Hapa Ndiyo Marekani Vijijini 🇺🇸
HTML-код
- Опубликовано: 21 сен 2023
- Join this channel to get access to perks:
/ @jackwausa
My previous video;
• Hizi Ndiyo Sehemu Za K...
🔸FOLLOW ME ON;
INSTAGRAM: / jacchalz
TikTok: / officialjackwausa
My Other Channel: / @jackchalz
#jackwausa #mtaani
Please SUPPORT Me By Joining Here!
patreon.com/JackWaUSA
Sasa Mtu Wng Ukiwa Napesa Ukiitaji Nunuwa Kiwanja Hau Nyumba ; Inaweza garimu Kiasi Gani Ya Pesa.....?
I was born in Zanzibar Island 🏝 na kuwatch nikiwa Kuwait 🇰🇼
Hello jack nauliza kama gari aina ya proboxzinapatikana 🇺🇸🇺🇸??
Hapo sawa
Jack mi naomba kujua we ulifika marekani kwa ajili gan,maana wengine pia tunawaza kutimba lakn nashndwa cha kwenda kufanya
Mr Jack your video always teach us soo many things and i salute you 👍
Ni Anestus Mujuni nafatilia kutoka Kampala Uganda. Shukrani sana #Jack kwa kazi zako nzuri sana naenjoy mnoo. Siku ukirejea Tanzania toa taarifa ili angalau tufanye utaratibu wa kukupokea Airport kaka.
Quality yako ya video iko juu...loving it from 🇰🇪 🇰🇪
Pamoja sana Jack nakutazama nikiwa Arusha Tanzania 🇹🇿
Kazi safi bro. Maendeleo marekani iko hali ya juu. Hiyo kijiji imetulia sana, na barabara zao ziko hali ya juu. Nakutazama kutoka Nairobi, Kenya.
Kijijini ni zaidi ya masaki big up sana mimi nipo home mzee jack Tz
Natizama video zako nyingi napenda sana mungu akubriki sana. Naomba tuwasiliane
Jack jack jackiiiii mungu aendeleee kukulinda nakusiiliza nikiwa singda singda✔️
Asante sana niko Burundi thanks.
Asante kazi nzuri
Brother. Ninakukubali saana Kwa mitaa unayotuonyesha Kila wakati.. Kenya.
Jack, nakutazama kutoka Kenya, nairobi . Natokea mtaa wa Githurai 44! Napenda sana vlog zako.. Nipe ata shout out angalau, naitwa Karis! Kariuki
Safi sana nimependa hii video niko 🇲🇿 Pemba
Mdogo wangu na kukubali santa,hizo halakati zako poa sana,be blessed,nakutazama nikiwa mbinga,tz
Kaka uko poa sana Allah akubark kwa kutufikisha marekani me younglee kutoka tanzania zanzibar
Amina!
kazi safi,umetufikisha usa virtual,keep up bro
Safi sana nakutazama nikiwa Kampala.
Kijana mtanzania mwenzangu nikiwa saudia arabia
Pamoja kaka
Unaosha vyombo sio
Nisaidie connection hata ya ulinzi
Unaosha umbwa 😂😂
😢
Hongera sana jack nakupata nikiwa tz kigoma
Mwanza Mwanza region bro, pamoja sana
Thx bro fresh nacheck video hii Tz Zanzibar hivo vijiji Haitwa Sehemu gn broo
Live from Sumbawanga Tanzania 🇹🇿
Umetisha sana kaka jack watching from Zanzibar 😮😊
Watching this video from Upanga Dar es salaam-Tanzania
I'm watching this video from Dar Es Salaam Tanzania 🇹🇿
kazi nzuri kaka
Hi jack...i always enjoy ua videos alot..coz they are jst too diverse... I get to learn USA🇱🇷🇱🇷🇱🇷at a distance.. I'm hoping 2 meet you soon in YUES.. following u from Nairobi kenya❤💜💙💋
Kumekucha😅
Kutoka Tanzania 🇹🇿. Hongera sana
Safi sana 🎉.....🇹🇿
kazi nzuri ndg jack.
Amazing 👌🇲🇿
Apo powa nikufata kutokea south africa kaka ❤❤❤❤ one love
Pamoja sana niko 🇬🇭 Ghana
Musoma pande za nyasho,jack fresh nataka mpaka mashambani kwao tujue maisha Yao ya ndani
Sema kuna watu waongo, kuna mtu nilienda nae Kigoma ndani ndani sehemu inaitwa Subankara akaniambia hta Marekani vijijini panafanana kma huko, sikumbishia coz jamaa katembea nchi nyingi Duniani
Nakutazama nikiwa Spain 🇪🇦
Hi Jack.. watching from Ngorongoro Tanzania.
Big up Sana..
safi sana mr jack nachek video nikiwa Dar es saalam.
Safi Sana, nakutazama nikiwa Tanzania
Jackson mungu abaliki kazi yako. Jackson niyonkuru Burundi mugara
Amina!
Asante kwa taarifa! Safi sana kk nitumie namba zako ninajambo langu tuongee bro
Wekweli mbishi
Tbt Moja Mshua tuko pamoja sana
Naiangalia hii video nikiwa njombe umetisha sana kk
Safi sana mm nipo mozambique
@Jack video yako ukieleza jinsi ulivyokwenda huko USA
Mie naitwa suleiman toka sinza vatcan nimependa unavyo tutembeza nice bro
Sema nakuelewa sana mwana unatuneshaga mambo ambayo wengine hatujawahi kuyawaza
🎉 Amazing
opo ni lokesheni brother tumpeleke village
Dogo, watafutie vijiji vya kweli. Kwa nini unawaficha? Kwangu kuna rough roads. Hicho sio kijiji
Nakubaliana naww hicho sio Kijiji
Unsombeka moja kwa moja kutoka Mbeya, Tanzania
Wahh🎉
kutoka Mwanza Tanzania nakufuatilia sana na najifunza mengi
Big up kgoma Tz Moja broo
jack natazama nikiwa mwanza buswelu nakupata sana mmarekeni mwenzang
From kigoma, panafanana na manyovu kigoma
Pamoja sana kaka pambana yaela yote
From Bujumbura burundi
Kijana Mimi nipo songea Ruvuma tunakupata Uzuri Sana Hongera Sana
Kk na kucheki sana apa congo
Kaka utamaliza viatu tu huwezi kupata vijiji kama vya bongo huko 😂😂
Nitaftiye mume wa kizungu hapo kijijini🙆
Sana jack nakuchek kutoka mbeya
Naangalia nikiwa kihurio same kilimanjaro tz
Aiseee ☺️☺️ mbn kuzuri ivo 😮ndo kijijini huko😳😳😳tena kutanifaa, km posta ya Dar huko😁😁😁
Natazama nikiwa kilwa kivinje hometown Katoro Geita
Hapa ni mwanza tanzania
Nakupatasa sana jack nikiwa,jiji
Jack Kama Jack My Friend How ?"
Kazi nzuri Jack.nsomba Jackson unipe email yako ili tuwasliane inbox.mimi thade mzee wa mara TZ
Good job 👍
❤❤
Good job jack from Tz Arusha
Nakubali 🥂💯💯💯
Natazama nikiwa kariakoo mtaa wa Lindi na Nyamwezi hapa Jack
Umtisha Sana Jack natazama video hii nikiwa tabora tz
All the way from Burundi
Uko juu.
Siku nyingi jamaa yangu sikufatilii hii video naangalia nikiwa kaliwa Tabora kikaz ila nyumban ni mwendakulima buzwagi kahama.
I'm looking this video in TZ
Safi sana
Natazama nikwa mbeya jack
Nakutazama nikiwa Tunduma border nakubali kazi yako
Niko saudi Asante kutuonyesha❤
mimi naitizama nikiwa kahama mkuu umetisha kamandangu
I like the cars in LA
Aise jamaa wako poa apo kijini atar from Mozambique 🇲🇿
Marekani vijijini kuzuri.😊
nakupata mozambique# ujanja gani ma mimi nifike huko meerikani
Zambia Lusaka
Mbele bhana wasafi Sana wanajua bongo sisi tamaa maeneo ya wanyama km hivo nyumba viwanja vya mpita nyumba basketball nyumba netball nyumba Mwisho tunapata mazingira ya uswahilini,
Safi...naangalia video hii nikiwa Lindi kusini mwa Tanzania
From Singida Tanzania nakupata
Ubarikiwe na ww
Kijijini marekani ni zaidi ya Capital city nyingi Africa utofauti ni kwamba watu ni wachache sana kijijini marekani😂😂😂😂
🤜🤛
Nimependa hiyi content ya vijijini yues nikunoma
Vijijini ni shamba sio nje ya mji
🎉🎉🎉❤