NILIJIFANYA MSOMALI | NILITUMIKA NA WAZUNGU HATARI | SHULE ILINIOKOA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 июн 2024

Комментарии • 183

  • @njokimwaniki364
    @njokimwaniki364 18 дней назад +4

    This DJ brother is so deep...full of wisdom.He isn't living in an illusion.

  • @amneriyami2409
    @amneriyami2409 16 дней назад +2

    Mashallah allah akuhifadhi jasiri sana maisha ni safari ndefu upo ngangariiiiiii nimependa unaongea kwa umakini

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d 15 дней назад +2

    Ahsante sana kwa Elimu hii brother 🎉🎉🎉🎉

  • @abdulyibrahim2125
    @abdulyibrahim2125 Месяц назад +9

    Story nzur kaka kaitowa inafundisha kitu kwenye maisha kwenda ulaya au kuishii ulaya

  • @elsaMo-b5r
    @elsaMo-b5r 28 дней назад +5

    Hii interview nimecheka mwanzo mwisho jamani huyu Kaka ni jasiri .
    Kwanza hiyo visa feki hadi nimetetemeka.
    Ila msisahau mlikuwa n'a Mungu kabisa.
    Big up bro

  • @Bariadi-ug8ve
    @Bariadi-ug8ve Месяц назад +23

    Hii interview imenifanya hii ela ya kwenda ulaya ninunue kiwanja nijenge..😅😅😅😅

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 26 дней назад +4

    I like that DJ, umeowa mtu sio awe mtumwa wako, but patner wako, hapo uliemuoa akiwa ni muelewa, na mwenye imani, kama hivyo, bila ya shaka mutasaidiana vizuri tu

  • @khalid-oh5uu
    @khalid-oh5uu Месяц назад +3

    Best one. Ameeleza vizuri

  • @amneriyami2409
    @amneriyami2409 16 дней назад

    shukran mr dj

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Месяц назад +10

    Story ya huyu dah ni fundisho kwa makaka zetu wenye ndoto za kujilipua wajifunze

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r 28 дней назад +1

    MashaAllah tabaraka Rahman
    Elim haimtupi MTU

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 27 дней назад +1

    The hastles was really 😊 watoto wa kiume bwana Mungu awasaidie.

  • @sadiqfixer
    @sadiqfixer 29 дней назад +1

    Hapo kweli kabisa Shena, turudi kwa Mwenyezi Mungu si kwa watoto tu, yaani kwa kila kitu

  • @sanaf8367
    @sanaf8367 26 дней назад

    Jamaa majiekti sana and..... and.......... and nyingi sana

  • @maimukanabora8751
    @maimukanabora8751 Месяц назад +5

    Mungu wabariki kaka hongera Kwa utulivu na dada Shena nimejifunza zaidi

  • @fatemamahmood5440
    @fatemamahmood5440 14 дней назад

    Hongera kwa Safar na pole Sana ulizamilia kutimiza ndoto zako haikuww rahisi 🎉

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r 28 дней назад

    InshaAllah biidhnillah taala Utapata

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 18 дней назад +1

    Wanasema wazee tembea uone na maisha ni safari life is Journey so kaza buti lakini usimsahau MOLA wako na Ibada.

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 26 дней назад +1

    Hiyo ni good idea Shena, kuleta hiyo mada na mzee ya kuhusu uzeeni, coz kuna baadhi yetu hufikiria tu pesa ya kustaafu nchi za nje, ndio itamfanyia kila kitu, ambayo kwamba hata utaratibu wake hawautafiti ki undani

  • @tinanicholasligwile6972
    @tinanicholasligwile6972 29 дней назад +2

    Story kama inanivitia ivii 😊😊

  • @robbyissack8575
    @robbyissack8575 Месяц назад +3

    Nice interview

  • @user-ch7fp4ve9s
    @user-ch7fp4ve9s 11 дней назад

    Wote mnasikika vizuri

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 26 дней назад +4

    Hapo sasa, "kuzaa sio kuhudumiwa kwa mzazi" yategemea tu imani na akili ya mtoto, pamoja na majaaliwa
    Then mtoto kumzaa nchi za nje, je kweli atafuata wazazi wake Africa, au kuwa support ki fedha? tuombe tu angalau waweze kujisaidia wenyewe kwanza

  • @PtransJulius
    @PtransJulius 25 дней назад

    nawapata vizuri south Africa.

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r 28 дней назад +2

    Kweli kabisaaa. WA Zanzibari. Wana. Hikma na. HESHIMA. ZA wazee. HONGERA. Sana

  • @farhiaabdulaziz8549
    @farhiaabdulaziz8549 23 дня назад +2

    Aunt yangu Sheina umeongea point kabisaa hata ukizaa na mwafrica hao watoto siwatakuwa Ukhty wataolewa au kuowa wazungu ndio hayo hayo tutaishia kambini tusijipangie hatujijui watoto pia wanaweza kukimbia

  • @reginalemunge1221
    @reginalemunge1221 20 дней назад

    Tunawasikia vzuri dada Shena

  • @jimmykitura5803
    @jimmykitura5803 6 дней назад

    Story za kijeshi sio vizuri kuziongelea Kama una story tulia kala kimya siri zingne ziache hivyo hivyo be strong sio kila kitu chakusimulia

  • @rahmajaffar7007
    @rahmajaffar7007 Месяц назад +3

    kaka ana akili huyuuu Maashallah

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Месяц назад +4

    Huyo asiyesikia akapimwe

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah 29 дней назад +3

    Interview ili zinoge na kuwa murua watafute wazanzibar utakula store nzur nzur za kufurahisha na za kuchekesha pia za kuhuzunisha watafute huko ulaya marekani mpaka Arabuni utapata muendelezo nzur tu

  • @josephatjosephat4269
    @josephatjosephat4269 Месяц назад +8

    Maisha ya Africa ni mazuri unakuwa karibu na familia kuliko maisha ya ukaya

    • @veronicankhwazi7954
      @veronicankhwazi7954 28 дней назад

      Kabisaa

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 28 дней назад

      Sadakta nipo huku kuna wakati najikuta nashinda chumbani nalia kwa upweke najiuliza nitarudi lini huku kinachoumiza maisha ya upweke hususani ukiumwa watt wapo school huku watu wapo busy na kazi wakitoka alfajiri kiza wanarudi jioni kiza hakuna hata wakukuuliza hali wala kukupikia uji

  • @kshamte9582
    @kshamte9582 Месяц назад +1

    Maisha dah! Mafunzo kila siku

  • @nicedavid8536
    @nicedavid8536 22 дня назад

    Shena nimependa sana ushauli wako wa kuhusu uzee na watoto, nikweli hata uko bongo kuna wazee wamezaa watoto wengi na wanaishi maisha ya peke yao,watoto wako busy na familia zao .Mama au baba anaumwa anatumiwa pesa tu.wachache sana wanawachukuwa wazazi wao.

  • @abasiabdulabi5430
    @abasiabdulabi5430 29 дней назад +1

    Ogela kaka

  • @user-zz5uj6gs4m
    @user-zz5uj6gs4m Месяц назад +6

    Karibu tena bububu kamanda

  • @HassanAhmed-di9jq
    @HassanAhmed-di9jq 29 дней назад +2

    Koyama na chula ivyo visiwa

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 23 дня назад

    Mnasikika vizuri

  • @Bariadi-ug8ve
    @Bariadi-ug8ve Месяц назад +7

    Tatizo la mijitu ya tanzania mingii inaakili finyu mijuaji ina maisha ya shida ,kazi kupinga kila kitu ivi ukisikia ukajifunza kitu unapungukiwa nini?

  • @MdOmane-yg9gi
    @MdOmane-yg9gi 28 дней назад

    Nimejifunza kitu kaka umeeleza vizuri story Yako

  • @farhiaabdulaziz8549
    @farhiaabdulaziz8549 23 дня назад +3

    Na hao wazungu sio woote wabaya ni baadhi ni binaadam woote tuko hivyo hivyo kila mtu na tabia zake, huko nyumbani wanaume au wanawake sipia vita kila siku kuachana jamani au

  • @EstherNgayiwona
    @EstherNgayiwona 26 дней назад

    Sasa hivi una umri Gani Dj

  • @FortunataChande
    @FortunataChande 29 дней назад

    Samahani kwa kutoliandika vzr jina lako

  • @thuweiybab3338
    @thuweiybab3338 Месяц назад

    Koyama

  • @hedayamohammed2781
    @hedayamohammed2781 25 дней назад

  • @user-tp2xg7qu4y
    @user-tp2xg7qu4y 21 день назад +1

    Nawapata vyena naomba siku hiyoniarifuni
    Nikupeni somo

  • @AgathaMpemba
    @AgathaMpemba Месяц назад +2

    Story nzuri sana nimejifunza

  • @OllykekeSwahili
    @OllykekeSwahili 24 дня назад

    Me Somali😀😀😀

  • @mamaabduly
    @mamaabduly Месяц назад

    Shena.. Naomba niwasiliane na huyo kaka plz... 🙏Pls

  • @AshaMohamed-ib4le
    @AshaMohamed-ib4le 24 дня назад

    Anaskilizika tu

  • @MussaPaul-ob3nh
    @MussaPaul-ob3nh 28 дней назад

    I recommend seminar machundo from Denmark for that dialogue😊.

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 28 дней назад +1

    Wengine tunaishi miaka mingi na Alhamdulilah hatujapitia hayo mambo hayo jiongelee wewe bro

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o 25 дней назад

      Unaishi kwa kuingilia njia ipi, au ki vipi ndugu?

    • @user-go5wb2pi2i
      @user-go5wb2pi2i 14 дней назад

      Bahati yako

  • @FaustineTz
    @FaustineTz 19 дней назад

    Alafu awa wanzanzibar mbona wanapenda kujinadi sana wao ni wa Tz bwana

  • @fridadavid3151
    @fridadavid3151 28 дней назад

    Dada sena hutukusikii

  • @TichaSabah
    @TichaSabah 22 дня назад

    Nice

  • @TichaSabah
    @TichaSabah 21 день назад

    Niligonga schnegn visa nikatembelea nchi 8.ikiwemo germany franfurt na berline.ila kwa upande wangu dharau iliyonikuta italy rome.sitakaa nikasahau na mm mzanzibar nasubiri nimuone mtaliano ana shida nimtemeee mate haswa

  • @timejames5099
    @timejames5099 Месяц назад

    Tunasikia wote

  • @mikiothman103
    @mikiothman103 23 дня назад

    nahisi iyo sehemu inaitwa Barawa

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r 28 дней назад

    Tuna wasikiya.

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 28 дней назад +2

    Shena umeongea ukweli, kuzaa sio kujiwekea hao watoto watakusaidia .kuna watoto wako bongo na hawawasaidii wazazi wao au wanatangulia watoto wewe ukabakia

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 26 дней назад

    Mimi naona sometimes mtoto kumuweka mzazi wake nyumba za wazee, ni vile huwa busy na maisha yake na kazi, then mzazi hutaka huduma, hii ni kama vile wazazi huwapeleka watoto wao wadogo kulelewa kutwa 'Day/Child Care' so yajirudia

  • @sweetykabeya5873
    @sweetykabeya5873 28 дней назад +1

    Watu tunaishi Germany tunakuelewa sana,its not easy tuna mengi ya kusimulia

  • @EstherNgayiwona
    @EstherNgayiwona 26 дней назад

    Mnasikika wote tuendelee

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 25 дней назад

    Ujerumani sio masihala uwe kidume Kwanza usome lugha angalau utapata kibaua na unajua kuzungumza ,na hospital angalau la kama hujasoma lugha Moto utaowona yaani ujerumani wa Nigeria wamedundo huko mjerumani ana roho mbaya hawana masihala mtoto wa sister wangu yupo huko mzenji yeye alivyofika huko kasoma lugha

  • @AliMobarak-gc9gd
    @AliMobarak-gc9gd 29 дней назад

    Upo mji gani

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 29 дней назад

    Aaa mambo ya ushoga yamekuja juzi hayo

    • @shenasnas2229
      @shenasnas2229 28 дней назад

      Bosi sio juzi Abeid Sisimizi kaenda Belgium miaka zaidi ya 10 na kaingia huko kwa ticket ya ushoga

  • @joycelaizer4600
    @joycelaizer4600 24 дня назад +1

    Soma kijana kichwa hakina madeni 😂😂😂

  • @EstherNgayiwona
    @EstherNgayiwona 26 дней назад

    Kwa hiyo baada ya kutumika sana na wazungi je hivi Sasa umeona au una mahusiano yote?

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 26 дней назад

    Mara nyingi hutokea hivyo, jamaa zetu back home, tukijibana sisi na kuwasaidia wao, wao hawajuwi hilo, hujuwa tunazo tu, na pia ni kama lazima tuwape

  • @janechipeta6231
    @janechipeta6231 Месяц назад

    Sasa yule rafiki yako mlikuja kuonana tena?

  • @hatiagk4447
    @hatiagk4447 Месяц назад

    Story hii inafurahisha

  • @user-ey4tb1sq7p
    @user-ey4tb1sq7p Месяц назад +1

    One love

  • @ShadowScreamStudio
    @ShadowScreamStudio 29 дней назад

    Kuddadeki mbogo mbishii ..lazima ulaya nitimbee tu

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 22 дня назад

    Dj nitampata wapi shena.

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 28 дней назад

    Ukiwa mkimbizi kwa ujerumani ni shida mpaka uje kusimama.watu waje ulaya maisha ya ulaya sio kama nyumbani

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o 25 дней назад

      Yeah, nasikia kuwa Ujerumani, na kama mfano Belgium, kujiripuwa kwake pia ni tofauti na sehemu nyengine, kama hivyo huko kuwekwa camp mpaka ufanikiwe, tofauti na nchi nyengine, hupewa hela kiasi ya kukodi sehemu pa kuishi, ya kula, usafiri, pamoja na ID na work permit, ili utafute kazi, au na study permit, ili uende shule, huku ukijiandaa kusikilizwa kesi yako, ila wakikukatalia, na kisha ukitaka una appeal kwa gharama zako, then unaenda nayo process, ila ukikwama, mwisho hukuzuilia na hizo IDs wakikuandaa kukurudisha kwenu, ila Ujerumani, kwa hiyo kupewa sheria kupitia kwenda shule kama alivyosema amepata DJ ni afadhali basi

  • @safiam5338
    @safiam5338 29 дней назад

    No tunawaskiya nyote

  • @susans4490
    @susans4490 Месяц назад +1

    Mmh mbona kama umetupinga changa la macho Inamaana skuli form ulimaliza ukiwa na 15yra old

    • @jacqueisaac8155
      @jacqueisaac8155 Месяц назад +2

      Mwanangu alianza grade 1 na 5yrs so atamaliza form 4 na 15yrs

  • @KhadijaLitami
    @KhadijaLitami 17 дней назад

    Mbona mimi simuoni mzungumzaji, nakuona Shena mwenyewe tu. Msaada plse!!

    • @nanguniMtaita-hz4zt
      @nanguniMtaita-hz4zt 17 дней назад +2

      Kwa namna hadithi yake ilivyo, isingekuwa vizuri aonekane mubashara. Kawataja jamaa fulani hapa na mengi ambayo lazima ajifiche. Alimradi tunamsikia sineno. Kwani unachotaka ni mlio wa punda au punda?

  • @mamaabduly
    @mamaabduly 29 дней назад

    WATU UNAOWAHOJI WANAWEKA HANDLE ZAO KAMA FB AU INSTA KAMA MTU ANAHITAJI USHAURI KWA ALICHOELEZEA IWE RAHUSI KUMFATA.. ANATU INSPIRE NINI?

  • @gracelyimo6256
    @gracelyimo6256 28 дней назад

    Hivi Shena kuna baadhi ya videos huwa unazifuta!?

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l 16 дней назад

    Mesali umeikosa sio mkabure sema mtembea bure.halafu wakat upo bara miaka 20 po znz 19.

  • @mimahtv2974
    @mimahtv2974 26 дней назад

    Kuna wasomali wa tanga pia..!😅

  • @user-ou2rx7ln4w
    @user-ou2rx7ln4w 27 дней назад

    Tupo warabu huwa wanasema wana nyongana ila sisi bado twa pambana😂😂😂. Bariadi duniya lazima upitiyee changa moto ata uwanja una zulumiwa

  • @haikaelkiwia9705
    @haikaelkiwia9705 28 дней назад

    Kionyesha vidole bado sijaelewa

  • @HassanAhmed-di9jq
    @HassanAhmed-di9jq 29 дней назад

    Hiyo ilikua unaita somali kenya

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 26 дней назад +1

    Wow! ila for example wa TZ, yategemea ni kujiripuwa miaka ipi nyuma ndugu, so kesi sio Somali, na ushaga tu, za kisiasa ya TZ pia zilikuweko zamani

    • @merycianachangarawe8979
      @merycianachangarawe8979 24 дня назад

      Kweli sio izo kesi tu
      Sema huyo alipata Zari la fake visa
      Lakini ukiwa na visa ya kweli jamni usijibadilishie utaifa maana watacheki kwa system wakuone unatokea nchi gani then unazidi kujikaanga
      Yaani inshort usiseme uongo kwa vitu ambayo viko kwa system
      Only ushoga danganya uwezavyo
      Iko siku nitahadithia hivi vitu kwa Shena maana namimi nimepitia hiyo procedure ya ukimbizi but sikubadilisha chochote!na mambo yalikuwa very smooth

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o 24 дня назад

      @@merycianachangarawe8979 Ila watu wengi tu, hasa miaka ya nyuma, walijibadilisha majina na tarehe za kuzaliwa, kisha hawakuingia na document yeyote nchi waliojiripuwa, na pia wengi wao walivuka mipaka, hawakuingia nchi husika moja kwa moja, na wamefanikiwa kesi zao. Haya mambo hayatabiriki

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o 22 дня назад

      @@merycianachangarawe8979 Kubadilisha jina na tarehe ya kuzaliwa pia yategemea umeingia vipi, kama nilivyotangulia kujibu hapo, then sio fake visa tu, kuna walioingia na "bandika banduwa" picha yako, passport ya mtu mwengine

  • @anaabsaid3544
    @anaabsaid3544 23 дня назад

    Na nyiyi wazanzibar mkiwa oman mnatufanya vipi msomali anaye zungumza kiswahili mnamweka ndani kwasababu wengi wenu ni immigration huko oman

    • @anaabsaid3544
      @anaabsaid3544 23 дня назад

      Utantusemeya mbaya lakini wazanzibar tunawajua sana ndiyo sababu huwezi kukuta msomali zanzibar na tuko majirani

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l 16 дней назад

    Huyu hana historia na hizo viza za fek ziliondoka toka 98-99 na mm paspot ninayo mpaka Leo ilikuwa na viza feki.toka 98 au 98 na hiyo viza itakuwa kachukuwa storry sio yake

    • @MAISHAYACROATIA
      @MAISHAYACROATIA 13 дней назад +1

      😂😂😂 we 0 kweli wahindi mpaka saivi wanaenda nazo

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 29 дней назад

    Wasomali kweli ni wagomvi sana halafu wasomali hawapendi watu wafanikiwe kwani kama sio msomali unamtakia nini au kusema sio msomali unataka nini mwezio anatafuta maisha

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 28 дней назад +2

      Hiyo nikweli tulienda kujiandikisha college mimi na wenzangu yule
      alietupokea akatwambia hapa kuna munira kutoka Somali ngoja niwatambulishe akaambiwa kuna wasomali wenzako njoo wapokee alipofika alianza kufoka hawa sio wasomali every country from Somali mbele za watu ukumbi umejaa sisahau akatuchambaa mpaka mpaka miguu imekufa nguvu shoga angu akasema mimi natoka kenya sitoki somali yule dada akatununia hatusalimiani nae mungu si athman dada yake msomali mimi shoga yangu namuuzia biashara zake mashuka mitandio na mapazia sasa akanikuta nae akamuuliza unajua huyu akamwambia my best friend mimi nikamwambia mimi na huyu hatuongei basi yule dada siku ya eid akatuita tulikuwa tunasali akasema peaneni mikono mukumbatiane yenye haki ya kujua nani msomali nani sie ni uhamiaji kuanzia leo muongee toka siku ile tukawa friend na watt wetu wakawa wanasoma nasary moja tukawa tunakutana ndio mpaka leo tunaongea ogopa wasomali 😢😢😢

    • @siasia5469
      @siasia5469 25 дней назад

      Wasonji wana umimi sana... Mkikutana Nchi za watu utawajua vizuri😮

  • @user-tp2xg7qu4y
    @user-tp2xg7qu4y 21 день назад +1

    Shena hata MIE pia nitafute naeshi umarekani natokeya bongo na Burundi nimechaga kihivyo ukinialika unatakiwa unipatie nikiwa home

  • @awatifsubeit4007
    @awatifsubeit4007 Месяц назад +1

    Kipindi kizuri ila muda mrefu

  • @susans4490
    @susans4490 Месяц назад +4

    Akaa baada ya kumaliza form ukakaa dar 5yrs ukatafuta visa 2 to 3yrs baadae ukarudi tena Zenji na ukarudi miaka pia 😂 mara ukawq 19yrs 🏃‍♀️🏃‍♀️

    • @jacqueisaac8155
      @jacqueisaac8155 Месяц назад +1

      Story nzima hayo tu ndio ulopata ya kukujenga?

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  29 дней назад +1

      😁

    • @DM.2200
      @DM.2200 29 дней назад

      ​@@OfficialDatingAssistance Da shena kuna yule mama alitoa story yake kama sikosei yupo marekani watu wali comment sana arudiwe, alikua anaongea kama mchaga naomba kufaham story yake naipataj coz siioni kwenye list

    • @mwanaidiheintel1760
      @mwanaidiheintel1760 28 дней назад +1

      Hata mimi sikuelewa hiyo miaka bado 😂😂😂😂😂

    • @SamwelJoseph-yk3cw
      @SamwelJoseph-yk3cw 24 дня назад

      😂😂😂

  • @mmarycalvin6395
    @mmarycalvin6395 28 дней назад

    Somalians

  • @AliMobarak-gc9gd
    @AliMobarak-gc9gd 29 дней назад

    Upo kolon

  • @nanguniMtaita-hz4zt
    @nanguniMtaita-hz4zt 17 дней назад

    Shena, huyu jamaa anayejiita DJ hadithi yake ni funzo nzuri la maana sana. Hatimaye amezungumzia mwishoni uzeeni mwake anavyo hisi. Tumuunge mkono mia kwa mia. Ulaya huko watoto ni noma zaidi. Afrika hatujaharibikiwa kivile. Huko ni kweli hawajali wazazi wao. Sababu kubwa ni malezi yao, watoto au vijana hawana dini. Hawatambui Mungu kisawasawa. Watawajali wazazi kivipi? Mutakapo kutana tena na DJ acheni kupeana matumaini ya kusadikika. Rudini nyumbani hapajaharibika kama Europe(Ulaya)

  • @MK-mz8bz
    @MK-mz8bz Месяц назад

    Watoto wa ulaya ni 99 asimilia siyo msaada

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 28 дней назад

    Kupata Million 20 unaweza bro ila inategemea umekujajaje ndio shida, mtu kama wewe na story yako lazima ukae miaka kazaa mpaka usimame . Ila maisha ni individuell. Sio wote wanapitia hayo maisha bro

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l 16 дней назад

    Wewe jamaa inaonekana yule bibi wa America interview yake umeihusudu naona unapita mulemule

  • @FortunataChande
    @FortunataChande Месяц назад +1

    Dada Shehina,samahani,hawa wazungu wanaotaka mpaka uwalipie apple card ili waje nchini ikoje hii,.tena si hela kidogo kuanzia milioni siyo matapeli hawa?

    • @AgathaMpemba
      @AgathaMpemba Месяц назад

      Mh! Kama hawezi kuja aache kwanini ww umlipie pesa?? Shtuka ndugu

    • @AgathaMpemba
      @AgathaMpemba Месяц назад

      Mh!

    • @AgathaMpemba
      @AgathaMpemba Месяц назад

      Shtuka ndugu jiongeze Kama hawezi kuja aache

    • @atomphoton5000
      @atomphoton5000 Месяц назад +1

      Mzungu anatakwa kuhongwa na wadada wa Bongo. Aisee hii Dunia ina mambo kweli kweli. Achana na wanaijeria wewe utakuja kulia mchana kweupe

    • @AgathaMpemba
      @AgathaMpemba Месяц назад

      @@atomphoton5000 apo ashtuke mapema hamna kitu apo ukute uyo ni mbongo mwenzako😂😂

  • @annamussa185
    @annamussa185 29 дней назад +3

    Wasomali wachafu kama warabu wanapenda kufanyiwa kilakitu kupelekesha wakiwa wanakula kama ugomvi

    • @Ilhamtube554
      @Ilhamtube554 29 дней назад +1

      Na nyie nae mna roho mbaya, chuki na kutukana watu waliowazidi ndo maana zari huwa tusi nyie na uchafu wenu, wanuka chupi na vikwapa

    • @annamussa185
      @annamussa185 29 дней назад

      @@Ilhamtube554 hujielewi paka wewe mpaka na makaburi ya ukoo wako 🐕🐕

    • @Ilhamtube554
      @Ilhamtube554 29 дней назад

      @@annamussa185 we nguruwe tulia, changudoa mchafu wa bei chee, njaa zitakuua,🤣🤣🤣🤣

    • @annamussa185
      @annamussa185 29 дней назад

      @@Ilhamtube554 huna maajabu sasa Nguruwe nalo tusi kahaba wa kizamani ww

    • @annamussa185
      @annamussa185 29 дней назад +1

      @@Ilhamtube554 nimekuzidi kilakitu mpaka akili