Fursa Ya Kazi Ulaya Luxembourg
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Hi guys,
Asanteni sana kwa kunisupport, Wiki ijayo tukifikisha 1000 SUBSCRIBERS Maisha ya Ulaya itatoa EURO 50 kwa subscribe Mmoja.
Hii Video inahusu Fursa za Kuja Ulaya nchi ya Luxembourg kupitia kazi.
Please nenda katika website inaitwa www.jobs.lu utafute kazi.
Kuna kazi za watu wote walio na wasio na vyeti. Ukipata kazi apply usisahau kutuma CV na motivation letter yako. Tumia CHAT gpt kukusaidia kuandika CV na motivation yako. Pia Usisahu kuwa smart katika intervieuw yako.
Angalia video nyingine za fursa za kuja ulaya kufanya kazi:
• Fursa Za Kazi Ulaya Ub...
• Nafasi za Kazi Ulaya k...
Please kama we ni mswahili mwenzako subscribe to my channel,share,like and comment katika video zangu.
#tanzania #eastafrica #kenya #ulaya #swahili #diamondplatnumz #zuchu #kiswahili #uganda #burundi #daressalaam #zanzibar #waswahili
Asante sana Leo ndio nimekusikiliza ila ntafatilia Mimi ni opareta wa mashine za Bandari na ujenzi zaidi
Asante kwa information kazi zuri sana mercie beaucoup j'etem
Derien ma cherie
Please subscribe nisupport
Dada nimejaribu kuapply Ila kama Belgium amesema hadi uwe unaishi ndani ya nchi hio Ila nje ya Africa hapana hawachhkui@@MaishaYaUlaya
Safi sana dada kwa elimu unayoitoa!
Unafanya kazi nzuri
@@ShaminzaOmary asante please subscribe nisupport
Asante Dada.. Kwakuzidi Kutujuzaa...🙏
My pleasure
Dada mimi naomba namba yako ya what sp tuongee
@@kilalikanestory3635 Mambo , number ntanunua soon - please nitumie ujumbe wako kupitia ulayalive@gmail.com
Asante sana dada
Asantee..❤
Asante sana Dada.
Safi sana
Good job sister
It's my pleasure
Asante kwa information
great
Asante kwa information nimependa nywele ulivyosuka leo je na huko Wamasai wanao suka pia?
Huku Kuna seheme kunasalon waafrika wanasuka-Pia kuna waafrika wanasuka watu nyumbani Kwao- wamasai hawapo 😅
Let's gooo to 1000 Subscribers 🎉🎉
Asante sana , nifahamishe gharama za maisha hapo zikoje?
Chakula , mavazi ni bei ya chini- matibabu hospital bure- kuchukua mabasi- trein public transportation ni bure- kodi ya appointment ni Kama Euro 800, please subscribe nisupport Asante
Dada mm ni mwalimu wa english na kiswahili vp ntaweza kupata kazi?
Kutuelimisha
Dada nahitaji hata kazi za mashamba sina vyeti na sponsor viza napata
Dada mbon ukiwa uliza wasemaaje wao wanataka mtu akiwa ndani ya ulaya
sister ofis zako zipo wapi
@@SirajiRashidy hapa RUclips kaka
Dada nikitaka kwenda kusoma shortcorse gharama ya vyuo inaweza kuwa shingapi?
Kila chuo kinabei yake- we nchi gani unataka kwenda- pia unaweza kuapply scholarship-wakakupa ela ukazitumia kuishi hapa na kulipa Ada-Angalia Hii website www.studyinflanders.be/scholarships
nyingine website www.studyinbelgium.be/en/scholarships
Hello
Kuna nafasi Za masomo kwa medical personnel?
@@maryammrembe345 ndio zipo
Me nmesomea kilimo naomba nitaftie za kilimo dada yangu
DADA NAPENDA VIPIND VYAKO SANA NINGETAMANI NISHINDE HATA EURO KADHAA NA MMI🙏
Luxemburg napatamanii saaana dadaaaa
Pako poa san hata ulipaji wao nimeupend me mwenyewe nmepaelelew
Je Luxembourg wanatoa scholarship Kwa degree!!!
Hellow
je unaweza kufanya ukimbizi nchi ya luxmbourg?
@@AminaSalum-ti3hu ndio inawezekana
Na unatakiwa uishi miaka mingapi ili upate uraia
Uraia wanatoa baada ya miaka mingp
@@AminaSalum-ti3hu mitano
Kazi za nyumba uko lazima uchue France language ama?
Luxembourg wanaongea kiingereza Pia so wanatafuta cleaner wa kwenye hotel en.jobs.lu/ApplyForJob.aspx?Id=261744
@@MaishaYaUlaya thanks
Asante sana mimi nasuka dreads naomba unisaidie nipate salon huko
Mbona kwangu haikubali kuingia kwenye hiyo site???, nimejaribu sana lakin haikubali🤔🤔🤔
Dada Kaz zasie tulie ishia la7 zpo ?
Zipo jaribu au pair - Pia katika iyo website en.jobs.lu Angalia utapata
Hello Dada, web haifunguki.. so sad kwangu
Safi sana dada mimi naishi Netherland napenda sana unachofanya ❤
@@KeepingUpWithZulfa Asante sana nisupport kwa kusubscribe nashukuru
Asante kwa yote inatusadia sana nilikuwa naomba unitumie number yako kuna mswali nataka kukuliza
@@KeepingUpWithZulfa ulayalive@gmail.com
Sister Link naomba utume
en.jobs.lu
Dada yangu wewe ni Mzungu kabisa yani @@MaishaYaUlaya
Sister iyo link inagoma kufunguka
@@alexvalerian3913 Sorry kaka mbona mimi huku inafunguka- jaribu kuandika www.jobs.lu kwenye google utapata
@@MaishaYaUlaya sorry Ina andika access Daniel
Luxemburg wanatumia francais
Wanaongea kifaransa,kiingereza na kijerumani- so very international
Woow mercies