Fursa Ya Kazi Ulaya Luxembourg

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Hi guys,
    Asanteni sana kwa kunisupport, Wiki ijayo tukifikisha 1000 SUBSCRIBERS Maisha ya Ulaya itatoa EURO 50 kwa subscribe Mmoja.
    Hii Video inahusu Fursa za Kuja Ulaya nchi ya Luxembourg kupitia kazi.
    Please nenda katika website inaitwa www.jobs.lu utafute kazi.
    Kuna kazi za watu wote walio na wasio na vyeti. Ukipata kazi apply usisahau kutuma CV na motivation letter yako. Tumia CHAT gpt kukusaidia kuandika CV na motivation yako. Pia Usisahu kuwa smart katika intervieuw yako.
    Angalia video nyingine za fursa za kuja ulaya kufanya kazi:
    • Fursa Za Kazi Ulaya Ub...
    • Nafasi za Kazi Ulaya k...
    Please kama we ni mswahili mwenzako subscribe to my channel,share,like and comment katika video zangu.
    #tanzania #eastafrica #kenya #ulaya #swahili #diamondplatnumz #zuchu #kiswahili #uganda #burundi #daressalaam #zanzibar #waswahili

Комментарии • 70

  • @MarcusKomba-m4y
    @MarcusKomba-m4y Месяц назад +1

    Asante sana Leo ndio nimekusikiliza ila ntafatilia Mimi ni opareta wa mashine za Bandari na ujenzi zaidi

  • @manirakizanocia3391
    @manirakizanocia3391 3 месяца назад +5

    Asante kwa information kazi zuri sana mercie beaucoup j'etem

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад +1

      Derien ma cherie

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад

      Please subscribe nisupport

    • @issataslima9846
      @issataslima9846 5 дней назад

      Dada nimejaribu kuapply Ila kama Belgium amesema hadi uwe unaishi ndani ya nchi hio Ila nje ya Africa hapana hawachhkui​@@MaishaYaUlaya

  • @AsteriaSembago
    @AsteriaSembago Месяц назад

    Safi sana dada kwa elimu unayoitoa!

  • @ShaminzaOmary
    @ShaminzaOmary 3 месяца назад +2

    Unafanya kazi nzuri

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад

      @@ShaminzaOmary asante please subscribe nisupport

  • @NyangusiTv
    @NyangusiTv 3 месяца назад +2

    Asante Dada.. Kwakuzidi Kutujuzaa...🙏

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад +1

      My pleasure

    • @kilalikanestory3635
      @kilalikanestory3635 2 месяца назад

      Dada mimi naomba namba yako ya what sp tuongee

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  2 месяца назад

      @@kilalikanestory3635 Mambo , number ntanunua soon - please nitumie ujumbe wako kupitia ulayalive@gmail.com

  • @TrishaMana
    @TrishaMana 3 месяца назад +1

    Asante sana dada

  • @dorahbenard1837
    @dorahbenard1837 3 месяца назад +1

    Asantee..❤

  • @protusmushi7162
    @protusmushi7162 3 месяца назад +1

    Asante sana Dada.

  • @hedayamohammed2781
    @hedayamohammed2781 3 месяца назад +1

    Safi sana

  • @Justine_Tz1
    @Justine_Tz1 3 месяца назад +1

    Good job sister

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 3 месяца назад +1

    Asante kwa information

  • @UfooMunisi-u6l
    @UfooMunisi-u6l 3 месяца назад

    great

  • @babuchulu5491
    @babuchulu5491 3 месяца назад +3

    Asante kwa information nimependa nywele ulivyosuka leo je na huko Wamasai wanao suka pia?

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад

      Huku Kuna seheme kunasalon waafrika wanasuka-Pia kuna waafrika wanasuka watu nyumbani Kwao- wamasai hawapo 😅

  • @davidshaban7375
    @davidshaban7375 3 месяца назад +1

    Let's gooo to 1000 Subscribers 🎉🎉

  • @ElikanaKiheka
    @ElikanaKiheka 3 месяца назад +1

    Asante sana , nifahamishe gharama za maisha hapo zikoje?

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад +3

      Chakula , mavazi ni bei ya chini- matibabu hospital bure- kuchukua mabasi- trein public transportation ni bure- kodi ya appointment ni Kama Euro 800, please subscribe nisupport Asante

  • @YonnahKokan
    @YonnahKokan День назад

    Dada mm ni mwalimu wa english na kiswahili vp ntaweza kupata kazi?

  • @ShaminzaOmary
    @ShaminzaOmary 3 месяца назад +2

    Kutuelimisha

  • @IvanMapalala
    @IvanMapalala Месяц назад

    Dada nahitaji hata kazi za mashamba sina vyeti na sponsor viza napata

  • @issataslima9846
    @issataslima9846 5 дней назад

    Dada mbon ukiwa uliza wasemaaje wao wanataka mtu akiwa ndani ya ulaya

  • @SirajiRashidy
    @SirajiRashidy 2 месяца назад +2

    sister ofis zako zipo wapi

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  2 месяца назад +1

      @@SirajiRashidy hapa RUclips kaka

  • @tatumzelela5515
    @tatumzelela5515 3 месяца назад +1

    Dada nikitaka kwenda kusoma shortcorse gharama ya vyuo inaweza kuwa shingapi?

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад

      Kila chuo kinabei yake- we nchi gani unataka kwenda- pia unaweza kuapply scholarship-wakakupa ela ukazitumia kuishi hapa na kulipa Ada-Angalia Hii website www.studyinflanders.be/scholarships

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад

      nyingine website www.studyinbelgium.be/en/scholarships

  • @maryammrembe345
    @maryammrembe345 3 месяца назад +1

    Hello
    Kuna nafasi Za masomo kwa medical personnel?

  • @KIMALEX255
    @KIMALEX255 3 месяца назад +1

    Me nmesomea kilimo naomba nitaftie za kilimo dada yangu

  • @Akichwali_255
    @Akichwali_255 3 месяца назад

    DADA NAPENDA VIPIND VYAKO SANA NINGETAMANI NISHINDE HATA EURO KADHAA NA MMI🙏

  • @davidshaban7375
    @davidshaban7375 3 месяца назад +1

    Luxemburg napatamanii saaana dadaaaa

    • @Justine_Tz1
      @Justine_Tz1 3 месяца назад +1

      Pako poa san hata ulipaji wao nimeupend me mwenyewe nmepaelelew

  • @agnesmatau9953
    @agnesmatau9953 3 месяца назад

    Je Luxembourg wanatoa scholarship Kwa degree!!!

  • @AminaSalum-ti3hu
    @AminaSalum-ti3hu 3 месяца назад

    Hellow
    je unaweza kufanya ukimbizi nchi ya luxmbourg?

  • @MaryMatereadvicer011
    @MaryMatereadvicer011 3 месяца назад +1

    Kazi za nyumba uko lazima uchue France language ama?

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад

      Luxembourg wanaongea kiingereza Pia so wanatafuta cleaner wa kwenye hotel en.jobs.lu/ApplyForJob.aspx?Id=261744

    • @MaryMatereadvicer011
      @MaryMatereadvicer011 3 месяца назад

      @@MaishaYaUlaya thanks

    • @joycelucas405
      @joycelucas405 3 месяца назад

      Asante sana mimi nasuka dreads naomba unisaidie nipate salon huko

    • @khamissiismail8623
      @khamissiismail8623 3 месяца назад

      Mbona kwangu haikubali kuingia kwenye hiyo site???, nimejaribu sana lakin haikubali🤔🤔🤔

  • @hamisiwamlomo1583
    @hamisiwamlomo1583 3 месяца назад +1

    Dada Kaz zasie tulie ishia la7 zpo ?

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад

      Zipo jaribu au pair - Pia katika iyo website en.jobs.lu Angalia utapata

    • @PETERFLORENTINE
      @PETERFLORENTINE Месяц назад

      Hello Dada, web haifunguki.. so sad kwangu

  • @KeepingUpWithZulfa
    @KeepingUpWithZulfa 3 месяца назад +1

    Safi sana dada mimi naishi Netherland napenda sana unachofanya ❤

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад

      @@KeepingUpWithZulfa Asante sana nisupport kwa kusubscribe nashukuru

    • @KeepingUpWithZulfa
      @KeepingUpWithZulfa 3 месяца назад

      Asante kwa yote inatusadia sana nilikuwa naomba unitumie number yako kuna mswali nataka kukuliza

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад

      @@KeepingUpWithZulfa ulayalive@gmail.com

  • @alexvalerian3913
    @alexvalerian3913 3 месяца назад +1

    Sister Link naomba utume

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  3 месяца назад +2

      en.jobs.lu

    • @KIMALEX255
      @KIMALEX255 3 месяца назад

      Dada yangu wewe ni Mzungu kabisa yani ​@@MaishaYaUlaya

    • @alexvalerian3913
      @alexvalerian3913 2 месяца назад

      Sister iyo link inagoma kufunguka

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  2 месяца назад +1

      @@alexvalerian3913 Sorry kaka mbona mimi huku inafunguka- jaribu kuandika www.jobs.lu kwenye google utapata

    • @alexvalerian3913
      @alexvalerian3913 2 месяца назад +1

      @@MaishaYaUlaya sorry Ina andika access Daniel

  • @manirakizanocia3391
    @manirakizanocia3391 3 месяца назад +1

    Luxemburg wanatumia francais