#ZIFAHAMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 160

  • @AstridaNdovanga-tz6vj
    @AstridaNdovanga-tz6vj 10 месяцев назад +5

    Nashukuru sana kiongoz Mimi binafsi nilipata mapema shida watu tumezoe Shortcut

  • @Toptenherbs
    @Toptenherbs 7 месяцев назад +5

    Kwa kweli kabisa huduma zenu ni nzuri sana!! Na hakuna urasimu hata kidogo... Nilifika kurasini saa 4 Hadi saa 7 nilikuwa nimehudumia Kila kitu!!!
    Ukiwa na documents zako zote muhimu Wala hawana shida Hawa jamaa!!! Hongereni Sana kwa kazi nzuri

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 6 месяцев назад

      Urifanikiwa ndugu nakutekeleza safar yako?

    • @SarahFrank-pz4lo
      @SarahFrank-pz4lo 14 дней назад

      Documents zinazotakiwa zote ni zipi?

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Год назад +7

    Shukrani kwa taarifa kutoka wizara, nilifika Wizara ya uhamiaji watumishi ni wa karim sana, mungu awabariki

  • @SHADOTUBETZ
    @SHADOTUBETZ Год назад +4

    Mnapiga kazi vzr, safi sana. Sijawahi pata huduma nzuri lama uhamiaji

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 6 месяцев назад

    Hongera Serikali ya Tanzania Hongera Mama Samia Rais wetu Hongera Uhamiaji kazi yenu njema. Mimi nakuja ofisini wiki ijayo kuilipia nami niipate.🔥🔥🔥🥰🥰🥰🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪

  • @idrisafadhili9029
    @idrisafadhili9029 10 месяцев назад +3

    ukienda ofsini utaambiw system haipoo

  • @yolonimojohn7792
    @yolonimojohn7792 Год назад +1

    Asante sana mkuu kwamaelezo mazuri

  • @fatumaibrahim8973
    @fatumaibrahim8973 2 года назад +3

    Ahsante Tanzania

  • @bensilem121
    @bensilem121 Год назад +1

    Asante sana mkuu🙏🙏

  • @HamadiMwashiuya
    @HamadiMwashiuya Месяц назад

    Mungu awabariki mno

  • @FarajaSijali
    @FarajaSijali 9 месяцев назад +1

    Nashukulu mungu awabaliki mulinptia bila shida

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 3 месяца назад

      Ulibahatika. Huku mikoani kuna sintofaham za kutosha.

  • @stevenrichard189
    @stevenrichard189 6 дней назад

    Sehemu pekee yenye watu yenye costomer care apa Tanzania ni UHAMIAJI hakika mnapiga kazi kwa ufanisi.

  • @priverpriva98
    @priverpriva98 2 года назад +1

    Thanks 😊

  • @HattaHatta-pk7hr
    @HattaHatta-pk7hr 6 месяцев назад

    Nashukuru Mungu nilipata kwa mda

    • @HawasilverShamba
      @HawasilverShamba 8 дней назад +1

      Kila kitu ni shi ngapi galama zake kwa ujumla

  • @NeemaKumila-gx3nz
    @NeemaKumila-gx3nz 5 месяцев назад

    Ahsante

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 Год назад +7

    *Unaongea tu mkuu lakini vishoka ndowanarahisha sana kuliko Hao watu ZAKO bila vishoka IMMAGRATION kwa asilimia 80 Mambo hayaendi*

    • @johnbidya119
      @johnbidya119 Год назад

      Kichwa chako ni kigumu

    • @AidathRweyongeza
      @AidathRweyongeza 5 месяцев назад +1

      ​@@johnbidya119sio ngumu Kama huna mtu huko utazungushwa mpaka

  • @majestyjames6499
    @majestyjames6499 4 месяца назад

    Safi sana

  • @salminmbembela9701
    @salminmbembela9701 2 года назад +5

    Na vipi mzazi kama hana cheti cha kuzaliwa..wengne wazaz wapo ndan sana huko.anaejuabadala anambie tafadhali

    • @priverpriva98
      @priverpriva98 2 года назад

      Nakujibu

    • @prosperjohn2047
      @prosperjohn2047 Год назад +1

      @@priverpriva98 naomba unisaidie, baba kafariki , mama ni WA kijijini Hana cheti Cha kuzaliwa, nasaidikaje

    • @boas_bj
      @boas_bj Год назад

      Nenda nae mahakaman akale kiapo kama ni raia wa tz watakupa form ya kiapo (affidavit) ndio utaenda nayo uhamiaji

    • @AidathRweyongeza
      @AidathRweyongeza 5 месяцев назад

      ​@@boas_bj Sasa huko mahakamani jamani wazazi wetu ukute yangu akue hajawahi fika umpeleke kwa Ajili ya kiapo😊😊

  • @RirikGharib-rg9df
    @RirikGharib-rg9df Год назад

    Upo sahihi afande

  • @NuruBayyo
    @NuruBayyo 4 месяца назад +1

    0:22

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 2 года назад +5

    UHAMIAJI UKIFUATA UTARATIBU MASWALI MENGI FORM HUPATI NA ZOEZI LAKO HALITA KAMILIKA NA SWALA LA PASSPORT SIO MBAKA USAFIRI HII NIHAKI KWA KILA MWANANCH DUNIANI KOTE ILA TZ YETU MBAKA USAFIRI

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 9 месяцев назад +4

    Maneno mazuri ila amna kitu

  • @angiringalyimo365
    @angiringalyimo365 Год назад +2

    hao wanaoitwa vishoka, kwann msiwaziboit?

  • @GosbertNgemela
    @GosbertNgemela 3 месяца назад +1

    Baba na mama hawapo hai vyetivyao sina nafanyaje?

  • @fatmaathmani9406
    @fatmaathmani9406 9 месяцев назад +1

    Mmmh yan baraa uko uhamiaji kama mie hadi leo sijapata passpoti yangu 🙏🙏

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 3 месяца назад

      Wanazingua sana. Watendaji wanadai fedha za ziada sana.

  • @MichaelSimba-nk7mu
    @MichaelSimba-nk7mu Год назад

    Kwa kweli Uhamiaji Dar es Salaam wako active.

  • @SaddyKhateeb
    @SaddyKhateeb 4 месяца назад +2

    Baadhi ya watendaji wenu ndio wanafanya mipango na hao vishoka

  • @yasssiniswaffy-oc4hc
    @yasssiniswaffy-oc4hc Год назад

    Nimeipenda iyo

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 9 месяцев назад +6

    Hapa mnasema vizuri lkn mtu akija mnawapa watu rushwa mnawapa haraka lkn wale wanaotumia njia ya halali mnawazungusha

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 3 месяца назад

      Kweli kabisa.

    • @Khadijah-gy7ju
      @Khadijah-gy7ju 3 месяца назад

      Kweli kabisa Mimi nilizungushea mwenzi mzima mpaka nilipojiongeza ndyo nikapata

  • @robertdominic7298
    @robertdominic7298 2 года назад +3

    Hapa kwenye vyeti vya mmoja wa wazazi ndio vishoka mnapowakaribisha, mzazi wng ikiwa amefariki au wamefariki nafanyaje?

  • @rajabudayo2954
    @rajabudayo2954 3 месяца назад

    Tunafanyaje tusio na wazazi?

  • @wariobamussa2462
    @wariobamussa2462 Год назад

    Asante Kiongozi kwa Taarifa hii muhimu

  • @obedingilisho
    @obedingilisho Год назад +2

    Vishoka wanarahisisha mambo.. Urasimu ni mwingi sana katoka ofis za serikali ya jamhuri. 😢

  • @beatriceminja2148
    @beatriceminja2148 4 месяца назад +2

    Ndani ya siku saba mtu anapata passport wapi?? Mimi nimekuja tangi mwezi wa nane mpaka leo sijapata na natokea dar es salaam

    • @mpundempunde1722
      @mpundempunde1722 2 месяца назад

      Kulikuwa na tatizo la kimtandao maana mimi nilipata pasport ndani ya siku tano na hivi karibuni mwenzangu aliomba pasport amesubiri kwa miezi kadhaa kama 4na walimjulisha kuna tatizo kimtandao so yupo sahihi kabisaaaaaaaaa

  • @moseskimaromoseskimaro5934
    @moseskimaromoseskimaro5934 Год назад +2

    Pia ni Pesa ngapi Arusha, maana tunaweza ambiwa hapa ni sh 150000,kufika kule ni Zaidi ya hiyo pesa, nifanyeje nipate maana nataka Sana.

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps 3 месяца назад

    Je kama wazazi wako alikwisha rafiki utafanyaje?

  • @PauloTumaini-b3s
    @PauloTumaini-b3s 26 дней назад

    Mimi nimezurumiwa pesa na passport sijapata mpka leo naitwa riziki George kiboye

  • @IsabellaTarsis
    @IsabellaTarsis 8 месяцев назад +1

    Ni uongo maana muda mwengine wanakuuliza we kwenye akaunt una sh ngap alafu kama wanakukebei vyote unaweza kuwa umekamilisha ila utazungushwa mpk basi

  • @JamalSeif-yn5ro
    @JamalSeif-yn5ro 8 месяцев назад +1

    Passport ni Ruswa kwenda mbele has ukiwa unarangi ranging wape klila kitu wanataka ruswa ni wabaguzi wa rangi wamewazidi hata wazungu mimi nina miezi 8 na failili ninalo ruswaruswa

  • @pillyseleman8090
    @pillyseleman8090 9 месяцев назад

    Bado achngamoto zipi juz tu kudhinda jana mdigo wangu laki nne kisa baba kafariki mama hana bath certificate na bado kaambiwa atoe laki huko dar fike lake likawekwe mbele , kaenda pale na nida bath certificate,batua ya mwekiti wa mitaa SubhanaAllah kaambiwa lete barua ya anaekuita unakataka kwenda badala kumuelekeza wanataka kukutoa hela mtu mwenyewe màskin mitihan nchi hii ruswa zipi sana migration 😊

  • @blockchain1203
    @blockchain1203 Год назад +5

    Passport ni Haki ya Kila mtu Sema TZ ujinga Mwingi na Ukweli Nilitumia Vishoka Napata Haraka Kuliko Mtu akija mwenyewe Ofisi na Doc Zake zikiwa Hali..Sasa mnataka uthibitisho wa nje Sina uhakika Hata wa VISA Uhamijia mizinguo tu..Yaani Kuongea ni Rahisi Sana na Nzuri ila Kiuhalisia Uhamiaji Nyieee Mnazingua...Ujinga ni Pale unaenda Ku Renew Passport alfu unaambiwa leta Doc Sasa Najiuliza Mlinisajili na Nini..?Bongo Mizinguo Eti Siku 7-14 Aseee hayo ni Maneno tu Vitendo 0

    • @KatongaSign
      @KatongaSign Год назад +2

      ndugu yangu kazi mojawapo ya uhamiaji ni kutambua pia wahamiaji haramu....hivyo usikasirike unapoambiwa leta doc kila inapobidi....sababu watu wanafoji document na wanakuja kutambuliwa baada ya miaka hata 10... ko wanafanya hivyo pia ili kubaini vitu kama hivyo..

    • @elikamtumishi
      @elikamtumishi Год назад

      Oy vp mzeee

  • @rahmasahala95
    @rahmasahala95 5 месяцев назад

    Habar nnachangamoto niko botswana na hakuna ubalozi wa Tanzania je naweza kusaidiwa vipi kwa kesi ya kupokonywa passpot

  • @ImanijosephMhozya
    @ImanijosephMhozya Год назад

    naomba jibu nishahangaika

  • @immanueljoseph7190
    @immanueljoseph7190 Год назад +1

    Namba ya nda tu mtihan je iyo passport inakuaje hii nchi bora Rais angekuwa joti

  • @HusenShukran
    @HusenShukran 7 месяцев назад

    Naitaji nida

  • @EzekielMwishehe
    @EzekielMwishehe 3 месяца назад

    Kwa muombaji AmBAR amefiwa na wazazi wake na hawakuwa na vyeti vya kuzaliwa itakuwaje? Walete Nyaraka Gani?

  • @stellamuleba109
    @stellamuleba109 Месяц назад

    Sasa hivi kunatatizo la stamp boda tunaibiwa pesa na mafisa wenu weka namba ya simu niwape matukio yenu ya wafanyakazi wenu

  • @JamalSeif-yn5ro
    @JamalSeif-yn5ro 8 месяцев назад

    Mama samia ubaguzi wa rangi ndio unaongoza magreshen wanatutesa nina miezi 8 nimewapa kila kitu nawalaumu wazazii wangu kwanini waliza na mwarabu rangi yangu inaniponza

  • @mohamedsuleiman2785
    @mohamedsuleiman2785 Год назад +1

    Yanii mangu kwenye passport alitumiza sana kutoka elfu 50 mpka laki na 50 angalau engelifanya laki moja

  • @beatricedavie1827
    @beatricedavie1827 2 месяца назад

    Si kweli hapo ni kipengele, nina miezi miwili na passport sijapata

  • @anithashio
    @anithashio Месяц назад

    ni lazima uwe na ivyo vyeti original au copy tu inatosha

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 Год назад

    SAMAHANI MUHESHIMIWA VIGEZO ULIVYO ELEZA HAKUNA KINGINE CHA KUWASILISHA UHAMIAJI NJE NA VIGEZO ULIVYO SEMA ILI KUPATA PASSPORT?
    ASANTE

  • @Aisha-t2q
    @Aisha-t2q 3 месяца назад

    Tatizo ukifwata njia hii unasuguaa gaga sana. Kwanza utapigwa maswali mpaka utakata tamaa ya kusafir

  • @FabianAmandusi
    @FabianAmandusi 2 месяца назад

    Jambo afand mm tangia mwez wa nane mbaka leo sijapta na mbaka leo na hapo hapo mbaka maafsa wako wanataka wanataka hela na mm mbaka jina na mjua na lisiti zote ninazo

  • @zawiajuma715
    @zawiajuma715 3 месяца назад

    Nikweli kabisa watu waache uwoga nibora kwenda mwenyewe kuliko kuliko kumtumia mtu

  • @YusuphJafari-mw7ep
    @YusuphJafari-mw7ep 10 месяцев назад

    Mimi sina namba ya nida na naitaji pasipoti

  • @jacksonjacob3986
    @jacksonjacob3986 Год назад

    Ndugu za jumapili mm Jackson j nnko nahitaji kusafiri nje ya nchi nitakuja ofisini dar

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo279 Год назад

    Mi nataka passport please nisaidie....

    • @sirizamwili
      @sirizamwili Год назад

      Ingia kwa website yao www.immigration.go.tz

  • @edwardkishiwa3296
    @edwardkishiwa3296 2 месяца назад

    Mbona KATIBA yetu Tanzania Inasema PASSPORT Ni Haki Ya Raia? Sio Lazima Niwe Na safari, Ni Haki Yangu Niwe Nayo Hata Kama Sijui Nitasafiri Lini Bhana!,

  • @عاىشةالصبحي-م6ه
    @عاىشةالصبحي-م6ه 6 месяцев назад

    Pasport mnatuambia laki na amsini mimi nimepata pas kwa lakisita ila list inasoma laki na thelathini pamoja nafom alfu ishilini jumla laki na amsini jee nyingine ziko wapi

  • @itisallaboutfootballandent8250
    @itisallaboutfootballandent8250 2 года назад +1

    Kwa mtoto chini ya umri wa miaka 18 anatakiwa ajaze vipi kwenye sehemu ya kujaza nida?

  • @ImanijosephMhozya
    @ImanijosephMhozya Год назад

    je kwenye mzunguko ote kunasehemu ya mwanasheria kuweka mhuli

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 11 месяцев назад

      Sidhani zaidi ya hizo document

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 27 дней назад

    Uwongo uwongo mwingi kama kweli hivi utaisikia mtandao unasumbua hovyo kabisa

  • @josephisingo8198
    @josephisingo8198 Год назад

    Huyu jamaa nilimkuta,nikamwambia nilishakamilisha kila kitu online mpk stamp lkn,anataka rushwa,eti nionyeshe account statement,sio watu wazuri ntastaafu tuu,kila kitu kina nwisho

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 3 месяца назад

    Utaratibu wa kupata passport huku mikoani unazingua sana.!! Nimetuma maombi na kukamilisha malipo wiki nne zimepita mizengwe kibao...!!

  • @YasminOmary-m9g
    @YasminOmary-m9g 3 месяца назад

    Tanzania yetu tunaishi kwa rushwa nchi zawenzetu sikumojatu unapata paspot lakini huko utasugua gaga

  • @WilsonSanare-nq6li
    @WilsonSanare-nq6li 8 месяцев назад

    Huku.arusha.hatupati.na.tukihitaji.lakinne.eti.mpaka.iletwe.daressalam.tumechoka.sikuhizi.tunaenda.nrb.kenya.kwa.honqo.ya.sh.1300.kurudi
    .sh.1500

  • @AyoubPapiy
    @AyoubPapiy 9 месяцев назад

    Kwanini nchinyengine hawana vyeti vya kuzaliwa na wanapata paspot mojakwamoja"? Mtu alizaliwa tu, anakua na paspot

  • @KwendaKwenda-e9z
    @KwendaKwenda-e9z 20 дней назад

    Rushwa imetawala na ulasim

  • @lgdnce8309
    @lgdnce8309 9 месяцев назад

    Sasa mm ni murundi hila nimezaa na m tz ni mijifungua hospital ya mwa nyanamala 2010 na yveti Vipo vyote vya mtoto hila baba yake tumeachana mwaka 2015 ikabidi mtoto nije naye kwetu Burundi mutoto amekuwa je akija tz ataweza pewa passport cz familia ya baba yake ipo tz kimara hila kishwaili cha tz hajuwi.

    • @lgdnce8309
      @lgdnce8309 9 месяцев назад

      Baba yake amefariki 2017

  • @MikidadiSadala
    @MikidadiSadala 3 месяца назад

    Shida wafanyakazi wa hapo wanasumbua hata umekamisha kilakitu ni uongo tu

  • @beatriceminja2148
    @beatriceminja2148 4 месяца назад

    Nilikuja ofisini kwenu nikafanya kila kitu mwezi wa nane mpaka leo sijapata passport.. Na magonjwa tu ndiyo imefanya nitafute hiyo passport...

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr 3 месяца назад

    Labda kwa sasa ndio kuna urahisi ila mm zangu zote nilisota hadi kishoka ndio nikafanikiwa mgoja nione hii yakaribia kujaa

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 3 месяца назад

      Wanasema vizuri lakini huku kwenye utekelezaji ni vurugu tupu

  • @nahiriali1405
    @nahiriali1405 Год назад +1

    Bora kutumia vishoka kuliko nyie mkitaka vishoka wasitumike badilisheni yani mtu unahitaji pasipoti lakini unasumbiliwa kweli hata kila kitu unacho, nawashauri watu watumie njia wanazojua, ukimsikiliza huyu kirahisi kwa maneno yake lakini vitendo zero uhakika pasipoti ataisikia tuu

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 2 года назад

    Siku moja mmmmh tunajua palivyo hapo

  • @bernardndemba2253
    @bernardndemba2253 Год назад

    Na wasomali mnawajaza mnaiaribu nchi hii

  • @Chaotic-c2p
    @Chaotic-c2p 9 месяцев назад

    Sisi ambao baba zetu ni wazungu na mama zetu ni watanzania tunapata tabu sana .kila nikienda naambiwa ni coparate bila hivyo sipewi .sasa mimi huwa nimezoea tu kucoparate sina jinsi .tena bado ntasumbuliwa kupelekwa kwenye mahojiano kila gorofa mbali na kutoa kitu

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lk 3 месяца назад

    Mimi wanzanzi wangu wote walikufa miaka 27 iliyopita, itakuwaje mkuu

  • @JamalSeif-yn5ro
    @JamalSeif-yn5ro 8 месяцев назад

    Sio nida ambayo hutakiwi hata uulizwe swali hata uwe na namba ya rais wanataka ruswa daa tunaishi nchi ya zulma na rushwa hakuna magreshen atakeenda peponi

  • @herbertgunga695
    @herbertgunga695 6 месяцев назад

    Uhamiaji wasumbufu kuna mtu anaenda mwaka wa tatu passport hajapata hasa watu wa kigoma wanaonewa sana pale kurasini mtu maomba passport wakasema wanatuma watu kwao wakajiridhishe kama ni raia mwaka jana walienda na kumpa majibu kuwa uraia hauna shaka lakini hadi leo wanamzungusha, ila vishoka siku mbili tu wanakuletea passport

  • @aishaz1
    @aishaz1 Год назад +1

    Kama niko kenya nafanyaje plz sina kitu chochote kuhusu wzazi sina hata cha mzazi

    • @soundmale
      @soundmale Год назад

      Oya vip huko Kenya mambo yanaendaje hawana ubaguzi boy.

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo2464 Год назад +1

    Unaongea tu mkubwa lakini longolongo nyingi sana kwa watendaji wadogo.

  • @JamalSeif-yn5ro
    @JamalSeif-yn5ro 8 месяцев назад

    Shida wakukatalie toka a mwazo kwamba hujakamilisha wanachukuwa pesa wanaanza kukubababaisha

  • @saidjuma7796
    @saidjuma7796 2 года назад +1

    kwani paspoti si ndio haki ya mwananchi tokea anapo zaliwa anapaswa kuwa nayo yani hio ipo dunia nzima hapa kwetu tu

  • @MohamedHassan-t9e
    @MohamedHassan-t9e 9 месяцев назад

    Makufuli alitufanyia jambo sio rafiki kutupandishia passport beii ya juuu mama tushushiee passport angalau laki moja

  • @Marthamkala-st2ck
    @Marthamkala-st2ck 9 месяцев назад

    Na kama sina nida ina kuajeee

  • @WilsonSanare-nq6li
    @WilsonSanare-nq6li 8 месяцев назад

    Kila.mwanainchi.lazima.uwe.na.nauli.na.pesa.ya.njiani.kila.wakati.kweli.tumeliwa.vyakutosha.pesa.nyinqi.inapotea.kwa.raia.wa.tz

  • @AnitaMfinanga
    @AnitaMfinanga Год назад

    Je mfano ukawa unatumia majina mawili tofaut yaan jina la kusomea likawa tofaut na jina la ndoa likawa tofaut apo tunafanyaje mkuu

    • @sirizamwili
      @sirizamwili Год назад

      Majina yafanane na kwenye vyeti

  • @JamalSeif-yn5ro
    @JamalSeif-yn5ro 8 месяцев назад

    Kama nitaenda takuru nitawapeleka wengi lakini ni watoto wa wakubwa wako huko takuru hawana meno ndio wanafanya watakalo nchi hihi ikisha ruswa labda kiyama

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 3 месяца назад

      TAKUKURU ina watu wake. Ukweli vizingiti katika upatikanaji wa passport ni vya kutosha. Hiyo laki na nusu ni ya ofisi kunyonyolewa kwa kufuatilia ni zaidi ya nusu ya hiyo 150 !!

  • @mheshimiwampagasi-te5zr
    @mheshimiwampagasi-te5zr Год назад

    Kama serikali, Hao vishoka mmewachukulia hatua gani,maana wanatuibia sana.

  • @sumamwashamwasha3286
    @sumamwashamwasha3286 3 месяца назад

    Nina mwezi wa pili sasa nimekamilisha kila kitu sijapata pasport yangu bado malipo kila kitu tayari nini tatizo jamani

  • @amilipitson-si6xn
    @amilipitson-si6xn Год назад

    Mom natak passport yakwenda Zambia

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 Год назад +3

    Changamoto nyingi zipo Kila sekta tuache mfumo wa rushwa turidhike tunachokipata mama samia katuchagua tumsaidie atafanya mangapi mungu ibariki tanzania ameen

  • @MunguMwema-m4l
    @MunguMwema-m4l 8 месяцев назад

    Kwani kuwa napasspot lazima uwe unassafili nilijua nihaki ya mwananchi kuwa napassppt maana nchi zingine mtoto akizaliwa tu anakuwa nahati yakusafilia

  • @ybmtaakwamtaaofficial3415
    @ybmtaakwamtaaofficial3415 2 года назад

    MKUU hii ni ya muda gani

  • @ShabanMkumbange
    @ShabanMkumbange Год назад

    Nimeona kazi mbali mbali na mishahara yake ila kazi ya fundi umeme iklje kaka

  • @moseskimaromoseskimaro5934
    @moseskimaromoseskimaro5934 Год назад

    Arusha ninaweza pata, na je itachukua muda gani mbaka wanipe.

    • @cheiknamouna2058
      @cheiknamouna2058 Год назад

      Nenda Uhamiaji pale utapewa fomu za kujaza kadri utakavyoijaza mapema na kurejesha ndiyo utakavyoipata Passport yako Kwa haraka

  • @VENANCEAUGUSTINO
    @VENANCEAUGUSTINO Год назад

    Wasumbufu

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 3 месяца назад

    Mimi ni Simbarakiye- Abdul from Burundi. Lakini ni naishi Amsterdam Netherlands mwaka 40 .pia Nina passport ya Holland nimeoa mke wangu 2021 pia tuna mtoto umoja wakike mwaka 3. Kila nikija nasumbuliwa sana upewa permit ya mwaka 2 naomba mnisidie njia ya kufanya Asante sana

  • @samakihiyochanel7443
    @samakihiyochanel7443 Год назад

    Pumbavu we jamaa muongo sana unajua yanayo tendeka hakuna watu wasumbufu kama nyie uhamiaji