Usifanye makosa haya kwenye PICHA YA DV LOTTERY maana utakosa kuwa mshindi
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Upigwaji wa picha ya kuomba Green Card Lottery una masharti mengi sana. Ukifanya makosa, unakatwa, huwezi kuwa mshindi.
Hakikisha unajua masharti yote na kuepuka makosa yasiyo ya lazima
#DV2021 #DV2022 #DV2023 #DVLOTTERYRESULTS #GREENCARD #GREENCARDLOTTERY #DVLOTTERY #VISAS #KCC #EMBASSY #SCHOLARSHIPS #INTERNATIONALSTUDENTS #FINANCIALAID #IMMIGRANTS #STUDENTVISA
Follow EBM SCHOLARS Facebook Page at / ebmscholarsofficial
Join the EBM SCHOLARS Green Card Facebook Group at / greencardinformation
Don't forget to Subscribe to my other Channel / ebmswahili
Subscribe to MAMA BENEDIKT / mamabenedikt to learn more about life in the United States
Join EBM SCHOLARS Telegram Group for more updates and answers t.me/ebmschola...
Join African RUclipsrs Network (Telegram Group)
t.me/africanyo...
Visit EBMSCHOLARS Books
www.amazon.com...
Wallahi tunashkuru saaana kwa kutu ilimisha Mheshimiwa Ernest boniface Makuriro
Ahsante bro
Waooooh nafurahi maelekezo mazuri sana tushindwe wenyewe tu
Mungu akulinde maana unatufungua macho na kutufanya kukaribia ndoto zetu
Thanks a lot my brother
Asante Anko kwa msaada bado cjatuma Maombi
Kazi mzuri tu mimi.je waweza ni saidia application yangu
Brother nakufuatilia sana! Je ukipiga simu ukiwa na ndevu! Je inakubalika? Naomba contacts zako tafadhali!
EBM Hongera unatuelimisha vizuri japo kiukweli Watanzania wengi tupo nyuma zaidi kwenye kuchangamkia fursa hii adhimu. Mimi rafiki angu ameshinda mwaka jana na nimeona ukimuhoji, Watanzania wengi wanakwama pale kwenye gharama, mtu kuwa na 8M minimum ya nauli, medical na visa ni ngumu sana. Nilikuwa na dream za kuishi Canada, lakini sasa naona bora niombe DVL ya USA. SWALI: Nina 3 kids na one wife, je naweza kuomba DV mimi binafsi nikishinda nilete familia baadae?
Unapoomba hakikisha na picha na details za familia unazo unawajaza humo
asante sna Bro leo nimemaliza kujaza ile fomu
Naomba unisaidie jisi yakujaza
Zanzibar mnakuja lini
Pica kama haienezi 600*600yani hatuna bahati cini ya hizo tusahawu???
Ernest nakuomba nisaidie mwezi wa kumi mimi ji jirani yenu kigoma kama unanikumbuka
Utakuja lini kenya 🇰🇪
Kaka, nataka kujuwa je mkimbizi ana haki ya kuomba green card lottery
Ndiyo tena ndiye ana nafas kubwa kuliko hata citizen ila usiwe Marekani tu
Unaruhusiwa ila nenda ukaaplay nchini kwako
Asante EBM
sasa mkuu kama huna mtu huko usa inakuwaje nani anakupokea
Asante kaka
Asante kaka.
ukishasubmitt computer itakufyekelea mbali
Bro mm ni mkazi wa dar esaalam ni fundi wa truck vipi kuhusu ndoto yangu ya kuish malekani naweza kufaulu
Kama umemaliza form 4 unaweza
Kama mtu kapata sifuri hio form 4
Habari yako mmi nimeona clip yako unasema utaenda zanzibar .sasa mmi nataka nikupe contact au unirushie zako wanangu wa2 uwafanyie
Fanya online mwenyewe utapata
Kaka mimi ndoto zangu ni kuishi marekanii lakn sina elim yoyt kazi zinapatikn hata sisi ambao hatuna elimu
Ila si kwa Bahati nasibu
Usipo kuwa na elimu uwe na uzoefu wa kazi zitakazokuwezesha kufanya kazi kwenye makampuni
Umri Una limit Hadi miaka mingapi?
Hakuna
Mtani nakusubiri October Dsm
😂kidibwi hapo sasa
Daaah mi kila nikitaka kuweka picha kwenye remove bg niweze kuweka background nyeupe inaandila Errors
Kuna app unatakiwa udownload
Ni app iki hio app ya ku edit picha
Wewe unataka kuwalia Hela
Bro napataje mawasiliano yako ya WhatsApp
niko makini nakufwatillia.
Kaka Habari , Samaaani naomba kuliza hiyo baati na sibu inachezwa mwezi gani kwa mwaka 2022?
Mwezi huu hadi wa 11 hapo
Huu october 8 to nov 2022
Jambo Ndugu Ephraim.
Pongezi kwa kazi nzuri unayofanya ya kuwaelimisha wote wanao jisajili kwenye DV lottery.Nina swali moja,nili upload picha yangu,mkeo na mwanao lakini nili upload ya mkeo na mwanao mara mbili kwa ile chaguo la ''Edit photo" Portal.Baadaye ikawa processsed na kukubaliwa kama "Approved".
Swali langu ni je kuna uwezekano wa picha kuwa disqualified tena baadaye kwa chujio la kwanza kwa msingi kwamba picha haiko sawa hata baada ya "YOUR PHOTO HAS BEEN APPROVED" kwa portal wakati wa ku apply?
Ndiyo
Mimi nakuwa nakufatilia saaaana ungenisaidia number yako ya whats up
Je Kama nimevaa nguo nyeupe inafaa?
Hapana
@@trophywilson7211 my dia naomba muongozo jinsi yakufanya hiyo kuomba green card
😅😅luckdube
Mimi niliedit background kwa adobe photoshop, I first took a picture kwenye background ya kawaida
Je uliweza kuipa picha yako vipimo vya 240kb na 600*600 megapixels ??
Hawatakukubalia
👏👏👏👏
Picha za watoto nilizotumia ku apply mwaka jana naweza tumia mwaka huu ? za watoto tu mie nitapiga mpya
Big no wamekua
Usitumie autakiwi kutumia
kivuli 😭😭😭
😂
Ahsante bro