Kwa kweli kabisa huduma zenu ni nzuri sana!! Na hakuna urasimu hata kidogo... Nilifika kurasini saa 4 Hadi saa 7 nilikuwa nimehudumia Kila kitu!!! Ukiwa na documents zako zote muhimu Wala hawana shida Hawa jamaa!!! Hongereni Sana kwa kazi nzuri
Hongera Serikali ya Tanzania Hongera Mama Samia Rais wetu Hongera Uhamiaji kazi yenu njema. Mimi nakuja ofisini wiki ijayo kuilipia nami niipate.🔥🔥🔥🥰🥰🥰🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪
UHAMIAJI UKIFUATA UTARATIBU MASWALI MENGI FORM HUPATI NA ZOEZI LAKO HALITA KAMILIKA NA SWALA LA PASSPORT SIO MBAKA USAFIRI HII NIHAKI KWA KILA MWANANCH DUNIANI KOTE ILA TZ YETU MBAKA USAFIRI
Kulikuwa na tatizo la kimtandao maana mimi nilipata pasport ndani ya siku tano na hivi karibuni mwenzangu aliomba pasport amesubiri kwa miezi kadhaa kama 4na walimjulisha kuna tatizo kimtandao so yupo sahihi kabisaaaaaaaaa
Passport ni Ruswa kwenda mbele has ukiwa unarangi ranging wape klila kitu wanataka ruswa ni wabaguzi wa rangi wamewazidi hata wazungu mimi nina miezi 8 na failili ninalo ruswaruswa
Bado achngamoto zipi juz tu kudhinda jana mdigo wangu laki nne kisa baba kafariki mama hana bath certificate na bado kaambiwa atoe laki huko dar fike lake likawekwe mbele , kaenda pale na nida bath certificate,batua ya mwekiti wa mitaa SubhanaAllah kaambiwa lete barua ya anaekuita unakataka kwenda badala kumuelekeza wanataka kukutoa hela mtu mwenyewe màskin mitihan nchi hii ruswa zipi sana migration 😊
Passport ni Haki ya Kila mtu Sema TZ ujinga Mwingi na Ukweli Nilitumia Vishoka Napata Haraka Kuliko Mtu akija mwenyewe Ofisi na Doc Zake zikiwa Hali..Sasa mnataka uthibitisho wa nje Sina uhakika Hata wa VISA Uhamijia mizinguo tu..Yaani Kuongea ni Rahisi Sana na Nzuri ila Kiuhalisia Uhamiaji Nyieee Mnazingua...Ujinga ni Pale unaenda Ku Renew Passport alfu unaambiwa leta Doc Sasa Najiuliza Mlinisajili na Nini..?Bongo Mizinguo Eti Siku 7-14 Aseee hayo ni Maneno tu Vitendo 0
ndugu yangu kazi mojawapo ya uhamiaji ni kutambua pia wahamiaji haramu....hivyo usikasirike unapoambiwa leta doc kila inapobidi....sababu watu wanafoji document na wanakuja kutambuliwa baada ya miaka hata 10... ko wanafanya hivyo pia ili kubaini vitu kama hivyo..
Mama samia ubaguzi wa rangi ndio unaongoza magreshen wanatutesa nina miezi 8 nimewapa kila kitu nawalaumu wazazii wangu kwanini waliza na mwarabu rangi yangu inaniponza
Jambo afand mm tangia mwez wa nane mbaka leo sijapta na mbaka leo na hapo hapo mbaka maafsa wako wanataka wanataka hela na mm mbaka jina na mjua na lisiti zote ninazo
Mbona KATIBA yetu Tanzania Inasema PASSPORT Ni Haki Ya Raia? Sio Lazima Niwe Na safari, Ni Haki Yangu Niwe Nayo Hata Kama Sijui Nitasafiri Lini Bhana!,
Pasport mnatuambia laki na amsini mimi nimepata pas kwa lakisita ila list inasoma laki na thelathini pamoja nafom alfu ishilini jumla laki na amsini jee nyingine ziko wapi
Huyu jamaa nilimkuta,nikamwambia nilishakamilisha kila kitu online mpk stamp lkn,anataka rushwa,eti nionyeshe account statement,sio watu wazuri ntastaafu tuu,kila kitu kina nwisho
Sasa mm ni murundi hila nimezaa na m tz ni mijifungua hospital ya mwa nyanamala 2010 na yveti Vipo vyote vya mtoto hila baba yake tumeachana mwaka 2015 ikabidi mtoto nije naye kwetu Burundi mutoto amekuwa je akija tz ataweza pewa passport cz familia ya baba yake ipo tz kimara hila kishwaili cha tz hajuwi.
Bora kutumia vishoka kuliko nyie mkitaka vishoka wasitumike badilisheni yani mtu unahitaji pasipoti lakini unasumbiliwa kweli hata kila kitu unacho, nawashauri watu watumie njia wanazojua, ukimsikiliza huyu kirahisi kwa maneno yake lakini vitendo zero uhakika pasipoti ataisikia tuu
Sisi ambao baba zetu ni wazungu na mama zetu ni watanzania tunapata tabu sana .kila nikienda naambiwa ni coparate bila hivyo sipewi .sasa mimi huwa nimezoea tu kucoparate sina jinsi .tena bado ntasumbuliwa kupelekwa kwenye mahojiano kila gorofa mbali na kutoa kitu
Sio nida ambayo hutakiwi hata uulizwe swali hata uwe na namba ya rais wanataka ruswa daa tunaishi nchi ya zulma na rushwa hakuna magreshen atakeenda peponi
Uhamiaji wasumbufu kuna mtu anaenda mwaka wa tatu passport hajapata hasa watu wa kigoma wanaonewa sana pale kurasini mtu maomba passport wakasema wanatuma watu kwao wakajiridhishe kama ni raia mwaka jana walienda na kumpa majibu kuwa uraia hauna shaka lakini hadi leo wanamzungusha, ila vishoka siku mbili tu wanakuletea passport
Kama nitaenda takuru nitawapeleka wengi lakini ni watoto wa wakubwa wako huko takuru hawana meno ndio wanafanya watakalo nchi hihi ikisha ruswa labda kiyama
TAKUKURU ina watu wake. Ukweli vizingiti katika upatikanaji wa passport ni vya kutosha. Hiyo laki na nusu ni ya ofisi kunyonyolewa kwa kufuatilia ni zaidi ya nusu ya hiyo 150 !!
Changamoto nyingi zipo Kila sekta tuache mfumo wa rushwa turidhike tunachokipata mama samia katuchagua tumsaidie atafanya mangapi mungu ibariki tanzania ameen
Mimi ni Simbarakiye- Abdul from Burundi. Lakini ni naishi Amsterdam Netherlands mwaka 40 .pia Nina passport ya Holland nimeoa mke wangu 2021 pia tuna mtoto umoja wakike mwaka 3. Kila nikija nasumbuliwa sana upewa permit ya mwaka 2 naomba mnisidie njia ya kufanya Asante sana
Nashukuru sana kiongoz Mimi binafsi nilipata mapema shida watu tumezoe Shortcut
Kwa kweli kabisa huduma zenu ni nzuri sana!! Na hakuna urasimu hata kidogo... Nilifika kurasini saa 4 Hadi saa 7 nilikuwa nimehudumia Kila kitu!!!
Ukiwa na documents zako zote muhimu Wala hawana shida Hawa jamaa!!! Hongereni Sana kwa kazi nzuri
Urifanikiwa ndugu nakutekeleza safar yako?
Documents zinazotakiwa zote ni zipi?
Shukrani kwa taarifa kutoka wizara, nilifika Wizara ya uhamiaji watumishi ni wa karim sana, mungu awabariki
Mnapiga kazi vzr, safi sana. Sijawahi pata huduma nzuri lama uhamiaji
Hongera Serikali ya Tanzania Hongera Mama Samia Rais wetu Hongera Uhamiaji kazi yenu njema. Mimi nakuja ofisini wiki ijayo kuilipia nami niipate.🔥🔥🔥🥰🥰🥰🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪
ukienda ofsini utaambiw system haipoo
Asante sana mkuu kwamaelezo mazuri
Ahsante Tanzania
Asante sana mkuu🙏🙏
Mungu awabariki mno
Nashukulu mungu awabaliki mulinptia bila shida
Ulibahatika. Huku mikoani kuna sintofaham za kutosha.
Sehemu pekee yenye watu yenye costomer care apa Tanzania ni UHAMIAJI hakika mnapiga kazi kwa ufanisi.
Thanks 😊
Nashukuru Mungu nilipata kwa mda
Kila kitu ni shi ngapi galama zake kwa ujumla
Ahsante
*Unaongea tu mkuu lakini vishoka ndowanarahisha sana kuliko Hao watu ZAKO bila vishoka IMMAGRATION kwa asilimia 80 Mambo hayaendi*
Kichwa chako ni kigumu
@@johnbidya119sio ngumu Kama huna mtu huko utazungushwa mpaka
Safi sana
Na vipi mzazi kama hana cheti cha kuzaliwa..wengne wazaz wapo ndan sana huko.anaejuabadala anambie tafadhali
Nakujibu
@@priverpriva98 naomba unisaidie, baba kafariki , mama ni WA kijijini Hana cheti Cha kuzaliwa, nasaidikaje
Nenda nae mahakaman akale kiapo kama ni raia wa tz watakupa form ya kiapo (affidavit) ndio utaenda nayo uhamiaji
@@boas_bj Sasa huko mahakamani jamani wazazi wetu ukute yangu akue hajawahi fika umpeleke kwa Ajili ya kiapo😊😊
Upo sahihi afande
0:22
UHAMIAJI UKIFUATA UTARATIBU MASWALI MENGI FORM HUPATI NA ZOEZI LAKO HALITA KAMILIKA NA SWALA LA PASSPORT SIO MBAKA USAFIRI HII NIHAKI KWA KILA MWANANCH DUNIANI KOTE ILA TZ YETU MBAKA USAFIRI
Maneno mazuri ila amna kitu
hao wanaoitwa vishoka, kwann msiwaziboit?
msiwaziboit ndio nini
@@erickdaniel610 msiwazibiti
Baba na mama hawapo hai vyetivyao sina nafanyaje?
Mmmh yan baraa uko uhamiaji kama mie hadi leo sijapata passpoti yangu 🙏🙏
Wanazingua sana. Watendaji wanadai fedha za ziada sana.
Kwa kweli Uhamiaji Dar es Salaam wako active.
Nisaidie Namba zao za simu
Baadhi ya watendaji wenu ndio wanafanya mipango na hao vishoka
Nimeipenda iyo
Hapa mnasema vizuri lkn mtu akija mnawapa watu rushwa mnawapa haraka lkn wale wanaotumia njia ya halali mnawazungusha
Kweli kabisa.
Kweli kabisa Mimi nilizungushea mwenzi mzima mpaka nilipojiongeza ndyo nikapata
Hapa kwenye vyeti vya mmoja wa wazazi ndio vishoka mnapowakaribisha, mzazi wng ikiwa amefariki au wamefariki nafanyaje?
Onyesha document
Tunafanyaje tusio na wazazi?
Asante Kiongozi kwa Taarifa hii muhimu
Vishoka wanarahisisha mambo.. Urasimu ni mwingi sana katoka ofis za serikali ya jamhuri. 😢
Ndani ya siku saba mtu anapata passport wapi?? Mimi nimekuja tangi mwezi wa nane mpaka leo sijapata na natokea dar es salaam
Kulikuwa na tatizo la kimtandao maana mimi nilipata pasport ndani ya siku tano na hivi karibuni mwenzangu aliomba pasport amesubiri kwa miezi kadhaa kama 4na walimjulisha kuna tatizo kimtandao so yupo sahihi kabisaaaaaaaaa
Pia ni Pesa ngapi Arusha, maana tunaweza ambiwa hapa ni sh 150000,kufika kule ni Zaidi ya hiyo pesa, nifanyeje nipate maana nataka Sana.
Je kama wazazi wako alikwisha rafiki utafanyaje?
Mimi nimezurumiwa pesa na passport sijapata mpka leo naitwa riziki George kiboye
Ni uongo maana muda mwengine wanakuuliza we kwenye akaunt una sh ngap alafu kama wanakukebei vyote unaweza kuwa umekamilisha ila utazungushwa mpk basi
Passport ni Ruswa kwenda mbele has ukiwa unarangi ranging wape klila kitu wanataka ruswa ni wabaguzi wa rangi wamewazidi hata wazungu mimi nina miezi 8 na failili ninalo ruswaruswa
Bado achngamoto zipi juz tu kudhinda jana mdigo wangu laki nne kisa baba kafariki mama hana bath certificate na bado kaambiwa atoe laki huko dar fike lake likawekwe mbele , kaenda pale na nida bath certificate,batua ya mwekiti wa mitaa SubhanaAllah kaambiwa lete barua ya anaekuita unakataka kwenda badala kumuelekeza wanataka kukutoa hela mtu mwenyewe màskin mitihan nchi hii ruswa zipi sana migration 😊
Passport ni Haki ya Kila mtu Sema TZ ujinga Mwingi na Ukweli Nilitumia Vishoka Napata Haraka Kuliko Mtu akija mwenyewe Ofisi na Doc Zake zikiwa Hali..Sasa mnataka uthibitisho wa nje Sina uhakika Hata wa VISA Uhamijia mizinguo tu..Yaani Kuongea ni Rahisi Sana na Nzuri ila Kiuhalisia Uhamiaji Nyieee Mnazingua...Ujinga ni Pale unaenda Ku Renew Passport alfu unaambiwa leta Doc Sasa Najiuliza Mlinisajili na Nini..?Bongo Mizinguo Eti Siku 7-14 Aseee hayo ni Maneno tu Vitendo 0
ndugu yangu kazi mojawapo ya uhamiaji ni kutambua pia wahamiaji haramu....hivyo usikasirike unapoambiwa leta doc kila inapobidi....sababu watu wanafoji document na wanakuja kutambuliwa baada ya miaka hata 10... ko wanafanya hivyo pia ili kubaini vitu kama hivyo..
Oy vp mzeee
Habar nnachangamoto niko botswana na hakuna ubalozi wa Tanzania je naweza kusaidiwa vipi kwa kesi ya kupokonywa passpot
naomba jibu nishahangaika
Namba ya nda tu mtihan je iyo passport inakuaje hii nchi bora Rais angekuwa joti
Naitaji nida
Kwa muombaji AmBAR amefiwa na wazazi wake na hawakuwa na vyeti vya kuzaliwa itakuwaje? Walete Nyaraka Gani?
Kiapo tu kwa wakili
Sasa hivi kunatatizo la stamp boda tunaibiwa pesa na mafisa wenu weka namba ya simu niwape matukio yenu ya wafanyakazi wenu
Mama samia ubaguzi wa rangi ndio unaongoza magreshen wanatutesa nina miezi 8 nimewapa kila kitu nawalaumu wazazii wangu kwanini waliza na mwarabu rangi yangu inaniponza
Yanii mangu kwenye passport alitumiza sana kutoka elfu 50 mpka laki na 50 angalau engelifanya laki moja
Si kweli hapo ni kipengele, nina miezi miwili na passport sijapata
Weee kweli??
ni lazima uwe na ivyo vyeti original au copy tu inatosha
SAMAHANI MUHESHIMIWA VIGEZO ULIVYO ELEZA HAKUNA KINGINE CHA KUWASILISHA UHAMIAJI NJE NA VIGEZO ULIVYO SEMA ILI KUPATA PASSPORT?
ASANTE
Tatizo ukifwata njia hii unasuguaa gaga sana. Kwanza utapigwa maswali mpaka utakata tamaa ya kusafir
Jambo afand mm tangia mwez wa nane mbaka leo sijapta na mbaka leo na hapo hapo mbaka maafsa wako wanataka wanataka hela na mm mbaka jina na mjua na lisiti zote ninazo
Nikweli kabisa watu waache uwoga nibora kwenda mwenyewe kuliko kuliko kumtumia mtu
Mimi sina namba ya nida na naitaji pasipoti
Huwezi pata
Ndugu za jumapili mm Jackson j nnko nahitaji kusafiri nje ya nchi nitakuja ofisini dar
Mi nataka passport please nisaidie....
Ingia kwa website yao www.immigration.go.tz
Mbona KATIBA yetu Tanzania Inasema PASSPORT Ni Haki Ya Raia? Sio Lazima Niwe Na safari, Ni Haki Yangu Niwe Nayo Hata Kama Sijui Nitasafiri Lini Bhana!,
Pasport mnatuambia laki na amsini mimi nimepata pas kwa lakisita ila list inasoma laki na thelathini pamoja nafom alfu ishilini jumla laki na amsini jee nyingine ziko wapi
Kwa mtoto chini ya umri wa miaka 18 anatakiwa ajaze vipi kwenye sehemu ya kujaza nida?
Inajazwa taarifa ya mzazi
je kwenye mzunguko ote kunasehemu ya mwanasheria kuweka mhuli
Sidhani zaidi ya hizo document
Uwongo uwongo mwingi kama kweli hivi utaisikia mtandao unasumbua hovyo kabisa
Huyu jamaa nilimkuta,nikamwambia nilishakamilisha kila kitu online mpk stamp lkn,anataka rushwa,eti nionyeshe account statement,sio watu wazuri ntastaafu tuu,kila kitu kina nwisho
Utaratibu wa kupata passport huku mikoani unazingua sana.!! Nimetuma maombi na kukamilisha malipo wiki nne zimepita mizengwe kibao...!!
Tanzania yetu tunaishi kwa rushwa nchi zawenzetu sikumojatu unapata paspot lakini huko utasugua gaga
Huku.arusha.hatupati.na.tukihitaji.lakinne.eti.mpaka.iletwe.daressalam.tumechoka.sikuhizi.tunaenda.nrb.kenya.kwa.honqo.ya.sh.1300.kurudi
.sh.1500
Kwanini nchinyengine hawana vyeti vya kuzaliwa na wanapata paspot mojakwamoja"? Mtu alizaliwa tu, anakua na paspot
Rushwa imetawala na ulasim
Sasa mm ni murundi hila nimezaa na m tz ni mijifungua hospital ya mwa nyanamala 2010 na yveti Vipo vyote vya mtoto hila baba yake tumeachana mwaka 2015 ikabidi mtoto nije naye kwetu Burundi mutoto amekuwa je akija tz ataweza pewa passport cz familia ya baba yake ipo tz kimara hila kishwaili cha tz hajuwi.
Baba yake amefariki 2017
Shida wafanyakazi wa hapo wanasumbua hata umekamisha kilakitu ni uongo tu
Nilikuja ofisini kwenu nikafanya kila kitu mwezi wa nane mpaka leo sijapata passport.. Na magonjwa tu ndiyo imefanya nitafute hiyo passport...
Wahanga tupo wengi
Labda kwa sasa ndio kuna urahisi ila mm zangu zote nilisota hadi kishoka ndio nikafanikiwa mgoja nione hii yakaribia kujaa
Wanasema vizuri lakini huku kwenye utekelezaji ni vurugu tupu
Bora kutumia vishoka kuliko nyie mkitaka vishoka wasitumike badilisheni yani mtu unahitaji pasipoti lakini unasumbiliwa kweli hata kila kitu unacho, nawashauri watu watumie njia wanazojua, ukimsikiliza huyu kirahisi kwa maneno yake lakini vitendo zero uhakika pasipoti ataisikia tuu
Siku moja mmmmh tunajua palivyo hapo
Na wasomali mnawajaza mnaiaribu nchi hii
Acha ubaguzi
Sisi ambao baba zetu ni wazungu na mama zetu ni watanzania tunapata tabu sana .kila nikienda naambiwa ni coparate bila hivyo sipewi .sasa mimi huwa nimezoea tu kucoparate sina jinsi .tena bado ntasumbuliwa kupelekwa kwenye mahojiano kila gorofa mbali na kutoa kitu
Mimi wanzanzi wangu wote walikufa miaka 27 iliyopita, itakuwaje mkuu
Sio nida ambayo hutakiwi hata uulizwe swali hata uwe na namba ya rais wanataka ruswa daa tunaishi nchi ya zulma na rushwa hakuna magreshen atakeenda peponi
Uhamiaji wasumbufu kuna mtu anaenda mwaka wa tatu passport hajapata hasa watu wa kigoma wanaonewa sana pale kurasini mtu maomba passport wakasema wanatuma watu kwao wakajiridhishe kama ni raia mwaka jana walienda na kumpa majibu kuwa uraia hauna shaka lakini hadi leo wanamzungusha, ila vishoka siku mbili tu wanakuletea passport
Kama niko kenya nafanyaje plz sina kitu chochote kuhusu wzazi sina hata cha mzazi
Oya vip huko Kenya mambo yanaendaje hawana ubaguzi boy.
Unaongea tu mkubwa lakini longolongo nyingi sana kwa watendaji wadogo.
Shida wakukatalie toka a mwazo kwamba hujakamilisha wanachukuwa pesa wanaanza kukubababaisha
kwani paspoti si ndio haki ya mwananchi tokea anapo zaliwa anapaswa kuwa nayo yani hio ipo dunia nzima hapa kwetu tu
Makufuli alitufanyia jambo sio rafiki kutupandishia passport beii ya juuu mama tushushiee passport angalau laki moja
Na kama sina nida ina kuajeee
Kila.mwanainchi.lazima.uwe.na.nauli.na.pesa.ya.njiani.kila.wakati.kweli.tumeliwa.vyakutosha.pesa.nyinqi.inapotea.kwa.raia.wa.tz
Je mfano ukawa unatumia majina mawili tofaut yaan jina la kusomea likawa tofaut na jina la ndoa likawa tofaut apo tunafanyaje mkuu
Majina yafanane na kwenye vyeti
Kama nitaenda takuru nitawapeleka wengi lakini ni watoto wa wakubwa wako huko takuru hawana meno ndio wanafanya watakalo nchi hihi ikisha ruswa labda kiyama
TAKUKURU ina watu wake. Ukweli vizingiti katika upatikanaji wa passport ni vya kutosha. Hiyo laki na nusu ni ya ofisi kunyonyolewa kwa kufuatilia ni zaidi ya nusu ya hiyo 150 !!
Kama serikali, Hao vishoka mmewachukulia hatua gani,maana wanatuibia sana.
Nina mwezi wa pili sasa nimekamilisha kila kitu sijapata pasport yangu bado malipo kila kitu tayari nini tatizo jamani
Mom natak passport yakwenda Zambia
Mom sina namba
Changamoto nyingi zipo Kila sekta tuache mfumo wa rushwa turidhike tunachokipata mama samia katuchagua tumsaidie atafanya mangapi mungu ibariki tanzania ameen
Kwani kuwa napasspot lazima uwe unassafili nilijua nihaki ya mwananchi kuwa napassppt maana nchi zingine mtoto akizaliwa tu anakuwa nahati yakusafilia
MKUU hii ni ya muda gani
Nimeona kazi mbali mbali na mishahara yake ila kazi ya fundi umeme iklje kaka
Arusha ninaweza pata, na je itachukua muda gani mbaka wanipe.
Nenda Uhamiaji pale utapewa fomu za kujaza kadri utakavyoijaza mapema na kurejesha ndiyo utakavyoipata Passport yako Kwa haraka
Wasumbufu
Mimi ni Simbarakiye- Abdul from Burundi. Lakini ni naishi Amsterdam Netherlands mwaka 40 .pia Nina passport ya Holland nimeoa mke wangu 2021 pia tuna mtoto umoja wakike mwaka 3. Kila nikija nasumbuliwa sana upewa permit ya mwaka 2 naomba mnisidie njia ya kufanya Asante sana
Pumbavu we jamaa muongo sana unajua yanayo tendeka hakuna watu wasumbufu kama nyie uhamiaji