MPAKA HOME KWA MZEE MAGARI MAREKANI UTASHANGAA ANAMILIK MJUMBA NA MKE MRUND

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • HAPA NDIPO AQNAPOISHI MZEE ,MAGARI MAREKANI KAZIANAYOFANYA ALIENDA VIPI MAREKANI

Комментарии • 322

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 8 месяцев назад +20

    Huyu mzee ni mwigizaji mzuri sana ana kipaji.Namkubali sana.Mungu azidi kumlinda na kumpa maisha marefu.

    • @RachelAugustina
      @RachelAugustina 6 месяцев назад +1

      Mzee rudi Home bongo movie Tz.❌

  • @mamboleoerasto8815
    @mamboleoerasto8815 5 месяцев назад

    Mzee magari hongera kwa kazi nzuri, nilisoma na kijana wako Happy magari, Yu wap ckuhizi

  • @FerdinandNdayizeye-l9m
    @FerdinandNdayizeye-l9m 7 месяцев назад +2

    Amen kubwa Mungu akibaruki hâta waseme buretu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @Jonaslukwesabenjamin-em5or
    @Jonaslukwesabenjamin-em5or 7 месяцев назад +5

    Baba nakukubali sana baba Mimi ni mwanafunzi chipukizi WA saana happy kambini mantapala refugees settlement

  • @gidesbalunguza7152
    @gidesbalunguza7152 8 месяцев назад +11

    Umemuhoji vzr sanaaa, hongera junior talent,, nilichogundua mzee magar ile character yke ya ukali bado anayo yaan ndo maisha yake😅

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад +1

      Shukrsn sana share subscribe plz

    • @TatoTato-t7s
      @TatoTato-t7s 7 месяцев назад

      ​@@vipajitv1799mtafute nayule kevini

  • @eddygad2858
    @eddygad2858 8 месяцев назад +7

    Mzee Magari nilikuwa na mis sana sauti yake na muonekano wake nafurahi kusikia aliowa murundi wa kwetu hongerra sana mzee ❤❤❤❤❤❤❤😂

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

  • @luciamsani
    @luciamsani 6 месяцев назад +1

    Umetuwakilisha vizuri waluguru wenzio big up mzee🥰🥰

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog 8 месяцев назад +13

    Kazi nzuri junior, Interview nzuri tumeenjoy😊

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад

      Shukrsn sana

    • @TanescoTanesco
      @TanescoTanesco 7 месяцев назад

      Witness daaah umetutenga sans,mm Peter mmasi mdogo walk.

  • @فطومفاطمه-ش2و
    @فطومفاطمه-ش2و 4 месяца назад

    Waooow!!: kumbe mzee Magari bonge la handsome na sivyo alivyo wakati anaigiza🎉🎉

  • @ntangiregemfuruki5478
    @ntangiregemfuruki5478 8 месяцев назад +7

    Mzee magari hongera umejibu vizuri sana

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад +1

      Ahsante subscribe please

  • @IbrahimMsovu
    @IbrahimMsovu 8 месяцев назад +10

    Mr Magari nahitaji Kuja Marekani

  • @mwambailunga1511
    @mwambailunga1511 7 месяцев назад

    Wow I like this mzee I remember old time when the Tanzanian industry were doing good I would like to meet him

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 8 месяцев назад +4

    Nakupenda sana baba mzee mqgari jaman mungu azidi kukinda baba yangu magari nakupenda sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @PerfectGirl-dj7zq
    @PerfectGirl-dj7zq 8 месяцев назад +16

    Yaan marekani unafanya kazi kiwandan na unaweza endesha gari nakuishi nyumba nzuri
    Bongo hata kodi tuu inatushinda kweli hii inchi ngumu sana

    • @saidimwanyiro5147
      @saidimwanyiro5147 8 месяцев назад +1

      Inawezekana mgumu ukawa ni wewe na siyo nchi

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 7 месяцев назад

      Daah

    • @STUMAIKALELE
      @STUMAIKALELE 7 месяцев назад

      Jewel kabisa kule pesa kibao

    • @AdelaJohn-h1p
      @AdelaJohn-h1p 7 месяцев назад

      Huko nako fainali uzee msione vyaelea huko mikopo ya nyumba gari unapata huko nyumba ni yako lakin utailipia kodi had wafa hakuna ubwelele bila kufanya Kaz na ukishindwa unabaki homeless unaishi mtaani

    • @emmanuelmichael4508
      @emmanuelmichael4508 3 месяца назад

      Kuwa na gari na nyumba Marekani Siyo mafanikio Kila sehemu Ina standards zake za maisha, unaweza lipwa mamilioni Marekani ukaishia kulipia Kodi na Kula wakati ukiiconvert hiyo hela huku unakuwa tajiri

  • @brotherdaugy1073
    @brotherdaugy1073 8 месяцев назад +6

    Mzee magali nimeipenda movie zake na kanumba

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад +1

      Shukrsn sana share subscribe plz

  • @aishaathuman6445
    @aishaathuman6445 8 месяцев назад +51

    Ila maisha usikate tamaa mzee magari alikuwa jiran yetu kigogo dampo😂😂😂 pale.maisha yakawaida leo yupp nje.maisha Safi utakiwi kukata tamaaa❤

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад +7

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

    • @ireneomerion
      @ireneomerion 7 месяцев назад +2

      Kabsa 😂😂 na kituo Chao pale bar tz F

    • @hanschoppa7659
      @hanschoppa7659 7 месяцев назад +1

      ile nyumba bado ipo au iliondolewa coz ilikua sehemu hatari sana pale

    • @maryamalhajri722
      @maryamalhajri722 7 месяцев назад +1

      maisha ni kutafuta 😢nilikuwa nampenda sana uyu mbaba❤

    • @BondlBondl-p8j
      @BondlBondl-p8j 7 месяцев назад

      Hata Mimi najuwa pia nilikuwa mdogo kipend yupo kigogo dampo kweli tusikate tamaa kabisa❤❤🙏​@@hanschoppa7659

  • @FatumaBakari-c4m
    @FatumaBakari-c4m 5 месяцев назад +2

    Allah akuajalie umri taweel ❤❤❤❤

  • @kibokibosho7476
    @kibokibosho7476 7 месяцев назад +5

    Ulichokosea mtangazaji ungetafuta vipande vya movies zake kabla ya interview ili uwe inavyoonesha ungetisha sana

  • @HanifaBruno-lv1qf
    @HanifaBruno-lv1qf 7 месяцев назад +5

    Nimefurahi sana kukuona mzee magari

  • @sirizamwili
    @sirizamwili 8 месяцев назад +7

    Hongera sana kaka. Una improve kila siku🎉 Hongera sana kaka.

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 8 месяцев назад +7

    Mzee Magari kapendeza , kawa kijana .

  • @ClaudiaAbdallah
    @ClaudiaAbdallah 4 месяца назад

    Mzee Magari kumbe wewe ni shemeji hongera sana msalimie dada mimi Niko dar

  • @HarunaAlbert
    @HarunaAlbert 6 месяцев назад +1

    Nampenda sana Mzee magali ningeonana nae

  • @christainc.5217
    @christainc.5217 8 месяцев назад +4

    Safi san myak ming simuon huy mze❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @alimasha-qh3vn
    @alimasha-qh3vn 8 месяцев назад +4

    Ww noma mzee mungu akupe umri mrefu

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

  • @IbrahimMohamed-c3c
    @IbrahimMohamed-c3c 8 месяцев назад +2

    Kazi nzuri mwamba

  • @josephnyanda1512
    @josephnyanda1512 8 месяцев назад +5

    Big up bro

  • @FarkiyyaAbdallah
    @FarkiyyaAbdallah 3 месяца назад

    Mzee magar 2mempoteza mama 2tu TESSA watanzania 2namsiba mzito ungekuja kuzika ningefurahi zaidi😭😭🙏

  • @maryamalhajri722
    @maryamalhajri722 7 месяцев назад +4

    nampenda sana uyu mzee magari❤❤❤❤❤❤nakumbuka sana move zake

  • @RaufaNuru
    @RaufaNuru 7 месяцев назад

    Mungu akupe maisha marefu baba yetu

  • @WinnieKasambala
    @WinnieKasambala 7 месяцев назад +2

    😂😂😂😂 God bless you Papa... live longer 🎉

  • @longinuskomba9887
    @longinuskomba9887 5 месяцев назад +1

    Mwandishi hajui kuhoji..!

  • @hawasaid7151
    @hawasaid7151 8 месяцев назад +7

    Sauti yake tu huyu baba mashallah ❤️❤️

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

  • @Sarah-tq2vc
    @Sarah-tq2vc 8 месяцев назад +6

    Nmekumiss mzee wangu

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 8 месяцев назад +4

    Hongera sana Mzee Magari

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад +3

      Shukrsn sana share subscribe plz😊

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад +2

      Shukrsn sana share subscribe plz😅

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад +1

      Shukrsn sana share subscribe plz❤

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 8 месяцев назад +5

    Uyo bba yangu ni mruguru mwenzangu na amefanana na bba yangu na nampenda sana nirimiss kinoma nirijua amefariki kmya kingi aisee mungu hampe maisha marefu zaid

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 8 месяцев назад +2

    😂😂 Nimekubali sana mzee endelea kukaza tz aio poa aisee

  • @MwaminiKashindi
    @MwaminiKashindi 8 месяцев назад +3

    Hongera,sana,kaka,uto,mzee,kumbe,yupo

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

  • @Bashilwa
    @Bashilwa 8 месяцев назад +5

    Pichen Uko state gani mwanangu mimi Niko Mzee magari sehemu moja

  • @chandarotv7649
    @chandarotv7649 6 месяцев назад

    Mzee wangu barikiwa sana ,ukiingia Kwa RUclips andika prophet chandaro Benjamin Brian

  • @tatusalehe8775
    @tatusalehe8775 7 месяцев назад +8

    Mluguru mwenzetu katoboa marekani mungu azidi kukulinda

  • @BLB67
    @BLB67 8 месяцев назад +8

    Hatimaye mzee magari kapatikana

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад +1

      Shukrsn sana share subscribe plz

    • @africandefined
      @africandefined 8 месяцев назад +2

      Kitambo Sana Kumbe Yupo 🇺🇸

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад +1

      Ahsante subscribe please

  • @zenabadru5084
    @zenabadru5084 5 месяцев назад

    Je unamjua mainda mzee ni noma Allah ndo muweza kula bata

  • @EzekielCharles-j8x
    @EzekielCharles-j8x 5 месяцев назад

    Bg up sana

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m 7 месяцев назад

    Mzee magari sauti ya bichele

  • @nadianyamuraka
    @nadianyamuraka 8 месяцев назад +6

    Mzee magari ile sauti yako ya kwenye movie😂😂😂😂

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад +1

      😢 Ahsante subscribe please

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 8 месяцев назад +3

    LEGEND, MWANANGU MAINDA👏👏👏

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад +1

      Ahsante subscribe please

  • @rithanickolaus2881
    @rithanickolaus2881 6 месяцев назад

    jamani mzee magariii,nimekumisi,nimefurahi kukuona baba etu

  • @PitchenAlAthumanmaasoud
    @PitchenAlAthumanmaasoud 8 месяцев назад +6

    Hii imeenda balaa
    @actor bongo movie tz @

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 7 месяцев назад

    MDA mrefu San sijamuona uyu mzee jamani kumbe yupo mashaallh

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572 7 месяцев назад

    Mzee magali wewe ni lulu ya tanzania na michango ya mashabiki wako ume kufikisha hapo na kumbuka siku ume kuja ilinga ilifikia city lodge ipogolo mwenyeji wako alikuwa Bathoromeo Kuzugra tume kumisi sana Hongera kwa kufika huko japo hutujui magum unayo pitia na changamoto unazo pitia ila usisahau nyumbni kumenoga

  • @LetciaAlto
    @LetciaAlto 5 месяцев назад

    Namkubali sana huyu mzee

  • @ibrahimusagondo5228
    @ibrahimusagondo5228 5 месяцев назад

    Mtangazaji ndio hajui kuhoji lkn mzee yupo vizuri

  • @RamoddyRamadhan
    @RamoddyRamadhan 6 месяцев назад

    Mzee magari uko rada...

  • @KASKOCHAWAPROMAX
    @KASKOCHAWAPROMAX 8 месяцев назад +3

    Pichen hongera sana

  • @LuciMollel
    @LuciMollel 7 месяцев назад

    Mzee magar unatisha sana uko vizur kamanda

  • @SrsalvinaEmilian
    @SrsalvinaEmilian 6 месяцев назад

    Jamani mzee Magali Bi mwenda yuko wapi? Waigizaji wengine? Halafu huo Msalaaba huo ni wa Yesu au fashien? Tumefurahi sana.

  • @KWIZERAFrancoise
    @KWIZERAFrancoise 7 месяцев назад

    Na kukubali sana mze magari

  • @ShamsaOmary-l9g
    @ShamsaOmary-l9g 8 месяцев назад +3

    Mainda my daughter 😂😂 hatari sanaaa

  • @IssaIra-j9u
    @IssaIra-j9u 6 месяцев назад

    Hapa nimefarajika sana , nimepata kutokata Tamaa

  • @esthermwikali5403
    @esthermwikali5403 8 месяцев назад +6

    Abdalla wacha kutulia mzee wetu mimi ni mkenya Rakini nilikua na mfuatilia

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад +1

      Shukrsn sana share subscribe plz

  • @joycenose2356
    @joycenose2356 6 месяцев назад

    Duh mashallah

  • @KAKAONETV
    @KAKAONETV 5 месяцев назад

    Mungu azidi kukulinda

  • @marrysamwel596
    @marrysamwel596 8 месяцев назад +2

    Nimefurahi sana kumuona huyu mzee

  • @ezekielshija9251
    @ezekielshija9251 8 месяцев назад +6

    Da bro nimenunua sana vifaa vya umeme pale mnadani kariakoo, nikiwa nafanya kazi polisi Salender bridge. Kumbe vipaji hujificha mahala pengine, ni mpaka viibuliwe ndo vionekane.hongera kaka

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад

      Sijakuelewa

    • @ezekielshija9251
      @ezekielshija9251 8 месяцев назад

      @@vipajitv1799 ni msg ya Mr Magari.nilidhani Ana access ya kujibu hapa!

  • @shikuhata
    @shikuhata 7 месяцев назад +2

    Haya siku moja niliwaambia Mzee magari anaishi marekani mkasema hoo Mzee magari ka..... Tanzania jmn

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog 8 месяцев назад +14

    Magari tumemmiss na sauti yake ya thahabu🙌🏾

  • @xideblacktz
    @xideblacktz 6 месяцев назад

    Dah mainda mwanang ...jplus 😮

  • @SirajiRashidy
    @SirajiRashidy 6 месяцев назад

    Aiseee ayo maisha jaman😊😊

  • @fanikiojacob7730
    @fanikiojacob7730 5 месяцев назад

    Mimi namfahamu kama mr. Chacha

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 8 месяцев назад +8

    Mainda my doter daa tuliambiwa kafariki huyu mzee kumbe ni uongo daaa

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад +1

      Noma Ahsante subscribe please

  • @ChristopherWise-b3x
    @ChristopherWise-b3x 4 месяца назад

    Mzee katili sana

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 8 месяцев назад +3

    Toa kibao kimoja safi magari

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад +1

      Shukrsn sana share subscribe plz😅

  • @johnbwirabukiza1878
    @johnbwirabukiza1878 8 месяцев назад +3

    Mwanaume m kweli kabisa hajapindusha hatakidogo

  • @marietaamiri889
    @marietaamiri889 7 месяцев назад

    Yaani adi raha ❤❤❤❤

  • @NiyonkuruAudu
    @NiyonkuruAudu 8 месяцев назад

    Asante saana lakinizee hajataja anaeshi mkowa ngani?

  • @issamsunye1880
    @issamsunye1880 6 месяцев назад

    Msunye namuangalia mzee magari na juniooo

  • @isunga1964
    @isunga1964 8 месяцев назад +6

    Mzee magari kafanana na mzee Abdul baba yake na Diamond

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo 😂

    • @pyelesyamwakatika540
      @pyelesyamwakatika540 4 месяца назад

      Haswaaa

  • @christinapeter7131
    @christinapeter7131 6 месяцев назад

    Kweli kabisa hajawahi kucheka ila hutabasamu kdg tu!

  • @agnessntiburella8816
    @agnessntiburella8816 8 месяцев назад +2

    Jamani nimependa sana kumuona Mzee magari

  • @KeyMurad
    @KeyMurad 7 месяцев назад

    Mzee magari upo state gani pengine jirani yangu

  • @barretobacca9754
    @barretobacca9754 8 месяцев назад +5

    Noma sana mzee...🇲🇿

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад +1

      Shukrsn sana share subscribe plz

  • @mudymudy9453
    @mudymudy9453 5 месяцев назад

    Chaless Magal Nguli Wa Tasnia Ya Flms Tz Now Yup Ugaibun 🙏

  • @Justine_Tz1
    @Justine_Tz1 8 месяцев назад +16

    Ety pumbavu zao hawa kumbe wapo kama sisi😄😄😁😁 mzee magari bhan

    • @StrongbowArrow2004
      @StrongbowArrow2004 8 месяцев назад +4

      😂😂😂😂🙌

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад +1

      Subscribe plz

    • @StrongbowArrow2004
      @StrongbowArrow2004 8 месяцев назад

      @@vipajitv1799 Poa my

    • @Justine_Tz1
      @Justine_Tz1 8 месяцев назад

      @@vipajitv1799 zamani sana kaka🤝🏾

    • @malkavoice2570
      @malkavoice2570 8 месяцев назад

      Comments zimejaa ila nakuagiza waambie sns wa bongo wajifunze kufanya mahojiano kama ya Junior kwa kuwa hana muda ila anapangilia content.hatakam hukutaka kumsikilizA ikatokea umekosea ukaview kazi yake lazima uitazame yote. Kuna clip nimeiona esco anamuhoji jambazi lkn ile kazi kaifnya kama ni muda wake wa ziada lkn amepoteza muda,ktk muda wake wa kupumzika ila kama angechukulia serious ile kazi imetokea kama Zali aipe thamani ingelipa zaidi. Yaani ww umesikia mtu anamzungumzia Mondi kwa kina unapaswa ku react faster na kutengeneza pesa lkn Esco alirelux akawa anapigiwa story na kushoot bila kutafuta contours za kuthamanisha ile kazi amezingua. Fanya kazi kama zali pale unapoona kuna jambo zuri,yule jambazi angempa maswali kama haya angepiga viewers balaaa zaidi ya vile

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 8 месяцев назад +7

    Kumbe uzee ni kujitakia daa yani bado yupo kijana kabisaa anauwezo kuoa mwari wa miaka 18

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад

      Shukrsn sana kWa kutazama please naomba subscribe kwa video nyinginezo

  • @simontamba1285
    @simontamba1285 7 месяцев назад

    Kawa mweupe

  • @bukandyafilm
    @bukandyafilm 5 месяцев назад

    Magari huyo

  • @ZiyandaMhlana
    @ZiyandaMhlana 8 месяцев назад +4

    Anafanya kazi gan

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад +2

      Angalia hadi mwisho

    • @georgedaniel4962
      @georgedaniel4962 7 месяцев назад

      😂😂😂huoni picha ya Mike 🎉 komaa na rangi utajua,wazee wa upinde hao.

  • @fatihiyadossa375
    @fatihiyadossa375 8 месяцев назад +4

    Jmn mzee magari kawa kijana et 😂

  • @FerdinandNdayizeye-l9m
    @FerdinandNdayizeye-l9m 7 месяцев назад

    Mèze magari bado anaonekana mcheshi tusana

  • @Esam_tz
    @Esam_tz 7 месяцев назад +1

    Bro mwanzo hadi mwisho wa interview huja piga hata glass moja ya maji.😢

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 8 месяцев назад +3

    Nimeipenda sisitim ya marekani hakuna kunyanyasa mtu sio kwetu mke anapgwa na anafukuzwa ndan ya nyumba

  • @NiyonkuruAudu
    @NiyonkuruAudu 8 месяцев назад +1

    Hatujajuwa anaishi mjii ngani?

  • @Iam_fadheel
    @Iam_fadheel 4 месяца назад

    Mfanyakazi ya kubeba mizigo kiwandani marekani anamzidi kipesa na meneja wa kiwanda mwenye digrii bongo da marekani wanajali watu Ila ndio maana halisi na tofauti ya nchi ya dunia ya kwanza na ya dunia ya mwisho

  • @gracegehazi638
    @gracegehazi638 8 месяцев назад +3

    @Junior talent nataman nifike huko marekan,niwe hata nakusaidia kazi tu,nifanyie mpango jaman

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 7 месяцев назад

      Timiza ndoto zko kwa Mungu alishindikani jambo unaweza ukaanzia ata nchi nyingine badae ukafika unapotaka

  • @LawrenceKonga-g1u
    @LawrenceKonga-g1u 8 месяцев назад +2

    HAHAHA fella king jeuri

  • @tomsijohni
    @tomsijohni 8 месяцев назад +8

    hii ni interview au ni movie 😂😂

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799  8 месяцев назад +1

      Ahsante subscribe please

  • @kundaeldidas4146
    @kundaeldidas4146 7 месяцев назад

    life good is not easy

  • @violetsombe3687
    @violetsombe3687 8 месяцев назад +4

    MAINDAAA BINTI YANGUUUU

  • @SHAFIIMWEHEMBA
    @SHAFIIMWEHEMBA 8 месяцев назад +12

    Tangu nianze kumuona Mzee magari sijawahi kumuona akicheka!