Hapa Ndiyo Marekani Vijijini 🇺🇸

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 сен 2023
  • Join this channel to get access to perks:
    / @jackwausa
    My previous video;
    • Hizi Ndiyo Sehemu Za K...
    🔸FOLLOW ME ON;
    INSTAGRAM: / jacchalz
    TikTok: / officialjackwausa
    My Other Channel: / @jackchalz
    #jackwausa #mtaani

Комментарии • 329

  • @jackwausa
    @jackwausa  10 месяцев назад +27

    Please SUPPORT Me By Joining Here!
    patreon.com/JackWaUSA

    • @ToyiJean-bl1ps
      @ToyiJean-bl1ps 10 месяцев назад

      Sasa Mtu Wng Ukiwa Napesa Ukiitaji Nunuwa Kiwanja Hau Nyumba ; Inaweza garimu Kiasi Gani Ya Pesa.....?

    • @aliykhamisi1431
      @aliykhamisi1431 10 месяцев назад +1

      I was born in Zanzibar Island 🏝 na kuwatch nikiwa Kuwait 🇰🇼

    • @derrickmwita5894
      @derrickmwita5894 10 месяцев назад

      Hello jack nauliza kama gari aina ya proboxzinapatikana 🇺🇸🇺🇸??

    • @mnazicomedytz
      @mnazicomedytz 10 месяцев назад +1

      Hapo sawa

    • @AthumaniAthumani-yw6fv
      @AthumaniAthumani-yw6fv 10 месяцев назад +1

      Jack mi naomba kujua we ulifika marekani kwa ajili gan,maana wengine pia tunawaza kutimba lakn nashndwa cha kwenda kufanya

  • @harrisonkariukigachago5786
    @harrisonkariukigachago5786 10 месяцев назад +11

    Mr Jack your video always teach us soo many things and i salute you 👍

  • @allenk7491
    @allenk7491 9 месяцев назад +3

    Ni Anestus Mujuni nafatilia kutoka Kampala Uganda. Shukrani sana #Jack kwa kazi zako nzuri sana naenjoy mnoo. Siku ukirejea Tanzania toa taarifa ili angalau tufanye utaratibu wa kukupokea Airport kaka.

  • @princessmontana7303
    @princessmontana7303 5 месяцев назад +3

    Quality yako ya video iko juu...loving it from 🇰🇪 🇰🇪

  • @mrrockboy9508
    @mrrockboy9508 10 месяцев назад +5

    Pamoja sana Jack nakutazama nikiwa Arusha Tanzania 🇹🇿

  • @jonathannyamweya4940
    @jonathannyamweya4940 10 месяцев назад +3

    Kazi safi bro. Maendeleo marekani iko hali ya juu. Hiyo kijiji imetulia sana, na barabara zao ziko hali ya juu. Nakutazama kutoka Nairobi, Kenya.

  • @user-oo6zi5rl8v
    @user-oo6zi5rl8v 10 месяцев назад +2

    Kijijini ni zaidi ya masaki big up sana mimi nipo home mzee jack Tz

  • @user-kc2hx1zo4e
    @user-kc2hx1zo4e 10 месяцев назад +1

    Natizama video zako nyingi napenda sana mungu akubriki sana. Naomba tuwasiliane

  • @user-br9cl4jr8x
    @user-br9cl4jr8x 10 месяцев назад +2

    Jack jack jackiiiii mungu aendeleee kukulinda nakusiiliza nikiwa singda singda✔️

  • @nizigabosco3359
    @nizigabosco3359 10 месяцев назад +1

    Asante sana niko Burundi thanks.

  • @madinakheri487
    @madinakheri487 4 месяца назад +1

    Asante kazi nzuri

  • @user-ls4rz2kz8j
    @user-ls4rz2kz8j 6 месяцев назад +2

    Brother. Ninakukubali saana Kwa mitaa unayotuonyesha Kila wakati.. Kenya.

  • @kingkunta007
    @kingkunta007 9 месяцев назад

    Jack, nakutazama kutoka Kenya, nairobi . Natokea mtaa wa Githurai 44! Napenda sana vlog zako.. Nipe ata shout out angalau, naitwa Karis! Kariuki

  • @ElisioVicenteMadimba
    @ElisioVicenteMadimba 10 месяцев назад +2

    Safi sana nimependa hii video niko 🇲🇿 Pemba

  • @DanielMwampote
    @DanielMwampote Месяц назад

    Mdogo wangu na kukubali santa,hizo halakati zako poa sana,be blessed,nakutazama nikiwa mbinga,tz

  • @younglee0972
    @younglee0972 10 месяцев назад +1

    Kaka uko poa sana Allah akubark kwa kutufikisha marekani me younglee kutoka tanzania zanzibar

  • @Bensothegamer
    @Bensothegamer 10 месяцев назад

    kazi safi,umetufikisha usa virtual,keep up bro

  • @yunusramadhan2546
    @yunusramadhan2546 10 месяцев назад +14

    Kijana mtanzania mwenzangu nikiwa saudia arabia

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu3783 10 месяцев назад +1

    Hongera sana jack nakupata nikiwa tz kigoma

  • @johnkitwima6963
    @johnkitwima6963 10 месяцев назад +1

    Mwanza Mwanza region bro, pamoja sana

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 10 месяцев назад +1

    Thx bro fresh nacheck video hii Tz Zanzibar hivo vijiji Haitwa Sehemu gn broo

  • @umelamedia
    @umelamedia 9 месяцев назад +1

    Live from Sumbawanga Tanzania 🇹🇿

  • @AliNIssa
    @AliNIssa Месяц назад

    Umetisha sana kaka jack watching from Zanzibar 😮😊

  • @gregorygumbo7128
    @gregorygumbo7128 9 месяцев назад +1

    Watching this video from Upanga Dar es salaam-Tanzania

  • @malikikasambula8719
    @malikikasambula8719 7 месяцев назад +1

    I'm watching this video from Dar Es Salaam Tanzania 🇹🇿

  • @kelvinpius-ne9rz
    @kelvinpius-ne9rz 10 месяцев назад +1

    kazi nzuri kaka

  • @melkizedekoliech7859
    @melkizedekoliech7859 10 месяцев назад +2

    Hi jack...i always enjoy ua videos alot..coz they are jst too diverse... I get to learn USA🇱🇷🇱🇷🇱🇷at a distance.. I'm hoping 2 meet you soon in YUES.. following u from Nairobi kenya❤💜💙💋

  • @elimbotoraphael3940
    @elimbotoraphael3940 10 месяцев назад

    Kutoka Tanzania 🇹🇿. Hongera sana

  • @GlennMarshall3
    @GlennMarshall3 10 месяцев назад +1

    Safi sana 🎉.....🇹🇿

  • @alfredjoshua8625
    @alfredjoshua8625 Месяц назад +1

    kazi nzuri ndg jack.

  • @MomadeAndurabe-ip5ek
    @MomadeAndurabe-ip5ek 10 месяцев назад +4

    Amazing 👌🇲🇿

  • @saidiamisiwilondja3999
    @saidiamisiwilondja3999 Месяц назад +1

    Apo powa nikufata kutokea south africa kaka ❤❤❤❤ one love

  • @paulodhiamboliech518
    @paulodhiamboliech518 10 месяцев назад +1

    Pamoja sana niko 🇬🇭 Ghana

  • @ntezealoyce7043
    @ntezealoyce7043 10 месяцев назад

    Musoma pande za nyasho,jack fresh nataka mpaka mashambani kwao tujue maisha Yao ya ndani

  • @AmiBoy-vs2td
    @AmiBoy-vs2td 10 месяцев назад +2

    Sema kuna watu waongo, kuna mtu nilienda nae Kigoma ndani ndani sehemu inaitwa Subankara akaniambia hta Marekani vijijini panafanana kma huko, sikumbishia coz jamaa katembea nchi nyingi Duniani

  • @lucymakendi2728
    @lucymakendi2728 6 дней назад +1

    Nakutazama nikiwa Spain 🇪🇦

  • @leoniapaulo7752
    @leoniapaulo7752 10 месяцев назад +1

    Hi Jack.. watching from Ngorongoro Tanzania.

  • @newagecommunications7258
    @newagecommunications7258 10 месяцев назад +1

    Big up Sana..

  • @HaizanRojas
    @HaizanRojas 7 месяцев назад +1

    safi sana mr jack nachek video nikiwa Dar es saalam.

  • @gwandumimwailemale7788
    @gwandumimwailemale7788 10 месяцев назад +1

    Safi Sana, nakutazama nikiwa Tanzania

  • @yaluclile566
    @yaluclile566 10 месяцев назад +1

    Jackson mungu abaliki kazi yako. Jackson niyonkuru Burundi mugara

  • @adammashiba244
    @adammashiba244 2 месяца назад

    Asante kwa taarifa! Safi sana kk nitumie namba zako ninajambo langu tuongee bro

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 10 месяцев назад +1

    Wekweli mbishi
    Tbt Moja Mshua tuko pamoja sana

  • @user-bk3hh5iw8g
    @user-bk3hh5iw8g 9 месяцев назад

    Naiangalia hii video nikiwa njombe umetisha sana kk

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 10 месяцев назад +2

    Safi sana mm nipo mozambique

  • @jabibama
    @jabibama 10 месяцев назад +2

    @Jack video yako ukieleza jinsi ulivyokwenda huko USA

  • @suleimanmohamed6694
    @suleimanmohamed6694 9 месяцев назад +1

    Mie naitwa suleiman toka sinza vatcan nimependa unavyo tutembeza nice bro

  • @gideongerald2846
    @gideongerald2846 10 месяцев назад +1

    Sema nakuelewa sana mwana unatuneshaga mambo ambayo wengine hatujawahi kuyawaza

  • @fedianfredy2631
    @fedianfredy2631 10 месяцев назад +2

    🎉 Amazing

  • @simdalosudi6228
    @simdalosudi6228 10 месяцев назад +2

    opo ni lokesheni brother tumpeleke village

  • @kaisarimbisso5011
    @kaisarimbisso5011 10 месяцев назад +1

    Dogo, watafutie vijiji vya kweli. Kwa nini unawaficha? Kwangu kuna rough roads. Hicho sio kijiji

    • @zomasamweli
      @zomasamweli 9 месяцев назад

      Nakubaliana naww hicho sio Kijiji

  • @isaiah696
    @isaiah696 10 месяцев назад +2

    Unsombeka moja kwa moja kutoka Mbeya, Tanzania

  • @malilitz
    @malilitz 10 месяцев назад +2

    Wahh🎉

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 10 месяцев назад +1

    kutoka Mwanza Tanzania nakufuatilia sana na najifunza mengi

  • @marcomhuli8756
    @marcomhuli8756 10 месяцев назад +1

    Big up kgoma Tz Moja broo

  • @Timothymchomi
    @Timothymchomi 10 месяцев назад +1

    jack natazama nikiwa mwanza buswelu nakupata sana mmarekeni mwenzang

  • @user-dj7zh4rk9o
    @user-dj7zh4rk9o 10 месяцев назад +1

    From kigoma, panafanana na manyovu kigoma

  • @ErickJackson-uo8kx
    @ErickJackson-uo8kx 10 месяцев назад +1

    Pamoja sana kaka pambana yaela yote

  • @allydjuma8645
    @allydjuma8645 10 месяцев назад +1

    From Bujumbura burundi

  • @kadumaIssa-zi9mx
    @kadumaIssa-zi9mx 10 месяцев назад +1

    Kijana Mimi nipo songea Ruvuma tunakupata Uzuri Sana Hongera Sana

  • @elmackrambo487
    @elmackrambo487 10 месяцев назад +1

    Kk na kucheki sana apa congo

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 10 месяцев назад

    Kaka utamaliza viatu tu huwezi kupata vijiji kama vya bongo huko 😂😂

  • @user-yp1if8qm5s
    @user-yp1if8qm5s 10 месяцев назад +1

    Nitaftiye mume wa kizungu hapo kijijini🙆

  • @MaishaSafari-wp7cq
    @MaishaSafari-wp7cq 10 месяцев назад +1

    Sana jack nakuchek kutoka mbeya

  • @bakariissa3440
    @bakariissa3440 10 месяцев назад +1

    Naangalia nikiwa kihurio same kilimanjaro tz

  • @giftsokolo3
    @giftsokolo3 10 месяцев назад +1

    Aiseee ☺️☺️ mbn kuzuri ivo 😮ndo kijijini huko😳😳😳tena kutanifaa, km posta ya Dar huko😁😁😁

  • @mnazicomedytz
    @mnazicomedytz 10 месяцев назад +1

    Natazama nikiwa kilwa kivinje hometown Katoro Geita

  • @ernestmasanja4641
    @ernestmasanja4641 10 месяцев назад +1

    Hapa ni mwanza tanzania

  • @user-nw7jz5vm1s
    @user-nw7jz5vm1s 10 месяцев назад

    Nakupatasa sana jack nikiwa,jiji

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 5 месяцев назад +1

    Jack Kama Jack My Friend How ?"

  • @rukinishathadeo7215
    @rukinishathadeo7215 28 дней назад

    Kazi nzuri Jack.nsomba Jackson unipe email yako ili tuwasliane inbox.mimi thade mzee wa mara TZ

  • @charlesjaphet5768
    @charlesjaphet5768 10 месяцев назад +1

    Good job 👍

  • @shawn-the-first.1643
    @shawn-the-first.1643 10 месяцев назад +1

    ❤❤

  • @davidsillo916
    @davidsillo916 3 месяца назад

    Good job jack from Tz Arusha

  • @suratibrahim6417
    @suratibrahim6417 10 месяцев назад +1

    Nakubali 🥂💯💯💯

  • @omaryjumambwego9001
    @omaryjumambwego9001 10 месяцев назад

    Natazama nikiwa kariakoo mtaa wa Lindi na Nyamwezi hapa Jack

  • @zenagilaluma4754
    @zenagilaluma4754 9 месяцев назад

    Umtisha Sana Jack natazama video hii nikiwa tabora tz

  • @augustinburoni7104
    @augustinburoni7104 10 месяцев назад

    All the way from Burundi

  • @user-ls4rz2kz8j
    @user-ls4rz2kz8j 6 месяцев назад +1

    Uko juu.

  • @LwinziMohamed
    @LwinziMohamed Месяц назад

    Siku nyingi jamaa yangu sikufatilii hii video naangalia nikiwa kaliwa Tabora kikaz ila nyumban ni mwendakulima buzwagi kahama.

  • @kenethwilbert8743
    @kenethwilbert8743 7 месяцев назад +1

    I'm looking this video in TZ

  • @ludobudege1662
    @ludobudege1662 10 месяцев назад +1

    Safi sana

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Месяц назад +1

    Natazama nikwa mbeya jack

  • @saimonifredi4653
    @saimonifredi4653 10 месяцев назад +1

    Nakutazama nikiwa Tunduma border nakubali kazi yako

  • @user-ht1eh9hv2i
    @user-ht1eh9hv2i 6 месяцев назад +1

    Niko saudi Asante kutuonyesha❤

  • @user-yt4wn5xz8m
    @user-yt4wn5xz8m 6 месяцев назад +1

    mimi naitizama nikiwa kahama mkuu umetisha kamandangu

  • @felixseven042
    @felixseven042 10 месяцев назад +1

    I like the cars in LA

  • @MuamedeassumaneAssumane-cm5ky
    @MuamedeassumaneAssumane-cm5ky 10 месяцев назад

    Aise jamaa wako poa apo kijini atar from Mozambique 🇲🇿

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 2 месяца назад

    Marekani vijijini kuzuri.😊

  • @ikrhamtv9678
    @ikrhamtv9678 10 месяцев назад

    nakupata mozambique# ujanja gani ma mimi nifike huko meerikani

  • @user-ef2wf7yv5p
    @user-ef2wf7yv5p 10 месяцев назад +2

    Zambia Lusaka

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 10 месяцев назад

    Mbele bhana wasafi Sana wanajua bongo sisi tamaa maeneo ya wanyama km hivo nyumba viwanja vya mpita nyumba basketball nyumba netball nyumba Mwisho tunapata mazingira ya uswahilini,

  • @allymuhunzi
    @allymuhunzi 2 месяца назад

    Safi...naangalia video hii nikiwa Lindi kusini mwa Tanzania

  • @polycarptarimo5141
    @polycarptarimo5141 10 месяцев назад +1

    From Singida Tanzania nakupata

  • @user-cl5yq6ne3q
    @user-cl5yq6ne3q 5 месяцев назад +1

    Ubarikiwe na ww

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 10 месяцев назад +1

    Kijijini marekani ni zaidi ya Capital city nyingi Africa utofauti ni kwamba watu ni wachache sana kijijini marekani😂😂😂😂

  • @ezekiellucas8981
    @ezekiellucas8981 10 месяцев назад +1

    🤜🤛

  • @queeniesamantha54
    @queeniesamantha54 10 месяцев назад +1

    Nimependa hiyi content ya vijijini yues nikunoma

  • @salimali-rf9er
    @salimali-rf9er Месяц назад

    Vijijini ni shamba sio nje ya mji

  • @sylvanjosam3402
    @sylvanjosam3402 10 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉❤