Sio kila Mtanzania🇹🇿 hapa USA 🇺🇸 ni mbeba boksi. Hawa wanafanya nini?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Hawa ni baadhi ya Watanzania waliopo USA kwa kuanzia miaka 15 hadi 43. Wanafanya nini kipindi chote hicho?
    #ebmscholars #ebmswahili #ughaibuni

Комментарии • 224

  • @davjoh7728
    @davjoh7728 2 года назад +34

    Congratulations to our Tanzanian brothers and sisters for the greater heights they have attained,much love from kenya.

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 2 года назад +1

      Nasisi tunawapenda wakenya ❤️❤️❤️

    • @davjoh7728
      @davjoh7728 2 года назад

      @@rukiaiddyyahaya9506 sote ni ndugu na Dada ,karibu sana

  • @berthatz
    @berthatz 2 года назад +28

    Hii imekaa vzuri sana kaka EBM..Nafurahi kuona watanzania wenzetu wanaofanya vzuri ugenini..Love my people so much…Kzi nzuri kaka EBM..👏🏾👏🏾👏🏾❤️🇹🇿🙏🏾

  • @haikamsechu8039
    @haikamsechu8039 2 года назад +7

    Hakika nafurahia sana vipindi vya EBM. Kwa wale mnaotaka kucheki maisha ughaibuni na hata kwa wale ambao tayari tupo ughaibuni. Hizi information ni nondo. Mungu endelea kuibariki kazi ya EBM.

  • @michaelkomwiswa7048
    @michaelkomwiswa7048 2 года назад +2

    Hongera kwa hao wote Asante sana Bwana EBM

  • @chemutaimaina3637
    @chemutaimaina3637 2 года назад +9

    EBM, this is a great video, informative and educative.Keep it up!

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 2 года назад +8

    EBM sasa matumani yamerudi, kama hamna anayebeba boksi basi ntajitahidi nije huko. EBM unafanya kazi nzuri.

    • @sikuzanibusanya7352
      @sikuzanibusanya7352 2 года назад

      Km hipo kz yakubeba boksi basi watwambie tusiyokuwa na Elimu ya juu jmn

  • @thanksgivingchannel6247
    @thanksgivingchannel6247 2 года назад +2

    EBM barikiwa sana, karibu Texas, yupo Bishop Robert kuanzia tarehe 9/09/2022,kupata link ya mtumishi ingia RUclips andika Robert tv Tanzania.

  • @nandikaa471
    @nandikaa471 2 года назад +3

    Congratulations to our brothers and sisters and thank you for setting a great example for all Africans. Kazi ni kazi... But always have a plan and a goal.

  • @rabisonchrizestomu1810
    @rabisonchrizestomu1810 2 года назад +3

    EBM hii nimeipenda Sana I wish na mimi ningekuwepo Leo.

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 2 года назад +10

    Uraia Pacha unahitajika haraka sana Tanzania, hii rasilimali ya Watanzania tunaihitaji nchini haraka sana.

  • @salimamri9488
    @salimamri9488 2 года назад +10

    Brother unavyo sema siokila Mtz alieko USA Sio mbeba BOX 📦 Unakosea sana kunawatu wanafanya hizo kazi namaisha yao wana yasukuma vzur napia wapo proud about it. Na wanashinda mushahara badhi ya wasomi wengi walioko Bongo kwahiyo jaribu kurekebisha kauli yako please

    • @farikkaqueen2367
      @farikkaqueen2367 2 года назад

      Stop complaining and learn

    • @sabatoarika6550
      @sabatoarika6550 2 года назад +2

      Yes don't claim because hayo ndo Mambo yaliyozoeleka kusemw kuwa watu wanaosha vyombo

  • @ladylucky1714
    @ladylucky1714 2 года назад +2

    Mahojiano ni mazuri sana. Hongera sana Mtangazaji...Nimempenda mchaga og 🤣 anavyoongea amewakilisha..wachaga hoyeee ❤❤

  • @erastokimaro8954
    @erastokimaro8954 5 дней назад

    Hongera sana

  • @aprilking8250
    @aprilking8250 2 года назад +27

    Minabeba boksi kwa mshara $22 kwa saa kwangu mimi niko sawa tu

    • @kanyankole
      @kanyankole Год назад

      Ndo upambanaji kikubwa kusaka pesa na mafanikio🙏

    • @Simulizinalilly
      @Simulizinalilly Год назад

      Big up bro keep it up... And for how many hours do you do the Job

    • @peterkariuki9073
      @peterkariuki9073 Год назад

      Halloo there! Am also from Tz

    • @abduyussuf8345
      @abduyussuf8345 8 месяцев назад

      Mi ni kinyozi ninauzoefu wa miaka 20 vipi naweza kupata kazi?

    • @rosemarygiga167
      @rosemarygiga167 7 месяцев назад

      Mambo vipi!! Naitwa Rosemary Niko arusha can we talk more if you don't mind

  • @malakimollel6044
    @malakimollel6044 2 года назад +10

    Brother Ernest ..Huyu mchaga nimemuelewa sana
    Inaonekana yupo smart sana 😁

    • @berthatz
      @berthatz 2 года назад

      @Juakali Tamthilia 😂

  • @BaigonMacha
    @BaigonMacha 8 месяцев назад +1

    Mungu awabariki

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 2 года назад +2

    I real appreciate you jmn. I wish to get connection ya kukuja huko mambele. For sure natamani ulaya saaana ila namuamini Mungu. Mchaga og nifanyie basi mchongo best

    • @Simulizinalilly
      @Simulizinalilly Год назад

      Apply green card rafiki ndo mchongo pekee ukipata umeula ndugu. Cha msingi apply apply apply Tena

  • @ngamanyajoshua839
    @ngamanyajoshua839 2 года назад +3

    Mambo ya kusema kuwa watu waliopo US na Europe ni wabeba Box mostly ni maneno ya haters wanaotamani wangepata nafasi ya kwenda Europe na US lakini wameshindwa..

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele 2 года назад +9

    Mbeba boksi ni term tu ya kumaanisha hawaafanya kazi za maana haina maana kabisa ya kubeba boksi. Wengi ndivyo walivyo hawafanyi kazi za maana Pamoja na kuwa hata Hizo kazi za hovyo SINA competitive advantage on terms of Dollar and Tshillings wanapotuma PESA Tanzania but when it comes kutuma Hizo PESA ndani ya Marekani ni struggle. I have seen many doctors with PhD Wanaosha vyoo na kuendesha taxi so inategemea how lucky are you.

  • @leadekeikelvin456
    @leadekeikelvin456 2 года назад +1

    Amazing stories 🙏🙏 I will like to visit USA & Canada ❤️❤️

  • @noelamwesiga6776
    @noelamwesiga6776 2 года назад +1

    Hopefully few years to come I'll in America that's my dream and Mr EBM your are the catalyst of my Dream.God bless you all my African Brother and sisters in America

  • @ufahamuzaidi2343
    @ufahamuzaidi2343 2 года назад +4

    Great

  • @flossiephilemon8797
    @flossiephilemon8797 2 года назад +1

    Kazi nzuri EBM
    God bless you

  • @kasukukasuku3896
    @kasukukasuku3896 2 года назад +1

    Inaonekana huko hakuna ubaguzi katika kazi niliona wtz wengine wako jeshi America,EBM thanks for inspiration

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 года назад

      Wazungu hawabagui Weusi na Waafrica tunabagua hata mkimbizi tu unamnyima haki ya msingi,Mtu kazaliwa 1972 Tz mpaka leo ni Mkimbizi,ni Haki hiyo??Marekani ukifika leo Ukiomba ukakubaliwa tu mwanao akizaliwa tu ni Raia hata kama wewe mzazi si Raia

  • @OmariTube
    @OmariTube 2 года назад +6

    EBM I’m patiently waiting for all the videos from DICOTA event

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 3 дня назад

    Hiyo kuwapa kisogo hata huku kwetu ndio hivyo safi sana

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 2 года назад

    Safi sana.Lkn next time zingatia sound makelele ni mengi sana

  • @maribasimon6993
    @maribasimon6993 Год назад

    kazi nzuri

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 года назад +4

    Safi sana maisha kutafuta ..,

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 9 месяцев назад

    Dokta p ni mrembo kweli maashaallah ❤❤❤❤

  • @gaudencemihungo4348
    @gaudencemihungo4348 2 года назад +2

    Kipindi ni kizuri.
    Lakini ni vizuri watu wajitambulishe wenyewe na kujieleza.
    Congratulations.

  • @victoriamuteti6328
    @victoriamuteti6328 2 года назад

    Kazi nzuri EBM ,number 1 fan from Kenya.

  • @jobmaclean5382
    @jobmaclean5382 2 года назад +2

    Mangi nimependa the way unaelezea jambo #welcome #December#2022

  • @manjaugodwin7834
    @manjaugodwin7834 2 года назад +2

    Jaman nımewapenda sana hongerenı nataman sıku mnıalıke nataman kwel .

  • @mr.content266
    @mr.content266 2 года назад +6

    miaka 21 nipo marekani huo ni umri wangu 😁😁
    anyway didn't expect that brother you look younger👏👏

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 2 года назад +7

    Kazi ni kazi ughaibuni. You can do many jobs, Phd or a degree is not all that important. You can clean public toilets get paid well on weekends and public holidays. Kazi ni kazi!

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 2 года назад +1

      Well said

    • @berthatz
      @berthatz 2 года назад

      Exactly….Kuna watu wanabeba box na wafanya mambo makubwa tu..

    • @Memphisblue22822
      @Memphisblue22822 Год назад

      well said lakini yule jamaa truck driver ange angaza hii comt yako mzee anatengeneza 40k a month ukitoa expenses zoote pamoja na kujilipa 1000

    • @hellenmuthoni820
      @hellenmuthoni820 Год назад

      Nawatupe Kazi Cha kuosa choo

    • @noraazan9124
      @noraazan9124 2 дня назад

      Kweli bro

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 2 года назад +4

    Titels ziko Sanaa Africa. Sababu wanataka Sana ukubwa. Na ubabaishaji.

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 2 года назад

    🤔Funua funua bro. Kila ukifunua stori na maendeleo ya Watanzania nje ya nchi itawatia motisha Watanzania wengine kufanya jitihada ya kufikia malengo kama ya hawa wenzetu. Asante EBM kwa habari🤝

  • @almuhtaramzamil
    @almuhtaramzamil 2 года назад +3

    Nimefurahi kumuona Dr.Mohamed Zuhery,wakati nipo Form 1 Popatlal Sec School Tanga alikuwa School Headboy wetu!

  • @mhudumuonline9060
    @mhudumuonline9060 2 года назад +1

    Mungu akubariki Kwa ufahamisho

  • @joymas1653
    @joymas1653 2 года назад +1

    Jamani mweee first gal talking my schoolmate vero, happy seing her !

  • @amirykingoto9123
    @amirykingoto9123 2 года назад

    Asante sana Ebm kwa shule tunajipanga tutaonana October

  • @abdulazizsadi5901
    @abdulazizsadi5901 2 года назад +2

    Very inspirational

  • @sukivlog885
    @sukivlog885 2 года назад

    EBM barikiwa sana

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 3 дня назад

    Kumbe wachaga wengi sana state aisee

  • @barakasimba6486
    @barakasimba6486 2 года назад +3

    Mm ni refrigeration technician na aluminum welder, how and what can I do nije huko boss.

    • @leecode6135
      @leecode6135 2 года назад +1

      Njoo Brasil kazi zipo mbona sio mpka marekani

    • @TrueZionTv255
      @TrueZionTv255 2 года назад

      @@leecode6135 utaratibu ukoje kuja huko?

    • @leecode6135
      @leecode6135 2 года назад +1

      Ntakutumia maelekezo

    • @TrueZionTv255
      @TrueZionTv255 2 года назад

      @@leecode6135email au contact please

    • @robertmasule4819
      @robertmasule4819 Год назад

      Lee code nipe mchongo WA Namna ya kupata kuja huko Canada

  • @da2jamhuri418
    @da2jamhuri418 2 года назад +5

    Kiongozi miyoyo yetu inandoto tayari yakwenda huko,hata box tutabeba tu,

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 2 года назад +3

    Kama tunawasomi huko SI Bora waje Tanzania wengine wawe viongozi hapa Sasa tunawapigaji tu viongozi ovyo sana hawana uzarendo nikutozwa tu Tanzania

  • @samsifuni
    @samsifuni 3 месяца назад

    haina part two hii?

  • @nataliamu4119
    @nataliamu4119 2 года назад +3

    Napenda watanzania! 🙏

  • @YohanaYoramu-nl6bw
    @YohanaYoramu-nl6bw 6 месяцев назад

    WAHA TUNAKUBARI SANA KAKA

  • @godcompeter9844
    @godcompeter9844 2 года назад +7

    Boss fanya interview na Roma mkatoliki

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 6 месяцев назад

    Wameshiba, maisha mazuri huko!

  • @jacobmsigwa383
    @jacobmsigwa383 2 года назад

    Huyo Dr wa IT ana miaka zaidi ya 20 US ila ana kiswahili amazing hadi anataja neno "UDOHOO" kama kashata ambalo ni kiswahili cha ndani ndani.

  • @samxx411
    @samxx411 2 года назад +1

    Nimependa Sana tujitahidini Sana wenzangu tunaweza kabisa

  • @beatrice3671
    @beatrice3671 2 года назад +2

    Amen 🙏

  • @peacemwakyombe
    @peacemwakyombe 2 года назад

    Dr Veeee ni mrembo Mungu azidi kumbariki

  • @wm9669
    @wm9669 2 года назад

    Interesting video.

  • @ammaherman3391
    @ammaherman3391 2 года назад +7

    One day I will earn my Law PhD in America.

  • @freddokuckelmann8502
    @freddokuckelmann8502 2 года назад +1

    Hata kama ni mbeba boksi, bado anapata pesa halali hata mbele za Mungu. Akilala ni usingizi wa amani. Kuliko msomi kwenye ofisi za selikali anayeibia wananchi, siku zote usingizi wa hofu akihofia kufa na kukutana na Mungu.

  • @samsifuni
    @samsifuni 3 месяца назад

    nimempenda sana mangi huyo. yuko realistic sana na anapenda asili yake na hajaisahau.

  • @eliudurassa8996
    @eliudurassa8996 7 дней назад

    Bidii zaidi kuhamasisha na kuwawezesha vijana wapate hizo fursa na serikali ipunguze urasimu

  • @Gdiamond360
    @Gdiamond360 2 года назад +2

    Very good video, it's good kuona WaTanzania wenzetu wameweza achieve the best education level. But after kuipata, why wameshindwa kuja convert their education where it's actually practical? Why wameshindwa kuja share with the rest of sisi nobodies?

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 года назад

      Mshahara Tz mdogo ndiyo maana tunabakia huku

    • @MZIZE
      @MZIZE Год назад

      ​@@trophywilson7211 Safi Sana 👏👏
      Nafanyaje na mm nibak?

    • @anastaziuscyriacus5415
      @anastaziuscyriacus5415 6 месяцев назад +1

      We mwenyewe unafahamu, bongo miyeyusho sana

    • @Gdiamond360
      @Gdiamond360 6 месяцев назад

      @@anastaziuscyriacus5415 kwakweli changamoto ni nyingi na kubwa

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 2 года назад

    Mazungumzo mazuri lakini angalao yangelifanyika sehemu ambayo haina kelele background..,natumaini utafanya vyema mbeleni.

  • @mwajumakitoro8582
    @mwajumakitoro8582 Год назад

    Uwe unajitahidi sauti ikae vizuri

  • @da2jamhuri418
    @da2jamhuri418 2 года назад +1

    EBM uyo mohamedi ally wajina wangu yuko huko Fanya mpango nimfate

  • @ernestmatimba9964
    @ernestmatimba9964 4 месяца назад

    Ni wamarekani wenye asili ya TANZANIA

  • @haider1997
    @haider1997 2 года назад

    Leteni raia pacha mbwa nyinyi,mnakaa bungeni na posho zenu za tsh elf 8

  • @farikkaqueen2367
    @farikkaqueen2367 2 года назад +2

    20 years in USA my whole families here.

  • @luizabahati5198
    @luizabahati5198 2 года назад

    Aisee Kinabo kumbe upo hukuuuu..salams bro..

  • @petermungai6958
    @petermungai6958 2 года назад

    EBM naomba namba yako tueze kuongea maswala kadhaa kiundani....mimi ni shabiki wako👍

  • @pceodhc
    @pceodhc 11 дней назад

    Congratulations everyone! 🎉

  • @richshayo4924
    @richshayo4924 2 года назад +2

    As longer unalipa bills who care kinachomatter what u earn na si kufurahisha watu mimi nabeba

    • @richshayo4924
      @richshayo4924 2 года назад

      Bora 📦 kuliko HR kwa 17-20/hr kukaa officine au bank teller fir 15/hr while on boxes delivery I can earn up 35/hr plus tip lol marekani ni uwe na Target tu Kuna watu wame spend 4yr on college plus student loan still they can make 10k annual gross 😝 😄 😀

  • @jobmaclean5382
    @jobmaclean5382 2 года назад +1

    Huyo Mchagga anaongea kama NIKKI #WA#PILI

  • @anordelias
    @anordelias 2 года назад

    Bro hbar naomba unisaidie na mm nipate kazi marekani

  • @mjumbemwanda9666
    @mjumbemwanda9666 2 года назад

    EBM the great

  • @happykibona2183
    @happykibona2183 2 года назад

    Nimesikia dr kibona

  • @barbarasara4033
    @barbarasara4033 2 года назад +1

    Nimecheka sana eti sio mbeba boksi

  • @ZainabuSaidi-n7d
    @ZainabuSaidi-n7d 27 дней назад

    Nataka juja huko kufanya kazi za usafi docter fundi naombay nisaidie

  • @nagyguntar2268
    @nagyguntar2268 2 года назад +1

    Mimi hata kama kuna kazi ya kuogesha mbwa na paka am rediiiiii to gooo

  • @belzylucas7275
    @belzylucas7275 2 года назад +1

    Nimependa 💞

  • @oxwad3836
    @oxwad3836 2 года назад

    👏🏿👏🏿
    .
    🇹🇿

  • @benngideon9317
    @benngideon9317 2 года назад

    😂😂😂😂hawa itakua wanafanya hotelini ndio maana wanene hivii. Mungu awabariki ndugu zangu mzidi zaidi na zaidi.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 года назад

      Mmm kila mtu akitaka kuwa mnene huku anakuwa

  • @adoumpmoussah939
    @adoumpmoussah939 2 года назад +5

    The africans are complicated,these kubeba boksi job ,they pay here in Minnesota 18$/hr
    I was googling to see how much is paid Doctor in Tanzania :5000000shillings
    Brothers,hakuna kazimbaya America .
    I came here in America 2019,natumika kwa factory ,iam paid18,65/hr
    I have bought fuso fight from japan ,now it is working in Kampala ,im planing to build a house of 30000$,during 2 next years.
    Sijuwi watu wanazarawu kazi za hapa America.
    Bado kuona mtu anabeba boksi kwa mugongo awu kicwa.

    • @jennytugara9470
      @jennytugara9470 2 года назад +5

      Title ndio ameiweka vibaya eti sio wabeba boksi wakati Mbeba matakataka wa USA analipwa kuliko Professor wa UDSM. Mentality ya Mtanzania kama huyu ni Title ya Mtu na sio kipato cha Mtu.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 года назад

      Wewe 18$/hr ,Amazon wanalipwa 3o$/hr ndugu yangu

    • @berthatz
      @berthatz 2 года назад

      @@trophywilson7211 Weee..Amazon ya wapi hiyo.??😳ziko hapa OH kibao wanalipa 19-21 inategemea na shift

    • @jennytugara9470
      @jennytugara9470 2 года назад

      @@trophywilson7211 najua zipo kazi nyingi zinalipa sana ila nilichukua ratio ya chini kutokana na sfatement eti sio kila Mtanzania ni mbeba Box. Is a job People make living. Yeye anaona ni kazi duni sana

    • @sarahmuchina1910
      @sarahmuchina1910 2 года назад

      Mimi mkenya hivi kubeba boksi ni kazi Gani?

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Год назад

    Nafrahi kuwaona ndugu zetu mkiwa huko

  • @eddyamour9720
    @eddyamour9720 2 года назад

    Hapa mwendo wa box tu Hamna chengine wakusoma asome 😂

  • @Kabi_47
    @Kabi_47 2 года назад +1

    Kiwanjani (canada & america) mchawi nguvu zakoo hakuna kazi ya kubeba box hakunaga hyo kaziiii ukifanikiwa kuingia ni rahisi kutusua coz michongo iko mingii fundi ujenz hapa canada analipwa hela nyingi kuliko mfanya kazii wa maana kabisa humu humu canada ,madereva wa magari taka wanalipwa mpunga mzurii tu madereva wa mabasii wanalipwa mpunga mzurii tuuu so bnafsii naaamin katika mipangoo ukifika kiwanjani kama hauna familia jipe miaka zaidi ya mi4 kuseto down usiwe na preshaaaa 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @amanijumanne5543
    @amanijumanne5543 Год назад

    Kaka samahani kwa watu wenye hali za chini na hawana elimu yeyote au elimu ya shule ya msingi ila wana pesa ya kufika us🇺🇲 unamsaidiaje kufika huko

  • @leilaassey1726
    @leilaassey1726 2 года назад +2

    Mchagha kanikosha jamani

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Год назад

    Jamaa wa kigoma anaongea mzee wa Rotery green card

  • @carlosben3005
    @carlosben3005 2 года назад

    Mangi angekomaa huko huko ulaya tu. Asirudi bongo. Huku bongo watampoteza. Bongo ngoma ngumu sana

  • @husseinmagoma3838
    @husseinmagoma3838 2 года назад +1

    Mambo ndugu yangu Mimi nitafutie ndugu yangu anaitwa muktari magoma,Mimi ni mmoja wa ndugu yangu Mimi ni hussein magoma,huyo alikuwa mtoto wa mtangazaji magoma najua utakuwa unamjua

  • @maulidndunda6965
    @maulidndunda6965 2 года назад

    Huyu mzee nampenda jaman niunganishe na mr.fundi nakubali Sana na dada yangu hapo

  • @phaustinegodfrey4056
    @phaustinegodfrey4056 2 года назад +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪💪

  • @agreyaloyce432
    @agreyaloyce432 Год назад

    Ones a chaga always a chaga nani

  • @joycesichone1175
    @joycesichone1175 2 года назад

    Mohamed zuberi was my school m.et at Gerezani primary school

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 2 года назад +1

    Halafu wanafuraha wenyewe hWana shida ya maisha

  • @kelvinbushis8931
    @kelvinbushis8931 9 месяцев назад

    Hello brother 👋

  • @Rasheedsmartguy
    @Rasheedsmartguy 2 года назад

    Safi hiii🇹🇿

  • @elishajustine28
    @elishajustine28 2 года назад +4

    Ss ambao hatuna high school equivalents na za u.s.a fursa zetu zinakaaje

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 года назад

      Mpaka uje kama visitor ndipo ujipange namna ya kusoma