Nauli ya kutoka Tanzania na Kenya kwenda USA au Canada ni dola ngapi? Unapataje tickets za bei nafuu
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Kusaifiri tokea East Africa kwenda Marekani au Canada ni ghali sana. Njia hizi zitakusaidia sana kupata tickets za bei nafuu.
#ebmscholarsapp #ebmscholars #nauliyandege
Asante sana Kaka kwa maelezo mazuri 🙏
Bro kama unatoa mzigo kenya kuja tanzania ni utaratibu gani mtu afanye ili mzigo umufikie alipo
Thank God nilibahatika nikaja na emirate kwa 500$ last yr mwez wa11ila niliconnect mara 3😅 DAR to Maryland Glory to God
Kiukweli nilishapoteza ndoto za ughaibuni ila umeziamsha tena nimejaza dv lotary msimu huu tunangoja majibu
Kaka nipo south African ni bei gani naitaji namba yako plz
Nimependa Sana hiyo background..
Unaeleweka vizuri kaka
Mh
Thanks mybrother EBM hicho unachofanya hakuna thamani ya kukulilipa maana ni njia ya mafanikio kwa muhusika alie sikia akathubutu
Habari ya jioni kiongozi, tunasubiri tuone kazi za fool sponsorship October, November and December ili tulipiye tuhanze process
Nauli ya kwenda na kurudi ni kiswahili kwa Kingereza ( Return ticket )
Nakufatilia Niko Kitwe Zambia
Thanks mybrother for your companion in Tanzanian ni msaada mkubwa kwa jamii ila kuona hilo linataka macho ya moyoni
naomba na email yako ili tuwasiliane na kunipa ushauri wa jambo ambalo nalifanya kwa ajili ya safari yakuja huoko marekani ndio naanza mchakato
Mim nitaenda marekani siku moja na nitaenda kipindi cha winter.
Shukran kk nimekuelewa vyema
Hongera EBM kwa sasa tumekulewa vzr sn tuu kwa kutupa update hiziii
Nataka niende Kenya ni shngapi?
Habari kaka mimi naitwa furaha kandonga naomba namba yako
Bro tusaidie mawasiliano
Habar kaka m nataka no yko
😂😂😂 duh hatar nilijua ni oG
Mkuu unakujja lini Tanzania
Hongera sana
Aiseee unatisha sana
Iyo imekaa
Tunashukuru
Nisaidie na your Email tubonge niko nampango
Samahani brother EBM hiyo Tv hapo ni inch ngapi 😅
Your are teacher for us little brothers and sisters from your original country