Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Mwijaku atavisafirisha kupitia Silent ocean akaviweke kwenye ghorofa lake kigamboni😂😂😂😂
Wew muongo et unapekeka kusaidia wakati unavituma kwenu huko mwanza😂😂
Duhhhhh mpya kabixa anga zetu huku aisee@ACTOR BONGO MOVIE TZ @
Noma
Kuna rahauko😂😂
Thx so much bro unatupa material mzr sn na mungu Akubariki
Mmmh jamani naomba nisikupoteze
Wakwanza mie leo jmn naomben like ❤ kutoka UAE
Karibu
😮Daah baada ya kuchukuwa Tv flat lile nch55 mwanangu😊
Duh! Huko Mbona Kamseleleko Kaka 😅😅😅😅 Tatizo Visa Tu! Ningekuja Kuokota Maisha Yangu Yote Na Kuleta Bongo 😂😂😂😂
Hahaha Ety kamseleleko
Visa ukifuata taratibu unapata bila shida je kwanza una passport?
Mimi nikifika hapo nitaitwa kichaa maana nitozowa Kila taka
Unajibebea mwana...😅😅😅
But Amerika they have a lot off homeless
Mtaa gan uo kaka
Umefanya vzr sana
I like your show
@juniortalent unaupiga mwingi🙌
Shukrani
Niokoteni hiyo fridge
Nakuamini.❤
Na hizo gari nazo zimetupwa😅😅
😂😂
Huko ni kutafuta hela ya kulipia kodi ya chumba na hela ya chakulatuu maana Matandiko kama yote mafriji
Noma 😂
kwakweli
Bro upo jimbo gani na mji gani?
Kwann hamtaki kutupa connection za kuja huko mambele
Connection pesa tu Ukiwa nayo mbn kazi zipo nyingi tu na watu wanatakiwa ila Hadi uwepo kule
Nakubali sana kaka
Jaman me nataka kwenda ulaya nakupataje kupata information zaidi😢
Hapo ni jimbo gani au sehemu gani
Vip Magari nayo yametupwa hapo au?
Bro hili jimbo gani
je ivyo vitu visipo okotwa😢 vinachomwa ?
Simchezo YAANI hadi raha
unyama sana
Connection kaka nipo tiari
Je passport unayo ?
@@InformationMarketer007 ndio ninayo
Nipe namba yako tuwe weng
Sasa swali la kujiuliza wale wanosafirisha mizigo ya used,inakuwaje kwenye kusafirisha
Si wanasafirisha Kwa njia ya ndege au meli then wanalipia gharama ya mzigo mpk sehemu husika
Camera man wako arudi shule Tena hajui
Blood ❤😊
Me na wew tena brouh♥️
Hatar
Hizo vifaa ndo wanaleta afrika kama dampo lao toka ukoloni
Wee bro unaenda kudoneti au unaenda kufix Kwa nyumba yako,
Naomba mawasiliano yako naomba please
Navichukua nikavidoneti, acha usenge peleka gheto fala
Usemi ni jimbo gani tatizo hilo
Ni ukweli sio Marekani TU hata nchi za Scandinavia eg.Denmark,Norway na Sweden wanafanya hayo.mf.miji ya Arboga, Mariaberg na Feringsbro.
Mbona hawatupi magari
😂😂😂😂😂😂😂😂
Hata magari wanatupa
Maisha Ni nguvu(energy), hivyo Basi wazungu wanaamini kitu kikitumika maanake kimejaa nguvu(energy) mbaya, ambayo inazuia flowing ya nguvu mpya na mafanikio ndo maana hivyo vilivyochakaa wanatoa ili kuleta neema nyingine ndani ya nyumba!
Kumbe
Ni mutaa gani huyo????
Sasa rafikiangu unaniangusha kwenye kuandika mrundi mwenzangu sema mtaa gani huo nawala si huyo😅 mtaa sio mutaa😢
Kaka upo State gani?
Iowa now
Hawatupi magari? yaliyotumika
Mali sana
Mwijaku atavisafirisha kupitia Silent ocean akaviweke kwenye ghorofa lake kigamboni😂😂😂😂
Wew muongo et unapekeka kusaidia wakati unavituma kwenu huko mwanza😂😂
Duhhhhh mpya kabixa anga zetu huku aisee
@ACTOR BONGO MOVIE TZ @
Noma
Kuna rahauko😂😂
Thx so much bro unatupa material mzr sn na mungu Akubariki
Mmmh jamani naomba nisikupoteze
Wakwanza mie leo jmn naomben like ❤ kutoka UAE
Karibu
😮Daah baada ya kuchukuwa Tv flat lile nch55 mwanangu😊
Duh! Huko Mbona Kamseleleko Kaka 😅😅😅😅 Tatizo Visa Tu! Ningekuja Kuokota Maisha Yangu Yote Na Kuleta Bongo 😂😂😂😂
Hahaha Ety kamseleleko
Visa ukifuata taratibu unapata bila shida je kwanza una passport?
Mimi nikifika hapo nitaitwa kichaa maana nitozowa Kila taka
Unajibebea mwana...😅😅😅
But Amerika they have a lot off homeless
Mtaa gan uo kaka
Umefanya vzr sana
I like your show
@juniortalent unaupiga mwingi🙌
Shukrani
Niokoteni hiyo fridge
Nakuamini.❤
Na hizo gari nazo zimetupwa😅😅
😂😂
Huko ni kutafuta hela ya kulipia kodi ya chumba na hela ya chakulatuu maana Matandiko kama yote mafriji
Noma 😂
kwakweli
Bro upo jimbo gani na mji gani?
Kwann hamtaki kutupa connection za kuja huko mambele
Connection pesa tu Ukiwa nayo mbn kazi zipo nyingi tu na watu wanatakiwa ila Hadi uwepo kule
Nakubali sana kaka
Jaman me nataka kwenda ulaya nakupataje kupata information zaidi😢
Hapo ni jimbo gani au sehemu gani
Vip Magari nayo yametupwa hapo au?
Bro hili jimbo gani
je ivyo vitu visipo okotwa😢 vinachomwa ?
Simchezo YAANI hadi raha
unyama sana
Connection kaka nipo tiari
Je passport unayo ?
@@InformationMarketer007 ndio ninayo
Nipe namba yako tuwe weng
Sasa swali la kujiuliza wale wanosafirisha mizigo ya used,inakuwaje kwenye kusafirisha
Si wanasafirisha Kwa njia ya ndege au meli then wanalipia gharama ya mzigo mpk sehemu husika
Camera man wako arudi shule Tena hajui
Blood ❤😊
Shukrani
Me na wew tena brouh♥️
Noma
Hatar
Hizo vifaa ndo wanaleta afrika kama dampo lao toka ukoloni
Wee bro unaenda kudoneti au unaenda kufix Kwa nyumba yako,
Naomba mawasiliano yako naomba please
Navichukua nikavidoneti, acha usenge peleka gheto fala
Usemi ni jimbo gani tatizo hilo
Ni ukweli sio Marekani TU hata nchi za Scandinavia eg.Denmark,Norway na Sweden wanafanya hayo.mf.miji ya Arboga, Mariaberg na Feringsbro.
Mbona hawatupi magari
😂😂😂😂😂😂😂😂
Hata magari wanatupa
Maisha Ni nguvu(energy), hivyo Basi wazungu wanaamini kitu kikitumika maanake kimejaa nguvu(energy) mbaya, ambayo inazuia flowing ya nguvu mpya na mafanikio ndo maana hivyo vilivyochakaa wanatoa ili kuleta neema nyingine ndani ya nyumba!
Kumbe
Ni mutaa gani huyo????
Sasa rafikiangu unaniangusha kwenye kuandika mrundi mwenzangu sema mtaa gani huo nawala si huyo😅 mtaa sio mutaa😢
Kaka upo State gani?
Iowa now
Hawatupi magari? yaliyotumika
Mali sana
Shukrani