KAZI ZA KULEA WATOTO NA KULEA WAZEE UJERUMANI | MAPENZI YA WAZUNGU SIO YALE YA TELEMUNDO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Eunice ameeleza Safari yake ya maisha kutoka kua ndoto na kufikia kua yenye uhalisia.
    Anakwambia alikua anapenda yale mapenzi ya telemundo lakini kwa ground mambo hayako hivyo
    Thank you Eunice for allowing this to be online
    www.oda.international

Комментарии • 100

  • @rehemabonifasi-zj2zc
    @rehemabonifasi-zj2zc 7 месяцев назад +4

    Utafika mbali dia unatupaa elimu sana. Mungu mwema aendelee kuwatunza ndugu zetu, mliopo huko majuu na mnakubali kutuelimisha.

  • @Juke995
    @Juke995 7 месяцев назад +7

    As a nursing student Sijaelewa Ausbildung umefanya ya muda gan kingine nimsaidie sabab anaogopa kuelezea akiogopa kuchekwa. Kulea wazee sio kazi mbaya sababu haina tofauti na nurse wa kawaida wa Tanzania kingine ni kazi yakujitolea sababu inahitaji moyo na kwa ujeruman lazima urudishwe shule kuisomea na inalipa hela ya kutosha kujikimu ujeruman mshahara ni million tatu kama haujasoma n mil tano hadi nane kama utaenda shule. Sio kazi ya kumcheka mtu ni kazi nzuri sana kama una moyo mzuri utajifunza vitu vingi sana and get alot of love kutoka kwa hao wazee especial ujeruman.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  7 месяцев назад +1

      Maelezo mazuri, nichukue nafasi hii kukukaribisha kwa kipindi ili tupate kunifunza mengi kutoka kwako pia
      +4367764790884
      Shukran

    • @ShuuKonti
      @ShuuKonti 6 месяцев назад +1

      Hi mm naitaj kulea watoto

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty 2 месяца назад +1

      Kweli kabisa

    • @Juke995
      @Juke995 2 месяца назад

      @@ShuuKonti nenda shule kasome nursing kama ni bongo ni mwaka mmoja ukija ujeruman hauendi shule labda kama utake kujiendeleza miaka miwili ili ufanye kazi hospitalini kikubwa ni lugha tu

    • @ShuuKonti
      @ShuuKonti 2 месяца назад

      @@Juke995 thankx

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 7 месяцев назад +5

    Asante Sana mwenyezi mungu akutangulie tunajifunza vingi 🙏🙏

  • @ImeldaIsdory
    @ImeldaIsdory 6 месяцев назад +1

    Hii video nilikuwa sijaiona! Nimefurahi kuisikiliza kwa sababu inahusiana na Programmes za Vijana tunazoziendesha! Very Good Job Shena.

  • @annamussa185
    @annamussa185 7 месяцев назад +8

    Sauti inatetema my shenaaaa❤

  • @joycebosire3434
    @joycebosire3434 7 месяцев назад +6

    Habari dada, interview ni nzuri sana. Ombi. Uwe una Tag Social Media zao kama wanapenda tuwa follow waongeze followers. Support Tanzanian 🇹🇿. Thank you

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 7 месяцев назад

      We umeongea point kubwa sana natamani iwe ivo pia

  • @MadinaMalk-yd6kp
    @MadinaMalk-yd6kp 7 месяцев назад +16

    Jomn wapenziiiii tushare Sana izi videos coz zinamafunzo mengi Sana na mazuri mnoo me binafsi nafaidika Sana ❤️

  • @annamussa185
    @annamussa185 7 месяцев назад +7

    Me nasoma only mahi zangu kama mnandoto za kwenda German plz someni kingine kikubwa kuliko yote Computer 🖥️ jamani plz someni kwa bidiii

  • @nowamateyo3318
    @nowamateyo3318 7 месяцев назад +4

    Safi saxna dada angu mungu akulinde popote ulipo

  • @danielmakelemo2395
    @danielmakelemo2395 7 месяцев назад +3

    Hapo upo vizuri unice

  • @Lizzyktd
    @Lizzyktd 7 месяцев назад +2

    Ahsante sana binti kwa Elimu

  • @MariamShaban-n6o
    @MariamShaban-n6o 7 месяцев назад +4

    Shena tunaomba pia interview na diana kimary

  • @MagrethSteven-k6h
    @MagrethSteven-k6h Месяц назад

    Kuna watu dunia hii wana roho nzuriiii kama uyo family friend

  • @ahmadateguro4886
    @ahmadateguro4886 7 месяцев назад +4

    Sister shena habari yako .mm nimejiunga na mtandao wa extended dating site wa malekani na nataka kilipia kadi yangu ni ya tigo pesa masta kadi najaza vizuri majina ,cvv number , account number sasa shida ni kwenye kujaza address verification ndiyo sijajua nifanyaje hapo naomba unisaidie

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 7 месяцев назад +3

    Mmekaa sawa

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 7 месяцев назад +4

    interview 🔥🔥🔥🔥

  • @reginalemunge1221
    @reginalemunge1221 Месяц назад

    Sauti ya UNICE inavibrate

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 7 месяцев назад +1

    Uelimishaji mzuri❤

  • @ImeldaIsdory
    @ImeldaIsdory 6 месяцев назад

    Hongera sana Eunice.

  • @barakamazigo4840
    @barakamazigo4840 7 месяцев назад +1

    Kaz nzur yan 🔥🔥🔥

  • @elizabethtarimo2990
    @elizabethtarimo2990 Месяц назад

    Ila unasikika vizuri

  • @annamussa185
    @annamussa185 7 месяцев назад +5

    Shena,mtu aliyemaliza Elimu ya msingi tu anaweza kupata kazi ya kulea wazee endapo anajuwa kuongea ki German au mpaka uwe umemaliza secondary school na kuendelea?

    • @raymondclaud6026
      @raymondclaud6026 7 месяцев назад +4

      Kwanza muhimu lugha ya kijerumani kwa level ya B1 , kama unataka kusomea issue ya wazee lazima lakini kama upo na kibali chako cha kuishi kama umekuja kifamilia unaweza ukafanyakazi ila ni kama mlezi msaidizi wa wazee

    • @MariaMsabi-u7z
      @MariaMsabi-u7z 7 месяцев назад +1

      Asante dear kwa kutuelewesha Je wanangalia na umri maana mie nakalibia kufikisha miaka 30 na ninajifinza kijeruman na single mother je, naweza kupata kazi

  • @RozRoz12-d4d
    @RozRoz12-d4d 6 месяцев назад

    Sana ivii nzuri

  • @dorahbenard1837
    @dorahbenard1837 7 месяцев назад +3

    Madam shena tuwekee account yake ya ig huyo dada

  • @michaelngadi8178
    @michaelngadi8178 7 месяцев назад +7

    German language very difficult da shena nimeanza course jana rasmi coz life la huku Germany nafanya kazi na mataifa mengi problem In interactions ni lugha embu ngoja nikomae hata nipate level A1 mpk A2 hatar sana all in all Germany country is good for living and work only language it obstacle

    • @lilianwaflotina1288
      @lilianwaflotina1288 7 месяцев назад +4

      Mimi nina wiki ya pili sasa nasoma kijerumani ni kigumu mno😅

  • @miryam900
    @miryam900 7 месяцев назад

    Nimesoma iringa girls na huyu baby jmn.am happy to hear amefikia hii level

    • @tirexp1
      @tirexp1 6 месяцев назад

      Mmemaliza mwaka gani aisee

    • @miryam900
      @miryam900 6 месяцев назад

      @@tirexp1 2013 o level advance 2016

    • @tirexp1
      @tirexp1 6 месяцев назад

      @@miryam900 ok nilimaliza 2011 olevo Iringa girls nlkua najitahidi kuvuta kama na mimi namfahamu😃

    • @miryam900
      @miryam900 6 месяцев назад +1

      @@tirexp1 🤣🤣itakuwa unamfaham maana alisoma zoo o level tuu

  • @JeniferAlexlorryLorry
    @JeniferAlexlorryLorry 6 месяцев назад

    Interview nzuri

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 7 месяцев назад +2

    Sauti

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 7 месяцев назад +3

    To have that diversity is so wonderful Shena,its was so exceptional ❤

  • @roseswedi5274
    @roseswedi5274 7 месяцев назад +3

    Sauti sasa IPO sawa😊

  • @NyansweMakore-tv8zj
    @NyansweMakore-tv8zj 7 месяцев назад

    Hahaha kweli anachosema wagermany wapo straight sana me mmoja wapo alinichamba niliumia roho kwa has hasira na mm nilimbroke

  • @neemahappyeverafter6181
    @neemahappyeverafter6181 7 месяцев назад +1

    da Uni anatabasam zuri😊

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 7 месяцев назад +3

    Umekuja german wakati corona inaanza as Aupair umeolewa 2022 ukiwa na kazi yako ya Nursing... Aupair 1yr, voluntieer si chini ya 6months , Ausbildung is not less than 2yrs mmh 🤔

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  7 месяцев назад

      Kama umesikiliza vizuri amesema hakumaluza AUPAIR time since alikua anakimbizana na opportunity

    • @Juke995
      @Juke995 7 месяцев назад +1

      Pia sijaelewa hapo Maybe amesoma one year ila pia kipindi cha corona hapakuwa na shule au ndo anasoma au kamaliza mwaka jana au huu

    • @bawla90
      @bawla90 6 месяцев назад

      ​@@Juke995huenda online

  • @crelincharles9358
    @crelincharles9358 7 месяцев назад

    My sculmate , i miss u

  • @alphoncewilson9898
    @alphoncewilson9898 3 месяца назад

    Namjua huyo Eunice nimewah kufanya kazi kwa baba yake mdogo solo king njombe

  • @ezekieljacob5795
    @ezekieljacob5795 7 месяцев назад

    Eti ndoto yangu kwenda england UK mmmm....ushapanchi tena

  • @ibraoman2745
    @ibraoman2745 7 месяцев назад

    Vp kuhus kusoma huko inakua bule au unalipia?

  • @mariamkasembe5015
    @mariamkasembe5015 6 месяцев назад

    Sauti ya eounice

  • @JaniferMichael
    @JaniferMichael 7 месяцев назад

    Yahuyo dada

  • @danielmakelemo2395
    @danielmakelemo2395 7 месяцев назад +1

    Ni unice sauti yake

  • @Jesca-ti1ms
    @Jesca-ti1ms 7 месяцев назад

    ❤❤

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 4 месяца назад

    Hoisting

  • @juliethhenrymasanja940
    @juliethhenrymasanja940 7 месяцев назад +1

    Sauti ya unice inakwauluza

  • @MsMasola
    @MsMasola 2 месяца назад

    Sasa hivi imetulia lkn

  • @georginasadiki1556
    @georginasadiki1556 4 месяца назад

    Sauti ya Eunice Ina mawimbi

  • @reginalemunge1221
    @reginalemunge1221 Месяц назад

    Sasa unasikika

  • @abm9624
    @abm9624 6 месяцев назад

    Dada mimi natamani kazi hiyo ya wazee nitafanya aje nipate

  • @JaniferMichael
    @JaniferMichael 7 месяцев назад

    Inakatika katika

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 7 месяцев назад +1

    Nyote mnakoloma

  • @gracemahugi4380
    @gracemahugi4380 7 месяцев назад

    Yunis nimimi mtu mzima ninamiaka 48 natamani sana hizo huduma je itawezekana mwanangu

  • @gracemahugi4380
    @gracemahugi4380 7 месяцев назад

    Hapo tunasikia yunis

  • @priscangimba6194
    @priscangimba6194 7 месяцев назад

    Saut ya unice

  • @MaryMichaelMaryMichael-i7o
    @MaryMichaelMaryMichael-i7o 6 месяцев назад

    Tusaidiane na sisi tupate kaz uk9

  • @DeanesiaMichael
    @DeanesiaMichael 7 месяцев назад

    Sasa hivi imetulia

  • @JaneNyamwihura
    @JaneNyamwihura 4 месяца назад

    Zoté ilz imekaa poa

  • @fridanyoni2867
    @fridanyoni2867 7 месяцев назад

    Sauti zote zinatetema

  • @gracemahugi4380
    @gracemahugi4380 7 месяцев назад

    Hicho chuo kipo dar sehemu gani shena muuliza nimweleke mwanangu

  • @juliethmangugi
    @juliethmangugi 7 месяцев назад

    Sauti ya Eunice ndio inatetemea

  • @gracemahugi4380
    @gracemahugi4380 7 месяцев назад

    Yunis

  • @RozRoz12-d4d
    @RozRoz12-d4d 6 месяцев назад

    Mimi pia mawimbi

  • @queenalharthy4446
    @queenalharthy4446 6 месяцев назад

    Sauti yenu yote ni mbaya

  • @gracemahugi4380
    @gracemahugi4380 7 месяцев назад

    Afadhali

  • @ibraoman2745
    @ibraoman2745 7 месяцев назад

    Mimi nipo omani ila ndoto zang kufika katika izo nchi ila sijui njia had nifike huko

    • @shamzone388
      @shamzone388 7 месяцев назад

      Upo oman unafanya kazi. Sio raia wa oman correct

    • @ibraoman2745
      @ibraoman2745 7 месяцев назад

      @@shamzone388 ndio nafany kaz tu

    • @ibraoman2745
      @ibraoman2745 7 месяцев назад

      ​@@shamzone388nafany kaz tu

    • @Kijana-wa-Tanzania
      @Kijana-wa-Tanzania 6 месяцев назад

      Nasikia Omani maisha mazuri sana! Nasikia dada zetu wanapambana kuja Muscat, vipi wengine mnakimbia..

  • @aidaanatory9330
    @aidaanatory9330 4 месяца назад

    Sfi

  • @LucyJoseph-pb4um
    @LucyJoseph-pb4um 7 месяцев назад

    Zote

  • @NeemaKipande-hr9rz
    @NeemaKipande-hr9rz 7 месяцев назад +1

    Vsauti hazisikiki KABISA inamitetemo ya eunice

  • @zulfahismail9373
    @zulfahismail9373 7 месяцев назад

    ❤❤

  • @DeanesiaMichael
    @DeanesiaMichael 7 месяцев назад

    Sasa hivi imetulia

  • @usindemdamo5299
    @usindemdamo5299 7 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @YusthaMlowe
    @YusthaMlowe 6 месяцев назад

    Najifunza kuwa Upende lugha zetu sanaa, maendeleo yatapatikana

  • @UpendoRomanus
    @UpendoRomanus 6 месяцев назад

    Sauti zote zinakoroma

  • @NeemRamadhani-j8h
    @NeemRamadhani-j8h 7 месяцев назад

    Interview nzuri sana🎉🎉

  • @zulfahismail9373
    @zulfahismail9373 7 месяцев назад

    Ni.kweli.

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 7 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤