Ubarikiwe sana kweli nipo Miaka 16 ulaya niliishi Holland na hivi naishi Ireland unasema kweli keep telling them the truth wengi sana wana wadanganya na wengine kuwaogopesha wengine sababu hawataki wake nao wa enjoy maisha ya huku 🥰🥰🥰
Bi. Aminah kwakweli leoo umenikosha saana, kuanzia jinsi unavyoongea hadi pia unavyotufikishia ujumbe Mzuuri kabisa, yaani wewee ni LULU ambayo hatupaswi kuipotezaa!! Namuomba mwenyezi akutunze na akulinde, piaa watu wabaya wakupitie mbaali Mama.!! 🥰😍😘
Asante sana ndugu yangu Namshukuru MUNGU kwa kukupa moyo ulionao na Samahani sijui a comment yangu ni vigumu kuona zote na kuzijibu nakushukuru sana🥂🥰🥰🥰🙏🙏🙏
Nakuita Dada wa Ulaya kwa sababu wapo wengi wanafurahi kusifiwa tu ila wewe umejitolea kutueleza uhalisia ...unatusaidia sana coz kuna vingi hujui umuulize nani for better advice...Mungu akubariki sana🙏😍🇩🇪
Samahani Kuna swali nimekuuliza hujanijibu Dada Amina,swali langu nauli ya kuja na kurudi ni sh ngapi? Pia nyumba ya kulipia kwa miezi mi3 Ina gharimu kiasi gani? Naomba usichoke kutoa darasa.
dada nimekuelewa sana firsttime nakusikiliza kwenye interview yako na sky nimevutiwa sana na wewe kwa maono yako wewe huko very smart nimekukubali na kukupenda bure
Asanteh sana dada Amina.. samahani naomba niwaeleze vizuri hiko chuo kipo posta pale karibu na holland house CRDB au ilipokua steers zamani pale posta .
"Hakuna kazi ngumu Kama kuwa msema kweli, maana uongo ni bidhaa yenye wateja wengi ili hali ndani yake hamna Faida"" Safi sana dada yangu, tembea kifua mbele kwa kuzidi kutumbua majipu Wala usione haya ikiwa kusema kweli ndiyo Fungu lako salaam toka Mwanza 🐟🇹🇿. Pongezi pia leo kwa vazi rililo kustiri na utulivu wa pekee katika kuzungumza.
Pongezi sana dada kwenye hii Mada umeelezea kwa umakini mkubwa na utulivu wa hali ya juu ,umeeleweka vizuri sana . Usife moyo endelea kuelimisha jamii .sisi tuko pamoja na wewe.
Dada hakika mungu yuko nawe, nakushukuru sana ,umenifundisha kitu kikubwa sana ambacho nimekua naumiza kichwa maana mpaka nikawa naseach nitafute nijue taratibu, nilikua na ndoto kama hizo za kubadilisha maisha yangu, hapo ngoja niendelee kufwatilia umenipa mwongozo mkubwa sana mAana niliona simple
Me nimesoma British council Steg 2 na nime pass lakini nilishindwa kuja kutokana na Baba yangu alifaliki. hila Mungu akupe maisha marefu nimekupenda dada
Kwa wale wanaopenda kuona fursa hizi huwa zinatolewa kwenye website za balozi husika, mfano kama ni ujerumani ukienda pale Goethe institut- upanga (germany culture) na kama yupo aliedhamiria kuja nimshauri kusoma language huko Tz ni rahisi zaidi kuliko kusomea huku ni expensive..ni ushauri tu
Dada Amina Mungu Mungu akubariki sana kwa kueleza ukweli ni watu wachache sana wenye moyo kama wako wengi hawaelezi ukweli juu ya Njia za kuja ulaya.Namshukuru Mungu leo nimepata channel yako kwa mara ya kwanza na nimesubscribe channel yako ili nipate mafundisho zaidi.🙏
Nashukuru Mungu Kwa kuniunganisha na chanel yako... Amina nitakutafuta maana naitaji sana ushirikiano wako... Naisi moyoni mwangu nimekuelewa sana. 🙏🙏🙏🙏
Amina kupila nataka kukumbusha usiji pasuwe kichwa kuwajibu walala Hoi ambao hawana maisha rasmi. Wengi maisha magumu. Nawa natamani sana wewe uwe kama wenyewe. Kwaiyo usijisimbue Bure. Wooooote Hao ikibidi wa block hawajui Maendeleo. Mimi nipo nawewe team mmoja. All the way Australia 🇦🇺🇦🇺👍👍 take care
Dada nashukuru sana Leo Mara yangu yakwanza kuona habari zako nimezipenda sana sijawahi kuona habari za kumjenga mtu kiimani upendo na kutuakikishia namna ya kufika, wengi wametasoeliwa sana
Ana heri mtu yule ambaye kinywa chake huwabariki wenzake na kuwaombea,, saidia wa Mungu mamii, yeye Mungu halali wala kusinzia na ni bingwa wa mabingwa aliumba nchi na mbingu pasipo kutumia nguzo,, yeye atakuruzuku mengi, mema, makubwa tena ya ajabu usiyoyatazamia,,,
Dada amin mm nimekupenda San musema kweli ni mupenzi wa mungu mm nipo Oman kwa ss miaka 4 ukimwambia mtu ukwel hawezi kuamin ila kisema uongo ndiyo wanaamin
Asante,kwa maelekezo mazuri,Mungu akubariki sana! natamani sana kufanya kazi ya uuguzi huko Uk, nilifanya IELTS hapa british Counsel Dar es salam nikapata 4,ila pia ilikuwa general training, UK inaitajika UKIV IELTS! so msaada wako please,
Ukiwa mkweli wakati mwingine utachukiwa hata na ndugu zako, usihofu mamii, mioyo ya watu wa Mungu unayoiponya ni hazina kubwa, wengine wana account benki, wewe una account kwenye mioyo ya watu,, u r the one.... Niseme nini unielewe jamani... Akili yako, maono yako, ukweli wako, upendo wako kwetu ndugu zako vinanifanya kufarijika na kupata furaha ya kweli...
Naomba unijibu,Mimi ni mkenya kuna agent Fulani anatengenezea mtu visit visa kisha ukifika Canada wanakukonnect na job ,sasa hio ni ya ukweli ama twadanganywa
Aaah huyo ni tapeli kiukweli kuingia canada siyo kirahis kama maajent wanavyotuelezea mimi mpaka nipo na magroup huko fb lakini lengo ni kufaham jinsi gani imo na ukweli ila ni.fake at all!coz kwanza watakwambia ujaze form then utoe pesa ofisini huko canada maana watakupa account number but real fake !usijaribu nalishuhudia hili sababu mimi ni mwepesi kusoma coment nimeona watu wengi wametapeliwa so be carefull wapo kazini ila kwa nchi nyingine sifaham ila canada big nooo!
Dada amina leo umenipa elimu kubwa sana mungo akubariki sana mm nna ndoto za kwenda nje kutafuta maisha naomba cjui ntawasiliana na ww kivipi duh umenigusa sana kiukweli nmeenda sehemu kuongea nao tuh elf 50 jmn tuwe makini cjui dada ntakupata vip hili tuongee private Amina
Leo nimependa umeongelea topic moja big up sana. Uzuri wabongo wanapenda udaku saana, hizi story zakufanyishwa umalaya ulaya zipo sana wazitafute RUclips wadada na wakaka wanalia kwikwi, wamekaa ulaya miaka hawana hata mia wanaishi kama watumwa au wafungwa.
Ubarikiwe sana kweli nipo Miaka 16 ulaya niliishi Holland na hivi naishi Ireland unasema kweli keep telling them the truth wengi sana wana wadanganya na wengine kuwaogopesha wengine sababu hawataki wake nao wa enjoy maisha ya huku 🥰🥰🥰
Asante sana ndugu yangu 👍☝️💕💕💕💕😘☝️🙏🙏🙏
Waaaoooooo asante dada kwa ushauri wako nitaftie nami kazi huko
@@aminakupila3079asante kw ushauli
Safi nahogera dada. Pia natamani nihishi ulaya lakini sina njisi please nisahidiyeni
@@frankplatinam dada ubarikiwe Sana dada nimeipenda maelzo Yako mungu akubariki sana
Bi. Aminah kwakweli leoo umenikosha saana, kuanzia jinsi unavyoongea hadi pia unavyotufikishia ujumbe Mzuuri kabisa, yaani wewee ni LULU ambayo hatupaswi kuipotezaa!! Namuomba mwenyezi akutunze na akulinde, piaa watu wabaya wakupitie mbaali Mama.!! 🥰😍😘
Mi mtanzania naweza pata kazi
Asante sana ndugu yangu Namshukuru MUNGU kwa kukupa moyo ulionao na Samahani sijui a comment yangu ni vigumu kuona zote na kuzijibu nakushukuru sana🥂🥰🥰🥰🙏🙏🙏
Asante dada Amina kwa ushauri mzuri,well received and noted
Ubarikiwe sanaa na Mungu aliye hai.... Na roho mtakatifu azidi kukuongoza....🙏🇹🇿🌦️❤️
Nakuita Dada wa Ulaya kwa sababu wapo wengi wanafurahi kusifiwa tu ila wewe umejitolea kutueleza uhalisia ...unatusaidia sana coz kuna vingi hujui umuulize nani for better advice...Mungu akubariki sana🙏😍🇩🇪
Asante ndugu yangu 💗💕☝️🙏🙏
@@aminakupila3079 MUNGU akulinde sana Dada yangu kwakutueleza ukweli
Naomba unisaidie nifike ulaya❤❤❤❤ I'm struts you my mom
Hongera Sana Amina Kwa mafundisho yako Kwa wengine walio hawajui na mengine hawaja wapata god bless you big thanks Emmanuel from Italy milano
Namshukuru MUNGU BABA kwa mafunzo yako. Barikiwa
Asante sana dada Amina ninandoto yakuja kufanya kazi huko je unaweza kunitajia kazi nakupenda❤
Asante dada kutwambia Ukweli. Mwenyew nimewahi kuokota chupa. Walioko ulaya nao wengine wanafeki maisha ndio maana wanaombwa Hela
Asante Mungu wangu kuweza kunikutanisha na uyu Dada... Ntakupenda maisha yang yote
Samahani Kuna swali nimekuuliza hujanijibu Dada Amina,swali langu nauli ya kuja na kurudi ni sh ngapi? Pia nyumba ya kulipia kwa miezi mi3 Ina gharimu kiasi gani? Naomba usichoke kutoa darasa.
Safi kabisaaaaa dada
Dada nimekuelewa
dada nimekuelewa sana firsttime nakusikiliza kwenye interview yako na sky nimevutiwa sana na wewe kwa maono yako wewe huko very smart nimekukubali na kukupenda bure
Uyu maman ni mungu arimureta nakupenda malaika😍😍😍👍🥰
Yote uliyosema ni kweli it's not easy than it's look, na sio kukurupuka.Ahsante dada 😍😍❤💕💖👍
Sijutii kukufahamu kupitia mtandao Dada Amina❤️❤️❤️
Leo umeongea vizuri sana amina,nimekuelewa kuliko siku nyingine,mimi niko ujerumani,waafrika wapo wengi wanaishi kwa tabu mnooo,siyo rahisi kwa kweli,
Tujuane ndugu yangu
Asanteh sana dada Amina.. samahani naomba niwaeleze vizuri hiko chuo kipo posta pale karibu na holland house CRDB au ilipokua steers zamani pale posta .
"Hakuna kazi ngumu Kama kuwa msema kweli, maana uongo ni bidhaa yenye wateja wengi ili hali ndani yake hamna Faida"" Safi sana dada yangu, tembea kifua mbele kwa kuzidi kutumbua majipu Wala usione haya ikiwa kusema kweli ndiyo Fungu lako salaam toka Mwanza 🐟🇹🇿. Pongezi pia leo kwa vazi rililo kustiri na utulivu wa pekee katika kuzungumza.
Asante ndugu yangu☝️🙏
Pongezi sana dada kwenye hii Mada umeelezea kwa umakini mkubwa na utulivu wa hali ya juu ,umeeleweka vizuri sana . Usife moyo endelea kuelimisha jamii .sisi tuko pamoja na wewe.
@@mbekwamughenya9556 Namshukuru sana ndugu yangu ☝️💕💕💕💕🙏🙏🙏
Jambo sana
Shukulan Sana dadangu Unanifurahisha Sana Allah akubaliki
Dada Amina asante sana kwa kipindi chako kizuri na Mungu wa mbinguni akubariki sana
Leo umesema dada 😘
Asante mpenzi Mungu azid kukutumia,,
Asante sana dada Amina kwa maelezo mazuri na ya uwazi ,ndoto yangu ni kufika ulaya kufanya kazi kwa njia sahihi
Dada amina nitafutie kazi ya usafi na mumewa.ngu nidereva Dada nifanyie msaadana amini mungu amekusimamisha utusaidie
Nimekumiss sanaaa nakumbuka tu Mandela 😀
Asante, kwa ukweli unao tupa, lakini mimi naacha tangazo wara sifanyi next, nakupenda dada unajuwa kufumbua macho ya watu
Msema kweli ni mpenzi wa mungu. Oga😹😹🚴♀️🚴♀️🚴♀️
Nakupenda sana my🌹🌹🌹❤️💕☝️🙏😘
Dada hakika mungu yuko nawe, nakushukuru sana ,umenifundisha kitu kikubwa sana ambacho nimekua naumiza kichwa maana mpaka nikawa naseach nitafute nijue taratibu, nilikua na ndoto kama hizo za kubadilisha maisha yangu, hapo ngoja niendelee kufwatilia umenipa mwongozo mkubwa sana mAana niliona simple
Safi sana dada yangu yangu wengi tuna ndondo za kufanya kazi huko asante umetuelimisha
Mungu akuzidishie kwa kila mda unaotenga kwajil yawatu wengine nauzid kufanikiwa
Hongera sana dada allah akuhifazi kwa kutuelewesha kwani nna ndoto kuja nje sana
Asante sana dada, nafurahi sana kukutana nawe.naomba ukipata Muda tuongee unisaidie asante sana.
Ahsante Sana sister Amina nimekuelewa Sana me pia nina ndoto ya kuja kutafuta maisha huko nje! Kwa ajili ya kuwasaidia Ndugu zangu na wazazi wangu!
Amina nimekupenda Buree. Na pia nakuheshimu. Unaongea mambo muhimu sana kutoka moyoni mwako. Unaupendo Kwa watu wako. Mungu akubariki🙏🙏
Asante sana ndugu yangu🥰🥰🥰🙏🙏🙏
Amina sijui niseme ninimimi nimekuelewa sanaaa maneno yako ushauli wako nimefika mbali sana
Shukurani ndugu yangu 🥰🥰🥰🙏🙏🙏
Me nimesoma British council Steg 2 na nime pass lakini nilishindwa kuja kutokana na Baba yangu alifaliki. hila Mungu akupe maisha marefu nimekupenda dada
Amina nimependa sana ushauri wako sana nina tamani nipate na mba yako lli nipate kuongea na wewe parayiveti nina ona una weza kunisaidia
Kwa wale wanaopenda kuona fursa hizi huwa zinatolewa kwenye website za balozi husika, mfano kama ni ujerumani ukienda pale Goethe institut- upanga (germany culture) na kama yupo aliedhamiria kuja nimshauri kusoma language huko Tz ni rahisi zaidi kuliko kusomea huku ni expensive..ni ushauri tu
Thanks
Asante sana ndugu yangu ☝️❤️❤️❤️❤️☝️🙏
Kwa huku unasomea wapi Lugha ya Germany sorry
Sorry naomba kujua huku Tz ukitaka kusoma lugha ya kijerumani unasomea wapi? Please naomba nijibu
Ameshajibu Goethe institut-upanga
nimekupenda sana dada kwa ushauri wako mzuri ,thanks be blessed sister.
Dada Amina Mungu Mungu akubariki sana kwa kueleza ukweli ni watu wachache sana wenye moyo kama wako wengi hawaelezi ukweli juu ya Njia za kuja ulaya.Namshukuru Mungu leo nimepata channel yako kwa mara ya kwanza na nimesubscribe channel yako ili nipate mafundisho zaidi.🙏
Oh hhhhhhhhh my God kila nikisikiza video za huu dadangu nazidi kumupenda mungu akubaliki kwa roho yako nzuri mashallah
Shukurani ndugu yangu 💗☝️💕💕🙏
Heeee Allah akupe kheri na nguvu. Na Imani pia
Nashukuru Mungu Kwa kuniunganisha na chanel yako... Amina nitakutafuta maana naitaji sana ushirikiano wako... Naisi moyoni mwangu nimekuelewa sana. 🙏🙏🙏🙏
Amina kupila nataka kukumbusha usiji pasuwe kichwa kuwajibu walala Hoi ambao hawana maisha rasmi. Wengi maisha magumu. Nawa natamani sana wewe uwe kama wenyewe. Kwaiyo usijisimbue Bure. Wooooote Hao ikibidi wa block hawajui Maendeleo. Mimi nipo nawewe team mmoja. All the way Australia 🇦🇺🇦🇺👍👍 take care
Thank you dear 🥰🥰🥰🥰🥂🙏
Ubarikiwe dada❤
Dada nashukuru sana Leo Mara yangu yakwanza kuona habari zako nimezipenda sana sijawahi kuona habari za kumjenga mtu kiimani upendo na kutuakikishia namna ya kufika, wengi wametasoeliwa sana
We dada mungu akujaze afya umeongea kwel
Ahsant sana dada mung akujalie kila la kheli nimejifunza kitu kimpya leo
asante mama kwa ushaur hakika umenitoa mahali fulani Mungu akubariki sana
Asante sana ant somozuli sana mungu atakulipa nimekuelewa vizuli
Ukwel ni mzur sana mimi nataka kujua kwa mtu akitaka kuja huko kwa ajili ya kutafuta maisha vipi kuhusu vibali vya kuishi huko zinapatikana
Kama Kuna Mateso mbona huludi Afrika Mimi Naishi Poland Karibuni sana
Nimekupenda dada kwa ushauri wako mungu akubariki sana
Dada Amina Mimi napenda kufundishwa biashara nisaidie
Asante dada kwa ushauri
Asante sana Dada asiye kuelewa unayo ongea uyo ni mfu
Mungu akupe nguvu na miaka mingi.
Mungu akubariki Amina nilikua nataka kukuja kutafuta kazi, ila nimeogopa watu wanakatwa kichwa, wacha nikae na umasikini wangu
Kikweli nikipata yule ndugu nitamleta awasimulie.💕💗☝️🙏
Nimekuelew dada Mungu anisaidie kun siku nitafika ulay kwa njia halali kabisaa
Dada Amina nimependa sana kipindi chako!naomba mawasiliano yako
dada nakushiru mungu akupe wepesi nitafitie kazitu
Ana heri mtu yule ambaye kinywa chake huwabariki wenzake na kuwaombea,, saidia wa Mungu mamii, yeye Mungu halali wala kusinzia na ni bingwa wa mabingwa aliumba nchi na mbingu pasipo kutumia nguzo,, yeye atakuruzuku mengi, mema, makubwa tena ya ajabu usiyoyatazamia,,,
Amen 🙏 ☝️💗🙏sifa na utukufu apewe Bwana.💕☝️🙏🙏🙏
Hello Amina.pls we communicate
Jaman❤️❤️❤️ Nakupenda Sana Na Ntazidi Kukupenda Sana Kiukweli❤️❤️❤️😀🙏🙏🙏🙏🙏
Amina ,,asante my dear somo zuri
Thank you 🙏 ❤️☝️🙏
Dada amin mm nimekupenda San musema kweli ni mupenzi wa mungu mm nipo Oman kwa ss miaka 4 ukimwambia mtu ukwel hawezi kuamin ila kisema uongo ndiyo wanaamin
Asante sana dada amina ...
umesema kwel amina nakupenda😘
Me to dear💕☝️🙏
asante naitaji kazi najua lugha ya kiswahili tu
Asante mpendwa wajina ubarikiwe 🥰❤🇨🇭🇹🇿
Thank you my darling 💕💗💗❤️💗🙏☝️
Thank you dada Amina You change my life
Wewe dada unaakili nyingi sana mungu akuweke
Pure love is willingness to give without a thought of receiving anything return
Asante,kwa maelekezo mazuri,Mungu akubariki sana! natamani sana kufanya kazi ya uuguzi huko Uk, nilifanya IELTS hapa british Counsel Dar es salam nikapata 4,ila pia ilikuwa general training, UK inaitajika UKIV IELTS! so msaada wako please,
Ukiwa mkweli wakati mwingine utachukiwa hata na ndugu zako, usihofu mamii, mioyo ya watu wa Mungu unayoiponya ni hazina kubwa, wengine wana account benki, wewe una account kwenye mioyo ya watu,, u r the one.... Niseme nini unielewe jamani... Akili yako, maono yako, ukweli wako, upendo wako kwetu ndugu zako vinanifanya kufarijika na kupata furaha ya kweli...
Naomba unijibu,Mimi ni mkenya kuna agent Fulani anatengenezea mtu visit visa kisha ukifika Canada wanakukonnect na job ,sasa hio ni ya ukweli ama twadanganywa
Uongo
Kimbia, ni waongo. Mimi alinipigia simu mpk nikakoma. Mtu gani anapiga simu kila siku kukulazimisha uende Canada. Anataka ukutapeli hiyo visa fee
Aaah huyo ni tapeli kiukweli kuingia canada siyo kirahis kama maajent wanavyotuelezea mimi mpaka nipo na magroup huko fb lakini lengo ni kufaham jinsi gani imo na ukweli ila ni.fake at all!coz kwanza watakwambia ujaze form then utoe pesa ofisini huko canada maana watakupa account number but real fake !usijaribu nalishuhudia hili sababu mimi ni mwepesi kusoma coment nimeona watu wengi wametapeliwa so be carefull wapo kazini ila kwa nchi nyingine sifaham ila canada big nooo!
Shukuran dadang kipnz wallah nakupnd xn
Dada amina leo umenipa elimu kubwa sana mungo akubariki sana mm nna ndoto za kwenda nje kutafuta maisha naomba cjui ntawasiliana na ww kivipi duh umenigusa sana kiukweli nmeenda sehemu kuongea nao tuh elf 50 jmn tuwe makini cjui dada ntakupata vip hili tuongee private Amina
Mungu atusaidie San kwa vizazi vyetu vya ss
Asante kwa ushauri
aki familia mnazowasumbua walioko Ulaya wanawakosea.Mbona hela ziko nyingi Tanzania ukijishughulisha ipasavyo.
Mungu akizidishie kwa majinq n khadija kutoka kenya
asante dada nimesikiliza leo lakini nimeona kama umeongea leoivi God bless you
Thank you amen 🙏
Leo nimependa umeongelea topic moja big up sana. Uzuri wabongo wanapenda udaku saana, hizi story zakufanyishwa umalaya ulaya zipo sana wazitafute RUclips wadada na wakaka wanalia kwikwi, wamekaa ulaya miaka hawana hata mia wanaishi kama watumwa au wafungwa.
Pamoja sana dada angu wa ukweli ulipo Nipo
Dada Santee na kingine Tanzania kuna wazungu wanatapeli uku wanaanza kudanganya Et nimekutumia zawadi
Asante sana bi amina niushauri mzuri sana mungu akubariki
Yaani hii itasaidia sana sana hafadhali umeleta hii topic
Leo nimesikializa,nakuwaga siangalii vidio zako mpaka mwisho,wallh leo umeongea point nimesikilza kwa umakin,shukran love you❤❤
Mungu akubariki mamy
Amina,MUNGU BABA ALIYEHAI azidi kukupa maono kazi kubwa unafanya,mwenye masikio na asikie,barikiwa sana.
Amen 🙏❤️❤️💕💕🙏☝️❤️🙏
Dada Amina nimekuwa mlevi wa masomo yako nikianza kuangalia video huwa sitaman kuacha. Ubarikiwe mnooooo
Dada unafundisha vyema,tunaomba uwe agent wa kibarua tuwe mikononi salama
🤣🤣🤣💕💗☝️🤔😉❤️🙏
Amen ubarikiwe
Ubarikiwe sana usemavyo upo sahihi
Asante sana Dada Amina, Mimi napambana kutafuta scholarship kusoma nje, hii channel yako inafundisha vingi sana, nakupenda sana.
Umeogea kwel kuna watu wana laana za ukoo na kiburi na kukosa hekima 🙏🏻
Amen ubarikiwe
uko vema sana ubarikiwe sana
Mungu akubariki sana we dada .. umetueleza ukweli 🙏🙏
I Love you Sanaa mama