Masharti ya Picha ya kuombea Green Card (DV) Lottery | GREEN CARD LOTTERY PHOTO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024

Комментарии • 20

  • @khadijaismail2000
    @khadijaismail2000 Год назад +2

    Kazi nzuri sana elimu muhimu mno big up..

  • @barakaanangisye4812
    @barakaanangisye4812 Год назад

    kaka Ebm shukrani sana pia na vigezo vya elimu vimekaaje maana kwa asilimia kubwa Tanzanians ni 4m 4 graduates, ila wana experience ya kazi zinazo tokana na kusoma Veta

  • @زهرانالسليمي-ك1ي
    @زهرانالسليمي-ك1ي Год назад +2

    first

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 Год назад

    Shukrani pro kwa kazi nzuri

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 11 месяцев назад

    Nakukubari brother

  • @bravo_man
    @bravo_man Год назад +1

    Tunasubiri zoezi la kujaza form zanzibar lini itakua

  • @fatumaayubu6470
    @fatumaayubu6470 Год назад

    Shukulani sana Mungu akufànyie wepesi

  • @gifthudson5843
    @gifthudson5843 4 месяца назад

    Ebm broo Zanzibar na Tanzania bara fungua ofisi kwa ajili ya kazi hiyoo ya process nzima ya green card lottery ufanye kila kitu na uweke studio za kupiga picha Yan kila kitu broo ututoze gharama za kawaida watu wanamiminika kama mvua

  • @mmbondofilm6229
    @mmbondofilm6229 Год назад

    Kaka tunashukuru Sana kwenye mafundisho yako unamoyo wakipekee sana ila naomba kuuliza kwa wale ambao hawana Elim na pia kazi zao ni zile walizo jiajili wenyewe je Hao hawana vigezo vya kazi

  • @BaigonMacha
    @BaigonMacha 11 месяцев назад

    4:42

  • @MãrîçkDükê
    @MãrîçkDükê 4 дня назад

    How to apply

  • @oxwad3836
    @oxwad3836 Год назад

    👏👏👏
    .
    🇹🇿

  • @AmissiMasudi
    @AmissiMasudi 10 месяцев назад

    Je ukishinda green card kuus medical kama upo nje ya nchii uliza liwa emo je utaruhusiwa kufanyia medical katika nchii uliomo au utarudi ulipozaliwa

  • @ndagaddy221
    @ndagaddy221 Год назад +1

    EBM kwanini watu wa Burundi hutusaidie?mimi nimejalibu kukutafuta nimeshindwa kukupata kwl mimi ni mshindi wa 2024 ila nimekosa usaidizi

  • @rukiyashali
    @rukiyashali 11 месяцев назад

    Kaka tunasubiri uje mombasa tuanze kujaza form

  • @kelvinndege2200
    @kelvinndege2200 Год назад

    Kaka , tupe location ya ofisin kwako tukajaze fomu

  • @kelvinvitalis2965
    @kelvinvitalis2965 Год назад

    Lini inaanza nataka ni niombe green card ya kuishi

  • @yohanaedward-ox2py
    @yohanaedward-ox2py Год назад

    bro wengine ss kupiga na kuapload picha hatuwezi wee tuambie Siku gani na wapi tuje utujazie weka na charge tuje nayo