#live
HTML-код
- Опубликовано: 4 дек 2022
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Asante kwa kunifumbua macho🙏 MUNGU akupe maisha marefu
Amina,tunafunguliwa,kàribuni Sana Dodoma.
Amina....this is my word...not to follow miracles again, i will follow Jesus forever
Yaaani kwenye pembe ya uwongozi yaani umenizungumzia Mimi Mtumishi Kama vile unayajua maisha yangu. Mungu akubariki Sana Mtumishi
Bwana asifiwe Sana kusema ukweli nimekuswa Sana Ubarikiwe sana
Karibu kigoma Mtumishi wa Mungu,
Sema mtumishi Amiel tupone, unanifurahisha sana kamanda, unanitia moyo sana wakumtumikia Mungu, pamoja sana.
Hakika
Mungu akubariki sanaaa mtumishi wa Mungu
Ameeen kwa mafunzo unayo tupa Tunashukuru inatutosha katika vifungo vya ulimwengu wa Shetani.
I love this pastor. Live long and strong in Jesus Name.
Hallelujah Asante Mchungaji 🙏🏾
Nina pata Mafunzo KWELIKWELI na nawafunza ndugu na dada Zangu na pia Marafiki
KWAKWELI Wengine wanaskiza na wana anza kubadilisha mienendo sababu mimi nakuwa Mwanafunzi na mwalimu mwema pia🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mungu Azidi kukutumia Pastor
Nampenda Yesu
Jamani Mungu nimwanifu kweli kama hilo gongo umelitupa nijana nilimuuliza Mungu upande wa shetani wanatuchekelea tunadhihakiwa eeh Bwana mtu wako akitembelea gongo hebu tuondolee aibu hii nae kweli ni mwaminifu
usiogope kuchekwa Tupo Tayari hata kufa!!! Shetani asipokucheka manake upo naeupande mmoja!!! usijali watumishi wanapopitia magumu ndio mapenzi ya Mungu
Amen Amen Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana Mungu mwaminifu sana uwiii
🙏🙏
Kweli Mungu ni Mwema
Jina la YESU Kristo libalikiwe, hakika MUNGU ni mwema Sana, MUNGU azidi kukutunza Mtumishi wa MUNGU alie hai.
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu, asante sana
Amen mtumishi mungu akubariki
Jmn mbn ni Mimi kwenye familia yetu,Mungu nisaidie
Ameen barikiwa mtumishi wa Mungu🙏
kenya yuko Mungu wa kweli lkn watu ni wavivu wakumtafuta Mungu
Kwakweli kwakweli,mtumishi amengo,a visiki ngome madhabahu ya kuzimu hii babu kubwa, kristo mfalme mfunike mjoli wako huyu,,barikiwa kanisa lote alilohudumu na mchungaji wao, wafuniko watenda kazi woko pro tv aminaaaa
Ubarikiwe sana Mchungaji
Amen Amen and amen in Jesus name Amen Amen🙏🙏🙏🙏
Haleluyaaaa nani kama Mungu. Asante Mungu kwa kumponya mtumishi wako.
What as happened?.he agood pastor started listening to him
Recently
We receive in Jesus might name
Amina
Amen amen TUnapata mafunzo kupitiya kwako mcungaji wetu
Naomba Mungu akuponye na omba pia uniombe ndugu yangu nimgonjwa minguu sana hatembei zinachoma tu
Amen amen amen Yesu kirsto ni mwema.
Kuko ndarushe cane Avuga u🙏🙏👏kuri cane
Amen
Ameeen
Karibu songea pia
May God bless you
May god be with you always
Malaika doktari uhudumie Mguu huu mtumishi wako apate uponyaji
Hee ila Umechemsha Kwamba Hata Akiombewa na YESU hayatoki mmmmh hapo ulimi umepinda ,sijaamini Hilo,Yesu akikuombea vyote vinakwepa Mtumishi,Tunamfuata YESU ndiyo maana Alikufa kwa Ajiri yetu
Hapo Kwa hizo mimba hujitungia nje ya mfuko wa uzazi nimeona mabinti wengi wakifanyiwa operation haki wewe mtumishi uko juu Sana kama ulikataa hio operation
Ameen
MUNGU WETU Anaishi
Ndarushe
nimebarikiwa hakika
Ameeeeeeeen
Ndio tuko tunafata .tunaishi rwanda
Kuna mambo nmeyaskia yamenifungua ufahamu wangu .. nmeelewa mengi sikuya jua hapo kabla
Sababu nanteseka
Mbarikiwe sana watumishi Kwa kuongeza siku za semina kwetu Arusha.
MCHUNGAJ POLE KUMBE ULIPATA AJAL YA MGUU JIPE MOYO MADAM MUNGU NDO ALIYEKUTUMA ATAKUPIGANIA TUU USHIND NI WAKO NA JEWE NDI WI KIGOMA TULIHO INO I MBINGA NDOKOSE NA JEWE NJOO NA KWETU
Pole sn mchungaji,nini tena jamani, mbona magongo?,Hila za shetani zishindwe kwa Jina la Yesu
Nantaka naba yahuyu muntumishi wamugu ani obeye
Promover, ninawashauri ili muwee kuwa na viwango vya streams mnaorusha, faneni ediings ambao haipungui wala haiondoi miririko wa maudhui a mnenaji.
Jack, mi ni apostle Sammy toka Kenya, naomba unisaidie nisungumze na muchungaji Amieli.
Hee apostle anarudi kwa Mchungaji tena??
Mchungaji mm ayo mambo nimepitia mpaka sasaiv naelekea miaka 40 sina mme maisha yangu yamekuwa ya misuko suko naomba maombi yako
pole simama mpokee YESU KWA MOYO MMOJA UKIRI NAPIA UZURIA KWENYE KANISA LA WOKOVU SIMAMA FUATA NJIA KAKE KRISTO UPENDELEE SANA KUJITAKASA ,KUFUNGA UKISIMAMA UTAFUNGULIWA ROHO MTAKATIFU ATAKUONGOZA UTAKOMBOLEWA
@@lucykapinga369 sawa mtumishi lakin naitaji mahombi yako mm uku napo fanya kaz amna kanisha niko oman
Kunamafundisho mengi nimeyasikiliza lakin ya huyu jamaa kiboko
Naomba utujulishe wakati au muda mwafaka wa kuomba na maanisha masàa mazuri ya kuomba
Hivi kweli ni ajabu! Watu wanaongopewa lakini wametulia tena huo uwongo wanauandika!
Mch hujambo Bwana wetu Yesu apewe sifa mbina sikuoni nmekutafuta sana mwezi mzima uyuko online why ?
Mchungaji mbona kutembea na kigongo, I hope upo okay
Mchunhaji alipata ajali mbaya sana ila Mungu kamwokoa
Mtumishi ukiota nyuki zikivamia inamaana gani?
SORRY, mtumishi Amaniel Katekelewa semina yake inasha lini sikuelewa mapema ningependa KUJA kwa kweli, niliona alisema anaenda Malawi, so what GOOD news available here from Sombetini.
Kwani alikuwaje mtumishi jamani?
Kweli nimefunguka jamani
Mtumishi unashida
Gani unatembelea
Gongo?
Alipata ajali dar
Nimumpe inimero yowe asegere
Nimimi una ogereya
Nikwali
EAGT mnafundishana nyota tena!?
Mnakoelekea mtaangukia pua
Mbona alikua dar TAG anafundisha huko nako?
Mafundisho yako na shuhuda zako zinafungua wengi tunaendelea kukuombea uonyaji wa majeraha yako
Amen
Amen