Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Wew muongo et unapekeka kusaidia wakati unavituma kwenu huko mwanza😂😂
Duh! Huko Mbona Kamseleleko Kaka 😅😅😅😅 Tatizo Visa Tu! Ningekuja Kuokota Maisha Yangu Yote Na Kuleta Bongo 😂😂😂😂
Hahaha Ety kamseleleko
Visa ukifuata taratibu unapata bila shida je kwanza una passport?
I like your show
Mtaa gan uo kaka
Duhhhhh mpya kabixa anga zetu huku aisee@ACTOR BONGO MOVIE TZ @
Noma
Wakwanza mie leo jmn naomben like ❤ kutoka UAE
Karibu
Thx so much bro unatupa material mzr sn na mungu Akubariki
Nakubali sana kaka
Bro hili jimbo gani
Nakuamini.❤
Ni ukweli sio Marekani TU hata nchi za Scandinavia eg.Denmark,Norway na Sweden wanafanya hayo.mf.miji ya Arboga, Mariaberg na Feringsbro.
Huko ni kutafuta hela ya kulipia kodi ya chumba na hela ya chakulatuu maana Matandiko kama yote mafriji
Noma 😂
kwakweli
Kwann hamtaki kutupa connection za kuja huko mambele
Connection pesa tu Ukiwa nayo mbn kazi zipo nyingi tu na watu wanatakiwa ila Hadi uwepo kule
Sasa swali la kujiuliza wale wanosafirisha mizigo ya used,inakuwaje kwenye kusafirisha
Si wanasafirisha Kwa njia ya ndege au meli then wanalipia gharama ya mzigo mpk sehemu husika
Camera man wako arudi shule Tena hajui
@juniortalent unaupiga mwingi🙌
Shukrani
unyama sana
Maisha Ni nguvu(energy), hivyo Basi wazungu wanaamini kitu kikitumika maanake kimejaa nguvu(energy) mbaya, ambayo inazuia flowing ya nguvu mpya na mafanikio ndo maana hivyo vilivyochakaa wanatoa ili kuleta neema nyingine ndani ya nyumba!
Kumbe
Bro upo jimbo gani na mji gani?
Hapo ni jimbo gani au sehemu gani
Simchezo YAANI hadi raha
Hatar
Connection kaka nipo tiari
Je passport unayo ?
@@InformationMarketer007 ndio ninayo
Blood ❤😊
Me na wew tena brouh♥️
Naomba mawasiliano yako naomba please
Navichukua nikavidoneti, acha usenge peleka gheto fala
Usemi ni jimbo gani tatizo hilo
Mbona hawatupi magari
😂😂😂😂😂😂😂😂
Hata magari wanatupa
Hawatupi magari? yaliyotumika
Ni mutaa gani huyo????
Sasa rafikiangu unaniangusha kwenye kuandika mrundi mwenzangu sema mtaa gani huo nawala si huyo😅 mtaa sio mutaa😢
Mali sana
Kaka upo State gani?
Iowa now
Wew muongo et unapekeka kusaidia wakati unavituma kwenu huko mwanza😂😂
Duh! Huko Mbona Kamseleleko Kaka 😅😅😅😅 Tatizo Visa Tu! Ningekuja Kuokota Maisha Yangu Yote Na Kuleta Bongo 😂😂😂😂
Hahaha Ety kamseleleko
Visa ukifuata taratibu unapata bila shida je kwanza una passport?
I like your show
Mtaa gan uo kaka
Duhhhhh mpya kabixa anga zetu huku aisee
@ACTOR BONGO MOVIE TZ @
Noma
Wakwanza mie leo jmn naomben like ❤ kutoka UAE
Karibu
Thx so much bro unatupa material mzr sn na mungu Akubariki
Nakubali sana kaka
Bro hili jimbo gani
Nakuamini.❤
Ni ukweli sio Marekani TU hata nchi za Scandinavia eg.Denmark,Norway na Sweden wanafanya hayo.mf.miji ya Arboga, Mariaberg na Feringsbro.
Huko ni kutafuta hela ya kulipia kodi ya chumba na hela ya chakulatuu maana Matandiko kama yote mafriji
Noma 😂
kwakweli
Kwann hamtaki kutupa connection za kuja huko mambele
Connection pesa tu Ukiwa nayo mbn kazi zipo nyingi tu na watu wanatakiwa ila Hadi uwepo kule
Sasa swali la kujiuliza wale wanosafirisha mizigo ya used,inakuwaje kwenye kusafirisha
Si wanasafirisha Kwa njia ya ndege au meli then wanalipia gharama ya mzigo mpk sehemu husika
Camera man wako arudi shule Tena hajui
@juniortalent unaupiga mwingi🙌
Shukrani
unyama sana
Maisha Ni nguvu(energy), hivyo Basi wazungu wanaamini kitu kikitumika maanake kimejaa nguvu(energy) mbaya, ambayo inazuia flowing ya nguvu mpya na mafanikio ndo maana hivyo vilivyochakaa wanatoa ili kuleta neema nyingine ndani ya nyumba!
Kumbe
Bro upo jimbo gani na mji gani?
Hapo ni jimbo gani au sehemu gani
Simchezo YAANI hadi raha
Noma
Hatar
Connection kaka nipo tiari
Je passport unayo ?
@@InformationMarketer007 ndio ninayo
Blood ❤😊
Shukrani
Me na wew tena brouh♥️
Naomba mawasiliano yako naomba please
Navichukua nikavidoneti, acha usenge peleka gheto fala
Usemi ni jimbo gani tatizo hilo
Mbona hawatupi magari
😂😂😂😂😂😂😂😂
Hata magari wanatupa
Hawatupi magari? yaliyotumika
Ni mutaa gani huyo????
Sasa rafikiangu unaniangusha kwenye kuandika mrundi mwenzangu sema mtaa gani huo nawala si huyo😅 mtaa sio mutaa😢
Mali sana
Shukrani
Kaka upo State gani?
Iowa now