NILIOMBA UKIMBIZI CANADA| AGENT ALINILIA PESA NA VISA SIKUPATA | WADADA MJIBRAND ACHENI KUOMBA OMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Mpaukha ameeleza Safari ya maisha yake kutoka Tanzania mpaka kufika nchi ya ndoto yake Canada
    Ambapo anasema alitumia agent wa kwanza ambae alimlia pesa
    Anasema baada ya kufika tu aliomba ukimbizi, amewaasa vijana kujituma.
    Mabinti kutokua rahisi na waweze kujitegemea.
    Thank you Mpauka Jr for allowing this to be online
    www.oda.international

Комментарии • 130

  • @OfficialDatingAssistance
    @OfficialDatingAssistance  5 месяцев назад +8

    TikTok: Mpaukha Jr
    Instagram: Mpaukha Jr

    • @annamussa185
      @annamussa185 5 месяцев назад +1

      Thank you so much my ❤

    • @97digitalmedia67
      @97digitalmedia67 5 месяцев назад +3

      Ubaguzi Canada upo mkubwa Sana sema watu hawawezi kujua kama kuna Unaguzi

    • @97digitalmedia67
      @97digitalmedia67 5 месяцев назад +1

      Ubaguzi Canada mkubwa sana

    • @AminaTwaha-h6t
      @AminaTwaha-h6t 5 месяцев назад +2

      😅kweli kaongea vizuri ni huzuni sisi wadada wa bongo kuomba Kuna cost

    • @annamussa185
      @annamussa185 5 месяцев назад

      Huyu kaka ana Account mbili sasa sijuwi anatumia ipi Instagram kaka kama unaona hii comment angalia Dm yako

  • @HonestMwaria-xi2hs
    @HonestMwaria-xi2hs 4 месяца назад +3

    Ukifuatilia kwa umakini hizi interviews utagundua watu waTZ waliopambana wakafanikiwa kupata kuishi hizi nchi za nje IQ zao na namna za kufikiri sio za kawaida,kiufupi ni watu smart na intelligent.Mungu awabariki hawa wenye mioyo mizuri ya kutushirikisha hizi experience zao.Hongera sana Sr Shena kwa interview nzuri,zinatufungua sana akili waTZ

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 5 месяцев назад +14

    Napenda sana Shena anavyoheshimu mambo ya private hawi king'ng"anizi. Best youtuber wa mambo ya ughaibuni ni Shena❤❤❤

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 5 месяцев назад +4

    Nawapenda sana vijana wapambanaji. Hongera sana kijana kwa kutimiza ndoto yako ya kufika Canada

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 5 месяцев назад +3

    Ahsante shena Ahsante broh.
    Kwa kuchangia tu hapo kwa kuomba ukimbizi. Ukiomba ukimbizi sio lazima kma nchi yetu iwe na vita . Ukimbizi ni jinsi uatakavyojielezea mwenyeo nini kimekukuta. Ktk maisha yako kwa ssabu watu wengi huzani ni lazima nchi iwe na machafuko .but kuna wata huomba ukimbizi .kufikisika kibiashara akawa na madeni hawezi .kulipa . Kulawitiwa .kuwa kaka poa or dada poa . Yaaani si situation utakayoipanga na ikawagusa na ikagusa ktk jamaai ni ukisema situation yko usipindishe unachokisema hata ukiulizwa tena ndio hicho. Kwa kweli ni mambo mengi tu . Samahani sana

    • @tagomshana4032
      @tagomshana4032 5 дней назад

      Waiyo wapendwa kama nataka viza ya ukimbizi naomba uku nchini kwangu? Au hata nikiwa nipo Canada maana Mimi mpaka sasa ninsviza ya kutembea

  • @Hawamoshi-j7r
    @Hawamoshi-j7r Месяц назад

    Asante kaka

  • @aishaabdul9287
    @aishaabdul9287 5 месяцев назад +1

    Nashukuru sana dada shena tunajifunza mambo mengi

  • @malundionlinetv16
    @malundionlinetv16 2 месяца назад

    Barikiwa sana yote.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 5 месяцев назад +1

    Interview nzuri saana , nawapata vizuri mno hapa Rorya, Mara maeneo ya Shirati na Kamageta

  • @MJM52
    @MJM52 5 месяцев назад +2

    Piga kazi Shena,,,hapo hamna uharamu

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 5 месяцев назад +1

    dada nakupenda bure una busara sana na unajua kuuliza maswali ongera sana.

  • @trueone_tz
    @trueone_tz 5 месяцев назад +9

    Tatizo la Watanzania sisi ni kutokupenda na kupeana ushirikiano, pia uvivu wa kusoma na kujifunza, wengine tulichelewa kupata taarifa sahihi. wakenya na wanigeria wengi hubebana sisi ukishaenda basi hutaki hata ndugu yako aje.

  • @agnesNdonde
    @agnesNdonde 2 месяца назад

    One day yes na da shena nitakuja hapa kunihoji Canada my dream country very soon ❤

  • @WahidaAlharthi
    @WahidaAlharthi 5 месяцев назад +1

    Wewe kaka ndugu yetu Allah akubarikiye Sana
    Wewe nimkweli ikiwa mkweli

  • @linkreuben3108
    @linkreuben3108 5 месяцев назад

    Nice interview

  • @giboncebarnabas9667
    @giboncebarnabas9667 5 месяцев назад +3

    Tuwe tuna like jamani . Kulike ni kuifanya video kufika mbali sana na iweze kuonekana yaani visibility. Kingine kulike ni kazi rahisi tu wala huliwi bando lako

  • @Hawamoshi-j7r
    @Hawamoshi-j7r Месяц назад

    Kweli kabisa

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 5 месяцев назад

    Mungu akusimamie mkaka katika utafutaji wako🤲🌹

  • @ericfelician7996
    @ericfelician7996 5 месяцев назад +3

    Uani jama ,snamawazo kama yangu,canada na Australia,ndo napambania huko,ntaenda tuuu,dada ubarikiwe

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  5 месяцев назад

      Ameen 🙏

    • @salumusobo4009
      @salumusobo4009 5 месяцев назад

      Dada mwambie uyo brother anipe namba ya uyo agent aliyo mpatia visa nina mpango wa kwenda Kanada ,UK or marekani

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 5 месяцев назад +3

    Mlaiki jamani Shena anatupambania tupate madini tuna nfoto wengi ya kuondoka huku ,

  • @gsurasa6366
    @gsurasa6366 4 месяца назад

    ❤Hongera dada

  • @MAISHAYACROATIA
    @MAISHAYACROATIA 5 месяцев назад

    Interview nzuri

  • @queenofireland898
    @queenofireland898 5 месяцев назад +4

    Da shena mwambie atupe number ya agent wake

  • @bintibaibe1958
    @bintibaibe1958 5 месяцев назад +4

    Mengi ni mambo ya kishoga so wanasingizia,hio ndio sababu kwasasa ndio imeshika kasi so hawezi kusema maana hamtamuelewa kwasisi tulioko huku tunaelewa.

    • @enricajohn4120
      @enricajohn4120 4 месяца назад

      Hawapimwi kuhakikisha?

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 24 дня назад

      Stori za kosenge senge km hiz hazifai kwa iyo kila mtu anayewaza kwenda huko ni shoga toa hiz fikra za kipumbavu za voongozi wako wa CCM

    • @lovenessmallya816
      @lovenessmallya816 20 дней назад

      kuhus kutapeliwa mmi mwenyewe muhang,niliamua kuja gulf maana nilikua sina jinsi
      Kikubwa tuwe makini

  • @aminahamad3428
    @aminahamad3428 Месяц назад

    Asante shena naomba namba ya uyo ajent wa huyo kaka please

  • @talentshow2024
    @talentshow2024 5 месяцев назад +4

    Kuomba ni tabia tu na namna ya malezi.
    Ukweli ni kujirahisisha😢

  • @hanswan1
    @hanswan1 5 месяцев назад +4

    Shena hakuna fatwaa ya uharamu wa online dating kiislam, hivyo aliyeharamisha alete hoja lengo tu isiwe ni zinaa watu waoane kuleta family

  • @MamaB890
    @MamaB890 4 месяца назад +1

    Wanaume mariooo wapo wengi sana,wmekuwa wachunaji

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 5 месяцев назад +3

    Shena achana na hao watu wa nyumbani wanaosema, online date ni dhambi,unajua nyumbani watu bado hawajaamka kwa vitu vingi kwa hivyo kuelewa hivi sio rahic

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  5 месяцев назад

      Ndiomana tunawapa elimu
      I hope someday wataamka 🙏

    • @MamaB890
      @MamaB890 4 месяца назад

      Wengine ni kwasababu wamejikatia tamaa wanataka na wengine wakate tamaa kama wao

  • @MaimonaRajebo
    @MaimonaRajebo 4 месяца назад +1

    Dada naomba mwambie huyo kk anipe namba ya huyo anjet

  • @rayasaid3734
    @rayasaid3734 5 месяцев назад +1

    Kweli wa Nigeria sio watu wazuri na usharikina wanatumia,pendelea East Africa mwenzako

  • @Rhobimdenish
    @Rhobimdenish 5 месяцев назад +2

    Wa kwanza ku comment

  • @aurelialema3945
    @aurelialema3945 5 месяцев назад +3

    Anaeona online dating ni haramu hilo ni juu yake. Tuache kuwa judgemental jmn

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart2624 5 месяцев назад +3

    alafu wanaigeria hawawezi kufanya maisha mtu sio wakwao.

  • @PaulsenMgema
    @PaulsenMgema 5 месяцев назад +2

    Jamaa kaongea nondo sanaaaa

  • @MaimonaRajebo
    @MaimonaRajebo 4 месяца назад

    Kaka naomba nisaidie nami nitimize ndoto ya kufika Canada

  • @tradamus4158
    @tradamus4158 3 месяца назад

    Jamaa kaongea nondo sana kachanganya na vyuma humo humo Safi sana

  • @MaimonaRajebo
    @MaimonaRajebo 4 месяца назад

    Nisaidie hata namba ya huyo anjet mm niko oman napambana na nimetapeliwa hela km mara mbili

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 5 месяцев назад +1

    Wanaume wote tupo hivo tunapenda wanawake wanaojitoa kwa ajiri ya mwanaume nondo hii kaka kwa dada zetu utasikia mwanaume bahili simtaki badilikeni

  • @mhizavinyangaza624
    @mhizavinyangaza624 4 месяца назад +1

    Kaka naomba unitumie number ya huyo agent

    • @mohammedabdala7526
      @mohammedabdala7526 Месяц назад

      Kuna ma argent wezi wengi na Namba zao badae hazipatikani

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 5 месяцев назад

    Naomba contact za huyo Brother aweze kuniunganisha na Agent wake pliz

  • @queenofireland898
    @queenofireland898 5 месяцев назад +2

    Atupe agents number yake nasie mie nina mtt wa dada ynga anataka kwenda na yy kutafuta maisha kashaomba mara 2 hajapata kashaliwa mara 2

    • @mohrecaps
      @mohrecaps 5 месяцев назад

      Kaliwaje hiyo mara 2

  • @bettywangari6854
    @bettywangari6854 5 месяцев назад +1

    Let us subscribe here n like this video you doing great girl

  • @Ashi_Mushi
    @Ashi_Mushi Месяц назад

    Unamwaga msosiiii?!?😊

  • @KizaSamwelmpenda
    @KizaSamwelmpenda 4 месяца назад

    Dada mwambie bro anipe namba ya agent

  • @yassirmaulid683
    @yassirmaulid683 5 месяцев назад +2

    🎉

  • @AnnaLambert-xn1ye
    @AnnaLambert-xn1ye 5 месяцев назад

    Naomba kuuliza shena,ivi ukiomba ukimbizi na kupokelewa unaruhusiwa kurudi kwenu kutembea na kurudi uko?

    • @salimsalimali8285
      @salimsalimali8285 5 месяцев назад

      Ukiomba ukimbizi huwezi kurudi nchini kwako kwasababu ulisema una matatizo nchini kwako ndio maana ulkakimbia

  • @Jeff_Tz
    @Jeff_Tz 5 месяцев назад +2

    Mpaukha my friend 😅🔥🔥🙌🙌🫸

  • @Jirhley
    @Jirhley 5 месяцев назад

    Naomba namba ya agent wake basi nidili nae

  • @annakashindye5792
    @annakashindye5792 Месяц назад

    Da shena huyu kaka hana acount ya tiktok kama ipo unipe maana na mimi nahitaji aniunganishe na mtu wake aliye msaidia kumfanikishia jambo lake huyu aliemfanyia atakua mkweli

  • @komboko4143
    @komboko4143 5 месяцев назад

    Mambo ya agent nikutia mkono kizan kwahiyo ukiwa unataka safar basi usichoke kuingiza mkono kizan .tulishaliwa sana juu ya hizi safar.

  • @Hawamoshi-j7r
    @Hawamoshi-j7r Месяц назад

    Kaka anazungmzia wanawake wanaejiuza ndio wanaambiwa wko chipu

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay9776 5 месяцев назад +2

    Tena ukiwa huna hela njaa hiyo pambe utajuta😂😂😂😂

  • @OmaryKayanda-b8b
    @OmaryKayanda-b8b 19 дней назад

    nataka sana namba yako dada yangu

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto5009 4 месяца назад

    🎉🎉🎉

  • @CiscaRecaps2015
    @CiscaRecaps2015 5 месяцев назад

    pia watuambie bank statement iwe na kiasi gan

  • @nicedavid8536
    @nicedavid8536 5 месяцев назад

    Safii

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 2 месяца назад +1

    Dada tunaomba siku ututafutie chimakeke umuhoji

  • @annamussa185
    @annamussa185 5 месяцев назад +4

    Sorry Shenna,hv Canada wanatumia Dollar ya marecan au wana Dollar yao pia

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 5 месяцев назад +3

      Wana dollar yao ( Canadian dollar )

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  5 месяцев назад +3

      Wana yao
      Canadian Dollar

    • @ndettothejuice3094
      @ndettothejuice3094 2 месяца назад

      Wana Dolla Yao yenye iko chini kuliko ya.marekani eg as now 1 Canadian dollar is 106/= Kenyan money while American dollar is 140

  • @cleopatrahenry7541
    @cleopatrahenry7541 5 месяцев назад

    Yaani wewe ni mimi kabisa ila nimeshaliwa hela mpaka nimesema basi ilanajua one day yes

  • @MariamIbrahim-h7p
    @MariamIbrahim-h7p 5 месяцев назад

    Da shena mm ntakupata aje. Ninashidae na ww. Jamanii

  • @97digitalmedia67
    @97digitalmedia67 5 месяцев назад +1

    Ubaguzi CANADA UPO MKUBWA SANA SEMA HUJAFIKIA KTK ZONE ZA HAO JAMAA NDOO UTAKAPO JUA UBAGUZI WA CANADA

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  5 месяцев назад +3

      Karibu sana kwa kipindi tupate kujifunza kupitia wewe +4367764790884

    • @97digitalmedia67
      @97digitalmedia67 5 месяцев назад +2

      @@OfficialDatingAssistance
      Ahsante sana kwa mualiko wako ningpenda kutoa maadini hususan kuhusu Ubaguzi wa Canada.
      Mada yangu itakua itakua Kuhusu kwa wale wanao kwenda kujaribu kufanya biashara za kimatiafa North America.
      Tutazungumzia vile vile jinsi gani ubaguzi ulokuwapo ktk nchi hizi mbili pindi utakapo jaribu kufanya biashara kubwa au transition ya biashara ndogo za ndani ya nchi na ukataka kutoka kufanya biashara kubwa na za kimataifa
      HAPO NDIPO UTAKAPO UJUA UBAGUZI WA CANADA

  • @happinessshija5136
    @happinessshija5136 4 месяца назад

    Tusaidie Bas agent wako wa ukweli

  • @MroseMcho
    @MroseMcho 5 месяцев назад

    Sema wa bongo hatupendani

    • @winfridamdaki5699
      @winfridamdaki5699 4 месяца назад

      Sio kweli, wabongo wanapendana buana na wanasaidiana sio wote hawapendani

  • @ashafaulkner
    @ashafaulkner 5 месяцев назад

    Wewe upo nchi gani

  • @MariamIbrahim-h7p
    @MariamIbrahim-h7p 5 месяцев назад

    Na mm natamanii kiishii canada

  • @ibraoman2745
    @ibraoman2745 5 месяцев назад

    Mimi nataman Kuja Canada ila kwa galam zang sio kuletw na mtu ila sijui nifany nn

  • @josephatlitaye8598
    @josephatlitaye8598 5 месяцев назад

    Tupe namba ya Agent

  • @EdithaPaul-k3c
    @EdithaPaul-k3c 5 месяцев назад

    Kaka kama hutojali unaweza kuniunganisha na huyo agent

  • @prophetessbahatikashasha3858
    @prophetessbahatikashasha3858 5 месяцев назад

    JE huko kuna MAKANISA ya YA kiroho

  • @Justine_Tz1
    @Justine_Tz1 5 месяцев назад +2

    Views 2800 likes 23 wabongo tuache roho z kukunja tu like jaman 😢 maan hap tunajifunza vingi na Kupata madini pia

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  5 месяцев назад +2

      Shukran kwa ukumbusho 🤝

    • @Justine_Tz1
      @Justine_Tz1 5 месяцев назад +1

      @@OfficialDatingAssistanceSawa dada

    • @komboko4143
      @komboko4143 5 месяцев назад +1

      Yaan mm ningelikua na moyo mwepesi basi ningeghairi Ila sikukata tamaa Hadi nilipopata nikaondoka nikasahau kabisa yakiopita alhamdulillah tupo tunapambana Kwa sasa

    • @Justine_Tz1
      @Justine_Tz1 5 месяцев назад

      @@komboko4143 Hongera kwakutokat tamaa me mwenyew nataman san sik moj nifik huk

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 5 месяцев назад

    Masikini dah mtu anakudhulumu tu😢

  • @annamussa185
    @annamussa185 5 месяцев назад +1

    Tupe connection ya Agent kaka

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 3 месяца назад

    Kwasisi wazee wa cuba tushaelewa matatizo yanyumban yanayopelekea kuwa wakimbizi tayar tushaelewa

  • @MohamedOmary-s9n
    @MohamedOmary-s9n 5 месяцев назад

    yeye ni mwanamke masikini na nataka mwanaume tajiri😀😃😄😂😂

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 5 месяцев назад +1

    Jamani jamani eeeeh ivi vitu vya aibu sana kuomba kuomba kama walemavu,kweli ni aibu sana

  • @joejoshua7791
    @joejoshua7791 5 месяцев назад

    Watz wako wengi sana Toronto, Calgary, Vancouver ila hawapendi kujichanganya na watz wenzao

    • @Jeff_Tz
      @Jeff_Tz 5 месяцев назад

      Fanya research utajua kwa nini hawataki kujichanganya. Ukitaka kujua zaid why nifuate private

    • @joejoshua7791
      @joejoshua7791 5 месяцев назад

      @@Jeff_Tz Roho mbaya na wivu ndio maana hatupendani huko abroad

    • @hanswan1
      @hanswan1 5 месяцев назад

      Nipe sababu ​@@Jeff_Tz

    • @victoriaandrea6849
      @victoriaandrea6849 5 месяцев назад +1

      Canada nchi tulivu kwa maisha MUNGU awatunze vyema nyote mlioko huko

    • @Fetty-i1v
      @Fetty-i1v 3 месяца назад

      Kweli kaka kila kitu ni process, sio kudanganyana, mfano kuwa ukifika tu unafanya kazi, kisha kuwaambia watu wa nyumbani ukweli ni vizuri, kuliko kujipamba kwa uongo, kama wanavyojidai wengi huku nje.

  • @Maishacanada
    @Maishacanada 5 месяцев назад

    Mademu wa kipopo wabovu kaka nakubaliana na ww Baharia

  • @ashumohd2192
    @ashumohd2192 5 месяцев назад

    😂😂

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 5 месяцев назад

    To hell with ukimbizi