MAISHA YA MWANAJESHI WA MAREKANI MWENYE ASILI YA TANZANIA DAVID MLAY "KULIPWA LAKI 1 KWA SAA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024

Комментарии • 168

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 2 года назад +10

    Na wabongo kwa kuwadanganya wenzao wasiyoijuwa Marekani, hawafikilii kuwa na sisi tupo huku na tunajuwa kila Siri za chini ya carpet 😂😂😂😭😭

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 2 года назад +10

    Ukisikia analipwa kiasi hicho unaona ni PESA nyingi sana kwa vile unalinganisha na maisha ya kwetu huku. Kule States mzigo mkubwa maisha nayo yapo JUU pia !

    • @Vampx
      @Vampx 2 года назад +1

      $45 kwa saa ni kubwa sana hata kwa US, maisha yapo but ukiangalia mfano kazi za cashier unapata $25-30 kwa lisaa na mtu unaishi fleshi tuu yani... $45 ni kubwa sana asee...

    • @Kobe_254
      @Kobe_254 2 года назад +1

      @@Vampx kweli $45 ni pesa mingi sana na North Carolina maisha sio expensive kama mitaa tunaoishi huku Seattle WA.

    • @beatbyrich2891
      @beatbyrich2891 2 года назад

      Sahihi huyo anabaki na laki 5 huyo

    • @starlightofficial5214
      @starlightofficial5214 2 года назад +1

      Nyumba Marekani kupanga million 2 na kitu kwa mwezi so poa duuh!..! Bado hujala hujalipa bill za umeme, maji n.k kweli maisha yapo juu. Usipokuwa mbahili hutoboi.

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 2 года назад +6

    Hongera sana kaka Mungu ni mwema

  • @gregorypeterlazaro6626
    @gregorypeterlazaro6626 2 года назад +3

    God broo

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 2 года назад +3

    Africa jeshi ni big deal ngumu kupata nafasi, nje ni kitu cha kujitolea sana haraka mno unapata nafas wanapenda uifanyie kazi nchi.

  • @mdta8161
    @mdta8161 2 года назад +3

    Safi sana kaka

  • @georgedeo3726
    @georgedeo3726 2 года назад +3

    Jamaa hakujua Kama nkamanda

  • @bobllysalum5379
    @bobllysalum5379 2 года назад

    Milady tunaomba muendelezo wa hii story plz

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 2 года назад

    Carolina-carolaina

  • @BINTIwaKITANGA
    @BINTIwaKITANGA 2 года назад +4

    Mashallah,Mimi Yani ndoto zangu NI kuishi MAREKANI Nina fani yangu ya ushonaji nikienda huko kushonea Shona nitatoboa one dey yes 💪,Acha Kwanza nipambane na waarabu safari moja huanzisha nyingne na Kwa sasa nipo km shagala Ila nashona Shona nguo za majirani hapa mtaani kwetu ALLAH 'HU AKBAR.

  • @greyuliki8027
    @greyuliki8027 2 года назад +1

    Mbele ni mbele tu unaambiwa sio Bongo huku😎😎

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 2 года назад +1

    Once a marine forever a marine..... VISA ya shule ni gani na ashakuwa citizen wa marekani... pambana though!! chunga tu wanawake..

    • @haysam6317
      @haysam6317 2 года назад

      hahaha jackson kwanini umesema chunga wanawake kaka

  • @stevenmnzavajoseph
    @stevenmnzavajoseph 2 года назад

    Karibu tukusaidie kuandika CV

  • @hendrylema5640
    @hendrylema5640 2 года назад +1

    Umeacha utwenyaji?

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 2 года назад

    Millad 👍

  • @robinsonjohn3173
    @robinsonjohn3173 2 года назад +6

    inasikitisha mtoto wako kula kwajirani.

  • @owlbig
    @owlbig 2 года назад

    Tuwekeyeee

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 2 года назад

    Kwann audio na na sio video?

    • @ipiscooking6814
      @ipiscooking6814 2 года назад

      Labda kwa usalama, huyu ni mjeshi wa taifa kubwa sana duniani! Wanatafutwa na maadui kwa udi na uvumba!

  • @jumaamisi2518
    @jumaamisi2518 2 года назад

    Ukelen

  • @immanuelyantony5491
    @immanuelyantony5491 2 года назад +3

    Waafrika wanaoichuikia marekani wana akilli za utumwa

  • @magazimahushi6417
    @magazimahushi6417 2 года назад

    Daa jamaa mzalendo wa kweli

  • @gynae8407
    @gynae8407 2 года назад +2

    Dav unapika story

  • @aronatv47
    @aronatv47 2 года назад +4

    Jaaamaa kiswahili Mbongo Kabisa kuna wabongo wakienda Mwaka tu Kiswahili kinabadilikaaaa

    • @jennytugara9470
      @jennytugara9470 2 года назад

      Jamani Kiswahili huwa akibadiliki ni Watu ndio wanaobadilika

    • @aronatv47
      @aronatv47 2 года назад

      @@jennytugara9470 Wewe wasem..

    • @jennytugara9470
      @jennytugara9470 2 года назад

      @@aronatv47 🙏🏾🙏🏾

  • @sachygoran3233
    @sachygoran3233 2 года назад

    Kawaida tuuuu

  • @godwinchristian5252
    @godwinchristian5252 2 года назад +2

    Wachagga kila mahali wamepenya kila mahali mpaka kuzimu wapo hawa jamaa ni hatari 🤣🤣

    • @augustuss4503
      @augustuss4503 2 года назад

      Hata sisi wanyasa sio wachaga tu 😂

    • @jaymandy8136
      @jaymandy8136 2 года назад +1

      😂😆😆😆😆😆😆😆

    • @godwinchristian5252
      @godwinchristian5252 2 года назад +1

      @@jaymandy8136 🤣🤣🤣 wachagga wanajijua before wazaliwe akili sana hao jamaa nilienda somali mogadisho nikakutana na jamaa anauza butcher ya nyama ya ngamia venye alisikia tukiongea kiswahili na yeye akatuongesha waaa me ni mtzn kwetu ni rombo 🤣🤣tukamuuliza vp huogopi vita? Akatujibu umasikini ni mmbaya kuliko vita 🤣🤣 yule bwashe akalitulea sana mpaka tunaondoka somali

  • @hassanbinally7127
    @hassanbinally7127 Год назад

    Mnaaongea swala la ubaguzi hamuelewi Sera ya mmarakani

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 2 года назад +8

    Miaka 30 USA unajiunga na jeshi, Sasa Nenda bongo Nchi Yenye Rushwa

    • @joharishabani2893
      @joharishabani2893 2 года назад

      Miaka 23 mwisho

    • @abisaimuhanji3687
      @abisaimuhanji3687 2 года назад +2

      Hata Tanzania unajiunga Jeshi inategemea una taaluma ipi ndugu usikate tamaa kwa hilo.

    • @mosamossile9113
      @mosamossile9113 2 года назад +3

      @@abisaimuhanji3687 Uko ndo home mzee najuwa tabia za uko zote japo sipo uko asaiv, Tanzania hapana mzee

    • @stevegenius01
      @stevegenius01 2 года назад +1

      @@joharishabani2893 mwisho ni miaka 35 kwa Navy, marine ni 30

    • @modestajamada3496
      @modestajamada3496 2 года назад +1

      😂😂

  • @victoravelin575
    @victoravelin575 2 года назад

    Mtangazajii anasema mwezii ya 7

  • @focuserick6162
    @focuserick6162 2 года назад

    Wenzetu wako mbali sana sana dah!!

  • @TheBestPhone7918
    @TheBestPhone7918 2 года назад

    🤝🏽🙏🏼

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe2697 2 года назад

    Hapa Bongo ukitaka kupata kazi ya jeshi labda uwe na refa

  • @ninja_ape
    @ninja_ape 2 года назад

    Marine? Come on specialist 🤣🤣

  • @ElvisJosephMiti
    @ElvisJosephMiti 2 года назад

    Ndo maana wamerikani wameendelea. Hawana ubaguzi wa uwezo wa mtu kitaruma. Huku utasikia huyu ni mgeni. Vikwazo kíbao. Unajuta!

  • @albertngonyani7664
    @albertngonyani7664 2 года назад

    Na weza kupata nafasi

  • @josephmakor2989
    @josephmakor2989 2 года назад

    Sasa hii habari inatija gani nasisi watanzania

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 2 года назад

      hata mimi nimeshangaa kuweka maisha personal ya mtu ina umuhimu gani kwa jamii

  • @mrjaula7769
    @mrjaula7769 2 года назад +3

    Kuua kashauwa watu wangapi ??
    😁😁😁😁😁😁😁😁😁

    • @aronatv47
      @aronatv47 2 года назад

      Haaaaahaaaaaa.. !

  • @lifeonearth94
    @lifeonearth94 2 года назад

    Watanzania ni watu washamba sana

    • @jennytugara9470
      @jennytugara9470 2 года назад

      Ehee ushamba wetu nini hasa ndugu yetu? Maisha ni kupambana

    • @lifeonearth94
      @lifeonearth94 2 года назад

      @@jennytugara9470
      Wanashobokea sana watu wa nje, wakat kule wao its like nothing

    • @jennytugara9470
      @jennytugara9470 2 года назад

      @@lifeonearth94 nashanga hata mimi kuna mpk Professors wamefundisha miaka hawajawahi kuhojiwa sasa mwanajeshi kuwa Marekani ni News Wow!!!!

    • @serafinamalecela4728
      @serafinamalecela4728 2 года назад

      Sawa mzungu

    • @sumadashsumadash7342
      @sumadashsumadash7342 2 года назад

      Mpaka hapo Mshamba ni ww!
      Huyo mwamba kutangazwa kumetokana na sababu flani aloifanya ikatrend Online akiwa na Sare za jeshi la USA ikiwa na maana yakwamba asingelikiuwa ametrend kwa style ile huenda hata jina lake tusingelijua.
      Acha kudharau kazi za watu aisee, huo ushamba umekusomeka kwako ww kwa kujiweka kwenye uzungu wakat ni mwafrica mwenzetu tu

  • @hemajosephat9871
    @hemajosephat9871 2 года назад

    Infantry ni wanajeshi wanapigana on land (ardhini). Air force (Navy) na Marine sio Infantry.

    • @josephatjordan2150
      @josephatjordan2150 2 года назад +1

      Mjuaji umetokea au na ww n mwanajeshi huko

    • @stn4873
      @stn4873 2 года назад +1

      Wewe ni mjinga. Na hujui lolote kuhusu USA MARINE.

    • @stn4873
      @stn4873 2 года назад +1

      Narudi tena ww ni mjinga, mjinga sio tusi bali ni kukosa kujua mambo, ww ni mjinga narudia.
      Haya chukua shule hii...
      Vyombo vya ulinzi na usalama ambavyo ni known USA ni vifuatavyo.
      USA AMRY
      USA MARINE (divers,infantry,Snipers wote wapo humu)
      USA NAVY
      USA AIR FORCE
      USA COST GUARD
      USA NATIONAL GUARD
      USA SECRETE SERVISE.
      FBI
      CIA
      POLICE DEPARTMENT.

    • @stn4873
      @stn4873 2 года назад +1

      Alafu kuna USA RESERVE nilisahau hapo kidogo.

    • @josephatjordan2150
      @josephatjordan2150 2 года назад

      Emu katafute hela achana na jeshi

  • @ramadhanichilumba3610
    @ramadhanichilumba3610 2 года назад

    Huyu jamaa atakuwa shabiki wa simba aiseee

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 года назад +1

    Mkipewa kazi tuu nyie ndo wasaliti, yaani hata JPM ukamsliti pia, #NONSENSE

  • @bashaakumaarpandan9021
    @bashaakumaarpandan9021 2 года назад

    Mswahili akipata matako yalia mbwata

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 года назад

    Tena acha uongo, huwezi kuajiliwa jeshini na hukuzaliwa USA hata Europe, nawala huja kaa USA tangu mdogo. Tunajua kikosi chenu mlienda USA.,ili mmsaliti JPM.

    • @aristarikomakoye6694
      @aristarikomakoye6694 2 года назад

      Acha kupotosha

    • @abdibilali4186
      @abdibilali4186 2 года назад

      acha uongo Mzee au nikuunganishe na mwingine ambae pia ni mzaliw wa Bongo

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 2 года назад +3

      Pumbavu SUKUMA GANG unaandika usichokijua, inaonekana tokea uzaliwe haujawahi kusafiri. Mtu ashajifia mwenyewe, nenda ukazikwe naye.
      Hatred, jealousy and foolishness ni kuelekea kuwa mchawi.

    • @planethakunamatata5254
      @planethakunamatata5254 2 года назад

      Bro.... Kiukweli jaribu kutafuta ufahamu kabla ya kutanguliza hisia. Mimi mwenyewe ni shabiki wa Magufuli lakini hapa umekosea. Nahisi hufahamu unachoandika. Jeshi la Marekani linaajiri watu wengi hata walioingia Marekani kwa viza za uanafunzi. Nafahamu hivyo tangu mwaka 2009 nikiwa Marekani.

    • @rockcitynative9985
      @rockcitynative9985 2 года назад

      Kalale pamoja naye kaburini huko!

  • @charlesstephen9668
    @charlesstephen9668 2 года назад +17

    Mshikaji tumepiga nae Azania Secondary School, Big up kijana endelea kupeperusha bendera

  • @simontamba1285
    @simontamba1285 2 года назад +7

    Big up mwanamsimbazi

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 2 года назад +3

    Asante SAAAANA MILIAD AYO. UNALETA VIDEOS ZINAZOFUNDISHIA RIKA ZOTE. VIJANA WA KITANZANIA WASIBWETEKE KTK AKILI NANFURSA ZILIZOKO NCHINI, WAWEZA ANZIA MAISHA POPOTE. KILEVI CHOCHOTE KIWE HARAMU NA MAOVU YA KIJINGA . WATAKUWA WAPUMBAVU BILA KUJUA. AKILI WAMEZALIWA NAO KIMBINGU.

  • @pcpoint1224
    @pcpoint1224 2 года назад +10

    Hapa bongo mpaka uingie jeshini uwe umeuza shamba, LA uwe kabila flani waloojaa huko ama baba mjomba Dada wawe wapo uko wakupikie uje upakue tu, hakika wabongo kwa mungu tutafika tumechoka sana

    • @cneamses3645
      @cneamses3645 2 года назад

      Inasikitisha sana, tunatamani maendeleo lakini kwa staili hii kufika tunakotaka kwenda itatuchukua miaka na miaka

    • @beatbyrich2891
      @beatbyrich2891 2 года назад +1

      Sana kuna muda unatamani jeshi ila unaona bora uende Kenya ukawe soldier.

  • @furahafrank8267
    @furahafrank8267 2 года назад +7

    Ndiyo maana naipenda sana Marekani hawana ubaguzi kwa mambo ya kazi ao hawaombi rushwa.

    • @hamisiismail2577
      @hamisiismail2577 2 года назад

      Njoo bongo sasa uone..utasikia sio mzawa..

    • @heavyduty2711
      @heavyduty2711 2 года назад +2

      Usilolijua ni km usiku wa giza

    • @sbr231
      @sbr231 2 года назад

      Tatizo ubaguzi wa rangi upo kwa kiasi kidg

    • @mwassamwassa7264
      @mwassamwassa7264 2 года назад

      Wengi hapa Tanzania wanaipenda America ila kwa unafiki wanajifanya kukandia sababu za udini na chuki binafsi

    • @hassanbinally7127
      @hassanbinally7127 Год назад

      Usilolijua

  • @geeva99
    @geeva99 2 года назад +12

    Kwanini hamsemi kuwa anaimba wimbo wa kiumeni wenyehisia chanya, au mmelipwa na watu flani msipromote kazi za wasanii wa ukweli

  • @mudighurayra
    @mudighurayra 2 года назад +12

    Kuna day jamaa alsema me namjua uyo anaitwa david mlay kuna watu walibisha Sana 😄😄

    • @agnettakamugisha4984
      @agnettakamugisha4984 2 года назад

      Mimi namjua tuko naye hapa Durham, North Carolina. Hata nyumbani kwangu amefika. Pia na make wake. Kijana mzuri sana. Kwenda vitani sio mchezo. Tumuombee arudi salama🙏🙏💪🏾❤️🇹🇿🇺🇲

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 2 года назад

      @@agnettakamugisha4984 Kwani amepelekwa vitani sasa hivi?vita ya wapi?

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 2 года назад +2

    Ivi bongo ushamba utaisha lini?, Kwahy mzungu akitoka ulaya akaja bongo kufanya kazi akiimba nyimbo za kwao akapost waandishi wa Habar WA ulaya watamshobokea namaintervews 😂😂😂 kweli hii ichi imelogwa kwani MTU kuimba nyimbo za kwao niajabu?

    • @allijuma1074
      @allijuma1074 2 года назад

      Hapo huoni mshamba ni wewe sasa?

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 2 года назад

      @@allijuma1074 mshamba nini wewe unaesaport utumbo, bongo zozo anakujaga Tz ushaona akirudi kwao England wandish wanamfuta na makamera ushamba nchi hii sijui utaisha lini

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 2 года назад

      Uko sahihi kaka mimi nimekuelewa,inahitaji tafakari za mbali sana mtu kukuelewa.
      Wabongo tumejidharau sana yaani sijui kwa nini yaani mtu aliyeenda kusota ughaibuni anaonekana amefanya maajabu makubwa

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 2 года назад

      @@saloomidd1084 maqin✌️

  • @aronatv47
    @aronatv47 2 года назад +5

    Duuuh...!Bongo Mgambo hadi tutangaziwe kwenda mafunzo hiyo jeshi hadi ajira zitangzwe mchujwee Wenzetu wako mbali saana unaangalia panapo kufit ukifanikiwa Poaaa...

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 2 года назад +2

    Kwaiyo kakataa kuwa live kwann Sasa?

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 2 года назад +2

    Ayo umetisha

  • @mdta8161
    @mdta8161 2 года назад +2

    Wala Hana majigambo

  • @SwahiliFilmTz
    @SwahiliFilmTz 2 года назад +1

    JINSI YA KUPATA GB 7 BURE 👇
    .
    ruclips.net/video/PWwuRnga0w4/видео.html

  • @lispamagu5810
    @lispamagu5810 2 года назад +2

    Tena kiswahili kizur sana wasanii sasa wa bongo

    • @tumainikomba9008
      @tumainikomba9008 2 года назад

      You know what ammmm...and then...mhn....Yan ni shida

  • @mohammedkitumbi4970
    @mohammedkitumbi4970 2 года назад +1

    Muulize alishawahi kurudi likizo nyumbani?

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 2 года назад +1

    Tunaisubiria kwa hamu Ayo tv chaguo langu🔥🔥🔥

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 2 года назад

    Tanzania bila hongo huingii hata JKT

  • @janethnaminga9316
    @janethnaminga9316 2 года назад +1

    Aza boy

  • @elibarikinelsonnsenga3949
    @elibarikinelsonnsenga3949 2 года назад +1

    Hongera sn kw kupambana.

  • @furahajacob506
    @furahajacob506 2 года назад

    Xio mbaya...Kama,,,Ulixomea,,,Udocter...afu.. baadae,,,,docter...wa..magari...bravo..xana

  • @michaeldoroleo4864
    @michaeldoroleo4864 2 года назад

    marekani sijui kukoje yaani jamaa kawa black amerikani kabisa.

  • @DoctorPesandegeMgangaTibAsili
    @DoctorPesandegeMgangaTibAsili 2 года назад +1

    HUDUMA ZINAENDELEA KARIBUNI SANA 🤗
    ⛰️🌳🌲🍀🌿📞✅⤵️

  • @erastomedard3873
    @erastomedard3873 2 года назад

    Zao la udaktati kutoka Kam college,, brother Mli

  • @Sospetermwageni
    @Sospetermwageni 2 года назад

    Huyu ndiye mtu wa kwanza kugundua umeme 👇👇 ruclips.net/video/BEbvQfSzu5A/видео.html

  • @albertngonyani7664
    @albertngonyani7664 2 года назад

    Miladiayo nasi atupigie pasi bongo ngumu

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe2697 2 года назад +1

    Mungu akubariki Mchaga mwezangu

  • @bushiridems
    @bushiridems 2 года назад

    Mbona tulisikia alifariki huyo
    ruclips.net/video/0fGFnFbpXZg/видео.html

  • @smoothcriminal6269
    @smoothcriminal6269 2 года назад

    Eti David Minja halafu mnaandika David Mlay

  • @dottomwambembe3525
    @dottomwambembe3525 2 года назад

    Mhhh

  • @dativamlay6769
    @dativamlay6769 2 года назад

    Buraza

  • @hilalymshana8385
    @hilalymshana8385 2 года назад

    Son u not tell true

  • @DoctorPesandegeMgangaTibAsili
    @DoctorPesandegeMgangaTibAsili 2 года назад

    NIPIGIE NIKUSADIE NIPIGIE KAWAIDA

  • @sbr231
    @sbr231 2 года назад

    Najiunga jeshini chapu

  • @mohammediomary5537
    @mohammediomary5537 2 года назад

    Hizo and siyo poa

  • @augustkisaka7969
    @augustkisaka7969 2 года назад

    Ongera jombiii

  • @samkoka3
    @samkoka3 2 года назад +1

    Minja au mlay

  • @filbertrobert1141
    @filbertrobert1141 2 года назад

    Daaah! Big up sana boss

  • @sagaryajonas302
    @sagaryajonas302 2 года назад +3

    Brother ninapenda jeshi sana niunganishee please marekani basi

    • @Africana255
      @Africana255 2 года назад +2

      Ahahaha ... Kijana fanya kazi zilizopo ndan ya mazingira uliopo ..uanajeshi haupatikan RUclips.

    • @lastkinglastking3326
      @lastkinglastking3326 2 года назад +1

      @@Africana255 👏👏👏👏 umeeleweka kiongozi wangu RUclips sio Dunia inayo hitaji jeshi

    • @unjubinunuki7174
      @unjubinunuki7174 2 года назад +1

      marekani tu?? twende congo ni rahisi zaidi..

    • @franklinassey6600
      @franklinassey6600 2 года назад

      Watu wanaunganishwa kifala hivo RUclips kwan hana ndugu yeye😂😂

  • @mudrickabdallah7251
    @mudrickabdallah7251 2 года назад +1

    Mwaka aliojiunga yeye.. Ndio mwaka walionikataa mimi jeshini Tanzania kisa tu wanasema miaka yangu ilizidi 4 weeks.. Wkt nilikua na 20 Only dah

    • @mudrickabdallah7251
      @mudrickabdallah7251 2 года назад

      @@erickmbagule yani ni jkt tu ndugu yangu!!! Nilikua ktk usaili wa mkoa yan wamenifanyia mambo kama ayo!

    • @kabysamiami4224
      @kabysamiami4224 2 года назад

      Kila nchi ina utaratibu wake