Kigezo cha elimu kwenye DV Lottery kuomba na kupata visa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Download our New App, EBM SCHOLARS APP play.google.co...
    Or Search EBM SCHOLARS on Google Play Store to Download the app
    DONATE TO EBM SCHOLARS
    1. PayPal www.paypal.com...
    2. CASH APP cash.app/$EBMS...

Комментарии • 39

  • @victornzebele3990
    @victornzebele3990 4 месяца назад

    Thanks EBM

  • @ahmedsaid5519
    @ahmedsaid5519 7 месяцев назад +1

    Kwa hiyo sisi tusiosoma kaka ni kazi ya bure

  • @aysherbuhet3875
    @aysherbuhet3875 Год назад +2

    Sauti ni kubwa mnoo

  • @Newdrop-l5t
    @Newdrop-l5t Месяц назад

    Tueleweshe pia kwenye work experience mkuu🙏

  • @barakaanangisye4812
    @barakaanangisye4812 Год назад +1

    Tumekuelewa mkuu ila vipi kusuhu mtu mwenye four four lakin amepita chuo cha ufundi stadi Veta inawezekana ku Apply!?

  • @christopherrobert1948
    @christopherrobert1948 Год назад +3

    umesikika vyema kabisa ata sisi tuliokaa viti vya nyuma kabisa huku tumesikia

  • @yohanaedward2449
    @yohanaedward2449 Год назад +1

    Sa kama umemaliza 4m4 ukaenda VETA hapo inakuwaje

  • @anuaraman3244
    @anuaraman3244 5 месяцев назад

    Kama umefanya Equivalent yaan kama mimi nimesoma katika mtaala wa Cambridge ila nimefanya equivalent kwenda mtaala wa necta

  • @maryahiya-v8m
    @maryahiya-v8m Год назад +1

    Kaka mimi nimeomba sanaa nakosa this time naomba unipe ratiba yako ya kutembelea Mikoani nipo mkoa wa tanga korogwe nipo na mume tu

  • @aishasaidmimo5239
    @aishasaidmimo5239 Год назад

    kwahyo wenye elimu ya darasa la 7 haturuhusiwi kuomba?

  • @saidbabaali9082
    @saidbabaali9082 Год назад +3

    Sasa kwa mkenya aliemlaiza darasa la nane anaweza kuomba greencard?

  • @philbatokeymaster
    @philbatokeymaster Год назад

    Niko na mudogo wangu nataka kuna pitia na ukamuumiza secondary kuna haja ya ku aply??

  • @daviddonatus8121
    @daviddonatus8121 6 месяцев назад

    Sijasikia hapo kama unaelimu ya kitado cha sita mkuu.... ?! Samahani kakin

  • @yaredkidai9681
    @yaredkidai9681 Год назад

    Pamoja mkuuu

  • @AmumaidMaid
    @AmumaidMaid Год назад

    Mimi sijui kuongea lungha ya kizungu nafanyajee ili niweze kuomba

  • @AmumaidMaid
    @AmumaidMaid Год назад

    Habari za happa
    Mimi sijui kuongea kingereza natawezaje kufanya hayo yotee

  • @naimuothman3493
    @naimuothman3493 Год назад +1

    Vocation school unakuajee

  • @aronjohn8818
    @aronjohn8818 Год назад +2

    LA saba hatuna nafasi au

    • @missnamwambemomentstv7753
      @missnamwambemomentstv7753 Год назад

      Nafasi zipo mwaya...kwasababu hata kwenye hyo form wamendika kipengele cha primary.. Na kuendelea! Ila la saba kushinda mmmmmmmh!! N mtihan kdg wanasema wazoefu😂

    • @missnamwambemomentstv7753
      @missnamwambemomentstv7753 Год назад

      Ila kama ikitokea umechaguliwa...bac unatakiwa uoneshe documents ambazo ulishawah kufanya kaz sehem au mahali kwa miaka 2 na kuendeleaaa...yan uko na uzoefu wa kaz Gan...! Thatha hapo kdg n changamoto! Kwan kuna kaz na kaz ambazo wenyewe wamarekan wanataka...sio mtu uko na uzoefu wa kuuza maharage ya kupima mtaan au unashona viatu mwenge...😂😂😂 yan itoshe kusema kuna kaz na kaz ndug!! Ambyo wanaweza at least wakakuelewa

    • @elizaaloyce6781
      @elizaaloyce6781 Год назад

      Kushind atashind tu Kam nibahati yake coz ni randomly selection but ukishinda sas ndo unatakiwa at least uwe na experience ya kazii ya miaka miwili so try ur lucky

    • @auntiemylee3157
      @auntiemylee3157 Год назад

      ​@@missnamwambemomentstv7753kama ako n certificate ya kikazi anaenda🎉

    • @auntiemylee3157
      @auntiemylee3157 Год назад

      ​@@elizaaloyce6781kbx

  • @francissamson2207
    @francissamson2207 Год назад

    Niliuliza swali kama unamtu kuko 🇺🇸 na umepata green card je! Ukifika unapewa nyumba au utatakiwa kukaa kwake? Kiasi gani cha pesa utapewa kwa mwezi kabla hujaanza kazi au ukiwa utataka usome?

    • @missnamwambemomentstv7753
      @missnamwambemomentstv7753 Год назад +1

      Mmh! Dear...naona bdo ujajua vzr kuhusu hii green card! Ukiapply na ukabahatika kushinda...bac kaa ukijua unatakiwa uandae atleast Million 10 hv, km ukiwa hauko na family....!!
      Na kuhusu swali lako...Ndio inawezekana, kama uko na ndugu anaish marekan..kufikia kwake n sawa tena n vzr tu..km mtakubaliana kwanza kabla ya kwenda kwake

    • @missnamwambemomentstv7753
      @missnamwambemomentstv7753 Год назад +2

      Na hakuna pesa ambyo utapewa dear...!! Nop! Ww ukifika, unatakiwa upambane upate security number...ndipo uanze kutafuta kaz sasa...! Hakunaga pesa ambyo wanagawa my dear😂

    • @francissamson2207
      @francissamson2207 Год назад

      @@missnamwambemomentstv7753 😂😂😂 sawa dear ww upo 🇺🇸?

    • @auntiemylee3157
      @auntiemylee3157 Год назад

      ​@@missnamwambemomentstv7753n kubaya😂😂😊

    • @edwardmkwelele
      @edwardmkwelele Год назад

      Kila kitu juu yako Hupewi hata senti moja

  • @MoodyWAyues
    @MoodyWAyues Год назад +2

    Tabora

  • @puregamers4215
    @puregamers4215 Год назад

    7:02

  • @MuhammadMaulana-p2l
    @MuhammadMaulana-p2l Год назад

    Wasioenda Shule kabisa

  • @drfrprepair4136
    @drfrprepair4136 Год назад

    Tulio Ishia Rasaba A apo tuailishe 2😂😂😂

  • @AmumaidMaid
    @AmumaidMaid Год назад

    Mimi sijui kuongea lungha ya kizungu nafanyajee ili niweze kuomba 7:02

  • @AmumaidMaid
    @AmumaidMaid Год назад

    Mimi sijui kuongea lungha ya kizungu nafanyajee ili niweze kuomba

  • @AmumaidMaid
    @AmumaidMaid Год назад

    Mimi sijui kuongea lungha ya kizungu nafanyajee ili niweze kuomba