#live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 дек 2022
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
    Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 84

  • @felisterligazio7151
    @felisterligazio7151 11 месяцев назад +2

    Asante kwa kunifumbua macho🙏 MUNGU akupe maisha marefu

  • @noeliamwakalunde8089
    @noeliamwakalunde8089 Год назад +2

    Amina,tunafunguliwa,kàribuni Sana Dodoma.

  • @judithpraisesmusic
    @judithpraisesmusic Год назад +2

    Amina....this is my word...not to follow miracles again, i will follow Jesus forever

  • @bintmwambapa7734
    @bintmwambapa7734 Год назад +1

    Yaaani kwenye pembe ya uwongozi yaani umenizungumzia Mimi Mtumishi Kama vile unayajua maisha yangu. Mungu akubariki Sana Mtumishi

  • @marymatekwa6867
    @marymatekwa6867 Год назад +2

    Bwana asifiwe Sana kusema ukweli nimekuswa Sana Ubarikiwe sana

  • @manyakiagnes1136
    @manyakiagnes1136 Год назад +2

    Karibu kigoma Mtumishi wa Mungu,

  • @mpandawiliam5390
    @mpandawiliam5390 Год назад +3

    Sema mtumishi Amiel tupone, unanifurahisha sana kamanda, unanitia moyo sana wakumtumikia Mungu, pamoja sana.

  • @stelladamas8193
    @stelladamas8193 3 месяца назад +1

    Mungu akubariki sanaaa mtumishi wa Mungu

  • @marifaadolphine3571
    @marifaadolphine3571 Год назад +1

    Ameeen kwa mafunzo unayo tupa Tunashukuru inatutosha katika vifungo vya ulimwengu wa Shetani.

  • @johnmungai5499
    @johnmungai5499 Год назад +4

    I love this pastor. Live long and strong in Jesus Name.

  • @nancyisoyi8164
    @nancyisoyi8164 10 месяцев назад +1

    Hallelujah Asante Mchungaji 🙏🏾
    Nina pata Mafunzo KWELIKWELI na nawafunza ndugu na dada Zangu na pia Marafiki
    KWAKWELI Wengine wanaskiza na wana anza kubadilisha mienendo sababu mimi nakuwa Mwanafunzi na mwalimu mwema pia🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @yustomroki1419
    @yustomroki1419 Год назад +1

    Mungu Azidi kukutumia Pastor

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert1171 Год назад +1

    Nampenda Yesu

  • @annkim2690
    @annkim2690 Год назад +11

    Jamani Mungu nimwanifu kweli kama hilo gongo umelitupa nijana nilimuuliza Mungu upande wa shetani wanatuchekelea tunadhihakiwa eeh Bwana mtu wako akitembelea gongo hebu tuondolee aibu hii nae kweli ni mwaminifu

    • @myself4128
      @myself4128 Год назад +1

      usiogope kuchekwa Tupo Tayari hata kufa!!! Shetani asipokucheka manake upo naeupande mmoja!!! usijali watumishi wanapopitia magumu ndio mapenzi ya Mungu

    • @franciscatedomiry9318
      @franciscatedomiry9318 Год назад

      Amen Amen Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana Mungu mwaminifu sana uwiii

    • @hildpaul7823
      @hildpaul7823 Год назад

      🙏🙏

    • @lauterychaula4349
      @lauterychaula4349 Год назад

      Kweli Mungu ni Mwema

  • @bintmwambapa7734
    @bintmwambapa7734 Год назад +1

    Jina la YESU Kristo libalikiwe, hakika MUNGU ni mwema Sana, MUNGU azidi kukutunza Mtumishi wa MUNGU alie hai.

  • @graciankisava4698
    @graciankisava4698 Год назад +1

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu, asante sana

  • @feminakidiavai5849
    @feminakidiavai5849 8 месяцев назад +1

    Amen mtumishi mungu akubariki

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Год назад +1

    Jmn mbn ni Mimi kwenye familia yetu,Mungu nisaidie

  • @lucylyale7169
    @lucylyale7169 11 месяцев назад +1

    Ameen barikiwa mtumishi wa Mungu🙏

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu 6 месяцев назад +1

    kenya yuko Mungu wa kweli lkn watu ni wavivu wakumtafuta Mungu

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 Год назад

    Kwakweli kwakweli,mtumishi amengo,a visiki ngome madhabahu ya kuzimu hii babu kubwa, kristo mfalme mfunike mjoli wako huyu,,barikiwa kanisa lote alilohudumu na mchungaji wao, wafuniko watenda kazi woko pro tv aminaaaa

  • @yeftabisuba3353
    @yeftabisuba3353 Год назад

    Ubarikiwe sana Mchungaji

  • @teresiajumwaamosteresiajum7667
    @teresiajumwaamosteresiajum7667 Год назад +1

    Amen Amen and amen in Jesus name Amen Amen🙏🙏🙏🙏

  • @violetnasimiyu8718
    @violetnasimiyu8718 Год назад +1

    Haleluyaaaa nani kama Mungu. Asante Mungu kwa kumponya mtumishi wako.

    • @sallyeringo33
      @sallyeringo33 Год назад

      What as happened?.he agood pastor started listening to him
      Recently

  • @goddaughter8312
    @goddaughter8312 Год назад +2

    We receive in Jesus might name

  • @erickebiath-pq6pd
    @erickebiath-pq6pd 8 месяцев назад +1

    Amina

  • @TuliyaKalunga9
    @TuliyaKalunga9 9 месяцев назад

    Amen amen TUnapata mafunzo kupitiya kwako mcungaji wetu

  • @yvonneomendaomenda24
    @yvonneomendaomenda24 Год назад

    Naomba Mungu akuponye na omba pia uniombe ndugu yangu nimgonjwa minguu sana hatembei zinachoma tu

  • @yalalaambobe9528
    @yalalaambobe9528 5 месяцев назад

    Amen amen amen Yesu kirsto ni mwema.

  • @rsfdzxzx2274
    @rsfdzxzx2274 Год назад

    Kuko ndarushe cane Avuga u🙏🙏👏kuri cane

  • @user-yy6xh6tm2g
    @user-yy6xh6tm2g 4 месяца назад +1

    Amen

  • @EliidiEdward
    @EliidiEdward 2 месяца назад

    Ameeen

  • @neemamasala8633
    @neemamasala8633 Год назад +1

    Karibu songea pia

  • @NEKESAJACKLINE-jw5gi
    @NEKESAJACKLINE-jw5gi Год назад

    May God bless you

  • @NEKESAJACKLINE-jw5gi
    @NEKESAJACKLINE-jw5gi Год назад

    May god be with you always

  • @annkim2690
    @annkim2690 Год назад

    Malaika doktari uhudumie Mguu huu mtumishi wako apate uponyaji

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Год назад

    Hee ila Umechemsha Kwamba Hata Akiombewa na YESU hayatoki mmmmh hapo ulimi umepinda ,sijaamini Hilo,Yesu akikuombea vyote vinakwepa Mtumishi,Tunamfuata YESU ndiyo maana Alikufa kwa Ajiri yetu

  • @annkim2690
    @annkim2690 Год назад +1

    Hapo Kwa hizo mimba hujitungia nje ya mfuko wa uzazi nimeona mabinti wengi wakifanyiwa operation haki wewe mtumishi uko juu Sana kama ulikataa hio operation

  • @dadaz4653
    @dadaz4653 Год назад

    Ameen

  • @lucykapinga369
    @lucykapinga369 Год назад +1

    MUNGU WETU Anaishi

  • @rsfdzxzx2274
    @rsfdzxzx2274 Год назад +1

    Ndarushe

  • @judithpraisesmusic
    @judithpraisesmusic Год назад +1

    nimebarikiwa hakika

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 Год назад

    Ameeeeeeeen

  • @TuliyaKalunga9
    @TuliyaKalunga9 9 месяцев назад

    Ndio tuko tunafata .tunaishi rwanda

  • @nictarpiason5490
    @nictarpiason5490 Год назад +1

    Kuna mambo nmeyaskia yamenifungua ufahamu wangu .. nmeelewa mengi sikuya jua hapo kabla

  • @rsfdzxzx2274
    @rsfdzxzx2274 Год назад

    Sababu nanteseka

  • @mpandawiliam5390
    @mpandawiliam5390 Год назад

    Mbarikiwe sana watumishi Kwa kuongeza siku za semina kwetu Arusha.

  • @restutadamas5454
    @restutadamas5454 Год назад +1

    MCHUNGAJ POLE KUMBE ULIPATA AJAL YA MGUU JIPE MOYO MADAM MUNGU NDO ALIYEKUTUMA ATAKUPIGANIA TUU USHIND NI WAKO NA JEWE NDI WI KIGOMA TULIHO INO I MBINGA NDOKOSE NA JEWE NJOO NA KWETU

  • @madamtemu4167
    @madamtemu4167 Год назад

    Pole sn mchungaji,nini tena jamani, mbona magongo?,Hila za shetani zishindwe kwa Jina la Yesu

  • @rsfdzxzx2274
    @rsfdzxzx2274 Год назад

    Nantaka naba yahuyu muntumishi wamugu ani obeye

  • @user-le3qw9vp5t
    @user-le3qw9vp5t 11 месяцев назад

    Promover, ninawashauri ili muwee kuwa na viwango vya streams mnaorusha, faneni ediings ambao haipungui wala haiondoi miririko wa maudhui a mnenaji.

  • @apostlesammymutachicfc.3744
    @apostlesammymutachicfc.3744 Год назад

    Jack, mi ni apostle Sammy toka Kenya, naomba unisaidie nisungumze na muchungaji Amieli.

  • @lailatlailat3850
    @lailatlailat3850 Год назад

    Mchungaji mm ayo mambo nimepitia mpaka sasaiv naelekea miaka 40 sina mme maisha yangu yamekuwa ya misuko suko naomba maombi yako

    • @lucykapinga369
      @lucykapinga369 Год назад

      pole simama mpokee YESU KWA MOYO MMOJA UKIRI NAPIA UZURIA KWENYE KANISA LA WOKOVU SIMAMA FUATA NJIA KAKE KRISTO UPENDELEE SANA KUJITAKASA ,KUFUNGA UKISIMAMA UTAFUNGULIWA ROHO MTAKATIFU ATAKUONGOZA UTAKOMBOLEWA

    • @lailatlailat3850
      @lailatlailat3850 Год назад

      @@lucykapinga369 sawa mtumishi lakin naitaji mahombi yako mm uku napo fanya kaz amna kanisha niko oman

  • @crownseven7889
    @crownseven7889 Год назад +1

    Kunamafundisho mengi nimeyasikiliza lakin ya huyu jamaa kiboko

  • @christinekathenya1673
    @christinekathenya1673 Год назад

    Naomba utujulishe wakati au muda mwafaka wa kuomba na maanisha masàa mazuri ya kuomba

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 11 месяцев назад

    Hivi kweli ni ajabu! Watu wanaongopewa lakini wametulia tena huo uwongo wanauandika!

  • @jackline6547
    @jackline6547 Год назад

    Mch hujambo Bwana wetu Yesu apewe sifa mbina sikuoni nmekutafuta sana mwezi mzima uyuko online why ?

  • @f.alovely6419
    @f.alovely6419 Год назад +1

    Mchungaji mbona kutembea na kigongo, I hope upo okay

  • @mbithemargaret1446
    @mbithemargaret1446 Год назад

    Mtumishi ukiota nyuki zikivamia inamaana gani?

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Год назад

    SORRY, mtumishi Amaniel Katekelewa semina yake inasha lini sikuelewa mapema ningependa KUJA kwa kweli, niliona alisema anaenda Malawi, so what GOOD news available here from Sombetini.

  • @annabyekwaso-wt7oi
    @annabyekwaso-wt7oi Год назад

    Kwani alikuwaje mtumishi jamani?

  • @fidemikaeli8145
    @fidemikaeli8145 Год назад

    Kweli nimefunguka jamani

  • @kessymazengo4374
    @kessymazengo4374 Год назад

    Mtumishi unashida
    Gani unatembelea
    Gongo?

  • @rsfdzxzx2274
    @rsfdzxzx2274 Год назад

    Nimumpe inimero yowe asegere

  • @rsfdzxzx2274
    @rsfdzxzx2274 Год назад

    Nimimi una ogereya

  • @koletajeanne8824
    @koletajeanne8824 Год назад

    Nikwali

  • @eliamtinda7222
    @eliamtinda7222 Год назад

    EAGT mnafundishana nyota tena!?
    Mnakoelekea mtaangukia pua

  • @flavianarwebangira6726
    @flavianarwebangira6726 Год назад +1

    Mafundisho yako na shuhuda zako zinafungua wengi tunaendelea kukuombea uonyaji wa majeraha yako

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 Год назад

    Amen

  • @yvonneomendaomenda24
    @yvonneomendaomenda24 Год назад

    Amen