kaka Ebm shukrani sana pia na vigezo vya elimu vimekaaje maana kwa asilimia kubwa Tanzanians ni 4m 4 graduates, ila wana experience ya kazi zinazo tokana na kusoma Veta
Ebm broo Zanzibar na Tanzania bara fungua ofisi kwa ajili ya kazi hiyoo ya process nzima ya green card lottery ufanye kila kitu na uweke studio za kupiga picha Yan kila kitu broo ututoze gharama za kawaida watu wanamiminika kama mvua
Kaka tunashukuru Sana kwenye mafundisho yako unamoyo wakipekee sana ila naomba kuuliza kwa wale ambao hawana Elim na pia kazi zao ni zile walizo jiajili wenyewe je Hao hawana vigezo vya kazi
Kazi nzuri sana elimu muhimu mno big up..
kaka Ebm shukrani sana pia na vigezo vya elimu vimekaaje maana kwa asilimia kubwa Tanzanians ni 4m 4 graduates, ila wana experience ya kazi zinazo tokana na kusoma Veta
first
Shukrani pro kwa kazi nzuri
Nakukubari brother
Tunasubiri zoezi la kujaza form zanzibar lini itakua
Shukulani sana Mungu akufànyie wepesi
Ebm broo Zanzibar na Tanzania bara fungua ofisi kwa ajili ya kazi hiyoo ya process nzima ya green card lottery ufanye kila kitu na uweke studio za kupiga picha Yan kila kitu broo ututoze gharama za kawaida watu wanamiminika kama mvua
Kaka tunashukuru Sana kwenye mafundisho yako unamoyo wakipekee sana ila naomba kuuliza kwa wale ambao hawana Elim na pia kazi zao ni zile walizo jiajili wenyewe je Hao hawana vigezo vya kazi
4:42
How to apply
👏👏👏
.
🇹🇿
Je ukishinda green card kuus medical kama upo nje ya nchii uliza liwa emo je utaruhusiwa kufanyia medical katika nchii uliomo au utarudi ulipozaliwa
EBM kwanini watu wa Burundi hutusaidie?mimi nimejalibu kukutafuta nimeshindwa kukupata kwl mimi ni mshindi wa 2024 ila nimekosa usaidizi
VIP Huna namba yake?
Mpigie SIM
Kaka tunasubiri uje mombasa tuanze kujaza form
Kaka , tupe location ya ofisin kwako tukajaze fomu
Lini inaanza nataka ni niombe green card ya kuishi
bro wengine ss kupiga na kuapload picha hatuwezi wee tuambie Siku gani na wapi tuje utujazie weka na charge tuje nayo