Nina miaka 43 nchini USA. Nilikuja nikiwa na miaka 16 toka kijijini Tanzania 🇹🇿

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • Nilikuja Marekani nikiwa na miaka 16 tu. Nimeishi USA 🇺🇸 kwa miaka 43 hadi sasa
    #ebmscholars #ebmswahili #marekani

Комментарии • 366

  • @jasperashley3869
    @jasperashley3869 2 года назад +71

    Huyo mama nimempenda, miaka yote hiyo na anzungumza kiswahili kizuri bila hata kuchanganya na kiingerza, wakati huku TZ kuna watu ambao hawajatoka nje ya TZ lakini kila sentensi moja anaweka meno la kiingereza. Hongera sana kaka kwa kutuletea watu kama hawa....

    • @godfreyobadiah7892
      @godfreyobadiah7892 Год назад +2

      Ww Jasper acha kupenda wazee penda wasichana, huyu acha tumpende wazee wenzake !

    • @FakihiNapunda
      @FakihiNapunda Год назад +2

      Kuchanganya maneno n vbaya?

    • @luckydubebello1131
      @luckydubebello1131 Год назад +2

      Kwani unataka anger kixungu na may b anaeza kuongea broken English 😅, better aongee tu kiswahili k

    • @morjanoman5181
      @morjanoman5181 5 месяцев назад +1

      Tz wengi washamba WA kuongea kizungu. Ndio maana uwa wanachanganya

    • @wennybarny168
      @wennybarny168 3 месяца назад +2

      Alienda Marekani hajui Kiswahili, amejifunzia hukohuko hicho Kiswahili. Aliondoka akiwa anajua Kihaya na kule alipofika akakutana na Kingereza kabla ya Kiswahili.

  • @michaelkomwiswa7048
    @michaelkomwiswa7048 2 года назад +64

    Baada ya haya miaka yote huyo dada yetu anaongea kiswahili kizuri. Tunashukuru sana Bwana EBM.

    • @levinaringoma
      @levinaringoma 2 года назад +7

      Wengine wote ni kujifanya tu, huezi sahau luga at that age . Am proud of her🇰🇪🇰🇪

    • @saleheinnocent7636
      @saleheinnocent7636 2 года назад +1

      Af Kuna mtu akienda week mbili to huko this is the the nyiiiiing

    • @themelodyz257
      @themelodyz257 11 месяцев назад

      @@saleheinnocent7636 😂😂😂

    • @hejmabohejhej9
      @hejmabohejhej9 10 месяцев назад

      Kuna wengine wamekaa wiki tatu tena katika nchi ata hawaongei English kwamfano Sweden au Ufaransa nk utakisia Kiswahili changu sio kizuri anaanza yes no she dasent ovyooo ona mama uyo miaka 40 Kiswahili safi kabisa ❤❤❤❤

    • @hejmabohejhej9
      @hejmabohejhej9 10 месяцев назад

      @@levinaringoma😂😂😂😂😂pole yao

  • @ocengoyugi4578
    @ocengoyugi4578 2 года назад +28

    Asanteni..!! sana, sana..
    Nimesikilizia majungmuzo yenu kwa bidhi.. tena yamenifurahisha sana..
    Muganda (Ugandan) mini.. lakini nilipenda Kiswahili miaka mingi iliyopita.. basi nikajitahidi sana tujifundisha.. [ndiyo nilifahulu namna inaonekana kwa uwezo wango wa kukiandika (Kiswahili)]..
    Sasa hivi naishi London (UK).. nyumbani nitarudi ndiyo..
    Kwahereni..

    • @mariamagesa429
      @mariamagesa429 3 месяца назад

      Hongera sana, umeshajua kuandika Kiswahili kizuri sana sasa

    • @ocengoyugi4578
      @ocengoyugi4578 3 месяца назад

      @@mariamagesa429
      Asante sana.. nafurahi.. kwani umenipa "pass mark".. na tena nimefahulu (kupita) kwenye mtiani..
      Afya njema sote...

    • @kautharjay5868
      @kautharjay5868 2 месяца назад

      Hongera sana

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 2 года назад +20

    Asante EBM kwa kutuletea mtanzania smart kama huyu. Hongera sana Dada kwa kushuka kiswahili kizuri pamoja na kuishi huko kwa kipindi kirefu kama hicho. Angekuwa mwingine angezuga hajui kiswahili wakati hana ramani USA. Lakini na position yako unaonekana very humble

  • @berthatz
    @berthatz 2 года назад +18

    EBM kaka yangu..Tunajivunia wewe sana,Unafanya kazi nzuri sana.💪🏾🇹🇿❤️👏🏾

  • @bashirmrisho8491
    @bashirmrisho8491 2 года назад +10

    EBM!! you r the game changer....bcoz most of the diaspora...used to discourage us when it comes the issue of going abroad...they didn't want other people to know the ways and other stuff....but you have to change this mindset.....others r our classmate and relatives! Shame on them😄😄😄
    May Allah bless you

  • @martinbarasa3442
    @martinbarasa3442 2 года назад +26

    This is wonderful she never forget her roots.

  • @vero57
    @vero57 2 года назад +11

    Safi sana, mama etu, wengine wako bongo wana ongea kingeleza kibovu wanatuganya tuuu, kiswahili lugha yako ipende 😀😀😀

  • @sukivlog885
    @sukivlog885 2 года назад +4

    Nimemaliza high school and l believe my dream came true
    Thanks makulilo 😍

  • @rogersnkiko7622
    @rogersnkiko7622 2 года назад +9

    Hongera Sana mama wewe ni mfano wa kuigwa kwa kutukuza lugha yako na utamaduni wako

  • @danielchacha2973
    @danielchacha2973 2 года назад +11

    Kaka, mama huyo ni mnyenyekevu sana na muwazi kwa kuwa yuko vyuoni mara nyingi mhoji tufahamu milango ya kusoma vyuo hivyo badala ya waTz kuja kufanya vijikazi. Kazi yako ni nzuri sana.

  • @ismailkanungila7039
    @ismailkanungila7039 2 года назад +5

    Mama ameishi USA miaka 43 lakini wala hana maringo, anaongea Kiswahili vizuri bila mbwembwe, I like it, and very big up mama! Kuna wanaoenda kwa wiki mbili tu wakirudi hukooo mnakoma...

    • @robbemanase9051
      @robbemanase9051 2 года назад

      Kwanini mnashangaa mtu kuishi marekani ni lazima awe looking glamorous? huyu katokea kijijini ni rahisi sana kubaki vile vile ,kuliko walio kulia mjini na kuwa exposure( sasa hapo exposure kwa kiswahili ndio tatizo) ambapo unakuta wanakulia culture zotembili zatu za kimagharibi ,hivyo ni rahisi kujikuta wana zamia kwnye tamaduni za nje zaidi ,kuliko wale walio kulia kwa tamaduni za kinyumbani zaidi .

    • @ismailkanungila7039
      @ismailkanungila7039 2 года назад +1

      @@robbemanase9051 Sawa mkuu

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 3 месяца назад

      Ndio maana sipendi kuongea kiingereza kwani nitaonekana naringa bure maana waswahili hawapendi huzungumze kiingereza 😅😅😅

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 2 года назад +23

    Hadi raha ukifungua ukakuta mtu wa kijijini kwako ndo anahojiwa unahisi kama umemwona ndugu yako . huyu dada anaroho nzuri sana na ndugu zake karibu wote wapo marekani . mtoto wa Kamugisha toka kyelima . ila siyo yeye bali hata babake ni mwema mno mzee kamugisha very humble Niwagira . witi. Kadogo . wote hao wapo nje Mungu awalinde na mwendelee na roho nzuri

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 3 месяца назад +2

      😂vp tena na ww kutuchanganyia lugha au upo USA ???

    • @kautharjay5868
      @kautharjay5868 2 месяца назад

      ​@@salamasaidi6620 mwenzio anajifunza acha kumuoma mshamba Sasa Tanzania wapo wanaojifunza kikolea ,kichina wakiongea utawaona washamba eti wamekaa china?? Kuchanganya sio shamba na Wala sio ajabu tujaribu kijifunza na ambae anajifunza usimkatishe tamaa

    • @royalfashiontz
      @royalfashiontz 2 месяца назад

      @@salamasaidi6620kwanza na kiherehere kama ameulizwa 😊😊😊😂

    • @geofreybalama5351
      @geofreybalama5351 Месяц назад

      Aise imekaa poa

  • @hamidaasiimwe4266
    @hamidaasiimwe4266 3 месяца назад +3

    Nimefurahi sana kumusikiliza dada yangu, kutoka nkowa wa kagera, na mimi natoka mkowa wa kagera kanyigo. Dada nimempenda sana kawongeya vizuri kiswahili bila kuchanganya......👍🤝

  • @janetmuhando1419
    @janetmuhando1419 2 года назад +9

    Nilihisi tuu atakuwa muhaya Kabla ya kujielezea, wahaya mnapapenda marekani jamani🤣🤣🤣🤣

  • @alsam4881
    @alsam4881 2 года назад +46

    Huyu mama kaishi USA miaka mingi lakini bado anaongea kiswahili kizuri na bila ya kuchanganya na maneno ya kiingereza, Siyo kama hao baadhi ya wabongo haswa wasanii hapa Tz. wakiongea kiswahili ni lazima wachanganye na maneno ya kiingereza, Yaani wanadhani wakiongea kiingereza Ndiyo wanaona wamesoma ,kumbe kiingereza ni lugha tu kama lugha zingine.

  • @franknamkoko8228
    @franknamkoko8228 2 года назад +2

    Huyu mama anaishi sehemu naipenda kuliko chochote.na sijui nafikaeje. North Carolina.. Dah..Mungu nisaidie

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 2 года назад +7

    Hii nimeipenda sana.,mama mtulivu mnyenyekevu..,hana you know you know hata moja. Hii nimei wow.

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 2 года назад +1

      Angekuwa Well Sengo tungekufa kwa kidhungu

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 3 месяца назад

      ​@@judyngowi391😅😅😅😅😅

  • @shikoshiko9342
    @shikoshiko9342 2 года назад +4

    Yaani ma umeishi America miaka 43 na kiswahili it's on point na wakenya wezangu wakishaa fika America miezi 3 wamesahau.... Hongera mama

  • @joycebruno312
    @joycebruno312 2 года назад +9

    Thanks very much l have learned something from that lady be blessed my sister much love from mombasa Kenya

  • @kuvetamzazi8689
    @kuvetamzazi8689 2 года назад +8

    Hongera sana mama, na ubarikiwe sana kwa msaada wako kwa watanzania wenzetu huko Marekani.

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 2 года назад +1

    Huyu mama yuko powa. Anaonekana ana roho nzuri na mukweli. Asante mama kwa ushauli wako na mapenzi kwa watanzania wenzio

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 года назад +3

    MashaAllah 🥳🥳👑👑inapendeza kuwaskiliza waliotangulia katika harakati za greener pastures

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 2 года назад +6

    EBM ni moto. Endelea kutupa habari, elimu na hali ya maisha Marekani na Ulaya. Kwakweli tunajifunza, kunufaika na kujua hali tafauti za watu, nchi, maisha iwe ya raha au shida. Asante EBM🤛.

  • @countrygirl2700
    @countrygirl2700 2 года назад +4

    Nice. I'm Iranian girl.🧑‍🎤🌹 village life is very and relax and nice. Thanks for you .❤️👸🤗

  • @harunmwangi3928
    @harunmwangi3928 2 года назад +9

    Ingekua ni mkenya angekua asha sahao kiswahili safi sana ndugu zetu watanzania

    • @sabihasalim942
      @sabihasalim942 2 года назад

      But sio wote!! huyo amekuja akiwa 16 lugha hawezi kusahau.

    • @shabbyofficial_
      @shabbyofficial_ 2 года назад

      Mi ni mkenya lakini ni kweli bro wakenya tunajisahau sana 🤣

    • @faithjonathan3845
      @faithjonathan3845 2 года назад

      Hata watanzania wengi sana ndio tabia xao. Akigusa tu kitabu cha enhlisha hata kama hajui maneno basi anaanzakuweka maneno kama. you know., Actually. Infact😀

  • @aimablendihokubwayo3700
    @aimablendihokubwayo3700 2 года назад +34

    I like the way you promote your mother tongue , all Africans should copy from you , thank you brother , keep on , that is a very positive thing , thank you

    • @joeldickson5322
      @joeldickson5322 2 года назад +3

      sasa huyu brother naye ni yupi tena?

    • @mkazilakwamchilloh3563
      @mkazilakwamchilloh3563 2 года назад

      @@joeldickson5322 mimi nataka kuonana na huyu dada napita huko North Carolina

    • @dehtkei8882
      @dehtkei8882 2 года назад

      "I like the way you promote your mother tongue". How ironic is it kusema hilo kwa lugha ya mkoloni. 😄

  • @deogratiasrugangila3100
    @deogratiasrugangila3100 2 года назад +1

    Hongera kutunza mila nadesturi za watz nadhan hata watoto wako unawafunza hivo,omukama abe naiwe onyegere Ishozi.

  • @Voyagevista-v2
    @Voyagevista-v2 2 года назад +11

    Wow! Miaka 43 nitakuwa nimesha sahau kiswahili kabisa. Dua zenu ndugu nisipoteze lugha yetu😁

    • @georgenkanawa7156
      @georgenkanawa7156 2 года назад

      😁

    • @mdzainb3722
      @mdzainb3722 2 года назад

      Hahaha

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 2 года назад +2

      Kama unaongea na ndugu nyumbani. Kwenye. Sm hutosahau kiswahili

    • @devothasimbi1055
      @devothasimbi1055 2 года назад +2

      Sio kweli Unaweza kupoteza lugha mama ikiwa ulitoka kabla ya miaka 12 kwenye nchi yuko ya asili.ila ukishafikisha miaka 13 sio rahisi kusahau.

    • @tajilimtoto5009
      @tajilimtoto5009 2 года назад

      🤣🤣pumbavu

  • @selemanyahya1225
    @selemanyahya1225 2 года назад +7

    Kuna mbuzi zikienda mwez 1 tu zikirudi hazijui kiswahili kabisa hongera mama

  • @restitutatemba1059
    @restitutatemba1059 2 года назад +1

    Napenda sna mama angu lafudhi ya kwetu ipo vzr hakuna kuiga ubarikiwe

  • @tricemollel6739
    @tricemollel6739 2 года назад +2

    EBM unawezaa!Unaeza!! Unaweza tenaaaa!!!!!

  • @kilapilo.kilapilo5292
    @kilapilo.kilapilo5292 2 года назад +23

    Waaaoowww, nimempenda sana huyu mdada jamani. (Yaaanii..... ni mrembo sana & yuko mwerevu sana kichwani na juu ya yote pamoja na kukaa Marekani kwa kipindi chote hicho, hana maringo ya kuongea kingereza kwenye mazungumzo yake, tofauti na kasumba tuliyonayo Wa-Afrika wengi sana ya kuchanganya lugha ya Kiswahili na Kingereza.
    👉Mungu amtunze sana Mama & kumpa maisha marefu sana yenye furaha na amani tele.

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 2 года назад +4

    Waooo Kipenzi wa kiziba, omkama akwebembele ozidi kuguma ninkukwatila empumbya🙏🙏🙏

  • @AbdulSuleiman-q7e
    @AbdulSuleiman-q7e 2 месяца назад

    Kumbuka alikwenda Marekani ana umri wa miaka 16.ongeza miaka 43 alioishi huko.Hivyo umri wake ni miaka 59.Hesabu rahisi.Nakupongeza mwana Kagera mwenzangu.Mungu akupe umri mrefu.

  • @JosephTherathini
    @JosephTherathini 3 месяца назад +1

    Safi sana mtu mzima mwenye kujitambua ni huyo. Siyo tu watu wengine

  • @safisimkoko1932
    @safisimkoko1932 Год назад

    Duuu Uyumama nimempenda kimaongezi yupovzur Mwenyewe Mungu amjarie Afya njema daimaa

  • @yusrasalum
    @yusrasalum 2 года назад +2

    Anaongea kiswahili vizuri 😘 ingikua mwengine hapo kasheshe ya maringo yes no

  • @princewilliam6662
    @princewilliam6662 2 года назад +1

    EBM wewe ni mtu muhimu sana, ningekuwa na hela ningekutumia ila sijajaaliwa ila asante

  • @abuukamugisha5994
    @abuukamugisha5994 2 года назад +4

    Asante sana dada yetu Ma koku

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 2 года назад +5

    Ninachowapendea Watanzania walioko Marekani wako cool,humble na wanajitahidi sana kutukuza lugha ya Kiswahili. Sisi huku mtu hajui Kiingereza fasaha lakini you know!know! nyingi!!!. Ulimbukeni unatusumbua sana.

  • @HijjatyIddy
    @HijjatyIddy 3 месяца назад

    Hongera sana Dada angu mungu akubariki sana kwa heshima uliyonayo nimekupenda sana.. Naomba Namba yako.

  • @oxwad3836
    @oxwad3836 2 года назад

    Mazungumzo mazuri sana yananifundisha hongera sana Mr.EBM
    .
    🇹🇿

  • @dichasuleyman8116
    @dichasuleyman8116 2 года назад

    Asante sana kwa kutupa njia zote za huko tulizokua hatuzijui

  • @mrfestomsyangi1305
    @mrfestomsyangi1305 2 года назад +6

    Nmependa hiyo “Na niposition kubwa”

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 5 месяцев назад

    Mama. Pongezi kwa kuongea vinzuri kiswahili bila kuchanganya na kizungu. Apo wabongo tukesikia ok yes nyingi sana 😂😂😂😂ubarikiwe mama na kaka kwa kutuletea mtanzania

  • @martinanditi9156
    @martinanditi9156 2 года назад +2

    Safi Sana !miaka 43 ughaibuni lakini kiswahili kimenyooka !wengine miezi tu kiswahili wanakinyanyapaa

    • @musasabuu2808
      @musasabuu2808 2 года назад

      Wengine hua wanajidai TU Cyo kwamba unaweza kusahau lugha yako

  • @XkluzivDonnie
    @XkluzivDonnie 2 месяца назад

    Dahh kwanza nikupongeze bi mkubwa uko proud na lugha yako maana kuna vijana wakizamia afrika kusini mwaka 1 tu wana pretend kusahau kiswahili lol lakini wew ni wa tofauti sana...najifunza vingi sana hapa kupitia mahojiano yako barikiwa sana

  • @janejoel7798
    @janejoel7798 2 года назад

    Huyu mama nimempenda jamani yani miaka yote hiyo lkn anaongea kiswahili kizuri sana. Safi sn mama jasiri haachi asili. Wewe nijasiri sana. Hongera sana muha wetu umepata mwenzio ambae hajapoteza asili yake

  • @Ahmed26171
    @Ahmed26171 9 месяцев назад +2

    Brother sio kama unajisifia hapana mmi naona unatumotivate ssi vijana wa wakulima😅😅😅😅

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 3 месяца назад

      unatumotivate ndio nn na ww yaleyaleeeee😂😂😂😂😂😂

  • @khalifakanta7701
    @khalifakanta7701 2 года назад +5

    Sitaki kuonekana naleta ukabila ila marekani wahaya wengi ukikutana nao wanaongea kihaya muda wote au kiswahili. Watu wameishi zaidi ya miaka 30 na bado kiswahili chao kimenyooka tu

    • @robbemanase9051
      @robbemanase9051 2 года назад

      Ni kweli wasiokaa nje wanadhani waTz wakikutana wataongea lugha ya nchi hiyo, hawajajua kwamba ni kuna ile kitu ku miss mambo ya nyumbani unajikuta unaonea lugha yako. Watambue ni kama vile baba zao wanao kuja mijini toka vijijini , wakikutana mjini na mtu wa kabila lake wataongea kilugha chao , hivyo kusahau ni ngumu .

  • @anorderick7162
    @anorderick7162 2 года назад

    Hello Dadangu huyo... Nitafutie connection nami mitue USA angalau

  • @makondorshimora5017
    @makondorshimora5017 2 года назад +1

    Hongera wifi yangu kutoka Ishozi 🙏🏼
    Ila mwandishi badili heading yako
    ; kwanini useme Tanzania ni kijijini?!!

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 2 года назад

      Huyo ni muhaya Yani rafudhi yake haijaisha Kwa kuishi marekani miaka 43

  • @esterwalter8298
    @esterwalter8298 2 года назад +2

    Hellow madam, mimi nineolewa na muamerika, ninawatoto wawili, ninataka nipate kazi amerika, mume wangu amestafu, na anaogopa kunileta amerika anafikiri sitopata kazi, kwasababu yeye hana connection kubwa ya kunitafutia kazi, ushauri please

    • @agnettakamugisha4984
      @agnettakamugisha4984 2 года назад

      Pole sana. Hao watoto ni wa mmeo? Mnaishi wapi? Umesoma secondary au high school?

    • @shabanisadick1978
      @shabanisadick1978 11 месяцев назад

      Hongera sana Madam​@@agnettakamugisha4984

  • @hellenrichard6528
    @hellenrichard6528 2 года назад +2

    Nimempenda huyu mama kwa maelezo yake mazuri

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 2 года назад +4

    Miaka yote bado anaongea kiswahili vizuri kbs ila mbongo akiamua kiinglish kdg kiswahili inageuka kbs

  • @sadalahitambujr1863
    @sadalahitambujr1863 3 месяца назад

    Hivi mmemsikiaaa mama alivyo pronounce computer lkn ❤️❤️❤️🇹🇿

  • @salhinashabani7995
    @salhinashabani7995 2 года назад +7

    Nimeguswa..... Kumbe shule hainaga mwisho.... FOCUS.... TIME IS MONEY

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb 3 месяца назад

    Huyu mama nimempenda na nimemkubali sana sana❤❤❤❤❤❤

  • @davidchula820
    @davidchula820 2 года назад

    Vizuri Sana EBM....WENGI WETU TUNHITAJI KUTOKA KUFIKIA KAMA MAMA HUYU, KUNAWENGUNE WAMEULIZA MASWALI LAKN HAWAKUJIBIWA....WASAIDIENI

  • @minjesha
    @minjesha 2 года назад

    Ehh..EBM hujui kumbe Japanese ni lugha nzuri na watu wengi kweli wanajifunza..its the best language ever..most people go for it..

  • @petermwantole9433
    @petermwantole9433 3 месяца назад +1

    hebu ona elimu ya wenzetu ilivyo simple toka VETA npaka UNIVERSITY then juhudi yako kusonga mbele

  • @rahmamukhtar521
    @rahmamukhtar521 2 года назад

    Angekuwa Shilole hapo,kizungu kingekoma
    Penda sana Mmama

  • @joycejoes
    @joycejoes 2 месяца назад

    Kiswahili kizuri na lafudhi yake ya kihaya haijapotea🎉🎉🎉 hawa walioenda ugaibuni juzi juzi wanaweka kiswanglish😂

  • @RivonaNtanyinya
    @RivonaNtanyinya 8 месяцев назад

    Yuko vizuri Mama, naomba nisaidie namba zake

  • @patrickndichu3905
    @patrickndichu3905 2 года назад +4

    Kiswahili chako ni kile kile cha kitanzania..hongera sana, wengine wangeongea na mapua😂😂😂

  • @njorostours3980
    @njorostours3980 2 года назад +2

    Great job ebm

  • @RamaSimbila
    @RamaSimbila 2 месяца назад

    Kutana sasa na dada zetu hapo tusingeskia kiswahili hata neno moja saruti kwa mama yetu

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 2 года назад +1

    Yaani mama wewe ungekuwa ndio wasanii wetu wa bongo angejifanya hajui hata neno moja la kiswahili

  • @FelixMbore-wq7ho
    @FelixMbore-wq7ho 4 месяца назад

    Dada ubarikiwe sanaaaa .

  • @rashidmkwinda23
    @rashidmkwinda23 2 года назад +5

    Umri wa miaka 16 Marekani miaka 43 bado lafudhi ya kihaya haijatoka?😂😂😂

    • @irenekavishe2113
      @irenekavishe2113 2 месяца назад

      Na mimi hilo ndo lilikua akili mwangu na mimi

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 2 года назад

    Sisi wahaya lugha ni kitu tunakienzi sana. Tunatundishwa kujivunia tulipotoka daima. Huyu mama am sure anagonga kihaya pia😀😀

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂kwel we mhaya et am sure

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 2 года назад +3

    Daahh very nice

  • @elineemamunuo8058
    @elineemamunuo8058 2 года назад +3

    Safi sana inapendeza hongera sana mama.
    Mini naitwa Elineema Munuo nipo USA Louisiana ,
    Kuna mtanzania yupo Louisiana?

  • @NechLove
    @NechLove 3 месяца назад

    Mie mwenyewe sitaki masihara miaka yote hio hata kiruga ningesahau kabish hapa enyewe nikikaa Moshi ndani ya miaka miwili kitabadilisha uongeaji wang

  • @eliccirebwoy9258
    @eliccirebwoy9258 2 года назад +1

    Nimependa sana kufatilia habari zako kwawingi sasa kaka vipi naweza kufika huko??

  • @prophete.balyekobora9731
    @prophete.balyekobora9731 2 года назад

    Je unaweza kunipa masiliano na uyo Mama?any ishi marekani?

  • @amosicronery7730
    @amosicronery7730 2 года назад +2

    Asante sana

  • @benjo_brighter
    @benjo_brighter 2 года назад

    Mama anaenzi lugha yake 🙌 angekuwa Harmonize angeshasahau kila kitu 😂😂😂

  • @israelhamiskiobya903
    @israelhamiskiobya903 2 года назад +4

    Yaani pamoja na miaka yote hiyo lafudhi ni ya Kihaya kabisa..

  • @JC-lk3me
    @JC-lk3me 2 года назад +1

    Anatoka Kyelima kijiji jilani muulize kama anajua Katano nyalugongo,Luano na Kaloleni? Basi tungeonana

    • @tabilkamugisha7345
      @tabilkamugisha7345 2 года назад +1

      Anapajua. Nyumbani ni kwa Mzee Kamugisha kijiji Cha Kyelima.

  • @amirhamud3343
    @amirhamud3343 2 года назад +2

    Angekua wema au irene nadhani ingekuwa kiingereza tupu hapo

  • @b.3940
    @b.3940 2 года назад +5

    I don't think you can really forget how to speak your mother tongue unless you immigrated as child. I too came to the US while fairly young and have lived in this country for 42 years. Sometimes I tend to forget some Kiswahili words or in some cases people tell me I am speaking backwards lakini lugha bado iko haijaoza.

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 2 года назад +1

    baada ya miaka yote hiyo ila kiswahili kimenyooka km rula huyo mama ana roho ya uzalendo ndani yake.

  • @mohamedshah1700
    @mohamedshah1700 2 года назад +1

    Kaka miaka mingi lkn anaongea kiswahili kizuri tu,lkn wangekua wengine hapo ungesikia..eeh mmh eeh..ya ya ya unajua!

  • @marykweka8220
    @marykweka8220 2 месяца назад

    Ndio mjue sasa wanaojua kugha ya kigeni vizuri hawaringi ila tunaojifunza ndio kila saa yea, of course, zat iz why n.k😅

  • @arch_prophetmpala6101
    @arch_prophetmpala6101 2 года назад

    Thanks for your talent,I blessu

  • @renatusdeogratias2108
    @renatusdeogratias2108 2 года назад +7

    Hongera sana mama yetu Bukoba Ishoz Ishunju tunajivunia uwepo wako asante sana kwa saport yako

  • @AminaShabani-uq9ok
    @AminaShabani-uq9ok 3 месяца назад

    Mama uko vizuri

  • @jackilenejoeli1711
    @jackilenejoeli1711 2 года назад

    Asante umeitendea haki bukoba wahaya oyeee

  • @sumatanjunior231
    @sumatanjunior231 2 года назад +1

    Community college siyo sawa na VETA bwana. VETA ni similar na technical college.

    • @joshuakitunzi9500
      @joshuakitunzi9500 2 года назад

      Elewa maelezo yake husika halafu ndo hulinganishe na ulichukulia uhalisia wa mada,asante

    • @danielchacha2973
      @danielchacha2973 2 года назад

      Sawa mkuu pengine sawa au si sawa, ila imetupa tu picha alimaanisha nini.

  • @EREVUKATV
    @EREVUKATV 2 года назад

    Mm bado sijaelew jambo aliendaje endaje ingali akiw na umri mdogo wa miaka 16 mbn mtangazaj hukumuulzi hayo maswali ....

  • @happinessmtani7621
    @happinessmtani7621 2 года назад

    Haya hongera mama

  • @festusnakadinakinyi2226
    @festusnakadinakinyi2226 2 года назад +1

    Yeye ni wetu kweli ajetusau juu bado anatukumbuka kwa lugha ya kiswali

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂nn umeandika

  • @priscarshirima3081
    @priscarshirima3081 2 года назад

    🤣 🤣 🤣 Fala kweli yaaan Tanzania ni kijiji

  • @athumaniamiri880
    @athumaniamiri880 2 года назад +1

    Safi sana

  • @MercysEmpire_ke
    @MercysEmpire_ke 2 года назад

    Watching from Kenya.

  • @254interiorkenya5
    @254interiorkenya5 2 года назад +2

    EBM mm ni mtanzania Niko nairobi naeza apply green card na passport ya Tanzania Nikiwa kenya

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  2 года назад +4

      As long as una internet haijalishi upo wapi wakati wa kuomba uwe Tanzania, Kenya au popote pale unaruhusiwa

    • @rugendorunene545
      @rugendorunene545 2 года назад +2

      Haijalishi inchi gani... una weza jisajili green card popote ulipo!

  • @kelvinmasungakilunguja7539
    @kelvinmasungakilunguja7539 2 месяца назад

    Kuna mmoja kaenda south miaka kumi sahv ajui kiswahil

  • @254interiorkenya5
    @254interiorkenya5 2 года назад +4

    Moshi unakuja lini mda wa green card unakaribia ??