomea wapi? Please naomba nijibu

    • @gracethomas683
      @gracethomas683 3 года назад +2

      Ameshajibu Goethe institut-upanga

  • @asmahtamla4749
    @asmahtamla4749 9 месяцев назад

    nimekupenda sana dada kwa ushauri wako mzuri ,thanks be blessed sister.

  • @marthamlove1342
    @marthamlove1342 3 года назад +4

    Dada Amina Mungu Mungu akubariki sana kwa kueleza ukweli ni watu wachache sana wenye moyo kama wako wengi hawaelezi ukweli juu ya Njia za kuja ulaya.Namshukuru Mungu leo nimepata channel yako kwa mara ya kwanza na nimesubscribe channel yako ili nipate mafundisho zaidi.🙏

  • @mariamtumwebaze389
    @mariamtumwebaze389 3 года назад +3

    Oh hhhhhhhhh my God kila nikisikiza video za huu dadangu nazidi kumupenda mungu akubaliki kwa roho yako nzuri mashallah

    • @aminakupila3079
      @aminakupila3079  3 года назад

      Shukurani ndugu yangu 💗☝️💕💕🙏

  • @kombohamad5615
    @kombohamad5615 2 года назад +2

    Heeee Allah akupe kheri na nguvu. Na Imani pia

  • @reginaoyugi7283
    @reginaoyugi7283 Год назад +2

    Nashukuru Mungu Kwa kuniunganisha na chanel yako... Amina nitakutafuta maana naitaji sana ushirikiano wako... Naisi moyoni mwangu nimekuelewa sana. 🙏🙏🙏🙏

  • @rishidihamza7782
    @rishidihamza7782 3 года назад +2

    Amina kupila nataka kukumbusha usiji pasuwe kichwa kuwajibu walala Hoi ambao hawana maisha rasmi. Wengi maisha magumu. Nawa natamani sana wewe uwe kama wenyewe. Kwaiyo usijisimbue Bure. Wooooote Hao ikibidi wa block hawajui Maendeleo. Mimi nipo nawewe team mmoja. All the way Australia 🇦🇺🇦🇺👍👍 take care

  • @saumusulaiman4742
    @saumusulaiman4742 Год назад +1

    Ubarikiwe dada❤

  • @abdallahmagera9160
    @abdallahmagera9160 3 года назад +2

    Dada nashukuru sana Leo Mara yangu yakwanza kuona habari zako nimezipenda sana sijawahi kuona habari za kumjenga mtu kiimani upendo na kutuakikishia namna ya kufika, wengi wametasoeliwa sana

  • @dotosalim5090
    @dotosalim5090 3 года назад +1

    We dada mungu akujaze afya umeongea kwel

  • @aishaabdalllah4149
    @aishaabdalllah4149 3 года назад +2

    Ahsant sana dada mung akujalie kila la kheli nimejifunza kitu kimpya leo

  • @elesiaamasha1429
    @elesiaamasha1429 3 года назад +1

    asante mama kwa ushaur hakika umenitoa mahali fulani Mungu akubariki sana

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 3 года назад +1

    Asante sana ant somozuli sana mungu atakulipa nimekuelewa vizuli

  • @mohammedbonero
    @mohammedbonero 7 месяцев назад

    Ukwel ni mzur sana mimi nataka kujua kwa mtu akitaka kuja huko kwa ajili ya kutafuta maisha vipi kuhusu vibali vya kuishi huko zinapatikana

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 6 месяцев назад +1

    Kama Kuna Mateso mbona huludi Afrika Mimi Naishi Poland Karibuni sana

  • @alla1325
    @alla1325 3 года назад +1

    Nimekupenda dada kwa ushauri wako mungu akubariki sana

  • @josephlugala3182
    @josephlugala3182 3 года назад +2

    Dada Amina Mimi napenda kufundishwa biashara nisaidie

  • @mathiascharles607
    @mathiascharles607 2 месяца назад

    Asante dada kwa ushauri

  • @adammussa2730
    @adammussa2730 Год назад

    Asante sana Dada asiye kuelewa unayo ongea uyo ni mfu

  • @lilliansalvatory8183
    @lilliansalvatory8183 Год назад +2

    Mungu akupe nguvu na miaka mingi.

  • @ameliawayua142
    @ameliawayua142 3 года назад +2

    Mungu akubariki Amina nilikua nataka kukuja kutafuta kazi, ila nimeogopa watu wanakatwa kichwa, wacha nikae na umasikini wangu

    • @aminakupila3079
      @aminakupila3079  3 года назад +1

      Kikweli nikipata yule ndugu nitamleta awasimulie.💕💗☝️🙏

  • @marrypius576
    @marrypius576 Год назад

    Nimekuelew dada Mungu anisaidie kun siku nitafika ulay kwa njia halali kabisaa

  • @piliitelewe2826
    @piliitelewe2826 Год назад

    Dada Amina nimependa sana kipindi chako!naomba mawasiliano yako

  • @khamisjuma39
    @khamisjuma39 2 года назад +1

    dada nakushiru mungu akupe wepesi nitafitie kazitu

  • @melkizedekikalanga3349
    @melkizedekikalanga3349 3 года назад +3

    Ana heri mtu yule ambaye kinywa chake huwabariki wenzake na kuwaombea,, saidia wa Mungu mamii, yeye Mungu halali wala kusinzia na ni bingwa wa mabingwa aliumba nchi na mbingu pasipo kutumia nguzo,, yeye atakuruzuku mengi, mema, makubwa tena ya ajabu usiyoyatazamia,,,

    • @aminakupila3079
      @aminakupila3079  3 года назад

      Amen 🙏 ☝️💗🙏sifa na utukufu apewe Bwana.💕☝️🙏🙏🙏

  • @pueblo148
    @pueblo148 8 месяцев назад +1

    Hello Amina.pls we communicate

  • @sarahjohn7772
    @sarahjohn7772 3 года назад

    Jaman❤️❤️❤️ Nakupenda Sana Na Ntazidi Kukupenda Sana Kiukweli❤️❤️❤️😀🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mjukuuwakabonga2031
    @mjukuuwakabonga2031 3 года назад +2

    Amina ,,asante my dear somo zuri

  • @mog791
    @mog791 Год назад

    Dada amin mm nimekupenda San musema kweli ni mupenzi wa mungu mm nipo Oman kwa ss miaka 4 ukimwambia mtu ukwel hawezi kuamin ila kisema uongo ndiyo wanaamin

  • @fatumafarrah2547
    @fatumafarrah2547 2 года назад +1

    Asante sana dada amina ...

  • @annexemmanuel7771
    @annexemmanuel7771 3 года назад +3

    umesema kwel amina nakupenda😘

  • @VeronicaJanuary-lf5io
    @VeronicaJanuary-lf5io 4 месяца назад

    asante naitaji kazi najua lugha ya kiswahili tu

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 3 года назад +2

    Asante mpendwa wajina ubarikiwe 🥰❤🇨🇭🇹🇿

    • @aminakupila3079
      @aminakupila3079  3 года назад

      Thank you my darling 💕💗💗❤️💗🙏☝️

  • @philipinagaspar8070
    @philipinagaspar8070 3 года назад +1

    Thank you dada Amina You change my life

  • @jacklineurassa6006
    @jacklineurassa6006 2 года назад +1

    Wewe dada unaakili nyingi sana mungu akuweke

  • @aishaabdul9287
    @aishaabdul9287 Год назад +3

    Pure love is willingness to give without a thought of receiving anything return

  • @tupilikeallan8990
    @tupilikeallan8990 Год назад +1

    Asante,kwa maelekezo mazuri,Mungu akubariki sana! natamani sana kufanya kazi ya uuguzi huko Uk, nilifanya IELTS hapa british Counsel Dar es salam nikapata 4,ila pia ilikuwa general training, UK inaitajika UKIV IELTS! so msaada wako please,

  • @melkizedekikalanga3349
    @melkizedekikalanga3349 3 года назад +2

    Ukiwa mkweli wakati mwingine utachukiwa hata na ndugu zako, usihofu mamii, mioyo ya watu wa Mungu unayoiponya ni hazina kubwa, wengine wana account benki, wewe una account kwenye mioyo ya watu,, u r the one.... Niseme nini unielewe jamani... Akili yako, maono yako, ukweli wako, upendo wako kwetu ndugu zako vinanifanya kufarijika na kupata furaha ya kweli...

  • @phennymwadilo5648
    @phennymwadilo5648 3 года назад +3

    Naomba unijibu,Mimi ni mkenya kuna agent Fulani anatengenezea mtu visit visa kisha ukifika Canada wanakukonnect na job ,sasa hio ni ya ukweli ama twadanganywa

    • @aminakupila3079
      @aminakupila3079  3 года назад +1

      Uongo

    • @gilbaleticia
      @gilbaleticia 3 года назад +4

      Kimbia, ni waongo. Mimi alinipigia simu mpk nikakoma. Mtu gani anapiga simu kila siku kukulazimisha uende Canada. Anataka ukutapeli hiyo visa fee

    • @najmamimi5007
      @najmamimi5007 3 года назад +2

      Aaah huyo ni tapeli kiukweli kuingia canada siyo kirahis kama maajent wanavyotuelezea mimi mpaka nipo na magroup huko fb lakini lengo ni kufaham jinsi gani imo na ukweli ila ni.fake at all!coz kwanza watakwambia ujaze form then utoe pesa ofisini huko canada maana watakupa account number but real fake !usijaribu nalishuhudia hili sababu mimi ni mwepesi kusoma coment nimeona watu wengi wametapeliwa so be carefull wapo kazini ila kwa nchi nyingine sifaham ila canada big nooo!

  • @murundikazitvlyditiffahruk8954
    @murundikazitvlyditiffahruk8954 3 года назад +1

    Shukuran dadang kipnz wallah nakupnd xn

  • @JimmyMbobo
    @JimmyMbobo 8 месяцев назад

    Dada amina leo umenipa elimu kubwa sana mungo akubariki sana mm nna ndoto za kwenda nje kutafuta maisha naomba cjui ntawasiliana na ww kivipi duh umenigusa sana kiukweli nmeenda sehemu kuongea nao tuh elf 50 jmn tuwe makini cjui dada ntakupata vip hili tuongee private Amina

  • @mog791
    @mog791 Год назад

    Mungu atusaidie San kwa vizazi vyetu vya ss

  • @SofiaMhoma
    @SofiaMhoma 2 месяца назад

    Asante kwa ushauri

  • @themaestro-24
    @themaestro-24 8 месяцев назад +1

    aki familia mnazowasumbua walioko Ulaya wanawakosea.Mbona hela ziko nyingi Tanzania ukijishughulisha ipasavyo.

  • @naomiwambua7183
    @naomiwambua7183 8 месяцев назад

    Mungu akizidishie kwa majinq n khadija kutoka kenya

  • @emmanuelamkinga7828
    @emmanuelamkinga7828 2 года назад +1

    asante dada nimesikiliza leo lakini nimeona kama umeongea leoivi God bless you

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 3 года назад +1

    Leo nimependa umeongelea topic moja big up sana. Uzuri wabongo wanapenda udaku saana, hizi story zakufanyishwa umalaya ulaya zipo sana wazitafute RUclips wadada na wakaka wanalia kwikwi, wamekaa ulaya miaka hawana hata mia wanaishi kama watumwa au wafungwa.

  • @fatmaalrshdii7615
    @fatmaalrshdii7615 3 года назад +2

    Pamoja sana dada angu wa ukweli ulipo Nipo

  • @stellatogolai1633
    @stellatogolai1633 Год назад +1

    Dada Santee na kingine Tanzania kuna wazungu wanatapeli uku wanaanza kudanganya Et nimekutumia zawadi

  • @ashamtoro6619
    @ashamtoro6619 3 года назад

    Asante sana bi amina niushauri mzuri sana mungu akubariki

  • @lillianeriksson8183
    @lillianeriksson8183 3 года назад +1

    Yaani hii itasaidia sana sana hafadhali umeleta hii topic

  • @khadijahmadua4811
    @khadijahmadua4811 3 года назад +1

    Leo nimesikializa,nakuwaga siangalii vidio zako mpaka mwisho,wallh leo umeongea point nimesikilza kwa umakin,shukran love you❤❤

  • @mpawenimanacharline5363
    @mpawenimanacharline5363 Год назад

    Mungu akubariki mamy

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 3 года назад +1

    Amina,MUNGU BABA ALIYEHAI azidi kukupa maono kazi kubwa unafanya,mwenye masikio na asikie,barikiwa sana.

    • @aminakupila3079
      @aminakupila3079  3 года назад

      Amen 🙏❤️❤️💕💕🙏☝️❤️🙏

  • @victoriaandrew9398
    @victoriaandrew9398 3 года назад +1

    Dada Amina nimekuwa mlevi wa masomo yako nikianza kuangalia video huwa sitaman kuacha. Ubarikiwe mnooooo

  • @saraluoga5249
    @saraluoga5249 3 года назад +5

    Dada unafundisha vyema,tunaomba uwe agent wa kibarua tuwe mikononi salama

  • @mohamedsuleiman8991
    @mohamedsuleiman8991 Год назад

    Ubarikiwe sana usemavyo upo sahihi

  • @T.W3022
    @T.W3022 3 года назад +1

    Asante sana Dada Amina, Mimi napambana kutafuta scholarship kusoma nje, hii channel yako inafundisha vingi sana, nakupenda sana.

  • @aishambise6529
    @aishambise6529 2 года назад +1

    Umeogea kwel kuna watu wana laana za ukoo na kiburi na kukosa hekima 🙏🏻

  • @alexrukundo6048
    @alexrukundo6048 3 года назад +1

    Amen ubarikiwe

  • @wilsonlorry6948
    @wilsonlorry6948 Год назад +1

    uko vema sana ubarikiwe sana

  • @magdalenauronu9279
    @magdalenauronu9279 2 года назад

    Mungu akubariki sana we dada .. umetueleza ukweli 🙏🙏

  • @byamungujoel
    @byamungujoel Год назад +2

    I Love you Sanaa mama