Huyo mama nimempenda, miaka yote hiyo na anzungumza kiswahili kizuri bila hata kuchanganya na kiingerza, wakati huku TZ kuna watu ambao hawajatoka nje ya TZ lakini kila sentensi moja anaweka meno la kiingereza. Hongera sana kaka kwa kutuletea watu kama hawa....
Alienda Marekani hajui Kiswahili, amejifunzia hukohuko hicho Kiswahili. Aliondoka akiwa anajua Kihaya na kule alipofika akakutana na Kingereza kabla ya Kiswahili.
Kuna wengine wamekaa wiki tatu tena katika nchi ata hawaongei English kwamfano Sweden au Ufaransa nk utakisia Kiswahili changu sio kizuri anaanza yes no she dasent ovyooo ona mama uyo miaka 40 Kiswahili safi kabisa ❤❤❤❤
Asanteni..!! sana, sana.. Nimesikilizia majungmuzo yenu kwa bidhi.. tena yamenifurahisha sana.. Muganda (Ugandan) mini.. lakini nilipenda Kiswahili miaka mingi iliyopita.. basi nikajitahidi sana tujifundisha.. [ndiyo nilifahulu namna inaonekana kwa uwezo wango wa kukiandika (Kiswahili)].. Sasa hivi naishi London (UK).. nyumbani nitarudi ndiyo.. Kwahereni..
Asante EBM kwa kutuletea mtanzania smart kama huyu. Hongera sana Dada kwa kushuka kiswahili kizuri pamoja na kuishi huko kwa kipindi kirefu kama hicho. Angekuwa mwingine angezuga hajui kiswahili wakati hana ramani USA. Lakini na position yako unaonekana very humble
EBM!! you r the game changer....bcoz most of the diaspora...used to discourage us when it comes the issue of going abroad...they didn't want other people to know the ways and other stuff....but you have to change this mindset.....others r our classmate and relatives! Shame on them😄😄😄 May Allah bless you
Kaka, mama huyo ni mnyenyekevu sana na muwazi kwa kuwa yuko vyuoni mara nyingi mhoji tufahamu milango ya kusoma vyuo hivyo badala ya waTz kuja kufanya vijikazi. Kazi yako ni nzuri sana.
Mama ameishi USA miaka 43 lakini wala hana maringo, anaongea Kiswahili vizuri bila mbwembwe, I like it, and very big up mama! Kuna wanaoenda kwa wiki mbili tu wakirudi hukooo mnakoma...
Kwanini mnashangaa mtu kuishi marekani ni lazima awe looking glamorous? huyu katokea kijijini ni rahisi sana kubaki vile vile ,kuliko walio kulia mjini na kuwa exposure( sasa hapo exposure kwa kiswahili ndio tatizo) ambapo unakuta wanakulia culture zotembili zatu za kimagharibi ,hivyo ni rahisi kujikuta wana zamia kwnye tamaduni za nje zaidi ,kuliko wale walio kulia kwa tamaduni za kinyumbani zaidi .
Hadi raha ukifungua ukakuta mtu wa kijijini kwako ndo anahojiwa unahisi kama umemwona ndugu yako . huyu dada anaroho nzuri sana na ndugu zake karibu wote wapo marekani . mtoto wa Kamugisha toka kyelima . ila siyo yeye bali hata babake ni mwema mno mzee kamugisha very humble Niwagira . witi. Kadogo . wote hao wapo nje Mungu awalinde na mwendelee na roho nzuri
Nimefurahi sana kumusikiliza dada yangu, kutoka nkowa wa kagera, na mimi natoka mkowa wa kagera kanyigo. Dada nimempenda sana kawongeya vizuri kiswahili bila kuchanganya......👍🤝
Huyu mama kaishi USA miaka mingi lakini bado anaongea kiswahili kizuri na bila ya kuchanganya na maneno ya kiingereza, Siyo kama hao baadhi ya wabongo haswa wasanii hapa Tz. wakiongea kiswahili ni lazima wachanganye na maneno ya kiingereza, Yaani wanadhani wakiongea kiingereza Ndiyo wanaona wamesoma ,kumbe kiingereza ni lugha tu kama lugha zingine.
EBM ni moto. Endelea kutupa habari, elimu na hali ya maisha Marekani na Ulaya. Kwakweli tunajifunza, kunufaika na kujua hali tafauti za watu, nchi, maisha iwe ya raha au shida. Asante EBM🤛.
Hata watanzania wengi sana ndio tabia xao. Akigusa tu kitabu cha enhlisha hata kama hajui maneno basi anaanzakuweka maneno kama. you know., Actually. Infact😀
I like the way you promote your mother tongue , all Africans should copy from you , thank you brother , keep on , that is a very positive thing , thank you
Waaaoowww, nimempenda sana huyu mdada jamani. (Yaaanii..... ni mrembo sana & yuko mwerevu sana kichwani na juu ya yote pamoja na kukaa Marekani kwa kipindi chote hicho, hana maringo ya kuongea kingereza kwenye mazungumzo yake, tofauti na kasumba tuliyonayo Wa-Afrika wengi sana ya kuchanganya lugha ya Kiswahili na Kingereza. 👉Mungu amtunze sana Mama & kumpa maisha marefu sana yenye furaha na amani tele.
Kumbuka alikwenda Marekani ana umri wa miaka 16.ongeza miaka 43 alioishi huko.Hivyo umri wake ni miaka 59.Hesabu rahisi.Nakupongeza mwana Kagera mwenzangu.Mungu akupe umri mrefu.
Ninachowapendea Watanzania walioko Marekani wako cool,humble na wanajitahidi sana kutukuza lugha ya Kiswahili. Sisi huku mtu hajui Kiingereza fasaha lakini you know!know! nyingi!!!. Ulimbukeni unatusumbua sana.
Mama. Pongezi kwa kuongea vinzuri kiswahili bila kuchanganya na kizungu. Apo wabongo tukesikia ok yes nyingi sana 😂😂😂😂ubarikiwe mama na kaka kwa kutuletea mtanzania
Dahh kwanza nikupongeze bi mkubwa uko proud na lugha yako maana kuna vijana wakizamia afrika kusini mwaka 1 tu wana pretend kusahau kiswahili lol lakini wew ni wa tofauti sana...najifunza vingi sana hapa kupitia mahojiano yako barikiwa sana
Huyu mama nimempenda jamani yani miaka yote hiyo lkn anaongea kiswahili kizuri sana. Safi sn mama jasiri haachi asili. Wewe nijasiri sana. Hongera sana muha wetu umepata mwenzio ambae hajapoteza asili yake
Sitaki kuonekana naleta ukabila ila marekani wahaya wengi ukikutana nao wanaongea kihaya muda wote au kiswahili. Watu wameishi zaidi ya miaka 30 na bado kiswahili chao kimenyooka tu
Ni kweli wasiokaa nje wanadhani waTz wakikutana wataongea lugha ya nchi hiyo, hawajajua kwamba ni kuna ile kitu ku miss mambo ya nyumbani unajikuta unaonea lugha yako. Watambue ni kama vile baba zao wanao kuja mijini toka vijijini , wakikutana mjini na mtu wa kabila lake wataongea kilugha chao , hivyo kusahau ni ngumu .
Hellow madam, mimi nineolewa na muamerika, ninawatoto wawili, ninataka nipate kazi amerika, mume wangu amestafu, na anaogopa kunileta amerika anafikiri sitopata kazi, kwasababu yeye hana connection kubwa ya kunitafutia kazi, ushauri please
I don't think you can really forget how to speak your mother tongue unless you immigrated as child. I too came to the US while fairly young and have lived in this country for 42 years. Sometimes I tend to forget some Kiswahili words or in some cases people tell me I am speaking backwards lakini lugha bado iko haijaoza.
Huyo mama nimempenda, miaka yote hiyo na anzungumza kiswahili kizuri bila hata kuchanganya na kiingerza, wakati huku TZ kuna watu ambao hawajatoka nje ya TZ lakini kila sentensi moja anaweka meno la kiingereza. Hongera sana kaka kwa kutuletea watu kama hawa....
Ww Jasper acha kupenda wazee penda wasichana, huyu acha tumpende wazee wenzake !
Kuchanganya maneno n vbaya?
Kwani unataka anger kixungu na may b anaeza kuongea broken English 😅, better aongee tu kiswahili k
Tz wengi washamba WA kuongea kizungu. Ndio maana uwa wanachanganya
Alienda Marekani hajui Kiswahili, amejifunzia hukohuko hicho Kiswahili. Aliondoka akiwa anajua Kihaya na kule alipofika akakutana na Kingereza kabla ya Kiswahili.
Baada ya haya miaka yote huyo dada yetu anaongea kiswahili kizuri. Tunashukuru sana Bwana EBM.
Wengine wote ni kujifanya tu, huezi sahau luga at that age . Am proud of her🇰🇪🇰🇪
Af Kuna mtu akienda week mbili to huko this is the the nyiiiiing
@@saleheinnocent7636 😂😂😂
Kuna wengine wamekaa wiki tatu tena katika nchi ata hawaongei English kwamfano Sweden au Ufaransa nk utakisia Kiswahili changu sio kizuri anaanza yes no she dasent ovyooo ona mama uyo miaka 40 Kiswahili safi kabisa ❤❤❤❤
@@levinaringoma😂😂😂😂😂pole yao
Asanteni..!! sana, sana..
Nimesikilizia majungmuzo yenu kwa bidhi.. tena yamenifurahisha sana..
Muganda (Ugandan) mini.. lakini nilipenda Kiswahili miaka mingi iliyopita.. basi nikajitahidi sana tujifundisha.. [ndiyo nilifahulu namna inaonekana kwa uwezo wango wa kukiandika (Kiswahili)]..
Sasa hivi naishi London (UK).. nyumbani nitarudi ndiyo..
Kwahereni..
Hongera sana, umeshajua kuandika Kiswahili kizuri sana sasa
@@mariamagesa429
Asante sana.. nafurahi.. kwani umenipa "pass mark".. na tena nimefahulu (kupita) kwenye mtiani..
Afya njema sote...
Hongera sana
Asante EBM kwa kutuletea mtanzania smart kama huyu. Hongera sana Dada kwa kushuka kiswahili kizuri pamoja na kuishi huko kwa kipindi kirefu kama hicho. Angekuwa mwingine angezuga hajui kiswahili wakati hana ramani USA. Lakini na position yako unaonekana very humble
EBM kaka yangu..Tunajivunia wewe sana,Unafanya kazi nzuri sana.💪🏾🇹🇿❤️👏🏾
EBM!! you r the game changer....bcoz most of the diaspora...used to discourage us when it comes the issue of going abroad...they didn't want other people to know the ways and other stuff....but you have to change this mindset.....others r our classmate and relatives! Shame on them😄😄😄
May Allah bless you
This is wonderful she never forget her roots.
Safi sana, mama etu, wengine wako bongo wana ongea kingeleza kibovu wanatuganya tuuu, kiswahili lugha yako ipende 😀😀😀
Nimemaliza high school and l believe my dream came true
Thanks makulilo 😍
Hongera Sana mama wewe ni mfano wa kuigwa kwa kutukuza lugha yako na utamaduni wako
Kaka, mama huyo ni mnyenyekevu sana na muwazi kwa kuwa yuko vyuoni mara nyingi mhoji tufahamu milango ya kusoma vyuo hivyo badala ya waTz kuja kufanya vijikazi. Kazi yako ni nzuri sana.
Mama ameishi USA miaka 43 lakini wala hana maringo, anaongea Kiswahili vizuri bila mbwembwe, I like it, and very big up mama! Kuna wanaoenda kwa wiki mbili tu wakirudi hukooo mnakoma...
Kwanini mnashangaa mtu kuishi marekani ni lazima awe looking glamorous? huyu katokea kijijini ni rahisi sana kubaki vile vile ,kuliko walio kulia mjini na kuwa exposure( sasa hapo exposure kwa kiswahili ndio tatizo) ambapo unakuta wanakulia culture zotembili zatu za kimagharibi ,hivyo ni rahisi kujikuta wana zamia kwnye tamaduni za nje zaidi ,kuliko wale walio kulia kwa tamaduni za kinyumbani zaidi .
@@robbemanase9051 Sawa mkuu
Ndio maana sipendi kuongea kiingereza kwani nitaonekana naringa bure maana waswahili hawapendi huzungumze kiingereza 😅😅😅
Hadi raha ukifungua ukakuta mtu wa kijijini kwako ndo anahojiwa unahisi kama umemwona ndugu yako . huyu dada anaroho nzuri sana na ndugu zake karibu wote wapo marekani . mtoto wa Kamugisha toka kyelima . ila siyo yeye bali hata babake ni mwema mno mzee kamugisha very humble Niwagira . witi. Kadogo . wote hao wapo nje Mungu awalinde na mwendelee na roho nzuri
😂vp tena na ww kutuchanganyia lugha au upo USA ???
@@salamasaidi6620 mwenzio anajifunza acha kumuoma mshamba Sasa Tanzania wapo wanaojifunza kikolea ,kichina wakiongea utawaona washamba eti wamekaa china?? Kuchanganya sio shamba na Wala sio ajabu tujaribu kijifunza na ambae anajifunza usimkatishe tamaa
@@salamasaidi6620kwanza na kiherehere kama ameulizwa 😊😊😊😂
Aise imekaa poa
Nimefurahi sana kumusikiliza dada yangu, kutoka nkowa wa kagera, na mimi natoka mkowa wa kagera kanyigo. Dada nimempenda sana kawongeya vizuri kiswahili bila kuchanganya......👍🤝
Nilihisi tuu atakuwa muhaya Kabla ya kujielezea, wahaya mnapapenda marekani jamani🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Huyu mama kaishi USA miaka mingi lakini bado anaongea kiswahili kizuri na bila ya kuchanganya na maneno ya kiingereza, Siyo kama hao baadhi ya wabongo haswa wasanii hapa Tz. wakiongea kiswahili ni lazima wachanganye na maneno ya kiingereza, Yaani wanadhani wakiongea kiingereza Ndiyo wanaona wamesoma ,kumbe kiingereza ni lugha tu kama lugha zingine.
Nawaza kama TID angeishi Marekani hata miezi 3!!
Arafu muhaya ndo hapo utachoka 🤣😂🤣
Vipi shilole je?
Wadada wa bongo movie🤣🤣🤣
@@emanuelmhoja2411 😂😂😂😂
Huyu mama anaishi sehemu naipenda kuliko chochote.na sijui nafikaeje. North Carolina.. Dah..Mungu nisaidie
Hii nimeipenda sana.,mama mtulivu mnyenyekevu..,hana you know you know hata moja. Hii nimei wow.
Angekuwa Well Sengo tungekufa kwa kidhungu
@@judyngowi391😅😅😅😅😅
Yaani ma umeishi America miaka 43 na kiswahili it's on point na wakenya wezangu wakishaa fika America miezi 3 wamesahau.... Hongera mama
😂 😂 😂
Thanks very much l have learned something from that lady be blessed my sister much love from mombasa Kenya
Hongera sana mama, na ubarikiwe sana kwa msaada wako kwa watanzania wenzetu huko Marekani.
Huyu mama yuko powa. Anaonekana ana roho nzuri na mukweli. Asante mama kwa ushauli wako na mapenzi kwa watanzania wenzio
MashaAllah 🥳🥳👑👑inapendeza kuwaskiliza waliotangulia katika harakati za greener pastures
EBM ni moto. Endelea kutupa habari, elimu na hali ya maisha Marekani na Ulaya. Kwakweli tunajifunza, kunufaika na kujua hali tafauti za watu, nchi, maisha iwe ya raha au shida. Asante EBM🤛.
Nice. I'm Iranian girl.🧑🎤🌹 village life is very and relax and nice. Thanks for you .❤️👸🤗
Ingekua ni mkenya angekua asha sahao kiswahili safi sana ndugu zetu watanzania
But sio wote!! huyo amekuja akiwa 16 lugha hawezi kusahau.
Mi ni mkenya lakini ni kweli bro wakenya tunajisahau sana 🤣
Hata watanzania wengi sana ndio tabia xao. Akigusa tu kitabu cha enhlisha hata kama hajui maneno basi anaanzakuweka maneno kama. you know., Actually. Infact😀
I like the way you promote your mother tongue , all Africans should copy from you , thank you brother , keep on , that is a very positive thing , thank you
sasa huyu brother naye ni yupi tena?
@@joeldickson5322 mimi nataka kuonana na huyu dada napita huko North Carolina
"I like the way you promote your mother tongue". How ironic is it kusema hilo kwa lugha ya mkoloni. 😄
Hongera kutunza mila nadesturi za watz nadhan hata watoto wako unawafunza hivo,omukama abe naiwe onyegere Ishozi.
Wow! Miaka 43 nitakuwa nimesha sahau kiswahili kabisa. Dua zenu ndugu nisipoteze lugha yetu😁
😁
Hahaha
Kama unaongea na ndugu nyumbani. Kwenye. Sm hutosahau kiswahili
Sio kweli Unaweza kupoteza lugha mama ikiwa ulitoka kabla ya miaka 12 kwenye nchi yuko ya asili.ila ukishafikisha miaka 13 sio rahisi kusahau.
🤣🤣pumbavu
Kuna mbuzi zikienda mwez 1 tu zikirudi hazijui kiswahili kabisa hongera mama
Umeona eee wanachefua
😄😄😄😄
🤣🤣🤣🤣wadada wa bongo movie
Kakakakakaka
Napenda sna mama angu lafudhi ya kwetu ipo vzr hakuna kuiga ubarikiwe
EBM unawezaa!Unaeza!! Unaweza tenaaaa!!!!!
Waaaoowww, nimempenda sana huyu mdada jamani. (Yaaanii..... ni mrembo sana & yuko mwerevu sana kichwani na juu ya yote pamoja na kukaa Marekani kwa kipindi chote hicho, hana maringo ya kuongea kingereza kwenye mazungumzo yake, tofauti na kasumba tuliyonayo Wa-Afrika wengi sana ya kuchanganya lugha ya Kiswahili na Kingereza.
👉Mungu amtunze sana Mama & kumpa maisha marefu sana yenye furaha na amani tele.
Mdada 🙄
👍👍👍👍
Waooo Kipenzi wa kiziba, omkama akwebembele ozidi kuguma ninkukwatila empumbya🙏🙏🙏
@Oscar Kabobo na ona tata
🙏🙏🙏🙏
Kumbuka alikwenda Marekani ana umri wa miaka 16.ongeza miaka 43 alioishi huko.Hivyo umri wake ni miaka 59.Hesabu rahisi.Nakupongeza mwana Kagera mwenzangu.Mungu akupe umri mrefu.
Safi sana mtu mzima mwenye kujitambua ni huyo. Siyo tu watu wengine
Duuu Uyumama nimempenda kimaongezi yupovzur Mwenyewe Mungu amjarie Afya njema daimaa
Anaongea kiswahili vizuri 😘 ingikua mwengine hapo kasheshe ya maringo yes no
EBM wewe ni mtu muhimu sana, ningekuwa na hela ningekutumia ila sijajaaliwa ila asante
Asante sana dada yetu Ma koku
Ninachowapendea Watanzania walioko Marekani wako cool,humble na wanajitahidi sana kutukuza lugha ya Kiswahili. Sisi huku mtu hajui Kiingereza fasaha lakini you know!know! nyingi!!!. Ulimbukeni unatusumbua sana.
😂😂ushamba
Hongera sana Dada angu mungu akubariki sana kwa heshima uliyonayo nimekupenda sana.. Naomba Namba yako.
Mazungumzo mazuri sana yananifundisha hongera sana Mr.EBM
.
🇹🇿
Asante sana kwa kutupa njia zote za huko tulizokua hatuzijui
Nmependa hiyo “Na niposition kubwa”
Mama. Pongezi kwa kuongea vinzuri kiswahili bila kuchanganya na kizungu. Apo wabongo tukesikia ok yes nyingi sana 😂😂😂😂ubarikiwe mama na kaka kwa kutuletea mtanzania
Safi Sana !miaka 43 ughaibuni lakini kiswahili kimenyooka !wengine miezi tu kiswahili wanakinyanyapaa
Wengine hua wanajidai TU Cyo kwamba unaweza kusahau lugha yako
Dahh kwanza nikupongeze bi mkubwa uko proud na lugha yako maana kuna vijana wakizamia afrika kusini mwaka 1 tu wana pretend kusahau kiswahili lol lakini wew ni wa tofauti sana...najifunza vingi sana hapa kupitia mahojiano yako barikiwa sana
Huyu mama nimempenda jamani yani miaka yote hiyo lkn anaongea kiswahili kizuri sana. Safi sn mama jasiri haachi asili. Wewe nijasiri sana. Hongera sana muha wetu umepata mwenzio ambae hajapoteza asili yake
Brother sio kama unajisifia hapana mmi naona unatumotivate ssi vijana wa wakulima😅😅😅😅
unatumotivate ndio nn na ww yaleyaleeeee😂😂😂😂😂😂
Sitaki kuonekana naleta ukabila ila marekani wahaya wengi ukikutana nao wanaongea kihaya muda wote au kiswahili. Watu wameishi zaidi ya miaka 30 na bado kiswahili chao kimenyooka tu
Ni kweli wasiokaa nje wanadhani waTz wakikutana wataongea lugha ya nchi hiyo, hawajajua kwamba ni kuna ile kitu ku miss mambo ya nyumbani unajikuta unaonea lugha yako. Watambue ni kama vile baba zao wanao kuja mijini toka vijijini , wakikutana mjini na mtu wa kabila lake wataongea kilugha chao , hivyo kusahau ni ngumu .
Hello Dadangu huyo... Nitafutie connection nami mitue USA angalau
Hongera wifi yangu kutoka Ishozi 🙏🏼
Ila mwandishi badili heading yako
; kwanini useme Tanzania ni kijijini?!!
Huyo ni muhaya Yani rafudhi yake haijaisha Kwa kuishi marekani miaka 43
Hellow madam, mimi nineolewa na muamerika, ninawatoto wawili, ninataka nipate kazi amerika, mume wangu amestafu, na anaogopa kunileta amerika anafikiri sitopata kazi, kwasababu yeye hana connection kubwa ya kunitafutia kazi, ushauri please
Pole sana. Hao watoto ni wa mmeo? Mnaishi wapi? Umesoma secondary au high school?
Hongera sana Madam@@agnettakamugisha4984
Nimempenda huyu mama kwa maelezo yake mazuri
Miaka yote bado anaongea kiswahili vizuri kbs ila mbongo akiamua kiinglish kdg kiswahili inageuka kbs
Hivi mmemsikiaaa mama alivyo pronounce computer lkn ❤️❤️❤️🇹🇿
Nimeguswa..... Kumbe shule hainaga mwisho.... FOCUS.... TIME IS MONEY
Huyu mama nimempenda na nimemkubali sana sana❤❤❤❤❤❤
Vizuri Sana EBM....WENGI WETU TUNHITAJI KUTOKA KUFIKIA KAMA MAMA HUYU, KUNAWENGUNE WAMEULIZA MASWALI LAKN HAWAKUJIBIWA....WASAIDIENI
Ehh..EBM hujui kumbe Japanese ni lugha nzuri na watu wengi kweli wanajifunza..its the best language ever..most people go for it..
Kingereza Cha nn sasa
hebu ona elimu ya wenzetu ilivyo simple toka VETA npaka UNIVERSITY then juhudi yako kusonga mbele
Angekuwa Shilole hapo,kizungu kingekoma
Penda sana Mmama
Kiswahili kizuri na lafudhi yake ya kihaya haijapotea🎉🎉🎉 hawa walioenda ugaibuni juzi juzi wanaweka kiswanglish😂
Yuko vizuri Mama, naomba nisaidie namba zake
Kiswahili chako ni kile kile cha kitanzania..hongera sana, wengine wangeongea na mapua😂😂😂
Great job ebm
Kutana sasa na dada zetu hapo tusingeskia kiswahili hata neno moja saruti kwa mama yetu
Yaani mama wewe ungekuwa ndio wasanii wetu wa bongo angejifanya hajui hata neno moja la kiswahili
Dada ubarikiwe sanaaaa .
Umri wa miaka 16 Marekani miaka 43 bado lafudhi ya kihaya haijatoka?😂😂😂
Na mimi hilo ndo lilikua akili mwangu na mimi
Sisi wahaya lugha ni kitu tunakienzi sana. Tunatundishwa kujivunia tulipotoka daima. Huyu mama am sure anagonga kihaya pia😀😀
😂😂😂😂😂kwel we mhaya et am sure
Daahh very nice
Safi sana inapendeza hongera sana mama.
Mini naitwa Elineema Munuo nipo USA Louisiana ,
Kuna mtanzania yupo Louisiana?
Hi Elineema
Hi Madam,
Habari ya North Carolina
Sorry Cath, Nimekosea sijui kama upo North Carolina.
Hi Elineema Mimi sipo USA nipo Tz umenikumbuka?
Hapana Cath nikumbushe
Mie mwenyewe sitaki masihara miaka yote hio hata kiruga ningesahau kabish hapa enyewe nikikaa Moshi ndani ya miaka miwili kitabadilisha uongeaji wang
Nimependa sana kufatilia habari zako kwawingi sasa kaka vipi naweza kufika huko??
Je unaweza kunipa masiliano na uyo Mama?any ishi marekani?
Asante sana
Mama anaenzi lugha yake 🙌 angekuwa Harmonize angeshasahau kila kitu 😂😂😂
😂😂😂😂😂
Yaani pamoja na miaka yote hiyo lafudhi ni ya Kihaya kabisa..
Anatoka Kyelima kijiji jilani muulize kama anajua Katano nyalugongo,Luano na Kaloleni? Basi tungeonana
Anapajua. Nyumbani ni kwa Mzee Kamugisha kijiji Cha Kyelima.
Angekua wema au irene nadhani ingekuwa kiingereza tupu hapo
I don't think you can really forget how to speak your mother tongue unless you immigrated as child. I too came to the US while fairly young and have lived in this country for 42 years. Sometimes I tend to forget some Kiswahili words or in some cases people tell me I am speaking backwards lakini lugha bado iko haijaoza.
baada ya miaka yote hiyo ila kiswahili kimenyooka km rula huyo mama ana roho ya uzalendo ndani yake.
Kaka miaka mingi lkn anaongea kiswahili kizuri tu,lkn wangekua wengine hapo ungesikia..eeh mmh eeh..ya ya ya unajua!
Ndio mjue sasa wanaojua kugha ya kigeni vizuri hawaringi ila tunaojifunza ndio kila saa yea, of course, zat iz why n.k😅
Thanks for your talent,I blessu
Hongera sana mama yetu Bukoba Ishoz Ishunju tunajivunia uwepo wako asante sana kwa saport yako
😂😂😂😂😂saport tena
Mama uko vizuri
Asante umeitendea haki bukoba wahaya oyeee
Community college siyo sawa na VETA bwana. VETA ni similar na technical college.
Elewa maelezo yake husika halafu ndo hulinganishe na ulichukulia uhalisia wa mada,asante
Sawa mkuu pengine sawa au si sawa, ila imetupa tu picha alimaanisha nini.
Mm bado sijaelew jambo aliendaje endaje ingali akiw na umri mdogo wa miaka 16 mbn mtangazaj hukumuulzi hayo maswali ....
Nililetwa na Shangazi yangu. Anaishi Chicago.
Haya hongera mama
Yeye ni wetu kweli ajetusau juu bado anatukumbuka kwa lugha ya kiswali
😂😂😂😂😂😂nn umeandika
🤣 🤣 🤣 Fala kweli yaaan Tanzania ni kijiji
Safi sana
Watching from Kenya.
EBM mm ni mtanzania Niko nairobi naeza apply green card na passport ya Tanzania Nikiwa kenya
As long as una internet haijalishi upo wapi wakati wa kuomba uwe Tanzania, Kenya au popote pale unaruhusiwa
Haijalishi inchi gani... una weza jisajili green card popote ulipo!
Kuna mmoja kaenda south miaka kumi sahv ajui kiswahil
Moshi unakuja lini mda wa green card unakaribia ??
October