Wakati ule hapakuwa na njia ilikua hata maduka ya Cd original hayauzi maana tulikuwa tunaburn tu ikaisha sasaivi ni flash hata Cd room hazisomi tena .. Cd ya 1500 wakati ule saivi unaupat mzigo kwa 100
Ndiyo maana, wanasema mafunzo ni mema, Leo youtube imebadili vyote, ilikuwa vema kuenda n'a wakati, youtube ilipoanza wengi waliona mchezo, lakini Leo cd zimekufa n'a flash disk
Tunasubiri films zako za mpya mzee wetu😍😍🔥🔥🔥. Mungu akupe maisha marefu na yenye furaha tele.
Legend.
23:10 huyo mimi mwenyezi Mungu nijalie mali ya halali 🙏🙏
Hata kama ana maisha ya kawaida ni ya kwake Mungu ampe maisha marefu
Mzee nampenda sana MUNGU akupe maisha malefu
Nakukubali Mzee uko vzr wano kudhalau nawao kuna wanao wadhalau binadam ndivyo tulivo
Mzee kila anapokua ni comedian tu😂😂😂
Asante senga wasanii wasasa waige wosia wako,umesema kunawakat ulikuwa kwenye ajira ulikuwa nakaz gan?
Mzee senga ridhika na maisha alio kupangiya Mungu ndio hicho...kila mtu ataulizwa mali zake alizipata kwa njia gani?
Mungu akupe maisha marefu mze senga❤
Hv mzee bwagu yupo jaman...yaan nmewamiss sanaaaaaaaaa wasanii wakongwe adi rahaaaaaa ❤❤❤❤
pole mzee wangu
Safi kabisa mzee senga
Ila senga kuojiwa tuminacheka
Kaongea vizuri sana
😂😂mzee senga hataki kujitutumua ameshukuru na kuridhika na kidogo chake
Aaaanimecheka sana
Moto juu ya moto
Umenifurahisha kwa unayoyaita matusi.
Acha ujinga mim napajua mpaka kwake unapitia njia ya kimara mtaa wa kwa Abas Kuna shule ya sant Joseph ana maisha ya kawaida sana
Upo sahihi
Segaviipi?
Mwe! mwe! mwe! Kumbe mama beti😂😂😂😂
Unazibitiwa mapato yako umekaa kimwa kkkk inachekesha sema tu muda umeenda msiwalaumu watu jemeni.
Wakati ule hapakuwa na njia ilikua hata maduka ya Cd original hayauzi maana tulikuwa tunaburn tu ikaisha sasaivi ni flash hata Cd room hazisomi tena ..
Cd ya 1500 wakati ule saivi unaupat mzigo kwa 100
Ndiyo maana, wanasema mafunzo ni mema, Leo youtube imebadili vyote, ilikuwa vema kuenda n'a wakati, youtube ilipoanza wengi waliona mchezo, lakini Leo cd zimekufa n'a flash disk
Tena pale patakua panaitwa matosa,kila siku tuko nae kibanda cha mka
Mm hufurahishwanamatusiyake😂😂
❤❤❤❤❤
😂😂kama anagombea umiss
Kiukweli kinasega wame😃🤡 20:46
Mzee Senga
Nimapito lazima upitie pole
Chekinolisi haha😅😅
❤❤
Nikweli senga
Uyu bwan mnyenyekevu
Senga umeongea Jambo LA msingi SANA ,toa ushauri hata kama selekali hawataufata.
Kwararupa wee!
Matusi yako😂😂😂😂
😂huyo rafiki yako yuko wapi siku hizi😂😂😂
Ndo dunia yetu hii tulionayo
Mwemwemwe kafalamondoo shokapu
Hahahaha
Uwongo mtupu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Senga mnashindwa kukumbuka kitu kimoja kipindi mnaigiza technology ilikuwa aipo ila sas iv RUclips ndo ndo inafanya kazi
Cheknoros hahahahaha 😆 🤣 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 TikTok gospal
Kila jambo na majira yake. Kaeni na wajukuu zenu Sasa. Acheni kulalamika
Checknoris 😅😂😅
❤
❤