Usifanye makosa haya kwenye PICHA YA DV LOTTERY maana utakosa kuwa mshindi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Upigwaji wa picha ya kuomba Green Card Lottery una masharti mengi sana. Ukifanya makosa, unakatwa, huwezi kuwa mshindi.
    Hakikisha unajua masharti yote na kuepuka makosa yasiyo ya lazima
    #DV2021 #DV2022 #DV2023 #DVLOTTERYRESULTS #GREENCARD #GREENCARDLOTTERY #DVLOTTERY #VISAS #KCC #EMBASSY #SCHOLARSHIPS #INTERNATIONALSTUDENTS #FINANCIALAID #IMMIGRANTS #STUDENTVISA
    Follow EBM SCHOLARS Facebook Page at / ebmscholarsofficial
    Join the EBM SCHOLARS Green Card Facebook Group at / greencardinformation
    Don't forget to Subscribe to my other Channel / ebmswahili
    Subscribe to MAMA BENEDIKT / mamabenedikt to learn more about life in the United States
    Join EBM SCHOLARS Telegram Group for more updates and answers t.me/ebmschola...
    Join African RUclipsrs Network (Telegram Group)
    t.me/africanyo...
    Visit EBMSCHOLARS Books
    www.amazon.com...

Комментарии • 62

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim Год назад

    Wallahi tunashkuru saaana kwa kutu ilimisha Mheshimiwa Ernest boniface Makuriro

  • @KelvinSaimon-y4f
    @KelvinSaimon-y4f 25 дней назад

    Ahsante bro

  • @khadijaismail2000
    @khadijaismail2000 Год назад

    Waooooh nafurahi maelekezo mazuri sana tushindwe wenyewe tu

  • @mamodostyle9668
    @mamodostyle9668 2 года назад

    Mungu akulinde maana unatufungua macho na kutufanya kukaribia ndoto zetu

  • @victornzebele3990
    @victornzebele3990 4 месяца назад

    Thanks a lot my brother

  • @mjmswahil6244
    @mjmswahil6244 3 года назад +1

    Asante Anko kwa msaada bado cjatuma Maombi

  • @moseshorrace7569
    @moseshorrace7569 2 года назад

    Kazi mzuri tu mimi.je waweza ni saidia application yangu

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 Год назад

    Brother nakufuatilia sana! Je ukipiga simu ukiwa na ndevu! Je inakubalika? Naomba contacts zako tafadhali!

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 2 года назад +1

    EBM Hongera unatuelimisha vizuri japo kiukweli Watanzania wengi tupo nyuma zaidi kwenye kuchangamkia fursa hii adhimu. Mimi rafiki angu ameshinda mwaka jana na nimeona ukimuhoji, Watanzania wengi wanakwama pale kwenye gharama, mtu kuwa na 8M minimum ya nauli, medical na visa ni ngumu sana. Nilikuwa na dream za kuishi Canada, lakini sasa naona bora niombe DVL ya USA. SWALI: Nina 3 kids na one wife, je naweza kuomba DV mimi binafsi nikishinda nilete familia baadae?

    • @abrahamsalim5167
      @abrahamsalim5167 Год назад +1

      Unapoomba hakikisha na picha na details za familia unazo unawajaza humo

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 2 года назад +1

    asante sna Bro leo nimemaliza kujaza ile fomu

  • @MtumbaOG
    @MtumbaOG Год назад

    Zanzibar mnakuja lini

  • @emedykwizera1065
    @emedykwizera1065 Год назад

    Pica kama haienezi 600*600yani hatuna bahati cini ya hizo tusahawu???

  • @mikethobiasikisanga4655
    @mikethobiasikisanga4655 2 года назад

    Ernest nakuomba nisaidie mwezi wa kumi mimi ji jirani yenu kigoma kama unanikumbuka

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim Год назад

    Utakuja lini kenya 🇰🇪

  • @mukirefatumaevaste3688
    @mukirefatumaevaste3688 2 года назад +1

    Kaka, nataka kujuwa je mkimbizi ana haki ya kuomba green card lottery

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 года назад

      Ndiyo tena ndiye ana nafas kubwa kuliko hata citizen ila usiwe Marekani tu

    • @stanleyjohn2929
      @stanleyjohn2929 Год назад

      Unaruhusiwa ila nenda ukaaplay nchini kwako

  • @mubabray9845
    @mubabray9845 3 года назад

    Asante EBM

  • @petermarwa3871
    @petermarwa3871 3 года назад

    sasa mkuu kama huna mtu huko usa inakuwaje nani anakupokea

  • @esabelfadhili8432
    @esabelfadhili8432 3 года назад

    Asante kaka

  • @winfredhart6724
    @winfredhart6724 2 года назад

    Asante kaka.

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 3 года назад

    ukishasubmitt computer itakufyekelea mbali

  • @amirymanjota8551
    @amirymanjota8551 2 года назад +1

    Bro mm ni mkazi wa dar esaalam ni fundi wa truck vipi kuhusu ndoto yangu ya kuish malekani naweza kufaulu

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 года назад

      Kama umemaliza form 4 unaweza

    • @MtumbaOG
      @MtumbaOG Год назад

      Kama mtu kapata sifuri hio form 4

  • @munajomar3218
    @munajomar3218 2 года назад

    Habari yako mmi nimeona clip yako unasema utaenda zanzibar .sasa mmi nataka nikupe contact au unirushie zako wanangu wa2 uwafanyie

  • @iszzknowledge5933
    @iszzknowledge5933 2 года назад

    Kaka mimi ndoto zangu ni kuishi marekanii lakn sina elim yoyt kazi zinapatikn hata sisi ambao hatuna elimu

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 года назад

      Ila si kwa Bahati nasibu

    • @stanleyjohn2929
      @stanleyjohn2929 Год назад

      Usipo kuwa na elimu uwe na uzoefu wa kazi zitakazokuwezesha kufanya kazi kwenye makampuni

  • @juliusmugyabuso453
    @juliusmugyabuso453 2 года назад +1

    Umri Una limit Hadi miaka mingapi?

  • @suzannagibai213
    @suzannagibai213 2 года назад

    Mtani nakusubiri October Dsm

  • @BillyNahum
    @BillyNahum Год назад

    😂kidibwi hapo sasa

  • @chidyobey10
    @chidyobey10 3 года назад

    Daaah mi kila nikitaka kuweka picha kwenye remove bg niweze kuweka background nyeupe inaandila Errors

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 года назад

    Wewe unataka kuwalia Hela

  • @ForDrama_
    @ForDrama_ Год назад

    Bro napataje mawasiliano yako ya WhatsApp

  • @edkawiche3171
    @edkawiche3171 2 года назад

    niko makini nakufwatillia.

  • @saimonjmai801
    @saimonjmai801 2 года назад

    Kaka Habari , Samaaani naomba kuliza hiyo baati na sibu inachezwa mwezi gani kwa mwaka 2022?

  • @mathewsnyabende3781
    @mathewsnyabende3781 2 года назад

    Jambo Ndugu Ephraim.
    Pongezi kwa kazi nzuri unayofanya ya kuwaelimisha wote wanao jisajili kwenye DV lottery.Nina swali moja,nili upload picha yangu,mkeo na mwanao lakini nili upload ya mkeo na mwanao mara mbili kwa ile chaguo la ''Edit photo" Portal.Baadaye ikawa processsed na kukubaliwa kama "Approved".
    Swali langu ni je kuna uwezekano wa picha kuwa disqualified tena baadaye kwa chujio la kwanza kwa msingi kwamba picha haiko sawa hata baada ya "YOUR PHOTO HAS BEEN APPROVED" kwa portal wakati wa ku apply?

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim Год назад

    Mimi nakuwa nakufatilia saaaana ungenisaidia number yako ya whats up

  • @danielkiondo9451
    @danielkiondo9451 2 года назад

    Je Kama nimevaa nguo nyeupe inafaa?

  • @esabelfadhili8432
    @esabelfadhili8432 3 года назад

    😅😅luckdube

  • @jean1698
    @jean1698 3 года назад

    Mimi niliedit background kwa adobe photoshop, I first took a picture kwenye background ya kawaida

    • @yusufomar1218
      @yusufomar1218 2 года назад +1

      Je uliweza kuipa picha yako vipimo vya 240kb na 600*600 megapixels ??

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 года назад

      Hawatakukubalia

  • @jean1698
    @jean1698 3 года назад

    👏👏👏👏

  • @azizamohd5728
    @azizamohd5728 2 года назад

    Picha za watoto nilizotumia ku apply mwaka jana naweza tumia mwaka huu ? za watoto tu mie nitapiga mpya

  • @kipsjr3664
    @kipsjr3664 3 года назад

    kivuli 😭😭😭

  • @seremaboubakar8981
    @seremaboubakar8981 Год назад +1

    😂

  • @KelvinSaimon-y4f
    @KelvinSaimon-y4f 25 дней назад

    Ahsante bro