Kigezo cha elimu kwenye DV Lottery kuomba na kupata visa
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Download our New App, EBM SCHOLARS APP play.google.co...
Or Search EBM SCHOLARS on Google Play Store to Download the app
DONATE TO EBM SCHOLARS
1. PayPal www.paypal.com...
2. CASH APP cash.app/$EBMS...
Thanks EBM
Kwa hiyo sisi tusiosoma kaka ni kazi ya bure
😅😅😅
Sauti ni kubwa mnoo
Tueleweshe pia kwenye work experience mkuu🙏
Tumekuelewa mkuu ila vipi kusuhu mtu mwenye four four lakin amepita chuo cha ufundi stadi Veta inawezekana ku Apply!?
umesikika vyema kabisa ata sisi tuliokaa viti vya nyuma kabisa huku tumesikia
Sa kama umemaliza 4m4 ukaenda VETA hapo inakuwaje
Kama umefanya Equivalent yaan kama mimi nimesoma katika mtaala wa Cambridge ila nimefanya equivalent kwenda mtaala wa necta
Kaka mimi nimeomba sanaa nakosa this time naomba unipe ratiba yako ya kutembelea Mikoani nipo mkoa wa tanga korogwe nipo na mume tu
kwahyo wenye elimu ya darasa la 7 haturuhusiwi kuomba?
Sasa kwa mkenya aliemlaiza darasa la nane anaweza kuomba greencard?
Form 4 anaenda
Niko na mudogo wangu nataka kuna pitia na ukamuumiza secondary kuna haja ya ku aply??
Sijasikia hapo kama unaelimu ya kitado cha sita mkuu.... ?! Samahani kakin
Pamoja mkuuu
Mimi sijui kuongea lungha ya kizungu nafanyajee ili niweze kuomba
Habari za happa
Mimi sijui kuongea kingereza natawezaje kufanya hayo yotee
Vocation school unakuajee
Hawataki. Hauqualify
LA saba hatuna nafasi au
Nafasi zipo mwaya...kwasababu hata kwenye hyo form wamendika kipengele cha primary.. Na kuendelea! Ila la saba kushinda mmmmmmmh!! N mtihan kdg wanasema wazoefu😂
Ila kama ikitokea umechaguliwa...bac unatakiwa uoneshe documents ambazo ulishawah kufanya kaz sehem au mahali kwa miaka 2 na kuendeleaaa...yan uko na uzoefu wa kaz Gan...! Thatha hapo kdg n changamoto! Kwan kuna kaz na kaz ambazo wenyewe wamarekan wanataka...sio mtu uko na uzoefu wa kuuza maharage ya kupima mtaan au unashona viatu mwenge...😂😂😂 yan itoshe kusema kuna kaz na kaz ndug!! Ambyo wanaweza at least wakakuelewa
Kushind atashind tu Kam nibahati yake coz ni randomly selection but ukishinda sas ndo unatakiwa at least uwe na experience ya kazii ya miaka miwili so try ur lucky
@@missnamwambemomentstv7753kama ako n certificate ya kikazi anaenda🎉
@@elizaaloyce6781kbx
Niliuliza swali kama unamtu kuko 🇺🇸 na umepata green card je! Ukifika unapewa nyumba au utatakiwa kukaa kwake? Kiasi gani cha pesa utapewa kwa mwezi kabla hujaanza kazi au ukiwa utataka usome?
Mmh! Dear...naona bdo ujajua vzr kuhusu hii green card! Ukiapply na ukabahatika kushinda...bac kaa ukijua unatakiwa uandae atleast Million 10 hv, km ukiwa hauko na family....!!
Na kuhusu swali lako...Ndio inawezekana, kama uko na ndugu anaish marekan..kufikia kwake n sawa tena n vzr tu..km mtakubaliana kwanza kabla ya kwenda kwake
Na hakuna pesa ambyo utapewa dear...!! Nop! Ww ukifika, unatakiwa upambane upate security number...ndipo uanze kutafuta kaz sasa...! Hakunaga pesa ambyo wanagawa my dear😂
@@missnamwambemomentstv7753 😂😂😂 sawa dear ww upo 🇺🇸?
@@missnamwambemomentstv7753n kubaya😂😂😊
Kila kitu juu yako Hupewi hata senti moja
Tabora
7:02
Wasioenda Shule kabisa
Tulio Ishia Rasaba A apo tuailishe 2😂😂😂
Mimi sijui kuongea lungha ya kizungu nafanyajee ili niweze kuomba 7:02
Mimi sijui kuongea lungha ya kizungu nafanyajee ili niweze kuomba
Mimi sijui kuongea lungha ya kizungu nafanyajee ili niweze kuomba