VITU VYA KUOKOTA MAREKANI (USA) UNAWEZA UZA MTUMBNA TANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 70

  • @IsmailHaji-mn3ko
    @IsmailHaji-mn3ko 3 месяца назад +4

    Mwijaku atavisafirisha kupitia Silent ocean akaviweke kwenye ghorofa lake kigamboni😂😂😂😂

  • @lusajomwakajoka4955
    @lusajomwakajoka4955 6 месяцев назад +3

    Wew muongo et unapekeka kusaidia wakati unavituma kwenu huko mwanza😂😂

  • @Wanaharakati
    @Wanaharakati Год назад +1

    Duhhhhh mpya kabixa anga zetu huku aisee
    @ACTOR BONGO MOVIE TZ @

  • @SalamaA-x6k
    @SalamaA-x6k 12 дней назад

    Kuna rahauko😂😂

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 Год назад

    Thx so much bro unatupa material mzr sn na mungu Akubariki

  • @GraceAbraham-l9h
    @GraceAbraham-l9h 12 дней назад

    Mmmh jamani naomba nisikupoteze

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Год назад +4

    Wakwanza mie leo jmn naomben like ❤ kutoka UAE

  • @AliDotto
    @AliDotto 17 дней назад

    😮Daah baada ya kuchukuwa Tv flat lile nch55 mwanangu😊

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious Год назад +2

    Duh! Huko Mbona Kamseleleko Kaka 😅😅😅😅 Tatizo Visa Tu! Ningekuja Kuokota Maisha Yangu Yote Na Kuleta Bongo 😂😂😂😂

  • @maresianantibakazi-yh4qd
    @maresianantibakazi-yh4qd 9 дней назад

    Mimi nikifika hapo nitaitwa kichaa maana nitozowa Kila taka

  • @julianaedward4190
    @julianaedward4190 2 месяца назад

    Unajibebea mwana...😅😅😅

  • @kennedysuwa5910
    @kennedysuwa5910 14 дней назад +1

    But Amerika they have a lot off homeless

  • @isaacbrown8856
    @isaacbrown8856 4 месяца назад +1

    Mtaa gan uo kaka

  • @Twahamwela-ch5lz
    @Twahamwela-ch5lz Месяц назад

    Umefanya vzr sana

  • @lydiajohn6865
    @lydiajohn6865 5 месяцев назад

    I like your show

  • @dinotelevision_tz
    @dinotelevision_tz Год назад +1

    @juniortalent unaupiga mwingi🙌

  • @Bcclothes_5
    @Bcclothes_5 10 часов назад

    Niokoteni hiyo fridge

  • @Happy-rm7gs
    @Happy-rm7gs Год назад

    Nakuamini.❤

  • @JAHSEED001
    @JAHSEED001 14 дней назад

    Na hizo gari nazo zimetupwa😅😅

  • @streetgenious4511
    @streetgenious4511 Год назад +3

    Huko ni kutafuta hela ya kulipia kodi ya chumba na hela ya chakulatuu maana Matandiko kama yote mafriji

  • @nelsonmrutu371
    @nelsonmrutu371 Год назад

    Bro upo jimbo gani na mji gani?

  • @chidy3067
    @chidy3067 Год назад +2

    Kwann hamtaki kutupa connection za kuja huko mambele

    • @InformationMarketer007
      @InformationMarketer007 5 месяцев назад

      Connection pesa tu Ukiwa nayo mbn kazi zipo nyingi tu na watu wanatakiwa ila Hadi uwepo kule

  • @GabrielSoromon
    @GabrielSoromon 9 месяцев назад +2

    Nakubali sana kaka

  • @CharityImaculate
    @CharityImaculate 3 месяца назад

    Jaman me nataka kwenda ulaya nakupataje kupata information zaidi😢

  • @jacksonpetro495
    @jacksonpetro495 Год назад

    Hapo ni jimbo gani au sehemu gani

  • @BENEDICTMHINA-pd1kr
    @BENEDICTMHINA-pd1kr 3 месяца назад

    Vip Magari nayo yametupwa hapo au?

  • @esthermachangu4970
    @esthermachangu4970 6 месяцев назад

    Bro hili jimbo gani

  • @busanyachilangwa
    @busanyachilangwa Месяц назад

    je ivyo vitu visipo okotwa😢 vinachomwa ?

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 11 месяцев назад

    Simchezo YAANI hadi raha

  • @Jerryatz
    @Jerryatz Год назад

    unyama sana

  • @OfficialMsauzi
    @OfficialMsauzi Год назад +1

    Connection kaka nipo tiari

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 11 месяцев назад +1

    Sasa swali la kujiuliza wale wanosafirisha mizigo ya used,inakuwaje kwenye kusafirisha

    • @InformationMarketer007
      @InformationMarketer007 5 месяцев назад

      Si wanasafirisha Kwa njia ya ndege au meli then wanalipia gharama ya mzigo mpk sehemu husika

  • @evancemsosa4379
    @evancemsosa4379 6 месяцев назад

    Camera man wako arudi shule Tena hajui

  • @bishootv2986
    @bishootv2986 Год назад +1

    Blood ❤😊

  • @BBOYAGAIN5385
    @BBOYAGAIN5385 Год назад

    Noma

  • @LoitushulYamat
    @LoitushulYamat 24 дня назад

    Hizo vifaa ndo wanaleta afrika kama dampo lao toka ukoloni

  • @clarenduta1306
    @clarenduta1306 3 месяца назад

    Wee bro unaenda kudoneti au unaenda kufix Kwa nyumba yako,

  • @RehemaMwinyi-xs9bx
    @RehemaMwinyi-xs9bx 8 месяцев назад

    Naomba mawasiliano yako naomba please

  • @kennedymaster2000
    @kennedymaster2000 10 месяцев назад

    Navichukua nikavidoneti, acha usenge peleka gheto fala

  • @SamwelMisungwi
    @SamwelMisungwi 6 месяцев назад

    Usemi ni jimbo gani tatizo hilo

  • @prosperpatrick-nh5og
    @prosperpatrick-nh5og 6 месяцев назад

    Ni ukweli sio Marekani TU hata nchi za Scandinavia eg.Denmark,Norway na Sweden wanafanya hayo.mf.miji ya Arboga, Mariaberg na Feringsbro.

  • @PhabiolaMallya
    @PhabiolaMallya 6 месяцев назад

    Mbona hawatupi magari

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 Год назад +1

    Maisha Ni nguvu(energy), hivyo Basi wazungu wanaamini kitu kikitumika maanake kimejaa nguvu(energy) mbaya, ambayo inazuia flowing ya nguvu mpya na mafanikio ndo maana hivyo vilivyochakaa wanatoa ili kuleta neema nyingine ndani ya nyumba!

  • @BlaiseNdayongeje-wk6uj
    @BlaiseNdayongeje-wk6uj Год назад

    Ni mutaa gani huyo????

    • @MwajumaOmar-sg1ob
      @MwajumaOmar-sg1ob Год назад

      Sasa rafikiangu unaniangusha kwenye kuandika mrundi mwenzangu sema mtaa gani huo nawala si huyo😅 mtaa sio mutaa😢

  • @EmanuelNicholaus-vn9gl
    @EmanuelNicholaus-vn9gl Год назад

    Kaka upo State gani?

  • @sylvesterfrancis6826
    @sylvesterfrancis6826 10 месяцев назад

    Hawatupi magari? yaliyotumika

  • @chopstarkonga5250
    @chopstarkonga5250 Год назад +2

    Mali sana