KAZI ZA KULEA WATOTO NA KULEA WAZEE UJERUMANI | MAPENZI YA WAZUNGU SIO YALE YA TELEMUNDO
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Eunice ameeleza Safari yake ya maisha kutoka kua ndoto na kufikia kua yenye uhalisia.
Anakwambia alikua anapenda yale mapenzi ya telemundo lakini kwa ground mambo hayako hivyo
Thank you Eunice for allowing this to be online
www.oda.international
Utafika mbali dia unatupaa elimu sana. Mungu mwema aendelee kuwatunza ndugu zetu, mliopo huko majuu na mnakubali kutuelimisha.
As a nursing student Sijaelewa Ausbildung umefanya ya muda gan kingine nimsaidie sabab anaogopa kuelezea akiogopa kuchekwa. Kulea wazee sio kazi mbaya sababu haina tofauti na nurse wa kawaida wa Tanzania kingine ni kazi yakujitolea sababu inahitaji moyo na kwa ujeruman lazima urudishwe shule kuisomea na inalipa hela ya kutosha kujikimu ujeruman mshahara ni million tatu kama haujasoma n mil tano hadi nane kama utaenda shule. Sio kazi ya kumcheka mtu ni kazi nzuri sana kama una moyo mzuri utajifunza vitu vingi sana and get alot of love kutoka kwa hao wazee especial ujeruman.
Maelezo mazuri, nichukue nafasi hii kukukaribisha kwa kipindi ili tupate kunifunza mengi kutoka kwako pia
+4367764790884
Shukran
Hi mm naitaj kulea watoto
Kweli kabisa
@@ShuuKonti nenda shule kasome nursing kama ni bongo ni mwaka mmoja ukija ujeruman hauendi shule labda kama utake kujiendeleza miaka miwili ili ufanye kazi hospitalini kikubwa ni lugha tu
@@Juke995 thankx
Asante Sana mwenyezi mungu akutangulie tunajifunza vingi 🙏🙏
Hii video nilikuwa sijaiona! Nimefurahi kuisikiliza kwa sababu inahusiana na Programmes za Vijana tunazoziendesha! Very Good Job Shena.
Sauti inatetema my shenaaaa❤
Habari dada, interview ni nzuri sana. Ombi. Uwe una Tag Social Media zao kama wanapenda tuwa follow waongeze followers. Support Tanzanian 🇹🇿. Thank you
We umeongea point kubwa sana natamani iwe ivo pia
Jomn wapenziiiii tushare Sana izi videos coz zinamafunzo mengi Sana na mazuri mnoo me binafsi nafaidika Sana ❤️
Shukran sana Madina 🙏
Your are welcome dear shena😘
I agree
Me nasoma only mahi zangu kama mnandoto za kwenda German plz someni kingine kikubwa kuliko yote Computer 🖥️ jamani plz someni kwa bidiii
Safi saxna dada angu mungu akulinde popote ulipo
Hapo upo vizuri unice
Ahsante sana binti kwa Elimu
Shena tunaomba pia interview na diana kimary
Kuna watu dunia hii wana roho nzuriiii kama uyo family friend
Sister shena habari yako .mm nimejiunga na mtandao wa extended dating site wa malekani na nataka kilipia kadi yangu ni ya tigo pesa masta kadi najaza vizuri majina ,cvv number , account number sasa shida ni kwenye kujaza address verification ndiyo sijajua nifanyaje hapo naomba unisaidie
Mmekaa sawa
interview 🔥🔥🔥🔥
Sauti ya UNICE inavibrate
Uelimishaji mzuri❤
Hongera sana Eunice.
Kaz nzur yan 🔥🔥🔥
Ila unasikika vizuri
Shena,mtu aliyemaliza Elimu ya msingi tu anaweza kupata kazi ya kulea wazee endapo anajuwa kuongea ki German au mpaka uwe umemaliza secondary school na kuendelea?
Kwanza muhimu lugha ya kijerumani kwa level ya B1 , kama unataka kusomea issue ya wazee lazima lakini kama upo na kibali chako cha kuishi kama umekuja kifamilia unaweza ukafanyakazi ila ni kama mlezi msaidizi wa wazee
Asante dear kwa kutuelewesha Je wanangalia na umri maana mie nakalibia kufikisha miaka 30 na ninajifinza kijeruman na single mother je, naweza kupata kazi
Sana ivii nzuri
Madam shena tuwekee account yake ya ig huyo dada
German language very difficult da shena nimeanza course jana rasmi coz life la huku Germany nafanya kazi na mataifa mengi problem In interactions ni lugha embu ngoja nikomae hata nipate level A1 mpk A2 hatar sana all in all Germany country is good for living and work only language it obstacle
Mimi nina wiki ya pili sasa nasoma kijerumani ni kigumu mno😅
Nimesoma iringa girls na huyu baby jmn.am happy to hear amefikia hii level
Mmemaliza mwaka gani aisee
@@tirexp1 2013 o level advance 2016
@@miryam900 ok nilimaliza 2011 olevo Iringa girls nlkua najitahidi kuvuta kama na mimi namfahamu😃
@@tirexp1 🤣🤣itakuwa unamfaham maana alisoma zoo o level tuu
Interview nzuri
Sauti
To have that diversity is so wonderful Shena,its was so exceptional ❤
Sauti sasa IPO sawa😊
Hahaha kweli anachosema wagermany wapo straight sana me mmoja wapo alinichamba niliumia roho kwa has hasira na mm nilimbroke
da Uni anatabasam zuri😊
Umekuja german wakati corona inaanza as Aupair umeolewa 2022 ukiwa na kazi yako ya Nursing... Aupair 1yr, voluntieer si chini ya 6months , Ausbildung is not less than 2yrs mmh 🤔
Kama umesikiliza vizuri amesema hakumaluza AUPAIR time since alikua anakimbizana na opportunity
Pia sijaelewa hapo Maybe amesoma one year ila pia kipindi cha corona hapakuwa na shule au ndo anasoma au kamaliza mwaka jana au huu
@@Juke995huenda online
My sculmate , i miss u
Namjua huyo Eunice nimewah kufanya kazi kwa baba yake mdogo solo king njombe
Eti ndoto yangu kwenda england UK mmmm....ushapanchi tena
Vp kuhus kusoma huko inakua bule au unalipia?
Sauti ya eounice
Yahuyo dada
Ni unice sauti yake
❤❤
Hoisting
Sauti ya unice inakwauluza
Sasa hivi imetulia lkn
Sauti ya Eunice Ina mawimbi
Sasa unasikika
Dada mimi natamani kazi hiyo ya wazee nitafanya aje nipate
Inakatika katika
Nyote mnakoloma
Yunis nimimi mtu mzima ninamiaka 48 natamani sana hizo huduma je itawezekana mwanangu
Hapo tunasikia yunis
Saut ya unice
Tusaidiane na sisi tupate kaz uk9
Sasa hivi imetulia
Zoté ilz imekaa poa
Sauti zote zinatetema
Hicho chuo kipo dar sehemu gani shena muuliza nimweleke mwanangu
Wacheck Instagram @hertzconnectingtanzania
Sauti ya Eunice ndio inatetemea
Yunis
Mimi pia mawimbi
Sauti yenu yote ni mbaya
Afadhali
Mimi nipo omani ila ndoto zang kufika katika izo nchi ila sijui njia had nifike huko
Upo oman unafanya kazi. Sio raia wa oman correct
@@shamzone388 ndio nafany kaz tu
@@shamzone388nafany kaz tu
Nasikia Omani maisha mazuri sana! Nasikia dada zetu wanapambana kuja Muscat, vipi wengine mnakimbia..
Sfi
Zote
Vsauti hazisikiki KABISA inamitetemo ya eunice
❤❤
Sasa hivi imetulia
18 - 26yrs
Naomb namba zako shena
❤❤❤❤
Najifunza kuwa Upende lugha zetu sanaa, maendeleo yatapatikana
Sauti zote zinakoroma
Interview nzuri sana🎉🎉
Ni.kweli.
❤❤❤❤❤