Huko nako fainali uzee msione vyaelea huko mikopo ya nyumba gari unapata huko nyumba ni yako lakin utailipia kodi had wafa hakuna ubwelele bila kufanya Kaz na ukishindwa unabaki homeless unaishi mtaani
Kuwa na gari na nyumba Marekani Siyo mafanikio Kila sehemu Ina standards zake za maisha, unaweza lipwa mamilioni Marekani ukaishia kulipia Kodi na Kula wakati ukiiconvert hiyo hela huku unakuwa tajiri
Uyo bba yangu ni mruguru mwenzangu na amefanana na bba yangu na nampenda sana nirimiss kinoma nirijua amefariki kmya kingi aisee mungu hampe maisha marefu zaid
Mzee magali wewe ni lulu ya tanzania na michango ya mashabiki wako ume kufikisha hapo na kumbuka siku ume kuja ilinga ilifikia city lodge ipogolo mwenyeji wako alikuwa Bathoromeo Kuzugra tume kumisi sana Hongera kwa kufika huko japo hutujui magum unayo pitia na changamoto unazo pitia ila usisahau nyumbni kumenoga
Da bro nimenunua sana vifaa vya umeme pale mnadani kariakoo, nikiwa nafanya kazi polisi Salender bridge. Kumbe vipaji hujificha mahala pengine, ni mpaka viibuliwe ndo vionekane.hongera kaka
Comments zimejaa ila nakuagiza waambie sns wa bongo wajifunze kufanya mahojiano kama ya Junior kwa kuwa hana muda ila anapangilia content.hatakam hukutaka kumsikilizA ikatokea umekosea ukaview kazi yake lazima uitazame yote. Kuna clip nimeiona esco anamuhoji jambazi lkn ile kazi kaifnya kama ni muda wake wa ziada lkn amepoteza muda,ktk muda wake wa kupumzika ila kama angechukulia serious ile kazi imetokea kama Zali aipe thamani ingelipa zaidi. Yaani ww umesikia mtu anamzungumzia Mondi kwa kina unapaswa ku react faster na kutengeneza pesa lkn Esco alirelux akawa anapigiwa story na kushoot bila kutafuta contours za kuthamanisha ile kazi amezingua. Fanya kazi kama zali pale unapoona kuna jambo zuri,yule jambazi angempa maswali kama haya angepiga viewers balaaa zaidi ya vile
Mfanyakazi ya kubeba mizigo kiwandani marekani anamzidi kipesa na meneja wa kiwanda mwenye digrii bongo da marekani wanajali watu Ila ndio maana halisi na tofauti ya nchi ya dunia ya kwanza na ya dunia ya mwisho
Huyu mzee ni mwigizaji mzuri sana ana kipaji.Namkubali sana.Mungu azidi kumlinda na kumpa maisha marefu.
Mzee rudi Home bongo movie Tz.❌
Mzee magari hongera kwa kazi nzuri, nilisoma na kijana wako Happy magari, Yu wap ckuhizi
Amen kubwa Mungu akibaruki hâta waseme buretu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Baba nakukubali sana baba Mimi ni mwanafunzi chipukizi WA saana happy kambini mantapala refugees settlement
Umemuhoji vzr sanaaa, hongera junior talent,, nilichogundua mzee magar ile character yke ya ukali bado anayo yaan ndo maisha yake😅
Shukrsn sana share subscribe plz
@@vipajitv1799mtafute nayule kevini
Mzee Magari nilikuwa na mis sana sauti yake na muonekano wake nafurahi kusikia aliowa murundi wa kwetu hongerra sana mzee ❤❤❤❤❤❤❤😂
Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo
Umetuwakilisha vizuri waluguru wenzio big up mzee🥰🥰
Kazi nzuri junior, Interview nzuri tumeenjoy😊
Shukrsn sana
Witness daaah umetutenga sans,mm Peter mmasi mdogo walk.
Waooow!!: kumbe mzee Magari bonge la handsome na sivyo alivyo wakati anaigiza🎉🎉
Mzee magari hongera umejibu vizuri sana
Ahsante subscribe please
Mr Magari nahitaji Kuja Marekani
Wow I like this mzee I remember old time when the Tanzanian industry were doing good I would like to meet him
Nakupenda sana baba mzee mqgari jaman mungu azidi kukinda baba yangu magari nakupenda sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Yaan marekani unafanya kazi kiwandan na unaweza endesha gari nakuishi nyumba nzuri
Bongo hata kodi tuu inatushinda kweli hii inchi ngumu sana
Inawezekana mgumu ukawa ni wewe na siyo nchi
Daah
Jewel kabisa kule pesa kibao
Huko nako fainali uzee msione vyaelea huko mikopo ya nyumba gari unapata huko nyumba ni yako lakin utailipia kodi had wafa hakuna ubwelele bila kufanya Kaz na ukishindwa unabaki homeless unaishi mtaani
Kuwa na gari na nyumba Marekani Siyo mafanikio Kila sehemu Ina standards zake za maisha, unaweza lipwa mamilioni Marekani ukaishia kulipia Kodi na Kula wakati ukiiconvert hiyo hela huku unakuwa tajiri
Mzee magali nimeipenda movie zake na kanumba
Shukrsn sana share subscribe plz
Ila maisha usikate tamaa mzee magari alikuwa jiran yetu kigogo dampo😂😂😂 pale.maisha yakawaida leo yupp nje.maisha Safi utakiwi kukata tamaaa❤
Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo
Kabsa 😂😂 na kituo Chao pale bar tz F
ile nyumba bado ipo au iliondolewa coz ilikua sehemu hatari sana pale
maisha ni kutafuta 😢nilikuwa nampenda sana uyu mbaba❤
Hata Mimi najuwa pia nilikuwa mdogo kipend yupo kigogo dampo kweli tusikate tamaa kabisa❤❤🙏@@hanschoppa7659
Allah akuajalie umri taweel ❤❤❤❤
Ulichokosea mtangazaji ungetafuta vipande vya movies zake kabla ya interview ili uwe inavyoonesha ungetisha sana
Nimefurahi sana kukuona mzee magari
Hongera sana kaka. Una improve kila siku🎉 Hongera sana kaka.
Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo
Mzee Magari kapendeza , kawa kijana .
Sio poa yaan😂
Mzee Magari kumbe wewe ni shemeji hongera sana msalimie dada mimi Niko dar
Nampenda sana Mzee magali ningeonana nae
Safi san myak ming simuon huy mze❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Ww noma mzee mungu akupe umri mrefu
Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo
Kazi nzuri mwamba
Shukrsn
Big up bro
Mzee magar 2mempoteza mama 2tu TESSA watanzania 2namsiba mzito ungekuja kuzika ningefurahi zaidi😭😭🙏
nampenda sana uyu mzee magari❤❤❤❤❤❤nakumbuka sana move zake
Mungu akupe maisha marefu baba yetu
😂😂😂😂 God bless you Papa... live longer 🎉
Mwandishi hajui kuhoji..!
Sauti yake tu huyu baba mashallah ❤️❤️
Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo
Nmekumiss mzee wangu
Hongera sana Mzee Magari
Shukrsn sana share subscribe plz😊
Shukrsn sana share subscribe plz😅
Shukrsn sana share subscribe plz❤
Uyo bba yangu ni mruguru mwenzangu na amefanana na bba yangu na nampenda sana nirimiss kinoma nirijua amefariki kmya kingi aisee mungu hampe maisha marefu zaid
Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo
Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo
😂😂 Nimekubali sana mzee endelea kukaza tz aio poa aisee
Hongera,sana,kaka,uto,mzee,kumbe,yupo
Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo
Pichen Uko state gani mwanangu mimi Niko Mzee magari sehemu moja
Nipo Iowa man
@actor bongo movie tz @
Mzee wangu barikiwa sana ,ukiingia Kwa RUclips andika prophet chandaro Benjamin Brian
Mluguru mwenzetu katoboa marekani mungu azidi kukulinda
Hatimaye mzee magari kapatikana
Shukrsn sana share subscribe plz
Kitambo Sana Kumbe Yupo 🇺🇸
Ahsante subscribe please
Je unamjua mainda mzee ni noma Allah ndo muweza kula bata
Bg up sana
Mzee magari sauti ya bichele
Mzee magari ile sauti yako ya kwenye movie😂😂😂😂
😢 Ahsante subscribe please
LEGEND, MWANANGU MAINDA👏👏👏
Ahsante subscribe please
jamani mzee magariii,nimekumisi,nimefurahi kukuona baba etu
Hii imeenda balaa
@actor bongo movie tz @
MDA mrefu San sijamuona uyu mzee jamani kumbe yupo mashaallh
Mzee magali wewe ni lulu ya tanzania na michango ya mashabiki wako ume kufikisha hapo na kumbuka siku ume kuja ilinga ilifikia city lodge ipogolo mwenyeji wako alikuwa Bathoromeo Kuzugra tume kumisi sana Hongera kwa kufika huko japo hutujui magum unayo pitia na changamoto unazo pitia ila usisahau nyumbni kumenoga
Namkubali sana huyu mzee
Mtangazaji ndio hajui kuhoji lkn mzee yupo vizuri
Mzee magari uko rada...
Pichen hongera sana
Ahsante xana man🙏🙏🙏🙏
Mzee magar unatisha sana uko vizur kamanda
Jamani mzee Magali Bi mwenda yuko wapi? Waigizaji wengine? Halafu huo Msalaaba huo ni wa Yesu au fashien? Tumefurahi sana.
Na kukubali sana mze magari
Mainda my daughter 😂😂 hatari sanaaa
Hapa nimefarajika sana , nimepata kutokata Tamaa
Abdalla wacha kutulia mzee wetu mimi ni mkenya Rakini nilikua na mfuatilia
Shukrsn sana share subscribe plz
Duh mashallah
Mungu azidi kukulinda
Nimefurahi sana kumuona huyu mzee
Da bro nimenunua sana vifaa vya umeme pale mnadani kariakoo, nikiwa nafanya kazi polisi Salender bridge. Kumbe vipaji hujificha mahala pengine, ni mpaka viibuliwe ndo vionekane.hongera kaka
Sijakuelewa
@@vipajitv1799 ni msg ya Mr Magari.nilidhani Ana access ya kujibu hapa!
Haya siku moja niliwaambia Mzee magari anaishi marekani mkasema hoo Mzee magari ka..... Tanzania jmn
Magari tumemmiss na sauti yake ya thahabu🙌🏾
Sio poa huyu mzee😂
Dah mainda mwanang ...jplus 😮
Aiseee ayo maisha jaman😊😊
Mimi namfahamu kama mr. Chacha
Mainda my doter daa tuliambiwa kafariki huyu mzee kumbe ni uongo daaa
Noma Ahsante subscribe please
Mzee katili sana
Toa kibao kimoja safi magari
Shukrsn sana share subscribe plz😅
Mwanaume m kweli kabisa hajapindusha hatakidogo
Yaani adi raha ❤❤❤❤
Asante saana lakinizee hajataja anaeshi mkowa ngani?
Msunye namuangalia mzee magari na juniooo
Mzee magari kafanana na mzee Abdul baba yake na Diamond
Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo 😂
Haswaaa
Kweli kabisa hajawahi kucheka ila hutabasamu kdg tu!
Jamani nimependa sana kumuona Mzee magari
Mzee magari upo state gani pengine jirani yangu
Noma sana mzee...🇲🇿
Shukrsn sana share subscribe plz
Chaless Magal Nguli Wa Tasnia Ya Flms Tz Now Yup Ugaibun 🙏
Ety pumbavu zao hawa kumbe wapo kama sisi😄😄😁😁 mzee magari bhan
😂😂😂😂🙌
Subscribe plz
@@vipajitv1799 Poa my
@@vipajitv1799 zamani sana kaka🤝🏾
Comments zimejaa ila nakuagiza waambie sns wa bongo wajifunze kufanya mahojiano kama ya Junior kwa kuwa hana muda ila anapangilia content.hatakam hukutaka kumsikilizA ikatokea umekosea ukaview kazi yake lazima uitazame yote. Kuna clip nimeiona esco anamuhoji jambazi lkn ile kazi kaifnya kama ni muda wake wa ziada lkn amepoteza muda,ktk muda wake wa kupumzika ila kama angechukulia serious ile kazi imetokea kama Zali aipe thamani ingelipa zaidi. Yaani ww umesikia mtu anamzungumzia Mondi kwa kina unapaswa ku react faster na kutengeneza pesa lkn Esco alirelux akawa anapigiwa story na kushoot bila kutafuta contours za kuthamanisha ile kazi amezingua. Fanya kazi kama zali pale unapoona kuna jambo zuri,yule jambazi angempa maswali kama haya angepiga viewers balaaa zaidi ya vile
Kumbe uzee ni kujitakia daa yani bado yupo kijana kabisaa anauwezo kuoa mwari wa miaka 18
Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo
Kawa mweupe
Magari huyo
Anafanya kazi gan
Angalia hadi mwisho
😂😂😂huoni picha ya Mike 🎉 komaa na rangi utajua,wazee wa upinde hao.
Jmn mzee magari kawa kijana et 😂
Mèze magari bado anaonekana mcheshi tusana
Bro mwanzo hadi mwisho wa interview huja piga hata glass moja ya maji.😢
Nimeipenda sisitim ya marekani hakuna kunyanyasa mtu sio kwetu mke anapgwa na anafukuzwa ndan ya nyumba
Hatujajuwa anaishi mjii ngani?
Mfanyakazi ya kubeba mizigo kiwandani marekani anamzidi kipesa na meneja wa kiwanda mwenye digrii bongo da marekani wanajali watu Ila ndio maana halisi na tofauti ya nchi ya dunia ya kwanza na ya dunia ya mwisho
@Junior talent nataman nifike huko marekan,niwe hata nakusaidia kazi tu,nifanyie mpango jaman
Timiza ndoto zko kwa Mungu alishindikani jambo unaweza ukaanzia ata nchi nyingine badae ukafika unapotaka
HAHAHA fella king jeuri
hii ni interview au ni movie 😂😂
Ahsante subscribe please
life good is not easy
MAINDAAA BINTI YANGUUUU
Tangu nianze kumuona Mzee magari sijawahi kumuona akicheka!
Ahsante subscribe please 😅
😂😂😂